Mbarikiwa aukubali mtiti kwenye mkesha wa Mwamposa ingawa anahoji; Watu hao wanakuja kuabudu/kuagua?

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 07. 2024
  • Edit with InShot: v.inshotapp.net/invite

Komentáře • 469

  • @ezekiambise2595
    @ezekiambise2595 Před 17 dny +5

    Kila mtumishi afanye utumishi wake kwa Mungu kwa uwaminifu muache chuki, wivu, na matusi.

  • @jeymwilson8620
    @jeymwilson8620 Před 17 dny +6

    Mimi nadhani mwenye macho ya rohoni na masikio ya rohoni ndo atakaeelew Mbarikiwa nni anasema i love this Baba keep it up usianche kusema kweli Mungu aliekuita akafanye zaidi na zaidi God bless you Pastor

    • @user-li7kl3og4h
      @user-li7kl3og4h Před 8 dny

      Kabisa kuyajua haya mambo yanaitaji macho ya rohoni sana mungu atusaidie sana

    • @matungwaByarugaba
      @matungwaByarugaba Před 4 dny

      TATIZO UGANGA NA UCHAWI WENU NA UNFREEMASON MMEKWISHS POTWA TAYARI HIZO HASIRA ZENU SISI TUNASONGA MBELE.AFADHALI MUNYWE SUMU

  • @robertbutati5691
    @robertbutati5691 Před 19 dny +18

    Hongera sana Mtume timiza wito ulioitiwa na Mtumishi wa Mungu Mbarikiwa timiza wito wako sisi ni viungo ktk mwili wa kristo kila kiungo na kazi ya e hatuwezi kufanana tumeitwa tofauti

    • @HeriKayezu
      @HeriKayezu Před 18 dny

      @@robertbutati5691 kama umati wa watu umemchanganyaa atuambie kwa nn na yeye anawachache tena wanafamilia melancholic wote, plze don't dare with our apostle Mwamposa

    • @DavidMbilinyi-tn3jm
      @DavidMbilinyi-tn3jm Před 17 dny

      @@robertbutati5691 hakuna mtume aliyeitwa Kwa jina la yesu kukusanya fedha

    • @josephezekielmasolwa8283
      @josephezekielmasolwa8283 Před 16 dny +2

      Tumitwa tofauti ila Lengo ni moja Watu wa mlingane Mungu.

    • @enockniko9270
      @enockniko9270 Před 16 dny

      Hapana zijaribuni hizo Roho kama zimetokana na MUNGU
      Ukimpima na neno la MUNGU unaona ata mbinguni huwenda awamtambui labda anatambulika kwa kuwapeleka mamilioni ya watu jehanamu

    • @DavidMbilinyi-tn3jm
      @DavidMbilinyi-tn3jm Před 16 dny

      @@enockniko9270 Amina ndugu tuwe na akili namna hiyo Kwa jina la Yesu.umenifariji hasa kipindi hiki ambacho watu wameyageukia mafundisho ya uongo

  • @user-ng6yt2od7l
    @user-ng6yt2od7l Před 19 dny +20

    Mimi nimepona kawe nipo nje ya nchi nimepona kwa jina la Yesu sii kwa jina la Mwamposa

    • @BeniJohn-xd3cn
      @BeniJohn-xd3cn Před 19 dny +2

      Imani yako imekuponya ktk Kristo Yesu

    • @AishaTarimo-hj2nj
      @AishaTarimo-hj2nj Před 17 dny +1

      Mimi pia nilikuwa na uvimbe miaka 5 na sipo TZ nipo nje lkn kupitia Mwamposa nimepona

  • @AnnaBituro
    @AnnaBituro Před 18 dny +6

    Pole mtumishi mimi nafikili unatakiwa wale wanaotoka kupokea miujiza kwa mtumishi
    Mwamposa uendelee wewe na wayumishi wengine kuwalea kiroho msana kule ameshawaongoza sala ya toba sasa mkiendelea kukosoa kosoa watu wanashindwa waende wapi mtadaiwai hizo
    Roho za watu
    Mtumishi
    Miwamposa
    Mungu anamjua zaidi kuliko mnavyomyyua ninyi mbona neno lnasema kila mtu atasimama mbele ya kiti cha
    Mungu. Watu wanao toka kwa mtumishi
    Mwamposa tuwapokee tuwaimrishe katika
    Imani ya
    Yesu. Kama walivyompokea jamani. Mbona hivyio ..

  • @vickgrace4487
    @vickgrace4487 Před 18 dny +7

    .... KRISTO ACHA AJITWALIE UTUKUFU .... ALITUMIA HATA TOPE/MATE KUPONYA... Amani ya KRISTO IKUBEBE MTU WA MUNGU.... TUNAMWONA MUNGU KUPITIA BONFACE... MWAMPOSA...

  • @christophermsekena616
    @christophermsekena616 Před 19 dny +9

    Muda unaotumia kujadili matukio ya watumishi wenzio ungekuwa unahubiri na kuita watu waokoke Mungu angekufurahia sana

    • @hoseasteven6241
      @hoseasteven6241 Před 18 dny

      Unachokisema ndicho anachokifanya sasa

    • @user-dz3rl1ki6u
      @user-dz3rl1ki6u Před 16 dny +2

      Kumbe wewe huelewi kuwa hicho anachokifanya ndicho injili yenyewe pole tulia umfatilie vizuri mbalikiwa hii ndo injili pure sasa

    • @christophermsekena616
      @christophermsekena616 Před 16 dny

      @@user-dz3rl1ki6u chawa kama chawa

    • @bettykinyami5096
      @bettykinyami5096 Před 15 dny

      Kwani uko kwa mwamposa mnaabudu Mungu au!!! Jichunguzeni Sana, kwenye wingi wa watu sio kuna Mungu, hapo mapepo ni mengi yanateka watu, hapo uganga wa kienyeni Tu.

