BIBI HARUSI AACHWA NJIA PANDA, MUME AOA MWANAMKE MWINGINE DK ZA MWISHO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 08. 2024

Komentáře • 490

  • @user-rk5hp8ci3e
    @user-rk5hp8ci3e Před měsícem +33

    Hao wote hawakua rizki yako,,umri bado kikubwa jitume nakumuomba sana Allah❤❤❤❤❤

  • @user-ky1ni2ly9r
    @user-ky1ni2ly9r Před měsícem +17

    Allah akufanyie wepesi pia Mimi nilishatakishwa ndoa na mamamkwe na nilisafiri kabisa mpaka leo sijaoleka ndio saa hii nimepata mwengine tena mrembo zaidii ya yule wa kwanza na yule wakwanza alio mwanamke akaja kutukana mamake na kupiga 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂nikatafutwa kupewa umbea kwa hio dada hongera sana maamuzi uliyo chukua niyamsingi jikaze utapata mwenye kheir na wewe lkn Mimi sikua nimelala nae bado heshima yangu iko mama ila pia wewe utapata mwenye atakufuta machozi na kikupoza kidonda Love you baby girl ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @rizikimohamed2449
    @rizikimohamed2449 Před měsícem +3

    Dada pole sana mashaallah ulivyo mzuri usijali Allah ana sababu atakujalia mume mzuri tu waheri

  • @user-uj5wg9mm2t
    @user-uj5wg9mm2t Před měsícem +7

    Kwanza ukimfatilia vzr hyu bint co mzima hakuna mke hapa

  • @MzalendoShabani
    @MzalendoShabani Před 9 dny +2

    Sasa toka lini mtu anayekupenda na unamimba yake akuruhusu uolewe pengine afu uachike ndo arudi kukuoa yeye. Mdada hakujielewa mwanaume wake alikuwa hamuhitaji toka mwanzo richa yakuwa na mimba yake.

  • @mariammm2574
    @mariammm2574 Před měsícem +1

    Pole sana ndugu yangu
    Jitahidi usifanye mapenzi nje ya ndoa ni haramu
    Pia bora ulivyoachana na mumeo kwa sababu hivyo ulivyofanya haikuwa sawa kuolewa ukiwa na mimba ya mtu mwingine
    Huyo mwanaume wako wa kwanza hakuwa mkweli na mapenzi ya dhati juu yako alikuwa anakutumilia kama chumba cha starehe tu
    MwenyeziMungu atakupa mume mwenye kheri na wewe mtakaopendana in shaa Allah

  • @zakiamohamed-ug5mx
    @zakiamohamed-ug5mx Před měsícem +4

    Pole sana mrembo muombe mungu atakupa aliye sahihii hakuwa wakwako huyo mshukuru mungu

  • @HalimaKassim-yz3we
    @HalimaKassim-yz3we Před měsícem +20

    Mm namsukiliza sanaaa huyo dada lakini nilichokiona hapo yy ndio hakua na msimamo yaan una mimba ya mtu nahuyhuyo anakushaur uolewe na ww una kubali eti kisa mimba sasa hapo umejifunza nn

    • @MohamedMwachega-x6c
      @MohamedMwachega-x6c Před měsícem +2

      @@HalimaKassim-yz3we nashangaa aliyataka mwenywe

    • @HalimaKassim-yz3we
      @HalimaKassim-yz3we Před měsícem

      @@MohamedMwachega-x6c umeonae kwanza tuu swala la eti una mwanaume wako na ukaletwwa mchumba hapo ndio angeonesha msimamo kwamba liwalo na liwe sasa yy na akili zake akaona aolww na mtu asimpenda ili kuficha mimba siusenge alivo lala alitegemea nn

    • @user-lb5oi2wz6z
      @user-lb5oi2wz6z Před měsícem

      Uyoo malayaa sawa jamaa alivoo ha wa videmu linafanya kazi viwandani viimalaya asa virangii na Talaka ujapewa vp

    • @ElietiSilausi
      @ElietiSilausi Před měsícem

      We mdada mume mwema utampata kanisani.muombe Mungu atakupa wa kufanana nawe.pole my deary

    • @rauhiyasaad5384
      @rauhiyasaad5384 Před měsícem +1

      Ushaumwa nanyoka wenda tangaza kidonda. Mtihani huo.watoto wetu muache kujidhalilisha.

