MAKONDA APEWA 'KIGODA' MAALUM NA WAZEE WA MBEYA "LAZIMA UKIKALIE KILA SIKU ASUBUHI"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024
  • MAKONDA APEWA 'KIGODA' MAALUM NA WAZEE WA MBEYA "LAZIMA UKIKALIE KILA SIKU ASUBUHI"
    www.youtube.co...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Komentáře • 264

  • @shemelaruhinda6113
    @shemelaruhinda6113 Před 7 měsíci +29

    Makonda nakupenda kutoka moyoni nakuombea siku moja uwe rais wa Tanzania 🙏🇹🇿

  • @elizabethsalila2262
    @elizabethsalila2262 Před 7 měsíci +13

    Sasa mtaelewa kuwa wasafwa ndiyo wenye Mbeya
    Proud to be safwa

    • @shedrackmwaipopo219
      @shedrackmwaipopo219 Před 7 měsíci

      pamwanya yilumbu

    • @Officialldjiza
      @Officialldjiza Před 7 měsíci +1

      Mbeya ni ya wasafwa kwani Kuna mtu kagoma. Ila wasafwa mlilala sana sisi wanyakyusa ndo tumewachangamsha. 😂😂😂😂😂😂😂

    • @shedrackmwaipopo219
      @shedrackmwaipopo219 Před 7 měsíci

      @@Officialldjiza nyee ni watu wa kujimwambafai sana

    • @Officialldjiza
      @Officialldjiza Před 7 měsíci

      Hapana bhana nyie mlilala history ya mnyakyusa inasemekana tulitokea south Africa

  • @FmYiu-vx2cs
    @FmYiu-vx2cs Před 7 měsíci +14

    Naaamin Kwa uwezo wa mwenyezi mungu uwe rais wetu badae nakuelewa makonda

  • @Rahema123
    @Rahema123 Před 7 měsíci +7

    Akika mungu ni mwema ametup mtetezi mwengine ongera P makonda unaweza 🎉🎉🎉❤

  • @sishamusic
    @sishamusic Před 7 měsíci +21

    Ishi sana makonda❤

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt Před 7 měsíci +7

    Mungu akulinde Kaka yetu mpendwa mana mti wenye matunda haukosi kupigwa mawe

  • @ElizabethDeusi-sx8di
    @ElizabethDeusi-sx8di Před 7 měsíci +11

    Makonda mungu yukonawe baba mbeya imetetema baba🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @user-ux6bp6nq5v
    @user-ux6bp6nq5v Před 7 měsíci +11

    Waooooo poooo makonda tembea tembea papaaaa makonda

  • @mamamdogo409
    @mamamdogo409 Před 7 měsíci +9

    😬🙏 Ngendage makonda mungu akubariki mengi yako mbele yaki

  • @user-um8lt3vx3u
    @user-um8lt3vx3u Před 7 měsíci +1

    MashaAllah Allah akulinde inshaAllah ❤️ ❤ from 🇰🇪 naguswa sana namoyowako wautu wallah

  • @nikodemmwahangila3334
    @nikodemmwahangila3334 Před 7 měsíci +8

    Makonda Mungu akubaliki

  • @JaneMwamlima
    @JaneMwamlima Před měsícem

    Mungu akupe kit cha ulais makonda mungu akulinde

  • @ShabanMohammed-pi7kq
    @ShabanMohammed-pi7kq Před 7 měsíci +3

    Ahsante mungu Kwa kutuletea mtetezi naamini hata uko aliko baba yetu magufuli anayo furaha makonda tunakuomba uwe namoyo uwouwo nakupenda sana

  • @JaneMwamlima
    @JaneMwamlima Před měsícem

    Kila unapotua ngu wako dam ya yesu ikufunike mbingu ziwe wazi kwajili yako mungu akuepushe na watu wabaya

