Mama yangu Mwenyezi Mungu amrehemu alisubiri kwny kimya cha masikini Asante mchungaji kw mafundisho mazuri Ubarikiwe kila iitwapo leo na Bwana Yesu aliye hai 🙏
Mungu mueke mahala pema peponi mama angu kumbe nina mwenzangu aliyeishi maisha yangu mch. Kimaro ayo maisha yako nimeyaishi ila mimi bado cjatoka niombee nimemkumbuka mama angu angu
Mama yangu Mwenyezi Mungu amrehemu alisubiri kwny kimya cha masikini Asante mchungaji kw mafundisho mazuri Ubarikiwe kila iitwapo leo na Bwana Yesu aliye hai 🙏
MUNGU abariki kizazi chako Mtumishi wa Mungu
Nimejifunza neno kubwa sana, kuendelea kudumu na kusubiri katika kimya na umasikini.
Mungu akubariki mtumishi,kupitia ushuhuda huu Mungu nakuomba uwainue ndugu zangu kiuchumi ambao mama yetu alitupigania ili tuweze kumsaidia wote.Amen
Ndiyo MAANA UNA moyo WA huruma mtumishi WA Mungu akubariki mnooo, mpaka ushangae
Niguse namimi mtumishi ni mjane hua nakufuatilia sana mtumishi shuhuda zako zinanipa nguvu mnoo
Mungu akubariki mtumishi kwa kutokukata tamaa pamoja na kupewa majani ya kahawa ulisonga mbele
Mungu akubariki sana mtumishi. Kiukweli hua unanitoa mahali moja kwenda pengine
Mungu akubariki sana Mchungaji unatutia sana moyo🙏🙏
Asante mpendwa unanitia nguvu mana nina mapito makubwa
Jina la BWANA lizidi kubarikiwa milele na milele, amina.
Una moyo wa tofauti Naomb mungu anisaidie nije kusaidia mayatima na wanaoteseka
😭😭🥹MUNGU ZIDI KUMUINUA MTUMISHI WAKO HUYU ELIONA🤲🙏🙏MUNGU USIMPITE KATIKA NDOTO ZAKE🙏🙏NINAOMBA NAKUOMBA AMEN
Barikiwa Mch Eliona. 🙏🏽🕊️🕊️💖💖💖🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Hongera sana mchungaji Kimaro tunamshukuru Mungu Kwa upendo wako Mungu amekuwezesha
Mungu akupe maisha marefu Mchungaji Kimaro
😭😭😭😭😭 Mungu yupo jamani acha kabisa huu ushuhuda umenikumbusha hallow
Ubarikiwe sana baba mungu akupe miaka mingi yakuyaishi haya mema tuzidi kujifunza
Mungu nakushukuru kwa ajili ya mchungaji Eliona
Mungu mueke mahala pema peponi mama angu kumbe nina mwenzangu aliyeishi maisha yangu mch. Kimaro ayo maisha yako nimeyaishi ila mimi bado cjatoka niombee nimemkumbuka mama angu angu
Endelea kuamini utafanikiwa pia. Nakuombea
Mungu apewe sifa...Bwana yuko pamoja na wewe
😭😭😭naamini ipo siku na mimi Mungu atatuinua kwa viwango vingine🙏
Mungu atusaidie kutenda mema hapa duniani!
Amina mchugaji kimaro uzidi barikiwa baba🙏
Bwana akubariki mtumishi wa mungu na azidi kukuinua
Nimejifunza nikiona mtu anauza unanunua Kwa sababu kumsaidia asante sana mchungaji Kimaro
Mungu ni mkuu sana
Ubarikiwe sana pastor wangu
Naomba na Mimi niwe na roho nzuri
Napenda Sana kukusikiliza, MUNGU akupe maisha marefu yenye baraka tele
Aameni mtumishi
Amen thank you Dr. Eliona Nasi tuna subiri kimya😔
Ameeen baba mchungaji ubarikiwe na kuinuliwa zaidi,na ubarikiwe kila iitwapo leo
Baraka ya mungu iwe nawe❤❤❤❤
Mama yangu alisubiri kwenye kimya pumzika kwa hamani mama mafundisho mazuri sana mtumishi 😢😢
Ubarikiwe pastor,nazidi kujifunza sana kwako.
😢😢 Umenivusha hapa nilipo,Barikiwa sana
Ameni
Barikiw mtumishi
Mumgu akubariki mtumishi
Hongera Kwa kulea watoto
Nguvu ya Mungu haipimiki kwa wakati wake aupendao yeye
Bba mungu akuweke sana
Amina
Numefurahi sana leo maana ni muda sijakusikia baba
Kuuza ni njia yakuomba
Tunabarikiwa mno na mafundisho yako mchungaji 🙏🙏
Mtumishi umepanda mbegu iliyo njema😢 Mungu wa mbinguni akubariki sana
Inspiring. Mungu akubariki sana pastor.
Hakika Mungu akutunze Mtumishi
Ndiyo maana itakiwa tuwe subiri kwemye maisha haya
Amen 🙏
Mungu wangu murehe mama yangu huko mpe furaha ya milele
Dah asante sàaana
Mungu azidi kukutumia
I do respect you 🎉🎉
Ni kweli
Mungu mwema sana
Asante sana 😮
Ubarikiwe sana mtumishi
🙏🙏🙏🙏
Amina Baba mchungaji
Mtumishi hii ni uharisia wa wstsnzanis we
🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼
❤❤
Hivi ni lazima kutangaza kuwa unawasaidia?
Ruwa ko Mndumiii
😭😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Hahhahahaha nimecheka kwa furaha
Amina