HISTORIA USIYOIJUA JINSI MAREHEMU REMMY ONGALA ALIVYOKOKA KANISANI KWA ASKOFU GWAJIMA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 04. 2024
  • Dr Josephat Gwajima is the Senior Pastor of a Largest Church in Tanzania. He is also the Arch-Bishop and founder of Ufufuo na Uzima Churches worldwide. God is using him to raise the dead, heal the sick and performing of signs and wonders in the name of Jesus. Follow his Facebook page jgwajima Instagram bishopgwajima
    Join our Live Online Services every sunday at 1030 East Africa Time

Komentáře • 128

  • @ngelellageorge8571
    @ngelellageorge8571 Před 13 dny +1

    Hallelujah kwa ushuhuda huo wa jengo la baa hadi kanisa na kuokoa wengi kutoka kifo cha dhambi na kuwafanya watu wafike mbinguni salama.

  • @HAAM670
    @HAAM670 Před 2 měsíci +4

    Glory to God, Glory to God. Ushuhuda unatia moyo kabisa wa kusonga mbeleee. Thank you Bishop JG. Tanzania Yote kwa YESU

  • @piusnkwale
    @piusnkwale Před 2 měsíci +4

    Baba yangu gwajima.Mungu aendelee kukupa uzima na mafunuo zaidi

  • @itiamekimbui722
    @itiamekimbui722 Před 2 měsíci +3

    kwakweli baba ni library ya maisha. mungu ashindi kukuinua pamoja na sisi you are our marking scheme 🇰🇪

  • @imansmwatete4953
    @imansmwatete4953 Před 2 měsíci +2

    The pastor of this generation....knowledgeable and anointed.

  • @user-po7zh4zz2k
    @user-po7zh4zz2k Před 2 měsíci +1

    MUNGU AKUBARIKI sana Askofu J. Gwajima.

  • @EmirataJkente
    @EmirataJkente Před měsícem

    Amina Baba. Mungu wa mbinguni yumo ndani yako. Tunsonga mbele kwa neno lako.mungu azidi kukupa nguvu zaidi na mamlaka ya juu sana kugeuza falume za dunia kuwa falme za mwanakondoo.

  • @livingmunisi5963
    @livingmunisi5963 Před 2 měsíci +2

    Yani mchungaji gwajima nayapenda sana mahubiri yako na shuhuda zako natamani tuwe na TV ya ufufuo na uzima

    • @MilloWamilonga-ft8ir
      @MilloWamilonga-ft8ir Před měsícem

      Mbona hajamfufua mwendazake jiwe magufuli

    • @fidonifidel
      @fidonifidel Před měsícem

      ​@@MilloWamilonga-ft8irHauna ufahamu wowote juu ya Mungu

  • @rodriguesvictorvalerio6886
    @rodriguesvictorvalerio6886 Před 2 měsíci

    Asante baba wa mataifa. Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿 tunakupenda, na tunatarajia ujio wako ardhi hii.

  • @user-wb9cq7zy3x
    @user-wb9cq7zy3x Před měsícem

    Baba mungu akupe neema zaidi na matrio zaidi nimeamka kwa ushuda huu

  • @ntezumwamijeremie7064
    @ntezumwamijeremie7064 Před 2 měsíci +1

    Mchungaji Ngwajima nafwata mafundisho miujiza ambayo Mungu anakutumikisha.Nakupenda.Mchungaji mwezako Jeremie From Glory of Christ/Rwanda

  • @revocatusassey2507
    @revocatusassey2507 Před 2 měsíci +1

    Nimebarikiwa sana baba Mungu akutunze

  • @mussathomas3661
    @mussathomas3661 Před 2 měsíci

    Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu nabarikiwa sana na neno lako Mungu akutunze

  • @samwelmjika9871
    @samwelmjika9871 Před 2 měsíci +1

    Very powerful teaching

  • @Kiyonga2014
    @Kiyonga2014 Před 2 měsíci

    Bishop Gwajima you are the best pastor!

