MPINA AJIBU WABUNGE WALIOSEMA WATAKWENDA KUMSHTAKI KWENYE VIKAO NEC "CCM SIO PANGO LA WALANGUZI"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 06. 2024

Komentáře • 298

  • @kamandashupavu206
    @kamandashupavu206 Před 6 dny +135

    Wangapi tumeanza kupata mawazo ya Kenya?
    Gonga like twende sawa

  • @jonfredkewe3451
    @jonfredkewe3451 Před 6 dny +70

    Wanaosema Mh Mpina ni nuru ya waishio gizani tujuane hapa.

    • @KhadijakassimMwaipaya
      @KhadijakassimMwaipaya Před 6 dny

      Mpina tunakukubalia sana mungu atakufanyia wepes

    • @KhadijakassimMwaipaya
      @KhadijakassimMwaipaya Před 6 dny

      Pole sana lazima upigwe mawe kwasababu msema ukweli

    • @molenicharles9107
      @molenicharles9107 Před 5 dny

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @user-eh5fw5gj4c
    @user-eh5fw5gj4c Před 6 dny +35

    Waongo waliungana kumuadhibu mkweli😢

  • @edwinkajuna7207
    @edwinkajuna7207 Před 6 dny +12

    Tuko pamoja Mh Mpina, Wabunge wengi ni vilaza hawajui ht wajibu wao Bungeni

  • @husseinbakary1969
    @husseinbakary1969 Před 6 dny +24

    Msukuma mmoja hivi mwenye akili nyingi sana

  • @cleofasladislaus2177
    @cleofasladislaus2177 Před 6 dny +71

    CCM HAWATAKI MTU ANAYE ONGEA UKWELI 😂😂😂😂😂

    • @janejoel2465
      @janejoel2465 Před 6 dny +3

      Jaman jaman jaman. Eee MUNGU tusaidie, maana sisi wengine tunaishi kwa neema yako

    • @lindatogether
      @lindatogether Před 6 dny +1

      True

    • @nsajigwamwakalonge5702
      @nsajigwamwakalonge5702 Před 6 dny +2

      Wewe kama mwananchi unasemaje? Nchi inaibiwa watu wako bize kubishana simba na yanga

    • @MariagorethPetero
      @MariagorethPetero Před 6 dny +2

      Mwizi yeyote ukimnyooshea kidole kwa sababu ya wizi aliofanya lazima akasirike na kutafuta mbinu ya kukunyamazisha.

    • @nsajigwamwakalonge5702
      @nsajigwamwakalonge5702 Před 6 dny

      @@MariagorethPetero kwahiyo nyie watanzania mnashabikia wezi

  • @user-ps6wm2qm4f
    @user-ps6wm2qm4f Před 6 dny +21

    Ukweli nilishangaa sana.Mimi ni MNEC nitakwenda nitasema hili.Wabunge Hawa ukweli walifanya vibaya sana.Na c utaratibu.Hawajui wajibu wao kama wabunge.Msitishe watu kusema ukweli

  • @josenyalusi7390
    @josenyalusi7390 Před 6 dny +35

    Namkubari sana mpina

  • @davidrweyemamu938
    @davidrweyemamu938 Před 6 dny +10

    Hongera sana Mpina wenye akili tunakuelewa!

  • @nashonjoel20
    @nashonjoel20 Před 6 dny +12

    MPINA ni Mzalendo kweli kweli. Kila silaha itakayofanyika juu yako HAITAFANIKIWA. ISAYA 54:17, usiogope

  • @denisipaulo7785
    @denisipaulo7785 Před 6 dny +42

    Tatizo mpina umesema ukweli kwani ujui kama ccm wanapenda uhongoo ila usijali wakikufukuza njoo chadema kwani nini

    • @user-hd5bg8qw1b
      @user-hd5bg8qw1b Před 6 dny +4

      BORA AANZISHE CHAMA CHAKE HAO CDM NDIO WALEWALE TU NGOJA WAPATE NAFAC UONE TENA BORA NA CCM

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa Před 6 dny

      ​@@user-hd5bg8qw1bZito ameanzisha chake mkamtelekeza

    • @emanuelgavile3503
      @emanuelgavile3503 Před 6 dny

      Aje chadema sisi tunamchkua msigwa usajili kama wa mutale simba

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 Před 6 dny +1

      Aje chadema??!! Wao ndo kabisaaa!!! Ukisema ukweli unaitwa msaliti dah!!

