Allah akufanyie wepesi pia Mimi nilishatakishwa ndoa na mamamkwe na nilisafiri kabisa mpaka leo sijaoleka ndio saa hii nimepata mwengine tena mrembo zaidii ya yule wa kwanza na yule wakwanza alio mwanamke akaja kutukana mamake na kupiga 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂nikatafutwa kupewa umbea kwa hio dada hongera sana maamuzi uliyo chukua niyamsingi jikaze utapata mwenye kheir na wewe lkn Mimi sikua nimelala nae bado heshima yangu iko mama ila pia wewe utapata mwenye atakufuta machozi na kikupoza kidonda Love you baby girl ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Sasa toka lini mtu anayekupenda na unamimba yake akuruhusu uolewe pengine afu uachike ndo arudi kukuoa yeye. Mdada hakujielewa mwanaume wake alikuwa hamuhitaji toka mwanzo richa yakuwa na mimba yake.
Pole sana ndugu yangu Jitahidi usifanye mapenzi nje ya ndoa ni haramu Pia bora ulivyoachana na mumeo kwa sababu hivyo ulivyofanya haikuwa sawa kuolewa ukiwa na mimba ya mtu mwingine Huyo mwanaume wako wa kwanza hakuwa mkweli na mapenzi ya dhati juu yako alikuwa anakutumilia kama chumba cha starehe tu MwenyeziMungu atakupa mume mwenye kheri na wewe mtakaopendana in shaa Allah
Mm namsukiliza sanaaa huyo dada lakini nilichokiona hapo yy ndio hakua na msimamo yaan una mimba ya mtu nahuyhuyo anakushaur uolewe na ww una kubali eti kisa mimba sasa hapo umejifunza nn
@@MohamedMwachega-x6c umeonae kwanza tuu swala la eti una mwanaume wako na ukaletwwa mchumba hapo ndio angeonesha msimamo kwamba liwalo na liwe sasa yy na akili zake akaona aolww na mtu asimpenda ili kuficha mimba siusenge alivo lala alitegemea nn
Poverty ndio chanzo cha ww kupitia yote hayo coz wazazi wasinge force uolewe na umri huo, pole sana cha muhimu ni kupambana tu achana na ndoa kwasasa focus na maisha yako binafsi
@@mohammedkidody5618 alijisababishia mwenywe unawezaje beba mimba ya m2 mwingne den uolewe na m2 mwingne,si kila mwanaume ana kifua cha kuvumilia ayo uolewe na m2 mwingne den badae murudiane,
Huwez jua Mungu tu atustiri ndio mana nasema sisi wanawake htuna uhakika wakupendwa na wanaume ila mwanamme Ana uhakika kwasbb anajua huyu nampenda huyu simpendi sisi wanawake kwa kweli Mungu tu atuhurumie ila tunapitia magumu sana kwa wanaume si wakweli
Kila kitu kina riziki yake na pia huenda mwenyezi mungu kamuepusha na shari za yule mume wala asihuzunike amuombe mungu amjalie mume bora zaidi ya yule
Wadada wafanyeni kazi ndoa za siku izi kama huna kipato au kazi au biashara yoyote mwanaume ata kuchezea anavyotaka lkn ukiwa na kazi yako au biashara yako na pesa zako mwenyewe mwanaume hakufanyi kama ivi kwanza atakuheshim hata kama atachiti ni kwa siri mno team strong tuendelee kuzitafuta mwaya tukiludi tuinjoy maisha yetu bila hawa mbwa kutuchezea akili😂😂😂😂 nipo zangu urabuni mwaya sina kesi na mtu wee huogopi😂😂😂😂
Dada huna cha kujitetea unaeleza uongo mtupu unaolewaje na mwanaume ukiwa namimba yamtu mwingine nabado haitoshi unachati namwanaume kwenye cm yahuyo mume jifunze Kwanza kuwa na aibu bibie duh
Eti mtu unaelezea maisha yako yote mtandaoni si khatati . Bado unahisi una mimba alaf unaolewa na mwanaume mwingine alaf bado mnawasiliana na jamaa 😢😢😂 Baada y kupima kutambua huna ujauzito unameza dawa tena 😮😮ni akili hiyo aumatope Pole 😅😅 njoo uarabun ufanye kazi
😢Asalam aleykum Kila kitu dada kina wakati wake bila shaka Allah Kuna jambo kaliepusha kwako kwahiyo usilalamike mshukuru Allah kwa Kila jambo pia ushauri kwako usisnze kufanya zinaa kabla hujaolewa hiyo ni haramu inshaallah
UYO BINTI NIMUONGO SANA MIMI NIMAMA ALIKUWA MALENGIYAKE YALIKUWA KWAHUYO ALIYEMPAGA MIMBA UYO ALIKUWA SIMUOAJI ALIKUWA MJINGA SANA ANGETULIA KWENYE DOA YAKE
Dada yangu pole sana kuwatu na subra ALLAH atakupa Inshaallah ningelikuwa naeshi Tanzania ningekutafuta usijali ALLAH atakujaliya yatakwisha ni wakati tu!
