Umefikiria mbali sana nduguangu , haiwezekani wazee wa utopolo wanajitokeza hadharani na kuongea mpaka vitisho kwa wachezaji wanaohujumu timu,mf; Mzee Mpili , sisi wa kwetu Simba Sc wamekaa kusema tuu wazee tupo , haina maana ya uwepo wao sasa kama hawatimizi na kuonesha uzee dawa
Umeongea point sana ila najua kunamabwege wata kuponda ili kukufifiza viongozi fatilieni hilo swala GB anaonekana kama anachekesha kumbe ndio ukweli kabisa
Tusisingizie uchawi , soka la kisasa halina hayo mambo ndugu yangu,wachezaji wetu ni wa kawaida ,angalia hata gharama zao ni za kawaida siyo kama wa Mamelod au Al Ahly
JB wewe unaakili sana lingne sisi tupo sumbawanga tumesha chungulia viongoz wa yang Tim ikuwa plszn wanaenda kuchimbia dawa bunju wachezaj wakija tu Wana ingia kwenye mtego
@@user-yh3dv2bl7u Na pesa ilivyongumu hivi mtu anajitolea pesa yake halafu wazee washindwe kuweka japo ulinzi wa timu yetu kweli watakuwa hawatendi haki
Mashine ya kivita Valentin nouma full back ya mpira anapanda na kushuka, anakaba mpka dhambi, hii ni version ya Roberto Carlos krosi dongo ukigusa waya. Wanasimba msimu unaokuja mjiandaa kushangilia magoli, maana nouma hajisikii furaha kumaliza mechi bila kutoa assist mbili.
TFF Kuna haja ya kuangalia hawa watu wanaochafua Ligi yetu kwa fikra potofu, hili timu lenu ndio linafukizaga mimoshi kwenye away grounds mawazo ya kichawichawi tu...
GB64 wee ni kiboko nakukubali sana brother wanatuharibia wachesaji wetu kabisa iyo haipingwi wachawi kabisa ila kila kitu kina mwisho watakoma wapuusi kabisa 😂😂😂😂😂
Kaka Gb 64 leo umeongea point kuliku siku zote nikweli lazima wachezaji wapate duwa na kama huko dar hakuna wataalam pemba wako huku tunaomba mashirikiano wenzetu ili tufanikiwe hawa ngedere weusi wasije wakatuvuruga
Kweli kabisa unayosema,,,uchawi upo na DUA zipo ila wazee na viongozi wa Simba wafanye umuhimu wa kuwakinga,,mana yanga ni wachawi sana,
Umefikiria mbali sana nduguangu , haiwezekani wazee wa utopolo wanajitokeza hadharani na kuongea mpaka vitisho kwa wachezaji wanaohujumu timu,mf; Mzee Mpili , sisi wa kwetu Simba Sc wamekaa kusema tuu wazee tupo , haina maana ya uwepo wao sasa kama hawatimizi na kuonesha uzee dawa
Kinachotakiwa kuwakumbusha viongozi kwa busara na mifano
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
Umeongea point sana ila najua kunamabwege wata kuponda ili kukufifiza viongozi fatilieni hilo swala GB anaonekana kama anachekesha kumbe ndio ukweli kabisa
Uko sawa GB 64 ,Yanga mafanikio Yao ni Ulozi.
