PASTOR EZEKIEL MIUJIZA YAKE YAMFIKIA MCHUNGAJI HANANJA ACHUKIZWA NA WAKRISTO KUFANYIWA KUFURU

Sdílet
Vložit

Komentáře • 116

  • @jabalimikechi7750
    @jabalimikechi7750 Před 2 měsíci +1

    Wisdom Is Greater Than Knowledge thank you so much Pastor for this great teaching 🙏🙏🙏🙏

  • @pilisamtyani9445
    @pilisamtyani9445 Před 2 měsíci +1

    Ameen, mtumishi, unasimama na neno hasa, Blessed my pastor

  • @davidosaune
    @davidosaune Před měsícem

    Ubarikiwa sana ndugu David boyi kutoka kenya turudi katika neno sio mihemko na sarakasi hizi zote lo!

  • @jesusdeliveranceclinicinte347
    @jesusdeliveranceclinicinte347 Před 2 měsíci +3

    Tanzania tuna bahati sana kuona hata wazee wetu wa kidini wanasimama kwenye nafasi zao kukikanya kizazi
    hiki kilicholiacha neno na kukimbilia maji na mafuta. Tamaa za pesa kwa watumishi zimepoteza kizazi hiki. Na Mungu anawaangalia tu, sio kwamba aoni. Rudini kundini tulisome neno jamani .
    Asante baba Mchungaji kwa kutuchapa kibokoo cha pilipili.
    Yesu tusaidie sana uzao huu

  • @pilisamtyani9445
    @pilisamtyani9445 Před 2 měsíci

    Mungu akuweke kwa utumishi wake, Ur the multipurpose servant of God❤

  • @mosespeter5618
    @mosespeter5618 Před 2 měsíci +1

    Kweli hata kama watu watakupinga na kukukata mimi nimekuelewa kweli hupo vzr zaidi ya sana keep up my pastor

  • @lilianowti5477
    @lilianowti5477 Před 2 měsíci +2

    Asante baba kunifungua akili,damu ya Yesu na toba tosha.

  • @bettybetty387
    @bettybetty387 Před 2 měsíci +7

    Kumtumikia Mungu ni ngumu sana,watu hawaelewi ya kwamba Mungu anatumia watumishi kwa njia tofauti,bado nashindwa mbona wakristu wanapingana kwa huduma yao,mimi napenda maubiri yako mtumishi wa Mungu na pia napenda saaana maubiri ya Pr.Ezekiel na mafundizo yake,shida ni hakuna mwenye anajua jinzi Mungu anatumia watumishi wake,napenda Mungu wangu zaidi na zaidi ni Yeye tu ndiyo mwanzo tena mwisho.Amen.

    • @abdulhakeem959
      @abdulhakeem959 Před 2 měsíci +1

      HANANJA YUKO KIINJILI ZAIDI.YEYE HUPINGA MAMBO YA KIBINAFSI KULETWA KWA DINI.HAPO NDIPO NINAPOKUELEWA.

    • @ChristinaKayela
      @ChristinaKayela Před 2 měsíci

      Mchungaji yupo sawa kabisa wala hapingi Bali anatoa fundisho zuri Sana kupaka majibu ni ishara ya Toba na kumrudia MUNGU maana sisi Kama wanadam kunamuda tunajisau Sana na kwarezima inatukumbusha kutubu na kumrudia MUNGU na pia amefafanua vzr kabisa hata ukipaka majibu uso mzima bila Toba nisawa na Bure Mimi nimkatoliki lakini namwelewa vzr sana

    • @BenjaminKabebo
      @BenjaminKabebo Před 2 měsíci

      Sio ngumu ila watu walikuzunguka ndo watakufanya uone kumtumikia Mungu ni ngumu.
      Angalia kutenda ya aliyekutuma sio hao walioko njiani kukuvunja moyo.
      Hata yeye alikutana na upepo njiani alichukua hatua ya kuukemea ila wengine waliona safari imefika mwisho

    • @josephakondowe3645
      @josephakondowe3645 Před 2 měsíci

      Ubarikiwe Rich ,wewe unaijua dini vizuri

  • @user-hl9ee2ve4s
    @user-hl9ee2ve4s Před měsícem

    God bless you so much mchungaji Hananja. You are rightly dividing the word

  • @Byondorujulika17
    @Byondorujulika17 Před 2 měsíci +1

    Asante sana muzee wetu pastor Hananja, karibu tena hapa kwetu USA 🇺🇸, from Cedar Rapids Iowa state USA.

