Yanga yatua Afrika Kusini, yakutana na wapinzani wao Augsburg

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • “Mmekuja mmependeza lakini mnakuja kucheza na Yanga” maneno ya Meneja Habari na Mawasiliano wa Yanga SC, Ally Kamwe akielezea maneno aliyowaambia Augsburg baada ya kukutana nao uwanja wa ndege nchini Afrika Kusini.
    Kamwe pia amesema mechi ya Ngao ya Jamii dhidi ya Simba SC, ni mechi ya kwenda kuwashona midomo.
    Yanga ipo Afrika Kusini kwa ajili ya mashindano ya Mpumalanga Premier’s International Cup 2024 na Toyota Cup.
    Julai 20, Yanga itacheza dhidi ya Augsburg kwenye Mpumalanga Premier’s International Cup 2024,
    #YangaSC #Augsburg

Komentáře • 137

  • @user-iu2cm5um6e
    @user-iu2cm5um6e Před měsícem +6

    Asante baba kwa wema wako,twakuomba uwapatie wanayanga ulinzi wako mzazi mtakatifu popote pale walipo, kawalinda na kuwasimamia uko waliko, twakukabidi kwako baba aminaaaaaaaaa

  • @AdrianJeremiah-j6c
    @AdrianJeremiah-j6c Před měsícem +3

    Ally wewe ndio maana ukawa semaji la timu yetu pendwa Mungu akubariki kaka.

  • @KELVINBOKILE
    @KELVINBOKILE Před měsícem +2

    Kila la heri wananchiiii👍🔥

  • @PastorChuwa
    @PastorChuwa Před měsícem +4

    simba kazi wanayo atakama wangesajuli yanga atujali

  • @dominamushi7171
    @dominamushi7171 Před měsícem +1

    Mungu ibariki yanga 💚🧡💛

  • @christianjohnmwalugaja8090
    @christianjohnmwalugaja8090 Před měsícem +1

    Ally waelezeni hao wachezaji wetu hiyo timu ya ujerumani ni nzuri sana. Hivyo, wawe wepesi na makini na Moto huo wake nao kwenye Ngao ya Jamii

  • @abubakarjuma443
    @abubakarjuma443 Před měsícem +3

    Mungu wetu sote Wacha inyeshe

  • @user-bl6rd4pq4k
    @user-bl6rd4pq4k Před měsícem

    Msemaji tupe raha baba jitahidi kuyafunika yanyuma urudi kwenye uhalisia wako kiongozi tunalikumbuka TABASAMU lako💛💚💚💛💚

  • @Masengo-su3mf
    @Masengo-su3mf Před měsícem +1

    Mungu awatiye nguvu ushindi lazima majembe daima mbele nyuma mwiko

  • @francepaul7711
    @francepaul7711 Před měsícem +2

    Mwenyekiti 🙌🙌🙌🙌

  • @NtibankizaDismas
    @NtibankizaDismas Před měsícem +1

    Hongera chama langu kutua kwa madiba.

  • @lesikalemunaya
    @lesikalemunaya Před měsícem +4

    samahan ndugu yangu naomba wambie kina ali wafanye juu chini wazindue jersey huko south Africa please

    • @SalimAl-mahrooqi
      @SalimAl-mahrooqi Před měsícem +1

      Yanga tutaechapa mbao vibaya mnoo wataona. Ali kaa tayari tuombe Allah siku efike tunakifunga

    • @Dully_star
      @Dully_star Před měsícem

      Kwan kwenu mpaka mkaweke nuksi nchi za watu😂😂😂

  • @monicalucas3738
    @monicalucas3738 Před měsícem +1

    Big Brain msemaji 🎉🎉🎉🎉

  • @JumaAhmada
    @JumaAhmada Před měsícem +1

    YANGA. BIG. UP

  • @linnahcasmir5275
    @linnahcasmir5275 Před měsícem +1

    Gonga like km unamuona msemaji wetu Hana Raha kivilee km tulivyomzoea 💚💛Ila magoma magoma tutakunyooshaa mshenz yulee 🔥🔥🔥👈🏃 anamfanya msemaji acwe kweny ubora wake

  • @FesterSibain
    @FesterSibain Před měsícem +1

    Pole na safari wananchi

  • @marcobulili4341
    @marcobulili4341 Před měsícem +1

    Hao mashabiki wapeni jezi mpya kwani wanawapenda sana wananchi, Itapendeza!

