Yanga yatua Afrika Kusini, yakutana na wapinzani wao Augsburg
Vložit
- čas přidán 12. 09. 2024
- “Mmekuja mmependeza lakini mnakuja kucheza na Yanga” maneno ya Meneja Habari na Mawasiliano wa Yanga SC, Ally Kamwe akielezea maneno aliyowaambia Augsburg baada ya kukutana nao uwanja wa ndege nchini Afrika Kusini.
Kamwe pia amesema mechi ya Ngao ya Jamii dhidi ya Simba SC, ni mechi ya kwenda kuwashona midomo.
Yanga ipo Afrika Kusini kwa ajili ya mashindano ya Mpumalanga Premier’s International Cup 2024 na Toyota Cup.
Julai 20, Yanga itacheza dhidi ya Augsburg kwenye Mpumalanga Premier’s International Cup 2024,
#YangaSC #Augsburg
Asante baba kwa wema wako,twakuomba uwapatie wanayanga ulinzi wako mzazi mtakatifu popote pale walipo, kawalinda na kuwasimamia uko waliko, twakukabidi kwako baba aminaaaaaaaaa
Amen
Ally wewe ndio maana ukawa semaji la timu yetu pendwa Mungu akubariki kaka.
Kila la heri wananchiiii👍🔥
simba kazi wanayo atakama wangesajuli yanga atujali
Mungu ibariki yanga 💚🧡💛
Ally waelezeni hao wachezaji wetu hiyo timu ya ujerumani ni nzuri sana. Hivyo, wawe wepesi na makini na Moto huo wake nao kwenye Ngao ya Jamii
Mungu wetu sote Wacha inyeshe
Msemaji tupe raha baba jitahidi kuyafunika yanyuma urudi kwenye uhalisia wako kiongozi tunalikumbuka TABASAMU lako💛💚💚💛💚
Mungu awatiye nguvu ushindi lazima majembe daima mbele nyuma mwiko
Mwenyekiti 🙌🙌🙌🙌
Hongera chama langu kutua kwa madiba.
samahan ndugu yangu naomba wambie kina ali wafanye juu chini wazindue jersey huko south Africa please
Yanga tutaechapa mbao vibaya mnoo wataona. Ali kaa tayari tuombe Allah siku efike tunakifunga
Kwan kwenu mpaka mkaweke nuksi nchi za watu😂😂😂
Big Brain msemaji 🎉🎉🎉🎉
YANGA. BIG. UP
Gonga like km unamuona msemaji wetu Hana Raha kivilee km tulivyomzoea 💚💛Ila magoma magoma tutakunyooshaa mshenz yulee 🔥🔥🔥👈🏃 anamfanya msemaji acwe kweny ubora wake
Pole na safari wananchi
Hao mashabiki wapeni jezi mpya kwani wanawapenda sana wananchi, Itapendeza!
Ali kamwe kumbe ni simba dah mzee magoma noma
Club above All,,Viva Yanga
Yanga oeeeeeeee
💚💚💚 yanga
RECORD HII YANGA WANAIWEKA TENA KWA MARA YA KWANZA TIMU TOKA TZ INAKUWA NA MATAWI NJE YA NCHI KAMA S.AFRIKA,CONGO.RWANDA.
MIKIA IGENI NA MJIFUNZE SIO DHAMBI
Zindueni jersey mechi ya KAIZER CHIEF....!!
🎉🎉🎉❤❤❤❤❤nampenda sn pakome
Hasanati hauna account ya Twitter
Simba Wana warubun wachezaj wa Tim ndogo tyuu
Namipia sijamuona paccome amoja na bareke
Yanga....Yanga..... pigeni pira babu kubwa sisi tuko nyuma yenu always.
Wanacheza xaa ngap
Wanacheza saa 10
Pacome amentoa nywele, inawezekana yupo au ataongozana na baadhi ya viongozi maana hata Herse simwoni.
Yuko na baleke kwa hiyo video haiwezi kwenda hewani
Makasiriko Fc endeleeni kubwana,mtapigwa 11Yanga sio level yenu😂
Mingu mwemaaaa
Nimeskia duke abuya
Hiyo jens ya kitambo
💚💛💚💛💚💛💚💛
Y chama first
JAMANI HIZO TISHETI ZIRUDIWE UMEZIKUBALI SANAAAAA
Makoloo Wana Hali ngum
Tuna WA chapa yanga mpaka watalia uwanjani
Jamani mechi saa ngapi kesho
Simba alifungwa na savrra bao 3 dk 8 za mwisho na mchezaji wao salamba aliwaomba viatu wazungu.
Mi sijamuona Pacome
Pale club na hizi zipo mimi mwenyewe nazitaka tena ilə yakijani
Kama kunamtu anaona semaji letu halina mvuto kwann anamsikiliza..kamsikilizeni magoma wenu mnae msapot ujinga wake mtuachie msemaji wetu ajidai anakila sababu ya kujimwaga mana Hana mpinzani Kwa msemaji yeyote TZ
😂😅😅 Yanga ni tim bwana. Kazi iendeleee.
