🛑FRIJI BOVU AMVULIA KOFIA AHOUA , SIKU SI NYINGI WATU WATAMSAHAU CHAMA MSIMBAZI, SIMBA HII TEMA MATE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • FRIJI BOVU AMVULIA KOFIA AHOUA , SIKU SI NYINGI WATU WATAMSAHAU CHAMA MSIMBAZI, SIMBA HII TEMA MATE #footballclub #simba #simbasc #wasafi #yanga #azamfc #football #globaltvonline #live #millardayo

Komentáře • 72

  • @JamesSweetbart
    @JamesSweetbart Před 18 dny +7

    Safi kabisa mzee kazi hukosei kwenye kufafanua

  • @OmbeniMkumbwa-yg1vg
    @OmbeniMkumbwa-yg1vg Před 18 dny +3

    Unaakili sanaaa❤❤❤❤❤🌺🌺🌺🌺🌺🌺

  • @JolotaErastoJuma
    @JolotaErastoJuma Před 17 dny +1

    Huyu mwamba mi sina mashaka nae namkubali sana 🎉🎉🎉❤❤❤

  • @sulejmandj7582
    @sulejmandj7582 Před 18 dny +2

    Kak unajua sana ✌🏽

  • @JolotaErastoJuma
    @JolotaErastoJuma Před 17 dny

    Tanzania tunge pata wachambunzi kama kumi tu kama hawa mpila wetu unge fika mbali Big up sana bro 🎉🎉🎉🎉❤❤❤

  • @AletasMbawala-si5kj
    @AletasMbawala-si5kj Před 17 dny

    Point brother kam mm tu naixh leo bro 🙏🙏🙏

  • @dismasmusoma9478
    @dismasmusoma9478 Před 18 dny +5

    Uko vizuri sana bro. Ushauri wangu siku moja moja uchambue kwa English brother kwa faida ya hawa wachezaji wa kigeni pamoja na kocha. Nina imani kuna faida kubwa sana kwenye uchambuzi wako.

  • @KasioClassic
    @KasioClassic Před 18 dny +1

    Hii simba yangu ipeni mudaaaaa tuu natusubi muda ndounaongeaa

  • @SarahKisepe
    @SarahKisepe Před 17 dny

    ❤❤❤❤❤

  • @issaomari5297
    @issaomari5297 Před 18 dny +2

    Bila kukusikiliza MWAMBA Huwa naona sija enjoy uchambuzi uko vzur sana broo

  • @MohamedHango-r5k
    @MohamedHango-r5k Před 18 dny +3

    Kiukweli kaka unachambua mpila ila kuna wengine wanachambua matembele

  • @DanielChaula
    @DanielChaula Před 18 dny +1

    Balua ana uchura chura

  • @henelckneatunga2720
    @henelckneatunga2720 Před 18 dny

    HUYO MVP WENU HILO GOLI ALILOFUNGA MABEKI NDIO WAMEZINGUA WANAMKABA KWA MACHO.KHS CHAMA WEWE TULIA, CHAMA ANAUWEZO WA KUCHEZA MATCH YOYOTE BILA SHAKA.

  • @user-wc1xv4kn5w
    @user-wc1xv4kn5w Před 18 dny +1

    Sasa huyu mwandishi anauyanga ndani huyu Kila wakati anataka kuongelea yanga

  • @onesphorymgedzi995
    @onesphorymgedzi995 Před 18 dny +1

    Kaka kwenye kulinda wachezaji kaka umeongea sana maana mmmh kunamijitu inafanya mambo ya jabu sana

  • @gerowadamwandika669
    @gerowadamwandika669 Před 18 dny

    Friji bovu uko vizuri sana, Chama akikutana na timu mbovu ndipo anaonekana, akikutana na wanaojua boli na kasi ya SGR haonekani anapotea kabisa.

  • @DadeSaide-qr7ti
    @DadeSaide-qr7ti Před 18 dny +1

    Naitua Dade nipo nsumbiji kuanza niwachukuru azam kua kutpatia buludani mechi yaleoo speni wapenzani wajipange Simba nguvu moja Mozambique🇲🇿 🇲🇿 🇹🇿 🇹🇿 🎉🎉🎉😂

  • @user-sm2cn4zi3e
    @user-sm2cn4zi3e Před 18 dny

    Friji bovu bhana hauna unafiki, palipo ukweli unasema! Alafu haijalishi ni timu gani unaipa maua yake🎉🎉🎉.

  • @RevocatusKambimbaya
    @RevocatusKambimbaya Před 17 dny

    Uko vizur isipokua uchambuz wako wakati mwingine unaegemea upande mmoja

  • @SifaKayaya-z3b
    @SifaKayaya-z3b Před 18 dny

    Pamoja sana kakaa

  • @ChristopherMisungwi
    @ChristopherMisungwi Před 18 dny

    Kaka wape bwana maaana duuu jezi kidogo tuogope kutembea nazo msimu uliopita kaka duuu maumivu sasa wengi watahama sana msim huuu

  • @ABDULKARLMMWANGELA
    @ABDULKARLMMWANGELA Před 18 dny

    🎉gud-gud wamba uchambuzi wa ovyo Sana kwakuwa ndio Ameajiriwa huyu kaka

  • @Bishopdavidndaki7184
    @Bishopdavidndaki7184 Před 18 dny

    Barikiwa sana firiji bovu siku zote wewe huwa haupindishi

  • @barakamusapolekidoti957

    FRIJI BOVU upo vzr

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d Před 18 dny

    Kamsifia Kwakua ni mtanzania mbona juzi pia kamsifia fei kasema fei ni mtanzania kwaio kama alikua anajua atamhonga pesa kama Chama na manula viongozi wako makini

