GB 64 DEBORA FERNANDES NI MASHINE KATILI VIBAYA MNO, SIMBA TUNASHUSHA VYUMA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 07. 2024
  • Debora fernandes
  • Sport

Komentáře • 186

  • @MamboMbuli
    @MamboMbuli Před 5 dny +12

    Kweli kabisa unayosema,,,uchawi upo na DUA zipo ila wazee na viongozi wa Simba wafanye umuhimu wa kuwakinga,,mana yanga ni wachawi sana,

    • @khalidmwakabuta5045
      @khalidmwakabuta5045 Před 5 dny

      Umefikiria mbali sana nduguangu , haiwezekani wazee wa utopolo wanajitokeza hadharani na kuongea mpaka vitisho kwa wachezaji wanaohujumu timu,mf; Mzee Mpili , sisi wa kwetu Simba Sc wamekaa kusema tuu wazee tupo , haina maana ya uwepo wao sasa kama hawatimizi na kuonesha uzee dawa

    • @MamboMbuli
      @MamboMbuli Před 4 dny

      Kinachotakiwa kuwakumbusha viongozi kwa busara na mifano

    • @JoramKinyuko
      @JoramKinyuko Před dnem

      😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊

  • @patrickmohamed3639
    @patrickmohamed3639 Před 5 dny +4

    Umeongea point sana ila najua kunamabwege wata kuponda ili kukufifiza viongozi fatilieni hilo swala GB anaonekana kama anachekesha kumbe ndio ukweli kabisa

  • @josepahatmargwe6504
    @josepahatmargwe6504 Před 5 dny +4

    Uko sawa GB 64 ,Yanga mafanikio Yao ni Ulozi.

  • @user-qy9fj3yo2t
    @user-qy9fj3yo2t Před 5 dny +1

    GB.64 leo umesema kweli bro uchawi unatumaliza wanyama 👍❤️❤️❤️🦁💪🤲🌹🌹🌹

  • @yohanalungwa7960
    @yohanalungwa7960 Před 5 dny +7

    Yanga kweeli wachawi Kuna shabiki wa yanga alionekana anapeleka majina ya wachezaji wa Simba morogoro kwa waganga washenzi wachawi wakubwa hawa

  • @MohamedChillo
    @MohamedChillo Před 4 dny +1

    Tusisingizie uchawi , soka la kisasa halina hayo mambo ndugu yangu,wachezaji wetu ni wa kawaida ,angalia hata gharama zao ni za kawaida siyo kama wa Mamelod au Al Ahly

  • @GodfreyJames-zt6ig
    @GodfreyJames-zt6ig Před 5 dny +2

    JB wewe unaakili sana lingne sisi tupo sumbawanga tumesha chungulia viongoz wa yang Tim ikuwa plszn wanaenda kuchimbia dawa bunju wachezaj wakija tu Wana ingia kwenye mtego

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před 3 dny

    Kweli kaka uchawi upo na ndio maana tunafungwa ovyo na viongozi wetu wa simba hawaamini uchawi. Lakini uchawi upo sana.❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @daudinyello4033
    @daudinyello4033 Před 5 dny +2

    SIMBA WANAHUSUDU UCHAWI SANA

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u Před 5 dny +3

    Gb 64 nakuelewa sana mwamba najua unaumia sana walindwe hao wachezaji tunawapenda Mo dewij umevuja jasho kuvunja kibubu tunaomba uwalinde mwenyewe

    • @khalidmwakabuta5045
      @khalidmwakabuta5045 Před 4 dny

      @@user-yh3dv2bl7u
      Na pesa ilivyongumu hivi mtu anajitolea pesa yake halafu wazee washindwe kuweka japo ulinzi wa timu yetu kweli watakuwa hawatendi haki

  • @samadady7795
    @samadady7795 Před 5 dny +4

    Mwanangu unaongea ukwely sana

  • @user-hu4el2rx2u
    @user-hu4el2rx2u Před 5 dny +2

    Fukuza wafanyakazi wote wa simba wachawi wanapewa pesa ahsante GB64 humeona hilo na viongozi wajue

  • @LupatuDaiya
    @LupatuDaiya Před 4 dny

    Nakukubali sana kaka wew ni Big thinker

  • @SalhaSuleiman-y8m
    @SalhaSuleiman-y8m Před 2 hodinami

    Naomba kazi ya upishi hatutaki uchawi

  • @kefamahenge5187
    @kefamahenge5187 Před 5 dny

    Mungu aendelee Kuwabariki sana ,tunazidi kufunuliwa na kipindi hiki cha kusifu na kuabudu. by Mshana.

