🔴DAKIKA 45 NA MH.TUNDU LISSU, 26 AGOSTI, 2024

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • Usisahau kutufuatilia katika mitandao yetu ;
    Subscribe to our CZcams Channel : bit.ly/itvtanzania
    Facebook : bit.ly/2KeQNl3
    Twitter : bit.ly/2XG7aii
    Instagram : bit.ly/34KItmg

Komentáře • 173

  • @godfreyisaac1665
    @godfreyisaac1665 Před 17 dny +25

    Walitaka kuuwa mtu mhim sana Kwa taifa letu, ila Mungu akawakataria, Asante MUNGU MKUU

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 Před 17 dny +1

      Kusudi la Mungu Baba ndani ya Lisu hakuna mtu anayeweza kuzuia. Anayepigana na Lisu anapigaña na Mungu Baba Mwenyewe na atakuwa anachezea mbonì ya hicho2 la jichò la Muumba.

    • @ahimelekiwaziri2323
      @ahimelekiwaziri2323 Před 17 dny +3

      Mungu akawakatalia amen

    • @MdimiMatongo-ii1mm
      @MdimiMatongo-ii1mm Před 2 dny

      6:47 😅😅😅😅😅

  • @babnaasmart2556
    @babnaasmart2556 Před 17 dny +32

    Lissu asee mungu kambariki vingi sana najifunza vingi sana kutoka kwake

    • @user-rn9og1rk3l
      @user-rn9og1rk3l Před 17 dny +2

      Siyo pekeyako tuu jeshi
      Mimi kutoka moyoni kabisa huyo jamaa ni Role model wangu katika maisha yangu yoote

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 Před 17 dny +2

      Nami pia najifunza mambo mengi toka kwake.

    • @gangan4618
      @gangan4618 Před 11 dny

      HAKIKA

  • @AlexMkwama
    @AlexMkwama Před 16 dny +3

    Mtangazaji upo makini , hongera.
    Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿

  • @sir_ENOCKMACHA
    @sir_ENOCKMACHA Před 17 dny +19

    Mazungumzo mazuri sana kutoka kwa mtu makini mwenye akili pia kutoka kwa host msikivu na mwenye utulivu....safi sana mwamba lissu my role model kwenye siasa za nchi hii ya ukanda wa Afrika mashariki.

  • @petersongoma7183
    @petersongoma7183 Před 17 dny +14

    Nadhani Mhe. Tundu Lisu ni mtu muhimu sana katika Taifa letu aungwe mkono. Tuleteeni mama dakika 45 zijazo tuone.

  • @user-bn4br7qm7r
    @user-bn4br7qm7r Před 17 dny +14

    My president Tundu Antipas lissu mungwai

  • @renatusikanoni4203
    @renatusikanoni4203 Před 17 dny +14

    Hongera mwandishi, umaitendea haki taluma yako, unasitahili sana kuwahoji watu wenye akili kama Mh. Lissu.

  • @StanleySewando-nb4xm
    @StanleySewando-nb4xm Před 17 dny +14

    The lion of the Nation

  • @bukurunestory3540
    @bukurunestory3540 Před 17 dny +12

    Mtangazi naye alikuwa amejipanga.
    Hongera sana Farhiya Middle

  • @fredrickjohn8412
    @fredrickjohn8412 Před 17 dny +18

    Simba la masimba tundu lisu

  • @musandile8142
    @musandile8142 Před 17 dny +25

    Nimejifunza makubwa sana kwa Tundu Lisu

  • @MirajShilonde
    @MirajShilonde Před 17 dny +15

    Chadema for life simba for life

  • @richdsr3517
    @richdsr3517 Před 17 dny +13

    Tundu Andipas Lissu, SIMBA WA TAIFA

  • @geraldeliona7657
    @geraldeliona7657 Před 17 dny +5

    Very calm

  • @7675kio
    @7675kio Před 17 dny +8

    Huyu Dada anajus kuhoji.maana anatoa nafasi kwa mhusika kujieleza vzr sio yule chawa wa star TV anayeuliza swali alafu anakuelekeza cha kujibu!

