TFF YATOA MAAMUZI SAKATA LA CHAMA NA SIMBA JUU YA RELEASE LATTER YA KUICHEZEA YANGA MSIMU UJAO..

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 08. 2024
  • #BATTLETV

Komentáře • 119

  • @JuhudiKasanga-yq5ks
    @JuhudiKasanga-yq5ks Před měsícem +2

    Swala la chama niushamba TU mchezaji kamaliza mkataba shida labda hawa Simba na tff ndo tatizo katika mpira wetu huu wanaturudisha nyuma Kila siku

  • @usiniguse
    @usiniguse Před měsícem +3

    Mchezaji Kama alikuwa huru release later ya Nini? Si aende tu. Acheni ushabiki. Kama amemaliza mkataba Thank you ya Nini?

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Před měsícem +3

    TIMU ZOTE ZIFUATE UTARATIBU WAKUCHUKA WACHEZAJI NA NYIE ONGEENI KIMPIRA USIONGEE KIMAPENZI YA TIMU

  • @JafarOmar-b1u
    @JafarOmar-b1u Před měsícem

    sasa iv wachezaji wakubwa watakuja kuchezea timuiyo wataogopa ayo wanajiferisha

  • @user-yz6ds9hn9l
    @user-yz6ds9hn9l Před měsícem

    Hawa yanga hawachui mchezaji kwa utaratibu waanza kumpa rushwa acheze chini ya kiwango hayo yamefanyika kwa chama na wenzake serikali inajua inafumbamacho kwakuwa mawaziri wa serikali wapo humo wanachangia jeuri hiyo,

  • @AlfredMwakabana
    @AlfredMwakabana Před měsícem +2

    Mkiwa wachambuzi wachane ukweli watoe ujinga kwani ni aibu kwa vilabu vyetu mchezaji ni haki yake kimaisha yake

  • @user-bi8hr3nu6g
    @user-bi8hr3nu6g Před měsícem +3

    Wapende wasipende watatoa

  • @amanifadhi
    @amanifadhi Před měsícem

    Simba siowajinga

  • @ThobiasBarnaba-fs6pv
    @ThobiasBarnaba-fs6pv Před měsícem

    Moto uwake

  • @CikeTanzania
    @CikeTanzania Před měsícem

    Wampe tuu wanini

  • @user-yr4pv2vj7m
    @user-yr4pv2vj7m Před měsícem

    Chama ata wafira.nyie makoro msim uuuuuu

  • @fatumamtakyawa3612
    @fatumamtakyawa3612 Před měsícem

    FEI NA YANGA NI VITU TOFAUTI TOTO ALIKUWA AJAMALIZA MKATABA

  • @jiarosmazengo966
    @jiarosmazengo966 Před měsícem

    Mbona FEI TOTO yanga imetuwekea ukingo na la chama hakuna thank you

  • @ManzabaySalim
    @ManzabaySalim Před měsícem

    Chama kamaliza contract fifa ipo huwezi kuzuia asicheze yanga

  • @user-bi8hr3nu6g
    @user-bi8hr3nu6g Před měsícem +1

    Simba yafungiwa

  • @simonndunguru1629
    @simonndunguru1629 Před měsícem

    Wachambuzi semeni Ukweli kuhusu Chama
    Mnababaisha tu. Muda umeisha wa Mkataba wa Chama

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h Před měsícem +1

    Fei mkataba wake ulikuwa haujaisha ila aliomba kuvunja mkataba, je chama mkataba wake na smba ulikuwa bado haujaisha? Chama ameomba kuvunja mkataba?.

  • @christianjohnmwalugaja8090
    @christianjohnmwalugaja8090 Před měsícem

    Hao Jamaa (Simba) wanashirikiana na Karia. Karia tuachie mpira wetu. Bado unaupotosha sana mpira wa Tanzania.