  • @AbbasyMdabwa
    @AbbasyMdabwa Před 5 dny +1

    Gb wemsema kweli ila wachezaji wetu walindea

  • @beatussoka9517
    @beatussoka9517 Před 5 dny +4

    GBwambie ukweli msimuhuu kaziwanayo

  • @user-hu4el2rx2u
    @user-hu4el2rx2u Před 5 dny +2

    Wachezaji wote tuwasimee Albadir wakiwagusa wafe hao utoporo pumbavu

  • @user-mw5xs2wx8n
    @user-mw5xs2wx8n Před 5 dny +3

    Kweli wanawapiga misumari sana

  • @HamadSuleiman-e1x
    @HamadSuleiman-e1x Před 5 dny +1

    Mm najitolea kuipeleke pemba maziwa ngombe 😂vp mutakuwa tayar kupigwa dua na kuoga chumvi

  • @hamidudigogo5863
    @hamidudigogo5863 Před 4 dny

    HAPA BG NAMINI UMESOMA MEAEJI ZANGU KUHUSU UTOPOLO KWALOGA WACHEZAJI WA SIMBA

  • @user-id5oc7hm4n
    @user-id5oc7hm4n Před 5 dny +1

    Kula chochote nitalipa,,,umeongea true maana wanawafunga wachezaji wetu,wanaonekana ,wabaya,, tukiwaacha wanawachukua ,,utopolo kwa vibuyu nomaaaa😂

  • @Bboy-ek8vn
    @Bboy-ek8vn Před 5 dny +2

    Yanga wamemchukua tena pa jobe

  • @SalhaSuleiman-y8m
    @SalhaSuleiman-y8m Před 2 hodinami

    Nasisitiza kazi ya upishi

  • @fidelismwakanyamale6787
    @fidelismwakanyamale6787 Před 5 dny +1

    Huyu ata Mungu amjuwi kila kukicha anawaza njaa

  • @KuchbyMskude
    @KuchbyMskude Před 3 dny

    Shabiki mwenye akili hold up broah

  • @user-os7yv7gg1s
    @user-os7yv7gg1s Před 5 dny +4

    😂😂😂GB bana

  • @sedekiantibahoha2245
    @sedekiantibahoha2245 Před 5 dny +1

    We ndo huna akili sio gb

  • @DonatelaSanga
    @DonatelaSanga Před 5 dny

    Gb 64 unaakiri sana kaka viongoz waliangalie hlo yon da

  • @komboarts7110
    @komboarts7110 Před 5 dny +1

    Tanzania ukisema ukweli watu hawapendi kabisa jamaa anasema ukweli mara comments za watu wanasema kalewa hiyo sio. Kweli jamaa Yuko real sana😂

  • @user-xc8jp2ol4m
    @user-xc8jp2ol4m Před 5 dny +1

    Umetufumbua macho blo

  • @daudinyello4033
    @daudinyello4033 Před 5 dny +1

    HUYU JAMAA KUMBE TAAHIRA

  • @upendofreddy6431
    @upendofreddy6431 Před 30 minutami

    Simba nguvu moja

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l Před 5 dny +3

    SIMBA NGUVU MOJA

  • @ibrahimusagondo5228
    @ibrahimusagondo5228 Před 4 dny

    Hili la kuwaroga wachezaji wetu ni kweli kabisa

  • @HamisiAthumani-vz1oi
    @HamisiAthumani-vz1oi Před 5 dny +1

    Hakika inatakiwa wasomewe dua🙏🙏🙏

  • @YahyaMndevu
    @YahyaMndevu Před 2 dny

    Uchawi upoyanga wachawi wanajuwa nyota zawachezaji wasimba ila tutapambana mpakatufanikiwe simba

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 Před 5 dny +1

    ALBADIRI LAZIMA ZISOMWE KWA UWINGI ANAE GUSA AFE TU

  • @abuuhassani497
    @abuuhassani497 Před 5 dny

    Mashine ya kivita Valentin nouma full back ya mpira anapanda na kushuka, anakaba mpka dhambi, hii ni version ya Roberto Carlos krosi dongo ukigusa waya. Wanasimba msimu unaokuja mjiandaa kushangilia magoli, maana nouma hajisikii furaha kumaliza mechi bila kutoa assist mbili.

  • @josepahatmargwe6504
    @josepahatmargwe6504 Před 5 dny +1

    Yanga ni Majini Fc, hawana lolote zaidi ya Vibuyu.

