Ndugu yangu unaujua mpira. Nimewaandikia Viongozi mara 3 kuwaomba walete mgeni kwenye namba 2 lakini hawasikii. Misimu yote mitatu udhaifu wa Simba ulikuwa kwa Shomari. Cha kushangaza leo ati bado yupo Simba kwanini? Hawezi kabisa kukaba ni majanga matupu. Huyo kijiri haitoshi kabisa. Jitafakarini muda bado upo.
Unajua ndugu yangu simba inarudishwa nyuma kwa uswahili mwingi na mipango ya hovyo kwa timu zingine.. Otherwise simba as a team are on the right track.. Kuna timu zingine ushindi wao ni mipango mingiii nje ya uwanja... Mfano ni huyu ufunguo wa upande wa pili baada ya kuona hawataweza Bei yake wakamtumia Dada yetu kampumbaza kaacha ofa za hela nyingi wao wanajisifia wametoa hela nyingi kuliko wengine... Safari hii na sisi tusijisahau mipango nje ya uwanja ili twende nao Sawa
Midunduka ni midunduka tu --- na akili zao ni za kidunduka tu --- mkigongwa mnatafuta visingizio ---- Hao wavulana wenu mtawakataa wenyewe " Mpira wa kumwomba Mungu ! Hamna kitu "
Ndugu yangu unaujua mpira. Nimewaandikia Viongozi mara 3 kuwaomba walete mgeni kwenye namba 2 lakini hawasikii. Misimu yote mitatu udhaifu wa Simba ulikuwa kwa Shomari. Cha kushangaza leo ati bado yupo Simba kwanini? Hawezi kabisa kukaba ni majanga matupu. Huyo kijiri haitoshi kabisa. Jitafakarini muda bado upo.
Unaongea vizur lkn kijil anatosha Mzee usijal sana
NSSF hawana waledi wa maneno yao,,Wana wivu ,,,kusafiri ni kutamu sana
Usijali kijiri mashine kapombe anaweza akakalia bench sana akizuba kidogo
kofi la meno🤣🤣🤣🤣
Unauhakika anabaki
Kwa onana umenifurahisha
Unajua ndugu yangu simba inarudishwa nyuma kwa uswahili mwingi na mipango ya hovyo kwa timu zingine.. Otherwise simba as a team are on the right track..
Kuna timu zingine ushindi wao ni mipango mingiii nje ya uwanja...
Mfano ni huyu ufunguo wa upande wa pili baada ya kuona hawataweza Bei yake wakamtumia Dada yetu kampumbaza kaacha ofa za hela nyingi wao wanajisifia wametoa hela nyingi kuliko wengine...
Safari hii na sisi tusijisahau mipango nje ya uwanja ili twende nao Sawa
Kamwe si choko yule mtoto, azam media ipo kule ingeanza kutoa updates zte kabla mechi
Nakubaliana na Kaka Bonge, kama Onana akipata mwalimu mzuri na kumpa mambo ya kufanya na mambo ya kutofanya atakua mtu hatari sana
Awesu mbovu sana Tena Wala hafai Tim kama Simba timzake hizo ndogondogo tu hana lolote
Midunduka ni midunduka tu --- na akili zao ni za kidunduka tu --- mkigongwa mnatafuta visingizio ---- Hao wavulana wenu mtawakataa wenyewe " Mpira wa kumwomba Mungu ! Hamna kitu "
Kwani we Aujawai gongwa