  • @papembithe503
    @papembithe503 Před 2 měsíci +2

    Yesu ndio mwazilishi wa miujiza

  • @gabriellyadam9415
    @gabriellyadam9415 Před 2 měsíci +2

    Ubarikiwe sana BABA unatulea wengi kimaadili na kibiblia

  • @user-ly2px8lb5o
    @user-ly2px8lb5o Před 2 měsíci +2

    Ubalikiwe mtumishi wa MUNGU

  • @risperrehema5842
    @risperrehema5842 Před měsícem

    Mtumishi WA Mungu, babangu ubarikiwe Mino. Kutsoka Kenya MSA,

  • @michaelmushy4463
    @michaelmushy4463 Před měsícem

    Mwenyezi Mungu azidi kukufunulia ubarikiwe.

  • @OnesmoKway-mk7zt
    @OnesmoKway-mk7zt Před 2 měsíci +2

    Wachungaji wote wangekuwa kama wewe dunia igekuwa sehem sahihi ya kuishi unaubiri vzr sana baba yangu unamaliza mwendo wako vzr sana

  • @user-rt6fh1wf3t
    @user-rt6fh1wf3t Před měsícem

    Mungu akubariki kwa kazi nzuri mchungaji ❤❤❤

  • @furahalazaro6901
    @furahalazaro6901 Před 2 měsíci +1

    Nimekuelewa sana Mungu akubariki

  • @abilityemmanuel5704
    @abilityemmanuel5704 Před 2 měsíci

    Big up sir. Do the work of God.

  • @aminamsafari2407
    @aminamsafari2407 Před 2 měsíci

    Shukran mchungaji Roho wa Mungu azidi kukupa mafunuo ya neno lake uzidi kutufundisha hasa sisi wakenya ili tuwache sarakasi nyingi makanisani.

  • @neemasonje1620
    @neemasonje1620 Před měsícem

    Mungu akubariki sana

  • @Byerakahungya
    @Byerakahungya Před 2 měsíci

    Amina imani kwa Munguwetu tu

  • @isaacktweve3773
    @isaacktweve3773 Před 2 měsíci

    Asante sana🙏🙏🙏🙏

  • @husha6372
    @husha6372 Před měsícem

    Kwenye kufunga Jeremiah36:8Mchungaji

  • @EverlyneKadenyi
    @EverlyneKadenyi Před 2 měsíci

    Wah baba mungu na akutumie zaidi.mimi n mama Everlyne kutoka kenya. Una roho wa mungu 😮

    • @ApynesNzisa
      @ApynesNzisa Před měsícem

      Eti Roho ang'oa 🙄🤔🙄🤔

  • @UpendoHosea
    @UpendoHosea Před 2 měsíci

    Ubarikiwe

  • @uziasinkamba7380
    @uziasinkamba7380 Před 2 měsíci +1

    Mungu ni Roho nao wanaomwabudu wata mwabukatika roho nakweli.yeyeniyuleyule jana leo hata milele hakuna zamani hataleo anafanya.wanaokufutilia mzee kuku hoji uwemacho sana nao

  • @stephenodhiambo774
    @stephenodhiambo774 Před 2 měsíci

    ❤paster napenda ukweli yako mimi ni Stephen kutoka Kenya

  • @Mwasame_Official1
    @Mwasame_Official1 Před 2 měsíci +1

    Lakini watu huchukuliwa mchungaji,,wakaonyeshwa mambo na mungu hapo sikubaliani na wewe ,, mambo ya mungu hayachunguziki .

  • @MaggieG276
    @MaggieG276 Před 2 měsíci

    Amina,neno mbele ya yote.

  • @dorcaswekesa3300
    @dorcaswekesa3300 Před 2 měsíci

    God bless you

  • @happykisarika1337
    @happykisarika1337 Před 2 měsíci +1

    Amina

  • @richardrugemalira6934
    @richardrugemalira6934 Před měsícem

    Watu wa dini /mafarisayo Yesu Kristo aisema hao ndio kikwazo kikuu - wao ni mashahidi wa adui! Kazi yao kuhukumu na kulewa ufahamu potofu kuwa wao ndio wawakilishi wa Mungu!