  • @HadijaRajabu-hm7ub
    @HadijaRajabu-hm7ub Před 6 měsíci

    Mashaallah hongera sana makonda allah akulinde nakuku bali baba tufute machozi ya magufuli

  • @MaulidiNchasi
    @MaulidiNchasi Před 7 měsíci +5

    Ma Shaa Allah Allah akulinde na kila shari Makonda

  • @memoryngambi7570
    @memoryngambi7570 Před 7 měsíci +7

    No weapon formed against Mr Makonda shall prosper in Jesus name,unapokelewa Kwa vitu vingi bila Mungu huezi, Mungu azidi kukutunza

  • @NaahZephania
    @NaahZephania Před 7 měsíci

    Njendage axanteeh babaa Makondaah 2naimn nawe M/Mungu akuximamie kila uingiap n utokap ❤❤

  • @aderanderwa7623
    @aderanderwa7623 Před 7 měsíci +4

    YESU KRISTO UTUREHEMU TAWALA TAIFA LETU LA TANZANIA HATUTAIPA miungu MINGINE TAWALA BWANA WETU YESU KRISTO EMMANUEL

  • @walinaziontime7300
    @walinaziontime7300 Před 7 měsíci +2

    Ishiii kaka Makonda.... More bless God be with you

  • @user-qu1mq2ik2e
    @user-qu1mq2ik2e Před 3 měsíci

    Makonda we are proud of you you're a blessing to your people transparency and accountability let leaders emulate your example

  • @azizamvungi1871
    @azizamvungi1871 Před 7 měsíci +2

    Nakupenda sana mdogo wangu makonda kazi nzuri

  • @user-xb3uy7le2b
    @user-xb3uy7le2b Před 7 měsíci +2

    Makoooooooooooòondaaaaaaaaaaaaaaaaa mnguuuuuuuu akubarkiiiiiiiiii❤❤❤❤❤❤ babaaaaa

  • @pyelesyamwakatika540
    @pyelesyamwakatika540 Před 6 měsíci

    Mungu tunaomba usikie maombi ya watanzania wote tunaomuombea Makonda umlinde umuepushe na wale wote wanaomuazia mabaya wakashindwe kwa jina la Yesu umpe afya na uzima ukamfunike kwa damu yako wamneneao mabaya wakashindwa

  • @NABILMOHAMMEDABDULLAH
    @NABILMOHAMMEDABDULLAH Před měsícem

    ❤❤❤mungu azidi kukulinda makonda muheshimiwa

  • @aminashayo9263
    @aminashayo9263 Před 7 měsíci +2

    Komredi Makonda mteule wa Mwokozi kuwa makini huko mikoani na symbolic zote za miungu mingine kama vigoda, makoti, fimbo na vyote vinavyolingana utaungamanishwa kwenye ibada za miungu mingine na ujue hakika Yesu hachangamani na miungu mingine asije akakuacha, PLEASE TAKE CARE

    • @MACHOYATAI-jk6fu
      @MACHOYATAI-jk6fu Před 7 měsíci

      Kweli kabisa

    • @anordgerison8639
      @anordgerison8639 Před 7 měsíci +1

      MUNGU mwenyewe anajua kuwa unapokuwa kiongoz n kiongoz wa watu ndio maana Kuna wachungaji na sisi wenyewe tupo ambao tuna muombea kwa Jina lake YESU KRISTO

  • @user-up9gz8ij1s
    @user-up9gz8ij1s Před 5 měsíci

    Nakupenda kaka yangu malinda mungu akulinde niko nchi za watu lakini nikikusikia jinsi unavyo fanta kazi nafurahi sana

  • @user-ji7fu2ep3z
    @user-ji7fu2ep3z Před 7 měsíci +4

    Naomba Mungu Makonda awe Raisi

  • @Emma300b
    @Emma300b Před 7 měsíci +8

    Wasafwa wanafanya yao ... asanteni sana wasafwa wenzangu.