GB.64 leo umesema kweli bro uchawi unatumaliza wanyama 👍❤️❤️❤️🦁💪🤲🌹🌹🌹
Yanga kweeli wachawi Kuna shabiki wa yanga alionekana anapeleka majina ya wachezaji wa Simba morogoro kwa waganga washenzi wachawi wakubwa hawa
Tusisingizie uchawi , soka la kisasa halina hayo mambo ndugu yangu,wachezaji wetu ni wa kawaida ,angalia hata gharama zao ni za kawaida siyo kama wa Mamelod au Al Ahly
JB wewe unaakili sana lingne sisi tupo sumbawanga tumesha chungulia viongoz wa yang Tim ikuwa plszn wanaenda kuchimbia dawa bunju wachezaj wakija tu Wana ingia kwenye mtego
Kweli kaka uchawi upo na ndio maana tunafungwa ovyo na viongozi wetu wa simba hawaamini uchawi. Lakini uchawi upo sana.❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
SIMBA WANAHUSUDU UCHAWI SANA
Gb 64 nakuelewa sana mwamba najua unaumia sana walindwe hao wachezaji tunawapenda Mo dewij umevuja jasho kuvunja kibubu tunaomba uwalinde mwenyewe
@@user-yh3dv2bl7u
Na pesa ilivyongumu hivi mtu anajitolea pesa yake halafu wazee washindwe kuweka japo ulinzi wa timu yetu kweli watakuwa hawatendi haki
Mwanangu unaongea ukwely sana
Fukuza wafanyakazi wote wa simba wachawi wanapewa pesa ahsante GB64 humeona hilo na viongozi wajue
KIBOKO YAO ALBADIRI TU
Nakukubali sana kaka wew ni Big thinker
Naomba kazi ya upishi hatutaki uchawi
Mungu aendelee Kuwabariki sana ,tunazidi kufunuliwa na kipindi hiki cha kusifu na kuabudu. by Mshana.
Gb wemsema kweli ila wachezaji wetu walindea
GBwambie ukweli msimuhuu kaziwanayo
Wachezaji wote tuwasimee Albadir wakiwagusa wafe hao utoporo pumbavu
NDIO INAVYOTAKIWA WAFE TU
Kweli wanawapiga misumari sana
HIYO 100%
Mm najitolea kuipeleke pemba maziwa ngombe 😂vp mutakuwa tayar kupigwa dua na kuoga chumvi
HAPA BG NAMINI UMESOMA MEAEJI ZANGU KUHUSU UTOPOLO KWALOGA WACHEZAJI WA SIMBA
Kula chochote nitalipa,,,umeongea true maana wanawafunga wachezaji wetu,wanaonekana ,wabaya,, tukiwaacha wanawachukua ,,utopolo kwa vibuyu nomaaaa😂
Yanga wamemchukua tena pa jobe
NDIO ZAO HIZO
Nasisitiza kazi ya upishi
Huyu ata Mungu amjuwi kila kukicha anawaza njaa
Shabiki mwenye akili hold up broah
😂😂😂GB bana
We ndo huna akili sio gb
Gb 64 unaakiri sana kaka viongoz waliangalie hlo yon da
Tanzania ukisema ukweli watu hawapendi kabisa jamaa anasema ukweli mara comments za watu wanasema kalewa hiyo sio. Kweli jamaa Yuko real sana😂
Umetufumbua macho blo
HUYU JAMAA KUMBE TAAHIRA
Simba nguvu moja
SIMBA NGUVU MOJA
Hili la kuwaroga wachezaji wetu ni kweli kabisa
Hakika inatakiwa wasomewe dua🙏🙏🙏
Uchawi upoyanga wachawi wanajuwa nyota zawachezaji wasimba ila tutapambana mpakatufanikiwe simba
ALBADIRI LAZIMA ZISOMWE KWA UWINGI ANAE GUSA AFE TU
Mashine ya kivita Valentin nouma full back ya mpira anapanda na kushuka, anakaba mpka dhambi, hii ni version ya Roberto Carlos krosi dongo ukigusa waya. Wanasimba msimu unaokuja mjiandaa kushangilia magoli, maana nouma hajisikii furaha kumaliza mechi bila kutoa assist mbili.
Yanga ni Majini Fc, hawana lolote zaidi ya Vibuyu.
NDIO TENA HODARI WA KUKATAA NA WATOWA RUSHWA PIYA
Gb yupo sahih
Nikwli mm nisema toka manara alipo hama kuhamia yanga ndipo palipo fanyika urogi apo ya wachezaji apo
MANARA MSENGE MSHIRIKINA NA FITINA SANA
Nakuelew xan kk yanga ni wachaw xan hata mm pia nalifahamu maana kuna kiongozi mmoja ni jirani yangu ni mchawi tenah mkubwa xan
Gb upo saw bro
Unaongeaa aisee we noma kumbe na elimu ya kilimo unajua nimeipenda hiyo ya kusafisha ghala.