  • @gradwellmwanja
    @gradwellmwanja Před 2 měsíci +1

    Ameen

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 Před 2 měsíci

    ASANTE MTUMISHI wa Mungu umenena sawasawa na maandiko matakatifu. Turudi kwenye maandiko, tuishi kwenye toba ya kweli na ufuasi ucha Mungu mbingu tutazifika na kupaishi. Eee Mungu NISAIDIE nitoke kwenye mavumbi ya mauongo ya watumishi HEWA

  • @ASALABOY
    @ASALABOY Před 2 měsíci

    Ukweli unauma sana baba tema Nondo nazipenda sana

  • @user-zc2ms4wl6r
    @user-zc2ms4wl6r Před měsícem

    ukweli kabisa

  • @kaninimuindi6470
    @kaninimuindi6470 Před 2 měsíci

    Surely pastor wanapigana wenyewe kila mtu si haede pande zake alishe watu neno mnapigania nini na sehemu za kulusha kondoo ni kubwa sana kila pastor na kipawa chake na vipawa ni tofauti na mwenye kupeana ni rohoo mtakatifu tu

  • @Bmcrystal69
    @Bmcrystal69 Před 19 dny

    Sawa

  • @BenjaminKabebo
    @BenjaminKabebo Před 2 měsíci

    Tatizo la hawa wachungaji ni wivu na kutoamini
    Huduma zinatofautiana
    Msingi mkubwa kabisa ni NENO LA MUNGU lakini neno hilo haliwezi kubaki pasipo matokeo.
    Neno hubadilisha hali na kuwa kitu.
    Na imani za watu hutofautiana watumishi wa Mungu wote hamuwezi kuwa mikono.
    Kuna mwingine atakuwa mikono mwingine masikio mwingine jicho ila Roho ni yule yule.

  • @pastorfredimbali
    @pastorfredimbali Před 2 měsíci

    Amen..mafunzo mazuri

  • @emmanuelthomas4967
    @emmanuelthomas4967 Před 2 měsíci

    MUNGU akuongoze zaidi na zaidi.

  • @dorcaswekesa3300
    @dorcaswekesa3300 Před 2 měsíci

    Amen

  • @stevenandrea7847
    @stevenandrea7847 Před 2 měsíci

    Umesema kwel baba

  • @isayatippe6409
    @isayatippe6409 Před 2 měsíci

    Ni kweli Mchungaji Hananja, 27:17 kinacholeta tofauti na ugomvi kati yetu Madhehebu ya Kikristo ni theolojia yetu tuliyojitengenezea wenyewe, lakini NENO ni MSINGI wetu usio yumba!

  • @nuruupinga2743
    @nuruupinga2743 Před 2 měsíci

    🙏

  • @dorcaswekesa3300
    @dorcaswekesa3300 Před 2 měsíci

    🙏🙏🙏

  • @millanolotu2839
    @millanolotu2839 Před měsícem

    Ukweli huo iendelee.Christina ana TAMAA

  • @risperrehema5842
    @risperrehema5842 Před měsícem

    Kutoka msa🎉

  • @christophermlelwa6295
    @christophermlelwa6295 Před 2 měsíci

    Imani yoyote in miongozo yake

  • @maryamsuleiman1509
    @maryamsuleiman1509 Před 2 měsíci

    Sana to Baba uzidi kuinuliwa

  • @ElihrJones
    @ElihrJones Před 2 měsíci

    Subiri kidogo. Umesema Mungu anaongea kupitia neno tu. Sasa huyo Mungu aliekupa ufunuo kutumia maji aliongea nawewe kwenye biblia pia au alivunja miiko yake akatumia njia nyingine?. Kama alitumia andiko tunaomba utuoneshe hiyo andiko lililoandikwa hananja tumia maji sasa