    • @christophermsekena616
      @christophermsekena616 Před 15 dny

      @@bettykinyami5096 sawa roho mtakatifu

  • @hilarylaurian7896
    @hilarylaurian7896 Před 19 dny +8

    Mimi sikuwepo pale Packers ila nilikuwa kwangu mkoani nikikesha. Mungu anasema na roho za watu mmoja mmoja. Toba kila siku kwenye ibada anaongoza sara ya toba. Na roho wa Bwana akiingia kwako lazima atakuongoza tu kutubu. Amina

  • @allythabiti8150
    @allythabiti8150 Před 19 dny +12

    Kwa mwamposa pale inatuthibitishia kuwa watu wanataka miujuza had kuamin miujiza zaid ya Kumuamin Mungu wao, hapo ni uhuni tu.

    • @AGM19697
      @AGM19697 Před 17 dny

      Hata kwa Yesu miujiza ndio iliwavuta kuamini. Yesu hakutumia upanga kuwavuta alitumia miujiza. Musa pia

    • @matungwaByarugaba
      @matungwaByarugaba Před 4 dny

      Umekosa wateja na wewe?pole yako

    • @matungwaByarugaba
      @matungwaByarugaba Před 4 dny

      Yeye mbona hawasemi chochote?

  • @johnpaulin4511
    @johnpaulin4511 Před 18 dny +4

    Kwani mwamposa aliwatumia barua YA mwaliko? Waache wanajua wanachokipata
    Roho mtakatifu ndiyo anayetoa vipawa; nyenyekea hata wewe upewe acha wivu

  • @NeemaAlphonce-v9y
    @NeemaAlphonce-v9y Před 19 dny +9

    Aghmity God make you powerful to preach the truly GOD , Ubarikiwe saana Mwakipesile

  • @barakamzuri6522
    @barakamzuri6522 Před 17 dny +3

    Mbarikiwa, kwa heshima kubwa Sana, umesema vyakutosha. Je wajihesabia haki!!! Siku ya hukumu, Mungu atahukumu. Acha Mungu was haki aje kuhukumu. Wewe mhubiri kristo na hukumu mwachie Mungu

    • @FrolaMkolo
      @FrolaMkolo Před 14 dny

      Hajawahukumu!!! Soma biblia na uwe rohoni!!! Yuko sawa anataka watu wawe na ufahamu wa Mungu

  • @leahmafwenga4695
    @leahmafwenga4695 Před 19 dny +3

    Wivuu huoooo pambana na wewe ujaze. Na nyinyi mnavyorukaruka madhabahuni mnajiona mpo sawa

  • @AdamJulius-z5i
    @AdamJulius-z5i Před 19 dny +7

    Na wengi watawadanya, ni kweli wamefanikiwa pakubwa, sijui watu hawaelewi nini

  • @user-bz5ti6op6z
    @user-bz5ti6op6z Před 19 dny +4

    Kumbuka hata YESU watu walikusanyika wengi sana k

    • @ayoubmtumishi50
      @ayoubmtumishi50 Před 17 dny

      Lakini siku alipowaambia ukweli wa kula mwili wake na kuinywa damu yake walitawanyika wote.

  • @charlottesindayigaya2030
    @charlottesindayigaya2030 Před 19 dny +3

    HUO NDIYO UJUMBE BWANA YESU AMEKUPA KUHUBIRI WATU.????? HUBIRI INJILI YA YESU ACHA KUTAZAMA MTUMISHI MWINGINE

  • @ObediChristopherLaizer
    @ObediChristopherLaizer Před 19 dny +8

    Hongera Sana Kwa Kukosoa Wanaopotea ila Kila Unapoongea Hakiki Unachoongea Mtumishi Wa MUNGU Maana Kila Neno Iitahesabiwa Siku Ya Hukumu

  • @samsonzablon
    @samsonzablon Před 16 dny +1

    Ukweli ni kwamba kila nabii au mtume ameitwa na kupewa kitu tofauti na mwingine, lakini kila alichipewa yeyote kina lengo la kuujenga mwili wa Kristo. Injili kazi yake ni kuonesha hitaji la Mungu kwa wanadamu, lakini injili ya leo ni hitaji la wanadamu kwa Mungu, hii ni kinyume na kusudi la Kristo kuja duniani

  • @beatricekagali1048
    @beatricekagali1048 Před 19 dny +5

    Watu wanashida nyingi sana, ukiona watu wanakuwa hivi Kuna kitu wanafaidika, wao sio wajinga. Mungu aliumba Kila mtu na upako wake sio wote mfanane. Hiyo kazi muachie Mungu.

    • @deogratiasrutabana2387
      @deogratiasrutabana2387 Před 19 dny

      Sio kweli unachosema ni kuwapotosha watu imeandikwa zichunguzeni kila roho na tunazichunguza kwa kutumia maandiko maana imeandikwa wataukumiwa kwa sheria zao na sio wanaoijua sheria watakaookolewa bali watakaoishika na kuitenda ndio wataesabiwa haki. Katika Agano jipya maji, chunvi, mafuta etc vinawakilishwa na Roho Mtakatifu kwahiyo tunatamka wala sio kukanyaga au kuchukua Chupa ya maji huo ni uganga na uaguzi.
      Wanachofanya akina mwamposa ni uganga na ushilikina na hao wote wanamaagano na kuzimu mkusanyiko wa watu unaletwa na nguvu ya kuzimu. Wakati watu wamekusanyika katika ulimwengu wa roho ya kuzimu wanachukua vipawa vya wote wanakuwa wamejiungamanisha na ibada. Yesu alisema kemeeni na kuonya.
      Kinachomaliza shida ya Mtu ni kuijua kweli na kuitenda sheria si vinginevyo. There is no short kati laazkima tutimize sheria na Imani pasipo matendo imekufa.

