MIRAJI AFIA KWA DEBORA FERNANDEZ |SIMBA KUPIGANIA UBINGWA BADO | ZILE STORI 4 KALI |LAWI ANANIVURUGA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 07. 2024

Komentáře • 117

  • @abelimaganga417
    @abelimaganga417 Před 7 dny +20

    Miraji leo umetema madini mnoooo❤❤❤❤❤

  • @Rashidimilanzi
    @Rashidimilanzi Před 7 dny +9

    Mraji napenda sana kukufatilia Mungu akupe maisha malefu

  • @abrahamchengula8137
    @abrahamchengula8137 Před 7 dny +6

    CHAGAMBAA! MIRAJI NA MZEE SAID WANAKUPAISHAA SANAAA.JAMAA WANAJUAA

  • @JeniphaRobert
    @JeniphaRobert Před 6 dny +3

    Mzee saidi tunamtaka 😊😊😊

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l Před 7 dny +6

    MUNGU IBARIKI SIMBA , ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉,WAKALI WA KARIAKOO

  • @MakukaNyango
    @MakukaNyango Před 7 dny +16

    Kaka mirsj na chagamba,,mi nawaombea maisha marefu na afya njema, miraji mi yanga lakin nakuelewa sana kwa madini Yako hadhiiiimu

  • @DanielChaula
    @DanielChaula Před 7 dny +5

    Miraj nao wako wawili (#miraj wautani&miraj wa serious)

  • @AishaMshamu
    @AishaMshamu Před 7 dny +8

    Miraji anapata tabu sana kukaa na chagamba mbari kamiss kumpga mikofi ya mabega😂

  • @MartinMilinga-f4j
    @MartinMilinga-f4j Před 7 dny +12

    miraji anapata shida sana kukaa mbali na chagamba kazoea kumchapa mabega,chagamba kaona bora iwe ivo

  • @FakiSuleiman-sv4ee
    @FakiSuleiman-sv4ee Před 5 dny

    Miraji Safi Sana jitahidi kaka

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 Před 7 dny +3

    Mlete hapo mzee Saidi mfanyie Interview...Miraji na Chagamba, Mzee Saidi, na mzee Masatu..hawa watu raha sana

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo Před 7 dny +5

    Leo mbona mmekaa mbalimbali Changamba sogea kidogo ili Miraji akutandike tandike begani.😂😂😂

  • @richardmhando2994
    @richardmhando2994 Před 7 dny +7

    oy mzee chabamba pamoja miraj simba inakuja kuwa timu tisho next time alf vip kuhusu 24 jez ya simba

  • @abelimaganga417
    @abelimaganga417 Před 7 dny +1

    Hii combination ya miraji na chagamba ni hatari saaaanaaaaaa😂😂😂😂❤❤❤

  • @malietamalieta9658
    @malietamalieta9658 Před 7 dny +23

    😂😂😂 ety halikisasi hakhaa 🙌🙌miraji mtapigwa kama ngoma huu msimu kwa hii yanga ubingwa watupe ata Leo ngao ya jamii mpe alikamwe ata kesho fa taree 15 tupeni tusipoingia nusu final msimu huu sisi yanga atutawai ingia tena

  • @MpwanguJr
    @MpwanguJr Před 7 dny +4

    Leo wamekaa chini bega limepona

  • @suleymanyaasin
    @suleymanyaasin Před 7 dny +5

    Apange na wachezaji wa akiba,,,,, hatari

  • @user-ty6pz1mi3j
    @user-ty6pz1mi3j Před 7 dny +5

    Dogo Chagamba, style yako nimeikubali hasa unapo ojiana na Miraji

  • @iddydule2287
    @iddydule2287 Před 7 dny +5

    HALIKISASA AKHAAAAAAA😂😂😂

  • @husseinmassawa7186
    @husseinmassawa7186 Před 7 dny +3

    Hiv azizi ki msimu mpya hatokuwepo tena yanga, someni nyakati vizuri waknachagamba😅

