Ukweli nilishangaa sana.Mimi ni MNEC nitakwenda nitasema hili.Wabunge Hawa ukweli walifanya vibaya sana.Na c utaratibu.Hawajui wajibu wao kama wabunge.Msitishe watu kusema ukweli
KINAMAKONDA KINABASHILU ALI KINA SABAYA KINA MPINA MNAFANYA NINI HUKO CCM TOKENI AZISHENI CHAMA AU KIPENI NGUVU CHAMA KIMOJA KIWE NA USHINDANI MKUBWA TUITOE CCM
Vita ya sukari bado mbichi..wabunge wa ccm wote ni wa ndioo inatokana na kwamba ,huu Ni mwishoo.wapo ambao wanaogopa hawatarudi..Sasa wanajikomba ili kwenye gwaride la u haguzi wasiachwe..Mpina nakuunga Mkono saana .Kuna kitu kimejificha nyuma ya uagizaji sukari
Mpina piga kazi kama msema kweri ni mtenda zambi basi hata waendao kanisani kumutukuza mungu kwa haki na kweri na wao hawataenda mbinguni ira kama msema ukweri na haki kama mpina basi hawa wabunge wajitasimini sana majimboni kwao 🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Shida jamii imeshiba sana amapiano vichwani bro kiasi unajikuta unapambana pekeako jifikilie jamii iachana na wakina amapiano wakamsikiliza DIZASTA VINA nini kingetokea naamini tungesapoti unachokifanya sana
Mpina ulitakuwa uunge mkono kila jambo hata kama halifai maana tumekulia mazoea hayo mpina! Kawaida ya mbunge ni kupigia makofi kila jambo liwe zuri au baya lazima uunge mkono
Hebu muwashauri hao wap..z wawe wanapita na mtandaoni kujua wananchi wao wanasema nini through comments afu wachukulie positively then wajitathimini kwa uongozi mbovu na maamuzi yao mabovu, wanatukwaza sana sisi wapenzi wa ccm. Mbunge kama mpima ni wa kuungwa mkono kabisa vinginevyo mnatufanya kuwa na mashaka na ccm ambayo tunaiamini kuwa ndiyo yenye viongozi bora wengi, kama vile Majariwa, Makonda, Mpina na wengi wengi. Kuna shida kubwa sio bure.
Nimeisikuliza hotuba yake huyu mwamba Ina saa moja na dakika kadhaa mwamba ana uwezo mkubwa Sana anatakiwa awe hata raisi ili twende speed kuyafikia MALENGO makubwa lakini tukiendelea kusifiana sifiana hatutafika mbali
Unda chama chako nitakupa kura yangu achana na wasio kubali kukosolewa kwa mabaya watendayo kwa Wananchi kifupi wanajali matumbo yao sio hali ya Wananchi wa chini.
Boss Kuna role of government in economic !!price ceiling and floor!!hii ni deal tu ya mafisadi serikalini!!Mpina is mzalendo na Bashe alipiga deal na sio kututetea wanyongeee
CCM mnajuana mambo yenu sisi wengine mambo yenu hayatuhusu malizaneni wenyewe hata wewe Mpina hatuna uhakika na ushindi wako katika uchaguzi wa mwaka 2020😮😮😮
Kuna methali inasema ukitaka kuona nyeti za kuku subiri upepo uvume hivi ndio juzi kanifuata mtu eti nikamchukue kadi ya ccm nikaona mtu anataka kunisukumia zigo la dhambi nimemjibu tu tuheshimiane basi
Wangapi tumeanza kupata mawazo ya Kenya?
Gonga like twende sawa
😂😂😂😂
❤
😂😂😂😂😂😂
Mawazo ya Kenya ya kipuuzi ingia barabarani uone
Daaaaaah bongo ni hatari sana
Wanaosema Mh Mpina ni nuru ya waishio gizani tujuane hapa.
Mpina tunakukubalia sana mungu atakufanyia wepes
Pole sana lazima upigwe mawe kwasababu msema ukweli
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Waongo waliungana kumuadhibu mkweli😢
Tuko pamoja Mh Mpina, Wabunge wengi ni vilaza hawajui ht wajibu wao Bungeni
Msukuma mmoja hivi mwenye akili nyingi sana
CCM HAWATAKI MTU ANAYE ONGEA UKWELI 😂😂😂😂😂
Jaman jaman jaman. Eee MUNGU tusaidie, maana sisi wengine tunaishi kwa neema yako
True
Wewe kama mwananchi unasemaje? Nchi inaibiwa watu wako bize kubishana simba na yanga
Mwizi yeyote ukimnyooshea kidole kwa sababu ya wizi aliofanya lazima akasirike na kutafuta mbinu ya kukunyamazisha.
