Umenena vema, wanaodekeza watoto hawajui mpaka pale wakishuhudia mbele watoto wamekuwa watu wazima hawajui kitu. Nidhamu inatengenezwa.!! Asante Mchungaji.
Nakupongeza kwa mafundisho mazuri ila kwa huo ukweli lazima wakupige wanadamu hasa walio juu Yako ila usiogope maana walianza kwa Yesu wanamaliza kwetu ili tufike kwa baba salama jipe moyo
Hakika mimi mwenyewe natokea mkoa wa Njombe. Ningechagua kuota moto. Asante wazazi wetu kwa malezi yenu Mungu awabariki. Nasi tutawalea vivyo hivyo watoto wetu.
Toka Makete mwezi wa tano hadi wa tisa ningeota moto tu, asante baba na mama mlinilea ipasavyo kwa fimbo na kwa maneno. Sasa naifurahia kazi yenu kwangu.
Haya ndio mahubiri yanayotakiwa,mueleze mtu wazi ili ajitambue itadaidia kuponya taifa na kanisa,japo tumechelewa.Nashukuru kwa msamaha wa baba askofu sasa Mch rudi na nguvu mpya,ari mpya,nia mpya na upako mpya 🙏
Haki ya mungu mchungaji umenena mm mmoja wapo niliazibiwa mbele ya wanafunzi wote mstalini nilikiona cha mtema kuni kwakweli ckurudia. Tena na huwa nawaambia wanangu venye nilikuwa so. Sipendagi ujinga nachapa
Tuliopata bakora toka kwa baba na mama TUJUANE
Nip0 jamn
Mimi hapa
Nipo niliwahi kufinywa sababu ni kufichua mbege iliyofichwa
Uwii kweli Mungu awatunze mamangu na kaka yangu maana baba alifariki nikiwa na miez 8 lkn walihakikisha ninasimama
Niko hapa. Za baba ziliunguza kama moto wa gesi. Asante baba.
Jmn hawa wazazi wa siku izi uwiiiiiii nyie nakibaya wakiwa na mfanyakazi nyie acheni, Baba umesema ukweli mtupu barikiwa sana ❤🙏🏽
Umenena vema, wanaodekeza watoto hawajui mpaka pale wakishuhudia mbele watoto wamekuwa watu wazima hawajui kitu. Nidhamu inatengenezwa.!! Asante Mchungaji.
Mtumishi Mungu akubariki uendelee kutoa mafundisho ya namna wazazi tunavyotakiwa kuwalea watoto wetu.
I always appreciate my Mom! Nakupenda Mama umenifanya mtu!
Salute kwa baba na mama bakora zenu zimenifanya niwe mtu
Ubarikiwe baba Mtumishi wa Mungu, umenigusa sana na mahubiri , maana kipindi hiki kuna mmomonyoko wa maadili.
Mungu akubariki sana Mchungaji Elion kwa maji unayomwaga kwenye masikio yetu.Mungu Akutunze
Appreciate pastor kimaro be blessed again 🙏 🙌 ❤
Amen baba💓💓💜
Asante sana mtumishi wa Mungu, sema tupone baba!
Ukweli unaongeaga ukweli baba , msumari wa moto huo!..wanajikuta wanajua sana kuwapenda watoto wao.
Asante sana Mch. Mimi mwenyewe nilikula bakora za kutosha na baba ni mchungaji. Mungu akubariki ktk huduma yako.
Pumzika kwa Amani Mama angu kwakweli bakora zako ndo zinaniongoza kwa hii dunia
Mungu akubariki mtumishi wa mungu umenikumbusha mbali sana
Yaaani nishafinywa Mimi Hadi nikaenda kulala kabulini kwa Baba Asanteeeeee Mama mwema
Mungu akubariki mtumishi
Nimasomo mazuri mtumishi Mimi Namshukuru Mungu kwa bakora alizonichapa mama angu Estruder Mtangi mpaka hapa nilipo.
👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿 Tell them.Thank you for the teachings God bless you mightily
Nakupongeza kwa mafundisho mazuri ila kwa huo ukweli lazima wakupige wanadamu hasa walio juu Yako ila usiogope maana walianza kwa Yesu wanamaliza kwetu ili tufike kwa baba salama jipe moyo
Hakika mimi mwenyewe natokea mkoa wa Njombe. Ningechagua kuota moto.
Asante wazazi wetu kwa malezi yenu Mungu awabariki. Nasi tutawalea vivyo hivyo watoto wetu.
Toka Makete mwezi wa tano hadi wa tisa ningeota moto tu, asante baba na mama mlinilea ipasavyo kwa fimbo na kwa maneno. Sasa naifurahia kazi yenu kwangu.
Mungu akubariki Sana mtumishi nabarikiwa na mahubiri yako.
God bless you man of God
It's totally true Dad , Yani nimekupenda! I agree with you 💯%
Hakika mi nilisha chapwa mbele ya wenzangu mstarin .na sikurudia tena utoro had leo mungu ni mwema Nafurahi malez niliyo pewa na mama🙏
Mchungaji unaongea kitu ambacho mafanyiwa Na watoto wa boss wangu mungu akuinue kiwango chajuu 🙏❤️
Sijawahi kuacha kukuelewa Mtumishi wa Mungu ,Mungu ameweka Neno lake kinywani mwako
Sure pastor this is what we're going through Saudi Arabia mtoto atatupa kila kitu everywhere since there is workers
Sema sanaaaa mchungaji kimaro mungu akusaidie sana kwa kuwaelemisha watoto wetu ambao ni kizazi cha sasa hivi kinacholea watoto wao vibaya
Mungu akubariki sana Mtumishi, endelee kutusaidia ili tupone.
