ALLY BONGE AFOKA NA SAKATA LA MANULA/ MPANZU VIPI! AMPA BARBARA RUNGU SIMBA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • KWA MATANGAZO HABARI NA MATUKIO TUPIGIE
    0625466848 AU 0753393036

Komentáře • 13

  • @charleskuyeko1660
    @charleskuyeko1660 Před měsícem +4

    Ndugu yangu unaujua mpira. Nimewaandikia Viongozi mara 3 kuwaomba walete mgeni kwenye namba 2 lakini hawasikii. Misimu yote mitatu udhaifu wa Simba ulikuwa kwa Shomari. Cha kushangaza leo ati bado yupo Simba kwanini? Hawezi kabisa kukaba ni majanga matupu. Huyo kijiri haitoshi kabisa. Jitafakarini muda bado upo.

    • @mussachomolla3827
      @mussachomolla3827 Před měsícem

      Unaongea vizur lkn kijil anatosha Mzee usijal sana

    • @MamboMbuli
      @MamboMbuli Před měsícem

      NSSF hawana waledi wa maneno yao,,Wana wivu ,,,kusafiri ni kutamu sana

    • @adelinibrahim9283
      @adelinibrahim9283 Před měsícem

      Usijali kijiri mashine kapombe anaweza akakalia bench sana akizuba kidogo

  • @baracknyerembe2192
    @baracknyerembe2192 Před měsícem +1

    kofi la meno🤣🤣🤣🤣

  • @VictorMgodomi-xj1ey
    @VictorMgodomi-xj1ey Před měsícem

    Unauhakika anabaki

  • @mohamedjuma1960
    @mohamedjuma1960 Před měsícem

    Kwa onana umenifurahisha

  • @rexgodwill7353
    @rexgodwill7353 Před měsícem

    Unajua ndugu yangu simba inarudishwa nyuma kwa uswahili mwingi na mipango ya hovyo kwa timu zingine.. Otherwise simba as a team are on the right track..
    Kuna timu zingine ushindi wao ni mipango mingiii nje ya uwanja...
    Mfano ni huyu ufunguo wa upande wa pili baada ya kuona hawataweza Bei yake wakamtumia Dada yetu kampumbaza kaacha ofa za hela nyingi wao wanajisifia wametoa hela nyingi kuliko wengine...
    Safari hii na sisi tusijisahau mipango nje ya uwanja ili twende nao Sawa

  • @muksinimbaruku1233
    @muksinimbaruku1233 Před měsícem

    Kamwe si choko yule mtoto, azam media ipo kule ingeanza kutoa updates zte kabla mechi

  • @engyhy1985
    @engyhy1985 Před měsícem

    Nakubaliana na Kaka Bonge, kama Onana akipata mwalimu mzuri na kumpa mambo ya kufanya na mambo ya kutofanya atakua mtu hatari sana

  • @IssaAbdallah-rt2sh
    @IssaAbdallah-rt2sh Před měsícem

    Awesu mbovu sana Tena Wala hafai Tim kama Simba timzake hizo ndogondogo tu hana lolote

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 Před měsícem

    Midunduka ni midunduka tu --- na akili zao ni za kidunduka tu --- mkigongwa mnatafuta visingizio ---- Hao wavulana wenu mtawakataa wenyewe " Mpira wa kumwomba Mungu ! Hamna kitu "