Kaa KIMYA Wewe! Hapatoshi BUNGENI; ASKOFU GWAJIMA NA WAZIRI JAFO WAKUNJANA /SPIKA TULIA AINGILIA KAT

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 23. 04. 2024

Komentáře • 23

  • @dianasamson9311
    @dianasamson9311 Před měsícem +2

    Asante sana Mch Gwajima mbunge wetu.kwa Kutukumbuka.... mito inatumalizia watu, inabomoa mpaka nyumba zilizo kwenye ramani ya mipango miji ... kwakweli kingo za mito.... mtusaidie wananchi. Mito Nyakasanga, tegeta, mpiji ni hatari unapanuka kwa kiasi cha kutisha. Mungu tusaidie mlione hili. Asante sana Mbunge wetu Gwajima kwa kuwakilisha.

  • @NancyMatuli-fb5jp
    @NancyMatuli-fb5jp Před 2 měsíci +2

    Gwajima gwajima Mungu akusamehe uliwadanganya wana nchi londa kuhusu barabara leo watoto wanashindwa kwenda shule alafu unapiga porojo za uongo Bungeni

  • @leonardmwayeya13
    @leonardmwayeya13 Před měsícem +1

    Yaani tanzania mabepari ndowanao kubarika kwajima yoko sahihi rakini wasio jiri afya xawatu hao wanaogopa wanapewa rushwa tu

  • @kyaro5945
    @kyaro5945 Před měsícem +1

    Australia nawala sangara toka Lake Victoria na kama wangekuwa na zebaki wasingefika Australia. Dr Ngwajima ni muongo.

  • @JohnMashamba
    @JohnMashamba Před 2 měsíci +3

    Unafaa kuwa waziri wa Madini.

  • @user-no1xc9tv5z
    @user-no1xc9tv5z Před 2 měsíci +4

    Halfu.kama.akinamama.kuugua.kansa.inawezekana.utumiaji.wa.majira.yampango.uzazi.yanana.wauza

  • @feiswalsalim2117
    @feiswalsalim2117 Před měsícem

    samahanii jee munatumiaa mfumoo ngani kubesabubuzalishaji kishaa mfumo nganii unatumika pvpi kutumika helabza mtz

  • @joycemagesa4752
    @joycemagesa4752 Před 2 měsíci +1

    Unapopoat kitu usitoe maelezo mengi hvyooo. Mm binafsi nachukia

  • @afidbillmusic8461
    @afidbillmusic8461 Před 2 měsíci +1

    Hili ni Bunge....

  • @user-hi7hy3bk8j
    @user-hi7hy3bk8j Před měsícem +1

    Gwajima J anapoint kubwa ya Bioaccumulation

  • @benny4345
    @benny4345 Před 2 měsíci +1

    Accridated ndo nini tena bwana Waziri? Inaitwa "Accredited" ndugu!

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 Před 2 měsíci +2

    Huu ni Askofu sio mtmshi wa Selikali hakuna aweza tumikia Mabwana 2, akabidhi Uaskofu watu wengine,yeye amtumikie kaisali ndo kAmchagua,

    • @manethmwiyanja7654
      @manethmwiyanja7654 Před měsícem +1

      wewe unajua nini kuhusu Mtu anaeitwa mtumishi wa Mungu kabla huja comment jaribu kufikiri kwanza, nakupa ufahamu Hata Rais ni mtumishi wa Mungu kwa kuwa kiongozi wa watu kwa kuwa Mungu ni Mungu wa watu wote wenye mwili, uje nikufundishe wewe.

    • @tarithalusola4458
      @tarithalusola4458 Před 8 dny

      Nayeye kamtumikie Mungu KAZI yako kumfatilia Mch Gwajima kwa mabaya Tu soma biblia akina Luka walimtumikia Mungu huku wanafanya KAZI nyingine

  • @davidmziray2048
    @davidmziray2048 Před 2 měsíci +1

    Yaani ukiwasikia unapata chefuchefu

  • @EMANUELMUSHI-kk4df
    @EMANUELMUSHI-kk4df Před 2 měsíci +1

    Wamemvua nguo

  • @petermakundi1220
    @petermakundi1220 Před měsícem +1

    Sasa gwajima mambo ya ziwa victoria yanakuhusu nini wananchi wa kawe tuna shida nyingi umeacha kuzungumzuia mambo ya kawe umeanza mambo ya zebaki kwani huko kanda ya ziwa hawana mbunge wa kuwasemea

    • @zamukahemele1505
      @zamukahemele1505 Před měsícem

      Kwan yeye anatokea wapi

    • @mdl6463
      @mdl6463 Před měsícem

      😂😂😂😂

    • @RamadhaniLukambuzi
      @RamadhaniLukambuzi Před měsícem

      Samaki wanauzwa nchi nzima kwahiyo kama wanasumu Gwajima nae anaweza kupata madhara hayo,Kwahiyo hakuna kuchangia hoja kwake ni muhimu sana!

  • @user-we5cc2dq7t
    @user-we5cc2dq7t Před 2 měsíci +2

    Waziri kalewa pombe

  • @GentleGiant-pj2rk
    @GentleGiant-pj2rk Před 2 měsíci +3

    Gwajima ni mzee wa story za vijiweni, anawakamata akili wajinga kwa jinsi anavyo present unaweza ukadhani ni mtaalam kweli kumbe ni mastori ya town tu.