HISTORIA USIYOIJUA JINSI MAREHEMU REMMY ONGALA ALIVYOKOKA KANISANI KWA ASKOFU GWAJIMA
Vložit
- čas přidán 20. 04. 2024
- Dr Josephat Gwajima is the Senior Pastor of a Largest Church in Tanzania. He is also the Arch-Bishop and founder of Ufufuo na Uzima Churches worldwide. God is using him to raise the dead, heal the sick and performing of signs and wonders in the name of Jesus. Follow his Facebook page jgwajima Instagram bishopgwajima
Join our Live Online Services every sunday at 1030 East Africa Time
Hallelujah kwa ushuhuda huo wa jengo la baa hadi kanisa na kuokoa wengi kutoka kifo cha dhambi na kuwafanya watu wafike mbinguni salama.
Glory to God, Glory to God. Ushuhuda unatia moyo kabisa wa kusonga mbeleee. Thank you Bishop JG. Tanzania Yote kwa YESU
Baba yangu gwajima.Mungu aendelee kukupa uzima na mafunuo zaidi
kwakweli baba ni library ya maisha. mungu ashindi kukuinua pamoja na sisi you are our marking scheme 🇰🇪
The pastor of this generation....knowledgeable and anointed.
MUNGU AKUBARIKI sana Askofu J. Gwajima.
Amina Baba. Mungu wa mbinguni yumo ndani yako. Tunsonga mbele kwa neno lako.mungu azidi kukupa nguvu zaidi na mamlaka ya juu sana kugeuza falume za dunia kuwa falme za mwanakondoo.
Yani mchungaji gwajima nayapenda sana mahubiri yako na shuhuda zako natamani tuwe na TV ya ufufuo na uzima
Mbona hajamfufua mwendazake jiwe magufuli
@@MilloWamilonga-ft8irHauna ufahamu wowote juu ya Mungu
Asante baba wa mataifa. Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿 tunakupenda, na tunatarajia ujio wako ardhi hii.
Baba mungu akupe neema zaidi na matrio zaidi nimeamka kwa ushuda huu
Mchungaji Ngwajima nafwata mafundisho miujiza ambayo Mungu anakutumikisha.Nakupenda.Mchungaji mwezako Jeremie From Glory of Christ/Rwanda
Nimebarikiwa sana baba Mungu akutunze
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu nabarikiwa sana na neno lako Mungu akutunze
Very powerful teaching
Bishop Gwajima you are the best pastor!
Amina mtumishi kwa ushuhuda huu nimetiwa nguvu sana❤
Amina, Mungu ni mwamunifu kwa yote, asante
Nakubali kunolewa katika jina la Yesu Kristo wa Nazareth
Nikiinuliwa na wengine watainuliwa kupitia mimi 👏🏽👏🏽👋🏽👋🏽
Amen baba yangu kusudi la Mungu litasimama imara kwenye kizazi changu Kwa jina la Yesu amen
Unanifanya niendelee kusimama katika kusudi la MUNGU
jina la Yesu libarikiwe❤
The Testimony is very encouranging,God's our provider.
Amina Gwajima nabarikiwa sana na wew
Asante sana mtumishi kwahakika nimebarikiwa sana
Mungu akubariki, ujumbe umenipa booster nikiwa mwendoksi kivukoni-Kimara nikalichubguza eneo nilipofika ubongo
Mchungaji hongera sana kwa ushuhuda wa lemi ongala kuokokea kanisani kwako
Nimekuelewa Sana mchungaji Gwajima
Amen dady nakupenda
Amen Mungu akubariki mtumishi
Wow I love this
Amina nakuelewa sana mzee
Barikiwa sana Dadii
Amem gwajima
Mch Gwajima amenifanya niinuke upya kiroho kun vitu nilitaka kufanya nikaacha sasa nakiri ntafanya na ntafanya tena, nmejifunza meng sana
Ubarikiwe sana..
Usikate tamaa songa mbele
Ubarikiwe kwa kujifunza
Amen hata Mm pia ameniinua
Mapambo kwa wanawake ni tatizo kubwa sanaa.Watumishi mtadaiwa damu zao na mnajua ukweli wote
Mapambo wp ww mnakaa kuhukum watu et mapambo ko hutaki watu wajipambe
Kwahiyo wewe ujumbe woooooote umeona mapambo tuuuuu!!!!
Kila kanisa lina misingi yake msingi wako ni sawa na hiyo mingine pia ni sawa .kosa kutaka wengine wafanye na msingi wa kanisa lako
1Petro3:3, Mapambo, mapambo, mapambo, wanawake wengi wataingia motoni kwa sababu ya mapambo. nguo za kubana, makeup, makucha bandia, suruali za kike, , nguo fupi,nguo za mabega wazi na mtiti wazi, na wote wanaotetea mapambo bila kujua mnamtetea shetani, ni heri mtu anapozuia mapambo unyamaze kuliko kuunga mokono utapata hukumu ileile anayopata kahaba, BWANA YESU atusaidie. Mathayo18:7 Ole wao waletao mambo kukosesha.
GOD is good 👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
Kwakweli wewe ni hazina ya ajabu sana ubarikiwe baba
mungu akutie nguvu mtumishi wa Mungu
Asante Baba,
Ila nakumbuka mchungaj gwajima s alitaka kumfufua amina chifupa
Mungu wa mbinguni azidi kukutumia apendavyo
Napenda sana mafundisho yako
This is very powerful testmony, pastor andika kitabu cha hii story
Mtumishi ubalikiwe sana.