    • @lwitikoasa6899
      @lwitikoasa6899 Před 18 dny

      ​@@deogratiasrutabana2387Biblia. Yakobo 5:14
      [14]Mtu wa kwenu amekuwa hawezi? Na awaite wazee wa kanisa; nao wamwombee, na kumpaka mafuta kwa jina la Bwana.
      ANDIKO ILI NIAGANO JIPYA AU LAKALE?

  • @NeemaMinga-pl8ty
    @NeemaMinga-pl8ty Před 19 dny +3

    Me nakukubali lkn kwa ushaur tumia zaid muda kuhubiri neno, achana na kukosoa muda mwingi umewekeza huko, lkn tunaokufatilia tunaomba ufundishe neno.

  • @user-ox6rb3wj5w
    @user-ox6rb3wj5w Před 18 dny +3

    Njia iendayo uzimani ni nyembamba,lakini iendayo jehanamu kubwa mno😊

  • @ephraimkabeya9648
    @ephraimkabeya9648 Před 19 dny +3

    Kama hayuko sawa hebu mshushie moto kwa haki yako Kama nabii Eliya. Tunahitaji kusikia kazi yako Sasa badala ya kutuambia habari za mapambano na watu walio"trend"

  • @user-mn2hb7xt9k
    @user-mn2hb7xt9k Před 16 dny +1

    Umekosa KAZI mnafiki mkubwa ww huo ndo wito wako pole na mungu wako Huyo mdogo mdogo ulie nae utakufa Kwa presha mwaki

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 Před 19 dny +7

    Kwa kweli mtumishi wa Mungu Mwakipesile hadi umefungwa kwa kweli yako kuokoa waliopotea endelea kutenda kazi ya Bwana Yesu akulinde na familia yako🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🎉🎉🎉❤❤

    • @HeriKayezu
      @HeriKayezu Před 18 dny

      @@hildandumbalo5827 huyo chizi nilijua milembe Iko Dodoma kumbe mbeya

  • @user-rn2fs5jg6n
    @user-rn2fs5jg6n Před 18 dny +2

    Ahsante Mwenyezimungu mmoja kwa kuniongoza katika dini ya haki nayo ni dini ya Uislam.

    • @jaromemwazembe6396
      @jaromemwazembe6396 Před 18 dny

      Ukweli ni kwamba njia ya kweli Ni Kuamini ya kwamba Mungu yeye mwenyewe alikuja duniani akazaliwa akaamua kufa kwa ajili ya kulipa deni la wanadamu na kufufuka siku ya tatu na akapaa mbinguni. Kwa hiyo ukimwamini YESU KRISTO na kuziacha dhambi Roho mtakatifu ambae ndie Mungu yuleyule mmoja anakuja kukaa ndani yako.nawe unakuwa na uzima wa milele kwa maana Ufalme wa Mungu unakuwa ndani yako.
      Ni dua yangu kwamba Yesu kristo akujalie neema ya wokovu usipotee katika udanganyifu wa Dunia hii
      Amina.

    • @user-zs4qz4wm2n
      @user-zs4qz4wm2n Před 18 dny

      Haki ipi 😂😂😂

    • @EnaraMfwango
      @EnaraMfwango Před 17 dny

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣haki hipi tenà

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa Před 17 dny

      Dini mnayo abudu na mashetani haifai

    • @user-zs4qz4wm2n
      @user-zs4qz4wm2n Před 17 dny

      @@FridayMwassa usikute wewe ndo kashetani kenyewe

  • @juliusakilimali9424
    @juliusakilimali9424 Před 18 dny +9

    Kila mmoja na UTUMISHI wake!! Acheni kuhukumu! Nawe onyesha UTUMISHI wako ili watu wa Mungu wakuelewe na wapone.Mwache mwenye enzi Yesu Kristo atakuja kutenganisha pumba na Mchele.

    • @user-on4sb9fn5t
      @user-on4sb9fn5t Před 18 dny

      Naye huu nduyo Utumishi wake.

    • @jaromemwazembe6396
      @jaromemwazembe6396 Před 18 dny

      Ndio kila mtu na alivyo itwa lakini kumbumbuka sisi sote ni mwili wa Kristo. Sasa je kristo anatutaka tufanye hayo? Au Ana tutaka tuwafanye watu waache dhambi na kuufuata Yesu Kristo tu. Mtu Hana laana akimwamini Yesu na akiacha dhambi na kufanya kazi kwa bidii.
      Wewe huna laana kwa maana Yesu Kristo amekuokoa. Hayo mengine ni udangqnyifu wa Dunia hii.

  • @vikimartin9441
    @vikimartin9441 Před 18 dny +2

    Hujawahi kukosa neno,ulivyoona wewe moyoni mwako ndivyo ulivyo,na pale hatukuenda kuhukumiwa,kila mmoja alienda kwa kilichomsukuma kwenda moyoni mwake, sisi ndio waumin na tuna maamuzi yetu na hatufungiwi na dhehebu Wala kanisa lolote msituamini kivile.tunajua unaumia rohoni na unamfatilia Sana,kitendo Cha kumfatilia mtu ambae Hana habari na wewe kinaumiza, bado hujaaema utasema, na ninatarajia utawaalika wale watu wako wataongea na wao,Hilo nauhakika.mtu anaependa kuongelea watu mda wote kiukweli ni wivu, uchawi,ushirikina.huo mda unautoa wapi? Si ujifungie chumbani mtafute mtoto? chum

  • @user-kx5oc7nt5p
    @user-kx5oc7nt5p Před 19 dny +2

    Huyu jamaa mbarikiwa ni pepo au? Fanya kazi zako nawe tuzione, Acha taarabu nahis injiri sasa imevamiwa!!! I hate you mbarikiwa😩😩😩

  • @JaneKisweka
    @JaneKisweka Před 19 dny +9

    Hawaagui Bali wanasali tuache wivu mwenzako akifsnikiwa mpongeze Kila mtu amepewa kipawa chale Mungu amempa onyesha kazi siyo maneno Mwamposa songs mbele.