@@MariagorethPetero kwahiyo nyie watanzania mnashabikia wezi
Ukweli nilishangaa sana.Mimi ni MNEC nitakwenda nitasema hili.Wabunge Hawa ukweli walifanya vibaya sana.Na c utaratibu.Hawajui wajibu wao kama wabunge.Msitishe watu kusema ukweli
Namkubari sana mpina
Hongera sana Mpina wenye akili tunakuelewa!
MPINA ni Mzalendo kweli kweli. Kila silaha itakayofanyika juu yako HAITAFANIKIWA. ISAYA 54:17, usiogope
Tatizo mpina umesema ukweli kwani ujui kama ccm wanapenda uhongoo ila usijali wakikufukuza njoo chadema kwani nini
BORA AANZISHE CHAMA CHAKE HAO CDM NDIO WALEWALE TU NGOJA WAPATE NAFAC UONE TENA BORA NA CCM
@@user-hd5bg8qw1bZito ameanzisha chake mkamtelekeza
Aje chadema sisi tunamchkua msigwa usajili kama wa mutale simba
Aje chadema??!! Wao ndo kabisaaa!!! Ukisema ukweli unaitwa msaliti dah!!
Na awezi kwenda chadema yeye xo mjinga Bora haunde chama chake.
Ukiona hivyo huyo BASHE hakufanya yeye kama waziri bali alipewa maagizo kutoka juu.
Kwel
Umeongea point sana ,nakupa hongera.
Umeongea akili ya wenye akili na huyu angenyamaza KUSUBIRI muda useme ,asijitose kwenye bahari isiyo na nanga 😢
Fact KABISA...waazishe chama sisi tutawapa kura
Makonda
Mpina
Kaliman
Lukuv
Gwajima
Tunawapa kura chap
Kabisaaa
Jamaa anahoja asikilizwe
Tulia anajipendekeza kwà samia sana badala aisimamie serekali kwào hamna hata barabara ana KAZI ya kumfungia mpina
We love you Mpina...
Msema kweli hii nnchi anachafuliwa sana Mpina tupambanie
MIMI NAWASHANGAA SANA KWA NINI MSIANZISHE CHAMA CHENU MTAPATAWATU WENGI SANA KUSHINDA CCM
WATANZANIA HAWA WABUNGE WASIRUDI TENA
Watu weng hawajui sheria , mpina upo sawaaa
kaka pina umenifanya nianze kufikiri kutafuta mbadala wa chama changu. hongera sana wewe ni Kwa uwajibikaji mzuri wa Afya ya taifa letu😊
Bashe kalindwa Kwa nguvu saana
MPINA UPO VZR SANA BUNGE LETU UCHAWA MWINGI ENDELEA KUIPAMBANIA NCHI NA WANANCHI WENYE AKILI TUNAKUELEWA SIKU ZOTE UKWELI HUWA UNAUMA
Uko sawa mh.mpina the message sent and the delivery.
Ukiongea ukweli hapa kwa baadhi ya mafala walio wengi Tanzania hawataki matokeo yake ni kujaribu kumzuia msema mkweli
Mpina stand firm
❤❤❤❤mungu akulinde
One Man Army (OMA).
Nawakumbusha tu chama anachotoka huyu mwamba badiliahen maamuz mapema sana itawaghalim mno ushauri lakin SPIKA pia bashe jitafakari kaka
Mtafanya nini,vyombo vya ulinzi vipo imara
AWA WABUNGE WAMEJISAHAU KAMA WALIFANYIWA KAMPENI NA JPM KWA UTAMU WA MADARAKA WASIRUDI TENA BUNGENI
Usiwe na wasi wasi tuko na wewe na wapiga Kula wako tutakikisha unarudi bungeni Kwa kishindo na bado siku unarudi bungeni tutakusindikiza
ipo cku atakuja magufuli mwingne watakuja kunyea debe
Bashe ni hamna kitu nikiongea hivi Nina sababu za msingi kwenye vyama vya msingi Kuna wizi sio kidgo na yuko kimya
Namuona chuma kwa mbaliiiii mzalendo Mungu akulinde
Usikubali kujiuzilu mzee wangu yaani mpaka wasemeee!!Bashe ni muongo sana hata ukimwangalia materials and formally
Tanzania tunashabikia ujinga
@christinakomba689 haya ww shabikia ujanja
1:13 @@christinakomba689
Bashe ni muongo !!Mpina kasema ukweli Ila ni kawaida waovu kuteteana🤮🤮🤮🤮
WATANZANIA TUAMKE HAWA WABUNGE TULIWACHAGUA KWA SABABU YA JPM TUAKIKISHE AWALUDI TENA BUNGENI AWA MAKUMA
Nimekulewa sana broo,kwa kweli walibebwa na jina la jpm
😢khaaaaa eti makuma tusilingine ulikosa
@@marcynhumbi3534Muazime kama utakuwa nalo😂
Hawafai
Nani alikwambia kura zako zilihesabiwa ? Hahaha haya
Mpina kiboko!!!!Ngosha getegete!!!