  • @samwelingasa1638
    @samwelingasa1638 Před 7 dny +3

    Huyu mashaka mzuri kweli namtabiria makubwa mtamuona tu

  • @kamaratsalimsafari8838

    Miraji 😂Ninaraha mpaka nalia kikosi hatalii❤🦁

  • @FatumaSwaleh-it4qq
    @FatumaSwaleh-it4qq Před 7 dny +2

    Mzee said jamoon😂😂😂

  • @frontoffice8676
    @frontoffice8676 Před 7 dny +2

    Hii ya kusimama cjaipenda naipenda ile ya kusimama huku milaji akiwa anapigapiga mabega ya chagamba😂😂😂

  • @kingofrich6813
    @kingofrich6813 Před 7 dny +2

    Daaah kuna jamaa hatukuwa na bahati nae fundiiii cramoo😢😢😢

  • @jamessamson3848
    @jamessamson3848 Před 7 dny +3

    Mamaaeee kutetena bei ghali sana sisi kama lunyasi hilo jambo hatulimudu

  • @mustaphawelder7022
    @mustaphawelder7022 Před 7 dny +2

    Simba kote tuko sawa bado tu mabeki ndio bado kidogo

  • @FatumaSwaleh-it4qq
    @FatumaSwaleh-it4qq Před 7 dny +2

    Chagamba tupeleke kwa mzee saidi😂😂😂

  • @babupiza641
    @babupiza641 Před 7 dny +1

    Miraji hapo kwa kikosi hicho Cha simba 6 zinawahusu

  • @AndersonMokiwa-is5ch
    @AndersonMokiwa-is5ch Před 6 dny

    Shida ya milaji huwa anasifia sana mchezaji mgeni kabla ya kucheza likitokea sasa utaona anavyowakqtaa

  • @YonaMashaka-xb2ym
    @YonaMashaka-xb2ym Před 7 dny +2

    Miraji unachekesha ase

  • @FabriceKadege
    @FabriceKadege Před 6 dny

    Meza mpya mbna kama miraji hajachangamka sana kama tulivyomzoea

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148 Před 7 dny +1

    Miraji tunakuomba ulipigie hili kelele arubadili isomwe ndo wachezaji vizuri

  • @odilomwakamela4889
    @odilomwakamela4889 Před 7 dny +2

    Mgunda anapasha nusu ya msim tuu anakabiziwa timu

  • @MoiseMishenyimateranya

    Kikik😂leo ilikuwa vizuri

  • @mizanitalentspro213
    @mizanitalentspro213 Před 7 dny

    Maestro mara moja❤

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 Před 7 dny +1

    💚💛💛💛💛💪

  • @Shadia544
    @Shadia544 Před 4 dny

    😂😂😂Miraji na chagamba jamaniii sasa miraji leo umbali kidogo leo bega limepona 😂😂😂

  • @amehassan3128
    @amehassan3128 Před 6 dny

    Ww Miraji kwann usiwe mchambuzi maana mpira unaujua

  • @user-nc4ko3qz7t
    @user-nc4ko3qz7t Před 7 dny +2

    Kisasu haqu

  • @brunomtweve8073
    @brunomtweve8073 Před 7 dny +2

    Debora

  • @jamalinuru5503
    @jamalinuru5503 Před 4 dny

    Chagamba emu tutaftie mzee Saidi kwanza mwambie Aziz bado yupo

  • @IbuniKilapaya
    @IbuniKilapaya Před 7 dny

    Hatar sana🎉🎉🎉

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 Před 7 dny +2

    Chagamba mabega yamepona vibao leo,Miraji hasira zoote anajizaba mwenyewe😂😂😂😂

    • @isiaka7930
      @isiaka7930 Před 7 dny

      check dk ya 25...hayajapona...labda sio maramoja

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 Před 7 dny

      @@isiaka7930 aisee jamaa mvumilivu🤣🤣 si kwa vibao vile na alivyo kimbau! 🤣🤣
      Nilikua na mshikaji mmoja,yule eti mmefurahi uumpe mkono agonge, kudadeki,lazima furaha iishe alafu alikua na bonge la kiganja🤣🤣🤣

  • @rizyoneboffi3662
    @rizyoneboffi3662 Před 6 dny

    Kweli simba na azam wanafanana ndio maana wanapambana wote kugombea nafasi ya pili na bado