  • @joycemughogho3773
    @joycemughogho3773 Před 2 měsíci

    Amina mtumishi kwa ushuhuda huu nimetiwa nguvu sana❤

  • @marymuthoni1551
    @marymuthoni1551 Před 2 měsíci

    Amina, Mungu ni mwamunifu kwa yote, asante

  • @pastorheri715
    @pastorheri715 Před 2 měsíci +1

    Nakubali kunolewa katika jina la Yesu Kristo wa Nazareth

  • @Maryc2G
    @Maryc2G Před 2 měsíci +2

    Nikiinuliwa na wengine watainuliwa kupitia mimi 👏🏽👏🏽👋🏽👋🏽

  • @jacklinemoses2247
    @jacklinemoses2247 Před 2 měsíci

    Amen baba yangu kusudi la Mungu litasimama imara kwenye kizazi changu Kwa jina la Yesu amen

  • @kesiawailes1223
    @kesiawailes1223 Před 2 měsíci +5

    Unanifanya niendelee kusimama katika kusudi la MUNGU

  • @devothamagawa7161
    @devothamagawa7161 Před 2 měsíci +1

    jina la Yesu libarikiwe❤

  • @vieterinamoko5087
    @vieterinamoko5087 Před 2 měsíci

    The Testimony is very encouranging,God's our provider.

  • @IssacAman
    @IssacAman Před měsícem

    Amina Gwajima nabarikiwa sana na wew

  • @kapanikapani5280
    @kapanikapani5280 Před 2 měsíci

    Asante sana mtumishi kwahakika nimebarikiwa sana

  • @yuzzob
    @yuzzob Před měsícem

    Mungu akubariki, ujumbe umenipa booster nikiwa mwendoksi kivukoni-Kimara nikalichubguza eneo nilipofika ubongo

  • @RaymondMuya
    @RaymondMuya Před 2 měsíci

    Mchungaji hongera sana kwa ushuhuda wa lemi ongala kuokokea kanisani kwako

  • @ceciliamaswai8219
    @ceciliamaswai8219 Před 2 měsíci

    Nimekuelewa Sana mchungaji Gwajima

  • @beatricefilbert1171
    @beatricefilbert1171 Před 2 měsíci +1

    Amen dady nakupenda

  • @richardmanyilizu-rp8hf
    @richardmanyilizu-rp8hf Před 2 měsíci

    Amen Mungu akubariki mtumishi

  • @annendungutheremnant7242
    @annendungutheremnant7242 Před 2 měsíci

    Wow I love this

  • @josephshida469
    @josephshida469 Před měsícem

    Amina nakuelewa sana mzee

  • @saidatowainda525
    @saidatowainda525 Před 2 měsíci

    Barikiwa sana Dadii

  • @ArcoiriscelestialTv
    @ArcoiriscelestialTv Před 2 měsíci

    Amem gwajima

  • @GoodluckAmos
    @GoodluckAmos Před 2 měsíci +16

    Mch Gwajima amenifanya niinuke upya kiroho kun vitu nilitaka kufanya nikaacha sasa nakiri ntafanya na ntafanya tena, nmejifunza meng sana

  • @YonaTisho-iu2ng
    @YonaTisho-iu2ng Před 2 měsíci +5

    Mapambo kwa wanawake ni tatizo kubwa sanaa.Watumishi mtadaiwa damu zao na mnajua ukweli wote

    • @user-mw3oq4vz6k
      @user-mw3oq4vz6k Před 2 měsíci +1

      Mapambo wp ww mnakaa kuhukum watu et mapambo ko hutaki watu wajipambe

    • @GloriousRestorationTV
      @GloriousRestorationTV Před 2 měsíci +2

      Kwahiyo wewe ujumbe woooooote umeona mapambo tuuuuu!!!!