  • @noahchepe8036
    @noahchepe8036 Před 7 měsíci +1

    Chief mwashinga namskiaga sana. Hadi kuna shule kule nsalaga inaitwa chief roket mwashinga

  • @JoshuaShayo-qh8hn
    @JoshuaShayo-qh8hn Před 3 měsíci

    Daaah shukrani sna🙏🙏🙏

  • @ماجكموزجوني
    @ماجكموزجوني Před 7 měsíci +2

    Chief Jendaje don't forget your name. Remember that whatever you go... Salute

  • @user-ku2hi4ru2v
    @user-ku2hi4ru2v Před 7 měsíci +4

    Hongera makonda

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 Před 7 měsíci +3

    Ukiwa kiongozi hutajua nani anakupenda kweli zaidi utapewa upendo wakinafki watu wananjaa ii Africa

  • @HappyNdelwa-ut1cp
    @HappyNdelwa-ut1cp Před 7 měsíci +1

    Karibu kyela baba ,kero yangu stendi ya boda kasumulu nimtihani mvua ikinyesa nishida ushuru watu wanatoa lakini maedeleo hakuna

  • @MohammedAli-sd8ji
    @MohammedAli-sd8ji Před 7 měsíci

    Makonda ww utafika mbali sana bila kufikiria mana watu tangu mwanzo wamekukubali na mama samia zawadi hiyo imetoka kwa mw mungu pale halipo watota mashable wa kizanzibar

  • @stevengmalangalila-rc1wg
    @stevengmalangalila-rc1wg Před 6 měsíci

    UKIFANYA kazi nzuri utakua na furaha sana

  • @FridaMoses235
    @FridaMoses235 Před 2 měsíci

    ❤❤❤❤makonda uwe raisii

  • @fredrickkagwa8853
    @fredrickkagwa8853 Před 7 měsíci +1

    Mungu akuongoze mh. Makonda

  • @dorahisinika7576
    @dorahisinika7576 Před 7 měsíci

    Yesu kwangu ni Bwana @ Atosha🙏

  • @JUBRANBULAYHl-yb4ke
    @JUBRANBULAYHl-yb4ke Před 2 měsíci

    Najua adhabu yao na waonya, na wameifuta kwa adhabu Kutoka kwa aliye pita, ubikira wa ubikira, basi wakawadanganya wote, basi tukawafunga jeshi akampa, naye atahubiriwa, na wale walio sema: “Mwenyezi Mungu” huwachukulia waliyo nayo kwa ajili yao. Je, wanasema nini, lakini wanatudanganya, na tutawaambia kuwa wao wako katika haki. Saa haina shaka ndani yake, watakapo barikiwa na jua, likitoka Alijizuru kwa hilo hilo Mwenye kuchoka na mwenye kupotosha, hutampata kwako Na kwa ajili yako. kheri ya kinywaji, na mtakubaliana nanyi chema na kheri, au wa kwanza wao Fuata majimaji upande wa kulia wa kurejelea Wakaona adhabu ya Mola wao ya Jahannam na mashaka ya hatima. kukabidhiwa☝🤲⚖🤲☝

  • @robertlazaro9951
    @robertlazaro9951 Před 2 měsíci

    Mungu Akutunze

  • @Nyasasorpfamily
    @Nyasasorpfamily Před 6 měsíci

    Kada wa ccm hongera sana mh mwenezi

  • @JaneBukuku-sy5pc
    @JaneBukuku-sy5pc Před 7 měsíci +2

    Makonda mungu akobari sana kitetea wananchi wanyege uishi miaka 100

  • @Chalresi-zg9iq
    @Chalresi-zg9iq Před 7 měsíci

    Aiseee mema mungu atakuacha,akika mungu anaendelea kuziirisha tuuu uyu makonda baada miaka kazaaa atakuja kuwa mtu mkubwa sana sana apa Tanzania na duniani kote.

