#LIVE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 06. 2024
  • Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE CZcams Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

Komentáře • 97

  • @alphoncejmrema7912
    @alphoncejmrema7912 Před 3 dny +9

    Mheshimiwa Mpina sheria imebadilika imekaa chin ya cheo kiongoz sio juu pole mheshimiwa mungu ni mwema kila wakat

  • @michaelshegwando9125
    @michaelshegwando9125 Před 3 dny +7

    Mungu aendelee kukupa nguvu na hekima...
    Hakika utasimamiwa na Mungu

  • @user-cd9re4wt2b
    @user-cd9re4wt2b Před 3 dny +10

    Wabunge hoja wazijibu wasikimbilie kukufukuza watanzania tunalaani vikali kufukuzwa kwa mh Mpina

    • @danielhumble4292
      @danielhumble4292 Před 3 dny +3

      Tulishasema wakiwamaliza wapinzani watarudiana hivyo Mpina ni mwanzo wengine watafuata kutolewa sadaka au kafara

  • @mchunguliechibwa198
    @mchunguliechibwa198 Před 3 dny +4

    Ndio mjue nyie chawa,ccm hina wenyewe tena wanatoka familia bora sio nyie maskini tu,chawa..Well done comrade Mpina..safi sana kuwapa mahua yao Mh Samuel Sitta and Anna ...

  • @nicholaskileka1160
    @nicholaskileka1160 Před 3 dny +4

    Mpina Mungu akutangulie karika kutekeleza majukumu yako. Mungu anawaona hao wenye nia ovu

    • @matiredms917
      @matiredms917 Před 3 dny

      Jamani tuache kila kitu kwa Mungu. Mungu mwenyewe anasema"Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa" Maarifa yenyewe tayari yamewekwa kwenye Ibara ya Nane(8) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano ambacho kina toa Mamlaka yote ya Nchi kwa Wananchi na wala si kwa Rais. Sisi Wananchi tunashindwa kutumia madaraka haya lakini tumeshindwa na sasa tunamwachia Mungu. Watanzania tuwaige wenzetu wa Kenya. Tuchukue na kutekeleza Mamlaka yetu kikatiba kuwawajibisha Watawala na Bunge vyombo ambavyo haviwajibiki vilivyo.

  • @humphreymkony8915
    @humphreymkony8915 Před 3 dny +7

    Wala usijieleze sana Mhe Mpina. Wenye akili wanajua kinachoendelea ktk ufisadi wizi kuhujumu kunakofanywa na viongozi wanaojiita wasomi.

  • @EmmanuelJailos-pe3du
    @EmmanuelJailos-pe3du Před 3 dny +8

    Mpina usichokijua bunge letu la Sasa ni la ccm! Na ccm ni chama kinachowachukia watu waadilifu ni chama kinachotetea ufisadi.Ukifichua maovu wewe ni adui wa chama na bunge sababu bunge Hilo lipo kwaajili ya kutetea uovu na kujitajilisha wao binafsi Hawa uchungu na maisha ya watanzani.

    • @user-eo4bl3do8k
      @user-eo4bl3do8k Před 3 dny +1

      Ndio maana mimi huwa sianglii bunge letu la TANZANIA, KWASABABU HILO BUNGE KWASASA SIO BUNGE NI KIKAO CHA CHAMA CHA MAPINDUZI,, ,KILA KITU USEME NDIO NDIO HUKUSEMA NDIO WEWE NI MSALITI

  • @damaswikoko2596
    @damaswikoko2596 Před 3 dny +5

    Mpina uko vizuri sana

  • @danielkanso
    @danielkanso Před 3 dny

    Pole mheshimiwa shida ni kusema kweli kwa watu ambao hawahitaji ukweli na uwazi inaonekana unawakera kwa maswali na hoja zako keep it up

  • @user-eg1pk1sw4j
    @user-eg1pk1sw4j Před 3 dny +3

    Mpina GOAT,take your 🎉🎉🎉

  • @simonnaivasha6393
    @simonnaivasha6393 Před 3 dny

    Hongera Mpina ! Hata kanuni wazotunga wabunge wetu hawazijui hata spika, kumbe ndiyo maana mwanafun,I we fani ya😊 shule sheria shetia wafail😊ing wa mitihani waalimu eweinyewae