Ww una tabia mbaya kutukania makabila ya watu jiepushe na dhana yako mbaya kila sehem Kuna mchanganyiko wa watu Usijione ww na kabila lako ndo bora MwenyeziMungu ndo mjuzi zaidi
@@teedullah5708 nashangaa si angeambia familia ukweli kua ye ni mjamzito wakajua mbichi na mbivu kuliko ukubali uolewe na m2 hujampenda den urudi ulaumu
pole dada yalinipataga mii yanafanana wanawake tunapitia maumivu mengi sana ila mii nilipata ujauzito nakunitelekeza nililia sana mpaka ujauzito uliharibika maumivu niliyoyapata ila baadae nilikuja nikajifarijika nikaanza maisha yangu nafanya kazi za watu maisha yakaenda nashukuru mungu kwa kila jambo allah akupe subra ila ulipojikoroga ww ni kuambiwa olewa na ukaolewa kweli na kama alikupenda kweli nae aliumia sababu mtu unaempenda hawezi kukubali uwe na mungine baadae nae apana nakushauri jali kwana hisia zako wanaume watakuliza mpk unapokutana nae usijue huyo nani tafuta pesa mapenzi yatakuja yenyewe tena ya heshima
11:43 Mwana ulitaka mwana ulipata kumbe tulikwenda na ujauzito halafu huku taka kujishusha kwa. Kosa LA kwenda na ujauzito kwa mume. Mpya 2 yule bwana aliekuwa ujauzito akakutia kibri kama toka nitakuwa lakini hukufikiria kama anaekutowa kwa mumeo kawaida HUWA hakui kwa sababu anajuwa na kwake hutodumu sababu utadanganyika na mwengine kilichokikuta ni halali yako.
Pole. Ila sio vizuri muislamu kutangaza aibu zake hadharani. USISAHAU kuomba msamaha kwa Allah kwasababu tu Udanganyifu uliuanza wewe kwenda kulea mimba sehemu ilokuwa siyo damu yake. Usiogope watu muogope mola wako kwanza
pole xanaa swaree mrangi mwenzangu umebaki tyu kudangaa sasa bakari kavuta kixura kuliko hat ww sura mnazo ila tabia zenu zinawaponzaa we pamoja na mdogo wako tabia zenu zinafanana nakuona unadanga tyu 😂😂😂😂😂😂😂
Wakati mwingine inakuwaga ni malipo, kwahiyo ulikubali kuolewa ili kuficha aibu yako, huwezi kucheza na hisia za mtu kiasi hicho ndio maana tunauwawaga, wadada hili ni funzo mahi zangu.