  • @user-pu5ho3pr6p
    @user-pu5ho3pr6p Před 7 měsíci

    Safi katibu mwenezi kwa kazi nzuli piga kazi baba tunakutegea magufuri umezaliwa

  • @AnthonyVitalis-iy5su
    @AnthonyVitalis-iy5su Před 7 měsíci +3

    Chief ya kweli hayo

  • @OnesmoEmmanuel-xr2rf
    @OnesmoEmmanuel-xr2rf Před 7 měsíci +9

    Umepikwa baba hapo 😂😂😂

  • @user-tc5ju8qh4b
    @user-tc5ju8qh4b Před 7 měsíci

    Amina ishi maisha marefu mungu akubarik

  • @samwelmigera7274
    @samwelmigera7274 Před 3 měsíci

    Mungu muumba mbingu na nchi awe pamoja nawe azidi ukutangulia kwa Kila jambo

  • @WinifledyMbugi-ur1hq
    @WinifledyMbugi-ur1hq Před 7 měsíci +4

    Huyo atalindwa na Damu ya Yesu

    • @GoodDeeds-Jesus
      @GoodDeeds-Jesus Před 7 měsíci +1

      Ameeeeeeeeeen! Na si kigoda.
      Nguvu za giza zikae pembeni kabisa kwa Jina la Kristo Yesu Bwana wetu.

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 Před 7 měsíci

      amen ameennn!!!

  • @benardpeter3562
    @benardpeter3562 Před 7 měsíci

    Mungu akulinde sana Makonda

  • @abisinamustafa3118
    @abisinamustafa3118 Před 7 měsíci

    Mungu mlinde Makonda wetu.

  • @PanchoValentino-wh7wt
    @PanchoValentino-wh7wt Před 7 měsíci +2

    Balaaa ziiitoooo Aisee

  • @TinahManyama-vo7hg
    @TinahManyama-vo7hg Před 7 měsíci

    Mungu akulinde

  • @BenardSadani
    @BenardSadani Před měsícem

    iyo kinga auliwi labda kwa mipago ya mungu.

  • @JestinaSingaile
    @JestinaSingaile Před 7 měsíci +1

    Hongra sana gendage

  • @MasungaMashauri-j2v
    @MasungaMashauri-j2v Před 6 měsíci

    Makonda unanifaliji katika maumivu ya mpendwa wetu magufuli , pia msaidie Raisi wetu Kuna watu wanamftnisha na wananchi wengi Sana waseme wazi

  • @WilisonBagumya
    @WilisonBagumya Před 7 měsíci +1

    Makonda hayo si chochote si lolote wewe ni mkuu wa hayo yote kwa Jina la Yesu Smeeeeni

  • @saimonijonas4356
    @saimonijonas4356 Před 7 měsíci

    Ukiwa kiongozi wa jamii ya utaifa sio uongozi wa dini dhehebu:unapaswa nje uyaache yafanyike lakini tumaini libaki kwa Mungu.Unapongoza watu wenye mila na desturi tofauti tofauti watu wenye imani tofauti tofauti ili uwaongoze bila wao kujiona wanyonge lazima utakubaliana nao kwa nje lakini ubaki ndani ya moyo wako unatumaini lako.Uongozi ni umisheni.

  • @valencyfocus9009
    @valencyfocus9009 Před 6 měsíci

    Uko vizuri tuna kupenda watanzania

  • @user-ut3gf1tg2n
    @user-ut3gf1tg2n Před 7 měsíci +1

    Wasafwa wenye mbeya yao wapo juu

  • @user-or2od2rz1c
    @user-or2od2rz1c Před 7 měsíci +6

    hii inchi sijui tulilogwa nanani niwepesi kusahau shida zetu hapo sukuli bei elufu 4 kilo madawa hakuna hospitali watoto wao wanasoma kwenye shule hazina matundu yachoo madawati hakuna maisha magumu ila jambo lasiku moja wanasahau nawanashangilia sana yaani kiukweli tunalaana isiyo futika mungu ndo atakae tuokoa tu makonda kila alipo pita watu wanalia kelo tomach aliyo leta hayo majuto yakelo hizo ni serikali yachama kipi tuombewe aisee giza limetanda kwenye vichwa vyawa tz

    • @fatmaallyabdul1732
      @fatmaallyabdul1732 Před 7 měsíci +5

      Wewe shida zote za familia yako umezimaliza kwa siku moja!??

