Tanzania tuna bahati sana kuona hata wazee wetu wa kidini wanasimama kwenye nafasi zao kukikanya kizazi hiki kilicholiacha neno na kukimbilia maji na mafuta. Tamaa za pesa kwa watumishi zimepoteza kizazi hiki. Na Mungu anawaangalia tu, sio kwamba aoni. Rudini kundini tulisome neno jamani . Asante baba Mchungaji kwa kutuchapa kibokoo cha pilipili. Yesu tusaidie sana uzao huu
Kumtumikia Mungu ni ngumu sana,watu hawaelewi ya kwamba Mungu anatumia watumishi kwa njia tofauti,bado nashindwa mbona wakristu wanapingana kwa huduma yao,mimi napenda maubiri yako mtumishi wa Mungu na pia napenda saaana maubiri ya Pr.Ezekiel na mafundizo yake,shida ni hakuna mwenye anajua jinzi Mungu anatumia watumishi wake,napenda Mungu wangu zaidi na zaidi ni Yeye tu ndiyo mwanzo tena mwisho.Amen.
Mchungaji yupo sawa kabisa wala hapingi Bali anatoa fundisho zuri Sana kupaka majibu ni ishara ya Toba na kumrudia MUNGU maana sisi Kama wanadam kunamuda tunajisau Sana na kwarezima inatukumbusha kutubu na kumrudia MUNGU na pia amefafanua vzr kabisa hata ukipaka majibu uso mzima bila Toba nisawa na Bure Mimi nimkatoliki lakini namwelewa vzr sana
Sio ngumu ila watu walikuzunguka ndo watakufanya uone kumtumikia Mungu ni ngumu. Angalia kutenda ya aliyekutuma sio hao walioko njiani kukuvunja moyo. Hata yeye alikutana na upepo njiani alichukua hatua ya kuukemea ila wengine waliona safari imefika mwisho
Mungu ni Roho nao wanaomwabudu wata mwabukatika roho nakweli.yeyeniyuleyule jana leo hata milele hakuna zamani hataleo anafanya.wanaokufutilia mzee kuku hoji uwemacho sana nao
Watu wa dini /mafarisayo Yesu Kristo aisema hao ndio kikwazo kikuu - wao ni mashahidi wa adui! Kazi yao kuhukumu na kulewa ufahamu potofu kuwa wao ndio wawakilishi wa Mungu!
ASANTE MTUMISHI wa Mungu umenena sawasawa na maandiko matakatifu. Turudi kwenye maandiko, tuishi kwenye toba ya kweli na ufuasi ucha Mungu mbingu tutazifika na kupaishi. Eee Mungu NISAIDIE nitoke kwenye mavumbi ya mauongo ya watumishi HEWA
Surely pastor wanapigana wenyewe kila mtu si haede pande zake alishe watu neno mnapigania nini na sehemu za kulusha kondoo ni kubwa sana kila pastor na kipawa chake na vipawa ni tofauti na mwenye kupeana ni rohoo mtakatifu tu
Tatizo la hawa wachungaji ni wivu na kutoamini Huduma zinatofautiana Msingi mkubwa kabisa ni NENO LA MUNGU lakini neno hilo haliwezi kubaki pasipo matokeo. Neno hubadilisha hali na kuwa kitu. Na imani za watu hutofautiana watumishi wa Mungu wote hamuwezi kuwa mikono. Kuna mwingine atakuwa mikono mwingine masikio mwingine jicho ila Roho ni yule yule.
Ni kweli Mchungaji Hananja, 27:17 kinacholeta tofauti na ugomvi kati yetu Madhehebu ya Kikristo ni theolojia yetu tuliyojitengenezea wenyewe, lakini NENO ni MSINGI wetu usio yumba!