  • @JazeeraRichard
    @JazeeraRichard Před 14 dny +1

    Ilikuwa sio rizikii utapata mtu mzuriii zaid ya huyoo mungu amekuepushia vtu vngii sanaa

  • @kiluwagrata4329
    @kiluwagrata4329 Před měsícem +4

    Poverty ndio chanzo cha ww kupitia yote hayo coz wazazi wasinge force uolewe na umri huo, pole sana cha muhimu ni kupambana tu achana na ndoa kwasasa focus na maisha yako binafsi

    • @mwanazuber3968
      @mwanazuber3968 Před měsícem +1

      Sio umaskini elewa tamaduni za makabila mengine mtu ukifikisha umri wa kuoa au kuolewa unatakiwa kufanya hvy kuepusha kuzini hovyo

  • @indiaboytz5731
    @indiaboytz5731 Před měsícem +10

    Kwakua ni muislam siwanaruusiwa kuoa ata wake wanne awe tu mke wa pili sasa

  • @AishaBaraka-k1d
    @AishaBaraka-k1d Před měsícem +2

    Da pole Sana kipenzi kama mungu amepanga uolewe utaolewa

  • @WinWilly4162
    @WinWilly4162 Před měsícem +2

    Kajeuri lakini😂
    Pole Mungu atakupa mwingine,umri bado mdogo mno hata kwenye kufikiri kanafikiri kwa udogo ndo maana kameishia njia panda

  • @FatumaIbrahim-c6d
    @FatumaIbrahim-c6d Před měsícem +21

    Nani mwengine hamuelewi uyu dada kama mm?😢😢

    • @skeeteranderson375
      @skeeteranderson375 Před měsícem

      Mie cmuelewi anaongelea tu story ya safari badala ya huo bwn aliemucha khaa siwezi endelea kwakweli

    • @jenniferzakaria3884
      @jenniferzakaria3884 Před měsícem +1

      Mm mwenyewe simuelew una mme Tena una olewa, kwendraaaaaaa

    • @JoyceSteven-tu2fi
      @JoyceSteven-tu2fi Před měsícem

      Nimecheka sana😂😂😂....m niko hapa najikaza kumuelewa

    • @Sidrasidra636
      @Sidrasidra636 Před měsícem

      Tulia w bado mdogo utapata wako wamasisha w jitulize tafuta kazi ya halali ufanye usi rukeruke 😢

    • @mariamsaid6334
      @mariamsaid6334 Před měsícem

      Yani unasimulia kitu ambacho umekisikia kwa mtu iyo sio story yako kbs acha kutuchosha

  • @SHADIAALLY-pv3ql
    @SHADIAALLY-pv3ql Před měsícem +1

    Pole sana dada yangu maana ndoa kama ipo ipotu mungu atakujalia nautapata mume mzuri sana

  • @cassamoantumaneantumane3673
    @cassamoantumaneantumane3673 Před měsícem +9

    Mbengo tv were the best from mozambique

  • @SaadiyaMohammad-og5bg
    @SaadiyaMohammad-og5bg Před měsícem +5

    Dadangu sio khire yako mungu atakupatea mwenginia mweynye khire mungu ajuwa zaidi subra dadangu usihuzunikia pz

