MUHINDI APAGAWA NA USAJILI FADLU DAVIDS NDANI YA SIMBA TUNAENDA KUFANYA MAKUBWA WASALITI WAMEONDOKA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 07. 2024
  • KWA HABARI NA MATANGAZO
    TUPIGIE SASA
    0753393036 CALL
    0625466848 WHATSAPP

Komentáře • 51

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 Před dnem +3

    TUWAOMBEE KWA M'MUNGU KUPITIA MADUWA NA ALBADIRI WACHAWI WATOWA RUSHWA WAPOKEA RUSHWA NA MAFITINA WAFE HAPO HAPO

  • @MajidMajid-ll8mf
    @MajidMajid-ll8mf Před dnem +6

    Bro nakuunga mkono asilimia 150 chama ameenda kulipa fadhila ya maovu yake

  • @hassanabdala7383
    @hassanabdala7383 Před dnem +9

    Maduka yote bye bye byee🖐️🖐️

  • @allyabdallah4357
    @allyabdallah4357 Před dnem +2

    Ushauli wangu muhakikishe mna walinda kwa nini msijiulize mbaona yanga Wana wachukua wachezaji mnao waa cha wao wana jua kinacho sababishia wakiwa simba wana kuwa wabovu lakini mkiiwaacha wana wakimbilia hapo lazima muwe makini husuda zipo vita ina mbinu nyingi mna waleta wazuri wakisha fika simba wabovu msipo kuwa makini kila mwaka mta fukuza sana wachezaji sasa bareke ana tua yanga nae

  • @mustaphawelder7022
    @mustaphawelder7022 Před 21 hodinou +3

    Uko vizur, umeongea point chama alikuwa duka tena la jumla

  • @shabaninangomwa4136
    @shabaninangomwa4136 Před 21 hodinou +1

    Huyu nani tena mbona bonge bwana anaongea mambo ya maana sana

  • @tanzaniakwanzamaadili5083

    Kuhusu cha ni kweli kabisa hata mkude pia hao ni friends of manara na TARIMBA

  • @AbbasyMdabwa
    @AbbasyMdabwa Před dnem +4

    Wanasimba wote msijali kirusi kimeondoka

  • @user-ve7kb4jm2r
    @user-ve7kb4jm2r Před dnem +2

    Mwarabu upo sw chama akipata mpira uwanjani anapozesha au akiwa hachez Simba inafanya vizuri mwarabu hoyeeeeee

  • @user-ld6fy2fi5s
    @user-ld6fy2fi5s Před 21 hodinou

    Matola ni kirusi simba yeye ndo alikuwa anawajua wachezaji vizuri mda mrefu ila upangaji wa kikosi ni wa ovyo sana

  • @LenatussylivesterPetro

    Umeongea point san

  • @NaaJuma-k5i
    @NaaJuma-k5i Před 4 hodinami

    Hata mimi nimefurahi sana namuunga mkono mwarabu

  • @frankkiundo3240
    @frankkiundo3240 Před 12 hodinami

    very good mr mhindi

  • @loishiyesamwel1374
    @loishiyesamwel1374 Před dnem +1

    Chama kumbe alituumiza sana,

  • @levocatuspjohn8638
    @levocatuspjohn8638 Před dnem +2

    Kumbe chama alikua kasenge me hapa ndo nagundua

  • @HarunaMbwana-s6y
    @HarunaMbwana-s6y Před 19 hodinami

    Safi sana mwarabu

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před 21 hodinou

    Kweli Mhindi:chama miaka 3 ametuvuruga kweli❤❤❤🎉🎉🎉👍👍👍👍👍👍👍❤❤

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148 Před 21 hodinou

    Kabisa kaka manala nikirusi

  • @ivanminja7954
    @ivanminja7954 Před dnem +1

    Wanajua hao wachezaji ni wazuri, wanakuwa wanajua walivyowaroga, kwahiyo wanatoa huo uchawi wao na wanacheza vizuri kwao

  • @adrophinamwanguse1510
    @adrophinamwanguse1510 Před 9 hodinami

    Tena Kweli Manara si MTU mzuri hata kwenye ilimwengu wa mpira