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před 5 dny +1

      NDIO TENA HODARI WA KUKATAA NA WATOWA RUSHWA PIYA

  • @user-pz9nd8ys8o
    @user-pz9nd8ys8o Před 2 dny

    Gb yupo sahih

  • @abuusadick9891
    @abuusadick9891 Před 5 dny +2

    Nikwli mm nisema toka manara alipo hama kuhamia yanga ndipo palipo fanyika urogi apo ya wachezaji apo

  • @Mwnashabani
    @Mwnashabani Před 4 dny

    Nakuelew xan kk yanga ni wachaw xan hata mm pia nalifahamu maana kuna kiongozi mmoja ni jirani yangu ni mchawi tenah mkubwa xan

  • @JohnMpemba-in1jm
    @JohnMpemba-in1jm Před 5 dny +2

    Gb upo saw bro

  • @THEOBALDNGOBYA
    @THEOBALDNGOBYA Před 5 dny

    Unaongeaa aisee we noma kumbe na elimu ya kilimo unajua nimeipenda hiyo ya kusafisha ghala.

  • @user-hu4el2rx2u
    @user-hu4el2rx2u Před 5 dny +1

    Mo oyeeee nguvu moja

  • @danielpeter8085
    @danielpeter8085 Před 5 dny

    Ila GB ww ni shabiki lia lia nakukubali sana ..unajua mengi kaka 🖐️ uchawi upooo ata mm sipingi

  • @SilivesterHasunu
    @SilivesterHasunu Před 5 dny +1

    mwaka huu jaaa Mani hatari tupu myamani

  • @dalalfundikila507
    @dalalfundikila507 Před 5 dny +1

    G waambie utopolo walozi sana

  • @mtulivu-ir1nq
    @mtulivu-ir1nq Před 5 dny

    Yanga noma kwa uchawi Hadi mayele katupiwa vijini misri 😅😂😂 Tena alikua mchezaji wao chuki Yani yanga wanaroho mbaya sana🙌🙌🙌

  • @eliadaimon804
    @eliadaimon804 Před 5 dny

    Simba kombe tuna chukuwa kwer siouongo

  • @lemamolelilemamoleli7740

    Nakweli

  • @KABIBIPETER
    @KABIBIPETER Před 3 dny

    lkn ulisema chama akienda yanga hushabikii simba

  • @jumanneshego3308
    @jumanneshego3308 Před 5 dny

    acha uwongo nyama we umemuona wapi usiwakatae2

  • @MohdRehan-v9l
    @MohdRehan-v9l Před 5 dny

    Upo sawa Hawa jamaa kweli wanawaroga wachezaji wa simba

  • @upendofreddy6431
    @upendofreddy6431 Před 18 minutami

    Hahaha, kwelli uchawi upooo

  • @marshangeka712
    @marshangeka712 Před dnem

    Kweli kabisa mwamba

  • @chiefnumborecords4819
    @chiefnumborecords4819 Před 5 dny +2

    Huyu kashalewa mbona

  • @user-wp9wf3et1n
    @user-wp9wf3et1n Před 4 dny

    Bro bro bro nimekwita mara 3 uko sahihi ogopa so wafua jezi na wapishi wabaya sn

  • @amirihabibu8892
    @amirihabibu8892 Před dnem

    Babaaaa.kunywamaji.kwanza.umeongea

  • @justinazakayo6152
    @justinazakayo6152 Před 5 dny

    Kweli waombewe hata mimi waje niwaombee bure

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před 3 dny

    ❤❤

  • @godwillrichard7017
    @godwillrichard7017 Před 5 dny

    TFF Kuna haja ya kuangalia hawa watu wanaochafua Ligi yetu kwa fikra potofu, hili timu lenu ndio linafukizaga mimoshi kwenye away grounds mawazo ya kichawichawi tu...

  • @emmanuelthomas1078
    @emmanuelthomas1078 Před 4 dny

    Kwendraaaa huko! Ulisema chama akihamia Yanga nawee unahamia AZAM! Kikowapi?

  • @mosesmachumu7423
    @mosesmachumu7423 Před 5 dny

    right

  • @Daniel-u5q
    @Daniel-u5q Před 4 dny

    Uko sahh mwamba

  • @Licky_boy_tz
    @Licky_boy_tz Před 5 dny

    🎉🎉🎉🎉

  • @Amonationtv4551
    @Amonationtv4551 Před 5 dny

    Daah

  • @maikomatayo2794
    @maikomatayo2794 Před 5 dny

    GB64 wee ni kiboko nakukubali sana brother wanatuharibia wachesaji wetu kabisa iyo haipingwi wachawi kabisa ila kila kitu kina mwisho watakoma wapuusi kabisa 😂😂😂😂😂