Wanongo mnakera yn hamko real stry z uongo upngo zakutunga tunga yn haimakesens uolewe huendi na cm sjuii ukutane na ndugu w mume apge kelele mara upuuuzi gn uongo tuuu kutungaaa tungaaa tuuuumhxxxxx mnashindwa na wakenyaaaa
Mimi na kushulili Wala usikimbilie ndoa mdogo wangu kwasasa kwanza umeshaona ndoa ya kwanza wanaume wa sasa hivi ni bahati nasibu ngalia kwanza maisha hataukijaolewa Tena mwanaume hakupi shida wanaume wasasa wanataka wanawake wanaopambana sio tegemezi kwake hivyo kila siku itakuwa mtu wakulia amuka wanaume wapotu halafu usipende kupitiliza nausionyeshe mwanaume wako kama wamupenda sana atakuliza kila siku , hakuna mwanaume wapeke Yako ataawe amekuowa tupo kwenye ndoa tu heshima
Huyu Dada anamapenzi ya kweli Tatizo wanaume NI wakora. Ukiangalia huo mzunguko unaonyesha wanaume ndio hovyo.lakini pia huyu dada anatatizo hana nsimamo huku ana penda huku anapenda NI nduma kuwili
Shenzi typ mnatia aibu sana ndo mnawaharibia wengine yaan naskia asra,mola msamehe tuongoze,unafaa kulia na utubu kwa mola wako,unaanza kujitangaza,nadhambi ya kutangaza dhambi ni mazito sana
Pole sana mdogo wng huyo mwanaume hakukupenda mwanaume anayekupenda kweli hawez kukurusu uolewe na mume mwingine tatizoletu ss wanawake tukipenda tunakuwa vipofu hata mtu hafai tunaona anafaa sababu tu moyo umependa pole kikubwa nikumuomba mwenyezimungu atupatie waume walio sahihi na na wenye hofu juu yake
Hao wote hawakua rizki yako,,umri bado kikubwa jitume nakumuomba sana Allah❤❤❤❤❤
Sana
Allah akufanyie wepesi pia Mimi nilishatakishwa ndoa na mamamkwe na nilisafiri kabisa mpaka leo sijaoleka ndio saa hii nimepata mwengine tena mrembo zaidii ya yule wa kwanza na yule wakwanza alio mwanamke akaja kutukana mamake na kupiga 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂nikatafutwa kupewa umbea kwa hio dada hongera sana maamuzi uliyo chukua niyamsingi jikaze utapata mwenye kheir na wewe lkn Mimi sikua nimelala nae bado heshima yangu iko mama ila pia wewe utapata mwenye atakufuta machozi na kikupoza kidonda Love you baby girl ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Dada pole sana mashaallah ulivyo mzuri usijali Allah ana sababu atakujalia mume mzuri tu waheri
Kwanza ukimfatilia vzr hyu bint co mzima hakuna mke hapa
Sasa toka lini mtu anayekupenda na unamimba yake akuruhusu uolewe pengine afu uachike ndo arudi kukuoa yeye. Mdada hakujielewa mwanaume wake alikuwa hamuhitaji toka mwanzo richa yakuwa na mimba yake.
Pole sana ndugu yangu
Jitahidi usifanye mapenzi nje ya ndoa ni haramu
Pia bora ulivyoachana na mumeo kwa sababu hivyo ulivyofanya haikuwa sawa kuolewa ukiwa na mimba ya mtu mwingine
Huyo mwanaume wako wa kwanza hakuwa mkweli na mapenzi ya dhati juu yako alikuwa anakutumilia kama chumba cha starehe tu
MwenyeziMungu atakupa mume mwenye kheri na wewe mtakaopendana in shaa Allah
Pole sana mrembo muombe mungu atakupa aliye sahihii hakuwa wakwako huyo mshukuru mungu
Mm namsukiliza sanaaa huyo dada lakini nilichokiona hapo yy ndio hakua na msimamo yaan una mimba ya mtu nahuyhuyo anakushaur uolewe na ww una kubali eti kisa mimba sasa hapo umejifunza nn
@@HalimaKassim-yz3we nashangaa aliyataka mwenywe
@@MohamedMwachega-x6c umeonae kwanza tuu swala la eti una mwanaume wako na ukaletwwa mchumba hapo ndio angeonesha msimamo kwamba liwalo na liwe sasa yy na akili zake akaona aolww na mtu asimpenda ili kuficha mimba siusenge alivo lala alitegemea nn
Uyoo malayaa sawa jamaa alivoo ha wa videmu linafanya kazi viwandani viimalaya asa virangii na Talaka ujapewa vp
We mdada mume mwema utampata kanisani.muombe Mungu atakupa wa kufanana nawe.pole my deary
Ushaumwa nanyoka wenda tangaza kidonda. Mtihani huo.watoto wetu muache kujidhalilisha.
