MBWADUKE: SIMBA MOTO! YAJA KWA KASI IKIUA 4-0 KWA MAPIGO YALIYOIPA UBINGWA 2017/18/ BALUA, AHOUA...
Vložit
- čas přidán 12. 09. 2024
- Usisahau ku-subscribe, ku-comment na ku-like...
KUMRADHI
Kuna tatizo la kiufundi la kukata sauti katika sekunde chache tu za kuanzia: 00:1:45 hadi 00:1:55. Hivyo unaweza kuruka kipande hicho kifupi sana. Ahsante kwa kuendelea kutuunga mkono
By Mhariri - MBWADUKE STATS "Spoti Next Level"
Wewe unafaa upewe kua mwalimu wa wachambuzi ❤❤❤❤ love you Simba
upo vizuri sana kaka angu inabidi ufungue shule ya uchambuzi
Big up Ramadhani Mwaduke baba lao wachambuzi wa soka. Si bure wamekupa jana la MZEE WA DATA. Hakuna asiejua umuhimu na nguvu ya data katika chambuzi za kitaalam. Please go on to furnish us the necessary info to accomplish our goals.
Licha yaumbuzi mzuri upo utulivu mkubwa San kitu ambacho kina mpfanya yeyote kuelewa kinachoz ungumzwa hongera San kaka❤❤
Nakupendaaa hakika naitamani.sanaa elimu yako wewe ni mwalimu wachuo cha mpila
Big up brooooo
Unajua sana kuchambua mpira
Style ya mwaduke ni pekee saana ...bonge la analyst 🎉🎉
Bro uko vizur sana,achana na hao wachambuzi wa mchongo
Nakupend bure My brother 👏👏👏🙏
UPO VZR SANA MBWADUKE WEWE KWA UCHAMBUZI UPO BORA SANA
Unachambua vzur sana kaka
Nakukubali mkuu 🙌🔥🙌
Bro❤
Mukuuu ukovizuri❤ nakubalii
Uko vzr Mzee wa takwimu
Wachambuz wakiwa kama wewe ni raha sana 🎉🎉
❤❤❤❤❤
Big up brow
❤
Good analyst brother
Appreciated
Fact fact and real
Fanya uwe unasifia simba tu mambo ya utopolo hatutaki
Simba bingwa⚽⚽
Unatisha mzee
Uyu ndie mchambuzi bora.hata mimi nilikua natazama mpira na nimeona timu inacheza vizuri. afu utakuta wachambuzi wa mchongo ho timu imeshinda tu sababu imecheza na timu zaifu na wao nanaoshinda na wachezazi 8 eti wanajua mpira. Sasa nyie ni wachambuz au washabiki wa uto
Data juu yadata
Wew ni professor wa uchambuzi wachambuzi wengine ovyo kabisa
Simba nguvu moja
🦁🦁🦁🦁🦁
❤❤❤❤
Hua ninaangalia uchambuz wako hua unaenda na uhalisia bila ya kua na element ya ushabiki wa timu yoyote
Wewe SIO WA mchongo km wachambuzi wengine
💪🏽💪🏽⚽
Mkuu saut leo tatzo hausikiki
Pole sana Mkuu. Ila tatizo hilo la kutosikika sauti lipo katika sehemu ndogo ya kuanzia: 00:1:45 hadi 00:1:55. Hivyo unaweza kuruka kipande hicho. Ahsante sana kwa kuendelea kutuunga mkono
By Mhariri - MBWADUKE STATS "Spoti Next Level"
Ubaya ubwela
Unajua sana kuchambua mpira
Nimeipata hiyo
❤