Subiri kidogo. Umesema Mungu anaongea kupitia neno tu. Sasa huyo Mungu aliekupa ufunuo kutumia maji aliongea nawewe kwenye biblia pia au alivunja miiko yake akatumia njia nyingine?. Kama alitumia andiko tunaomba utuoneshe hiyo andiko lililoandikwa hananja tumia maji sasa
Mchungaji umekiri kabisa kuwa Mungu alikuambia utumie maji ili yule binti apone, na akapona. Lakini mbona humkubali yule aliyesema alizungumza na Mungu
Hivi vitu vimewekwa kimsaidia tu mtu kuishi,, vizuri na hata walio weka hawaja sema ni biblia imesema,, ndoa hazija ruhisiwa si kwamba ni dhambi au haiwezekani kabisa kufanya hicho , nikwasababu ndoa nyingi zina ambatana na sherehe,, na ni kwaresma kipindi cha toba,, ndio maana ukawepo utaratibu wa kuto funga ndoa,, ila haimaanishi watu wakifunga ndoa kwaresma ni dhambi,, lakini kitu najua Mungu huheshimu makubaliano kama yanatusaidia kumkaribia yeye zaidi, na trust me, kipindi cha kwa resma ni kipindi cha baraka mnomno mno kina Neema nyingi nyingi nyingi
Nchi yetu inahitaji watu walio wazi na wanaozindua umma kama huyu mch. Hananja! Naamini mijadala yake inasaidia kuwaanika wale wanaotumia mahuburi ya dini kupumbaza watu na kuwatia woga ili wawape pesa. Wasiopenda ayasemayo Hananja (na hapa nimewasoma) ni wale wanaotafuta kunufaika kupitia sadaka, ni wachungia tumbo! Huwezi ukasema "waache wachungaji waeneze neno" wakati tunajua wayafanyayo hao ni ulaghai, utapeli mtupu; na tafsiri yao ya biblia imejaa upotoshaji na/au uongo kabisa!! Huwezi kudai waachwe kwani taifa linaharibika pale watu wanapopumbazika.
Pekee haya inakubidi kuyatafuta uyajue sana kila siku tujifuze kristo kila itwapo leo sisi wakristo tuna tubu nakurudia dhambi tena mungu atusaidie sana
Najua wewe pastory unafata maandiko ndo maana wengi hawakutaki kumbuka nyakati za sodoma alipona lutu na familia yake wengi waliangamia sema ukweli watao pokea kweli wataokoka usikubali kushawishiwa na maajenti wa,,,neno lipo wazi mngu akupe ujasili upigane vita vilivo safi amina
Swali uwa moja,ukifika kwa kanisa la ezekiel utashagaa tuu,ile mijego iko pale ya mabillioni ya pesa,yale magari na ma bus yako pale ya mamillion,aaya anatoa misaada ya pesa nyigi sana kwa watu sasa swali uwa moja,,ao washirika kwan utoa sadaka nyigi aje io imefanya mambo mengi ivo,,,apo kuna kisugumkuti
Rafiki asifiwe Yesu sadaka kwa pasta ezekiel ni nyingi sana kwa maana kanisa tu lake ni ekari sita na watu huja mataifa mbalimbali kupokea uponyaji na nyota kwaiyo utajiri lazima awe nao tu Mimi nachoona watumishi wa Mungu Kila mtu na maono yake hivo wasichukiane huyu hawezi kuwa kama huyu yani wakisemana wanawachanganya waumini lakini kwanini mtumishi umrekebishe mwenzio? Kwanini usiwahubirie watu wewe bila mifano ya mwenzio? Na huu ni udini mtu akiponya anatumia pepo wanapingana wenyewe kwa wenyewe lakin Kila mtu hawez kuwa kama wewe lakin pia achukue mda wa kumfatilia ezekiel na ibada zake mafundisho haswa
Lkn bado tunarudi kwenye neno yesu alipo imaliza Kazi ya kumukoa mwanadam akasema kwa jina langu mtapooza wagonjwa na nasio kwa malighifi mtaponya wagonjwa
Hakuna Kila mtu na huduma yake, hizo nyota watu wanazipokea sio ukweli wachawi wanapeana nyota na wahubiri pia wanapeana nyota pls nakubaliana na mtumishi huyo wa tazania yuko sawa
Wisdom Is Greater Than Knowledge thank you so much Pastor for this great teaching 🙏🙏🙏🙏
Ameen, mtumishi, unasimama na neno hasa, Blessed my pastor
Ubarikiwa sana ndugu David boyi kutoka kenya turudi katika neno sio mihemko na sarakasi hizi zote lo!