  • @eliateacher3241
    @eliateacher3241 Před měsícem +1

    Ali kamwe kumbe ni simba dah mzee magoma noma

  • @eduardogodian6861
    @eduardogodian6861 Před měsícem

    Club above All,,Viva Yanga

  • @user-ij6sh9mj7n
    @user-ij6sh9mj7n Před měsícem +2

    Yanga oeeeeeeee

  • @mariajames5558
    @mariajames5558 Před měsícem +1

    💚💚💚 yanga

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l Před měsícem +4

    RECORD HII YANGA WANAIWEKA TENA KWA MARA YA KWANZA TIMU TOKA TZ INAKUWA NA MATAWI NJE YA NCHI KAMA S.AFRIKA,CONGO.RWANDA.
    MIKIA IGENI NA MJIFUNZE SIO DHAMBI

  • @akrajackson854
    @akrajackson854 Před měsícem +1

    Zindueni jersey mechi ya KAIZER CHIEF....!!

  • @MakondaSittandalahwa
    @MakondaSittandalahwa Před měsícem

    🎉🎉🎉❤❤❤❤❤nampenda sn pakome

  • @Brince-ls6pv
    @Brince-ls6pv Před měsícem +2

    Hasanati hauna account ya Twitter

  • @mussamoshi7868
    @mussamoshi7868 Před měsícem +1

    Simba Wana warubun wachezaj wa Tim ndogo tyuu

  • @anithqpaul3923
    @anithqpaul3923 Před měsícem +1

    Namipia sijamuona paccome amoja na bareke

  • @othumanally4529
    @othumanally4529 Před měsícem

    Yanga....Yanga..... pigeni pira babu kubwa sisi tuko nyuma yenu always.

  • @user-yy3fd1cn7w
    @user-yy3fd1cn7w Před měsícem +1

    Wanacheza xaa ngap

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h Před měsícem +2

    Pacome amentoa nywele, inawezekana yupo au ataongozana na baadhi ya viongozi maana hata Herse simwoni.

    • @IssaTamba-qh1gi
      @IssaTamba-qh1gi Před měsícem

      Yuko na baleke kwa hiyo video haiwezi kwenda hewani

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 Před měsícem +1

    Makasiriko Fc endeleeni kubwana,mtapigwa 11Yanga sio level yenu😂

  • @StevenKapugi
    @StevenKapugi Před měsícem +1

    Mingu mwemaaaa

  • @fahadrashid9754
    @fahadrashid9754 Před měsícem

    Nimeskia duke abuya

  • @StevenKapugi
    @StevenKapugi Před měsícem +1

    Hiyo jens ya kitambo

  • @TabiaMwaisumo-ss7pz
    @TabiaMwaisumo-ss7pz Před měsícem

    💚💛💚💛💚💛💚💛

  • @ErastoMeela
    @ErastoMeela Před měsícem

    Y chama first

  • @masharifusharifu476
    @masharifusharifu476 Před měsícem +3

    JAMANI HIZO TISHETI ZIRUDIWE UMEZIKUBALI SANAAAAA

  • @mussamoshi7868
    @mussamoshi7868 Před měsícem +1

    Makoloo Wana Hali ngum

  • @PetroAnatory-u3g
    @PetroAnatory-u3g Před měsícem

    Jamani mechi saa ngapi kesho

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h Před měsícem

    Simba alifungwa na savrra bao 3 dk 8 za mwisho na mchezaji wao salamba aliwaomba viatu wazungu.

  • @MohamediSleyum
    @MohamediSleyum Před měsícem +1

    Mi sijamuona Pacome

  • @user-po8hz7xw9j
    @user-po8hz7xw9j Před měsícem

    Pale club na hizi zipo mimi mwenyewe nazitaka tena ilə yakijani

  • @priscamboya3091
    @priscamboya3091 Před měsícem +2

    Kama kunamtu anaona semaji letu halina mvuto kwann anamsikiliza..kamsikilizeni magoma wenu mnae msapot ujinga wake mtuachie msemaji wetu ajidai anakila sababu ya kujimwaga mana Hana mpinzani Kwa msemaji yeyote TZ

  • @eliakibona8959
    @eliakibona8959 Před měsícem

    😂😅😅 Yanga ni tim bwana. Kazi iendeleee.

  • @SlyvesterLeonard-zk9fs
    @SlyvesterLeonard-zk9fs Před měsícem +1

    Mbona Aly kamwe amepowa sana

  • @EssauGabriel-fy8pu
    @EssauGabriel-fy8pu Před měsícem

    Anza na kaizer,,, hiyo ya ujerumani yenyewe tunajua ni mazoezi afu uje upakatwe na mapopo wa mnyama