  • @AishayoutubeMoosa-zn1co
    @AishayoutubeMoosa-zn1co Před měsícem +1

    She is beautiful manshallah ❤

  • @AthumaniMuhende
    @AthumaniMuhende Před měsícem +1

    ❤❤❤ Allah akufanyie wepes inshaallah

  • @mukeshimanataussi6939
    @mukeshimanataussi6939 Před měsícem +1

    Pole Sana mwanamgu ungaliki mdogo jikaze utapata mume bora

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 Před měsícem +38

    Dunia ina mambo hii mrembo kama uyo utamuachaje wanaume sometimes tunafeli asa😢

    • @MohamedMwachega-x6c
      @MohamedMwachega-x6c Před měsícem

      @@mohammedkidody5618 alijisababishia mwenywe unawezaje beba mimba ya m2 mwingne den uolewe na m2 mwingne,si kila mwanaume ana kifua cha kuvumilia ayo uolewe na m2 mwingne den badae murudiane,

    • @user-il5cu6gq5f
      @user-il5cu6gq5f Před měsícem +8

      Basi ukamwowe wewe unangalia urembo angalia tabia

    • @abubakariali9848
      @abubakariali9848 Před měsícem +1

      Usipime kina cha maji kwa kijiti utazama ufe

    • @ishanaaRajoo
      @ishanaaRajoo Před měsícem +2

      Huwez jua Mungu tu atustiri ndio mana nasema sisi wanawake htuna uhakika wakupendwa na wanaume ila mwanamme Ana uhakika kwasbb anajua huyu nampenda huyu simpendi sisi wanawake kwa kweli Mungu tu atuhurumie ila tunapitia magumu sana kwa wanaume si wakweli

    • @mohammadoman8963
      @mohammadoman8963 Před měsícem +1

      Kila kitu kina riziki yake na pia huenda mwenyezi mungu kamuepusha na shari za yule mume wala asihuzunike amuombe mungu amjalie mume bora zaidi ya yule

  • @user-vq2cb7fn8f
    @user-vq2cb7fn8f Před měsícem +2

    Wewe ni mwanamke jasiri hata km watu wanakutukana ‘ kila mtu anapitia mtihani ktk maisha yake’

  • @nasirikuzigile9228
    @nasirikuzigile9228 Před měsícem +7

    Wadada wafanyeni kazi ndoa za siku izi kama huna kipato au kazi au biashara yoyote mwanaume ata kuchezea anavyotaka lkn ukiwa na kazi yako au biashara yako na pesa zako mwenyewe mwanaume hakufanyi kama ivi kwanza atakuheshim hata kama atachiti ni kwa siri mno team strong tuendelee kuzitafuta mwaya tukiludi tuinjoy maisha yetu bila hawa mbwa kutuchezea akili😂😂😂😂 nipo zangu urabuni mwaya sina kesi na mtu wee huogopi😂😂😂😂

    • @user-sv6zy3hc8o
      @user-sv6zy3hc8o Před měsícem

      Huna baya shoga angu hata mim nipo huku

    • @user-rj4cd7oc4x
      @user-rj4cd7oc4x Před měsícem

      😂😂😂 Leo ndio nimekumbuka kumbe na mm niliwahbkuolewa

    • @zulphamushi3700
      @zulphamushi3700 Před 8 dny

      Huyu bado amelala ndoto fofofo usimfananishee hasaaa na Team strong sie tunaongea na account tu 😅😅

  • @Naju645
    @Naju645 Před měsícem +8

    Dada huna cha kujitetea unaeleza uongo mtupu unaolewaje na mwanaume ukiwa namimba yamtu mwingine nabado haitoshi unachati namwanaume kwenye cm yahuyo mume jifunze Kwanza kuwa na aibu bibie duh

    • @marytumaini797
      @marytumaini797 Před měsícem +1

      Ahana sawa 😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @UmayyaNkya-ze3ri
      @UmayyaNkya-ze3ri Před měsícem +1

      Cjuy ata anaongea nn ata cjamalizia upuuz mmoja

    • @georgedaniel4962
      @georgedaniel4962 Před měsícem

      Lishetani hilo hakuna mtu.