I'm grateful to hea that....keep going sir.
Huyu jamaa ni kichwa tunao wachache sana wengine waliobaki wote ni ndio mzee
KINAMAKONDA KINABASHILU ALI KINA SABAYA KINA MPINA MNAFANYA NINI HUKO CCM TOKENI AZISHENI CHAMA AU KIPENI NGUVU CHAMA KIMOJA KIWE NA USHINDANI MKUBWA TUITOE CCM
Kama niwazavyo
Duu hili wazo nililiwaza tangia asubuhi kamq ulikuwepo
@@SarahRajah kweli ndugu yangu CCM awanamvuto WATANZANIA wanamvuto na watu awa
Nakukubari Sana Mpina Mungu akulinde
WABUNGE WAMAGUFULI AWATORUDI TENA
MILLARD BONGE LA MNAFKI
Huyu inatakiwa kila mahali awe anakundi la watu wanamshangilia, ila mambwa wamelala tu usingizini.
VIVA KOMREDI MPINA....HILO NI GENGE LA WABUNGE WALA RUSHWA NA UFISADI....TUNAWAAMBIA....WATANZANIA SIO WAJINGA!
Wananchi tupo na Wewe hata uende upinzani tutasimama na wewe
My role model
Nilidhani kuwa MPINA YUPO 100% Correct ila Sasa naanza kuelewa kumbe there is something behind we have to be careful
Spika na bunge hawakumtendea haki Mpina, kaka simama na ukweli watanzania tunakuelewa sana
Mtu ukikaa kimya huwezi kupungukiwa na zaidi utabarikiwa tu.
Acha nidhamu ya uoga kukaa kimya afu muendelee kupiga sio
Kwani wananchi walikuchagua ili uwe bubu bungeni?
Haya maoni 2 yanamajibu mh mpina uko juu
MIMI NINAUAKIKA WATU HAWA SITA SABA WANAITOA CCM MADARAKANI
Vita ya sukari bado mbichi..wabunge wa ccm wote ni wa ndioo inatokana na kwamba ,huu Ni mwishoo.wapo ambao wanaogopa hawatarudi..Sasa wanajikomba ili kwenye gwaride la u haguzi wasiachwe..Mpina nakuunga Mkono saana .Kuna kitu kimejificha nyuma ya uagizaji sukari
Mpina piga kazi kama msema kweri ni mtenda zambi basi hata waendao kanisani kumutukuza mungu kwa haki na kweri na wao hawataenda mbinguni ira kama msema ukweri na haki kama mpina basi hawa wabunge wajitasimini sana majimboni kwao 🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Pole sana Mungu akutangulie ndio Tanzania yetu ukisema ukweli unachukiwa
Mpina akili kubwa na mzalendo wa kweli
Ipo siku mawe yataongea kwa jina la Yesu
Ok sawa asilimia zote 100/ kwahoja zako mh Pina tunaka wazalendo kamama wewe sio wapiga diri 2025 tunawasubiri watukute
Jamani Mpina unaeleweka vizur mno yatawarudia wao watadhalilika
Nimegundua kuwa hata mafisadi majambazi, na majizi yote yanalindwa 😢
Daaaa pole Sana,lakini ubaki tu CCM.
Dah nuru itang'aa hv punde mungu yuko pamoja nawe na mamilion ya watz nko pamoja!!
Sasa usisome sana basi boss , hoja zote clean kabisa
Nenda Chadema tu ukaungane Lissu huna ishu
Shida jamii imeshiba sana amapiano vichwani bro kiasi unajikuta unapambana pekeako jifikilie jamii iachana na wakina amapiano wakamsikiliza DIZASTA VINA nini kingetokea naamini tungesapoti unachokifanya sana
Xnaaaa bro mpina simama imara shetani yuko kazini wanaleta stress zao ndani ya bunge wapeleke kule
Mpina ulitakuwa uunge mkono kila jambo hata kama halifai maana tumekulia mazoea hayo mpina! Kawaida ya mbunge ni kupigia makofi kila jambo liwe zuri au baya lazima uunge mkono
USIOGOPE kuachwa na CHAMA ,Ogopa kuachwa na MUNGU
Toka huko ccm watakumaliza blo
Namkubali sana luhaga mpina
Mpina kaza baba uku vizuri
Huyu ni Moja ya vibaraka wa wanaofanya sukari owe hadimu. Kwahiyo tufuate Sheria tufe na njaa
.MPINA BINGWA NAKUPENDA ENDELEA KUPATA DHAWABU TOKA KWA MUNGU
Hebu muwashauri hao wap..z wawe wanapita na mtandaoni kujua wananchi wao wanasema nini through comments afu wachukulie positively then wajitathimini kwa uongozi mbovu na maamuzi yao mabovu, wanatukwaza sana sisi wapenzi wa ccm. Mbunge kama mpima ni wa kuungwa mkono kabisa vinginevyo mnatufanya kuwa na mashaka na ccm ambayo tunaiamini kuwa ndiyo yenye viongozi bora wengi, kama vile Majariwa, Makonda, Mpina na wengi wengi. Kuna shida kubwa sio bure.
