🛑FRIJI BOVU AMVULIA KOFIA AHOUA , SIKU SI NYINGI WATU WATAMSAHAU CHAMA MSIMBAZI, SIMBA HII TEMA MATE
Vložit
- čas přidán 12. 09. 2024
- FRIJI BOVU AMVULIA KOFIA AHOUA , SIKU SI NYINGI WATU WATAMSAHAU CHAMA MSIMBAZI, SIMBA HII TEMA MATE #footballclub #simba #simbasc #wasafi #yanga #azamfc #football #globaltvonline #live #millardayo
Safi kabisa mzee kazi hukosei kwenye kufafanua
Unaakili sanaaa❤❤❤❤❤🌺🌺🌺🌺🌺🌺
Huyu mwamba mi sina mashaka nae namkubali sana 🎉🎉🎉❤❤❤
Kak unajua sana ✌🏽
Tanzania tunge pata wachambunzi kama kumi tu kama hawa mpila wetu unge fika mbali Big up sana bro 🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Point brother kam mm tu naixh leo bro 🙏🙏🙏
Uko vizuri sana bro. Ushauri wangu siku moja moja uchambue kwa English brother kwa faida ya hawa wachezaji wa kigeni pamoja na kocha. Nina imani kuna faida kubwa sana kwenye uchambuzi wako.
Limeisha hilo Kaka Ung'eng'e
Hii simba yangu ipeni mudaaaaa tuu natusubi muda ndounaongeaa
❤❤❤❤❤
Bila kukusikiliza MWAMBA Huwa naona sija enjoy uchambuzi uko vzur sana broo
🔥 🔥
Kiukweli kaka unachambua mpila ila kuna wengine wanachambua matembele
🔥 🔥
Balua ana uchura chura
HUYO MVP WENU HILO GOLI ALILOFUNGA MABEKI NDIO WAMEZINGUA WANAMKABA KWA MACHO.KHS CHAMA WEWE TULIA, CHAMA ANAUWEZO WA KUCHEZA MATCH YOYOTE BILA SHAKA.
Sasa huyu mwandishi anauyanga ndani huyu Kila wakati anataka kuongelea yanga
Kaka kwenye kulinda wachezaji kaka umeongea sana maana mmmh kunamijitu inafanya mambo ya jabu sana
Friji bovu uko vizuri sana, Chama akikutana na timu mbovu ndipo anaonekana, akikutana na wanaojua boli na kasi ya SGR haonekani anapotea kabisa.
Naitua Dade nipo nsumbiji kuanza niwachukuru azam kua kutpatia buludani mechi yaleoo speni wapenzani wajipange Simba nguvu moja Mozambique🇲🇿 🇲🇿 🇹🇿 🇹🇿 🎉🎉🎉😂
Friji bovu bhana hauna unafiki, palipo ukweli unasema! Alafu haijalishi ni timu gani unaipa maua yake🎉🎉🎉.
Uko vizur isipokua uchambuz wako wakati mwingine unaegemea upande mmoja
Pamoja sana kakaa
Kaka wape bwana maaana duuu jezi kidogo tuogope kutembea nazo msimu uliopita kaka duuu maumivu sasa wengi watahama sana msim huuu
🎉gud-gud wamba uchambuzi wa ovyo Sana kwakuwa ndio Ameajiriwa huyu kaka
Barikiwa sana firiji bovu siku zote wewe huwa haupindishi
🎉🎉
FRIJI BOVU upo vzr
Kamsifia Kwakua ni mtanzania mbona juzi pia kamsifia fei kasema fei ni mtanzania kwaio kama alikua anajua atamhonga pesa kama Chama na manula viongozi wako makini
Hla chamou ipo sku atakuja itajka hamza ajakutana na heavy so sidhan moja kwa moja ni bora
Awesu asicheze mpira wa urembo kwasasa tunataka matokeo awe anatoa mpira haraka kwenye njia, barua nae nimchoyo hatoi pasi wengene wafunge
Nakumbuka maneno Yako broo Abdurazack ulimtaja mwanzo
Awesu yupo safi sana ila aache urembo mwingi anapoteza muda
tena na tena
Asante kaka wambie
Yaani tumepata furaha sana simba wameshaanza kupata moto, naamini yale tuliosema kuwa washabiki tutulie hata yerusalem haikujengwa siku moja.Tuwatie moyo watafanya makubwa.
Ukiacha Hans na ambangile huyu jamaa namuelewa sana
Mnarekodi ndefu Sana. Fupisheni.
Jembe liko sawa
Usijaribu Sarakasi Friji Bovu, tunakupenda na kukuhitaji😅
😂
Ndomana tunasema matapishi ya Simba chakula kwa wengine
Mbona tumekaa kinyonge mjengoni wakuu
🎉
HAWEZI KUENDA UJERUMANI KWA NAMNA YOYOTE ILE WEWEKENI KUMBUKUMBU YANGU
Chama team ngumu hana uwezo wowote huo ndo ukwel,,yaan team red card mbili bas anasifiwa mtu jmn nchi ngumu hii😂😂😂😂
Mzamiru anazingua, na kwanini okejepha anaazia bench
Biringita sarakasi na jezi Yako ya heshima kaka JVC ! Nimeipenda hiyo friji
😂😂😂
6:18 6:35 6:36
Utopolo akuna kitu kabsa Yan mwaka wetu huu
Uko vzr man nakukubali uchambuzi murwaa kabisa
😂😂😂😂
Huyu 𝗝𝗮𝗺𝗮𝗮 𝗮𝗻𝗮𝗷𝘂𝗮
🔥
hongela bwana friji bovu ukovizuli 😂😂😂
🔥
NA WEWE.MWANDISHI UNAMBISHIA FRIJI BOVU. YUPO SAHIHI SANA NA MUNGU NI MWEMA HAYO YATATIMIA KWA UWEZO WA.MOLA
🔥
Huyo kamera man nampa🎉🎉🎉 yake broo , anajua kutega
🎉
Mukwala gari limewaka usipowe tena
Ubaya ubwela
Hiii nisimba ww achauwiga
Oya akuna unyonge apa wakologwa apa fraha tu
🔥
😂
Kaka hivi ni ukweli kwamba Simba tuna maingizo mapya upande wa safu ya ushambuliaji au ni tetesi tu 😢
Ni tetesi tu Kaka
ateba yupo
Waongo sana maana walisema wamealikwa kwenye ufunguzi wa caf champions league kitu ambacho hakipo ha ha ha haaaaa