    • @stevenkatani3047
      @stevenkatani3047 Před 6 dny +1

      Na awezi kwenda chadema yeye xo mjinga Bora haunde chama chake.

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 Před 6 dny +21

    Ukiona hivyo huyo BASHE hakufanya yeye kama waziri bali alipewa maagizo kutoka juu.

    • @EmmanuelChrispin-bo5xh
      @EmmanuelChrispin-bo5xh Před 6 dny +1

      Kwel

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz Před 6 dny +1

      Umeongea point sana ,nakupa hongera.

    • @liannsambu7264
      @liannsambu7264 Před 6 dny

      Umeongea akili ya wenye akili na huyu angenyamaza KUSUBIRI muda useme ,asijitose kwenye bahari isiyo na nanga 😢

    • @yordanyona1234
      @yordanyona1234 Před 6 dny +1

      Fact KABISA...waazishe chama sisi tutawapa kura
      Makonda
      Mpina
      Kaliman
      Lukuv
      Gwajima
      Tunawapa kura chap

    • @MATIKO9640
      @MATIKO9640 Před 6 dny

      Kabisaaa

  • @millandoinstructor8844
    @millandoinstructor8844 Před 6 dny +15

    Jamaa anahoja asikilizwe

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fu Před 6 dny +10

    Tulia anajipendekeza kwà samia sana badala aisimamie serekali kwào hamna hata barabara ana KAZI ya kumfungia mpina

  • @MPOYOLAFILMS
    @MPOYOLAFILMS Před 6 dny +4

    We love you Mpina...

  • @gabapentin8070
    @gabapentin8070 Před 6 dny +21

    Msema kweli hii nnchi anachafuliwa sana Mpina tupambanie

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui Před 6 dny +8

    MIMI NAWASHANGAA SANA KWA NINI MSIANZISHE CHAMA CHENU MTAPATAWATU WENGI SANA KUSHINDA CCM

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui Před 6 dny +18

    WATANZANIA HAWA WABUNGE WASIRUDI TENA

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 Před 6 dny +5

    Watu weng hawajui sheria , mpina upo sawaaa

  • @ludanishirima5102
    @ludanishirima5102 Před 6 dny +4

    kaka pina umenifanya nianze kufikiri kutafuta mbadala wa chama changu. hongera sana wewe ni Kwa uwajibikaji mzuri wa Afya ya taifa letu😊

  • @amosmwampamba
    @amosmwampamba Před 6 dny +11

    Bashe kalindwa Kwa nguvu saana

  • @hassnsalim5156
    @hassnsalim5156 Před 6 dny +17

    MPINA UPO VZR SANA BUNGE LETU UCHAWA MWINGI ENDELEA KUIPAMBANIA NCHI NA WANANCHI WENYE AKILI TUNAKUELEWA SIKU ZOTE UKWELI HUWA UNAUMA

  • @levinareuben
    @levinareuben Před 5 dny

    Uko sawa mh.mpina the message sent and the delivery.

  • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur

    Ukiongea ukweli hapa kwa baadhi ya mafala walio wengi Tanzania hawataki matokeo yake ni kujaribu kumzuia msema mkweli

  • @dilludillu2747
    @dilludillu2747 Před 6 dny +4

    Mpina stand firm

  • @user-nn7uf1mr7x
    @user-nn7uf1mr7x Před 6 dny +6

    ❤❤❤❤mungu akulinde

  • @kungulesh
    @kungulesh Před 6 dny +7

    One Man Army (OMA).