    • @AminaOmary-sm4wl
      @AminaOmary-sm4wl Před 25 dny

      Me sishangae kawaida ya warangi

    • @zulphamushi3700
      @zulphamushi3700 Před 8 dny

      Eti mtu unaelezea maisha yako yote mtandaoni si khatati .
      Bado unahisi una mimba alaf unaolewa na mwanaume mwingine alaf bado mnawasiliana na jamaa 😢😢😂
      Baada y kupima kutambua huna ujauzito unameza dawa tena 😮😮ni akili hiyo aumatope
      Pole 😅😅 njoo uarabun ufanye kazi

  • @husseinbakromar5865
    @husseinbakromar5865 Před měsícem +3

    Ndoa hupanga na mungu na waislam Sheria wanne kama ataka ndoa anipe namba nikamilishe kisha wabongo mwajua kupanga tamthilia za kweli

  • @SalhaRamadan
    @SalhaRamadan Před měsícem +1

    Pole sana mdogo wetu mrangi mwenzetu uliolewa kisese nyumbani kwetu bereko ukweni kwangu
    Maisha yanakila changamoto mungu akusimamie popote ulipo

  • @PrincessHellen-pg1oy
    @PrincessHellen-pg1oy Před 9 dny

    Inasikitisha lakini pia huyu Dada hajui kujieleza 😢 ila tumemwelewa hivyo hivyo 😮 pole sana kipenzi

  • @SuleimanKhdija
    @SuleimanKhdija Před měsícem +2

    Subhanallah sasa ndio anahojiwa ili iwe je Duh mtihani aibu 😮😮

  • @HeryMrope
    @HeryMrope Před měsícem +3

    😢Asalam aleykum Kila kitu dada kina wakati wake bila shaka Allah Kuna jambo kaliepusha kwako kwahiyo usilalamike mshukuru Allah kwa Kila jambo pia ushauri kwako usisnze kufanya zinaa kabla hujaolewa hiyo ni haramu inshaallah

    • @user-fi7hm6uu8d
      @user-fi7hm6uu8d Před 27 dny

      zinaa ni haram hata kama umempenda mwanaume kiasi gani sister wangu

  • @MariamRashid-sm5zw
    @MariamRashid-sm5zw Před měsícem +2

    UYO BINTI NIMUONGO SANA MIMI NIMAMA ALIKUWA MALENGIYAKE YALIKUWA KWAHUYO ALIYEMPAGA MIMBA UYO ALIKUWA SIMUOAJI ALIKUWA MJINGA SANA ANGETULIA KWENYE DOA YAKE

  • @salumissa6118
    @salumissa6118 Před 29 dny +1

    Huyu mwanamke malaya tuu na ni mzinifu Allah amuongoe

  • @Naju645
    @Naju645 Před měsícem +4

    Dada unaolewa namimba yamwanaume mwingine???ulikosea

  • @ISSAMAHAMOUDISSA
    @ISSAMAHAMOUDISSA Před měsícem +6

    Huna vigezo vyakujitetea dada angu we malaya

  • @PriscaPetro-i2s
    @PriscaPetro-i2s Před 4 dny

    Pole best

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 Před měsícem +3

    Mhuuuu pole sana wanaume wanaumiza jamani

  • @user-tr1nd7xn7t
    @user-tr1nd7xn7t Před měsícem

    Dada yangu pole sana kuwatu na subra ALLAH atakupa Inshaallah ningelikuwa naeshi Tanzania ningekutafuta usijali ALLAH atakujaliya yatakwisha ni wakati tu!