    • @richardnganya2311
      @richardnganya2311 Před 17 dny

      Yule wa Star TV ni mwoga. Na hana ujasiri wowote kuendesha kipindi kwa wale anti CCM

    • @yokoi3970
      @yokoi3970 Před 17 dny

      True true

  • @juliuszakayo6771
    @juliuszakayo6771 Před 17 dny +14

    Huyu ni mkweli toka utoto wake Simba

  • @musandile8142
    @musandile8142 Před 17 dny +7

    This is Tundu Lisu, Mtu na Nusu

  • @MichaelBoniface-qz5lr
    @MichaelBoniface-qz5lr Před 13 dny +1

    Very nice

  • @dennissamora729
    @dennissamora729 Před 16 dny +3

    Lissu we ni mwalimu mkuu wa haki! Yaani usingekuwepo hayo madudu ya ccm sijui tungesemewa na nani 😢

  • @JamesSanguyan
    @JamesSanguyan Před 17 dny +19

    Tunaposema Lissu ni IQ watu wawe wanaelewa

  • @godfreykahabi1964
    @godfreykahabi1964 Před 17 dny +7

    Rais halali wa mioyo ya watanzania mhe Tundu Antipas Mugwahi Lissu 🇹🇿🇹🇿🇹🇿💖💖💖✌️✌️✌️

  • @KhalfanJuma-ii4fk
    @KhalfanJuma-ii4fk Před 16 dny +2

    Kweli lissu ni Simba hata samia analijua hilo na wa Tz tunalitambua mungu akubarik.

  • @mathayomwashambwa1238
    @mathayomwashambwa1238 Před 17 dny +7

    Muite Tundu Lisu...vichekesho vya rais Dr Samia, aliagiza Simba aitwe Tundu Lisu

    • @1961nungwi
      @1961nungwi Před 15 dny +1

      Na ni Simba kweli kweli😅

  • @juliuszakayo6771
    @juliuszakayo6771 Před 17 dny +13

    Simbaaaaaaaaaaaaaaa💪

  • @milanomilanogi
    @milanomilanogi Před 17 dny +8

    tundu lissuuuuu

  • @batwelimahenge7850
    @batwelimahenge7850 Před 17 dny +12

    Hongela sana mkuu 💯✔️🇹🇿🙏✔️

  • @zakariapaulowiliamuwiliamu1840

    2025 n yako iwe mvua tutaoga nayo liwe jua tutakomaa nalo had ccm ichimbe kabur na kujifukia umo

  • @juliuszakayo6771
    @juliuszakayo6771 Před 17 dny +10

    Simba anaunguruma madini adimu Sana tundu hoyeeeeeeeee

  • @MataighaTiro
    @MataighaTiro Před 17 dny +5

    Simba wa taifa

  • @jumakisailo8496
    @jumakisailo8496 Před 17 dny +6

    Vizuri sana, mheshimiwa Tundu Antiphasi Lisu

  • @godfreykahabi1964
    @godfreykahabi1964 Před 17 dny +3

    Rais Tundu lissu anazungumza

  • @obednyagani506
    @obednyagani506 Před 15 dny +2

    Jiwe waliolikataa waashi limekuwa jiwe kuu la pembeni

  • @moabugervas-ki8ro
    @moabugervas-ki8ro Před 16 dny +2

    ❤simba

  • @amosmerama3680
    @amosmerama3680 Před 17 dny +3

    My president of URT of all time

  • @InnocentPatrick-j4i
    @InnocentPatrick-j4i Před 17 dny +2

    Sio hatari kwa chadema kwa nchi nzima hakuna jembe kama hilo.