Ilikuwa sio rizikii utapata mtu mzuriii zaid ya huyoo mungu amekuepushia vtu vngii sanaa
Poverty ndio chanzo cha ww kupitia yote hayo coz wazazi wasinge force uolewe na umri huo, pole sana cha muhimu ni kupambana tu achana na ndoa kwasasa focus na maisha yako binafsi
Sio umaskini elewa tamaduni za makabila mengine mtu ukifikisha umri wa kuoa au kuolewa unatakiwa kufanya hvy kuepusha kuzini hovyo
Kwakua ni muislam siwanaruusiwa kuoa ata wake wanne awe tu mke wa pili sasa
Da pole Sana kipenzi kama mungu amepanga uolewe utaolewa
Kajeuri lakini😂
Pole Mungu atakupa mwingine,umri bado mdogo mno hata kwenye kufikiri kanafikiri kwa udogo ndo maana kameishia njia panda
Nani mwengine hamuelewi uyu dada kama mm?😢😢
Mie cmuelewi anaongelea tu story ya safari badala ya huo bwn aliemucha khaa siwezi endelea kwakweli
Mm mwenyewe simuelew una mme Tena una olewa, kwendraaaaaaa
Nimecheka sana😂😂😂....m niko hapa najikaza kumuelewa
Tulia w bado mdogo utapata wako wamasisha w jitulize tafuta kazi ya halali ufanye usi rukeruke 😢
Yani unasimulia kitu ambacho umekisikia kwa mtu iyo sio story yako kbs acha kutuchosha
Pole sana dada yangu maana ndoa kama ipo ipotu mungu atakujalia nautapata mume mzuri sana
Mbengo tv were the best from mozambique
Dadangu sio khire yako mungu atakupatea mwenginia mweynye khire mungu ajuwa zaidi subra dadangu usihuzunikia pz
She is beautiful manshallah ❤
❤❤❤ Allah akufanyie wepes inshaallah
Pole Sana mwanamgu ungaliki mdogo jikaze utapata mume bora
Dunia ina mambo hii mrembo kama uyo utamuachaje wanaume sometimes tunafeli asa😢
@@mohammedkidody5618 alijisababishia mwenywe unawezaje beba mimba ya m2 mwingne den uolewe na m2 mwingne,si kila mwanaume ana kifua cha kuvumilia ayo uolewe na m2 mwingne den badae murudiane,
Basi ukamwowe wewe unangalia urembo angalia tabia
Usipime kina cha maji kwa kijiti utazama ufe
Huwez jua Mungu tu atustiri ndio mana nasema sisi wanawake htuna uhakika wakupendwa na wanaume ila mwanamme Ana uhakika kwasbb anajua huyu nampenda huyu simpendi sisi wanawake kwa kweli Mungu tu atuhurumie ila tunapitia magumu sana kwa wanaume si wakweli
Kila kitu kina riziki yake na pia huenda mwenyezi mungu kamuepusha na shari za yule mume wala asihuzunike amuombe mungu amjalie mume bora zaidi ya yule
Wewe ni mwanamke jasiri hata km watu wanakutukana ‘ kila mtu anapitia mtihani ktk maisha yake’
Wadada wafanyeni kazi ndoa za siku izi kama huna kipato au kazi au biashara yoyote mwanaume ata kuchezea anavyotaka lkn ukiwa na kazi yako au biashara yako na pesa zako mwenyewe mwanaume hakufanyi kama ivi kwanza atakuheshim hata kama atachiti ni kwa siri mno team strong tuendelee kuzitafuta mwaya tukiludi tuinjoy maisha yetu bila hawa mbwa kutuchezea akili😂😂😂😂 nipo zangu urabuni mwaya sina kesi na mtu wee huogopi😂😂😂😂
Huna baya shoga angu hata mim nipo huku
😂😂😂 Leo ndio nimekumbuka kumbe na mm niliwahbkuolewa
Huyu bado amelala ndoto fofofo usimfananishee hasaaa na Team strong sie tunaongea na account tu 😅😅
Dada huna cha kujitetea unaeleza uongo mtupu unaolewaje na mwanaume ukiwa namimba yamtu mwingine nabado haitoshi unachati namwanaume kwenye cm yahuyo mume jifunze Kwanza kuwa na aibu bibie duh
Ahana sawa 😂😂😂😂😂😂😂😂
Cjuy ata anaongea nn ata cjamalizia upuuz mmoja
Lishetani hilo hakuna mtu.