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 Před 3 dny

    Mmmmh ! Pole brother --- " Mungu ni mwenye haki,atakutetea "

  • @lupefiascojr.1896
    @lupefiascojr.1896 Před 3 dny +2

    Aiseeeee mpina kaonewaaaaaaaa Iko wazi

  • @meryshekoloa961
    @meryshekoloa961 Před 3 dny

    Kikubwa.mungu akutunze vuta subra.mtangulize mungu tusikupoteze napia usichoke kuomba rehema

  • @MariaCassian-e2i
    @MariaCassian-e2i Před dnem

    Watanzania hatuna maamuzi wabunge wanao tetea wananchi kwa dhati wananyanyaswa namna hii 😂😂😂 watanza nia tuna heshimiana sana hebu tuendelee kuheshimiana tendeni haki vyeo ni dhamana tu❤❤❤❤

  • @omariSaliboko
    @omariSaliboko Před 2 dny +1

    Mpina uko. Sahihi tuandamane

  • @petersongoma7183
    @petersongoma7183 Před 3 dny

    Kwa mtazamo wangu tumebaki na Mbunge mmoja tu wa wananchi katika Bunge la JMT anayefaa kuwa Mbunge katika Jimbo lolote Tanzania. Namwomba Mhe. Mpina asivunjike moyo wala kukata tamaa, Mungu yuko upande wake.

  • @johnpeterson9333
    @johnpeterson9333 Před 3 dny

    Another jpm ... Uzalendo unatakiwa ktk hii nchii tupo pamoja mpina big up

  • @asungwilemwaifungapenginei2385

    Mpina ni kweli ni mnyonge wa Tanzania. Ameongeza kwa uchungu mkubwa kwa kuzuia kutekeleza wajibu wake wa kikatiba. Hazungumzii uchungu wa kukosa posho

  • @MariamKhamis-i3v
    @MariamKhamis-i3v Před 3 dny +1

    Mpina👏👏👏

  • @tridabalira5992
    @tridabalira5992 Před 3 dny

    Too many mbuzi bungeni Ahsante Mh. Mpina fight on for the common Tanzania. Corruption inatuchosha.

  • @simonmanga7157
    @simonmanga7157 Před 3 dny +1

    Hadi hapa nimegundua kuwa:Tangu Tulia awe spika wa bunge Benger letu lomepoza mwelekeo,spika huyu ni wa hovyo kabisa!Wanambeya mmetuletea bomu bungeni!

  • @MsanangoMwalabu-rx1oo

    Jamani kuweni makini haka kamchezo uchaguzi umekaribia tujifunze kws nyarandu na lowassa na sumayi

  • @BenjaminiEdward-zh7zt
    @BenjaminiEdward-zh7zt Před 3 dny +4

    Kwa kitendo hiki cha kumnyanyasa Mpina CCM na Spika hawana nia njema na Watanzania tukutane Uchaguzi mkuu

    • @matiredms917
      @matiredms917 Před 3 dny

      Sawa kabisa ndugu umenena vema. Tawaamue kuwaondoa madarakani waliyopachikwa na Magufuli kinyume cha Katiba.

    • @TegemeaFutemakatifu
      @TegemeaFutemakatifu Před 3 dny

      ​@@matiredms917Mfumo huo tunaooooo??!!

    • @TegemeaFutemakatifu
      @TegemeaFutemakatifu Před 3 dny

      Mfumo wakufanikisha Hilo tunaooooo??!!

  • @michaelmwambije3603
    @michaelmwambije3603 Před 3 dny +1

    Tanzania hatuna bunge tangu mwenda zake alipo jiona Yuko juu ya mungu mpaka leo tuna vibaka na majambazi ndo yamekalia bunge wanachi tuamke

  • @user-cd9re4wt2b
    @user-cd9re4wt2b Před 3 dny +1

    Mh Mpina uko vizuri tunakuunga mkono uonevu huu uliotendewa ni unyama

  • @minazsaid2470
    @minazsaid2470 Před 3 dny

    Huyu ndio mwenye uchungu wa nchi yake ipo siku mtaelewa

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku Před 3 dny

    Siasa ningumu sana unahitaji uwe na moyo ujitoe kweli kweli
    TANU kilukua Chama Cha watu..baadae kikabidilishwa kikawa chama Cha ccm
    Hapa watu wachache ndio walikua na nguvu hasa mwenyekiti...Tangu mwaka 1964
    Maslahi na maamuzi ya Tanzania yamekua yakiamuliwa na watu wachache