  • @fahamimohamed9015
    @fahamimohamed9015 Před 16 dny +4

    Mh anajua sana kujieleza usipomuelewa rudi mirembe najifunza mengi sana

  • @danielsamwel4432
    @danielsamwel4432 Před 17 dny +2

    Mungu awe nawe TUNDU LISSU AKUBARIKI SANA

  • @RahimRashid-u9j
    @RahimRashid-u9j Před 17 dny +4

    Tunakupenda sana mpaka tuliokuwa ccm

  • @harunamtiko117
    @harunamtiko117 Před 17 dny +2

    Nakubali mkuu 🎉🎉🎉

  • @AlphaMagomba
    @AlphaMagomba Před 17 dny +10

    Hongera sana mkuu kwa hoja zako ,

  • @peterantony5890
    @peterantony5890 Před 15 dny +2

    Lissu mtu mwenye akili kubwa na jasiri pia, Mungu azidi kukulinda.

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 Před 17 dny +7

    Ubaya ubwela unyama ni mwingi

  • @kokombwana8625
    @kokombwana8625 Před 17 dny +2

    Duuh,logical answers

  • @FilbertMsongela-xt9tq
    @FilbertMsongela-xt9tq Před 17 dny +12

    Simba

  • @ellihaule2467
    @ellihaule2467 Před 17 dny +7

    Simba inabidi uwe tu rais, kila swali unapewa kwanza maelezo yake 2025 nakupigia kura mzewangu

  • @vedastusukovzrmrnaykiyoger5978

    Hongera sana kamanda Lissu tuko pamoja

  • @muhsinikoki4060
    @muhsinikoki4060 Před 17 dny +4

    noma

  • @bukurunestory3540
    @bukurunestory3540 Před 17 dny +4

    Rais Ajaye

  • @user-bf7sr1cv1g
    @user-bf7sr1cv1g Před 17 dny +6

    Genius man

  • @danielkanso
    @danielkanso Před 17 dny +1

    Big brain Mungu akubariki sana na wengi tunaopenda haki tupo nyuma yako

  • @amedeusmtui5495
    @amedeusmtui5495 Před 17 dny +2

    Sad mtu anayejua mambo mengi hivi kwenye nchi zetu hizi anapingwa vikali badala ya kuwa embraced

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 17 dny +9

    The one & only. LAW FATHER.✌️

  • @stanymidea5305
    @stanymidea5305 Před 17 dny +9

    Nia njema💯
    Ufahamu💯
    Maarifa💯
    Msimamo💯
    Haki💯
    Sheria💯
    Tundu Lissu atakua Rais Bora kuwahi kutokea Tanzania, Mungu Tusaidie🙏

  • @FrancisChale-ks7gg
    @FrancisChale-ks7gg Před 15 dny +4

    Yuyu ndie yule mteule wa MUNGU tunayemtaka

  • @Laurentjulius-e7l
    @Laurentjulius-e7l Před 17 dny +4

    Ni ka mzozo
    Sema chadema wajipange ili waweze kupata viongozi wa ngazi za Chini kwasababu Hao hisaidia kwenye uchaguzi mkuu
    Naomba tujipange mapema kuwe na utaratib mzuli ili tuweze kufanikisha hili
    Kwa lissu mi Sina Shaka huyo ni TITAN

  • @obednyagani506
    @obednyagani506 Před 15 dny +1

    4:33 simba🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @EvaristKakokele
    @EvaristKakokele Před 17 dny +2

    Mh,rais anazungumza muda huu 24:10

  • @feruzmato4422
    @feruzmato4422 Před 14 dny +1

    Mheshimiwa tundulisu usipogombea uraisi sipigi kura

  • @eliasthomas1547
    @eliasthomas1547 Před 17 dny +6

    Tundu Antipas Mungwai lissu akili kubwa.

  • @user-cl7kd1pf6l
    @user-cl7kd1pf6l Před 17 dny +3

    Falhia Medley katika ubora wake, mwenyezi Mungu akulinde.