  • @stanleyngonyani204
    @stanleyngonyani204 Před 13 dny

    Hla chamou ipo sku atakuja itajka hamza ajakutana na heavy so sidhan moja kwa moja ni bora

  • @AshelyAbel-kg4kx
    @AshelyAbel-kg4kx Před 18 dny

    Awesu asicheze mpira wa urembo kwasasa tunataka matokeo awe anatoa mpira haraka kwenye njia, barua nae nimchoyo hatoi pasi wengene wafunge

  • @israelmunuo7938
    @israelmunuo7938 Před 18 dny

    Nakumbuka maneno Yako broo Abdurazack ulimtaja mwanzo

  • @JoseHaule-tx7lu
    @JoseHaule-tx7lu Před 18 dny

    Awesu yupo safi sana ila aache urembo mwingi anapoteza muda

  • @HalimaAlly-j3t
    @HalimaAlly-j3t Před 18 dny

    tena na tena

  • @GloryPallangyo-o4g
    @GloryPallangyo-o4g Před 18 dny

    Asante kaka wambie

  • @neemamasimba2981
    @neemamasimba2981 Před 18 dny

    Yaani tumepata furaha sana simba wameshaanza kupata moto, naamini yale tuliosema kuwa washabiki tutulie hata yerusalem haikujengwa siku moja.Tuwatie moyo watafanya makubwa.

  • @user-oz4hr3pd7s
    @user-oz4hr3pd7s Před 18 dny

    Ukiacha Hans na ambangile huyu jamaa namuelewa sana

  • @sulemanmagesa2181
    @sulemanmagesa2181 Před 18 dny

    Mnarekodi ndefu Sana. Fupisheni.

  • @promiseann4836
    @promiseann4836 Před 18 dny

    Jembe liko sawa

  • @theonasmkoba6121
    @theonasmkoba6121 Před 18 dny

    Usijaribu Sarakasi Friji Bovu, tunakupenda na kukuhitaji😅

  • @Farida-vg5ry
    @Farida-vg5ry Před 18 dny

    Ndomana tunasema matapishi ya Simba chakula kwa wengine

  • @JustinJames-zx4zh
    @JustinJames-zx4zh Před 18 dny +1

    Mbona tumekaa kinyonge mjengoni wakuu

  • @VascoKasambala
    @VascoKasambala Před 18 dny

    HAWEZI KUENDA UJERUMANI KWA NAMNA YOYOTE ILE WEWEKENI KUMBUKUMBU YANGU

  • @LindaMbilinyi-n3n
    @LindaMbilinyi-n3n Před 18 dny

    Chama team ngumu hana uwezo wowote huo ndo ukwel,,yaan team red card mbili bas anasifiwa mtu jmn nchi ngumu hii😂😂😂😂

  • @JoseHaule-tx7lu
    @JoseHaule-tx7lu Před 18 dny

    Mzamiru anazingua, na kwanini okejepha anaazia bench

  • @israelmunuo7938
    @israelmunuo7938 Před 18 dny

    Biringita sarakasi na jezi Yako ya heshima kaka JVC ! Nimeipenda hiyo friji

  • @GodfreyJames-zt6ig
    @GodfreyJames-zt6ig Před 18 dny

    Utopolo akuna kitu kabsa Yan mwaka wetu huu

  • @buberwamujungu6987
    @buberwamujungu6987 Před 18 dny

    Uko vzr man nakukubali uchambuzi murwaa kabisa

  • @jofreymwampamba1236
    @jofreymwampamba1236 Před 18 dny

    😂😂😂😂

  • @official_mr_bery
    @official_mr_bery Před 18 dny +1

    Huyu 𝗝𝗮𝗺𝗮𝗮 𝗮𝗻𝗮𝗷𝘂𝗮

  • @AshirunaNdali-mh7cp
    @AshirunaNdali-mh7cp Před 18 dny

    hongela bwana friji bovu ukovizuli 😂😂😂

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Před 18 dny

    NA WEWE.MWANDISHI UNAMBISHIA FRIJI BOVU. YUPO SAHIHI SANA NA MUNGU NI MWEMA HAYO YATATIMIA KWA UWEZO WA.MOLA

  • @israelmunuo7938
    @israelmunuo7938 Před 18 dny

    Huyo kamera man nampa🎉🎉🎉 yake broo , anajua kutega

  • @neemaraphael8732
    @neemaraphael8732 Před 17 dny

    Mukwala gari limewaka usipowe tena

  • @user-pj4mx2ro4h
    @user-pj4mx2ro4h Před 18 dny

    Ubaya ubwela

  • @YusuphAlly-y9o
    @YusuphAlly-y9o Před 18 dny

    Hiii nisimba ww achauwiga

  • @TwahiliJabu
    @TwahiliJabu Před 18 dny +2

    Oya akuna unyonge apa wakologwa apa fraha tu

  • @JoseHaule-tx7lu
    @JoseHaule-tx7lu Před 18 dny

    😂

  • @JustinJames-zx4zh
    @JustinJames-zx4zh Před 18 dny +3

    Kaka hivi ni ukweli kwamba Simba tuna maingizo mapya upande wa safu ya ushambuliaji au ni tetesi tu 😢

  • @PharmacistGoodluckMdugi

    Waongo sana maana walisema wamealikwa kwenye ufunguzi wa caf champions league kitu ambacho hakipo ha ha ha haaaaa