  • @FredyPeter-rq8hj
    @FredyPeter-rq8hj Před 7 dny

    ❤❤❤❤

  • @mansoursaid8
    @mansoursaid8 Před 7 dny +1

    WANANCHIIIIIIIIIII

  • @ElishaFabiani-qs7qb
    @ElishaFabiani-qs7qb Před 7 dny +1

    Ata me chama haingii kwenye kikos

  • @SulemaniNassor
    @SulemaniNassor Před 6 dny

    Chagamba tulety mze said wachana na hawo machwa wanawo tafuta kik

  • @floriankasalya269
    @floriankasalya269 Před 7 dny

    Huyo mtu Fernandes ni kama Edgar Davids Dutch vile😂😂

  • @josephmwise3177
    @josephmwise3177 Před 3 dny

    Moraj, miraji, Miraji nakuita maratatu hayo maneno yako utayakumbuka, Umesahau lete mzungu? Jobe,Fungafunga au Chikwende?

  • @mustaphawelder7022
    @mustaphawelder7022 Před 7 dny +1

    Wakina onana watakaa mbao ndefu mpaka wakome labda wawapige misumari wachezaji wenzao

  • @UmarRachideMussa
    @UmarRachideMussa Před 6 dny

    Nikweli ndomana chagamba kajitenga anamuogopa sana milaji kwamakofiyake

  • @halimamwingu4478
    @halimamwingu4478 Před 7 dny

    Interview yenu safi sn! Yani mpo free km hamna camera. Mnaongea friendly sn.

  • @rajabumachemba7321
    @rajabumachemba7321 Před 7 dny

    What passing around😂😂😂😂

  • @bonifassimon7909
    @bonifassimon7909 Před 7 dny

    Chagamba usisahau kumwambia miraji asifieeeee weee ila wajiwahi kuungana vinginevyo wasije kusema GSM anawezaje kufadhiri timu saba 😮😮

  • @McbarakaeventsTz
    @McbarakaeventsTz Před 7 dny

    Huyo Debora muombee wana Simba afanye vizuri, Ila akiboronga na hilo jina lake atakoma matusi yake...

  • @billywilliammyovella2202

    Gamba muulize Miraji zile THANK YOU 2 anazo zitaka zimetimia au bado?

  • @DicksonMato-mp9nq
    @DicksonMato-mp9nq Před 7 dny

    Hakika🎉🎉🎉🎉

  • @mmewaswida
    @mmewaswida Před 6 dny

    Kiongozi mwenyewe hajui mpira ila ana hela. Wataishia kuwapangia benchi la ufundi timu. Haya niko paleeee!

  • @UmarRachideMussa
    @UmarRachideMussa Před 6 dny

    Tema madini baba iyo niakiyako cema kwanini uami kwamakoro

  • @salummkicha6636
    @salummkicha6636 Před 6 dny

    maua yenu wazeeee🎉

  • @hyginuskabanda474
    @hyginuskabanda474 Před 7 dny

    😂😂😂..Jean kaondokajee.!

  • @Emmanuel-cu7yu
    @Emmanuel-cu7yu Před 7 dny

    Miraji tuambie thank you zako 2 zimetimia au bado?

  • @OmariialiiOmarii
    @OmariialiiOmarii Před 7 dny

    Kwahicho kikosi chayanga mi shabiki wayanga akuna anemueka benchi apo chama ata shabik wasimb anajuw hilo

  • @user-yh7oc9sg6k
    @user-yh7oc9sg6k Před 6 dny

    Afadhari leo chagamba bega litapoa sio mikofi ile

  • @mohamedmohamedy8311
    @mohamedmohamedy8311 Před 7 dny

    leo mmeamua mkae ili ukwepe makofi ya miraji

  • @kasimuhamidu8467
    @kasimuhamidu8467 Před 7 dny

    Milaj nakukumbusha wambie viongoz wachezaji wetu walindwe

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 Před 7 dny +1

    Sema Maramoja leo kidogo umeongea kishabiki kiasi

  • @ushiwamarandu7433
    @ushiwamarandu7433 Před 7 dny

    miraji wewe mtuuuu...! inabidi simba wakufikirie hata kwenye kitengo chochote kaka, achana na akina GB 64 walevi wale....!