  • @bernardngomano6215
    @bernardngomano6215 Před 2 měsíci

    55:59

  • @everlynkwamboka8101
    @everlynkwamboka8101 Před měsícem

    Tunakitaji Kenya pia

  • @AaAa-zo3yj
    @AaAa-zo3yj Před 2 měsíci

    Rita Ukweli kabisa umesema pastor

  • @Reginajohnson19884
    @Reginajohnson19884 Před 2 měsíci +1

    Wali kole Aruna koresma koresma ni kwa wakatoliki

  • @tumainipeter458
    @tumainipeter458 Před 2 měsíci +1

    Pastor uko viziri unatoa ukweli simple

  • @isayatippe6409
    @isayatippe6409 Před 2 měsíci

    Mchungaji umekiri kabisa kuwa Mungu alikuambia utumie maji ili yule binti apone, na akapona.
    Lakini mbona humkubali yule aliyesema alizungumza na Mungu

  • @estermuthoni5034
    @estermuthoni5034 Před 2 měsíci

    Unasema ukweli mutumishi

  • @anns.s8760
    @anns.s8760 Před 2 měsíci

    KILA MTUMISHI NA HUDUMA YAKE ...PIA WAGANGA NI WATUMISHI

  • @elibarikikweka5712
    @elibarikikweka5712 Před 2 měsíci

    ASANTE MCHUNGAJI KWA maelezo makamilifu

  • @fortunataangelo5575
    @fortunataangelo5575 Před 2 měsíci

    Hivi vitu vimewekwa kimsaidia tu mtu kuishi,, vizuri na hata walio weka hawaja sema ni biblia imesema,, ndoa hazija ruhisiwa si kwamba ni dhambi au haiwezekani kabisa kufanya hicho , nikwasababu ndoa nyingi zina ambatana na sherehe,, na ni kwaresma kipindi cha toba,, ndio maana ukawepo utaratibu wa kuto funga ndoa,, ila haimaanishi watu wakifunga ndoa kwaresma ni dhambi,, lakini kitu najua Mungu huheshimu makubaliano kama yanatusaidia kumkaribia yeye zaidi, na trust me, kipindi cha kwa resma ni kipindi cha baraka mnomno mno kina Neema nyingi nyingi nyingi

  • @janetkemmy1579
    @janetkemmy1579 Před 2 měsíci

    Huyu mchungaji hakuna mtumishi hakosi kupinga kila pastor anakasoro kwake

  • @ngowibeatrice1701
    @ngowibeatrice1701 Před 2 měsíci +1

    Watumishi ambao awana vipawa vya kuwafungua watu wanapenda sana kukataa miujiza

  • @Reginajohnson19884
    @Reginajohnson19884 Před 2 měsíci

    Kweli kila mtu na mwito wake

  • @RwegoshoraPatt-os2ik
    @RwegoshoraPatt-os2ik Před 2 měsíci

    Mchungaji mwenye saikrojia

  • @adenmwakalobo760
    @adenmwakalobo760 Před 2 měsíci

    Nchi yetu inahitaji watu walio wazi na wanaozindua umma kama huyu mch. Hananja! Naamini mijadala yake inasaidia kuwaanika wale wanaotumia mahuburi ya dini kupumbaza watu na kuwatia woga ili wawape pesa. Wasiopenda ayasemayo Hananja (na hapa nimewasoma) ni wale wanaotafuta kunufaika kupitia sadaka, ni wachungia tumbo! Huwezi ukasema "waache wachungaji waeneze neno" wakati tunajua wayafanyayo hao ni ulaghai, utapeli mtupu; na tafsiri yao ya biblia imejaa upotoshaji na/au uongo kabisa!! Huwezi kudai waachwe kwani taifa linaharibika pale watu wanapopumbazika.

  • @georgemashauri4657
    @georgemashauri4657 Před měsícem

    Natangaza rasmi tangu sasa na hata milele nitakuwa upande wako.

  • @jennytugara9470
    @jennytugara9470 Před 2 měsíci

    Eti anapiga madafu na chakula mpk analala chali eti kafunga na Chakula wapelekee wahitaji . Kweli uwokovu ni safari 🙏🏾🙏🏾

  • @user-ip8ce1ez4j
    @user-ip8ce1ez4j Před 2 měsíci

    Mchungaji nilihitaji ushauri wako napataje namba zako?mm koleta

  • @periskoigi6088
    @periskoigi6088 Před 2 měsíci

    Usipige wachungachi wezako

  • @lindakapongo8421
    @lindakapongo8421 Před 2 měsíci

    kwa ndoto

  • @eatlawe
    @eatlawe Před měsícem

    Vyama vya upinzani vina furaha na vicheko?