  • @emmanuelmwanzalima8337
    @emmanuelmwanzalima8337 Před 6 dny +7

    Nawakumbusha tu chama anachotoka huyu mwamba badiliahen maamuz mapema sana itawaghalim mno ushauri lakin SPIKA pia bashe jitafakari kaka

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa Před 6 dny

      Mtafanya nini,vyombo vya ulinzi vipo imara

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui Před 6 dny +3

    AWA WABUNGE WAMEJISAHAU KAMA WALIFANYIWA KAMPENI NA JPM KWA UTAMU WA MADARAKA WASIRUDI TENA BUNGENI

  • @albertbunyinyiga7581
    @albertbunyinyiga7581 Před 6 dny +3

    Usiwe na wasi wasi tuko na wewe na wapiga Kula wako tutakikisha unarudi bungeni Kwa kishindo na bado siku unarudi bungeni tutakusindikiza

  • @dancerboy2686
    @dancerboy2686 Před 6 dny +3

    ipo cku atakuja magufuli mwingne watakuja kunyea debe

  • @karimjuma4019
    @karimjuma4019 Před 6 dny +3

    Bashe ni hamna kitu nikiongea hivi Nina sababu za msingi kwenye vyama vya msingi Kuna wizi sio kidgo na yuko kimya

  • @user-yv1nw2sq6t
    @user-yv1nw2sq6t Před 6 dny +2

    Namuona chuma kwa mbaliiiii mzalendo Mungu akulinde

  • @bonifasmashingia
    @bonifasmashingia Před 6 dny +8

    Usikubali kujiuzilu mzee wangu yaani mpaka wasemeee!!Bashe ni muongo sana hata ukimwangalia materials and formally

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui Před 6 dny +48

    WATANZANIA TUAMKE HAWA WABUNGE TULIWACHAGUA KWA SABABU YA JPM TUAKIKISHE AWALUDI TENA BUNGENI AWA MAKUMA

  • @masanjajohn-qs7mq
    @masanjajohn-qs7mq Před 6 dny +3

    Mpina kiboko!!!!Ngosha getegete!!!

  • @Afrikan-ol8qn
    @Afrikan-ol8qn Před 6 dny

    I'm grateful to hea that....keep going sir.

  • @PeterMaonga
    @PeterMaonga Před 6 dny +2

    Huyu jamaa ni kichwa tunao wachache sana wengine waliobaki wote ni ndio mzee

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui Před 6 dny +5

    KINAMAKONDA KINABASHILU ALI KINA SABAYA KINA MPINA MNAFANYA NINI HUKO CCM TOKENI AZISHENI CHAMA AU KIPENI NGUVU CHAMA KIMOJA KIWE NA USHINDANI MKUBWA TUITOE CCM

    • @yordanyona1234
      @yordanyona1234 Před 6 dny

      Kama niwazavyo

    • @SarahRajah
      @SarahRajah Před 6 dny

      Duu hili wazo nililiwaza tangia asubuhi kamq ulikuwepo

    • @KingBuddah-nx3ui
      @KingBuddah-nx3ui Před 5 dny

      @@SarahRajah kweli ndugu yangu CCM awanamvuto WATANZANIA wanamvuto na watu awa

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt Před 5 dny +1

    Nakukubari Sana Mpina Mungu akulinde

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui Před 6 dny +4

    WABUNGE WAMAGUFULI AWATORUDI TENA

  • @godsson5954
    @godsson5954 Před 5 dny +1

    MILLARD BONGE LA MNAFKI

  • @abednego3876
    @abednego3876 Před 6 dny +3

    Huyu inatakiwa kila mahali awe anakundi la watu wanamshangilia, ila mambwa wamelala tu usingizini.

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u Před 6 dny +1

    VIVA KOMREDI MPINA....HILO NI GENGE LA WABUNGE WALA RUSHWA NA UFISADI....TUNAWAAMBIA....WATANZANIA SIO WAJINGA!

  • @bonifasmashingia
    @bonifasmashingia Před 6 dny +10

    Wananchi tupo na Wewe hata uende upinzani tutasimama na wewe

  • @machujamathias7165
    @machujamathias7165 Před 6 dny +2

    My role model

  • @maulidimuhani
    @maulidimuhani Před 5 dny

    Nilidhani kuwa MPINA YUPO 100% Correct ila Sasa naanza kuelewa kumbe there is something behind we have to be careful

  • @user-sk2xn4qm3k
    @user-sk2xn4qm3k Před 6 dny +1

    Spika na bunge hawakumtendea haki Mpina, kaka simama na ukweli watanzania tunakuelewa sana

  • @WilbertChambilo-yl1kc
    @WilbertChambilo-yl1kc Před 6 dny +2

    Mtu ukikaa kimya huwezi kupungukiwa na zaidi utabarikiwa tu.