    • @ayoubmtumishi50
      @ayoubmtumishi50 Před 17 dny +1

      Watu wengi kama mchanga wa pwani wanaoenda upotevuni

    • @Dianamwansasu
      @Dianamwansasu Před 17 dny +3

      ​@@ayoubmtumishi50kuna wengi wataenda mbinguni hapo hapo.angalia wewe usije ukaachwa?

  • @SimulizinaPerfect
    @SimulizinaPerfect Před 18 dny +2

    Ungefika ungesema neno hukufika mim nlikuw naend kawe aisee hyu ni mwamba aiseee hamna anae weza jaza watu wanja wataifa alijaza wanja zote

  • @user-gt6jh7dj9e
    @user-gt6jh7dj9e Před 19 dny +6

    Watumishi wote hapa inchini Tz kama wangekua na hekima pamoja na wokovu kama Mtume Mwamposa inchi hii ingekuwa yenye Baraka saana kwahali yakumpendeza MUNGU BABA

    • @frankbutati8343
      @frankbutati8343 Před 19 dny +2

      We ni kiande kweli kweli, iko siku mtamumbuka mwakipesile

    • @francisandrew5386
      @francisandrew5386 Před 18 dny

      @@frankbutati8343 kwanini umemdhihaki ila hujamuelekeza….
      Nini maana kiande.!? Sio sawa

    • @DativaMbowe
      @DativaMbowe Před 17 dny

      ​@@frankbutati8343😂😂😂

    • @amanelias4672
      @amanelias4672 Před 17 dny

      Amen

  • @YeftahMichael
    @YeftahMichael Před 10 dny +1

    Mi kama msomi wa bibilia ni naamini kila mtumishi kaitwa kwa namna yake tatizo la huyu pastor anataka kila mtu atumike kama yeye no! Paul anasema sikuja kwenu kwa maneno ya hekima tu bali kwa nguvu na uwezo wa Roho mtakatifu, bibilia sio siasa kama mnavozani bibilia imejaa demonstration of power tangu mwanzo hadi ufunuo huwezi kumkomboa mtu zambini kwa siasa ya bibilia bali ni kwa ushuhuda wa matendo makuu ya Mungu✍️

  • @williammakali5518
    @williammakali5518 Před 16 dny +1

    Tatizo lako,nashani ni wivu,,,kwanini unakazania mtiti je wanaorudisha mambo ya kichawi na kumrudia Mungu ni kweli huna ufahamu wa kuyaona,je waliokuwa tasa wakifunguliwa na kupata watoto,hayo huyaoni,,,je akina mama waliokuwa na viumbe zikapona ni kweli huyaoni?au unachoona ni kukagua msg za waumini wako na kuwatimua? Mungu atajitwalia utukufu tu,,,hatuwezi wate kuwa akina mwamposa,,Mungu akupe macho ya rohoni

  • @twiseghekisilu8845
    @twiseghekisilu8845 Před 13 dny

    Wivu mbarikiwa wivu,achana na mwamposa ni wakati wake!!na wewe sio Mungu acha Mungu amhukumu!

  • @NicholousViper28
    @NicholousViper28 Před 19 dny +2

    Mtu unasema mambo ya kanisa la mwingine ? we fanya yako.mungu ndiye anajuwa wapi pakweli

  • @femidayahaya9293
    @femidayahaya9293 Před 17 dny +1

    sasa hv wachungaji mnaniuz sana eti mmesahau majukumu yenu kabisa mmeitwa kuwafundisha watu na kuwahubilia neno la mungu na kuwaponya..na co kila cku kumtolea macho mch..yule mara yule na kuanza kukosoana fundishen watu NENO la MUNGU bc hicho ndicho mulichoitiwa

  • @fredynjige5663
    @fredynjige5663 Před 18 dny +4

    Mwamposa aifunika mecca Saudi arabia

  • @CharlesRyoba-iv1sc
    @CharlesRyoba-iv1sc Před 15 dny

    Dah, Mungu wako ni dhahiri neno la injili unalolifundisha ni kama kwa mtumishi wa Mungu "pastor ezekiel" kutokea mavueni mombasa kenya. Ukweli ni kwamba watu hawatakuelewa na ndivyo ilivyo kwenye yohana 17:14. Hongera sana baba, Mungu atakulipa thawabu yako

  • @vickgrace4487
    @vickgrace4487 Před 18 dny +6

    Hubiri Neno mtu wa Mungu acha kusema ya Wngine....