  • @johnpetro378
    @johnpetro378 Před měsícem +2

    Simuoni pacome zizu why

  • @VoiceLions-xu7uf
    @VoiceLions-xu7uf Před měsícem

    Jamani kwanini plofesa pakome hajaenda

  • @chollejr_
    @chollejr_ Před měsícem +1

    Mzee wa unyo Kwa unyo vp bhanaaaa

  • @MwanahamisiHabibu-c8v
    @MwanahamisiHabibu-c8v Před měsícem +1

    🎉

  • @MirfatyRasheed
    @MirfatyRasheed Před měsícem

    Kumbe nanyie mnaifatilia yanga ndo maana mnaiangalia

  • @jumamarco-mh1hg
    @jumamarco-mh1hg Před měsícem

    bonge la mechi

  • @begumisachristopher4697
    @begumisachristopher4697 Před měsícem

    Umakolo sawa

  • @chollejr_
    @chollejr_ Před měsícem +1

    Mbona shangwee na kipigo😂😂😂😂

  • @EmmanuelMihangwa
    @EmmanuelMihangwa Před měsícem

    Ali kabwe unaongea kweli kabisa yanga no timu kubwa Sana no wakimataifa leo hao makolotu

  • @EssauGabriel-fy8pu
    @EssauGabriel-fy8pu Před měsícem

    Kichwa kinazidi mwili.

  • @rebmannminja3671
    @rebmannminja3671 Před měsícem

    Labda refer atakayechezesha tarehe 08 naye atakataa magoli ya Young Africans

  • @Daudipita
    @Daudipita Před měsícem

    Usindi lazima

  • @gabrielmchau8764
    @gabrielmchau8764 Před měsícem

    Ushindi muhimu

  • @omarympangwe
    @omarympangwe Před měsícem +2

    Pakome je

  • @salehwaziri5062
    @salehwaziri5062 Před měsícem

    AZAM mtatuonyesha mechiii?

  • @StevenMianje
    @StevenMianje Před měsícem

    Waache wajizuuke na magoma hao simba tarehe 8 watakula 8

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 Před měsícem

    Debora fc msilete timu

  • @AstaricoMwita
    @AstaricoMwita Před měsícem +1

    Haitotokea nishabikie utopolo 🤣

  • @BOSCOBALAGOMWA-di4ml
    @BOSCOBALAGOMWA-di4ml Před měsícem +1

    Hata Mimi sijamuona pacome sijui tatizo ni nini

  • @MkuchiThedoni
    @MkuchiThedoni Před měsícem

    Ujerumani umeyakanyaga nenda kabla ya yote mshilikishe na England ndo ukabe

  • @Hapygideon
    @Hapygideon Před měsícem

    Wachezaji wengi hawajasafiri

  • @MtashobyaJosia-wt9jq
    @MtashobyaJosia-wt9jq Před měsícem

    tunashuru mugu mmefika sarama tuko pamoja mpaka mwisho

  • @MirfatyRasheed
    @MirfatyRasheed Před měsícem

    Ww ni Simba yanga inakuuma nini

  • @HamediKiza
    @HamediKiza Před měsícem

    *

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 Před měsícem

    Ukishakuwa Mkubwa unafanya mamabo ya kikubwa na kutarajia makubwa sanaa,Simba mtappigwa 11mwaka huuu😂😂😂😂

  • @RashidiAhmad-ow5fb
    @RashidiAhmad-ow5fb Před měsícem

    Sisi na ausbug tunacheza mashindano nyie na sevila ilikuwa mechi ya wapenda nao tu kaeni kwa kutulia makolo

  • @alexmottielitetv361
    @alexmottielitetv361 Před měsícem +1

    Sevilla

    • @goldmansun5859
      @goldmansun5859 Před měsícem

      Sevilla walikuja kutalii man,yanga imealikwa na ni michuano hyo, kuna kombe hapo,na team zinazoshirik ni yanga waalikwa, mamelod sundown,mdogo wake Bayern Munich(osburg) Na team moja imenitoka, kisha itashiriki michuano mwingine nao una kombe dhidi ya keizer
      Hii michuano usifananishe na simba watu wamekuja kutalii mkawaomba mazoez

  • @mohamedrashidi4172
    @mohamedrashidi4172 Před měsícem

    We ni Koro sana tena San unaongea hujielew kbx huna akili ww😊

  • @wilfredlucas-nf6yo
    @wilfredlucas-nf6yo Před měsícem

    Angalia usije wewe ndo ukashonwa mdomo

  • @unjuboy
    @unjuboy Před měsícem

    Mchezo mwema

  • @EssauGabriel-fy8pu
    @EssauGabriel-fy8pu Před měsícem

    Acha ujinga wewe msemo wakukanda uliuleta wewe afu kibu akakukanda, ngao ya jamii ukakandwa timu ukiwa bora sana ila uliambulia kikandwo,

  • @elizabethkalinga0822
    @elizabethkalinga0822 Před měsícem

    NDIYOOOOOOOO MSEMAJI, TAREHE 8/8/2024 HAKUNA MBAMBAMBA, TENA JUMA MAGOMA AWE UPANDE WAO, WAJEE WAMEVALIA JERSEY ZAO NYEKUNDU ( DANGER )

  • @bernardjohn8788
    @bernardjohn8788 Před měsícem +2

    Mbona mmemwacha mwenye timu yake Mzee Magoma?