    • @user-yi1qp6qu4n
      @user-yi1qp6qu4n Před 7 měsíci +1

      Hapo wanamuheshim mtu sio ccm mana makonda anachofanya ni makubwa izo kelo unazosema aneambiwa ni nani si huyo makonda ndio mana wamefikia huko kwa hyo usimlaumu mtu aliekuepo hapo isipokua watendaji wake

    • @TM-zs3rm
      @TM-zs3rm Před 7 měsíci +1

      Tuko nyuma sana kifikra, kielimu na kimaendeleo. Bado tupo karne ya 19 na 20 Vita ya majimaji

    • @priscamrekoni3451
      @priscamrekoni3451 Před 7 měsíci

      ​@@fatmaallyabdul1732😅😅😅😅😅

    • @AdamFundikira-jb9vq
      @AdamFundikira-jb9vq Před 7 měsíci +1

      ​@@fatmaallyabdul1732wivu unamsumbua huyo makonda Yuko sahihi

  • @josephyamathlaizer-op9sw
    @josephyamathlaizer-op9sw Před 3 měsíci

    Amen

  • @salinababe6894
    @salinababe6894 Před 7 měsíci +1

    Naipenda sana tz

  • @faridamatata1950
    @faridamatata1950 Před 7 měsíci

    Ngedage huyo Makonda. Wowoo❤😊

  • @elizalutiga6287
    @elizalutiga6287 Před 7 měsíci +7

    Chief Ngendage

  • @mariapius4568
    @mariapius4568 Před 5 měsíci

    Chief ndegandeee umepitaaa

  • @shedrackmwaipopo219
    @shedrackmwaipopo219 Před 7 měsíci

    hongera mwene mwashinga

  • @nitishemwalyego4629
    @nitishemwalyego4629 Před 7 měsíci +1

    Chief Njendaje Paul Makonda

  • @sylviaochieng8786
    @sylviaochieng8786 Před 6 měsíci

    Proud of him 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @ndayikezaoscar3467
    @ndayikezaoscar3467 Před 7 měsíci +5

    Anaandaliwa kuwa RAIS wa baadae. PIGA KAZI ili wakuone watakupa kura Kaka. Nakumbuka ushawahi kufika Kazini kwangu. Wala hunijui wasiseme tunajuana.

  • @kadhyanassor5046
    @kadhyanassor5046 Před 7 měsíci +1

    Ukiingia msikiti wa Makkah utaona wote wanaumme wamevaa hiyo shuka uliyovalishwa..

  • @user-gb1pt2hc1d
    @user-gb1pt2hc1d Před 5 měsíci

    Makonda malia na ww mungu akutumze

  • @VumiDavid-lo1cl
    @VumiDavid-lo1cl Před 7 měsíci

    Kaka makonda mungu akulinde kaka

  • @aminashayo9263
    @aminashayo9263 Před 7 měsíci +1

    Mteule wa Mwokozi Makonda tafuta watumishi wakufafanulie kiroho kigoda, na koti, na shuka na mkuki

    • @user-dx4ow8vq1c
      @user-dx4ow8vq1c Před 7 měsíci

      Kwendraaa aliyemfanya adhalilike makondo kipindikile ndo amempandisha tutolee watumish watumishi kwwndraaaa

  • @noahchepe8036
    @noahchepe8036 Před 7 měsíci +1

    😂😂😂aisee yani ukiwa kiongizi utashindwa uwe wapii kanisani, ma sheikh, hadi machifu nao wanakuombea kivyao

  • @user-im8hf5yp7n
    @user-im8hf5yp7n Před 7 měsíci

    Ongera mkuu wetu

  • @ElizaMbogela-fl2xg
    @ElizaMbogela-fl2xg Před 7 měsíci +1

    Makonda kaa kwenye maombi uvunje hiyo madhabahu za machifu

  • @Emma300b
    @Emma300b Před 7 měsíci +5

    Chief wetu wa kisafwa .