  • @eliabbanyikwa8716
    @eliabbanyikwa8716 Před 18 dny +1

    Wewe naye umeanza kutupoteza kwanini sana unahubiri watumishi wengine kwani wewe Imani ya madhabahu yako wao wanajua lililopo

  • @MichaelMwasese
    @MichaelMwasese Před 5 dny

    Mbalikiwa mwasese h😊apa mm tume natkakuonana nawe mby hapa ,Mungu aklupe wepes tuonane mtumishi

  • @HappyAnacondaSnake-zl4vj
    @HappyAnacondaSnake-zl4vj Před 19 dny +15

    Mubarikiwa nimecheka Sana mwenye akili ndio anaelewa pongezi zako

  • @isayasanga1069
    @isayasanga1069 Před 19 dny +2

    Mungu aturehenu Roo waMungu atufunulie tuijue kweli

  • @EmanuelMsindo
    @EmanuelMsindo Před 17 dny +1

    hayo yote tutajua uko mbingun kila mtu abebe msalaba wake acheni kurudisha Imani zawengine nyum kila mtu anaimani yake

  • @freemanKalalu
    @freemanKalalu Před 17 dny +1

    Bwana we usitudanganye kwa chochote tuonyeshe vya kwako au tuonyeshe mtiti wako kiufupi ukiona mchungaji yoyote anafuatilia mwenake kafanya nini ujue yeye huyo ni muumini wa huyo kwa hiyo wewe ni muumini wa mwamposa

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 Před 19 dny +5

    Mwamposa amenyooka, Tumshukuru Mungu kwaajili yake, Mbarikiwa unapenda mashindano sn, Sasa unataka afanyeje?? Fundisha Wewe hayo unayoona ni sahihi.

  • @barakamzuri6522
    @barakamzuri6522 Před 17 dny +1

    Mtumishi, Kuna wakati Elisha aliitwa na wazee wa Yeriko juu nchi ilikuwa ni nzuri lakini ilizaa mapoza. Elisha akaiponya nchi. Elisha hakuponya wale wazee Bali alisema, nimeiponya nchi hii........

  • @simonkyanula4012
    @simonkyanula4012 Před 18 dny +2

    Kila mtu anasehem yake ktk utumishi wake.ndio maana Yesu alisema baba kazi ulio nipa nimeimaliza maana yake alitumwa kwa ich moja tu Israeli na kupitia Israeli mataifa yote tutamjua Mungu ko kila mtu na ufunuo wake .simamia kipande chako na tunako kwenda Mungu anasema utukufu wa mwisho wa nyumba yangu utakua ni mkuu kuliko wa kwanza

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l Před 15 dny

    Wingi wa watu ni roho. Sasa kusababisha roho za watu wakukubali huo ni upako. Yesu alimwambia petro acha kuvua samaki nikufundishe kuvua watu.
    Watu walivyomfata yesu siyo kwamba watu wote walimjua mungu. Ila walipopata kusikia neno wakaamini.
    Wewe fanya yakwako mungu aliyokwambia ufanye usianze kuangalia mwamposa.
    Yeye anafanya Mungu wake alivyomweleza.

  • @jesusmwitila2215
    @jesusmwitila2215 Před 18 dny +11

    Ni vizuri huo mtiti uwe kwako .... hakuna sababu ya kumsema mtu onyesha Mungu wako

    • @MagdalenaMatiko
      @MagdalenaMatiko Před 13 dny

      Sasa ungefanya kama elia kuondoa ubishi wewe ni maneno tuuu,fanyavitendo watu wajae kwako

  • @mbelechimakobola8835
    @mbelechimakobola8835 Před 19 dny +10

    Chapa injili SANA mtumishi wa Mungu

  • @user-do9ru4er1e
    @user-do9ru4er1e Před 16 dny

    Be blessed the man of God

  • @IsaacpauloNgwavi
    @IsaacpauloNgwavi Před 19 dny +5

    Mtakubali tu

  • @bonifacedanielmwakisunga9638

    Mwakipesile hayo mambo ya kuwasema watumishu wenzako wa mungu sio jambo jema wewe jikite na kuendeleza kanisa lako Ili like sio kumsema mtumishi wa mungu ajaanza Leo mpaka huduma unakuwa hivyo

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před 19 dny +1

      Wewe kumsema Mwakipesile ndio jambo jema? Wewe kwa nini haujajikita...

    • @GraceAbraham-l9h
      @GraceAbraham-l9h Před 18 dny

      ​@@Mbarikiwa_Mwakipesileni kweli ni sehem ya kukumbushana nae amesema si Jambo la kushupaza tunakumbushana sbb YESU alisema hakuna aliye mtimilif chini ya jua

  • @FrancisMliga-pp7cp
    @FrancisMliga-pp7cp Před 19 dny +6

    Mtumishi mbona wewe umekuwa mkosoaji tu Kwa kila Mtumishi....!??..si ufanye Kazi aliyokuitia MUNGU

    • @DavidMbilinyi-tn3jm
      @DavidMbilinyi-tn3jm Před 18 dny

      @@FrancisMliga-pp7cp unasoma biblia kazi ya Neno ni kukemea maovu ndio maana kina stefano waliuawa, yakobo aliuawa,yesu aliuawa,yohana aliuawa,Paulo na sira walifungwa gerezani.uwe unasoma Neno la kweli halitakiwi na wanadamu

    • @mashibeelias5574
      @mashibeelias5574 Před 17 dny

      hiyo inayoifanya unajuaje kama si kazi aliyoitiwa? Au kazi aliyoitiwa mtu ni kazi gani?

    • @DavidMbilinyi-tn3jm
      @DavidMbilinyi-tn3jm Před 17 dny

      @@mashibeelias5574 Neno la Mungu ni la ajabu Sana unaweza kua msomi Sana lakini Neno usilielewe yaani mwamposa sio wakujiuliza uliza ila huyo Yuko kibiashara tu

    • @mashibeelias5574
      @mashibeelias5574 Před 17 dny +1

      @@DavidMbilinyi-tn3jm Kwa mtu anayetafta ufalme wa Mungu, hawezi kumwita mwamposa mtumishi wa Mungu ispokuwa kwa mtu ambaye anatafta mambo yake.

