Video není dostupné.
Omlouváme se.

Ahmed Ally, Crescentius Magori wazungumzia usajili, Simba Day, ubaya ubwela

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 07. 2024
  • Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba SC, Crescentus Magori na Meneja wa Habari wa timu hiyo Ahmed Ally wamezungumzia mchakato wa usajili ndani ya klabu hiyo na kutoa tafsiri ya ubwaya ubwela.

Komentáře • 282

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 Před měsícem +7

    Tunaosema tutajiunga na simba bando kuichangia simba weka like

  • @ElizabethLukosya-lv2vf
    @ElizabethLukosya-lv2vf Před měsícem +4

    Msemaji ni mmoja tu ktk ligi yetu ya African,na ni semaji letu la kafu ❤

  • @NteziryayoAime
    @NteziryayoAime Před měsícem +2

    Much love from Rwanda 🇷🇼 I'm APR FC fan 🤍🖤🤍🖤 turabakurikiye Tanu kwa tanu

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před měsícem +2

    Yaan aacha tu ma simba day siku hiyo. Watakoma mwaka huu❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉Mo Boss kubwa hoyooooo❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉👍👍👍👍semaji wetu hoyoooooo❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉👍👍👍👍

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 Před měsícem +4

    General magori ubaya ubwela genius

  • @nesto_automobiles6537
    @nesto_automobiles6537 Před měsícem +2

    Asanteni sana azam kwa kuiweka hii you tube maana niliikosa kutokana na kukatika kwa umeme

  • @user-rl1vr1fd1r
    @user-rl1vr1fd1r Před měsícem +8

    Magori ni mtu haswa anatakiwa atunzwe kwa faida ya Simba ya sasa na baadae

  • @user-ze2nk8cw5s
    @user-ze2nk8cw5s Před měsícem +5

    Kama mpanzu anazingua aachwe maana waliopo kwangu Mimi viongozi siwadai ila ushauri wangu naomba waliosajiliwa wapewe nafasi wacheze

  • @IsackVedasta
    @IsackVedasta Před měsícem +2

    Msemaji Bora Tanzania 🇹🇿 na Africa nzima.

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 Před měsícem +4

    SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @SwaumuShabani-qm4xo
    @SwaumuShabani-qm4xo Před měsícem +5

    Semaji anaetrend tiktok cmba nguvu moja ubaya ubwela

  • @JoshuaLeonard-lo3cs
    @JoshuaLeonard-lo3cs Před měsícem +3

    Simba nguvu moja Tim kubwa Africa na Dunian tuwe watulivu kwanzia viongoz mpk mashabik tutaimarka tu na tutaendeleza ubabe wetu

  • @mohamedjuma1960
    @mohamedjuma1960 Před měsícem +3

    Am proud Simba fan

  • @JoseHaule-tx7lu
    @JoseHaule-tx7lu Před měsícem +1

    Huyu jamaa ni hatar ana kpaji kwakweli We love u broooo

  • @user-gn4cp2vq2y
    @user-gn4cp2vq2y Před měsícem +1

    Nawapongza saaaaana wakuu wangu hao kwa kazi nzuri wanazo fanya kwa moyo,....mungu azidi kuwajalia afya njema

  • @DicksonPeter-ym5od
    @DicksonPeter-ym5od Před měsícem +3

    Magori ni mashine ya kweli pale simba ,mungu ampe maisha marefu pale simba,,,by dickson peter ..nikiwa dar

  • @user-bh7cc4dt3b
    @user-bh7cc4dt3b Před měsícem +3

    Mungu awabariki Simba yetu isonge mbele, amina

  • @Hemedyamir
    @Hemedyamir Před měsícem +1

    Magori anajibu maswali vizur kweli ni mtu wa mpira anaijua Simba kindakindaki Hawa ndo tunawataka kwenye Simba Kwanza anaipenda Simba ni fans wa Simba"Simba nguvu moja🔥💪"

  • @Dayotz
    @Dayotz Před měsícem +3

    Bro magoli u looks like my dady rest in peace dady

  • @ElizabethLukosya-lv2vf
    @ElizabethLukosya-lv2vf Před měsícem +3

    Magori,napenda sana majibu yako kama mgunda tu,maneno mengi ya nini unajibu point

  • @DullhFeyy
    @DullhFeyy Před měsícem

    Ahmad bin Aliy nakukubar sanaaa kwa uwezo wa mungu inshaanllah furaha tuliyoikosa kwa mda mref viongozi wachezaji wajitume kwa bidii wajue kitu gani tunacho kihitaji tutarudi kwenye furaha tuliyo ipoteza.