Me sishangae kawaida ya warangi
Eti mtu unaelezea maisha yako yote mtandaoni si khatati .
Bado unahisi una mimba alaf unaolewa na mwanaume mwingine alaf bado mnawasiliana na jamaa 😢😢😂
Baada y kupima kutambua huna ujauzito unameza dawa tena 😮😮ni akili hiyo aumatope
Pole 😅😅 njoo uarabun ufanye kazi
Ndoa hupanga na mungu na waislam Sheria wanne kama ataka ndoa anipe namba nikamilishe kisha wabongo mwajua kupanga tamthilia za kweli
Pole sana mdogo wetu mrangi mwenzetu uliolewa kisese nyumbani kwetu bereko ukweni kwangu
Maisha yanakila changamoto mungu akusimamie popote ulipo
Shda ilianzia kwake hyo mimba😢
Inasikitisha lakini pia huyu Dada hajui kujieleza 😢 ila tumemwelewa hivyo hivyo 😮 pole sana kipenzi
Subhanallah sasa ndio anahojiwa ili iwe je Duh mtihani aibu 😮😮
😢Asalam aleykum Kila kitu dada kina wakati wake bila shaka Allah Kuna jambo kaliepusha kwako kwahiyo usilalamike mshukuru Allah kwa Kila jambo pia ushauri kwako usisnze kufanya zinaa kabla hujaolewa hiyo ni haramu inshaallah
zinaa ni haram hata kama umempenda mwanaume kiasi gani sister wangu
UYO BINTI NIMUONGO SANA MIMI NIMAMA ALIKUWA MALENGIYAKE YALIKUWA KWAHUYO ALIYEMPAGA MIMBA UYO ALIKUWA SIMUOAJI ALIKUWA MJINGA SANA ANGETULIA KWENYE DOA YAKE
Huyu mwanamke malaya tuu na ni mzinifu Allah amuongoe
Dada unaolewa namimba yamwanaume mwingine???ulikosea
Huna vigezo vyakujitetea dada angu we malaya
Huko na watoto wa kike ww Malaya mpevu?
Anko usiseme ivo anko
Sana
Pole best
Mhuuuu pole sana wanaume wanaumiza jamani
Dada yangu pole sana kuwatu na subra ALLAH atakupa Inshaallah ningelikuwa naeshi Tanzania ningekutafuta usijali ALLAH atakujaliya yatakwisha ni wakati tu!
Mtoto wa kislamu tena wa like hawezi kujitokeza hivoo na kueleza
hii ni tabia ya warangi, wamburu, na wanyaturu. Itakuwa huyu dada ni Moja kati ya hayo makabila. Au msambaa
Kweli kabisa utaolewaje na una mimba ndiyo maana ulishinndwa
Mkundu ww msambaa kafikaje apa
Mshenzi mkubwa makabila ya watu yamefikaje hapo huna adabu kabisa
Ww una tabia mbaya kutukania makabila ya watu jiepushe na dhana yako mbaya kila sehem Kuna mchanganyiko wa watu
Usijione ww na kabila lako ndo bora MwenyeziMungu ndo mjuzi zaidi
Unexperience gani na hayo makabila hayo kama Huna comment nzuri usiandike maana unachafua kabila za watu mungu akuhurumie sana wew
Pole sana dada Allah akufanyie wepesi
Huyu binti ata km vp ni mpumbavu na jahili mkubwa
C ni upuzi tu huyu Sasa uraenda vp kuolewa na mume mwenqine Hali ya kuwa unamimba
@@teedullah5708 nashangaa si angeambia familia ukweli kua ye ni mjamzito wakajua mbichi na mbivu kuliko ukubali uolewe na m2 hujampenda den urudi ulaumu
Mu ngu amekuepusha nahao wanaume pengine wangekutesa mshukuru Mungu
Ashukuru mungu maana kuna kitu kikubwa mungu kamuepusha nacho
Kweli kabisa.