    • @abdallahmzee4335
      @abdallahmzee4335 Před měsícem

      Yani umsajiri mchezaji wakati akiwa kwenye mkataba arafu unasema Karia kafanya nini acha uchoko

  • @williamkajala8005
    @williamkajala8005 Před měsícem

    Wao Fei toto Wamemgomea kuja Simba sasa wacha Dawa iwaangie

  • @yudamanyumbu4978
    @yudamanyumbu4978 Před měsícem

    Mchezaji akisha maliza mkataba na timu yoyote ana uhuru wa kuondoka au kukubali kusaini mkataba tuache ubabaishaji

  • @ayubujoel
    @ayubujoel Před měsícem

    Simba wanasuburi kumtambulisha Elie mpanzu ndo chama apewe thank u

  • @OmariBwagizo
    @OmariBwagizo Před měsícem

    Amepotezwa manara atakua chama huyu anapotea kirahis sana tu

  • @makamelila
    @makamelila Před měsícem

    Tatizo chama kaleta dharau na nyie mnaongea tu yachama kwa sababu ni WA Tim yenu lakini mbona hamuongei kuhusu lawi

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb Před měsícem

    Kwani Simba hajiandai endeleeni kuichafua Simba lakini hamtaweza

  • @user-tt8ew7tf8e
    @user-tt8ew7tf8e Před měsícem

    Yanga walivyofanya kwa fei ilikuw saw Ila akifanya simba ni sahihi

  • @OmariBwagizo
    @OmariBwagizo Před měsícem

    Huyo chama atakua kama Morrison tu

  • @ZaharaniMisso-ke4dy
    @ZaharaniMisso-ke4dy Před měsícem +3

    Mulisema chama mzee kumbe bado munamuitaji sio

  • @BantuntibahezwaToyi
    @BantuntibahezwaToyi Před měsícem

    Hahahaaàa gazeti la Leo chama yanga waishia kumvisha shuka la kijani😂😂😂hiyo ndio tafasiri ya ubaya ubwera

  • @user-ox1eg1ej6u
    @user-ox1eg1ej6u Před měsícem

    😊 ni bad😊😊😊

  • @OmariBwagizo
    @OmariBwagizo Před měsícem

    Hakuna TFF kutetea kitu mbn yanga mulimbana fei toto mpka kaongea raisi samia ndio mukamuachia lengo lenu alikua munataka kumpoteza sasa bas chama nae amepotea hii ndio bongo atajua hajui

  • @makamelila
    @makamelila Před měsícem

    Kama kunahitajika barua maanayake hapo kinajambo inamaana mkataba ulikuwa haujaisha

  • @ElizabethEmmanuel-nj1oi
    @ElizabethEmmanuel-nj1oi Před měsícem

    Nyie wanayanga si ndo nyie mliokua mnawasema wachezaji wa Simba wazee na Chama mmemsajili katoka timu Gani?

  • @hassannickson7654
    @hassannickson7654 Před měsícem

    Ni suala la mda tukucheza Yanga hawa tifuatifua wakishindwa ni fifa wanaamua wachambuzi wetu ni sheeda sio watu wa mpira ila ni washabiki wa timu flani

  • @MamboMbuli
    @MamboMbuli Před měsícem

    Watangazaji wa kibongo bana,,,mujiulize kwa Feisal mbona yanga warikomaa 😮😮😮na hadi Rais Samia akaingiria kati ,,🎉acheni unazi nyie

  • @user-ox1eg1ej6u
    @user-ox1eg1ej6u Před měsícem

    Ins. .maana .iyo. Ndio

  • @salumomar-ph8ht
    @salumomar-ph8ht Před měsícem

    Chama awataki kwanini mnalazimisha aipende tim yenu achen ushamba

  • @JuhudiKasanga-yq5ks
    @JuhudiKasanga-yq5ks Před měsícem

    Swala alikuwa amemaliza mkataba au ni upumbavu wa Simba kwani chama ndugu yenu au anatafuta maisha kama alivyokuja kwenu toka timu nyingine acha ushamba nyinyi wenyewe lawi alafu chama Tena aibu na magoli wenu huyo ni matatizo matupu

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Před měsícem

    Makolo wamekuwa machoko.. team ya tajiri namba 2 Africa, my foot

  • @shukranionesphoro7744
    @shukranionesphoro7744 Před měsícem

    Ww dogo chama anakiburi , piga pini ngao asicheze

  • @Prosperkaluta
    @Prosperkaluta Před měsícem

    Upumbavu wa viongozi wa wa Simba tu.
    Kumbe wana haja naye sana.