    • @user-to6cg8uf3f
      @user-to6cg8uf3f Před 6 dny +1

      Acha nidhamu ya uoga kukaa kimya afu muendelee kupiga sio

    • @martineopapa7383
      @martineopapa7383 Před 6 dny

      Kwani wananchi walikuchagua ili uwe bubu bungeni?

  • @ellsonmkonyi1319
    @ellsonmkonyi1319 Před 6 dny +1

    Haya maoni 2 yanamajibu mh mpina uko juu

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui Před 6 dny +1

    MIMI NINAUAKIKA WATU HAWA SITA SABA WANAITOA CCM MADARAKANI

  • @eliakazilo6078
    @eliakazilo6078 Před 6 dny +1

    Vita ya sukari bado mbichi..wabunge wa ccm wote ni wa ndioo inatokana na kwamba ,huu Ni mwishoo.wapo ambao wanaogopa hawatarudi..Sasa wanajikomba ili kwenye gwaride la u haguzi wasiachwe..Mpina nakuunga Mkono saana .Kuna kitu kimejificha nyuma ya uagizaji sukari

  • @kulwamikwanga3112
    @kulwamikwanga3112 Před 6 dny +1

    Mpina piga kazi kama msema kweri ni mtenda zambi basi hata waendao kanisani kumutukuza mungu kwa haki na kweri na wao hawataenda mbinguni ira kama msema ukweri na haki kama mpina basi hawa wabunge wajitasimini sana majimboni kwao 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️

  • @DamasiMushi-bf6tf
    @DamasiMushi-bf6tf Před 6 dny

    Pole sana Mungu akutangulie ndio Tanzania yetu ukisema ukweli unachukiwa

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz Před 6 dny +1

    Mpina akili kubwa na mzalendo wa kweli

  • @user-oy2gp3nq4j
    @user-oy2gp3nq4j Před 6 dny +1

    Ipo siku mawe yataongea kwa jina la Yesu

  • @BahatiLogondisha-vq7gg

    Ok sawa asilimia zote 100/ kwahoja zako mh Pina tunaka wazalendo kamama wewe sio wapiga diri 2025 tunawasubiri watukute

  • @user-oo1vz3zi1t
    @user-oo1vz3zi1t Před 6 dny +1

    Jamani Mpina unaeleweka vizur mno yatawarudia wao watadhalilika

  • @talents7934
    @talents7934 Před 6 dny +1

    Nimegundua kuwa hata mafisadi majambazi, na majizi yote yanalindwa 😢

  • @foundationforcommunityhope7327

    Daaaa pole Sana,lakini ubaki tu CCM.

  • @NescharlesMalando-xm6lg

    Dah nuru itang'aa hv punde mungu yuko pamoja nawe na mamilion ya watz nko pamoja!!

  • @denisruvugo1764
    @denisruvugo1764 Před 5 dny

    Sasa usisome sana basi boss , hoja zote clean kabisa

  • @saidaliomar
    @saidaliomar Před 6 dny

    Nenda Chadema tu ukaungane Lissu huna ishu

  • @Norrisnoriega
    @Norrisnoriega Před 6 dny +1

    Shida jamii imeshiba sana amapiano vichwani bro kiasi unajikuta unapambana pekeako jifikilie jamii iachana na wakina amapiano wakamsikiliza DIZASTA VINA nini kingetokea naamini tungesapoti unachokifanya sana

  • @ChristineElias-bn4dw
    @ChristineElias-bn4dw Před 6 dny +1

    Xnaaaa bro mpina simama imara shetani yuko kazini wanaleta stress zao ndani ya bunge wapeleke kule

  • @maase2023
    @maase2023 Před 6 dny +1

    Mpina ulitakuwa uunge mkono kila jambo hata kama halifai maana tumekulia mazoea hayo mpina! Kawaida ya mbunge ni kupigia makofi kila jambo liwe zuri au baya lazima uunge mkono