    • @kilianmtotowamungu3885
      @kilianmtotowamungu3885 Před 2 měsíci

      Kila kanisa lina misingi yake msingi wako ni sawa na hiyo mingine pia ni sawa .kosa kutaka wengine wafanye na msingi wa kanisa lako

    • @SamwelKipenzi
      @SamwelKipenzi Před 2 měsíci

      1Petro3:3, Mapambo, mapambo, mapambo, wanawake wengi wataingia motoni kwa sababu ya mapambo. nguo za kubana, makeup, makucha bandia, suruali za kike, , nguo fupi,nguo za mabega wazi na mtiti wazi, na wote wanaotetea mapambo bila kujua mnamtetea shetani, ni heri mtu anapozuia mapambo unyamaze kuliko kuunga mokono utapata hukumu ileile anayopata kahaba, BWANA YESU atusaidie. Mathayo18:7 Ole wao waletao mambo kukosesha.

  • @jobmunyali7229
    @jobmunyali7229 Před 2 měsíci

    GOD is good 👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻

  • @braisonjohnnzunda
    @braisonjohnnzunda Před 2 měsíci +1

    Kwakweli wewe ni hazina ya ajabu sana ubarikiwe baba

  • @user-fg1bc2ff5s
    @user-fg1bc2ff5s Před měsícem

    mungu akutie nguvu mtumishi wa Mungu

  • @essaukapufi424
    @essaukapufi424 Před 2 měsíci

    Asante Baba,

  • @isacksimonmahungilo
    @isacksimonmahungilo Před 2 měsíci

    Ila nakumbuka mchungaj gwajima s alitaka kumfufua amina chifupa

  • @praxedajovinary4560
    @praxedajovinary4560 Před 2 měsíci

    Mungu wa mbinguni azidi kukutumia apendavyo

  • @RaymondMuya
    @RaymondMuya Před 2 měsíci

    Napenda sana mafundisho yako

  • @giftkelvin7
    @giftkelvin7 Před 2 měsíci

    This is very powerful testmony, pastor andika kitabu cha hii story

  • @stephennganga4827
    @stephennganga4827 Před měsícem

    Mtumishi ubalikiwe sana.

  • @obadiambilinyi27
    @obadiambilinyi27 Před 2 měsíci

    Very powerful,

  • @piuslyimo486
    @piuslyimo486 Před 2 měsíci +1

    Gwaji boyyyyyyyyy

  • @michaelmassae3970
    @michaelmassae3970 Před měsícem

    Mungu akubariki

  • @pastorprospermlembasayunip500

    Ushuhuda mzuri sana

  • @michaelmangoni989
    @michaelmangoni989 Před měsícem

    Mungu ni mwema

  • @annissdaprincess3846
    @annissdaprincess3846 Před měsícem

    Amina hallelujah

  • @philibethnyagawa
    @philibethnyagawa Před 2 měsíci

    Mimi PHILIBETH NYAGAWA NIMEPATA NGUVU MPYAAA AMENI BARIKIWA SANA

  • @RichardHenjewele-gs8rk
    @RichardHenjewele-gs8rk Před 2 měsíci +1

    Amen

  • @priestkingagrey
    @priestkingagrey Před 2 měsíci

    Hallelujah 🔥

  • @agnesnzali3175
    @agnesnzali3175 Před 2 měsíci

    Ushuhuda wa kujenga sana huu

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 Před 2 měsíci +2

    Ushuhuda huu unabariki sana na kuinua.

  • @ndemabhwila
    @ndemabhwila Před měsícem

    Huko ulikoenda mungu amekuacha siasa ni mambo ya kidunia. Wacha polojo

  • @TetekoOg
    @TetekoOg Před měsícem

    Kwakwel nimebalikiwa sana

  • @WestonMbuba-ff4jk
    @WestonMbuba-ff4jk Před 2 měsíci

    Mvula ana sauti nzuri sana

  • @dorahmavazi111
    @dorahmavazi111 Před měsícem

    Mungu ni mkuu

  • @vitaasumani4613
    @vitaasumani4613 Před 2 měsíci +1

    Mungu yupo jamani

  • @pastorprospermlembasayunip500

    Haleluyaaaaaa

  • @IssacAman
    @IssacAman Před měsícem

    Kweli kabisa kwa ushuhuda huo Mungu atuongoze wote Tz

  • @ibrahimuezekieli8845
    @ibrahimuezekieli8845 Před 2 měsíci

    Ameeni🙏

  • @favourndila8474
    @favourndila8474 Před 2 měsíci

    Ameeen

  • @directorabson
    @directorabson Před měsícem

    Aliye na Mungu mwache TU usimzuie barabarani

  • @makoyelwango6048
    @makoyelwango6048 Před 2 měsíci

    Ukweli muhimu

  • @rerisamba
    @rerisamba Před 2 měsíci +1

    Imagine mtu alihubiria mpaka kina Remmy halafu mtu ameanza huduma juzi na kufungua account utube ana mnena huyu masiah wa Mungu hua inaniuma kweli

