MBWADUKE: RATIBA CAF MWENDO MDUNDO YANGA, SIMBA/ AZAM KIBABE SANA NJIA YA PYRAMIDS/ COASTAL...

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • Usisahau ku-subscribe, ku-comment na ku-like...

Komentáře • 57

  • @josephatn5040
    @josephatn5040 Před měsícem +15

    Naomba kutofautiana kidogo katika maelezo yako. Nijuavyo mimi ni kuwa timu zote zitashiriki hatua ya hawali. Ila kuna hatua ya hawali mbili. Zile timu tano za juu hazitacheza hatua ya hawali ya kwanza( 1st Preliminary) bali zitacheza hatua ya hawali ya pili(2nd Preliminary). Timu zitakazoshinda 2nd preliminary ndo zitaenda hatua ya makundi( group stage).

    • @jonamnyone8014
      @jonamnyone8014 Před měsícem +2

      Kwa kiswahili hakuna awali ya kwanza na awali ya pili. Hivyo Mbwaduke yuko sawa

    • @user-lw2ox8fu7t
      @user-lw2ox8fu7t Před měsícem

      Huyo ni nyuma mwiko wabishi kwel

    • @chrispinmkanda6097
      @chrispinmkanda6097 Před měsícem

      ​@@user-lw2ox8fu7t 🤣🤣🤣

    • @lameckshaba813
      @lameckshaba813 Před měsícem

      Bwana wewe yanga ni wadogo tu. Acha kuipamba

    • @samwelsimon7392
      @samwelsimon7392 Před měsícem

      yaani hapo ndo mimi nachokaga niona wanayanga wanaibeza simba jayanti

  • @annofrancis3697
    @annofrancis3697 Před měsícem

    Kazi nzuri mpigapicha jitahidi kurebisha kazi yako

  • @alexanderfute4559
    @alexanderfute4559 Před měsícem +3

    Mtangazaji anakera sana tunakosa uhondo kabisa

  • @WillfredMisungwi
    @WillfredMisungwi Před měsícem +3

    Wa kwanza naomba likes zenu wadau

  • @johnmbwile3980
    @johnmbwile3980 Před měsícem +2

    Jamani muelewe tuu!

  • @ShafiiHungo
    @ShafiiHungo Před měsícem +1

    Yanga tusha ingia makundi insha allah muda ufiketu tutembee kichapo 5 5au zaidi

  • @robertsongola6034
    @robertsongola6034 Před měsícem +4

    Dada huyo ni mchambuzi hapo umemchanganya hata sisi watazamaji hatujaelewa

    • @bone102
      @bone102 Před měsícem

      Sema ww hujamuelewa usiweke uwingi mzee 😂

  • @MeshackKamenya
    @MeshackKamenya Před měsícem +1

    Michezo haipo kwenye muungano tofautisha hilo Bara na visiwani kila nchi inaendesha kivyake

  • @adammafuru7971
    @adammafuru7971 Před měsícem +1

    Mpiga picha holaa

  • @bkkomesho9272
    @bkkomesho9272 Před měsícem

    Dada unajua kuongea, sema hujui kuhiji by series, yaani Kuna madin yalikuwa yanakuja afu unahoji maswali tofauti

  • @AgartonMheza-ul3ww
    @AgartonMheza-ul3ww Před měsícem +1

    Dada jifunze kuhoji vizur

  • @KiboJoseph-cc5eu
    @KiboJoseph-cc5eu Před měsícem

    nadhani wameset camera, hawana moiga picha

    • @MbwadukeStats
      @MbwadukeStats  Před měsícem +1

      Umetisha sana Bro!
      Palitokea dharura kwa Mpigapicha hivyo akakosekana kufanya settings zake kwa usahihi. Kilichofuata duh...ndiyo hilo balaa! Kumradhi. Tunashukuru sana kwa kuendelea kutuunga mkono!

  • @user-gx9rc9dz5s
    @user-gx9rc9dz5s Před měsícem

    Kama makundi ya ng,ombe sawa

  • @jumazubeir5787
    @jumazubeir5787 Před měsícem

    💯🙏

  • @khamisrashid6581
    @khamisrashid6581 Před měsícem +1

    Tanzania zimeshiriki timu 6 bas sio 4

    • @bone102
      @bone102 Před měsícem

      Bendera ya Tanzania na zanzibar zinafanana kama zinafanana basi Tz timu sita ila kama hazifanani bas tz kapeleka timu 4

  • @saidilikananowe1446
    @saidilikananowe1446 Před měsícem

    Mr mbwaduke vp camera mbona haijachukuliwa vzr unatuangusha watazamaji wako hii chanel yetu pendwa.

  • @johnmushi8739
    @johnmushi8739 Před měsícem +1

    Unamwona mbwaduke nusu kipande wakat ndo mlengwa

  • @user-yn4oi3cz2v
    @user-yn4oi3cz2v Před měsícem

    Kwaheri AZAM

  • @allytv1714
    @allytv1714 Před měsícem

    Unatuchanganya sema iv simba inaanza atua ya pili cz ipo juu yanga atua ya awali unatupa maelezo marefu na atufanani

  • @khamisrashid6581
    @khamisrashid6581 Před měsícem

    Tanzania kimataifa ni timu 5 sio 4 na uhamiaji za zanzibar

  • @elishajohn455
    @elishajohn455 Před měsícem

    Yan kama ungekuwa mwalimu wangu, ningeamishiana godoro langu darasani😅...maelezo mpka marefu na yanajirudia kwenye kila post

  • @robertchazya2351
    @robertchazya2351 Před měsícem

    Camera man unaleta mapenzi kwenye kaz siyo?😂😂

  • @DavyShine-pb7jb
    @DavyShine-pb7jb Před měsícem

    Video camera jitahid unatuangusha

  • @FucianeBulemo-nd4wc
    @FucianeBulemo-nd4wc Před měsícem

    Mpiga picha mbona host humuonyeshi

  • @boscoShama
    @boscoShama Před měsícem +1

    Mtangazaji anaharaka kama muogea nje anarukaruka

    • @rizikylaizer1602
      @rizikylaizer1602 Před měsícem

      Wewe mgeni uku huyu jamaa anachambua vizuri sana take your time utanishukuru

  • @Cutenaah
    @Cutenaah Před měsícem

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @johnmushi8739
    @johnmushi8739 Před měsícem

    Mpiga picha nadhani hana D mbil, arud shule

  • @user-pb1mw6mo9c
    @user-pb1mw6mo9c Před měsícem

    Tanzania zpo tm 6 kla mwndxh anakosea kusem tnatim 4 zpo 6 jman

    • @MzansiFundiz
      @MzansiFundiz Před měsícem

      Kwa mashindano ya CAF, Zanzibar ni nchi

  • @khamisrashid6581
    @khamisrashid6581 Před měsícem

    Ww mwandishi inaonekana nimbaguzi ww