  • @SichivulaGevasi
    @SichivulaGevasi Před 17 dny +1

    Asante
    Mungu akulinde

  • @GeorgeMmbando-u4k
    @GeorgeMmbando-u4k Před 13 dny +1

    Tunaomba muda uongezwe ili tuweze kusikia mambo kwa upana

  • @eliasnganira7661
    @eliasnganira7661 Před 17 dny +2

    Farhahia mpige Tundu maswali magumu Ukiwaga hapo Farhahia napata burudani

  • @johnchoma2522
    @johnchoma2522 Před 17 dny +4

    Mahojiano mazuri sana na majibu mujarabu

  • @moabugervas-ki8ro
    @moabugervas-ki8ro Před 16 dny +2

    simba

  • @onesmolwambano9349
    @onesmolwambano9349 Před 17 dny +4

    Nchi seriously dogo alitakiwa kuhojiwa juu ya kumfata lissu kumpa pesa

  • @pidibegashe768
    @pidibegashe768 Před 17 dny +4

    Tundu ni namba nyingine kabisa kwenye taifa hili

  • @officialayubudaud5677
    @officialayubudaud5677 Před 10 dny

    Big brain leader ❤

  • @sammymdemeka7937
    @sammymdemeka7937 Před 17 dny +1

    Viva Democracy 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @paullutonja5904
    @paullutonja5904 Před 17 dny +1

    interview soft sana hii
    misuse of Lissu

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 Před 17 dny +3

    Tundu Antpas Lissu 🦁💪💪💪❤️

  • @raphaelkorio2435
    @raphaelkorio2435 Před 17 dny +1

    Simba mwenyewe😂😂😂

  • @SimoniJohn-j7m
    @SimoniJohn-j7m Před 16 dny +1

    Nimtu mhimu sana kwainchi Hi

  • @gangan4618
    @gangan4618 Před 11 dny +1

    Hongera, SIMBA WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR.

  • @YonaRajabu
    @YonaRajabu Před 17 dny +3

    Simba Kama simba

  • @user-ry8nx6zm9e
    @user-ry8nx6zm9e Před 17 dny +4

    Kumuhoji lisu inaitaji utulivu kma iliyokua nayo uyu Mtangazaji,Lisu yuko vizuri taifa linakuitaji sana!!

  • @malambaya850
    @malambaya850 Před 17 dny +3

    Hongera Tundu Lissu Raisi ujae Mungu akulinde daima

  • @Josephineexsuper
    @Josephineexsuper Před 17 dny +4

    Farhia ni mwandishi mwenye utulivu..nimependa jinsi anavyohoji na kumwachia nafasi ya kujibu na kutoa maelezo bila kuingilia majibu

  • @JosefuSwai
    @JosefuSwai Před 17 dny +4

    Simba umeongea ukweli mbowe ni kiboko Yao ndio mana Wanamwandama wanaitaka wapandikize mamuluki kwenye chama letu tuwe makini

  • @ignacekiwale7281
    @ignacekiwale7281 Před 17 dny +3

    Hakika Lisu anaufahamu wa kujieleza na kueleweka ...CHADEMA ni chama kilichojijenga na kuwa na HAZINA kubwa ya viongozi wenye ueledi❤

  • @josephmwita6012
    @josephmwita6012 Před 17 dny +3

    lissu mtu wa mungu mtu wa haki mtu wa sheria tanzania siku wa kijua hili hakika watakulinda kama mboni ya jicho very wise open ,,big political brain?!!?

  • @alexmahenge3817
    @alexmahenge3817 Před 17 dny +1

    Shida ya watangaziji wa Kibongo. Nikukosa kabisa Maarifa na ufanisi ktk kuuliza au kuhoji. Yaani maswali yaaale yaale aliyo ulizwa kwenye chombo kingine na hapa ni hayo hayo. Sasa kunahajagani ya hivi vipindi!? Kwanini mnashindwa hata kuuliza kisheria Tendo la yule aliye mfuata Mh Lisu kumhonga Lushwa kisheria anaweza kushitakiwa!? Au ile Siku angeamua Lisu kuita Police au Takukulu wamkamate pale kwa Lisu je lingeweza kua swala sahihi kisheria!?