  • @evaristponcian9397
    @evaristponcian9397 Před 7 dny

    Na kramo vipi ishu yake ❤

  • @abrahamchengula8137
    @abrahamchengula8137 Před 7 dny

    KwaLAWI HAPO HATA MIMI NIMECHEKAAA

  • @user-gp7es3sg3k
    @user-gp7es3sg3k Před 7 dny +4

    Ogopa mataperi azizik miaka miwiri jangwani

  • @JohnMzia
    @JohnMzia Před 7 dny

    😢😢😢😢😢😢😢

  • @idrisahamimuhasani5717

    Maramoja usiwapambe sana tutakuja kukukosa sisi wadau wako

  • @KiseembeBilali
    @KiseembeBilali Před 7 dny

    Al kisasi hakan 😅😅😅😅

  • @Wami-Sababisho
    @Wami-Sababisho Před 6 dny

    Miraji unamadini sana na sio mnafiki.

  • @user-kb7qr5gy1b
    @user-kb7qr5gy1b Před 7 dny

    Kaka miraji 😂😂😂

  • @OBSGroup-ps9es
    @OBSGroup-ps9es Před 7 dny

    😂😂😂😂mabega mabegaa chagambaa

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 Před 7 dny

    😂😂😂😂

  • @user-mj2ut6ud9x
    @user-mj2ut6ud9x Před 7 dny

    Ila Leo chagamba umempata miraji umepata Sana hujala mkofi mana Kila siku unakula makopi akiongea ila Leo umekaa mbali naye ww chagamba

  • @MariaMnthax
    @MariaMnthax Před 7 dny

    Chagamba kafurai mwenywe

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p Před 7 dny

    Xavi mtupu

  • @immanuelwilson9414
    @immanuelwilson9414 Před 7 dny

    Kachoka makofi chagamba😅

  • @abunajreenELSESANY
    @abunajreenELSESANY Před 7 dny

    KIPINDI BORA SAANA

  • @andersonnkini7298
    @andersonnkini7298 Před 7 dny

    Mpanzu vipi familia?

  • @user-ib3rm6wg1c
    @user-ib3rm6wg1c Před 7 dny

    Miraji yule mchome anaejifanya shabik wa simba yule ndio anaharibu wachezaji wa simba anatumwa yule kwaio afanyiwe kazi yule

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 Před 7 dny

      Sasa afanyiwe nini?
      Kuwa na stahamala ndugu hilo ndio soka kuna kudhiana kukerana na kutaniana

  • @SengeMtukaz
    @SengeMtukaz Před 7 dny

    hahaaahaaàaaaaa

  • @Johnmalekela
    @Johnmalekela Před 7 dny

    Ngoma una mweka wap cja mckia hapo

  • @agnessgodfrey6557
    @agnessgodfrey6557 Před 7 dny +1

    Chama first 11 yanga simuoni

  • @JoshuaMbena
    @JoshuaMbena Před 7 dny +1

    Chagamba anasalimika makofii

  • @AnnaBeda-g9k
    @AnnaBeda-g9k Před 7 dny +1

    Yani kwa kikosi hicho cha simba mnapigwa kumi na yanga

  • @user-er1dk6zj6u
    @user-er1dk6zj6u Před 7 dny

    Miraji Leo umebolonga 😂😂

  • @NlembugunKotira
    @NlembugunKotira Před 7 dny

    Wasenge nyny Kila mara Simba na yanga

  • @FabriceKadege
    @FabriceKadege Před 6 dny

    Meza mpya mbna kama miraji hajachangamka sana kama tulivyomzoea

  • @KiseembeBilali
    @KiseembeBilali Před 7 dny

    Al kisasi hakan 😅😅😅😅

  • @user-gp7es3sg3k
    @user-gp7es3sg3k Před 7 dny

    Reo umetema madini Sana milaji Mimi mfaasi wako

  • @user-mj2ut6ud9x
    @user-mj2ut6ud9x Před 7 dny

    Ila Leo chagamba umempata
    miraji umepata Sana hujala mkofi mana Kila siku unakula makopi akiongea ila Leo umekaa mbali naye ww chagamba

  • @costantinomhonda8394
    @costantinomhonda8394 Před 7 dny +2

    😂😂😂😂

  • @user-mj2ut6ud9x
    @user-mj2ut6ud9x Před 7 dny

    Ila Leo chagamba umempata
    miraji umepata Sana hujala mkofi mana Kila siku unakula makopi akiongea ila Leo umekaa mbali naye ww chagamba