😂😂😂 ety halikisasi hakhaa 🙌🙌miraji mtapigwa kama ngoma huu msimu kwa hii yanga ubingwa watupe ata Leo ngao ya jamii mpe alikamwe ata kesho fa taree 15 tupeni tusipoingia nusu final msimu huu sisi yanga atutawai ingia tena
@@isiaka7930 aisee jamaa mvumilivu🤣🤣 si kwa vibao vile na alivyo kimbau! 🤣🤣 Nilikua na mshikaji mmoja,yule eti mmefurahi uumpe mkono agonge, kudadeki,lazima furaha iishe alafu alikua na bonge la kiganja🤣🤣🤣
Miraji leo umetema madini mnoooo❤❤❤❤❤
Mraji napenda sana kukufatilia Mungu akupe maisha malefu
CHAGAMBAA! MIRAJI NA MZEE SAID WANAKUPAISHAA SANAAA.JAMAA WANAJUAA
Mzee saidi tunamtaka 😊😊😊
MUNGU IBARIKI SIMBA , ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉,WAKALI WA KARIAKOO
Kaka mirsj na chagamba,,mi nawaombea maisha marefu na afya njema, miraji mi yanga lakin nakuelewa sana kwa madini Yako hadhiiiimu
Miraj nao wako wawili (#miraj wautani&miraj wa serious)
Miraji anapata tabu sana kukaa na chagamba mbari kamiss kumpga mikofi ya mabega😂
miraji anapata shida sana kukaa mbali na chagamba kazoea kumchapa mabega,chagamba kaona bora iwe ivo
😅😅😅😅
😂😂😂 umenichekesha
Chagamba amejiongeza kaona hap mabega yatalala yote
Ila mikofi Ile weeee🤣🤣🤣🤣haisahauliki aieseee
Miraji Safi Sana jitahidi kaka
Mlete hapo mzee Saidi mfanyie Interview...Miraji na Chagamba, Mzee Saidi, na mzee Masatu..hawa watu raha sana
Leo mbona mmekaa mbalimbali Changamba sogea kidogo ili Miraji akutandike tandike begani.😂😂😂
😂😂😂😂
oy mzee chabamba pamoja miraj simba inakuja kuwa timu tisho next time alf vip kuhusu 24 jez ya simba
Na leo saa 7 mashine ingne ina tua
Hii combination ya miraji na chagamba ni hatari saaaanaaaaaa😂😂😂😂❤❤❤
😂😂😂 ety halikisasi hakhaa 🙌🙌miraji mtapigwa kama ngoma huu msimu kwa hii yanga ubingwa watupe ata Leo ngao ya jamii mpe alikamwe ata kesho fa taree 15 tupeni tusipoingia nusu final msimu huu sisi yanga atutawai ingia tena
Ww
@@AishshibnShibani mm
We hujui mpira mihemuko inakusumbua
Mtschukua ubingwa kwa wazee wale
Unapanga matokeo huo mpira unacheza wewe shabiki wa daraja la chini
Leo wamekaa chini bega limepona
Apange na wachezaji wa akiba,,,,, hatari
Dogo Chagamba, style yako nimeikubali hasa unapo ojiana na Miraji
HALIKISASA AKHAAAAAAA😂😂😂
Hiv azizi ki msimu mpya hatokuwepo tena yanga, someni nyakati vizuri waknachagamba😅
Huyu mashaka mzuri kweli namtabiria makubwa mtamuona tu
Miraji 😂Ninaraha mpaka nalia kikosi hatalii❤🦁
Mzee said jamoon😂😂😂
Hii ya kusimama cjaipenda naipenda ile ya kusimama huku milaji akiwa anapigapiga mabega ya chagamba😂😂😂
Daaah kuna jamaa hatukuwa na bahati nae fundiiii cramoo😢😢😢
Mamaaeee kutetena bei ghali sana sisi kama lunyasi hilo jambo hatulimudu
Simba kote tuko sawa bado tu mabeki ndio bado kidogo
Chagamba tupeleke kwa mzee saidi😂😂😂
Miraji hapo kwa kikosi hicho Cha simba 6 zinawahusu
Shida ya milaji huwa anasifia sana mchezaji mgeni kabla ya kucheza likitokea sasa utaona anavyowakqtaa
Miraji unachekesha ase
Meza mpya mbna kama miraji hajachangamka sana kama tulivyomzoea
Miraji tunakuomba ulipigie hili kelele arubadili isomwe ndo wachezaji vizuri
Mgunda anapasha nusu ya msim tuu anakabiziwa timu
Kikik😂leo ilikuwa vizuri
Maestro mara moja❤
💚💛💛💛💛💪
😂😂😂Miraji na chagamba jamaniii sasa miraji leo umbali kidogo leo bega limepona 😂😂😂
Ww Miraji kwann usiwe mchambuzi maana mpira unaujua
Kisasu haqu
Debora
Chagamba emu tutaftie mzee Saidi kwanza mwambie Aziz bado yupo
Hatar sana🎉🎉🎉
Chagamba mabega yamepona vibao leo,Miraji hasira zoote anajizaba mwenyewe😂😂😂😂
check dk ya 25...hayajapona...labda sio maramoja
@@isiaka7930 aisee jamaa mvumilivu🤣🤣 si kwa vibao vile na alivyo kimbau! 🤣🤣
Nilikua na mshikaji mmoja,yule eti mmefurahi uumpe mkono agonge, kudadeki,lazima furaha iishe alafu alikua na bonge la kiganja🤣🤣🤣
Kweli simba na azam wanafanana ndio maana wanapambana wote kugombea nafasi ya pili na bado
❤❤❤❤
WANANCHIIIIIIIIIII
Ata me chama haingii kwenye kikos
Chagamba tulety mze said wachana na hawo machwa wanawo tafuta kik
Huyo mtu Fernandes ni kama Edgar Davids Dutch vile😂😂
Moraj, miraji, Miraji nakuita maratatu hayo maneno yako utayakumbuka, Umesahau lete mzungu? Jobe,Fungafunga au Chikwende?