Tanzania tuna bahati sana kuona hata wazee wetu wa kidini wanasimama kwenye nafasi zao kukikanya kizazi
hiki kilicholiacha neno na kukimbilia maji na mafuta. Tamaa za pesa kwa watumishi zimepoteza kizazi hiki. Na Mungu anawaangalia tu, sio kwamba aoni. Rudini kundini tulisome neno jamani .
Asante baba Mchungaji kwa kutuchapa kibokoo cha pilipili.
Yesu tusaidie sana uzao huu
Mungu akuweke kwa utumishi wake, Ur the multipurpose servant of God❤
Kweli hata kama watu watakupinga na kukukata mimi nimekuelewa kweli hupo vzr zaidi ya sana keep up my pastor
Asante baba kunifungua akili,damu ya Yesu na toba tosha.
Kumtumikia Mungu ni ngumu sana,watu hawaelewi ya kwamba Mungu anatumia watumishi kwa njia tofauti,bado nashindwa mbona wakristu wanapingana kwa huduma yao,mimi napenda maubiri yako mtumishi wa Mungu na pia napenda saaana maubiri ya Pr.Ezekiel na mafundizo yake,shida ni hakuna mwenye anajua jinzi Mungu anatumia watumishi wake,napenda Mungu wangu zaidi na zaidi ni Yeye tu ndiyo mwanzo tena mwisho.Amen.
HANANJA YUKO KIINJILI ZAIDI.YEYE HUPINGA MAMBO YA KIBINAFSI KULETWA KWA DINI.HAPO NDIPO NINAPOKUELEWA.
Mchungaji yupo sawa kabisa wala hapingi Bali anatoa fundisho zuri Sana kupaka majibu ni ishara ya Toba na kumrudia MUNGU maana sisi Kama wanadam kunamuda tunajisau Sana na kwarezima inatukumbusha kutubu na kumrudia MUNGU na pia amefafanua vzr kabisa hata ukipaka majibu uso mzima bila Toba nisawa na Bure Mimi nimkatoliki lakini namwelewa vzr sana
Sio ngumu ila watu walikuzunguka ndo watakufanya uone kumtumikia Mungu ni ngumu.
Angalia kutenda ya aliyekutuma sio hao walioko njiani kukuvunja moyo.
Hata yeye alikutana na upepo njiani alichukua hatua ya kuukemea ila wengine waliona safari imefika mwisho
Ubarikiwe Rich ,wewe unaijua dini vizuri
God bless you so much mchungaji Hananja. You are rightly dividing the word
Asante sana muzee wetu pastor Hananja, karibu tena hapa kwetu USA 🇺🇸, from Cedar Rapids Iowa state USA.
Yesu ndio mwazilishi wa miujiza
Ubarikiwe sana BABA unatulea wengi kimaadili na kibiblia
Ubalikiwe mtumishi wa MUNGU
Mtumishi WA Mungu, babangu ubarikiwe Mino. Kutsoka Kenya MSA,
Mwenyezi Mungu azidi kukufunulia ubarikiwe.
Wachungaji wote wangekuwa kama wewe dunia igekuwa sehem sahihi ya kuishi unaubiri vzr sana baba yangu unamaliza mwendo wako vzr sana
Mungu akubariki kwa kazi nzuri mchungaji ❤❤❤
Nimekuelewa sana Mungu akubariki
Big up sir. Do the work of God.