  • @MosesKaponda
    @MosesKaponda Před měsícem

    ❤❤

  • @byukatorerotv2608
    @byukatorerotv2608 Před 22 dny

    Our Mukuru Please translation need

  • @jobmunyali7229
    @jobmunyali7229 Před 2 měsíci

    🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🕊️🔥

  • @samwelmakuni8079
    @samwelmakuni8079 Před 2 měsíci

    Hata mimi kichwa ngumu 😢 leo nimeelewa

  • @user-rb6il4sn2e
    @user-rb6il4sn2e Před 2 měsíci

    Baba Askofu siku gani Mungu wa ufufuo na uzima atakuruhusu uje Burundi?

  • @sylvanuskavindi2756
    @sylvanuskavindi2756 Před měsícem

    Waumini wa hilo kanisa wana mihemko kama boss wao.

  • @ndemabhwila
    @ndemabhwila Před měsícem

    Gwajima uko wapi bashite anavuluga inchi umekaa kimya mbinguni huendi ng.'o

  • @hazygardmericho9571
    @hazygardmericho9571 Před 2 měsíci

    Mahubiri haya nasikiliza mwanzo mwisho, ila ushuda mwingi na miujiza nasinzia

  • @davidolotu9950
    @davidolotu9950 Před měsícem

    Nimepata nguvu mpya

  • @tadeichaula3278
    @tadeichaula3278 Před 2 měsíci

    Penda sana pastor Gwajima

  • @user-fq8dd7gc9e
    @user-fq8dd7gc9e Před 2 měsíci +1

    Huwa namaliza bando bila kujuta Kwa huyu mwamba

  • @Maryc2G
    @Maryc2G Před 2 měsíci +1

    Face your Goriath👍🏽

  • @MCNgakungaJunior
    @MCNgakungaJunior Před 2 měsíci +1

    JASUSI LA MBINGUNI!UBARIKIWE SANA!KIUKWELI WEWE NI MTUMISHI WA TOFAUTI SANA.MUNGU AKUZIDISHE MARA ELFU NA ELFU.

  • @RaymondMuya
    @RaymondMuya Před 2 měsíci

    Haya ndio mafundisho ya kiroho

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x Před měsícem

    Mwaka gani

  • @user-cq8nd4ek8w
    @user-cq8nd4ek8w Před 2 měsíci +1

    BWANA AZIDI KUKUINUA

  • @ndemabhwila
    @ndemabhwila Před měsícem

    Tengua kauli ulisema yule ni daudi alubeti bashite wakati jina lake ni makonda

  • @piusnkwale
    @piusnkwale Před 2 měsíci

    Aleluiaaaa

  • @user-tl4sw7xz8c
    @user-tl4sw7xz8c Před 21 dnem

    1994 makasi alikuwa ameshaokoka tayali apo umedanganya

  • @benedictobucke9062
    @benedictobucke9062 Před 2 měsíci +1

    Kemea mapambo kwa wanawake, kemea uvaaji wa kidunia, kemea mitindo ya kidunia ya unyoaji nywele, kemea makeup, kemea upakaji rangi kucha na midomo. Tafadhali onya na karipia, wengi wanaenda kuzimu ya moto kwa sababu ya Mambo hayo

  • @aminathatwahir8462
    @aminathatwahir8462 Před měsícem

    Woow woow......huu ni ushuhuda wa vizazi na vizazi. Ubarikiwe sana sana kwa kushare huu ushuhuda kwakweli umeniinua.
    Mungu akubariki sana na ni maombi yangu akupe hatua zaidi na zaidi. Wewe ni hazina kwa nchi yetu. Ubarikiwe sana