Aisee pole sana dr Yupo wako alie sahihi
Wanawake wasasa kama tekiawei ndio maana hawaolewi hata idadi yawajane wa kujitakia niwengi
Pole dear your still young God's time is the best
pole dada yalinipataga mii yanafanana wanawake tunapitia maumivu mengi sana ila mii nilipata ujauzito nakunitelekeza nililia sana mpaka ujauzito uliharibika maumivu niliyoyapata ila baadae nilikuja nikajifarijika nikaanza maisha yangu nafanya kazi za watu maisha yakaenda nashukuru mungu kwa kila jambo allah akupe subra ila ulipojikoroga ww ni kuambiwa olewa na ukaolewa kweli na kama alikupenda kweli nae aliumia sababu mtu unaempenda hawezi kukubali uwe na mungine baadae nae apana nakushauri jali kwana hisia zako wanaume watakuliza mpk unapokutana nae usijue huyo nani tafuta pesa mapenzi yatakuja yenyewe tena ya heshima
Muombe sana mungu kwa maana yeye ndo funguo ya Kila mlango 🙏🙏🙏
Ndoa mwez mmoja mambo kibao ovyoo sanaa umalaya ww dada chiz
Huwajui warangi ww
Duu nimeumia sana hususan kujua ni mtoto wa nyumbani bereko pole sana
Mmmh Kuna ndoa gan inayokubalika wakt unamimba
11:43 Mwana ulitaka mwana ulipata kumbe tulikwenda na ujauzito halafu huku taka kujishusha kwa. Kosa LA kwenda na ujauzito kwa mume. Mpya 2 yule bwana aliekuwa ujauzito akakutia kibri kama toka nitakuwa lakini hukufikiria kama anaekutowa kwa mumeo kawaida HUWA hakui kwa sababu anajuwa na kwake hutodumu sababu utadanganyika na mwengine kilichokikuta ni halali yako.
Jifuze usiolewe namimba yamtu mwingine warangi kiboko
Madam msubiri Mungu.Wakati wa Mungu ndio mwema.mungu atakubariki na bwana mwema.Ndoa sio bora mme ila mme Bora
Pole dada angu ndy maixha lakin haya tunayopitia mamy❤❤❤❤❤
Hawa ndio warangi buanaa😅😂😮
Pole. Ila sio vizuri muislamu kutangaza aibu zake hadharani. USISAHAU kuomba msamaha kwa Allah kwasababu tu Udanganyifu uliuanza wewe kwenda kulea mimba sehemu ilokuwa siyo damu yake. Usiogope watu muogope mola wako kwanza
Mwenyezi mungu atakupa mume sahihi inshallah pole mpenzi wangu
pole xanaa swaree mrangi mwenzangu umebaki tyu kudangaa sasa bakari kavuta kixura kuliko hat ww sura mnazo ila tabia zenu zinawaponzaa we pamoja na mdogo wako tabia zenu zinafanana nakuona unadanga tyu 😂😂😂😂😂😂😂
Pole sana dada mshukuru mungu uenda kuna jambo amekuepushia
Kwakweli
Allah akuhidhi mwanangu bado mdogo sana na mambo yako ni makubwa
Pole my
Pole my ndo mitihan ya ndoa
Hata hivyo unaonekana unamdomo unadharau mwanaume na unanekana unamfanya mwanaume awe chini yako
Kazuri mashaalah
Pole sana dada siyo rizki usi lie
Wakati mwingine inakuwaga ni malipo, kwahiyo ulikubali kuolewa ili kuficha aibu yako, huwezi kucheza na hisia za mtu kiasi hicho ndio maana tunauwawaga, wadada hili ni funzo mahi zangu.
