Dakika 40 za Mahubiri ya Mch. Hananja hakika utayapenda. (UDSM CCT CHAPLAINCY).
Vložit
- čas přidán 28. 06. 2022
- Karibu usubsribe Channel maalumu kwaajiri ya video fupi tu. CHURCH MEDIA4K.
• Dakika 10 na Mch. Hana... . Video na Audio hizi zinahusu Matukio, Mafundisho na Mahubiri Yaliyotolewa Katika Ibada Zinazofanyika Katika Kanisa la Wanataaluma Chuo kikuu cha Dar es Salaam. (UDSM CCT Chaplaincy).
Big up mchungaji. Hufundishi mambo ya kiroho pekee. Unatufindisha maisha halisi ya binadamu. Ubarikiwe sana mchungaji
😊😊
Mungu AKULINDE
Na huyu mchangaji anayafahamu maandiko matakatifu vizuri sana.He is very real in his preaching.
Jaman Mchungaj huyu nimempenda Jaman uwe unahubir kila cku ameeen
Amina mtumishi barikiwa sana
Hiki kichwa Mungu azidi kukubariki Hongera saana
upako usio na mfano. MUNGU AKUBARIKI SANA MCHUNGAJI HANANJA
hakika mungu ni mkuu aapate kukubaliki na kukuongoza MCHUNGAJI HANANJA
Mchungaji hakika wewe una upako mkubwa sana wa Mungu . Nabarikiwa sana na mahubiri yako....kichwa chako kiko vizuri mno ...injili imekaa vizuri sana kichwani mwako. .Mungu akuinue sana katika huduma yake......Ameen
Amina. Ubarikiwe
Mimi nimusilamu lakini nampenda mno😂😂😂
@@ameenaameena1224 sio pekeyako voo
Kweli mungu ni mwema nimetoka kazini nimechoka rkn nipoangalia mahubili haya nimepata nguvu
Mungu azidi kukupa nguvu. Ameni
Thiki zipo lakini Yupo Yesu Ameeen
Pastor Wewe ni Zawadi Ya Mungu,Sifa Azipokee Yeye Mungu,Amina
❤🎉,Nimejifunza. Mafundisho bila kuchoka, yaani laini .Hakika mchungaji huyu ni mwalimu wa kuokowa watu .Ubarikiwe mchungaji.
Mungu akulinde mchungaj kwa hudum nzuri
Shilingi haipotei thamani yake, hata ikichafuka, ikisafishwa inarudia thamani yake.
Nimeipenda hiyo.
Hakika ndugu yangu!
Mchungaji tukuone ukihubiri UPENDO TV siku moja. Amen
Nimeketi kama bosi flani. Ameen Mungu akupe maisha marefu huduma yako inatubariki sana.
Mchungaji wangu kipenzi I love baba napenda Sana mahubiri.
Nimesikiliza mwanzo mwisho, ninahisi moyo wa dhiki kuu unabubujika. Mchungaji, ubarikiwe sana...
Genius huyu Mchungaji.Ninafurahia sana huduma yako mtumishi wa Bwana
Amina ubarikiwe piah
Nakubali saaana kamanda wa munguu natamani cku tuonane uso kwa usooooo nitafrahahi sanaa
Amina Mtumishi. Karibu sana katika kanisa la wanataaluma (CHAPLAINCY) Chuo kikuu cha Dar es Salaam.
Mungu edelea kumfunika mtumishi wako kwa kipaji ulicho mpa
Bibilia imelala kwa kichwa ya huyu pastor . 🔥🔥
Kwa Neema twaokolewa na kusamehewa dhambi ,🙏
Asante mchungaji wangu
Amen sana mmenifanya nitake kuokoka sas
Umeokolewa kwa Jina la Yesu pokea baraka zako.
Very nice mchungaji kalirax halafu mungu anapenda watu wanyenyekevu kama huyu mchungaji anaomba kwa kulirax safi sana new levolution
Mchungaji mungu akupe maisha marefu kwa ujumbe ulio na uweza wa mungu
Mwenyezi mungu akutie nguvu mchungaji kwa kuiongea kweli ya mungu ilove sanaa 😅
I'm Miss Rich Billionaire 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Mungu akubariki
Haleluya Amina hakuna kuchoka katika jina la Yesu Kristo Amina. Barikiwa Mtu wa Mungu Richard Bilionea Hananja.
Ameni
Baraka tele barikiwa sana.
Nice nimefulahi sana pia nimafundisho kwanjia yafulaha
Hakiya mungu mm nina barikiwa mm nina jifunza vitu vingi sana
Hallelujah Hallelujah Ubarikiwe Pst.
Mchungaji Genius, akili nyingi na kipawa cha kuchekesha watu hawachoki.Mungu ana watu wa kila dizaini
Great Pastor ,Karibu KKKT USHARIKA WA KIMANDOLU-ARUSHA DKAK
Woow natamani kumjua Mungu kiasi hiki
Mchungaji upo vizuri sana ,mbona mwanzo tulikuwa hatukusikii
Barikiwa sana mchungaji. Mafundisho yako ni hali halisi ya maisha yetu.