  • @ambrosipaulo1732
    @ambrosipaulo1732 Před 5 dny

    Gb bhana

  • @Tupatupamuhamadi
    @Tupatupamuhamadi Před 4 dny

    Xafar hi hanakixpika Tena wenyewe tujaa tu mkapa

  • @jitihadaharuna9448
    @jitihadaharuna9448 Před 5 dny

    Kweli kabisa 😂

  • @JohnAloyceSanane
    @JohnAloyceSanane Před 5 dny +4

    Asa anamgombesha Nan huyo
    😢😢😂😂

  • @RajabuRamadhan-cy4cj
    @RajabuRamadhan-cy4cj Před 5 dny

    Ongea kaka ukweli unauma mwagika popote ulipo tupo wanasimba

  • @yakoubaliy7559
    @yakoubaliy7559 Před 5 dny

    Kaka Gb 64 leo umeongea point kuliku siku zote nikweli lazima wachezaji wapate duwa na kama huko dar hakuna wataalam pemba wako huku tunaomba mashirikiano wenzetu ili tufanikiwe hawa ngedere weusi wasije wakatuvuruga

  • @feisalmohamed2848
    @feisalmohamed2848 Před 5 dny

    Tatizo lako unaanza na ukweli halafu unamalizia na uongo ,uongozi huu sio uongozi ule kwan tofauti iko wapi ya uongozi ?

  • @AwadhiHashimu
    @AwadhiHashimu Před 5 dny

    Vp unawasifu tena kak

  • @4gfashion
    @4gfashion Před 5 dny +1

    Kiukweli kuhusu chama haijauma ila uongo dhambi baleke ni bonge la mchezaji simba tutajuta kumuacha

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před 5 dny +1

      ANA RECODI YA KUSALITI KUTOKA KWAO CONGO WANAMJUWA

    • @MamboMbuli
      @MamboMbuli Před 5 dny

      Alikuja Simba tukamtema ,dirisha dogo ,hatuwezi kujuta kabda wewe shabiki andazi utajuta

  • @user-tr8nw3nu2n
    @user-tr8nw3nu2n Před 5 dny

    Sema baba sema

  • @JohnHerbet-os7uh
    @JohnHerbet-os7uh Před 5 dny

    Huna hela 0 hajielewi

  • @alimohammedomar3412
    @alimohammedomar3412 Před 5 dny

    Wachezaji.wenu lazima wapotee sababu hamna uongozo ulio sahihi

  • @RashidWatac
    @RashidWatac Před 5 dny

    Kabisa mkongwe 64

  • @AshelyAbel-kg4kx
    @AshelyAbel-kg4kx Před 4 dny

    huyu mwamba anaona mbali

  • @simionluambano3828
    @simionluambano3828 Před 5 dny

    Anachosema GB 64 ni kweli Kuna mtu mmoja anaitwa miraji alisema hivyo hivyo wachezaji wa Simba wanalogwa hili suala ni la kweli kabisaa

  • @luganowilliam2150
    @luganowilliam2150 Před 4 dny

    Boka kaja.Aandae tu shavu la kupigwa kofi

  • @Bboy-ek8vn
    @Bboy-ek8vn Před 5 dny

    Pa omary jobe kaenda yanga

  • @MayleenDonaldharris
    @MayleenDonaldharris Před 5 dny

    Kweli yanga wachawi sana

  • @shabanimzalla7108
    @shabanimzalla7108 Před 5 dny

    NAKUKUBARI SANA GB64

  • @MambukiIbrahim
    @MambukiIbrahim Před 5 dny

    Kwely kabisa wasafishe maeneo yote paka mfua jezy wapishi wapo wengi wanahitaji kazi ili twende mbele wanasemaga wasiwa ndiyo akily

  • @upendofreddy6431
    @upendofreddy6431 Před 30 minutami

    Hahahaha waambie

  • @abujumanne7570
    @abujumanne7570 Před 5 dny

    Gb 64 umeongea ukweli

  • @moseshaji1177
    @moseshaji1177 Před 5 dny +1

    Salute kwako mwana Movement

  • @alimohammedomar3412
    @alimohammedomar3412 Před 5 dny

    Mwalimu wa physics kumbe mpumbavu

  • @alimohammedomar3412
    @alimohammedomar3412 Před 5 dny

    We mpumbavu. Hao unaosema wameisha ndio hao waliokuliza nje ndani.

  • @mkudembeteni4075
    @mkudembeteni4075 Před 5 dny

    Kaka umesema tume kusikia wata amua!!

  • @daudimchileg307
    @daudimchileg307 Před 5 dny

    Mmmmh mtatafuta sababu saaana

  • @MayleenDonaldharris
    @MayleenDonaldharris Před 5 dny

    Mhh

  • @user-bx1qo9fe3q
    @user-bx1qo9fe3q Před 5 dny

    Msiongeesana mtaona aibuu

  • @omarylukindo5306
    @omarylukindo5306 Před 5 dny

    Et okajeka badala ya okajepha

  • @DanieliIbrahim
    @DanieliIbrahim Před 5 dny +3

    Bangi hzoooooo