  • @williamkajala8005
    @williamkajala8005 Před měsícem +2

    Ubaya Ubwela, Hawa kinachama wameichezea Sana Tim yetu msim huu Lazima tuoneshane ubabe tu mpaka kieleweke

  • @user-os9ps3ry6x
    @user-os9ps3ry6x Před měsícem

    Simba Kila wkitaka mchezaji yanga wanazuia angalia fei nyie mnataka yanga wafaidike

  • @frbm1729
    @frbm1729 Před měsícem

    Aligoma mapemaaa kuichezea Simba kutombana na ushawishi wa Yanga usiofuata utaratibu.Atajampa.

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h Před měsícem

    MkATABA UMEISHA TAREHE 30/06/2024, sasa kinachogombaniwa ni nini? YUKO HURU.

  • @magrethmakauki235
    @magrethmakauki235 Před měsícem

    Fei mkataba ulikuwa haujaisha, chama mkataba umeisha

  • @ChristopherTogolan
    @ChristopherTogolan Před měsícem

    Aloo chama n mchezaj hulu

  • @martinkabazo8412
    @martinkabazo8412 Před měsícem

    Kama mkataba umeisha na wamemsajiri cmba inalaumiwaje

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 Před měsícem

    Wamruhusu Chama aende Yanga,wa.mwachie tu

  • @hassannickson7654
    @hassannickson7654 Před měsícem

    Kwani mchezaji anatakiwa kuzungumza na Timu nyingine wakati Gani? Kama sio miezi 6 mbona ishu iko wazi tu

  • @fanuelnkyalu974
    @fanuelnkyalu974 Před měsícem

    Simba waache upuuzi wa kuidhoofisha ligi yetu, hii ni habari ya sungura zisitaki mbichi hizo, TFF walione hilo ni AIBU KWA TAIFA.

    • @KakeSimba
      @KakeSimba Před měsícem

      We fala unaongeya nini

  • @lotimwansule5017
    @lotimwansule5017 Před měsícem

    Nyie mmesahau ya fei yanga walichofanya, nyie acheni unazi wote nyie ni Yanga

  • @salumomar-ph8ht
    @salumomar-ph8ht Před měsícem

    Kama Tff washindwa kumpa haki yake leo ndio nitahamini Tff ni simba sakata la morson yanga walivyo zuia hirizileta ya morson simba waliruhusiwa na tff morson alicheza kama kawaida

  • @revocatusmalimi4525
    @revocatusmalimi4525 Před měsícem

    Hakuna anyetaka Chama arudi simba huo ni ushenga wenu waandishi kwa Chama na timu yake.Kwanza ni mchezaji huru tangu 30 June 2024 sasa hiyo release letter ya nini

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h Před měsícem

    Kwani tarehe ya mkataba wa Yanga na Chama unaonyesha umefungwa tarehe ngapi? Mwezi June au July? Mkataba wa chama na simba imeisha tarehe ngapi? June au July?. It s too much simple to give out decision.

  • @chemstry409
    @chemstry409 Před měsícem

    Sasa siwalisema mzee??? na matusi wakamtukana....

  • @MaguguStore
    @MaguguStore Před měsícem +1

    Ngoja ashike adabu , Chama chama chama ndio nani amekamatiwa pazuriii

  • @damianmcba9525
    @damianmcba9525 Před měsícem

    Mchezaji yupo huru kuongea na timu yeyote ikiwa imebaki miezi 6 ya contract, hiyo ni sheria ya FIFA, Amna lolote hapo , Contract ikiisha hayo mambo ya release letter ayana uhitaji

    • @abdallahmzee4335
      @abdallahmzee4335 Před měsícem

      Shida chama alimwaga wino wakati yupo kwenye mkataba watu wana akili nyingi kuliko yeye

  • @makamesaid9137
    @makamesaid9137 Před měsícem

    Mfa maji haishi kutapa tapa
    Mara lawi mara Chama na mara hii tutawapiga 10 G MAKOLO wasipoangalia.