  • @yusufmruma2870
    @yusufmruma2870 Před měsícem +2

    Magori is intelligent, big up

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le Před měsícem +4

    Semaji la wasemaji tz wengine waropokaji tu

  • @abumuhammad9615
    @abumuhammad9615 Před měsícem +3

    Interview imekamilika sana

  • @Busagotz
    @Busagotz Před měsícem +3

    Ally komwe na Hers njoo ujifunze kuongea kama hiv pointi

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Před měsícem +2

    SAFI SANA SEMAJI LETU LA CAF. TUNAKUPENDA SANA WANASIMBA

  • @djchid2417
    @djchid2417 Před měsícem +4

    Huyu mwamba ni hatar ni mashine ya kuongea

  • @salumumabomba9611
    @salumumabomba9611 Před měsícem +1

    Nakubaliii sana Chama langu,Magori mnyamaaaaaaa

  • @gabrielrobert8677
    @gabrielrobert8677 Před měsícem +2

    Magori mtu haswa, hamnaga mkurya fala Town.... bigg up saana Tata Magori

  • @khadijamisayo7476
    @khadijamisayo7476 Před měsícem +2

    Magori yupo vizuri, hana papara, katulia

  • @user-ms8rl1nr9o
    @user-ms8rl1nr9o Před měsícem +4

    Hongereni sana viingozi wetu

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw Před měsícem +25

    Mtangazaji ni shabiki wa simba ameshindwa kujizuia

  • @user-gz2or2ui9n
    @user-gz2or2ui9n Před měsícem +3

    Kongole sana semaji la caf

  • @abelimaganga417
    @abelimaganga417 Před měsícem +2

    Hawa watu wawili sina mashaka nao kabsa nawaamini mnooo🦁🦁🦁🦁

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka6126 Před měsícem +3

    Mpanzu na Fei Toto tunauwa watu kwa pressure, please waleteni msimbazi

  • @raphaelernest8253
    @raphaelernest8253 Před měsícem +2

    Nakubali ubaya ubwela

  • @teilencedevard9431
    @teilencedevard9431 Před měsícem +2

    Semaji linalo ingia on trending upepo unao semaji

  • @mohamednipala7000
    @mohamednipala7000 Před měsícem +3

    Simba.....!!!!! Nguvu moja

  • @HajiKanyumbu-xn6vh
    @HajiKanyumbu-xn6vh Před měsícem +1

    Nalipongeza sana chama langu simba 🦁🦁🦁 nguvu moja 💪💪💪

  • @AbkHashim-o3j
    @AbkHashim-o3j Před měsícem +4

    Viongoz wanapo fanya usajili wanaakiri wana jua nan anafaa kwahyo tusubirie viongoz wafanye usajili tuone uwanjan alafu unapo sema ni siasa wewe mwanachama? Tusiwe tunapga makelele alafu kumbe hata kad ya mwanachama huna waache viongoz wafanye usajili

  • @juniorjoshua2452
    @juniorjoshua2452 Před měsícem +4

    Musa mangungu ni kilus I mpaka Sasa wengi hawamtaki ila watu wameamua kuweka umoja

    • @DeborahSaitoti-oy7fm
      @DeborahSaitoti-oy7fm Před měsícem +1

      Kweli Ila atatoka tu simba tuweke kwanza nguvu nyingi timu na club ikae sawa mangungu ni mdudu mdgo Sana siku moja tu makiamka anakuta THANK YOU YAkE MEZANi😂😂😂😂😂

  • @georgesamweli4062
    @georgesamweli4062 Před měsícem +2

    Semaji 🎉🎉🎉

  • @omariwaziri5031
    @omariwaziri5031 Před měsícem +3

    Kadi za mashabiki tuna zipataje

  • @songarashidy1995
    @songarashidy1995 Před měsícem +3

    yoooo if you like SIMBA like my comment down

  • @user-bf3mm5wu1s
    @user-bf3mm5wu1s Před měsícem +2

    simbaa nguvu moja 😊😮

  • @FreemasonPesaZaMajini
    @FreemasonPesaZaMajini Před měsícem +2

    Ongezeni wanachama wapya,lkn mkiweka sharti moja la kila mwanachama lazima alipie kadi yake kila mwaka na akiwa ajalipia ndani ya miaka miwili ifutwe apewe mwingine na yeyote atakayelipia siku ya uchaguzi asiruhusiwe ili kumfanya aone umuhimu wa kulipia kadi kwa wakati

  • @ashrafameir4064
    @ashrafameir4064 Před měsícem +2

    Kwanini wamemtoa mgunda kwenye bench

  • @AbednegoMurosi
    @AbednegoMurosi Před měsícem +3

    Mwenda hatumuonii kambini

  • @epefrapetro1398
    @epefrapetro1398 Před měsícem +3

    Mimi nimwana chama wa smba nigeomba kramo twende nae naiman atatusaidia

    • @AlexMgeta
      @AlexMgeta Před měsícem

      Mbona kramo yupo sana na aliongeza mkataba wa mwaka mmoja

  • @shekhebakari1998
    @shekhebakari1998 Před měsícem +2

    Naitwa Hamis from kigamboni naomba hiyo huduma yasimba bando ije namitandao mingine tafazali

