Usimnyooshe Mtu Kidole | USIHUKUMU | Rev. Dr. Eliona Kimaro

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 15. 05. 2024

Komentáře • 57

  • @upendogreutert199
    @upendogreutert199 Před měsícem +13

    Mchungaji Kimaro Baba yetu wa Kiroho hata tulio nje ya Tanzania, Mungu akutumie Sanaa. Unatusaidia sana tunapona bila hata kuombewa Wala kuwekewa mkono.

  • @user-br1oi2tr4g
    @user-br1oi2tr4g Před 2 dny

    Amina pastor unatubariki Sana mungu azidi kukuinua na kukutia moyo

  • @MUTUKUMUNYWOKI
    @MUTUKUMUNYWOKI Před měsícem +4

    Nashukuru Mwenyezi Mungu kwa kutumia mchungaji Dr Eliona Kimaro kuokoa wengi kupitia neno

  • @user-fc8cq3pu2g
    @user-fc8cq3pu2g Před 18 dny

    Mchungaji nampenda mafundisho Yako mungu akubariki sana

  • @hongerakimbwala8650
    @hongerakimbwala8650 Před 5 dny

    Ubarikiwe mtumishi Wa mungu

  • @godlovemrosso5973
    @godlovemrosso5973 Před měsícem +1

    Neema ya Mungu baba ikawe juu ya watoto wangu na uzao wangu
    Barikiwa sana Mtumishi

  • @user-yz5zn4tr6i
    @user-yz5zn4tr6i Před měsícem +3

    Asante sana BABA mchungaji kimaro MUNGU akutunze umpendeze MUNGU NA WANADAMU pia ❤❤❤❤❤❤

  • @lizpallangyo8057
    @lizpallangyo8057 Před 27 dny

    Ubarikiwe mno baba kwa kuponya roho zetu,Mwenyenzi Mungu azidi kukuinua zaidi uendelee kutumika kama chombo

  • @RamadhanKhalid-qc7bo
    @RamadhanKhalid-qc7bo Před 27 dny +1

    Ahsante mtumishi

  • @peehmuki7271
    @peehmuki7271 Před měsícem

    Baba naombo univishe haki yako katika jina la Yesu ....Amen

  • @gracembwilo1455
    @gracembwilo1455 Před měsícem

    Asante Mtumishi wa MUNGU kwa kunifungua AKILI mafundisho yako yana HEKIMA sana naomba kuvikwa HAKI yake

  • @GodfreyLukumay-ex1nz
    @GodfreyLukumay-ex1nz Před měsícem +1

    Asante MUNGU ukaivishe familia yangu neema ya upendo

  • @RohiSam
    @RohiSam Před měsícem +2

    Watching from Kenya ,,,,am so blessed 🙏

  • @williammollel97
    @williammollel97 Před měsícem

    Kwa kweli unaheshimisha jina la yehova ubarikiwe na atukuzwe mungu Alie kupa kipawa na ukawa tayari

  • @user-gc8vb3gv8c
    @user-gc8vb3gv8c Před měsícem

    Ubarikiwe baba Mchungaji, naamini tutavikwa haki yake

  • @tumpemkola6752
    @tumpemkola6752 Před měsícem

    Mungu akubariki sana baba mchunga kwa neno

  • @user-yl2ir7gv1h
    @user-yl2ir7gv1h Před měsícem

    Munguakulinde mchungaji Asante kwaneno lako

  • @BeathaSwai
    @BeathaSwai Před měsícem

    Asant baba mchunguji Mungu aendelee kukutunx

  • @JaneMaiga
    @JaneMaiga Před měsícem

    Mungu naomba univike haki yako amina

  • @MeshackMunuo-yc5ji
    @MeshackMunuo-yc5ji Před 23 dny

    Barikiwaaa

  • @elishamwakihaba942
    @elishamwakihaba942 Před měsícem

    Mungu akubariki sana mchungaji ❤

  • @jessicamasepo8320
    @jessicamasepo8320 Před měsícem

    Amen, ubarikiwe Baba.

  • @BeathaSwai
    @BeathaSwai Před měsícem

    Amin Mungu akutunxeee

  • @davidkawesa3594
    @davidkawesa3594 Před 29 dny

    Amina kubwa

  • @rodgersakaya7158
    @rodgersakaya7158 Před měsícem

    Mchungaji asante sana, ubrikiwee

  • @speciozakaloli
    @speciozakaloli Před měsícem +1

    Mchungaji Kimaro unatumiwa na Mungu asante sana

  • @johntemba9477
    @johntemba9477 Před měsícem

    Mungu akubariki sana Baba

  • @irislecha8662
    @irislecha8662 Před měsícem

    Kwa kweli mchungaji umenihubiria Mimi binafsi kwetu nyumbani Mimi ndie Rahabu naomba Mungu anikumbuke, naishi na nembo ya umalaya baada ya kuzaa watoto 6 na wababa tofauti, Mungu nikumbuke

    • @rammyrallen1473
      @rammyrallen1473 Před měsícem +1

      Amen Mungu Ni mwaminifu Amen

    • @Wamisangi
      @Wamisangi Před měsícem

      Isaya 1:16-19. Mungu ni Mwema Wakati wate. Omba akupe Nguvu na Maongozi yake uishi sawasawa na Mapenzi yake. Tazama ya kale yamepita na yamekuwa mapya.