    • @elizabethkalinga0822
      @elizabethkalinga0822 Před měsícem +1

      Hajaenda kupokea Fungus za Ofisi, mwanaye anamtafuta hamuoni,

    • @Abuu-gs1yi
      @Abuu-gs1yi Před měsícem

      Yupo na Deborah

    • @user-fm2pw7il4l
      @user-fm2pw7il4l Před měsícem

      Nenda kamchukuwe umpeke misili kolokwinyooooo wewe kimy 😊😊😊😊😊

  • @abduljabal2532
    @abduljabal2532 Před měsícem

    Hivi sisi yanga na ujerumani tutacheza saa ngapi?

    • @ahmednoor1412
      @ahmednoor1412 Před měsícem

      SAA 10 jioni azam live

    • @EssauGabriel-fy8pu
      @EssauGabriel-fy8pu Před měsícem

      Orlando yeye kamukanda sevilla goli mbili

    • @SebastianDaniel-mb4nl
      @SebastianDaniel-mb4nl Před měsícem

      ​@@ahmednoor1412tareh ngap kaka

    • @ahmednoor1412
      @ahmednoor1412 Před měsícem

      @@SebastianDaniel-mb4nl kesho tar 20/7/2024 SAA 10 jioni azam sports na wameshatangaza wataonesha hata ile ya tar 28 wataonesha pia Toyota cup dhidi ya kaizer chief

  • @petercostakisoka
    @petercostakisoka Před měsícem

    Acha mkwaraa unaweza siku iyo ukakimbia wandishi wa habari

  • @ZachariaMwita-bu7rw
    @ZachariaMwita-bu7rw Před měsícem

    Huyu cjui msemaj sjui shabk wa utopolo hanag hata mvuto wa kumckiliza😂

  • @MaarufuAmani-bq6qc
    @MaarufuAmani-bq6qc Před měsícem +22

    Kama nawew hujamuona paccome gonga like

  • @AbdulMaulid-mq6mf
    @AbdulMaulid-mq6mf Před měsícem +1

    Utashonaje nani Asa ebu ongea vitu vyakueleweka acha ujinga ww

  • @muhamedjaffar5653
    @muhamedjaffar5653 Před měsícem

    Ana anlolijua mtoto mdogo facts gani unaongea.magoma kiboko yenu.msipotoa rushwa ngoma ngumu.wapigaj wakubwa .ubaya ubwela safar hiii

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 Před měsícem +2

    Tuone kama ataacha kuitaja simba

    • @christianjohnmwalugaja8090
      @christianjohnmwalugaja8090 Před měsícem +1

      Si mwandishi amemchokoza inategemea nini?

    • @ibrahimsarai9638
      @ibrahimsarai9638 Před měsícem +1

      Sasa mtu ameulizwa kuhusu Simba asijbu

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Před měsícem +2

      Km wewe ulivyotulia kumsikiliza habar nzuri za yanga 😂😂😂

    • @SalimAl-mahrooqi
      @SalimAl-mahrooqi Před měsícem +1

      Hawazi lazima ataje simba. Lakini tuombe Allah siku efike hiyu tarehe 8

    • @zakiakondo2849
      @zakiakondo2849 Před měsícem +1

      Kwani wewe umeitwa mbona uko hapa na haikuhusu

  • @petercostakisoka
    @petercostakisoka Před měsícem

    Hahahahaha unajisaulisha mnyama sevilla na cska Moscow

    • @goldmansun5859
      @goldmansun5859 Před měsícem

      Sevilla walikuj kutalii, yanga imealikwa kweny michuano yeny kombe, ina osburg, yanga, mamelod na team lusben ka sikosei, kuna kombe hapo
      Then itashiriki michuano mingine dhid ya keizer, nako pia kuna kombe
      Simba haijawah hii kitu kutokea babu

  • @muhamedjaffar5653
    @muhamedjaffar5653 Před měsícem

    Hhhhhh simba ilishacheza na csk moscova..sevila

    • @goldmansun5859
      @goldmansun5859 Před měsícem

      Walikuja kutembea, ila yanga imealikwa br,tofautisha imealikwa na ni mashindano kuna kombe hapo, siyo mechi za watu wanapita wanaenda kutalii

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 Před měsícem

    Augustburg timu ndogo Simba imecheza na sevila sports itakuwa hao vibonde wa ujerumani