Ushauli wangu muhakikishe mna walinda kwa nini msijiulize mbaona yanga Wana wachukua wachezaji mnao waa cha wao wana jua kinacho sababishia wakiwa simba wana kuwa wabovu lakini mkiiwaacha wana wakimbilia hapo lazima muwe makini husuda zipo vita ina mbinu nyingi mna waleta wazuri wakisha fika simba wabovu msipo kuwa makini kila mwaka mta fukuza sana wachezaji sasa bareke ana tua yanga nae
TUWAOMBEE KWA M'MUNGU KUPITIA MADUWA NA ALBADIRI WACHAWI WATOWA RUSHWA WAPOKEA RUSHWA NA MAFITINA WAFE HAPO HAPO
Bro nakuunga mkono asilimia 150 chama ameenda kulipa fadhila ya maovu yake
Maduka yote bye bye byee🖐️🖐️
Ushauli wangu muhakikishe mna walinda kwa nini msijiulize mbaona yanga Wana wachukua wachezaji mnao waa cha wao wana jua kinacho sababishia wakiwa simba wana kuwa wabovu lakini mkiiwaacha wana wakimbilia hapo lazima muwe makini husuda zipo vita ina mbinu nyingi mna waleta wazuri wakisha fika simba wabovu msipo kuwa makini kila mwaka mta fukuza sana wachezaji sasa bareke ana tua yanga nae
Uko vizur, umeongea point chama alikuwa duka tena la jumla
Huyu nani tena mbona bonge bwana anaongea mambo ya maana sana
Kuhusu cha ni kweli kabisa hata mkude pia hao ni friends of manara na TARIMBA
Wanasimba wote msijali kirusi kimeondoka
Mwarabu upo sw chama akipata mpira uwanjani anapozesha au akiwa hachez Simba inafanya vizuri mwarabu hoyeeeeee
Matola ni kirusi simba yeye ndo alikuwa anawajua wachezaji vizuri mda mrefu ila upangaji wa kikosi ni wa ovyo sana
Umeongea point san
Hata mimi nimefurahi sana namuunga mkono mwarabu
very good mr mhindi
Chama kumbe alituumiza sana,
Kumbe chama alikua kasenge me hapa ndo nagundua
Safi sana mwarabu
Kweli Mhindi:chama miaka 3 ametuvuruga kweli❤❤❤🎉🎉🎉👍👍👍👍👍👍👍❤❤
Kabisa kaka manala nikirusi
Wanajua hao wachezaji ni wazuri, wanakuwa wanajua walivyowaroga, kwahiyo wanatoa huo uchawi wao na wanacheza vizuri kwao
Tena Kweli Manara si MTU mzuri hata kwenye ilimwengu wa mpira