  • @mwasunga
    @mwasunga Před měsícem +2

    Amed baba utaniua mm wew nimwamba ndomana walikushindwa wakaleta watatu iri wakuchangie wamelala nabado watalala

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Před měsícem +1

      😂😂😂😂😂 sasa iyo ni taasisi kweli ?? Kitengo kiwe na mtu mmoja kwelii ??

  • @hamismwangwale563
    @hamismwangwale563 Před měsícem +1

    Ubaya ubwela Ila SEMAJI LETU halitaki unyonge🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @RomwadMhagama
    @RomwadMhagama Před měsícem +3

    Nasisi wangoni hua tunatumia hiloneno

  • @IssaKisaka-wo3mq
    @IssaKisaka-wo3mq Před měsícem +2

    Simba nguvu moja

  • @Miche7_
    @Miche7_ Před měsícem +2

    Mashine ya kuongea alikuwa anaumia 😂😂😂😂

  • @robsonwilliam8301
    @robsonwilliam8301 Před měsícem +2

    Wenzenu wanatafuta wachezaji ninyi mnatafuta maneno mtaani ya kudanganyia watu.

  • @sijaonamjungufinias481
    @sijaonamjungufinias481 Před měsícem +2

    Kramo jamani mwacheni mbona kapona jamani

  • @peterwilliam5411
    @peterwilliam5411 Před měsícem +1

    Azam TV kiboko yaoo 🎉🎉

  • @renatusmwanakatwe-gl9xb
    @renatusmwanakatwe-gl9xb Před měsícem +1

    Asante azam

  • @RashidiKilumbi
    @RashidiKilumbi Před měsícem +1

    Tutajie Tena hiyo no, ya kujiunga Simba bando.

  • @KanizioBugota
    @KanizioBugota Před měsícem +1

    Tuipende simba yetu❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @kingndinyo9764
    @kingndinyo9764 Před měsícem +1

    Trending 1 simba nguvu moja

  • @KibibiMwalimu-pg8fg
    @KibibiMwalimu-pg8fg Před měsícem +1

    Nataka kadi yangu niliyosajiliwa wilaya ya mvomero kata ya mkindo Nataka kuchangia nikiwa huku 🇱🇷

  • @KibibiMwalimu-pg8fg
    @KibibiMwalimu-pg8fg Před měsícem +2

    Mimi ni mwa😊 mwanachama lakini Nipo American nitafanyaje ili nichangie nikitokea huku 🇱🇷?

  • @officialisaiah3979
    @officialisaiah3979 Před měsícem +3

    UBAYA UBWELA

  • @allymtunge5530
    @allymtunge5530 Před měsícem +2

    Kwan uto wanakuaga wapi? Kufikili sana

  • @afaijuma8474
    @afaijuma8474 Před měsícem +1

    Kwanza nawapongeza kwakipindi kizuli oja yangu. Ipokwenye namna yakutumia mtandao wa Voda Mimi nipo Mozambique nauku sisi tupo tunanufaishaje Simba yetu?

  • @samahakihange6421
    @samahakihange6421 Před měsícem

    Nimeipenda iyo raisi wa wasemaji ote tanzania semaji la caf

  • @ROJAOMARY-ys7xb
    @ROJAOMARY-ys7xb Před měsícem +1

    Kipindi kitam sana nilokuwa natamani kusikia sauti ya father magoli na hamedi alii

  • @Ezramali595
    @Ezramali595 Před měsícem +2

    UBAYA UBWELA MPOAPOOOO

  • @josephfrank4446
    @josephfrank4446 Před měsícem +1

    Sasa magor karudi nafraha sasa🎉

  • @elinathanbanka5485
    @elinathanbanka5485 Před měsícem +2

    Tukimshindwa Elia mpanzu bac yanga bingwa tena na jezi ya msimu huu ctanunua kabxa

    • @ivankakooza1765
      @ivankakooza1765 Před měsícem

      Utopolo ni Utopolo tu

    • @jr45_unique10
      @jr45_unique10 Před měsícem

      Huo niushamba kama ushamba mwingine usajili niswala lamakubariano na lenyefaida pande zote mbili kaka

    • @VeronicaAdam-lx8yd
      @VeronicaAdam-lx8yd Před měsícem

      😂😂😂😂Wew ninan usip nunua

    • @Hassan-ot1mc
      @Hassan-ot1mc Před měsícem

      Usiponunua sisi tutanunua

  • @user-bb8de4bl5n
    @user-bb8de4bl5n Před měsícem +1

    Wewe hujui kitu huyu Zubery Yanga damu ujue hilo

  • @januarysungura8119
    @januarysungura8119 Před měsícem +2

    Ubaya ubwela

  • @jumamnemo8383
    @jumamnemo8383 Před měsícem +1

    Hiyo safi Simba bando

  • @harunaThobias
    @harunaThobias Před měsícem +2

    Kramo Bado nimchezaji wa Simba?

