KIVUMBI LEO RC MAKONDA AZUWIYA NYUMBA YA KIFAHARI KUTOKA MIKONONI KWA MATAPELI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 08. 2024
  • #AdilTV

Komentáře • 42

  • @hbdina
    @hbdina Před měsícem +11

    🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 Makonda neno moja tu kutoka kwangu.Baba Mungu Jehovah akulinde akupiganie kwa jina la Yesu Kristu Amina

  • @MansourAbubakar-l2b
    @MansourAbubakar-l2b Před měsícem +9

    Makonda masikini mwamba huyu Mungu akulinde mwamba

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Před měsícem +7

    Asante sana mama Samia kwakumchagua Makonda.

  • @justinelukumay5308
    @justinelukumay5308 Před měsícem +3

    Mh Makonda Mungu akulinde Moyo wako dhidi ya Hao wanyonyaji wa Wanyonge

  • @RutaEmmaMachumu
    @RutaEmmaMachumu Před měsícem +2

    Kwanza n Tapeli kawadanganya eti ni officer wa Police, na huyo mwanasheria nae n Tapeli hata Elimu yake haitomsaidia maana hasimamii haki, anajidai eti wamemsikiliza... Mtu msomi kwl kw maelezo ya mkataba hata km ungekuwa sio msomi unaona sio sahihi kabisaa! God bless you Rc, Makonda

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 Před měsícem +6

    Mtaa mzeesha Makonda jamani😂😂😂😂.maskini mama wawatu pole mama

  • @manaseliberatus1347
    @manaseliberatus1347 Před měsícem +3

    KAMA NDO HIVYO HII TANZANIA WATU WENGI SANA WATAKUWA WAMEDHULUMIWA

  • @TabithaObellykasangila
    @TabithaObellykasangila Před měsícem +3

    Mungu tunaomba ulinzi wako kwa mwanao Makonda umlinde na mtunze kila hatua

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk Před měsícem

    Makonda kama Traore na Magufuli...Mungu akuongoze ufikie malengo yako kuwa Rais..Huyo tapeli mkubwa apigwe spana na afunguliwe mashtaka...Mr Makonda hongera kwa kazi

  • @minanielikana
    @minanielikana Před měsícem

    Makonda endelea na ukabithi Mungu aliogukathi.
    Shika taa la Mungu undelete utawala Wa hekima.

  • @mohamedwwnurumasagcom8171
    @mohamedwwnurumasagcom8171 Před měsícem

    Ahsante rais Samia kwa uteuzi wa Paul Makonda, hakika ni mtetezi wa haki za wananchi

  • @BoisDonkoil-rk8lr
    @BoisDonkoil-rk8lr Před měsícem +1

    Nimeipenda..... Makonda akiona mnataka kujichanganya kuvurugana anawatumbuiza hisia zinakuwa zingine inahamasisha utulivu

  • @mandileykiritokangai3042

    Makonda mungu akulinda mweshmiw

  • @AureusLupogo
    @AureusLupogo Před měsícem

    Mungu Akubariki Kwa kazi ya kuwasaidia nakuwatetea wa nyonge

  • @olivermassau5695
    @olivermassau5695 Před 23 dny

    Mungu akubariki, Sana

  • @jkifutu7936
    @jkifutu7936 Před měsícem +1

    Makonda mungu akupe maisha malefu

  • @user-ex9gt9np8i
    @user-ex9gt9np8i Před měsícem +2

    Fanya kazi makonda

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 Před měsícem

    MAKONDA MUNGU AWATANGULIE KATIKA KAZI ZAKO ASANTE KWA KUONA HAKI YA HUYU BIBI❤

  • @HamisMasele-tb7lj
    @HamisMasele-tb7lj Před měsícem +1

    Nahitaji sku1 Tanzania ikuchangue uwe rais

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 Před měsícem +1

    Arusha .kweli Makona shafisha shafi hao

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 Před měsícem +1

    Ayubu amegushi nyaraka anataka amzurumu mama 😢😢😢😢😢 eeeeeejamani

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry Před 20 dny

    Ndio waliokupa sume hao. Mtenda haki siku zote hawapendezi kwa watu.

  • @ibrahimrutta464
    @ibrahimrutta464 Před měsícem +1

    Nikisikiliza mkuu wa mkoa napata kugundua mama ana kazi ya ziada ana wafanyakazi hewa wengi hawatatui shida za wananchi

  • @juliusntandu4302
    @juliusntandu4302 Před měsícem

    God bless Sir 🙏🙏

  • @MusawitsonskanaMusawitso-iy4vh

    Makonda mungu akubaliki sana

  • @thuweiybab3338
    @thuweiybab3338 Před měsícem +1

    Na kama ananyamazishwa hataki umenyamaza. No bora aruhusiwe anarudi nyumbani. Mana hakuna hapo kwa julia ili a kenge mkubwa' PUMBAVU

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 Před měsícem +1

    Kweli kazi kazi moyo wangu naukuimbie jinsi 😂😂😂

  • @oneonego705
    @oneonego705 Před měsícem

    Ase unatisha kwa kutenda haki

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 Před měsícem +1

    Dhuluma mbaya

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm Před měsícem

    Wa awake wa nchi hii wanateseka jamani. Wametuzaa hatuna heshima mpaka wana kufa. Ni Kaan’a tupu. Tuna Raisi na speaker mwanamke. Tutafanyaje tupate mabadiko nchi hii.Tunahitaji sheria zitende kazi na si kuomba dini wakati wa kazi Za serikali. Sheria safi, haki na katiba mpya. Udisi gize dini.

  • @user-mw9md1iq1n
    @user-mw9md1iq1n Před 20 dny

    Kunawingine kweli

  • @user-is6np5vf6b
    @user-is6np5vf6b Před měsícem

    Namuona afisa mtendaji aliyepandishwa cheo nafarijika sana

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 Před měsícem +1

    Wapige spana hao wamezidi😂😂😂😂😂

  • @gildopitapita1383
    @gildopitapita1383 Před měsícem +1

  • @thuweiybab3338
    @thuweiybab3338 Před měsícem

    Najua huyu mama analia kwa uchungu..

  • @elipokeaakyoo6858
    @elipokeaakyoo6858 Před měsícem

    Mweshimiwa makonda na wanyakazi wa sgr atujaingiziwa pesa zetu nssf Kwa mwaka Moja na nusu sasa unatusaidiaje na Kila mwezi tunakatwa mkuu

  • @sujaiazicani9510
    @sujaiazicani9510 Před měsícem

    ok

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm Před měsícem

    Huu si Maktaba, ni utapeli mtupu. Kamtapeli bibi.wote maw akili hawana şifa yoyote.

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 Před měsícem

    Arudishiwe kilo 5 yake asepe

  • @JosephMwaipopo-px4wi
    @JosephMwaipopo-px4wi Před měsícem

    Mama amrudishe huyu kwenye uwenezi ni kamanda kwelikwel

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g Před měsícem

    Piga spana hao

  • @mariomachecajoaquim1921
    @mariomachecajoaquim1921 Před měsícem