Wakina onana watakaa mbao ndefu mpaka wakome labda wawapige misumari wachezaji wenzao
Nikweli ndomana chagamba kajitenga anamuogopa sana milaji kwamakofiyake
Interview yenu safi sn! Yani mpo free km hamna camera. Mnaongea friendly sn.
What passing around😂😂😂😂
Chagamba usisahau kumwambia miraji asifieeeee weee ila wajiwahi kuungana vinginevyo wasije kusema GSM anawezaje kufadhiri timu saba 😮😮
Huyo Debora muombee wana Simba afanye vizuri, Ila akiboronga na hilo jina lake atakoma matusi yake...
Gamba muulize Miraji zile THANK YOU 2 anazo zitaka zimetimia au bado?
Hakika🎉🎉🎉🎉
Kiongozi mwenyewe hajui mpira ila ana hela. Wataishia kuwapangia benchi la ufundi timu. Haya niko paleeee!
Tema madini baba iyo niakiyako cema kwanini uami kwamakoro
maua yenu wazeeee🎉
😂😂😂..Jean kaondokajee.!
Miraji tuambie thank you zako 2 zimetimia au bado?
Kwahicho kikosi chayanga mi shabiki wayanga akuna anemueka benchi apo chama ata shabik wasimb anajuw hilo
Afadhari leo chagamba bega litapoa sio mikofi ile
leo mmeamua mkae ili ukwepe makofi ya miraji
Milaj nakukumbusha wambie viongoz wachezaji wetu walindwe
Sema Maramoja leo kidogo umeongea kishabiki kiasi
Sasa yeye s shabiki wa simba
@@monifrank347 ushasema mkuu
miraji wewe mtuuuu...! inabidi simba wakufikirie hata kwenye kitengo chochote kaka, achana na akina GB 64 walevi wale....!
Na kramo vipi ishu yake ❤
KwaLAWI HAPO HATA MIMI NIMECHEKAAA
Ogopa mataperi azizik miaka miwiri jangwani
😢😢😢😢😢😢😢
Maramoja usiwapambe sana tutakuja kukukosa sisi wadau wako
Al kisasi hakan 😅😅😅😅
Miraji unamadini sana na sio mnafiki.
Kaka miraji 😂😂😂
😂😂😂😂mabega mabegaa chagambaa
😂😂😂😂
Ila Leo chagamba umempata miraji umepata Sana hujala mkofi mana Kila siku unakula makopi akiongea ila Leo umekaa mbali naye ww chagamba
Chagamba kafurai mwenywe
Xavi mtupu
Kachoka makofi chagamba😅
KIPINDI BORA SAANA
Mpanzu vipi familia?
Miraji yule mchome anaejifanya shabik wa simba yule ndio anaharibu wachezaji wa simba anatumwa yule kwaio afanyiwe kazi yule
Sasa afanyiwe nini?
Kuwa na stahamala ndugu hilo ndio soka kuna kudhiana kukerana na kutaniana
hahaaahaaàaaaaa
Ngoma una mweka wap cja mckia hapo
Chama first 11 yanga simuoni
Chagamba anasalimika makofii
Saivi tu ngoja wahame hapa
Yani kwa kikosi hicho cha simba mnapigwa kumi na yanga
Miraji Leo umebolonga 😂😂
Wasenge nyny Kila mara Simba na yanga
Meza mpya mbna kama miraji hajachangamka sana kama tulivyomzoea
Al kisasi hakan 😅😅😅😅
Reo umetema madini Sana milaji Mimi mfaasi wako
Ila Leo chagamba umempata
miraji umepata Sana hujala mkofi mana Kila siku unakula makopi akiongea ila Leo umekaa mbali naye ww chagamba
😂😂😂😂
Ila Leo chagamba umempata
miraji umepata Sana hujala mkofi mana Kila siku unakula makopi akiongea ila Leo umekaa mbali naye ww chagamba