  • @muktarkassim6647
    @muktarkassim6647 Před 18 dny +1

    Mtoto wa kislamu tena wa like hawezi kujitokeza hivoo na kueleza

  • @user-dn7sc8lf8h
    @user-dn7sc8lf8h Před měsícem +5

    hii ni tabia ya warangi, wamburu, na wanyaturu. Itakuwa huyu dada ni Moja kati ya hayo makabila. Au msambaa

    • @briankatani6770
      @briankatani6770 Před měsícem

      Kweli kabisa utaolewaje na una mimba ndiyo maana ulishinndwa

    • @Goldenbutterfly-hk1hp
      @Goldenbutterfly-hk1hp Před měsícem +2

      Mkundu ww msambaa kafikaje apa

    • @phorahmahaza638
      @phorahmahaza638 Před měsícem +2

      Mshenzi mkubwa makabila ya watu yamefikaje hapo huna adabu kabisa

    • @user-yx6zq9bp1s
      @user-yx6zq9bp1s Před měsícem +1

      Ww una tabia mbaya kutukania makabila ya watu jiepushe na dhana yako mbaya kila sehem Kuna mchanganyiko wa watu
      Usijione ww na kabila lako ndo bora MwenyeziMungu ndo mjuzi zaidi

    • @fridakitemangu3446
      @fridakitemangu3446 Před měsícem +2

      Unexperience gani na hayo makabila hayo kama Huna comment nzuri usiandike maana unachafua kabila za watu mungu akuhurumie sana wew

  • @FauziaAyyib-dw6lj
    @FauziaAyyib-dw6lj Před měsícem

    Pole sana dada Allah akufanyie wepesi

  • @user-ij9te1ck9p
    @user-ij9te1ck9p Před měsícem +5

    Huyu binti ata km vp ni mpumbavu na jahili mkubwa

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 Před měsícem +5

    C ni upuzi tu huyu Sasa uraenda vp kuolewa na mume mwenqine Hali ya kuwa unamimba

    • @MohamedMwachega-x6c
      @MohamedMwachega-x6c Před měsícem

      @@teedullah5708 nashangaa si angeambia familia ukweli kua ye ni mjamzito wakajua mbichi na mbivu kuliko ukubali uolewe na m2 hujampenda den urudi ulaumu

  • @angeljoseph8103
    @angeljoseph8103 Před 7 dny

    Mu ngu amekuepusha nahao wanaume pengine wangekutesa mshukuru Mungu

  • @user-jz2su4co4d
    @user-jz2su4co4d Před měsícem +2

    Ashukuru mungu maana kuna kitu kikubwa mungu kamuepusha nacho

  • @FEBRONIAJULIUS
    @FEBRONIAJULIUS Před 13 dny

    Aisee pole sana dr Yupo wako alie sahihi

  • @ThomasMpembe
    @ThomasMpembe Před dnem

    Wanawake wasasa kama tekiawei ndio maana hawaolewi hata idadi yawajane wa kujitakia niwengi

  • @janemugoya1316
    @janemugoya1316 Před měsícem

    Pole dear your still young God's time is the best

  • @ZainabuOmary-ys8oq
    @ZainabuOmary-ys8oq Před 27 dny

    pole dada yalinipataga mii yanafanana wanawake tunapitia maumivu mengi sana ila mii nilipata ujauzito nakunitelekeza nililia sana mpaka ujauzito uliharibika maumivu niliyoyapata ila baadae nilikuja nikajifarijika nikaanza maisha yangu nafanya kazi za watu maisha yakaenda nashukuru mungu kwa kila jambo allah akupe subra ila ulipojikoroga ww ni kuambiwa olewa na ukaolewa kweli na kama alikupenda kweli nae aliumia sababu mtu unaempenda hawezi kukubali uwe na mungine baadae nae apana nakushauri jali kwana hisia zako wanaume watakuliza mpk unapokutana nae usijue huyo nani tafuta pesa mapenzi yatakuja yenyewe tena ya heshima

