MBWADUKE: SIMBA MOTO! YAJA KWA KASI IKIUA 4-0 KWA MAPIGO YALIYOIPA UBINGWA 2017/18/ BALUA, AHOUA...

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • Usisahau ku-subscribe, ku-comment na ku-like...
    KUMRADHI
    Kuna tatizo la kiufundi la kukata sauti katika sekunde chache tu za kuanzia: 00:1:45 hadi 00:1:55. Hivyo unaweza kuruka kipande hicho kifupi sana. Ahsante kwa kuendelea kutuunga mkono
    By Mhariri - MBWADUKE STATS "Spoti Next Level"

Komentáře • 43

  • @menaurukivuyo6796
    @menaurukivuyo6796 Před 18 dny +8

    Wewe unafaa upewe kua mwalimu wa wachambuzi ❤❤❤❤ love you Simba

  • @ExcitedBlini-pr8lg
    @ExcitedBlini-pr8lg Před 18 dny +2

    upo vizuri sana kaka angu inabidi ufungue shule ya uchambuzi

  • @ezrommoshi9409
    @ezrommoshi9409 Před 17 dny

    Big up Ramadhani Mwaduke baba lao wachambuzi wa soka. Si bure wamekupa jana la MZEE WA DATA. Hakuna asiejua umuhimu na nguvu ya data katika chambuzi za kitaalam. Please go on to furnish us the necessary info to accomplish our goals.

  • @GeorgeNikodemo
    @GeorgeNikodemo Před 17 dny

    Licha yaumbuzi mzuri upo utulivu mkubwa San kitu ambacho kina mpfanya yeyote kuelewa kinachoz ungumzwa hongera San kaka❤❤

  • @kijiwenikijiweni9118
    @kijiwenikijiweni9118 Před 17 dny

    Nakupendaaa hakika naitamani.sanaa elimu yako wewe ni mwalimu wachuo cha mpila

  • @mgishaeugene4024
    @mgishaeugene4024 Před 16 dny

    Big up brooooo

  • @user-gz2or2ui9n
    @user-gz2or2ui9n Před 17 dny

    Unajua sana kuchambua mpira

  • @amidulyuma1833
    @amidulyuma1833 Před 18 dny

    Style ya mwaduke ni pekee saana ...bonge la analyst 🎉🎉

  • @VictorRoman-z9p
    @VictorRoman-z9p Před 18 dny

    Bro uko vizur sana,achana na hao wachambuzi wa mchongo

  • @AletasMbawala-si5kj
    @AletasMbawala-si5kj Před 17 dny

    Nakupend bure My brother 👏👏👏🙏

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Před 18 dny

    UPO VZR SANA MBWADUKE WEWE KWA UCHAMBUZI UPO BORA SANA

  • @zeshaliustz
    @zeshaliustz Před 18 dny +1

    Unachambua vzur sana kaka

  • @benjo_brighter
    @benjo_brighter Před 17 dny

    Nakukubali mkuu 🙌🔥🙌

  • @GymrodyKhazuba
    @GymrodyKhazuba Před 17 dny

    Bro❤

  • @nelykaaya6503
    @nelykaaya6503 Před 18 dny

    Mukuuu ukovizuri❤ nakubalii

  • @FelixLeonard-zg7yp
    @FelixLeonard-zg7yp Před 18 dny

    Uko vzr Mzee wa takwimu

  • @sevelintino6181
    @sevelintino6181 Před 18 dny

    Wachambuz wakiwa kama wewe ni raha sana 🎉🎉

  • @user-lv6xv6nf5j
    @user-lv6xv6nf5j Před 15 dny

    ❤❤❤❤❤

  • @MabulaSaka
    @MabulaSaka Před 18 dny

    Big up brow

  • @BarakaMwaikenda-ty1bt
    @BarakaMwaikenda-ty1bt Před 17 dny

  • @MaulidMzaina
    @MaulidMzaina Před 18 dny +1

    Good analyst brother

  • @emanuelkivuyo2905
    @emanuelkivuyo2905 Před 18 dny

    Fact fact and real

  • @MeriMari-ol3ii
    @MeriMari-ol3ii Před 17 dny

    Fanya uwe unasifia simba tu mambo ya utopolo hatutaki

  • @AyubuKash
    @AyubuKash Před 18 dny

    Simba bingwa⚽⚽

  • @LugoraSomile-l4m
    @LugoraSomile-l4m Před 18 dny

    Unatisha mzee

  • @MkaliZuberi-rt3gb
    @MkaliZuberi-rt3gb Před 18 dny

    Uyu ndie mchambuzi bora.hata mimi nilikua natazama mpira na nimeona timu inacheza vizuri. afu utakuta wachambuzi wa mchongo ho timu imeshinda tu sababu imecheza na timu zaifu na wao nanaoshinda na wachezazi 8 eti wanajua mpira. Sasa nyie ni wachambuz au washabiki wa uto

  • @JumaLulanje
    @JumaLulanje Před 18 dny

    Data juu yadata

  • @AnnaKomba-nn2wu
    @AnnaKomba-nn2wu Před 17 dny

    Wew ni professor wa uchambuzi wachambuzi wengine ovyo kabisa

  • @HospiaceMata
    @HospiaceMata Před 18 dny

    Simba nguvu moja

  • @user-ne6bp7lo3q
    @user-ne6bp7lo3q Před 18 dny

    🦁🦁🦁🦁🦁

  • @MusaMkembela-ex6ev
    @MusaMkembela-ex6ev Před 18 dny

    ❤❤❤❤

  • @RevocatusKambimbaya
    @RevocatusKambimbaya Před 17 dny

    Hua ninaangalia uchambuz wako hua unaenda na uhalisia bila ya kua na element ya ushabiki wa timu yoyote

  • @MwalimOthman
    @MwalimOthman Před 18 dny

    Wewe SIO WA mchongo km wachambuzi wengine

  • @sulejmandj7582
    @sulejmandj7582 Před 18 dny

    💪🏽💪🏽⚽

  • @afidhalkatani4975
    @afidhalkatani4975 Před 18 dny

    Mkuu saut leo tatzo hausikiki

    • @MbwadukeStats
      @MbwadukeStats  Před 18 dny +2

      Pole sana Mkuu. Ila tatizo hilo la kutosikika sauti lipo katika sehemu ndogo ya kuanzia: 00:1:45 hadi 00:1:55. Hivyo unaweza kuruka kipande hicho. Ahsante sana kwa kuendelea kutuunga mkono
      By Mhariri - MBWADUKE STATS "Spoti Next Level"

  • @happykulanga6696
    @happykulanga6696 Před 18 dny

    Ubaya ubwela

  • @user-gz2or2ui9n
    @user-gz2or2ui9n Před 17 dny

    Unajua sana kuchambua mpira

  • @tuddyboe
    @tuddyboe Před 18 dny

    Nimeipata hiyo

  • @finiasmaengela2996
    @finiasmaengela2996 Před 18 dny