    • @DavidMbilinyi-tn3jm
      @DavidMbilinyi-tn3jm Před 17 dny

      @@mashibeelias5574 Amina

  • @noelmarapachi1808
    @noelmarapachi1808 Před 18 dny +2

    This is very deep, "Mungu Yeyote unaye mtumikia". I love the openness of the mind.

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cn Před 19 dny +1

    Kama una Roho w Mungu uwezi kujuwa kweli Kila ukiitwa unaitika uwezi kutofautisha sauti ya Mungu ktk Kristo Yesu na sauti ya Miungu

  • @BaloziErasto
    @BaloziErasto Před 17 dny +1

    Muoneshee mungu wako watu wamuone wajee wajae na wewe kwako

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b Před 19 dny +6

    Mimi nakupenda sana acha mwanzako avune ni wakati wake mungu anampa mtu lidhiki omba ya kwako mungu atakupa

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před 19 dny +1

      Utaua/uhubiri si njia ya kupata faida 1 Timotheo 6:5 na majadiliano ya watu walioharibika akili zao, walioikosa kweli, huku wakidhani ya kuwa UTAUWA NI NJIA YA KUPATA FAIDA.
      Kama anahubiri ili apate faida ndio maana nimesema kuwa ni tapeli

    • @user-vu8fk2kz7l
      @user-vu8fk2kz7l Před 18 dny

      hatumtumikii Mungu Bure Duniani mara mia Kisha uzima wa milele

  • @hellendaniel3809
    @hellendaniel3809 Před 19 dny +6

    Wivuuuu. mtateseka sanaaaaa Ariseeeee

  • @JajiZakayo-fw9mk
    @JajiZakayo-fw9mk Před 19 dny +8

    Injili ya Yesu Kiristo lazima ina ambatana na miujiza na ishara.

    • @hoseaCHRISANTUS
      @hoseaCHRISANTUS Před 19 dny

      Ni sawa injili ya kweri ina ambatana na ishara za miujiza na uponyaji ila ishala yeyote ya kuponya wagonjwa bila fundisho la kweri na sahihi ya kuwambia watu waache njia zao mbaya watubu zambi zao injili isio kuwa na ondoleo la dhambi hiyo ni feki na ni injili ya mauzauza nenda ukasome kitabu cha mthayo agizo kuu la mungu aliloliagiza kwa wanadam walio okoka bila kujali wewe ni nabii au mtume au mwalim au mshirika yoh 3.16 marko 16,1 hadi mwisho

    • @hoseasteven6241
      @hoseasteven6241 Před 18 dny +1

      Soma Biblia Ishara na miujiza siyo kweli inadhibitisha uwepo wa Mungu

    • @gidionkadaraja1403
      @gidionkadaraja1403 Před 18 dny

      Ishara na miujiza Kama hamna hivyo ni kelele2 bas

    • @NovatusSweetbert
      @NovatusSweetbert Před 15 dny

      Pole ndugu yangu

  • @neemangiliule6194
    @neemangiliule6194 Před 19 dny +1

    Ukisema ufuate maneno ya watu hapa tz huwezi kufika popote wanakutungua tu uwafuate wao chini,, kikubwa unakausha halafu chapa kazi ili mradi Mungu yuko nawe
    Tz ukianza hata kazi tu lazima maneno ndio yatakuua na kupoteza kazi, tuwe makini tusituhumu tu kila kitu

  • @neemamwakasape1630
    @neemamwakasape1630 Před 16 dny

    Nyakat hiz ni ngumu mno, ndo maana nikiona sina aman na mtu au huduma. Najiweka mbali nae kimya😢. Tumtafute sana MUNGU NA MUNGU ATATUONYESHA MAHALI SAHIHI

  • @nancymorenje3880
    @nancymorenje3880 Před 19 dny +7

    Tatizo wachungaji wa kikrito wanafuatiliana hadi inakera. Mahakama za kikristo zimekuwa nyingi? Kila Mchungaji anamwandama Mchungaji mwenzake. Wakristo tuna shida sana. Kwani Mwamposa alienda kuwaita watu nyumbani waje kuabudu pale? Mnajihesabia sana haki, pengine hata Mungu hawajui

    • @EmanuelMsindo
      @EmanuelMsindo Před 17 dny

      ❤❤ waache maneno acha injili isonge mbele kwan mbn hata usipofika kwake roho bad atasem nawe kwahy kikubwa Imani acheni kufatiliana fateni I injili msonge mbele

    • @Shemahonge-ku7xx
      @Shemahonge-ku7xx Před 13 dny

      Ndioujue njaa mbaya ndiomaana ariswekwa ndani kwaujinga wake ninawasiwasi amekatwa malinda

  • @JackbandLobert
    @JackbandLobert Před 2 dny

    Bibilia inasema usimnyoshee mtumishi wa MUNGU kidole mwamposa nimtumishi Mimi sioni kosa kwa mwamposa mana munae msema yeye aongei ogopa sana muogopeni MUNGU.

  • @Saidmathayo-uv4gj
    @Saidmathayo-uv4gj Před 18 dny +8

    Niwivu tu huna lolote fanya Kaz ya mungu acha majungu

  • @pauloropian2367
    @pauloropian2367 Před 18 dny

    My God bless your people

  • @sarahmwasyoge1830
    @sarahmwasyoge1830 Před 17 dny

    Asante baba Mbarikiwa kwa uaminifu wako kwa Mungu wa kweli ..