  • @raineryponera3278
    @raineryponera3278 Před měsícem +1

    Muombe sana mungu kwa maana yeye ndo funguo ya Kila mlango 🙏🙏🙏

  • @mohamedkisenga6654
    @mohamedkisenga6654 Před měsícem +6

    Ndoa mwez mmoja mambo kibao ovyoo sanaa umalaya ww dada chiz

  • @user-cf6ff6pd2x
    @user-cf6ff6pd2x Před 19 dny

    Duu nimeumia sana hususan kujua ni mtoto wa nyumbani bereko pole sana

  • @TatuMkeso
    @TatuMkeso Před 7 dny

    Mmmh Kuna ndoa gan inayokubalika wakt unamimba

  • @NamiriNamiri-oz4xs
    @NamiriNamiri-oz4xs Před měsícem +2

    11:43 Mwana ulitaka mwana ulipata kumbe tulikwenda na ujauzito halafu huku taka kujishusha kwa. Kosa LA kwenda na ujauzito kwa mume. Mpya 2 yule bwana aliekuwa ujauzito akakutia kibri kama toka nitakuwa lakini hukufikiria kama anaekutowa kwa mumeo kawaida HUWA hakui kwa sababu anajuwa na kwake hutodumu sababu utadanganyika na mwengine kilichokikuta ni halali yako.

    • @user-wv4ue5yn8u
      @user-wv4ue5yn8u Před měsícem

      Jifuze usiolewe namimba yamtu mwingine warangi kiboko

  • @gladysmueni2534
    @gladysmueni2534 Před měsícem

    Madam msubiri Mungu.Wakati wa Mungu ndio mwema.mungu atakubariki na bwana mwema.Ndoa sio bora mme ila mme Bora

  • @NajatyHassan
    @NajatyHassan Před 27 dny

    Pole dada angu ndy maixha lakin haya tunayopitia mamy❤❤❤❤❤

  • @rosemery3017
    @rosemery3017 Před 5 dny

    Hawa ndio warangi buanaa😅😂😮

  • @asiahussein7446
    @asiahussein7446 Před 13 dny

    Pole. Ila sio vizuri muislamu kutangaza aibu zake hadharani. USISAHAU kuomba msamaha kwa Allah kwasababu tu Udanganyifu uliuanza wewe kwenda kulea mimba sehemu ilokuwa siyo damu yake. Usiogope watu muogope mola wako kwanza

  • @chikujuma18
    @chikujuma18 Před měsícem +3

    Mwenyezi mungu atakupa mume sahihi inshallah pole mpenzi wangu

  • @dullymsela4306
    @dullymsela4306 Před 25 dny +1

    pole xanaa swaree mrangi mwenzangu umebaki tyu kudangaa sasa bakari kavuta kixura kuliko hat ww sura mnazo ila tabia zenu zinawaponzaa we pamoja na mdogo wako tabia zenu zinafanana nakuona unadanga tyu 😂😂😂😂😂😂😂

  • @estherphilipo5845
    @estherphilipo5845 Před 29 dny

    Pole sana dada mshukuru mungu uenda kuna jambo amekuepushia

  • @Naw89
    @Naw89 Před měsícem +2

    Allah akuhidhi mwanangu bado mdogo sana na mambo yako ni makubwa

  • @MariamThomas-bg4rc
    @MariamThomas-bg4rc Před 5 dny

    Hata hivyo unaonekana unamdomo unadharau mwanaume na unanekana unamfanya mwanaume awe chini yako

  • @IshaYahaya-s9o
    @IshaYahaya-s9o Před měsícem +1

    Kazuri mashaalah

  • @ZawadiMwabadilanga
    @ZawadiMwabadilanga Před měsícem

    Pole sana dada siyo rizki usi lie

  • @aminamaulid7371
    @aminamaulid7371 Před 12 dny

    Wakati mwingine inakuwaga ni malipo, kwahiyo ulikubali kuolewa ili kuficha aibu yako, huwezi kucheza na hisia za mtu kiasi hicho ndio maana tunauwawaga, wadada hili ni funzo mahi zangu.