Mbona Aly kamwe amepowa sana
Anza na kaizer,,, hiyo ya ujerumani yenyewe tunajua ni mazoezi afu uje upakatwe na mapopo wa mnyama
Simuoni pacome zizu why
Nenda kwenye app
Jamani kwanini plofesa pakome hajaenda
Mzee wa unyo Kwa unyo vp bhanaaaa
🎉
Kumbe nanyie mnaifatilia yanga ndo maana mnaiangalia
bonge la mechi
Umakolo sawa
Mbona shangwee na kipigo😂😂😂😂
Pita huku
@@Abuu-gs1yi kufanyaj
Ali kabwe unaongea kweli kabisa yanga no timu kubwa Sana no wakimataifa leo hao makolotu
Kichwa kinazidi mwili.
Labda refer atakayechezesha tarehe 08 naye atakataa magoli ya Young Africans
Usindi lazima
Ushindi muhimu
Pakome je
Pita kwenye app
AZAM mtatuonyesha mechiii?
Waache wajizuuke na magoma hao simba tarehe 8 watakula 8
Debora fc msilete timu
Haitotokea nishabikie utopolo 🤣
Kwani wamekuomba?
Peleka usuKUMA wako uko umeombwa
Hata Mimi sijamuona pacome sijui tatizo ni nini
Nenda app
Nenda kwenye app
Ujerumani umeyakanyaga nenda kabla ya yote mshilikishe na England ndo ukabe
Wachezaji wengi hawajasafiri
tunashuru mugu mmefika sarama tuko pamoja mpaka mwisho
Ww ni Simba yanga inakuuma nini
*
Ukishakuwa Mkubwa unafanya mamabo ya kikubwa na kutarajia makubwa sanaa,Simba mtappigwa 11mwaka huuu😂😂😂😂
Si ukubwa tuliupata zamani nyie ndo leo
Sisi na ausbug tunacheza mashindano nyie na sevila ilikuwa mechi ya wapenda nao tu kaeni kwa kutulia makolo
Albu njema
Sevilla
Sevilla walikuja kutalii man,yanga imealikwa na ni michuano hyo, kuna kombe hapo,na team zinazoshirik ni yanga waalikwa, mamelod sundown,mdogo wake Bayern Munich(osburg) Na team moja imenitoka, kisha itashiriki michuano mwingine nao una kombe dhidi ya keizer
Hii michuano usifananishe na simba watu wamekuja kutalii mkawaomba mazoez
We ni Koro sana tena San unaongea hujielew kbx huna akili ww😊
😂😂 punguza miemko bs 😂
Angalia usije wewe ndo ukashonwa mdomo
Mchezo mwema
Acha ujinga wewe msemo wakukanda uliuleta wewe afu kibu akakukanda, ngao ya jamii ukakandwa timu ukiwa bora sana ila uliambulia kikandwo,
NDIYOOOOOOOO MSEMAJI, TAREHE 8/8/2024 HAKUNA MBAMBAMBA, TENA JUMA MAGOMA AWE UPANDE WAO, WAJEE WAMEVALIA JERSEY ZAO NYEKUNDU ( DANGER )
Mbona mmemwacha mwenye timu yake Mzee Magoma?
Hajaenda kupokea Fungus za Ofisi, mwanaye anamtafuta hamuoni,
Yupo na Deborah
Nenda kamchukuwe umpeke misili kolokwinyooooo wewe kimy 😊😊😊😊😊
Hivi sisi yanga na ujerumani tutacheza saa ngapi?
SAA 10 jioni azam live
Orlando yeye kamukanda sevilla goli mbili
@@ahmednoor1412tareh ngap kaka
@@SebastianDaniel-mb4nl kesho tar 20/7/2024 SAA 10 jioni azam sports na wameshatangaza wataonesha hata ile ya tar 28 wataonesha pia Toyota cup dhidi ya kaizer chief
Acha mkwaraa unaweza siku iyo ukakimbia wandishi wa habari
Huyu cjui msemaj sjui shabk wa utopolo hanag hata mvuto wa kumckiliza😂
Kama nawew hujamuona paccome gonga like
Pumbafu, tutagonga dislike pia
Nenda kwenye app
Pacome hana nywele nyeupe tena
Asante maana alikuwa hajui@@Veni584
Kongore kwa kumjuza anae angalia nywele @@Veni584
Utashonaje nani Asa ebu ongea vitu vyakueleweka acha ujinga ww
Ana anlolijua mtoto mdogo facts gani unaongea.magoma kiboko yenu.msipotoa rushwa ngoma ngumu.wapigaj wakubwa .ubaya ubwela safar hiii
Tuone kama ataacha kuitaja simba
Si mwandishi amemchokoza inategemea nini?
Sasa mtu ameulizwa kuhusu Simba asijbu
Km wewe ulivyotulia kumsikiliza habar nzuri za yanga 😂😂😂
Hawazi lazima ataje simba. Lakini tuombe Allah siku efike hiyu tarehe 8
Kwani wewe umeitwa mbona uko hapa na haikuhusu
Hahahahaha unajisaulisha mnyama sevilla na cska Moscow
Sevilla walikuj kutalii, yanga imealikwa kweny michuano yeny kombe, ina osburg, yanga, mamelod na team lusben ka sikosei, kuna kombe hapo
Then itashiriki michuano mingine dhid ya keizer, nako pia kuna kombe
Simba haijawah hii kitu kutokea babu
Hhhhhh simba ilishacheza na csk moscova..sevila
Walikuja kutembea, ila yanga imealikwa br,tofautisha imealikwa na ni mashindano kuna kombe hapo, siyo mechi za watu wanapita wanaenda kutalii
Augustburg timu ndogo Simba imecheza na sevila sports itakuwa hao vibonde wa ujerumani