  • @YohanaPetro-xv9tp
    @YohanaPetro-xv9tp Před 17 dny +4

    Vitu Ambavo Mama Samia Amepatia kwenye Vitu Vamsingi Niku Muita TUNDU LISU SIMBA Nani kweli LISU Ni SIMBA KWEL

  • @laupetpet7779
    @laupetpet7779 Před 17 dny +1

    TUNDULISU WEWE NI RAISI AJAE UNA AKALI NYINGI SANA....LIBARIKIWE TUMBO LILO KUZAA WEWE NI HAZINA YA TAIFA BILA LISU SIWEZI TENA KUSIKILIZA CHOCHOTE CHADEMA

  • @AbdallahHussein-of7wd
    @AbdallahHussein-of7wd Před 17 dny +2

    Nimekuelewa Sana kiongozi

  • @erickjosephat863
    @erickjosephat863 Před 17 dny +3

    CHADEMA ina vichwa ata angekua Heche nondo zingeshuka kama kawaida

  • @OnesphoryJKMboya
    @OnesphoryJKMboya Před 9 dny

    Hii Dunia ni mbaya sana, kama huyu dada walimzushia amefariki jmn,au sikumbuki ndg Zang!?
    Ila Huwa ni mzuri wa kuhoji sana dk 45

  • @StanleySewando-nb4xm
    @StanleySewando-nb4xm Před 17 dny +6

    Big brain

  • @hamidaally4815
    @hamidaally4815 Před 17 dny +2

    Asante makamu wetu,umetuwakilisha vema

  • @godsonmosi8428
    @godsonmosi8428 Před 17 dny +2

    Umeeleweka kiboko Lissu

  • @grationkato7658
    @grationkato7658 Před 17 dny +2

    Wanao sema simba siwaelewi

    • @jeunajuatv817
      @jeunajuatv817 Před 17 dny

      Samia alipokuwa kwenye tamasha la kizimkaz alitembelea band la maonyesho la simba mmoja mkorofi sana akauliza huyu simba ana jina hana akawaambia muiteni Tundu Lissu 😅😅

    • @obednyagani506
      @obednyagani506 Před 15 dny

      Tundu ni Simba diamond Simba jike

  • @petermasanilo732
    @petermasanilo732 Před 17 dny

    Safi bhabha Nshimba

  • @brycesonmwamengo1976
    @brycesonmwamengo1976 Před 9 dny

    Tatizo la watanzania watu wasio na uelewa hawatasikiliza kwani wataona hastahili kusikizwa kwa vile wamezoea kudanganya na kupakwa mafuta na kuimbiwa mapambio!

  • @godfreyfrancis1013
    @godfreyfrancis1013 Před 17 dny

  • @MwesigeMwesige
    @MwesigeMwesige Před 17 dny +3

    Uyundolaisi wawatanganyika

  • @muchunguzibilaurikamugisha3067

    Mtangazaji 100%

  • @FrankEdson-l2o
    @FrankEdson-l2o Před 17 dny

    Safi sana unajielewa sana, Mbowe anahongwa atawauza, ukweli ndio huo kama wanaongea tu midomon kwenye matendo hakuna, ona mamaenu anaimba malidhiano halafu huyo huyo anawafunga.

  • @DaudMachenya
    @DaudMachenya Před 17 dny

    Mheshimiwa we somo hapa inchini?

  • @Zwangendaba97
    @Zwangendaba97 Před 17 dny +2

    yule jamaa wa Star tv aje ajifunze kufanya interview apa

    • @richardnganya2311
      @richardnganya2311 Před 17 dny +1

      Yule wa Star TV ni mwoga ni kama mamluki au asiyejiamini

  • @IsayaSosolo-nx8zk
    @IsayaSosolo-nx8zk Před 17 dny

    Itv sasa aitwe Mama chakubimbi huyo aje hapo!