Mchungaji Kimaro Baba yetu wa Kiroho hata tulio nje ya Tanzania, Mungu akutumie Sanaa. Unatusaidia sana tunapona bila hata kuombewa Wala kuwekewa mkono.
Kwa kweli mchungaji umenihubiria Mimi binafsi kwetu nyumbani Mimi ndie Rahabu naomba Mungu anikumbuke, naishi na nembo ya umalaya baada ya kuzaa watoto 6 na wababa tofauti, Mungu nikumbuke
Isaya 1:16-19. Mungu ni Mwema Wakati wate. Omba akupe Nguvu na Maongozi yake uishi sawasawa na Mapenzi yake. Tazama ya kale yamepita na yamekuwa mapya.
Wapelelezi walikuwa ni wawili si 12 . Joshua Mlango wa 2 Rahabu ndiye aliye funga kamba wala si wale wapelelezi wa 2. Hakuna mahali ambapo Biblia inasema ndugu zake Rahabu walimtenga. Na ndio maana aliweza kuwakusanya wakaja kwake kama sharti la wao kuokolewa na mashambulizi. Rahabu alijua nguvu za Mungu wa Israeli na Matendo yake makuu ya kuwaangamiza maadui wa Israeli. Aliwaapiza wale wa pelelezi kwa Mungu wao wa Israeli. Waebrainia 11:31. Rahabu aliokolewa kwa Imani yake kwa kuukiri Ukuu wa Mungu wa Israeli na kwa vile aliwapokea wale wapelelezi wawili kwa Amani. Ni vizuri kuchukua muda kuandika mahubiri kuliko kujiamini na kuhubiri uongo na kweli madhabahuni
@davidkawesa3594 Nimeelewa kwamba Mungu ni Roho nao wamuabuduo hufanya hivyo katika Roho na Kweli. Yohana 4:24 Bila ya Roho Mtakatifu utakuwa unachekelea hata ukihubiriwa uongo ulio cha nganywa na ukweli kwa kujua/kutokujua ama kutetea anaye fanya hivyo badala ya kumshauri..
Mchungaji Kimaro Baba yetu wa Kiroho hata tulio nje ya Tanzania, Mungu akutumie Sanaa. Unatusaidia sana tunapona bila hata kuombewa Wala kuwekewa mkono.
Amina pastor unatubariki Sana mungu azidi kukuinua na kukutia moyo
Nashukuru Mwenyezi Mungu kwa kutumia mchungaji Dr Eliona Kimaro kuokoa wengi kupitia neno
Mchungaji nampenda mafundisho Yako mungu akubariki sana
Ubarikiwe mtumishi Wa mungu
Neema ya Mungu baba ikawe juu ya watoto wangu na uzao wangu
Barikiwa sana Mtumishi
Asante sana BABA mchungaji kimaro MUNGU akutunze umpendeze MUNGU NA WANADAMU pia ❤❤❤❤❤❤
Ubarikiwe mno baba kwa kuponya roho zetu,Mwenyenzi Mungu azidi kukuinua zaidi uendelee kutumika kama chombo
Ahsante mtumishi
Baba naombo univishe haki yako katika jina la Yesu ....Amen
Asante Mtumishi wa MUNGU kwa kunifungua AKILI mafundisho yako yana HEKIMA sana naomba kuvikwa HAKI yake
Asante MUNGU ukaivishe familia yangu neema ya upendo
Watching from Kenya ,,,,am so blessed 🙏
Wonderful
Kwa kweli unaheshimisha jina la yehova ubarikiwe na atukuzwe mungu Alie kupa kipawa na ukawa tayari
Ubarikiwe baba Mchungaji, naamini tutavikwa haki yake
Mungu akubariki sana baba mchunga kwa neno
Munguakulinde mchungaji Asante kwaneno lako
Asant baba mchunguji Mungu aendelee kukutunx
Mungu naomba univike haki yako amina
Barikiwaaa
Mungu akubariki sana mchungaji ❤
Amen, ubarikiwe Baba.
Amin Mungu akutunxeee
Amina kubwa
Mchungaji asante sana, ubrikiwee
Mchungaji Kimaro unatumiwa na Mungu asante sana
Mungu akubariki sana Baba
Kwa kweli mchungaji umenihubiria Mimi binafsi kwetu nyumbani Mimi ndie Rahabu naomba Mungu anikumbuke, naishi na nembo ya umalaya baada ya kuzaa watoto 6 na wababa tofauti, Mungu nikumbuke
Amen Mungu Ni mwaminifu Amen
Isaya 1:16-19. Mungu ni Mwema Wakati wate. Omba akupe Nguvu na Maongozi yake uishi sawasawa na Mapenzi yake. Tazama ya kale yamepita na yamekuwa mapya.
Amen mungu akutunze
Aminaa baba
Mungo akubarikai sana Mchungaji
Aameen ameen ameen.
Nikusikiliza mchunga nabarikiwa
Amen. Amen
Ameeen Baba ❤❤🎉🎉
Amem Amen
🙏
Mungu watu azidi kukulinda nakukubariki mchungaji
Tunabarikiwa sana na mahubiri yako tukowa USA
Amina
Ameen
Amen 🙏 🙏
Ameeeen
Hallelujah
Usiangalie ulikotoka tazama unakoenda
Wapelelezi walikuwa ni wawili si 12 . Joshua Mlango wa 2
Rahabu ndiye aliye funga kamba wala si wale wapelelezi wa 2.
Hakuna mahali ambapo Biblia inasema ndugu zake Rahabu walimtenga. Na ndio maana aliweza kuwakusanya wakaja kwake kama sharti la wao kuokolewa na mashambulizi.
Rahabu alijua nguvu za Mungu wa Israeli na Matendo yake makuu ya kuwaangamiza maadui wa Israeli. Aliwaapiza wale wa pelelezi kwa Mungu wao wa Israeli.
Waebrainia 11:31. Rahabu aliokolewa kwa Imani yake kwa kuukiri Ukuu wa Mungu wa Israeli na kwa vile aliwapokea wale wapelelezi wawili kwa Amani.
Ni vizuri kuchukua muda kuandika mahubiri kuliko kujiamini na kuhubiri uongo na kweli madhabahuni
Lakini umeelewa alichomaanisha
@davidkawesa3594
Nimeelewa kwamba Mungu ni Roho nao wamuabuduo hufanya hivyo katika Roho na Kweli. Yohana 4:24
Bila ya Roho Mtakatifu utakuwa unachekelea hata ukihubiriwa uongo ulio cha nganywa na ukweli kwa kujua/kutokujua ama kutetea anaye fanya hivyo badala ya kumshauri..
Kwa hiyo hata kama kakosea usimrekebishe eti usihukumu jamii itasadikaje?
Fanya maombi juu yake na si vinginevyo, Mungu wetu ni wautaratibu
@@nemeskilagula3119
Mungu wetu si muongo wala hahitaji ahubiriwe kwa uongo. Mungu ni Roho.
Yohana 4:24
😂😂😂Amen 🙏🙏
Mahubili yako yananibaliki
Amen mungu akutunze
🙏🙏