Barikiwa sana mtumishi mungu wa mbingun azidi kukutunza
Ni kweli kabisa Kuna nyumba zingine ukienda unatamani uage muda huohuo. Watoto wa siku hizi Ni shida! Unatamani kumnasa kibao.
Mtumishi tunashukuru ila wazazi tunachangia sana kulea watoto vibaya kisa utandawazi,Cha msingi wazazi tulee watoto kijeshi azabu apewe inayostahili
asante Rev. asante napata mengi, mimi sio mluther ila nikija lazima nije niabudu kanisani kwako.
God bless you Pastor
Ubarikiwe sana kwa ujumbe mkubwa
Barikiwa papa pastor ukweli utazidi kuwa ukweli
Ubarikiwe mtumishi, yaani Mungu akuinue kwa viwango vyake! Uzidi kupewa mafunuo mengine
Good message
Amina sana ubarikiwe sana
Mafundisho wazi wazi haya...mtumishi 🇰🇪 twakupenda bure.
Very true Pastor
Amina
Mungu akubariki sana kwa ujumbe wa kulea watoto
great teachings.
🙏
Hongera pastor mungu akuinue zaid pia aendelee kukupa ujasir zaid uendelee kutusaidia
wazazi wetu wanachangia kuharibu maisha yetu
Asante sana mchungaji simo safi sana barikiwa sana
Asante mtumishi.
Mungu akubariki sana huwa nabarikiwa na mafundisho yako mtumishi
Mungu akubariki kwa funzo mchungai
Asante Kwa somo lililonirudisha mbali Sana. Asante wazazi
Mch.Mungu akubariki sana
Ahsante Mchungaji Kimaro sema usiogope sema watoto wetu wa sasa hivi ndiyo malezi yao
Very excellent in Jesus Christ 😇😇😇🙏🙏🙏
Tuambie mtumishi,Mungu akubariki
Amen.nahisi kubarikiwa
AMEEN AMEEN servants of God Our heavenly father bless and preserves you Baba
Nakuelewa sana Mchungaji Mungu akuinue zaidi
Asante kwa ujumbe
Mtumishi mwenye maneno ya maono ya kweli
Ukweli baba mungu akubariki sana baba
You parent take that challenge to change the way your living with children... Thanks my self I have learned a lot thank thanks thanks
Asante kwa walezi wetu waliotufundisha
Ubarikiwe sana Mchungaji Daktari Kimaro
Asante Mchungaji ni mafunzo mazuri sana
Leo umepiga penyewe, kiukweli malezi ya wazazi ni chanzo cha maadili mabovu kwa watu,
Ubarikiwe sana mchungaji
Thanks for good teachings
Well said Mchungaji .
Ubarikiwe
Hapo umenena mtumishi!nimebarikiwa sana.
Asante sana baba na mamaangu
Be blessed our parents
Mungu akubariki Mchungaji kwakutohubiri ujinga hata Mimi nimebarikiwa
Powerful message
Kwakweli ujinga hauondolewi kwa maombi kwa fimbo
Asante yote haya tumepitia mungu mbariki bibi yangu kwamalezi bora
Asante
Mchungaj unanibariki sana
Mungu akuzidishie karama hyo
Amen mt
👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾 it is true
Powerful 💪
Mungu akubariki nabarikiwa san kwa mahubiri yako
Umenena na Mungu Atuhurumie Sana
Kweli unaleft mwenyewe Mungu awabariki mama zetu
Saf sna baba Mchungaj ubarikiwe sna kwa mafundisho yko mema
Barikiwa sana mchungaji
asante mchungaji kwa kutukumbusha
Haya ndio mahubiri yanayotakiwa,mueleze mtu wazi ili ajitambue itadaidia kuponya taifa na kanisa,japo tumechelewa.Nashukuru kwa msamaha wa baba askofu sasa Mch rudi na nguvu mpya,ari mpya,nia mpya na upako mpya 🙏
Mungu anisaidie kuwalea inavyopasa
Umenikumbusha pastor
Waambie babaaaa. Mimi ndo maisha niliyoishi👍👍👍👍
Ubarikiwe
Asante mama kwa kunilea ipasavyo,r.i.p mamaa
🙏🙏🙏
Uko sawa kabisa Mchungaji ELIONA MUNGU AZIDI KUKUBARIKI SANA.UNA KIPAJI CHA MAHUBIRI.
Nabalikiwa Sana
Ubarikiwe sana mchungaji kwa kutoboa siri miongoni mwetu
Nakuelewa sana bb mimi wa miaka 50 now.Ubarikiwe
👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼
Mimi niliacha kumsadia mzee kuni akaja kunisemea kwa bibi ...nilishikiwa kichwa miguuni nikachapwa makalio...sikuwah kurudia...heshima na adabu debe
Ameen
Mungu awe nawe
👏👏👏👏
Mungu aturehemu sana
Haki ya mungu mchungaji umenena mm mmoja wapo niliazibiwa mbele ya wanafunzi wote mstalini nilikiona cha mtema kuni kwakweli ckurudia. Tena na huwa nawaambia wanangu venye nilikuwa so. Sipendagi ujinga nachapa
It's true