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 Před 6 dny +1

    USIOGOPE kuachwa na CHAMA ,Ogopa kuachwa na MUNGU

  • @user-xc7qj7ze7m
    @user-xc7qj7ze7m Před 6 dny +2

    Toka huko ccm watakumaliza blo

  • @daudisalum9574
    @daudisalum9574 Před 5 dny

    Namkubali sana luhaga mpina

  • @edwardleonard7402
    @edwardleonard7402 Před 6 dny

    Mpina kaza baba uku vizuri

  • @davincidavi693
    @davincidavi693 Před 3 dny

    Huyu ni Moja ya vibaraka wa wanaofanya sukari owe hadimu. Kwahiyo tufuate Sheria tufe na njaa

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 Před 6 dny +1

    .MPINA BINGWA NAKUPENDA ENDELEA KUPATA DHAWABU TOKA KWA MUNGU

  • @MATIKO9640
    @MATIKO9640 Před 6 dny +1

    Hebu muwashauri hao wap..z wawe wanapita na mtandaoni kujua wananchi wao wanasema nini through comments afu wachukulie positively then wajitathimini kwa uongozi mbovu na maamuzi yao mabovu, wanatukwaza sana sisi wapenzi wa ccm. Mbunge kama mpima ni wa kuungwa mkono kabisa vinginevyo mnatufanya kuwa na mashaka na ccm ambayo tunaiamini kuwa ndiyo yenye viongozi bora wengi, kama vile Majariwa, Makonda, Mpina na wengi wengi. Kuna shida kubwa sio bure.

  • @PastorMasasi-vg1qh
    @PastorMasasi-vg1qh Před 2 dny

    Mpina wewe unasitahili Sana Sana,kutusemea wananchi.wabunge wezako hamna kitu hao,tupambanie raia tuko na wewe mpina

  • @servantjosiahtv3129
    @servantjosiahtv3129 Před 6 dny

    MPINA CHADEMA, MSIGWA CCM.. ngoma draw

  • @kilimanjarostarlounge
    @kilimanjarostarlounge Před 6 dny +1

    kwa mfano raisi awe MAKONDA makamu awe MPINA waziri mkuu mwambukusi pata picha 2025 hiyo serekali itakuaje please REPLY

  • @shijandobehe4953
    @shijandobehe4953 Před 6 dny

    Nimeisikuliza hotuba yake huyu mwamba Ina saa moja na dakika kadhaa mwamba ana uwezo mkubwa Sana anatakiwa awe hata raisi ili twende speed kuyafikia MALENGO makubwa lakini tukiendelea kusifiana sifiana hatutafika mbali

  • @alphoncekahayi8719
    @alphoncekahayi8719 Před 6 dny

    Piga kazi , nchi hii hakuna mzalendo wote wahamiaji

  • @mabulajoel1967
    @mabulajoel1967 Před 6 dny +1

    Unda chama chako nitakupa kura yangu achana na wasio kubali kukosolewa kwa mabaya watendayo kwa Wananchi kifupi wanajali matumbo yao sio hali ya Wananchi wa chini.

  • @DicksonEdson
    @DicksonEdson Před 6 dny

    Mzee waburuze mahakamani uko sahihi

  • @othumanrichard6138
    @othumanrichard6138 Před 6 dny

    Wakenya ni wanaume kiukwl Ila sisi hapa bongo wote ni wanawake tu

  • @JoshuaMwanilwa
    @JoshuaMwanilwa Před 6 dny +1

    Safiiii mpina

  • @NasilichandeChandenasili

    Ccm watokee madarakanii watatuonea mnoo,mafisadi na wala rushwa na upendeleoo MUNGUU WA hakii yupoo atawpa mshangaoo na duniaa haitoo aminii

  • @user-eg4sl4pf3x
    @user-eg4sl4pf3x Před 3 dny

    Sisi shida yetu ni sukari ya bei nafuu,habari ya nani kaileta haituhusu.Usitafute kiki brooh

  • @adeliusvedasto7214
    @adeliusvedasto7214 Před 5 dny

    Wamebaki makamanda wachache nchii hii.

