Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Timu Gani yanga amewahi kuipiga magoli 6au7 kwenye makundi Hana lolote kutoka droo na mamelod nikama kipofu kaonamwezi na nchi wataijangia Sana yanga kwenye bacheti
Aziz Ki akiwaacha Yanga hivi hivi. Majin watamsumbuwa. Kwa akili ya kawaida. Huwezi kuacha million 97 za Warabu. Halafu ukubali million 35 ya Yanga
Simba anacheza nanani siku ya simba day
hamsa nyingine kuanzia ngao ya jamii
Yanga hii Tim sijui itakueje
Azam TV hongera kwa kuinua Mpira wa tz Azam TV Burudan kwawote
Jamaa walijinasibu kwa watapita naye shwaaasaa😂😂
Ni kilangilo mdenge nipo nguruka aziziki ndani ya nyumba ya wananchiiiiiiiiiiii
A ziz ki kumbe yupo basi mambo yapo ❤❤❤❤
Kazi ipo🔑yupo kumbe
Yanga mbele
Nenda ukamhoji mayele Tena 😅😅😅😅😅
0:32
Muumba ibariki yanga
Ligi ianze jamani
Kazi wanayo
Mtangazaji uko vizuri
Yanga daima mbele nyuma mwiko🎉
AZAM TV HONGERA KWA KUINUA MPIRA WA TANZANIA KWA KIWANGO KIKUBWA. AZAM BURUDANI SANA.
Mtangazaji wewe uko vizuri,tena ukiwa na wachambuz,na kipenga chamwisho honger
Timu Gani yanga amewahi kuipiga magoli 6au7 kwenye makundi Hana lolote kutoka droo na mamelod nikama kipofu kaonamwezi na nchi wataijangia Sana yanga kwenye bacheti
Aziz Ki akiwaacha Yanga hivi hivi. Majin watamsumbuwa. Kwa akili ya kawaida. Huwezi kuacha million 97 za Warabu. Halafu ukubali million 35 ya Yanga
Simba anacheza nanani siku ya simba day
hamsa nyingine kuanzia ngao ya jamii
Yanga hii Tim sijui itakueje
Azam TV hongera kwa kuinua Mpira wa tz Azam TV Burudan kwawote
Jamaa walijinasibu kwa watapita naye shwaaasaa😂😂
Ni kilangilo mdenge nipo nguruka aziziki ndani ya nyumba ya wananchiiiiiiiiiiii
A ziz ki kumbe yupo basi mambo yapo ❤❤❤❤
Kazi ipo🔑yupo kumbe
Yanga mbele
Nenda ukamhoji mayele Tena 😅😅😅😅😅
0:32
Muumba ibariki yanga
Ligi ianze jamani
Kazi wanayo
Mtangazaji uko vizuri
Yanga daima mbele nyuma mwiko🎉
AZAM TV HONGERA KWA KUINUA MPIRA WA TANZANIA KWA KIWANGO KIKUBWA. AZAM BURUDANI SANA.
Mtangazaji wewe uko vizuri,tena ukiwa na wachambuz,na kipenga chamwisho honger