  • @simonchristian6319
    @simonchristian6319 Před 3 dny

    Dili ya sukari hiyo mpina,pole sana ,Sasa Kama mtu anaufanyia hivi mti mbichi,itakuaje kwa mti mkavu

  • @walesbernard9115
    @walesbernard9115 Před 3 dny +1

    Mpina wewe ndiye mbunge pekee bungeni unayetetea wananchi. Muda utasema hao wabunge wa ikulu itafika muda mkatafute kura huko.

  • @user-kg8dn6qr8o
    @user-kg8dn6qr8o Před 3 dny

    Mpina ana fanya kazi kwa maslahi ya uma

  • @gasperjohnson3388
    @gasperjohnson3388 Před 3 dny

    Bora utufungue mana kanuni za kibunge sisi hatuzijui😢dah umeonewa kweli

  • @mariaanthoniangowi9376

    Nfugu Mpina,jibu ni kwamba huomradi ni wa spika na hao watu wake. Kwahio umeganyaka nyoka mkia kaka yetu. Lakini Mungu yuko mbioni kutoa majibu . Na saa yake ndio sasa imewadia

  • @richardmakweta8875
    @richardmakweta8875 Před 3 dny

    Sawa lakini nikuombe Sana Usije ukamkosea Mungu kwakutaka huruma ya hao walio kutenda isivyo haki mwache Mungu akupambanie wacha Mungu wanakuomea Sana ,kwani Ninani unayemsikia mwingine akipiga kelele kwaajili ya haki???

  • @NickTajir
    @NickTajir Před 3 dny +1

    Utashinda wameaibika wao na waliochangia walipangwa na spika

  • @AizackKalenge-ro5rc
    @AizackKalenge-ro5rc Před 3 dny

    Mh umegeuziwa kibao Kwa kuwa unasimamia haki na kweli,,Ulipinga uzwaji wa bandari,Utoroshwaji pesa za umma Kwa badhi ya mawaziri,Walikuwa wanakutafutia makosa ya kukutoa bungeni

  • @othmanyasin2838
    @othmanyasin2838 Před 3 dny

    Mpina mwamba sana,mtu mmoja ni jengo zima

  • @feliciankavishe6792
    @feliciankavishe6792 Před 3 dny

    Today huko ccm,wenimsema kweli

  • @negelepeter2295
    @negelepeter2295 Před 3 dny

    Nakuelewa sana

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku Před 3 dny

    Mpina ukiwa kwenye Hilo gwanda kazi Yako sio yakitoto

  • @wegesawaryoba3316
    @wegesawaryoba3316 Před 3 dny

    Mpina jeshi kubwa,sisi wananchi tunakuelewa.

  • @PeterKazimoto
    @PeterKazimoto Před 3 dny

    Wananchi tunakuelewa sana.Tupo NYUMA yako.

  • @richardmakweta8875
    @richardmakweta8875 Před 3 dny

    Wenzio hawakutaka uongelee mahali pawazi walitaka uwanong'oneze, watz wasije wakaelewa kinacho endelea pole ila Mungu muumba wa Mbingu nanchi hadhihakiwi.

  • @user-ii2vm5vv1b
    @user-ii2vm5vv1b Před 3 dny

    Elieshi poul: Hakika Mpina ndie aina ya wabunge tunawowahitaji kwani anatetea haki ya wananchi

  • @Stevenmwanisawa-dt5vb

    Mpina huna BAYA wanainchi tuko na wewe. Huyo bashe amekuwa mpiga maadili kama mwiguru. Taifa limeona

  • @CharlesElias-zh5hz
    @CharlesElias-zh5hz Před 3 dny

    Jaman Mpina kumbe Kuna madudu hayo. Mzee ulilusha ndoano Nini? Mbona anakunyanyasa hivo Kuna nini? Funguka baba unawavua nguo Leo. Ila jiandae kuhama

  • @williamfrancis8724
    @williamfrancis8724 Před 3 dny

    Wanawake Hawana uwezo wakuongoza Nchi

  • @komuhsengo9796
    @komuhsengo9796 Před 3 dny

    Hivi haya yana ukweli au😮 maana inauma sana ss wananchi

  • @mariaanthoniangowi9376

    Walikuwa wamejiandaa baba

  • @RamadhanAndrea-q6j
    @RamadhanAndrea-q6j Před 3 dny

    Mpina oyee

  • @elimelamerii2342
    @elimelamerii2342 Před 3 dny

    Hivi ni 26d na e au ni 29d&e??...mbona kuna kuchanganya hapo??