Very powerful,
Gwaji boyyyyyyyyy
Mungu akubariki
Ushuhuda mzuri sana
Mungu ni mwema
Amina hallelujah
Mimi PHILIBETH NYAGAWA NIMEPATA NGUVU MPYAAA AMENI BARIKIWA SANA
Amen
Hallelujah 🔥
Ushuhuda wa kujenga sana huu
Ushuhuda huu unabariki sana na kuinua.
Huko ulikoenda mungu amekuacha siasa ni mambo ya kidunia. Wacha polojo
Kwakwel nimebalikiwa sana
Mvula ana sauti nzuri sana
Mungu ni mkuu
Mungu yupo jamani
Haleluyaaaaaa
Kweli kabisa kwa ushuhuda huo Mungu atuongoze wote Tz
Ameeni🙏
Ameeen
Aliye na Mungu mwache TU usimzuie barabarani
Ukweli muhimu
Imagine mtu alihubiria mpaka kina Remmy halafu mtu ameanza huduma juzi na kufungua account utube ana mnena huyu masiah wa Mungu hua inaniuma kweli
❤❤
Our Mukuru Please translation need
🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🕊️🔥
Hata mimi kichwa ngumu 😢 leo nimeelewa
Baba Askofu siku gani Mungu wa ufufuo na uzima atakuruhusu uje Burundi?
Waumini wa hilo kanisa wana mihemko kama boss wao.
Gwajima uko wapi bashite anavuluga inchi umekaa kimya mbinguni huendi ng.'o
Mahubiri haya nasikiliza mwanzo mwisho, ila ushuda mwingi na miujiza nasinzia
Nimepata nguvu mpya
Penda sana pastor Gwajima
Huwa namaliza bando bila kujuta Kwa huyu mwamba
Face your Goriath👍🏽
JASUSI LA MBINGUNI!UBARIKIWE SANA!KIUKWELI WEWE NI MTUMISHI WA TOFAUTI SANA.MUNGU AKUZIDISHE MARA ELFU NA ELFU.
Haya ndio mafundisho ya kiroho
Mwaka gani
BWANA AZIDI KUKUINUA
Tengua kauli ulisema yule ni daudi alubeti bashite wakati jina lake ni makonda
Aleluiaaaa
1994 makasi alikuwa ameshaokoka tayali apo umedanganya
Kemea mapambo kwa wanawake, kemea uvaaji wa kidunia, kemea mitindo ya kidunia ya unyoaji nywele, kemea makeup, kemea upakaji rangi kucha na midomo. Tafadhali onya na karipia, wengi wanaenda kuzimu ya moto kwa sababu ya Mambo hayo
Ni watu wa rohoni peke yao watakuelewa lkn hawa wa mwilini sijui
Very true many things are come from under the world
Sawa yesu
Woow woow......huu ni ushuhuda wa vizazi na vizazi. Ubarikiwe sana sana kwa kushare huu ushuhuda kwakweli umeniinua.
Mungu akubariki sana na ni maombi yangu akupe hatua zaidi na zaidi. Wewe ni hazina kwa nchi yetu. Ubarikiwe sana
Nimewasikikiza mababa wa kiroho lakin sijawahi mpata mtu kama Gwajima anakufundisha kila kitu wap ameteleza wap ameumizwa wap ametumia ujanja wap analiongopa wap alitumia imani wap alivunjwa moyo hajifanyi kwamba yeye n tofauti huyu sasa ukisoma kitabu chake utaokota kitu
Pia mwakasege
Askofu Gwajima Ana akili nyingi sanaa nikianza kumsikiliza huwa siwezi ishia njiani barikiwa sanaa na Yesu akupe umri mrefu utimize maono aliyowekeza ndani yko
😂😂😂❤
Ukiwa unataka kuomba pesa Je 😂😂😂😂 tupige simu
Tuko kanisan tunapigiwa hadith 😢hivi tumesali tayar ama
Hadithi umeisikiliza toka rohon mtu wa Mungu
Wapumbavu ndio watamsikiliza pimbi huyu.
Mbona hajamfufua mwendazake jiwe la magufuli aliyempendelea kwenye ubunge.
Ana laana kuu huyu msukuma.
Mungu akusamehe saana ndugu yangu hujuw usemalo
😅akaenda akamuomba MUNGU PESA AKAMPA 😂😂
Sasa Cha ajjabu nini au kwa akili zako umefikilia zililushwa zikaanguka. Tumia ufahamu Mungu analeta pesa kupitia watu
😅😅😅❤
Tukiingia ktk chaneli hizi, tunawakumbusheni tu, enyi wanawake mnaodhani kuwa mnaenda Mbinguni na mawigi yenu na mapambo ya kishetani. Ni kwamba mapambo yanawapeleka motoni. 1Petro 3:3, alafu wachungaji hawasemi. Wanawaacheni muingie motoni na makeup zeni, amkeni YESU anarudi mtaachwa.
Wachungaji wengi wanataka sadaka hawapendi kuponya roho za waumini
Hata hizi simu tunazotumia zitatupeleka motoni
1 Petro 3
3 Kujipamba kwenu, kusiwe kujipamba kwa nje, yaani, kusuka nywele; na kujitia dhahabu, na kuvalia mavazi;
1 Petro 3
4 bali kuwe utu wa moyoni usioonekana, katika mapambo yasiyoharibika; yaani, roho ya upole na utulivu, iliyo ya thamani kuu mbele za Mungu.
5 Maana hivyo ndivyo walivyojipamba wanawake watakatifu wa zamani, waliomtumaini Mungu, na kuwatii waume zao.
Tuombe roho mtakatifu aweze kutusaidia kuelewa maandiko na kuyatafsiri tunapoyasoma
Bwana yesu Asifiwe
Hawa wapentecoste bhana😂
Wamefanya nn ndugu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🇹🇿🇺🇬🇰🇪