Shukran mchungaji Roho wa Mungu azidi kukupa mafunuo ya neno lake uzidi kutufundisha hasa sisi wakenya ili tuwache sarakasi nyingi makanisani.
Mungu akubariki sana
Amina imani kwa Munguwetu tu
Asante sana🙏🙏🙏🙏
Kwenye kufunga Jeremiah36:8Mchungaji
Wah baba mungu na akutumie zaidi.mimi n mama Everlyne kutoka kenya. Una roho wa mungu 😮
Eti Roho ang'oa 🙄🤔🙄🤔
Ubarikiwe
Mungu ni Roho nao wanaomwabudu wata mwabukatika roho nakweli.yeyeniyuleyule jana leo hata milele hakuna zamani hataleo anafanya.wanaokufutilia mzee kuku hoji uwemacho sana nao
❤paster napenda ukweli yako mimi ni Stephen kutoka Kenya
Lakini watu huchukuliwa mchungaji,,wakaonyeshwa mambo na mungu hapo sikubaliani na wewe ,, mambo ya mungu hayachunguziki .
Amina,neno mbele ya yote.
God bless you
Amina
Watu wa dini /mafarisayo Yesu Kristo aisema hao ndio kikwazo kikuu - wao ni mashahidi wa adui! Kazi yao kuhukumu na kulewa ufahamu potofu kuwa wao ndio wawakilishi wa Mungu!
Ameen
ASANTE MTUMISHI wa Mungu umenena sawasawa na maandiko matakatifu. Turudi kwenye maandiko, tuishi kwenye toba ya kweli na ufuasi ucha Mungu mbingu tutazifika na kupaishi. Eee Mungu NISAIDIE nitoke kwenye mavumbi ya mauongo ya watumishi HEWA
Ukweli unauma sana baba tema Nondo nazipenda sana
ukweli kabisa
Surely pastor wanapigana wenyewe kila mtu si haede pande zake alishe watu neno mnapigania nini na sehemu za kulusha kondoo ni kubwa sana kila pastor na kipawa chake na vipawa ni tofauti na mwenye kupeana ni rohoo mtakatifu tu
Sawa
Tatizo la hawa wachungaji ni wivu na kutoamini
Huduma zinatofautiana
Msingi mkubwa kabisa ni NENO LA MUNGU lakini neno hilo haliwezi kubaki pasipo matokeo.
Neno hubadilisha hali na kuwa kitu.
Na imani za watu hutofautiana watumishi wa Mungu wote hamuwezi kuwa mikono.
Kuna mwingine atakuwa mikono mwingine masikio mwingine jicho ila Roho ni yule yule.
Amen..mafunzo mazuri
MUNGU akuongoze zaidi na zaidi.
Amen
Umesema kwel baba
Ni kweli Mchungaji Hananja, 27:17 kinacholeta tofauti na ugomvi kati yetu Madhehebu ya Kikristo ni theolojia yetu tuliyojitengenezea wenyewe, lakini NENO ni MSINGI wetu usio yumba!
🙏
🙏🙏🙏
Ukweli huo iendelee.Christina ana TAMAA
Kutoka msa🎉
Imani yoyote in miongozo yake
Sana to Baba uzidi kuinuliwa
Subiri kidogo. Umesema Mungu anaongea kupitia neno tu. Sasa huyo Mungu aliekupa ufunuo kutumia maji aliongea nawewe kwenye biblia pia au alivunja miiko yake akatumia njia nyingine?. Kama alitumia andiko tunaomba utuoneshe hiyo andiko lililoandikwa hananja tumia maji sasa
55:59
Tunakitaji Kenya pia
Rita Ukweli kabisa umesema pastor
Wali kole Aruna koresma koresma ni kwa wakatoliki
Pastor uko viziri unatoa ukweli simple
Mchungaji umekiri kabisa kuwa Mungu alikuambia utumie maji ili yule binti apone, na akapona.