Hawa watt ni umalay unawasupua yan huna kaz from now umepanga chumba eeeh polen wasichan
Wanongo mnakera yn hamko real stry z uongo upngo zakutunga tunga yn haimakesens uolewe huendi na cm sjuii ukutane na ndugu w mume apge kelele mara upuuuzi gn uongo tuuu kutungaaa tungaaa tuuuumhxxxxx mnashindwa na wakenyaaaa
Mimi na kushulili Wala usikimbilie ndoa mdogo wangu kwasasa kwanza umeshaona ndoa ya kwanza wanaume wa sasa hivi ni bahati nasibu ngalia kwanza maisha hataukijaolewa Tena mwanaume hakupi shida wanaume wasasa wanataka wanawake wanaopambana sio tegemezi kwake hivyo kila siku itakuwa mtu wakulia amuka wanaume wapotu halafu usipende kupitiliza nausionyeshe mwanaume wako kama wamupenda sana atakuliza kila siku , hakuna mwanaume wapeke Yako ataawe amekuowa tupo kwenye ndoa tu heshima
Uwezi jua kilichopo nyumba ya pazia
Aliamuw tuy kukupotezea md na nyiea mabint ifike mda mjitambue
Pole sana binti kuwa muangalifu baado ya hili
Wandishi wa habali mbona kichwa cha habali ni chauongo ukisikiliza Maada haiko hivyo
Nkt...eti mume mwenye amekipea mimba akuambie uolewe na mwingine.. hahahaha
@@bosiborimomanyi5592 wallah eti,
Na bado unampigia simu mtu anakuambiwa uolewe huhisi km hakupendi
Unaolewaje na mimba ya mtu mwingine , mwanaume yoyote hawezi kukubali
Huyu bint sio mkweli, na kwa nini hataki kwenda kwa watu wake
Na kwa nini aseme hana mimba alafu baadae ameze vidonge eti? Alitoa mimba huyo.
Eeh pole ndg yng, m , mungu ataksaidia mpnz wng
Umesema bado arusi na umepata mimba. Sijakufahamu kabisa
Pole kpnz imenigusa sana
Namuomba mim aje niishi nae plz plz
Hawa ni watan zangu warangi ndo zao
Alafu Kazurii mwee sema akili yote iko kwenye ndoa dhambi 😂katulie tu mweee kata pata mme bora zaidi ya uyo
Can someone make me understand. This young beautiful lady, is saying there was wedding, how did she became pregnant
Ulishatombwa hyo siku hotelin mbona husimulii
Kaaaa ila nyinyi watu
Angefanya hiyo story iwe fupi tungemwelewa kirahisi 😢 na kumpa ushauri mzuri 😮 ila sasa anatuchanganya 😮😅😢
Malaya mzoefu aisee..lichangudoa hili
Kwa kifupi hawa bado wote watoto,
Mtt mzur mashallah ningekua mwanaume ningemuoa 😢
Huyu Dada anamapenzi ya kweli Tatizo wanaume NI wakora. Ukiangalia huo mzunguko unaonyesha wanaume ndio hovyo.lakini pia huyu dada anatatizo hana nsimamo huku ana penda huku anapenda NI nduma kuwili
Hakuna ridhiki Yako uyo tulia utapata wa kwako
Me mbona sielewi 🤔
Kosa lko uliingia ktk ndoa kiudanganyifu kwio huwezi kufaulu ktk kudanganya,, cheating make more loose
Shenzi typ mnatia aibu sana ndo mnawaharibia wengine yaan naskia asra,mola msamehe tuongoze,unafaa kulia na utubu kwa mola wako,unaanza kujitangaza,nadhambi ya kutangaza dhambi ni mazito sana
Tatuzo la hawa dada zetu wamezidisha tamaa .anajifanya mwema kumbe nyoka wa shaba bora Mungu kakuumbua mapema
Ni2mie namba yako ya simu nikuoe mm
Nimshenzi tu kama washenzi wwngine.
Pole dada
Mimi cjamwelewa huyu dada kwanza muongeaji mno😜😝
Pole sana mdogo wng huyo mwanaume hakukupenda mwanaume anayekupenda kweli hawez kukurusu uolewe na mume mwingine tatizoletu ss wanawake tukipenda tunakuwa vipofu hata mtu hafai tunaona anafaa sababu tu moyo umependa pole kikubwa nikumuomba mwenyezimungu atupatie waume walio sahihi na na wenye hofu juu yake
Dada likuepukalo Lina heri nawe.move on.
Ndoa ni baraka ya Mungu c matarajio ya mwanadam tuwe na subra
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Uliachwaje na tayari ulikua mke wa mtu?