  • @williammakali5518
    @williammakali5518 Před 16 dny

    Ukitaka kuwa hivyo kama,uwe na hekima ndicho ambacho Mungu anakutaka kwa mtumishi wake siyo kuokoa hadi simu za waumini wako,,,Mwache Mungu ajitwalie utukufu

  • @OmariJuma-su6fz
    @OmariJuma-su6fz Před 19 dny +2

    Hilisibure hayanimengine nandomana afrika ss tunakuwa maskini sana

  • @Magufuli.
    @Magufuli. Před 19 dny +5

    Njia ni nyembamba iendayo mbinguni, mbinguni siyo pamchezo, Mungu wangu!!! Kundi lote linaelekea motoni na mwamposa wao jamani!!!.

    • @HeriKayezu
      @HeriKayezu Před 18 dny

      @@Magufuli. Toa kabisa na picha ya magufuli unaidhalilisha wew huelewi Kila kitu

    • @bernardngomano6215
      @bernardngomano6215 Před 18 dny

      Usihukumu, wewe nani, mbinguni tutaenda kwa neema, siyo matendo

  • @user-ko2he4ij9i
    @user-ko2he4ij9i Před 17 dny +1

    Onyesha nguvu ya Mungu sio maneno

  • @JaphetKilimba-zo2iz
    @JaphetKilimba-zo2iz Před 19 dny +3

    Magumu mnayoyapitia uponyajiweno upokawe

  • @josemangula8806
    @josemangula8806 Před 19 dny +5

    Mathayo11:28Njooni kwangu nyini nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo nami nitawapumzisha sasa kama watu wameenda kuagua au kutatuliwa shida zao kwa mtumishi wa Mungu kuna shida gan ulitaka waende kwa mganga wa kienyeji au kalale wew

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před 19 dny

      Yesu anawaita wenye mizigo ya dhambi ili watubu. Sio wenye kudanga ili wapate hirizi za kudanga zaidi.

    • @josemangula8806
      @josemangula8806 Před 18 dny +1

      @@Mbarikiwa_Mwakipesile alie kwambia kwa mwamposa wanaenda wadangaji ili wadange zaidi ni nani acha chuki zakitoto watu wanaenda kutua shida zao kwa mtumishi wa Mungu na miujiza hata Yesu alifanya leo mwamposa anafanya miujiza mnabaki kumsema vibaya mnashida gani nyie kama mnaamini anatoa miujiza feki kwanini nanyi msitoe Yenu watu wawafate nyie

    • @jaromemwazembe6396
      @jaromemwazembe6396 Před 18 dny

      Miujiza sio kipaumbele, lengo ni kuweka bidii yakuwafundisha watu wamwamini Yesu Kristo na kutubu dhambi basi. Ukiona ni masikini wafundishe kufanya kazi kwa bidii kwa kufuata kanuni za uchumi wa Mbinguni. Cha zaidi wafundishe wakue katika Imani ya kumwamini na kumpenda Kristo siku zote na kuwaambia kuwa hawana laana yoyote ili wasienende kwa hofu.

  • @starlily07
    @starlily07 Před 19 dny +3

    Yani Mimi Nina hasira na watu kama kina mwamposa wanaopotosha watu wa Mungu, Yani ningekuwa na uwezo ningewapiga fimbo hadharani tena mbele ya madhabahu zao, uwiii Mungu nipunguzie hii hasira, aiseee, mwamposa, jodevi, Joseph nyuki, lusekelo, suguye na wengineo, ni natamani watu wafunguliwe faham zao wajue ni jinsi gani wanadanganywa jamani

    • @user-wi8og3sv4j
      @user-wi8og3sv4j Před 19 dny +1

      Dawa ni kutufundisha ni asiyedanganya maana ambaye mwongo na kweli anajua pia

    • @datiusdidas8155
      @datiusdidas8155 Před 19 dny

      Wewe mwenyewe unatudanganya,Mungu anaeshusha Moto ndo anastahili kuabudiwa,tuletee Moto unaozidi hapo ili tukuamini

    • @starlily07
      @starlily07 Před 19 dny

      @@datiusdidas8155 we mwehu eee.

    • @starlily07
      @starlily07 Před 18 dny

      @@datiusdidas8155 we mwehu nini

  • @PastorTimotheoUkombozi

    Wanaokusapoti wote mpo kwenye chama kimoja cha wachawi tena ninyi ni watu hatari sana zaidi ya wachawi na waganga na watu wengi hawawajuhi lakini hiyo mda Yesu mwenyewe atawafichua

  • @maryraphaely
    @maryraphaely Před 16 dny

    Mnashangaza hamnaga mafundisho ya BIBLIA,mpaka mwingine afanye jambo ndiyo mpate somo.Wanaaguliwa wanaabudu hiyo ni kazi ya Mungu

  • @user-ko2he4ij9i
    @user-ko2he4ij9i Před 17 dny

    Siku moja uwende kanisan kwako ukaombewe pale,kwan walio kuwa anapona kipind cha Yesu hawakumtukuza Mungu?

  • @user-dz3rl1ki6u
    @user-dz3rl1ki6u Před 16 dny

    Mtumishi Mbarikiwa Mwakipesile mchungaji nakufatilia sana na unanibariki sana kimsingi watu wengi hawapendi injili ya mateso hivyo wanakimbilia uaguzi wa kina mwamposa kikubwa wewe ni yohana mbatizaji sauti ya mtu aliaye nyikani apa ipo siku watakukumbuka japo watakuwa wamechelewa

  • @Skyson2023
    @Skyson2023 Před 15 dny

    Unaongea vizur sana pastor sema mim piaa nikushauri kama ingewezekana ni heri kupambana pia kwa Mungu wako ili upate watu wa kuwafundsha kweli halisi ya Mungu ikiwa unaona huyo anaagua bas jitahidi ili na wew upate wa kuja kuabduu na sio kuwa mkosoajii kwa watu

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před 15 dny

      Haujawaona?

