MZEE SAID: WACHEZAJI WALINDWE | MSIMU UJAO VIKOMBE | AZIZ KI KABAKI?

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 07. 2024

Komentáře • 34

  • @SultanSuleiman-qf7cx
    @SultanSuleiman-qf7cx Před 25 dny +4

    Hadi Raha sana kma utani n huyu Mzee Dunia Haina shida

  • @AbbasyMdabwa
    @AbbasyMdabwa Před 25 dny +3

    Mzee said upo sahihi kabisa naunauchungunatimu yako

  • @boniphacesimkonda2293
    @boniphacesimkonda2293 Před 24 dny +2

    Kaingia kwenye mfumo😂😂 mzee said anasema hataki kusikia kabisa mkiwa mnasema kaingia kwenye mfumo😅😅

  • @mwanaidimtengo8151
    @mwanaidimtengo8151 Před 25 dny +2

    Mzee Saidi MUNGU akuweke Unatufurahisha sana,Hahahahaaaaaaaa

  • @user-jz4vq2zm5f
    @user-jz4vq2zm5f Před 25 dny +3

    Mungu lete wemaa wako! Mzee saidi😂😂😂

  • @mhinajerome5964
    @mhinajerome5964 Před 25 dny +3

    Mzee said Siku simba ikifungwa hatakubari interview

  • @noelmakere1381
    @noelmakere1381 Před 25 dny +1

    Kiukweli napenda sana interview ya mzee saidi yaani anatoa....full Raha

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np Před 25 dny +1

    Mzee Leo umeamka kivingine

  • @husnasena6055
    @husnasena6055 Před 25 dny +3

    😂😂😂nimecheka Kwa sauti wallah Mzee said anasema mfano wake ushaisha🤣🤣🤣

  • @RajabuLanda
    @RajabuLanda Před 20 dny

    Kunamambo hayajafahamika. Sora kuchaji betr Lili oza

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 Před 23 dny

    Eeee tatizo ni tarehe yenyewe ina namba kubwa mno --- tarehe 08/08 --- ilikuwa tarehe 05/Nov ikatokea dhahama kama ilivyo tarehe yake -- ushauri wangu wa bure kwenu ni huu --- "Madu msilete timu uwanjani "

  • @stephenwainage2523
    @stephenwainage2523 Před 25 dny +1

    Boka Tena eeeh😅😅😂

  • @boniphacesimkonda2293
    @boniphacesimkonda2293 Před 24 dny +1

    Kuna Boka tena 😂😂😂

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 Před 23 dny

    Mutali mukwala,mkwembe mukolo,yooooote tutayajua tar jitieni moyo tu😅😅😅

  • @deogratiaspmwolo1942
    @deogratiaspmwolo1942 Před 25 dny +1

    Mzee Said mzee said mzee said mzee said angalia yanga tunakupenda ila sijui utajificha wapi mkiingia kwenye mfumo ha ha ha

  • @AbuuMuhsin
    @AbuuMuhsin Před 25 dny +1

    CHAGAMBA Muulize mzee said anatokea wilaya gani Tabora, maana anavyoongea huyu ni mnyamwezi

  • @user-or4oq3pr4v
    @user-or4oq3pr4v Před 23 dny

    Na Yao kwas hakuwepo

  • @archiekarage737
    @archiekarage737 Před 25 dny +1

    Litakufa jitu

  • @ChartyMpepo
    @ChartyMpepo Před 25 dny

    😂😂😂😂 mzee saidi kwanzia leo debora

  • @AbasiyaKingalu
    @AbasiyaKingalu Před 25 dny +1

    Ahahahaahahaha😅😅😅

  • @mhinajerome5964
    @mhinajerome5964 Před 25 dny +1

    Mbonahii yajana sio yaleo ndio maana naona yanajirudia hii ilikuwa finest online nanyie kuweni wabunifu

    • @mbuche_055
      @mbuche_055 Před 25 dny

      Hawa wanaiba kutoka @ finest online wanaleta hapa ambapo sio vizuri anatumia nguvu ya mwenzake

  • @lucasmombo-di4zr
    @lucasmombo-di4zr Před 25 dny +1

    Mzee said , umeanza tena yanga waje mmmh umesahau 5 ?

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 Před 25 dny +3

    Mzee Said ongezea na mpenja anavyootangaza wakati wachezaji wanaingia, " sasa ule mida wa vijembe na matambo umeisha, sasa dakika 90"

  • @Dizzoboy-u2c
    @Dizzoboy-u2c Před 25 dny

    Zile 5 tuna multiple kwa 2 ngoja uone

  • @HamadRamadhanKhatib
    @HamadRamadhanKhatib Před 25 dny

    Ha ha ha Simba kufungwa na yanga lazima ila tujadili idadi tu yamagoli

  • @MzeewaYanga-hm8jq
    @MzeewaYanga-hm8jq Před 25 dny

    😂😂😂😂😂😂

  • @YassinGofrey
    @YassinGofrey Před 25 dny

    😂😂😂😂

  • @ngoyaboy1590
    @ngoyaboy1590 Před 25 dny +1

    Kwenye. Mfumo

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h Před 25 dny +1

    Ukuta wa yeriko ulibomoka msimu uliopita mzee said.

  • @anoldselfalphonce4671
    @anoldselfalphonce4671 Před 25 dny

    Acha kuiba content za watu we fala

    • @FannySporttz
      @FannySporttz  Před 25 dny

      Kuwa na amani familia hii ni familia na Finest... Instagram tunapatikana kwa Finest Online au Alqasusu... 🙏

  • @michaelmazoya9347
    @michaelmazoya9347 Před 25 dny

    😂😂😂😂