Mo oyeeee nguvu moja
Ila GB ww ni shabiki lia lia nakukubali sana ..unajua mengi kaka 🖐️ uchawi upooo ata mm sipingi
mwaka huu jaaa Mani hatari tupu myamani
G waambie utopolo walozi sana
TENA WANAUWABUDU
Yanga noma kwa uchawi Hadi mayele katupiwa vijini misri 😅😂😂 Tena alikua mchezaji wao chuki Yani yanga wanaroho mbaya sana🙌🙌🙌
Simba kombe tuna chukuwa kwer siouongo
Nakweli
lkn ulisema chama akienda yanga hushabikii simba
acha uwongo nyama we umemuona wapi usiwakatae2
Upo sawa Hawa jamaa kweli wanawaroga wachezaji wa simba
Hahaha, kwelli uchawi upooo
Kweli kabisa mwamba
Huyu kashalewa mbona
KAMA KALEWA TEREMKA GARI HILO
Bro bro bro nimekwita mara 3 uko sahihi ogopa so wafua jezi na wapishi wabaya sn
Babaaaa.kunywamaji.kwanza.umeongea
Kweli waombewe hata mimi waje niwaombee bure
❤❤
TFF Kuna haja ya kuangalia hawa watu wanaochafua Ligi yetu kwa fikra potofu, hili timu lenu ndio linafukizaga mimoshi kwenye away grounds mawazo ya kichawichawi tu...
Kwendraaaa huko! Ulisema chama akihamia Yanga nawee unahamia AZAM! Kikowapi?
right
Uko sahh mwamba
🎉🎉🎉🎉
Daah
GB64 wee ni kiboko nakukubali sana brother wanatuharibia wachesaji wetu kabisa iyo haipingwi wachawi kabisa ila kila kitu kina mwisho watakoma wapuusi kabisa 😂😂😂😂😂
Gb bhana
Xafar hi hanakixpika Tena wenyewe tujaa tu mkapa
Kweli kabisa 😂
Asa anamgombesha Nan huyo
😢😢😂😂
WEWE
Ongea kaka ukweli unauma mwagika popote ulipo tupo wanasimba
Kaka Gb 64 leo umeongea point kuliku siku zote nikweli lazima wachezaji wapate duwa na kama huko dar hakuna wataalam pemba wako huku tunaomba mashirikiano wenzetu ili tufanikiwe hawa ngedere weusi wasije wakatuvuruga
Tatizo lako unaanza na ukweli halafu unamalizia na uongo ,uongozi huu sio uongozi ule kwan tofauti iko wapi ya uongozi ?
Vp unawasifu tena kak
Kiukweli kuhusu chama haijauma ila uongo dhambi baleke ni bonge la mchezaji simba tutajuta kumuacha
ANA RECODI YA KUSALITI KUTOKA KWAO CONGO WANAMJUWA
Alikuja Simba tukamtema ,dirisha dogo ,hatuwezi kujuta kabda wewe shabiki andazi utajuta
Sema baba sema
Huna hela 0 hajielewi
Wachezaji.wenu lazima wapotee sababu hamna uongozo ulio sahihi
Kabisa mkongwe 64
huyu mwamba anaona mbali
Anachosema GB 64 ni kweli Kuna mtu mmoja anaitwa miraji alisema hivyo hivyo wachezaji wa Simba wanalogwa hili suala ni la kweli kabisaa
Boka kaja.Aandae tu shavu la kupigwa kofi
Pa omary jobe kaenda yanga
Kweli yanga wachawi sana
NAKUKUBARI SANA GB64
Kwely kabisa wasafishe maeneo yote paka mfua jezy wapishi wapo wengi wanahitaji kazi ili twende mbele wanasemaga wasiwa ndiyo akily
Hahahaha waambie
Gb 64 umeongea ukweli
Salute kwako mwana Movement
Mwalimu wa physics kumbe mpumbavu
We mpumbavu. Hao unaosema wameisha ndio hao waliokuliza nje ndani.
Kaka umesema tume kusikia wata amua!!
Mmmmh mtatafuta sababu saaana
Mhh
Msiongeesana mtaona aibuu
Et okajeka badala ya okajepha
Bangi hzoooooo
Bila Dhaka utakua utoporo
BANGI KUNUNUWA KWA MAMAKO FISI WEWE