Mpina wewe unasitahili Sana Sana,kutusemea wananchi.wabunge wezako hamna kitu hao,tupambanie raia tuko na wewe mpina
MPINA CHADEMA, MSIGWA CCM.. ngoma draw
kwa mfano raisi awe MAKONDA makamu awe MPINA waziri mkuu mwambukusi pata picha 2025 hiyo serekali itakuaje please REPLY
Nimeisikuliza hotuba yake huyu mwamba Ina saa moja na dakika kadhaa mwamba ana uwezo mkubwa Sana anatakiwa awe hata raisi ili twende speed kuyafikia MALENGO makubwa lakini tukiendelea kusifiana sifiana hatutafika mbali
Piga kazi , nchi hii hakuna mzalendo wote wahamiaji
Unda chama chako nitakupa kura yangu achana na wasio kubali kukosolewa kwa mabaya watendayo kwa Wananchi kifupi wanajali matumbo yao sio hali ya Wananchi wa chini.
Mzee waburuze mahakamani uko sahihi
Wakenya ni wanaume kiukwl Ila sisi hapa bongo wote ni wanawake tu
Safiiii mpina
Ccm watokee madarakanii watatuonea mnoo,mafisadi na wala rushwa na upendeleoo MUNGUU WA hakii yupoo atawpa mshangaoo na duniaa haitoo aminii
Sisi shida yetu ni sukari ya bei nafuu,habari ya nani kaileta haituhusu.Usitafute kiki brooh
Wamebaki makamanda wachache nchii hii.
Ccm ni mavi tuu tena ya mwishoooo
daa mpina una wakati mgumu kweli ccm yako ni watu wabaya sana awa taki ukweli usemwe pole kaka ukweli tusha ujuwa
Halafu tuna akina Msigwa humu wanajiunga na hili pango la majambazi
Kwa maslai ya nchi arudi bungeni
Baadhi ya wabunge ni chawa tu, hawa maana kabisa, mh usiogope waeleze kabisa kwani ni wanafiki
Achana na hao wabunge wapumbavu.
Hao wanao taka usiseme ukweli wana kushtaki
Niwapigaji hao Mbunge kazi yake kuisimamia serikali ikikosea isemwe ikifanya vizuri isifiwe
CCM ni janga kubwa sana la kitaifa, adui namba moja wa watanzania ni chama chakavu cha CCM na family zao, bola ukimwi kuliko CCM kuwepo Tanzania.
HATA CDM C CHAMA SAHIHI KUPEWA MADARAKA HAPO WALIPO MATE YANAWATOKA KAMA M"MBWA
Tumwombe tu MUNGU ila Tz hatuna vyama bora tuna bora vyama
Sawa aliingiza bila sheria ila alitetea sisi walaji sababu viwanda vya sukari vinapandisha bei hovyo hovyo bora kilichofanyika sukari imepungua bei
Boss Kuna role of government in economic !!price ceiling and floor!!hii ni deal tu ya mafisadi serikalini!!Mpina is mzalendo na Bashe alipiga deal na sio kututetea wanyongeee
Kama hujui matatizo yanatengenezwa maksudi ili kuyatatua kwa faida
Hivi hawa wabunge mnaendaga kufanya nini kwenye mikutano yao au mnakwendaa kumuona daimond
CCM mnajuana mambo yenu sisi wengine mambo yenu hayatuhusu malizaneni wenyewe hata wewe Mpina hatuna uhakika na ushindi wako katika uchaguzi wa mwaka 2020😮😮😮
Akilinyingi sana
Nakukubali sana kaka hawajielewe hawo wavunia tumbo
Kuna methali inasema ukitaka kuona nyeti za kuku subiri upepo uvume hivi ndio juzi kanifuata mtu eti nikamchukue kadi ya ccm nikaona mtu anataka kunisukumia zigo la dhambi nimemjibu tu tuheshimiane basi
Badala waboreshe viwanda vyetu za ndan