  • @matiredms917
    @matiredms917 Před 3 dny

    Mpina USHINDI dhidi ya Majambazi hayo ni dhahiri kabisa 2025. Magufuli ambaye kwa ubabe mkubwa angewatetea alishakwenda mbele ya HAKI.

  • @yonassngonye3759
    @yonassngonye3759 Před 3 dny

    Tumehama kwenye Reli

  • @CharlesElias-zh5hz
    @CharlesElias-zh5hz Před 3 dny

    Hata bungen Kuna makund mzee

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Před 3 dny

    Mpina you ok according your explanation Rong doing acson tulia take action agest you and lmbarasing to acson tulia as the palament speaker into our palament house but ccm won't agree on all this low act into Tanzania constitution still they will crush you by full force fear of cicret of explanation from you mpina you need saport from Tanzania opposition religious leader free team organization of tanzanian backing you if they won't backing you you will be on hard time way we know ccm ruling part

  • @BenjaminiEdward-zh7zt

    Kuweni makini na mambo mnayofanyia watu Spika na CCM huyu mtu atawapunguzia heshima ya chama na uongozi na wengine hawatarudi 2025 ikiwezekana watanzania tumalizane na ccm mwakani.

  • @idfoncekilawa7354
    @idfoncekilawa7354 Před 3 dny

    Hii vita ni ngumu ila kunaanguko la mtu hapo mbeleni mwenye nguvu atashinda

  • @user-ig7tb1cf8z
    @user-ig7tb1cf8z Před 3 dny

    Yaani Binge la wananchi lilikuwa katika kipindi cha Samuel Sitta, na Anne makinda sasa vioja tupu

  • @elimelamerii2342
    @elimelamerii2342 Před 3 dny +1

    KWANI TARATIBU ZA KUAPPEAL ZIKOJE??... KWA NINI ASIKATE RUFAA YA ADHABU ALIYOPEWA??

    • @matiredms917
      @matiredms917 Před 3 dny

      Ndugu yangu utakata rufaa kutoka mahakama ambayo iliyotoa ilikuwa inaongozwa na kima/ngedere na unategemea mahakama ya nyani ndiyo itakupa haki?

  • @labancharles8453
    @labancharles8453 Před 3 dny

    Hata itokeee nini MUNGU yu pamoja nawe Tanzania ni ya MUNGU ametupa usiogope sema ukweli maana msema kweli kipenz cha MUNGU

  • @BatazalNdifwa-nk2hl
    @BatazalNdifwa-nk2hl Před 3 dny

    Mimi mipnzani ila nakuunga mkono. Pambana mh. Ccm waonevu mno. Ok

  • @otswardowden6060
    @otswardowden6060 Před 3 dny

    Ngosha

  • @charlesmbaga6115
    @charlesmbaga6115 Před 3 dny

    Kinachokupponza nikiapo na sitaioa Siri xa BARAZA LA mawaziri Aluta cont

  • @CharlesElias-zh5hz
    @CharlesElias-zh5hz Před 3 dny

    Ndo maana kumbe walikuwa wameandaliwa kukandamiza

  • @user-cd9re4wt2b
    @user-cd9re4wt2b Před 3 dny +1

    Tunakuunga mkono tutetee mh Mpina uonevu waliokutendea tunaulaani vikali wananchi , WATANZANIA .Tuna laani kufukuzea Bungeni

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi4581 Před 3 dny

    Rudisha hela za wenye viwanda vya sukari ....sisi tunachofurahi sukari inaendelea kujaa na Bei kushuka...wenye viwanda unaowatetea walimsumbua hata magufuli hadi akamuagiza waziri mkuu aandae utaratibu wa serikali yenyewe iagize sukari baada ya kubaini wafanyabiashara wenye viwanda vya sukari wanatengeneza uhaba wa sukari kwa kuficha sukari ile Bei ipande wauze kwa Bei ya juu