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před 7 měsíci

      Kumbe ni Msafa sishangai kwa hilo maana 😂😂😂

  • @evodiuskalema2123
    @evodiuskalema2123 Před 7 měsíci

    Makonda,balikiwaaaaaaaa❤❤saaana

  • @user-hk1cq9dk7b
    @user-hk1cq9dk7b Před 6 měsíci

    Sasa mbona wamasai huko Zanzibar mnawanyang'anya fimbo na rungu?

  • @solomoneglesias9752
    @solomoneglesias9752 Před 7 měsíci +4

    Nchi inaendeshwa kichawichawi🤣🤣🤣🤣🙋

  • @kanudadaniel5750
    @kanudadaniel5750 Před 7 měsíci

    Duuu Wafrika tnapendana ikionesha Nia ya kuwapenda

  • @jumarajabu1624
    @jumarajabu1624 Před 7 měsíci

    Upo vizuri Mimi ninakuta raisi wakesho huna baya

  • @user-dj5xr9jx3v
    @user-dj5xr9jx3v Před 7 měsíci +3

    Makonda Makonda kweri wewe unafaa kuwatetea watu jitahidi kua unazungumzia mikoani uwasaidie watu mengi yamejificha usichoke

  • @JamilaSaid-we7rk
    @JamilaSaid-we7rk Před 7 měsíci

    Jmn huyo babu vp mbona manywele humitia kinyaa hayooo 😢😢😢😢

  • @VaiEliass-l9i
    @VaiEliass-l9i Před 6 měsíci

    Twasafwa pambeye

  • @sabrinaandrew4245
    @sabrinaandrew4245 Před 7 měsíci

    Cheef njendage makonda hoyeeeee🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉💪💪💪💪💪💪💪💪💯

  • @SaimonTanzaniaTanzania-ty5cz
    @SaimonTanzaniaTanzania-ty5cz Před 7 měsíci +1

    Ngedange makonda 😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 Před 7 měsíci +5

    Kama ipo ipo tu

  • @aminachoga9266
    @aminachoga9266 Před 7 měsíci

    Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi chifu ngendage

  • @FaudhiaSwalehe-tp9ox
    @FaudhiaSwalehe-tp9ox Před 7 měsíci

    Huyo mbuzi jamani siatakufa njaa Kwa Kila siku mankonda ubarikiwe sana

  • @Nem12n
    @Nem12n Před 7 měsíci

    Umekubalika mby, umekubalika Kaskazini,kwisha habari.

  • @rwechungurajohn3592
    @rwechungurajohn3592 Před 7 měsíci +3

    Makonda kapewa uraisi

  • @walinaziontime7300
    @walinaziontime7300 Před 7 měsíci

    Chuma imesimikwa hiyoo jamaaa wamempendelea Makonda live..... MUNGU akubariki Kaka

  • @user-zf7sg2pp2s
    @user-zf7sg2pp2s Před 7 měsíci

    Mungu we we mwamuzi wahaki

  • @kilogreekachananawatuwasio4054

    MIAKA HIJAYO UKALIE KITI CHA URAIS HUNAFANYA KAMA BABA MAKUFULI UPO KATIKA MOYO WANGU MAKOMAKUFULU ❤❤

  • @aishaaisha2224
    @aishaaisha2224 Před 7 měsíci

    Wazee mpeni Kinga KK eti watu wenye roho mbaya wanauma sana

  • @saitawilson7307
    @saitawilson7307 Před 7 měsíci

    Jendaga makonda 🔥🔥🔥🔥