  • @lugelosanga5798
    @lugelosanga5798 Před 5 dny

    Ccm ni mavi tuu tena ya mwishoooo

  • @user-md7sd3hk6l
    @user-md7sd3hk6l Před 6 dny

    daa mpina una wakati mgumu kweli ccm yako ni watu wabaya sana awa taki ukweli usemwe pole kaka ukweli tusha ujuwa

  • @rendiman2878
    @rendiman2878 Před 5 dny

    Halafu tuna akina Msigwa humu wanajiunga na hili pango la majambazi

  • @ChristianMzena
    @ChristianMzena Před 5 dny

    Kwa maslai ya nchi arudi bungeni

  • @wilbertaerasto7584
    @wilbertaerasto7584 Před 6 dny

    Baadhi ya wabunge ni chawa tu, hawa maana kabisa, mh usiogope waeleze kabisa kwani ni wanafiki

  • @lutegomakoyeluhahula361

    Achana na hao wabunge wapumbavu.

  • @AndrewJulius-hg4bd
    @AndrewJulius-hg4bd Před 6 dny

    Hao wanao taka usiseme ukweli wana kushtaki
    Niwapigaji hao Mbunge kazi yake kuisimamia serikali ikikosea isemwe ikifanya vizuri isifiwe

  • @JonathanMatembo
    @JonathanMatembo Před 6 dny +1

    CCM ni janga kubwa sana la kitaifa, adui namba moja wa watanzania ni chama chakavu cha CCM na family zao, bola ukimwi kuliko CCM kuwepo Tanzania.

    • @user-hd5bg8qw1b
      @user-hd5bg8qw1b Před 6 dny +1

      HATA CDM C CHAMA SAHIHI KUPEWA MADARAKA HAPO WALIPO MATE YANAWATOKA KAMA M"MBWA

    • @MATIKO9640
      @MATIKO9640 Před 6 dny

      Tumwombe tu MUNGU ila Tz hatuna vyama bora tuna bora vyama

  • @mohamedabdallah4769
    @mohamedabdallah4769 Před 6 dny +1

    Sawa aliingiza bila sheria ila alitetea sisi walaji sababu viwanda vya sukari vinapandisha bei hovyo hovyo bora kilichofanyika sukari imepungua bei

    • @bonifasmashingia
      @bonifasmashingia Před 6 dny +2

      Boss Kuna role of government in economic !!price ceiling and floor!!hii ni deal tu ya mafisadi serikalini!!Mpina is mzalendo na Bashe alipiga deal na sio kututetea wanyongeee

    • @martineopapa7383
      @martineopapa7383 Před 6 dny

      Kama hujui matatizo yanatengenezwa maksudi ili kuyatatua kwa faida

  • @EmmanuelChrispin-bo5xh
    @EmmanuelChrispin-bo5xh Před 6 dny +1

    Hivi hawa wabunge mnaendaga kufanya nini kwenye mikutano yao au mnakwendaa kumuona daimond

  • @modestwenceslaus9
    @modestwenceslaus9 Před 6 dny

    CCM mnajuana mambo yenu sisi wengine mambo yenu hayatuhusu malizaneni wenyewe hata wewe Mpina hatuna uhakika na ushindi wako katika uchaguzi wa mwaka 2020😮😮😮

  • @Nehe100Kilindu
    @Nehe100Kilindu Před 5 dny

    Akilinyingi sana

  • @BasiliClement-ql1yg
    @BasiliClement-ql1yg Před 6 dny

    Nakukubali sana kaka hawajielewe hawo wavunia tumbo

  • @Yassinseleman
    @Yassinseleman Před 6 dny

    Kuna methali inasema ukitaka kuona nyeti za kuku subiri upepo uvume hivi ndio juzi kanifuata mtu eti nikamchukue kadi ya ccm nikaona mtu anataka kunisukumia zigo la dhambi nimemjibu tu tuheshimiane basi

  • @JohnJoseph-su1xc
    @JohnJoseph-su1xc Před 6 dny

    Badala waboreshe viwanda vyetu za ndan