    • @user-xx1je7sy4h
      @user-xx1je7sy4h Před 3 dny

      Wew ni chawa wa kijani achana na mpina huna hakir ya kubishana naye baki kuwa chawa ss wananchi tunamuelewa mpina

    • @mariaanthoniangowi9376
      @mariaanthoniangowi9376 Před 3 dny

      @ hajimnubi acha upumbavu que weelewa, au Ww ni Migongo mwauo uozo?

  • @AdamKaponda
    @AdamKaponda Před 3 dny

    Hilo ni bunge la nani?nanikalichagua?bunge batili matendo yake lazima yawebatili SI vinginevyo,,wamejaa uchawa,mtupu,hao wote ni wasakadili Kwa warabu,

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga6591 Před 3 dny

    hilo siyo bunge bali ni kikao cha wahuni mjanja ni wewe tu

  • @yonassngonye3759
    @yonassngonye3759 Před 3 dny

    Kipimo cha jazba!

  • @user-ju5ph3jp6f
    @user-ju5ph3jp6f Před dnem

    Kwa hili wametukosea watanzania wote sio wewe tu kama sio Mimi peke yangu nikiangalia bunge basi fahamu nataka kuona unaongea nini kwani walio wengi wamebaki kutafuta kiki tu

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh Před 3 dny

    Si uachane nao kaka kwani ccm imekuzaa mpina I imekusomesha?achana na ccm mpina kwani kabula hujawmbunge ilikua juli huvai?mbona mpina uwezo wa kula milomitatu mpende akupendae mpina achana nao fanta mambo yako achana na ccm mipina waachie lichama lao

  • @simonmanga7157
    @simonmanga7157 Před 3 dny

    Spika sufuri kabisa!

  • @fredrickmwakalinga6390

    Mpina nenda chadema hao wabunge na spika wote ni wachongo wa magu hakuna hta aliyechaguliwa na wananchi acha kupoteza muda kuwajibu wajinga wanajulikana japo wao hawajioni

  • @MonayLai
    @MonayLai Před 3 dny

    Bora awawahi kabla wao hawajafanya lolote dhidi yake

  • @davidkawesa3594
    @davidkawesa3594 Před 3 dny

    Mwenda zake alijuwa atapata nafuu angalijuwa angeweka katiba mpya jina lake lingeandikwa kwenye kumbukumbu
    Ssm muache hila Mungu yupo kazini

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Před 3 dny

    It show asheme to acson tulia on is low education doughty way mpina translation into Tanzania constuetion low act wich acson tulia use is lmbarasing under mpina low act translation Sasa watanzania ndio mchambue huyo mama uwanasheria wake alisoma wapi kwa nini ni speaker wa bunge lakini hizi hoja za mpina aibu tupu kwa speaker acson tulia ashrm to her lmbarasing her saif use act not me but is fellow ccmpina translate low act under Tanzania constitution

  • @yonassngonye3759
    @yonassngonye3759 Před 3 dny

    Kamati ya bajeti kumbe dili

  • @mariaanthoniangowi9376

    Ndugu zangu mnashanaa nini? CCM uozo tu na hawana boa Wala Lego lá kubadilika. Ni Sisu tu kufanya maamuzi magumu ya kuchukua mundo na make e yao kutwanga nazi na kuzika tu,2025 na kufuta kumbukumbu ya CCM Tanganyika.

  • @JosephIbrahimu
    @JosephIbrahimu Před 3 dny

    Mpina uko vizuri

  • @edwiniedwin3347
    @edwiniedwin3347 Před 3 dny +1

    Tungepata wabunge km hawa watano , Bunge lingekuwa bungen.

    • @richardnganya2311
      @richardnganya2311 Před 3 dny

      Uchaguzi ujao ifanyike kwa vitendo. Inawezekana sana kama tutaamua

  • @MariamKhamis-i3v
    @MariamKhamis-i3v Před 3 dny

    Mpina👏👏👏

  • @JosephIbrahimu
    @JosephIbrahimu Před 3 dny

    Mpina uko vizuri