  • @user-if7be8kn8i
    @user-if7be8kn8i Před 2 měsíci

    Jameni tuwe na nidhamu kwa kuongea dhidi ya mchungaji huyu ,sababu mwajiletea laana tu juu yenu .yeye huongelea point za hali yajuu kulingana na neno

  • @alfredngala4308
    @alfredngala4308 Před 2 měsíci

    Mafuta Bila kununuliwa yatatoka wapi

  • @pekeetv
    @pekeetv Před 2 měsíci

    Mchungaji mm unanichanganya TOBA na KUTUBIA mnamanisha nini ?? Na vip kifo cha YESU kimesaidia nini ?? Naomba wasomi wa bibilia waniweke sawa ..!!

    • @neemakanani4346
      @neemakanani4346 Před 2 měsíci

      Pekee haya inakubidi kuyatafuta uyajue sana kila siku tujifuze kristo kila itwapo leo sisi wakristo tuna tubu nakurudia dhambi tena mungu atusaidie sana

    • @alexsaidi3940
      @alexsaidi3940 Před 2 měsíci

      Toba ni kitendo,kuhutubia ni kielelezo

  • @hilaliusjohn8386
    @hilaliusjohn8386 Před 2 měsíci +1

    Huyu mzee ameanza kuishiwa maneno. Yupo dry siku hizi

  • @olaislukumay2208
    @olaislukumay2208 Před 2 měsíci

    Me nlikula nyama Sana siku hiyo

    • @abdulhakeem959
      @abdulhakeem959 Před 2 měsíci

      Ukiisoma INJILI KWA UHAKIKA WAKE HUWEZI KUBURUZWA KIJINGA JINGA.KULA NYAMA.GONGA SUPU AISEE

  • @bernardngomano6215
    @bernardngomano6215 Před 2 měsíci

    😂

  • @SleepyHikingWaterfall-js5mo
    @SleepyHikingWaterfall-js5mo Před 2 měsíci +1

    Najua wewe pastory unafata maandiko ndo maana wengi hawakutaki kumbuka nyakati za sodoma alipona lutu na familia yake wengi waliangamia sema ukweli watao pokea kweli wataokoka usikubali kushawishiwa na maajenti wa,,,neno lipo wazi mngu akupe ujasili upigane vita vilivo safi amina

  • @ShidaKazungu-tp8ld
    @ShidaKazungu-tp8ld Před 2 měsíci

    Ni kweli pastor

  • @stevenandrea7847
    @stevenandrea7847 Před 2 měsíci

    Kwel mtuish

  • @NdolozKathele
    @NdolozKathele Před 2 měsíci

    Wewe hukosagi la kusema....

    • @JacksonMutinda-jw5qw
      @JacksonMutinda-jw5qw Před 2 měsíci +1

      Lakuuma e? Usijali na usimchukie ju apedwa na wengi ju anaogeaga ule ukweli,,,usiumwe saana

    • @NdolozKathele
      @NdolozKathele Před 2 měsíci +1

      @@JacksonMutinda-jw5qw bro.,,,huyu mzee Hananja anazeeka vibaya....

  • @JacksonMutinda-jw5qw
    @JacksonMutinda-jw5qw Před 2 měsíci

    Swali uwa moja,ukifika kwa kanisa la ezekiel utashagaa tuu,ile mijego iko pale ya mabillioni ya pesa,yale magari na ma bus yako pale ya mamillion,aaya anatoa misaada ya pesa nyigi sana kwa watu sasa swali uwa moja,,ao washirika kwan utoa sadaka nyigi aje io imefanya mambo mengi ivo,,,apo kuna kisugumkuti

    • @EvaMguss
      @EvaMguss Před 2 měsíci

      Rafiki asifiwe Yesu sadaka kwa pasta ezekiel ni nyingi sana kwa maana kanisa tu lake ni ekari sita na watu huja mataifa mbalimbali kupokea uponyaji na nyota kwaiyo utajiri lazima awe nao tu Mimi nachoona watumishi wa Mungu Kila mtu na maono yake hivo wasichukiane huyu hawezi kuwa kama huyu yani wakisemana wanawachanganya waumini lakini kwanini mtumishi umrekebishe mwenzio? Kwanini usiwahubirie watu wewe bila mifano ya mwenzio? Na huu ni udini mtu akiponya anatumia pepo wanapingana wenyewe kwa wenyewe lakin Kila mtu hawez kuwa kama wewe lakin pia achukue mda wa kumfatilia ezekiel na ibada zake mafundisho haswa