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 Před 11 dny

    Hawa watt ni umalay unawasupua yan huna kaz from now umepanga chumba eeeh polen wasichan

  • @LubnahSultan
    @LubnahSultan Před 8 dny

    Wanongo mnakera yn hamko real stry z uongo upngo zakutunga tunga yn haimakesens uolewe huendi na cm sjuii ukutane na ndugu w mume apge kelele mara upuuuzi gn uongo tuuu kutungaaa tungaaa tuuuumhxxxxx mnashindwa na wakenyaaaa

  • @HadijaJoseph-d1g
    @HadijaJoseph-d1g Před 10 dny

    Mimi na kushulili Wala usikimbilie ndoa mdogo wangu kwasasa kwanza umeshaona ndoa ya kwanza wanaume wa sasa hivi ni bahati nasibu ngalia kwanza maisha hataukijaolewa Tena mwanaume hakupi shida wanaume wasasa wanataka wanawake wanaopambana sio tegemezi kwake hivyo kila siku itakuwa mtu wakulia amuka wanaume wapotu halafu usipende kupitiliza nausionyeshe mwanaume wako kama wamupenda sana atakuliza kila siku , hakuna mwanaume wapeke Yako ataawe amekuowa tupo kwenye ndoa tu heshima

  • @user-fx1zk1zl8g
    @user-fx1zk1zl8g Před 13 dny

    Uwezi jua kilichopo nyumba ya pazia

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 Před 11 dny

    Aliamuw tuy kukupotezea md na nyiea mabint ifike mda mjitambue

  • @AmaniMafita
    @AmaniMafita Před měsícem

    Pole sana binti kuwa muangalifu baado ya hili

  • @HadijaJoseph-d1g
    @HadijaJoseph-d1g Před 10 dny

    Wandishi wa habali mbona kichwa cha habali ni chauongo ukisikiliza Maada haiko hivyo

  • @bosiborimomanyi5592
    @bosiborimomanyi5592 Před měsícem +2

    Nkt...eti mume mwenye amekipea mimba akuambie uolewe na mwingine.. hahahaha

  • @user-wl9lx4fi9q
    @user-wl9lx4fi9q Před 21 dnem

    Unaolewaje na mimba ya mtu mwingine , mwanaume yoyote hawezi kukubali

  • @zayanazayana5518
    @zayanazayana5518 Před měsícem +7

    Huyu bint sio mkweli, na kwa nini hataki kwenda kwa watu wake

    • @happinessmchome9101
      @happinessmchome9101 Před měsícem

      Na kwa nini aseme hana mimba alafu baadae ameze vidonge eti? Alitoa mimba huyo.

  • @Hawa-y8x
    @Hawa-y8x Před měsícem

    Eeh pole ndg yng, m , mungu ataksaidia mpnz wng

  • @ifrahabi4834
    @ifrahabi4834 Před měsícem +1

    Umesema bado arusi na umepata mimba. Sijakufahamu kabisa

  • @YusraMussa-m2r
    @YusraMussa-m2r Před 15 dny

    Pole kpnz imenigusa sana

  • @RamadhanNyambi
    @RamadhanNyambi Před měsícem +2

    Namuomba mim aje niishi nae plz plz

  • @RestitutaTarimo
    @RestitutaTarimo Před 6 dny

    Hawa ni watan zangu warangi ndo zao

  • @esterMahenge
    @esterMahenge Před 26 dny

    Alafu Kazurii mwee sema akili yote iko kwenye ndoa dhambi 😂katulie tu mweee kata pata mme bora zaidi ya uyo

  • @ifrahabi4834
    @ifrahabi4834 Před měsícem

    Can someone make me understand. This young beautiful lady, is saying there was wedding, how did she became pregnant