  • @hamadbakar7091
    @hamadbakar7091 Před měsícem +1

    Simba nguvu Moja yani mwaka huu tumesajili IGP watupu au maamiri jeshi watupu yani hakuna kuruti kwenye kikosi chetu

  • @CyprianHatari-qy9yv
    @CyprianHatari-qy9yv Před měsícem +2

    Mfarume wa nyika wekundu wa msimbazi

  • @mariammbapira645
    @mariammbapira645 Před měsícem +2

    Wangoni pia bwers njoo rudi kibantu

  • @GervasKasagula-m7m
    @GervasKasagula-m7m Před měsícem +2

    Magoli tunakutakia majukum mema ya simba yetu

  • @user-cg8vh4fn7z
    @user-cg8vh4fn7z Před měsícem +1

    Mbona kama kuna mtu anapiga mihayo apo

  • @AudaxLwekamwa-kt6eg
    @AudaxLwekamwa-kt6eg Před měsícem +1

    Kuna mwamba njaa ilkua inampiga apo 😅😅kiasi kwamba anapiga miayo kwenye myk😅

  • @MtoroIdd
    @MtoroIdd Před měsícem +3

    Mzee magori fukuza manula huyo kirusi kitoke

  • @ZachariaMwita-bu7rw
    @ZachariaMwita-bu7rw Před měsícem +2

    Ahmed hata uwe shabiki wa yanga na azam lzm umsikilize tu 😂 ila hao wengine kina kamwe wanasikilizw ma mashabk wao tu

  • @user-kn7bo6iz4n
    @user-kn7bo6iz4n Před měsícem +1

    Nguvu mojaa❤❤❤❤

  • @jumanneelias-mc7sw
    @jumanneelias-mc7sw Před měsícem +1

    iyo simba bando naomba iwekwe kwa mitandao yote pleaSE

  • @johnmgalatia5375
    @johnmgalatia5375 Před měsícem +2

    Naomba namba ya msemaji Ahamedy

  • @idimbezi8379
    @idimbezi8379 Před měsícem +2

    Mwambie magor tunamuomba elia mpanzu

  • @westonyjob1747
    @westonyjob1747 Před měsícem

    Semaji la cuf umetisha

  • @likubaro7443
    @likubaro7443 Před měsícem

    Nijambo jema Sana hilo,ushauri kuweke utaratibu wa taarifa za makusanyo ya kila mwezi wapenzi wangapi wa simba wamejiunga na kiasi gani kimechangiwa hii italeta moral yakujiunga wengine.tunataka kujenga uwanja tunashindwa vp na KMC?.wingi uwe ni sababu kuleta maendeleo.

  • @malickomary5687
    @malickomary5687 Před měsícem

    Sema huyu mzee magoli safi sana yani...

  • @user-wn9bp5cl1j
    @user-wn9bp5cl1j Před měsícem +3

    Tusimuache kramo

  • @MartineRichard-me2ip
    @MartineRichard-me2ip Před měsícem +1

    Simba Nguvu moja

  • @chimnyengeUpdate
    @chimnyengeUpdate Před měsícem +1

    Ila Bongo Kuna wasemaji sana

  • @philemornmutta1597
    @philemornmutta1597 Před měsícem +1

    Ni kawaida yetu walijitapa kupambana na sisi nyuma mwiko likawakuta wakajitoa Tena Kwa aibuuu

  • @ELIASJACOB-by4qs
    @ELIASJACOB-by4qs Před měsícem +1

    Nguvu moja 💪💪

  • @khalidsharji2462
    @khalidsharji2462 Před měsícem +1

    Simba nguvu Moja tuchangiye

  • @AhmedAdan-po5ps
    @AhmedAdan-po5ps Před měsícem +2

    Magori huyo jasusi si mchezo

  • @MuftyHussein-kf7tm
    @MuftyHussein-kf7tm Před měsícem

    Nimesha nunua tayari imeisha hiyo nguvu moja ❤❤❤😂😂🎉

  • @JohnEugeni-f8m
    @JohnEugeni-f8m Před měsícem +1

    Yaan simba huwa wanaanza yanga wanaiga et yanga famili mara wiki ya wanachi yaan lzm simba waanze wao wanaiga