Mchungaji nakubali unaweza nimecheka kalibu nife
Sifa na utukufu ni Kwa Mungu,Muumba wa Vyote,Amina
Mungu akubariki sana pastor
Amina sanaaa
Bwana atukuzwe Milele🙏🏿
Mungu akubarik mchungaj Yan tunabarikiwa San 🙌🙌
woooow tumebarikiwa 🙏
Amina Mungu azidi kukubariki zaidi
Ubarikiwe sana mch. Hananja
Amen pastor! Mahubiri Yako yananitia moyo sana
Mimi nimekukubali sana.
Mungu anipe nguvu za kujua kama unavyojuwa wewe mchungaji.
Amina 🙏
From TikTok pastor nalipenda neno lako na mafundisho wakenya njooni 🏃🏃🎤🎤🙏🙏🙏
Mimi huyu hapa
Mchungaji una wito Haleluya
🇰🇪🇰🇪
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Barikiwa sasna
Barikiwa mtumishi
nakupenda sana mtumishi unafuraisha sana
Mchungaji mwafanana na raisi mustafu was Kenya Uhuru Kenyatta. I like your preaching,more lov from 🇰🇪
Barikiwa Sana mchungaji ...napenda Sana huduma yako.kila mara nasikia kufarijika kutoka Kenya.
Amina Amina Amina 💥💥💥💥💥
Hizo vifungu zinavyotolewa khaai Jesus is Lord 🙏 more grace mtumishi
unanichekesha sana na haya MAHUBIRI kweli
Mungu akubliki ktk maombi Yako kweli mungu ameisha kuwekea upako ktk maubili Yako amina
I love how pastor Hananja preaches. God bless you
🤣🤣🤣🤣🤣jamani nyie unachekeshA
daa naeza pata namba yke ya simu
Asante MUNGU azidi kukutunza sana
ooooo MUNGU anawatu wake asante baba.
Wewe niwa pekeee mungu aku bariki
Asante mchungaji,nmepaga amani ya moyo ubarikiwe 🙌
Mungu azid kukubarik
Amina mtumishi
Mungu akupe ushindi Billioneir Hananja
Pastor nakuelewa Sana yila ngoja nisemetu nilichoona mzee umemeza vitabu aaaakingine nimependa misamiat yako yila tunafulah watu watavunja mbavu MUNGU akubaliki👍🙏🙏🙏🙏💅
mtumishi upo vizuri
Unaona nini kwenye mateso?
Tunapokua kwenye mapito ndipo shetani hutuletea mapichapicha ya kutumalizia kabisa! Lkn kwa imani na tuuone ushindi..ameen..
Asante kwa Neno hili mtmsh.🙏
Mchungaj Umetisha you are Prophetic
Mahubiri yenye mashiko, ubarikiwe sana
Ameen Mungu aendelee kukuweka Baba Kwa ajili ya watu wake
Ameen mtumish
Dah nimeipenda sana aisee
Amen pastor mbarikiwa sana kwa mafundisho yako.
Ubarikiwe sana kwa mahubiri mazuri.
Umenitia nguvu Sana mtu wa mungu mahubiri yako yanaponya mioyo ilio choka na kukata tamaaaa 🙏🙏🙏
Mungu akutuze
Amina sana mtumishi
Mungu akubariki Mchungaji Richard.
God uplift your preaching to reach many souls which are thirst for word of God.
Pastor anajua aisee kaongea mengi sana only the positive #Facts.
Barikiwa
Safi Pastor Hananja
Halafu anajua all verses off head in th whole Bible both Old & New Testament....maajabu ya mtumishi wa Mungu
Barikiwa Mtumkishi
Mchungaji hatari sanaMungu akuzidishie
Amina
Mungu akubariki Sana Sana Jamani Uwiii
Mungu akulinde unafundisha vema sana nakuelewa sana
Nakukubali sana mchungaj
Big up mchungaji keep it up
Huyu mchungaji ni genious sana
Upo vizuri mchungaji
Tunasikiliza mahubiri huku tunacheka
Ubarikiwe
barikiwa sana mchungaji.
Amina Mungu akubariki sana mchungaj
Thanks to you who encourage the world to focus worship and believe in JESUS CHRIST rathan wasting time listing the Apostles and Prophets. Take this after all you have passed through ISIAH 12:2. GOD BLESS YOU MORE
Mungu akupe maisha marefu.....
Ninabarikiwa Sana mtumishi na mahubiri yako mungu akubariki sana
Amina, asante Pastor
This man is a really comidian, best preaching
Nabarikiwa sana mafundisho yako mchungaji hanaja,❤😂😂
Mchungaji nae mkubali sana
Amen Amen... yan nmecheka weuh I like this