  • @user-uj5wg9mm2t
    @user-uj5wg9mm2t Před měsícem +2

    Ulishatombwa hyo siku hotelin mbona husimulii

  • @PrincessHellen-pg1oy
    @PrincessHellen-pg1oy Před 9 dny

    Angefanya hiyo story iwe fupi tungemwelewa kirahisi 😢 na kumpa ushauri mzuri 😮 ila sasa anatuchanganya 😮😅😢

  • @HamadyMahindukila-dx8ey

    Malaya mzoefu aisee..lichangudoa hili

  • @zainabumohamed4763
    @zainabumohamed4763 Před měsícem +2

    Kwa kifupi hawa bado wote watoto,

  • @khamoshmikidadi618
    @khamoshmikidadi618 Před měsícem

    Mtt mzur mashallah ningekua mwanaume ningemuoa 😢

  • @adammjomba5814
    @adammjomba5814 Před měsícem +1

    Huyu Dada anamapenzi ya kweli Tatizo wanaume NI wakora. Ukiangalia huo mzunguko unaonyesha wanaume ndio hovyo.lakini pia huyu dada anatatizo hana nsimamo huku ana penda huku anapenda NI nduma kuwili

  • @samwelmigera7274
    @samwelmigera7274 Před měsícem +1

    Hakuna ridhiki Yako uyo tulia utapata wa kwako

  • @NiyomdikoSavera
    @NiyomdikoSavera Před 3 dny

    Me mbona sielewi 🤔

  • @user-sd5hj2im4q
    @user-sd5hj2im4q Před měsícem +1

    Kosa lko uliingia ktk ndoa kiudanganyifu kwio huwezi kufaulu ktk kudanganya,, cheating make more loose

  • @nourannouuran3514
    @nourannouuran3514 Před měsícem +1

    Shenzi typ mnatia aibu sana ndo mnawaharibia wengine yaan naskia asra,mola msamehe tuongoze,unafaa kulia na utubu kwa mola wako,unaanza kujitangaza,nadhambi ya kutangaza dhambi ni mazito sana

  • @japhetpeter4095
    @japhetpeter4095 Před měsícem +4

    Tatuzo la hawa dada zetu wamezidisha tamaa .anajifanya mwema kumbe nyoka wa shaba bora Mungu kakuumbua mapema

  • @user-wo8dx8qc2h
    @user-wo8dx8qc2h Před měsícem +1

    Ni2mie namba yako ya simu nikuoe mm

  • @zahorsuleyman7617
    @zahorsuleyman7617 Před 17 dny

    Nimshenzi tu kama washenzi wwngine.

  • @ElizabethGwasma
    @ElizabethGwasma Před měsícem +1

    Pole dada

  • @MayleenDonaldharris
    @MayleenDonaldharris Před měsícem

    Mimi cjamwelewa huyu dada kwanza muongeaji mno😜😝

  • @user-pb4pn4yu8y
    @user-pb4pn4yu8y Před měsícem

    Pole sana mdogo wng huyo mwanaume hakukupenda mwanaume anayekupenda kweli hawez kukurusu uolewe na mume mwingine tatizoletu ss wanawake tukipenda tunakuwa vipofu hata mtu hafai tunaona anafaa sababu tu moyo umependa pole kikubwa nikumuomba mwenyezimungu atupatie waume walio sahihi na na wenye hofu juu yake

  • @AMINAMOHAMED-de7gb
    @AMINAMOHAMED-de7gb Před 7 dny

    Dada likuepukalo Lina heri nawe.move on.

  • @AgnesDeonatus
    @AgnesDeonatus Před měsícem +1

    Ndoa ni baraka ya Mungu c matarajio ya mwanadam tuwe na subra

    • @AgnesDeonatus
      @AgnesDeonatus Před měsícem +1

      😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @matondomagina7853
    @matondomagina7853 Před 11 dny

    Uliachwaje na tayari ulikua mke wa mtu?