  • @user-cw3vu8mu3k
    @user-cw3vu8mu3k Před 2 měsíci

    Nimewasikikiza mababa wa kiroho lakin sijawahi mpata mtu kama Gwajima anakufundisha kila kitu wap ameteleza wap ameumizwa wap ametumia ujanja wap analiongopa wap alitumia imani wap alivunjwa moyo hajifanyi kwamba yeye n tofauti huyu sasa ukisoma kitabu chake utaokota kitu

  • @rachelkimaro653
    @rachelkimaro653 Před 2 měsíci +2

    Askofu Gwajima Ana akili nyingi sanaa nikianza kumsikiliza huwa siwezi ishia njiani barikiwa sanaa na Yesu akupe umri mrefu utimize maono aliyowekeza ndani yko

  • @NamkundaelPotential
    @NamkundaelPotential Před měsícem

    😂😂😂❤

  • @milley7185
    @milley7185 Před 2 měsíci

    Ukiwa unataka kuomba pesa Je 😂😂😂😂 tupige simu

  • @user-zu5ee3qe6u
    @user-zu5ee3qe6u Před měsícem

    Tuko kanisan tunapigiwa hadith 😢hivi tumesali tayar ama

    • @Julina9099
      @Julina9099 Před měsícem

      Hadithi umeisikiliza toka rohon mtu wa Mungu

  • @MilloWamilonga-ft8ir
    @MilloWamilonga-ft8ir Před měsícem

    Wapumbavu ndio watamsikiliza pimbi huyu.
    Mbona hajamfufua mwendazake jiwe la magufuli aliyempendelea kwenye ubunge.
    Ana laana kuu huyu msukuma.

  • @GoldenchipsChips
    @GoldenchipsChips Před měsícem

    😅akaenda akamuomba MUNGU PESA AKAMPA 😂😂

    • @benjamenshepa1000
      @benjamenshepa1000 Před měsícem

      Sasa Cha ajjabu nini au kwa akili zako umefikilia zililushwa zikaanguka. Tumia ufahamu Mungu analeta pesa kupitia watu

  • @gracenyangusi6230
    @gracenyangusi6230 Před 2 měsíci

    😅😅😅❤

  • @SamwelKipenzi
    @SamwelKipenzi Před 2 měsíci +1

    Tukiingia ktk chaneli hizi, tunawakumbusheni tu, enyi wanawake mnaodhani kuwa mnaenda Mbinguni na mawigi yenu na mapambo ya kishetani. Ni kwamba mapambo yanawapeleka motoni. 1Petro 3:3, alafu wachungaji hawasemi. Wanawaacheni muingie motoni na makeup zeni, amkeni YESU anarudi mtaachwa.

    • @emmanuelmacumi
      @emmanuelmacumi Před 2 měsíci

      Wachungaji wengi wanataka sadaka hawapendi kuponya roho za waumini

    • @Julina9099
      @Julina9099 Před měsícem

      Hata hizi simu tunazotumia zitatupeleka motoni
      1 Petro 3
      3 Kujipamba kwenu, kusiwe kujipamba kwa nje, yaani, kusuka nywele; na kujitia dhahabu, na kuvalia mavazi;
      1 Petro 3
      4 bali kuwe utu wa moyoni usioonekana, katika mapambo yasiyoharibika; yaani, roho ya upole na utulivu, iliyo ya thamani kuu mbele za Mungu.
      5 Maana hivyo ndivyo walivyojipamba wanawake watakatifu wa zamani, waliomtumaini Mungu, na kuwatii waume zao.
      Tuombe roho mtakatifu aweze kutusaidia kuelewa maandiko na kuyatafsiri tunapoyasoma
      Bwana yesu Asifiwe

  • @LeonardFrancis-hk9ku
    @LeonardFrancis-hk9ku Před 2 měsíci

    Hawa wapentecoste bhana😂

  • @jobmunyali7229
    @jobmunyali7229 Před 2 měsíci

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🇹🇿🇺🇬🇰🇪