Lakini mbona humkubali yule aliyesema alizungumza na Mungu
Unasema ukweli mutumishi
KILA MTUMISHI NA HUDUMA YAKE ...PIA WAGANGA NI WATUMISHI
ASANTE MCHUNGAJI KWA maelezo makamilifu
Hivi vitu vimewekwa kimsaidia tu mtu kuishi,, vizuri na hata walio weka hawaja sema ni biblia imesema,, ndoa hazija ruhisiwa si kwamba ni dhambi au haiwezekani kabisa kufanya hicho , nikwasababu ndoa nyingi zina ambatana na sherehe,, na ni kwaresma kipindi cha toba,, ndio maana ukawepo utaratibu wa kuto funga ndoa,, ila haimaanishi watu wakifunga ndoa kwaresma ni dhambi,, lakini kitu najua Mungu huheshimu makubaliano kama yanatusaidia kumkaribia yeye zaidi, na trust me, kipindi cha kwa resma ni kipindi cha baraka mnomno mno kina Neema nyingi nyingi nyingi
Huyu mchungaji hakuna mtumishi hakosi kupinga kila pastor anakasoro kwake
Watumishi ambao awana vipawa vya kuwafungua watu wanapenda sana kukataa miujiza
Kweli kila mtu na mwito wake
Mchungaji mwenye saikrojia
Nchi yetu inahitaji watu walio wazi na wanaozindua umma kama huyu mch. Hananja! Naamini mijadala yake inasaidia kuwaanika wale wanaotumia mahuburi ya dini kupumbaza watu na kuwatia woga ili wawape pesa. Wasiopenda ayasemayo Hananja (na hapa nimewasoma) ni wale wanaotafuta kunufaika kupitia sadaka, ni wachungia tumbo! Huwezi ukasema "waache wachungaji waeneze neno" wakati tunajua wayafanyayo hao ni ulaghai, utapeli mtupu; na tafsiri yao ya biblia imejaa upotoshaji na/au uongo kabisa!! Huwezi kudai waachwe kwani taifa linaharibika pale watu wanapopumbazika.
Natangaza rasmi tangu sasa na hata milele nitakuwa upande wako.
Eti anapiga madafu na chakula mpk analala chali eti kafunga na Chakula wapelekee wahitaji . Kweli uwokovu ni safari 🙏🏾🙏🏾
Hahaaaa
Mchungaji nilihitaji ushauri wako napataje namba zako?mm koleta
Usipige wachungachi wezako
kwa ndoto
Vyama vya upinzani vina furaha na vicheko?
Jameni tuwe na nidhamu kwa kuongea dhidi ya mchungaji huyu ,sababu mwajiletea laana tu juu yenu .yeye huongelea point za hali yajuu kulingana na neno
Mafuta Bila kununuliwa yatatoka wapi
Mchungaji mm unanichanganya TOBA na KUTUBIA mnamanisha nini ?? Na vip kifo cha YESU kimesaidia nini ?? Naomba wasomi wa bibilia waniweke sawa ..!!
Pekee haya inakubidi kuyatafuta uyajue sana kila siku tujifuze kristo kila itwapo leo sisi wakristo tuna tubu nakurudia dhambi tena mungu atusaidie sana
Toba ni kitendo,kuhutubia ni kielelezo
Huyu mzee ameanza kuishiwa maneno. Yupo dry siku hizi
Me nlikula nyama Sana siku hiyo
Ukiisoma INJILI KWA UHAKIKA WAKE HUWEZI KUBURUZWA KIJINGA JINGA.KULA NYAMA.GONGA SUPU AISEE
😂
Najua wewe pastory unafata maandiko ndo maana wengi hawakutaki kumbuka nyakati za sodoma alipona lutu na familia yake wengi waliangamia sema ukweli watao pokea kweli wataokoka usikubali kushawishiwa na maajenti wa,,,neno lipo wazi mngu akupe ujasili upigane vita vilivo safi amina
Ni kweli pastor
Kwel mtuish
Wewe hukosagi la kusema....