  • @NdolozKathele
    @NdolozKathele Před 2 měsíci +1

    ACHA USHOGA WAKO WEWE MZEE...JIFUNZE KUNYAMANZA PLZ

    • @YohanaKagambo
      @YohanaKagambo Před 2 měsíci +2

      Acha makasiliko ndolozkathele maisha yako magumu usije umu kuleta umu makasiliko

    • @JacksonMutinda-jw5qw
      @JacksonMutinda-jw5qw Před 2 měsíci +1

      Pepo mbaya wewe,shdwa na mbagi zako na uko,,,,auna lolote wewe

    • @NdolozKathele
      @NdolozKathele Před 2 měsíci +1

      Huyu mzee wenu anazeeeka vibaya......aaachane na ezekiel period

    • @NdolozKathele
      @NdolozKathele Před 2 měsíci +1

      @@YohanaKagambo 🤣🤣🤣🤣 hananja ni mjinga kabisa

    • @LovelyOutdoors-wd5nh
      @LovelyOutdoors-wd5nh Před 2 měsíci

      Mmh bora ungenyamaza hata kama unaona hayuko sawa,anayekukumu ni Mungu peke yake

  • @Mwasame_Official1
    @Mwasame_Official1 Před 2 měsíci

    Hakika mchungaji umesema ukweli mtupu,, maana wengi wamepotea sana tena sema utaokoa wengi

  • @Mwasame_Official1
    @Mwasame_Official1 Před 2 měsíci

    Hivi wewe unapinga mungu hawezi mchukua mtu akamuonyesha anacho taka kumuambia hapo umefeli

    • @neemakanani4346
      @neemakanani4346 Před 2 měsíci

      Lkn bado tunarudi kwenye neno yesu alipo imaliza Kazi ya kumukoa mwanadam akasema kwa jina langu mtapooza wagonjwa na nasio kwa malighifi mtaponya wagonjwa

    • @nantaembanusurupia5674
      @nantaembanusurupia5674 Před 2 měsíci

      😢 eti unaanzaje kutukana wakati umeokoka😢😢

  • @user-eb2eh6rj7e
    @user-eb2eh6rj7e Před 2 měsíci

    Lizee kama hili liende lilale tu kabirini,,,good night empty vesle

    • @JacksonMutinda-jw5qw
      @JacksonMutinda-jw5qw Před 2 měsíci

      Shdwa Pepo mbaya la Cain wewe,maogezi yko ya mtu kalaaniwa ata mbinguni,kiburi na auna lolote,achana na mchugaji wetu ukavute bangi zako na uko

    • @JacksonMutinda-jw5qw
      @JacksonMutinda-jw5qw Před 2 měsíci

      Utapumzika kaburini mbele yke,maombi yakiishetani ayo

    • @user-kq9uh3bv3l
      @user-kq9uh3bv3l Před 2 měsíci

      Shida ni kwamba mtu hapo amezungumza facts wewe uleta maneno Maneno kumuelewa huyu mzee inahitaji akili ya kiMungu sio kibinadamu

    • @harrietlutale922
      @harrietlutale922 Před měsícem

      Ukalale wee nguruwe

  • @JacksonMutinda-jw5qw
    @JacksonMutinda-jw5qw Před 2 měsíci

    Eti mtu anasafiri anapita mikoa zaidi ya tano kweda ad kwa kanisa fulani uku amepita ma mia ya kanisa,,,,kuna jambo uwa silielewi

  • @user-gj2gc4en3t
    @user-gj2gc4en3t Před 2 měsíci

    Hakuna Kila mtu na huduma yake, hizo nyota watu wanazipokea sio ukweli wachawi wanapeana nyota na wahubiri pia wanapeana nyota pls nakubaliana na mtumishi huyo wa tazania yuko sawa

  • @wilfredmtanga-vl1lu
    @wilfredmtanga-vl1lu Před 2 měsíci

    Amina

  • @sosom14
    @sosom14 Před 2 měsíci

    Amen