    • @Skyson2023
      @Skyson2023 Před 15 dny

      @@Mbarikiwa_Mwakipesile Nimewaona baba na ninakufatlia sana ila ninacho maanisha kuwa wapo waliochaguliwa tayari hebu tupambane kuwahubiria watu ile tunayoona ni kweli kulko kuwajbu hawa jamaa maana kila siku watatokea kama hao wengii zaidi tutengeneze kizazi cha kusaidia wengne katika kwel ya kristo

  • @lidyamwakikuti783
    @lidyamwakikuti783 Před 14 dny

    Unamsema mtu asiye kujibu mtume unanisumbua bureeee kaa chini omb a Mungu akupe nguvu na maono

  • @CatherineTemba-w1u
    @CatherineTemba-w1u Před 18 dny

    Amen!

  • @Churchofecclesia
    @Churchofecclesia Před 16 dny

    Hakuna mtu anaeweza, kumhukumu mtumishi mwenzake, mbarikiwa funga kibakuli cha mdomo wake, we mwenyewe utahukumiwa mbele ya kiti cha enzi

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 Před 19 dny

    Asante sana Mtumishi wa Mungu na Ubarikiwe kwa ufafanuzi sahihi wa KIMUNGU. Njia ni nyembamba iendayo Uzimani bali njia ni pana iendayo upotevuni. Hatungoji kufika mbele ya kiti cha Enzi cha Mungu cha Hukumu kuweza kuyaona hayo yaliyoandikwa bali yapo dhahiri hapa hapa duniani sote tunayaona. Mwenye macho ya kiroho haambiwi tazama. Ataona tu kama tunavyoona sasa. Siku ya mwisho ni kuthibitishiwa tu na kuelekezwa kwenda tunapostahili kulingana na Matendo yetu na imani yetu. Mungu atusaidie sana.

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cn Před 19 dny +3

    Chalamila time 😂😂😂

  • @ismaelgadiye4488
    @ismaelgadiye4488 Před 13 dny

    Mbarikiwa uko sahihi hapo hatusikii swala la Toba Toba ndiyo itatuingiza mbinguni siyo vinginevyo tunaweza kustawi hapa

  • @geofreymilinga2965
    @geofreymilinga2965 Před 14 dny

    Yesu alisema Musipo Niamini Mimi basi Ziaminini kazi zangu, Mwamposa Nakukubari kwanza Uwajibu wauni wanaokutukana

    • @matungwaByarugaba
      @matungwaByarugaba Před 4 dny

      Ndiyo maana Yesu alisema baba uwasamehe hawajui walitendalo.Jembe mi mtumishi hana muda huo mchafu wa matusi.

  • @eliamtinda7222
    @eliamtinda7222 Před 17 dny

    Kweli njia iendaye upotevuni ni Pana na waingiao ni wengi!
    YESU tusaidie,nyakati za hatari hizi!

  • @RoseNdalu
    @RoseNdalu Před 19 dny +2

    Wivu du unaroho mbaya

  • @SuzanShayo
    @SuzanShayo Před 16 dny

    Mbarikiwa fanyakazi ya MUNGU Acha kuhukumu. onyesha kazi baba.

  • @susanmshindo7593
    @susanmshindo7593 Před 16 dny

    Imetoka hiyo umeshindwa wivu huo daa ushindwe kwa jina la Yesu

  • @ThomasThom-r6m
    @ThomasThom-r6m Před 15 dny

    Mwamposa ni shujaa sana I appreciate him

  • @RashidMwasiposya-ck6py
    @RashidMwasiposya-ck6py Před 19 dny +1

    Hakuna mtu mwenye matizo kama wewe lla mwakipesila nani akweshimu ww usijiesabie haki wivu unakusumbua

  • @MaryKilomo
    @MaryKilomo Před 14 dny

    Mbarikiwa kwahili nimekuunga mkono kwaaasilimia 100 wewe umeirwAwakweli hawapo wapi wasengenyaji kwa ukweli huiu barikiwakama jina lako

  • @user-kb8wv6kg8g
    @user-kb8wv6kg8g Před 16 dny

    Angalieni mnapoongea siyo vema je angepaka watu matope kwenye macho kama Bwana Yesu ungesemaje? Mungu njia zake hazitafutikani tumia neema uliopewa saidia watu na sio kuharibu kazi ya Mungu utajibu huko wendako

  • @mwitasamwelpaul9621
    @mwitasamwelpaul9621 Před 13 dny +1

    Unaongea ujinga hujui unachokiongea hata unaowaombea hamna akili wote mwenye hekima hukaa kimya mwamposa mbona hajawahi kumuongea mtu fanya kazi acha ujinga

  • @wilsonm.7376
    @wilsonm.7376 Před 16 dny

    Ni wivu tu...
    Mwamposa anamhubiri YESU MPONYAJI NA MTENDA MIUJIZA, na watu wengi wanaponywa sio rahisi watu wajae vile bila majibu, na wewe endelea kutukana na kujiona mtakatifu ACHANA na mtumishi mwamposa...

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 Před 17 dny

    Yaani uñgekuwa utukani watu ulikuwa mbonge la mtumishi napenda nyimbo mnyakyusa mwenzangu

  • @SmilingArcade-xj7zg
    @SmilingArcade-xj7zg Před 19 dny

    Mtumishi sema ukweli wala usisikilize maneno yawatu watakavyo kuwa wanaongea wewe tangaza neno la mungu, mungu atusaidie sana 🙏

  • @PastorTimotheoUkombozi

    Wewe ni mpinga Kristo waziwazi tunakujua hila hatuna mda wa kusema wewe na kasiani ni wapinga Kristo tunawajua sana