  • @user-vi7he4zm2d
    @user-vi7he4zm2d Před měsícem

    Amen mungu akutunze

  • @MariaNdagile-hx5pr
    @MariaNdagile-hx5pr Před měsícem +1

    Aminaa baba

  • @EdinaFelician
    @EdinaFelician Před měsícem

    Mungo akubarikai sana Mchungaji

  • @sylviachikwindo7263
    @sylviachikwindo7263 Před měsícem

    Aameen ameen ameen.

  • @JudthKanyange
    @JudthKanyange Před měsícem

    Nikusikiliza mchunga nabarikiwa

  • @grace-rh3vv
    @grace-rh3vv Před měsícem

    Amen. Amen

  • @VeronicaRugoyi
    @VeronicaRugoyi Před měsícem

    Ameeen Baba ❤❤🎉🎉

  • @kikiteri7486
    @kikiteri7486 Před měsícem

    Amem Amen

  • @CHRISTINAYOHANA-oy7vo
    @CHRISTINAYOHANA-oy7vo Před měsícem +1

    🙏

  • @larzagraph9326
    @larzagraph9326 Před měsícem

    Mungu watu azidi kukulinda nakukubariki mchungaji
    Tunabarikiwa sana na mahubiri yako tukowa USA

  • @GRACENyanda-cn3pg
    @GRACENyanda-cn3pg Před měsícem

    Amina

  • @stephanosospeter1709
    @stephanosospeter1709 Před měsícem

    Ameen

  • @naeema8155
    @naeema8155 Před 29 dny

    Amen 🙏 🙏

  • @veronicaanosisye4160
    @veronicaanosisye4160 Před měsícem

    Ameeeen

  • @hadijambwambo6833
    @hadijambwambo6833 Před měsícem +1

    Hallelujah

  • @speciozakaloli
    @speciozakaloli Před měsícem

    Usiangalie ulikotoka tazama unakoenda

  • @Wamisangi
    @Wamisangi Před měsícem +2

    Wapelelezi walikuwa ni wawili si 12 . Joshua Mlango wa 2
    Rahabu ndiye aliye funga kamba wala si wale wapelelezi wa 2.
    Hakuna mahali ambapo Biblia inasema ndugu zake Rahabu walimtenga. Na ndio maana aliweza kuwakusanya wakaja kwake kama sharti la wao kuokolewa na mashambulizi.
    Rahabu alijua nguvu za Mungu wa Israeli na Matendo yake makuu ya kuwaangamiza maadui wa Israeli. Aliwaapiza wale wa pelelezi kwa Mungu wao wa Israeli.
    Waebrainia 11:31. Rahabu aliokolewa kwa Imani yake kwa kuukiri Ukuu wa Mungu wa Israeli na kwa vile aliwapokea wale wapelelezi wawili kwa Amani.
    Ni vizuri kuchukua muda kuandika mahubiri kuliko kujiamini na kuhubiri uongo na kweli madhabahuni

    • @davidkawesa3594
      @davidkawesa3594 Před 29 dny

      Lakini umeelewa alichomaanisha

    • @Wamisangi
      @Wamisangi Před 29 dny

      @davidkawesa3594
      Nimeelewa kwamba Mungu ni Roho nao wamuabuduo hufanya hivyo katika Roho na Kweli. Yohana 4:24
      Bila ya Roho Mtakatifu utakuwa unachekelea hata ukihubiriwa uongo ulio cha nganywa na ukweli kwa kujua/kutokujua ama kutetea anaye fanya hivyo badala ya kumshauri..

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464 Před měsícem +1

    Kwa hiyo hata kama kakosea usimrekebishe eti usihukumu jamii itasadikaje?

    • @nemeskilagula3119
      @nemeskilagula3119 Před měsícem

      Fanya maombi juu yake na si vinginevyo, Mungu wetu ni wautaratibu

    • @Wamisangi
      @Wamisangi Před 29 dny

      @@nemeskilagula3119
      Mungu wetu si muongo wala hahitaji ahubiriwe kwa uongo. Mungu ni Roho.
      Yohana 4:24

  • @qatarrarre30
    @qatarrarre30 Před měsícem

    😂😂😂Amen 🙏🙏

  • @witnesssamwely8812
    @witnesssamwely8812 Před měsícem

    Mahubili yako yananibaliki

  • @user-vi7he4zm2d
    @user-vi7he4zm2d Před měsícem

    Amen mungu akutunze

  • @CatherineMgala-ui8oi
    @CatherineMgala-ui8oi Před měsícem

    🙏🙏