Lakuuma e? Usijali na usimchukie ju apedwa na wengi ju anaogeaga ule ukweli,,,usiumwe saana
@@JacksonMutinda-jw5qw bro.,,,huyu mzee Hananja anazeeka vibaya....
Swali uwa moja,ukifika kwa kanisa la ezekiel utashagaa tuu,ile mijego iko pale ya mabillioni ya pesa,yale magari na ma bus yako pale ya mamillion,aaya anatoa misaada ya pesa nyigi sana kwa watu sasa swali uwa moja,,ao washirika kwan utoa sadaka nyigi aje io imefanya mambo mengi ivo,,,apo kuna kisugumkuti
Rafiki asifiwe Yesu sadaka kwa pasta ezekiel ni nyingi sana kwa maana kanisa tu lake ni ekari sita na watu huja mataifa mbalimbali kupokea uponyaji na nyota kwaiyo utajiri lazima awe nao tu Mimi nachoona watumishi wa Mungu Kila mtu na maono yake hivo wasichukiane huyu hawezi kuwa kama huyu yani wakisemana wanawachanganya waumini lakini kwanini mtumishi umrekebishe mwenzio? Kwanini usiwahubirie watu wewe bila mifano ya mwenzio? Na huu ni udini mtu akiponya anatumia pepo wanapingana wenyewe kwa wenyewe lakin Kila mtu hawez kuwa kama wewe lakin pia achukue mda wa kumfatilia ezekiel na ibada zake mafundisho haswa
ACHA USHOGA WAKO WEWE MZEE...JIFUNZE KUNYAMANZA PLZ
Acha makasiliko ndolozkathele maisha yako magumu usije umu kuleta umu makasiliko
Pepo mbaya wewe,shdwa na mbagi zako na uko,,,,auna lolote wewe
Huyu mzee wenu anazeeeka vibaya......aaachane na ezekiel period
@@YohanaKagambo 🤣🤣🤣🤣 hananja ni mjinga kabisa
Mmh bora ungenyamaza hata kama unaona hayuko sawa,anayekukumu ni Mungu peke yake
Hakika mchungaji umesema ukweli mtupu,, maana wengi wamepotea sana tena sema utaokoa wengi
Hivi wewe unapinga mungu hawezi mchukua mtu akamuonyesha anacho taka kumuambia hapo umefeli
Lkn bado tunarudi kwenye neno yesu alipo imaliza Kazi ya kumukoa mwanadam akasema kwa jina langu mtapooza wagonjwa na nasio kwa malighifi mtaponya wagonjwa
😢 eti unaanzaje kutukana wakati umeokoka😢😢
Lizee kama hili liende lilale tu kabirini,,,good night empty vesle
Shdwa Pepo mbaya la Cain wewe,maogezi yko ya mtu kalaaniwa ata mbinguni,kiburi na auna lolote,achana na mchugaji wetu ukavute bangi zako na uko
Utapumzika kaburini mbele yke,maombi yakiishetani ayo
Shida ni kwamba mtu hapo amezungumza facts wewe uleta maneno Maneno kumuelewa huyu mzee inahitaji akili ya kiMungu sio kibinadamu
Ukalale wee nguruwe
Eti mtu anasafiri anapita mikoa zaidi ya tano kweda ad kwa kanisa fulani uku amepita ma mia ya kanisa,,,,kuna jambo uwa silielewi
Hakuna Kila mtu na huduma yake, hizo nyota watu wanazipokea sio ukweli wachawi wanapeana nyota na wahubiri pia wanapeana nyota pls nakubaliana na mtumishi huyo wa tazania yuko sawa
Amina
Amen