MCH. RICHARD HANANJA AWAACHA WATU HOI KWA KICHEKO WAKATIKA AKIFUNDISHA KWENYE KONGAMANO LA VIJAN
Vložit
- čas přidán 11. 06. 2022
- MNENAJI - MCH. RICHARD HANANJA
TUKIO - KONGAMANO LA VIJANA LA UREJESHO NA UAMSHO (RESTORATION & REVIVAL CONFERENCE)
MAHALI - MLIMA WA MOTO MIKOCHENI "B"
TAREHE - JUNI 07.2022
Biblia iko kichwani hongera sana mchungaji Mungu akubariki, nami nivuviwe huo upako kwa jina la Yesu amen
Honger san mchungaji una gusa vijana san ujumbe mzuri
Titus
Ubarikiwe, Mungu atuinulie wengine wengi kama Mch Hananja
Napenda doctor Rose anavyokuwa pamoja na pastor.barikiweni Sana 🙏🙏🙏
Huyu mtumishi anakipawa cha ajabu aisee 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
DAAAAAAH!PASTOR ANA MADINI SANA NA UWEZO WA AJABU SANA.BE BLESSED!
MUNGU akubariki sana pastor kwa huduma yako njemaa sanaa na kwa mafunuo makubwa ya mafundisho ya biblia
Yesu naomba karama kama ya huyu Mch anasoma bibilia Kwa kichwa Mungu Mpe maisha marefu Mch karibu karatu
Karibu jmn
Oooohhh my God!
The God of Pastor Hananja, I will serve you Ebenezer.
Mimi naona ushindi kwa imani..
Hallelujah, hallelujah.
Mungu apewe sifa, hakika Neno la Mungu limenibariki.sifa na utukufu ni kwa Bwana. Naomba hy neema ya kusoma mstari na kuelewa na kuishi kwa Jina la Yesu. MUNGU MWEMA AKUTUNZE MNO.
Ameni
God bless Apostle T. Mwangi now nmejua the secret ya kubarikiwa kwako ni kuheshimu na kuwatambua God's generals
Very inspiring indeed may God bless u
God bless u pastor
Mwamba imara ubarikiwe pastor.
Ameeen hallelujah mchungaji
Barikiwa sana mchungaji tunapona kwa masomo yako.
Ameen Ubarikiwe mtumish
Muchungaji Mungu akutunze sana baba
Hananja Mungu akubariki vifungu vipo kichwani duh!
Hongera zake mchungaji
Amen sana mtumishi
I can see my Pastor Apostle T.Mwangi in the service
Umeimeza baba mngu ukubariki sana
Nilichelewa sana kukujua mtumishi wa Mungu
Mungu akutunze baba
Biblia kichwani mungu nijalie kipawa hiki
Neema ikutoshe umenibariki sana asubuhi ya leo
It good we want to see everyday
Sema nimekukubali pastor yaan hasa pale unavyotema cheche kusemamistari Bible kwa kichwa bila kufungua ht biblia kweli umekula kitabu mtumishi
Pastor ubarikiwe xna Bibilia yote imo kichwani daah tupe siri mtumishi
Ulijuaje paster
I really love this astor
Kwakweli huyu mchungaji nimmenda bure biblia inasomwa kwa kichwaaa duuuu Mungu kambariki kwel
Naombeni namba ya hananja please
Amen Mungu akubaliki sanaa
Hiki kichwa nakielewa sana, kinasoma Biblia pasipo kuifunua physically
😂😂😂😂Amen
Hatawaacha hoi sana huyo ila ufalme wa mungu unanyakuliwa na wenye nguvu. Sio kuchekeshwa
Amina
Ameni Mtumishi.
Emilly Shali: Ameen barikiwa Sana mchungaji
Huyu kwakweli ndiye mtumishi wa Mungu kichwa kimejaa mistari ya Biblia. Hakika Mungu yuko na huyu Mchungaji.
Emen barikiwa umeponya moyo wngu
Amenifurahisha sana kuhusu teja aliyeingiza mkono kwenye mfuko wa rais wa mtaa
p
Namuona pastor t
Aminaa
NIMEBARIKIWA SANA KWA BARAKA KENYA
Amen ! Amen
Injili ya moto
Amen
Amen Amen
🙏🙏🙏
Good
Sanamu lake sijui tutakaaa kwa wapi
Anaweza kuvunja mbavu mtu
Ameen
Ee umesoma biblia .mtumishi
Ameeeni
Pastor nipe siri ya kukariri mistari ya biblia dah kila mstari unao kichwani. Hii ni neema ya pekee sana sidhani kama una mpinzani dah!
Jitahidi sana unaposoma bibilia takatifu,uwe unaandika zile AYA ambazo umezipenda,au unahisia nazo na jitahidi kuziongea onapoongelea Mambo ya kidini na wenzio.Then hakikisha unazisoma kila siku.Ubarikiwe sana.
Halafu yupo MTU mmoja Ni mkenya msabato,anaitwa Pastor Ndacha muangalie YOTUBE
Jifunze kusoma biblia Kila wakati na jitahidi kuyaishi hayo unayoyasoma 😃
Daaa mungu akutunze
Hana mpinzani
Fanya bibilia iwe lafiki Yako
Fanya ulafiki n'a bibilia
Nyimbo za zambia
Mzee wa hekima na busara
Hallelujah jesu anatangaza mema juu ya familia yangu..kwa jina la jesu..
AMEN
Mngu nipe kama huu.
Baba mchungaji ana biblia yote kichwani
MAFUNZO MAZURI
3
Ameee kubwa mtumishi
Mungu akubariki baba mchungaji.....
God bless you pastor
Sina maoni
Richard Hananja anavyohubiri anafanya Injili kuonekana nyepesi mno SASA HUBIRI wewe uone Shughuli
Mungu nipe akili kubwa
🤣🤣🤣🤣
Q😊‐
Amen
Amen
Amen