    • @abdallahmzee4335
      @abdallahmzee4335 Před měsícem

      Shida akili za viongozi wenu bado ndogo sana walimsajiri Chama akiwa ndani ya mkataba na hapo ndiyo tutawakamatia mpaka mavi yawatoke

  • @FatumakunemkaKunemka
    @FatumakunemkaKunemka Před měsícem

    Twataka tumpe bench kwanza

  • @user-eg9jq5ny3n
    @user-eg9jq5ny3n Před měsícem

    Shida niudundukaaaaa😂😂😢

  • @revocatusmalimi4525
    @revocatusmalimi4525 Před měsícem

    Tunashauri viongozi wetu wampe tu hiyo taraka ili akafunge ndoa nyingine akiwa huru

  • @raymondsambaa6687
    @raymondsambaa6687 Před měsícem

    Atarudije Simba wakati hana mkataba?

  • @WiseRigers
    @WiseRigers Před měsícem

    Huyo ni mchezaji huru release later ni kwaajiri ya uthibitisho tu kama wamemalizana kiroho safi kama hawataki kutoa tff wanawajibika kumpa haki mchezaji ili aendelee kucheza
    Tofaut na Feisal alikuwa na mkataba simba hawana uwezo wa kumzuia chama sema nyie wachambuzi wa kibongo ni wa hovyo sana huwezi fananisha sakata la chama na Feisal ni tofaut kabisa

  • @mussammanga7791
    @mussammanga7791 Před měsícem

    Mashaka gani mkubali kuwachwa, mchezaji timu haitaki.
    Fei si mlisema asilazimishwe?
    Sasa kibao kimegeuka.
    Hahahahaaa!

  • @user-ff1it9og8y
    @user-ff1it9og8y Před měsícem

    Kama Tff mnasema wafanye haraka kwa chama waanze Feitoto sheria ya kuwa Simba wakitaka kumchukua walipe Azam na Yanga walipwe sgeria gani jama acha nao chama wamlipe bila kuwachezea msimu mzima malipo ni hapa hapa Duniani😂😂😂😂😂

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 Před měsícem

      Utateseka sana Fei kuichezea Simba na siwasawa na ngamia kupenya kwenye tundu la sindano

  • @RichardSanga-zr2nj
    @RichardSanga-zr2nj Před měsícem

    NIMESIKIA HIRIZI LETA 🤣

  • @chiefmajai9345
    @chiefmajai9345 Před měsícem

    Maumivu walio wasajiri simba bado pengo

  • @user-os9ps3ry6x
    @user-os9ps3ry6x Před měsícem

    Mnaona ni kitu kidogo nyie ni yanga tunawajuwa

  • @usiniguse
    @usiniguse Před měsícem

    ACHENI USHABIKI. KAMA MKATABA UMEISHA REALEASE LATER YANINI SI AONDOKE TU?

  • @user-ff1it9og8y
    @user-ff1it9og8y Před měsícem +6

    Simba ❤❤❤kumpa chama hiyo arudi kwa nizam kubwa alikua anadharau viongozi na hiyo ndo malipo yake na wampe 2025 hiyo istlechar wala siyo figisu Yanga wao kwa Feitoto kuja Simba wanakinga kifya haya sasa ngomo drooo

    • @asiaruhasha5561
      @asiaruhasha5561 Před měsícem

      😊😊😊😊

    • @user-eg9jq5ny3n
      @user-eg9jq5ny3n Před měsícem +1

      Dunduka bwegeeee

    • @vaxminja9053
      @vaxminja9053 Před měsícem +2

      Mashabiki wa Simba hawajui hata wanaongea nini, hivi unafikiri release letter ni utashi wa Simba? Ni sheria

    • @OS-pf6op
      @OS-pf6op Před měsícem +1

      Wataitapika tu watake wasitake😂

    • @athumanibakari8618
      @athumanibakari8618 Před měsícem

      Mpeni Pole Injinia wenu

  • @CornenciaFaustine-pd2rc
    @CornenciaFaustine-pd2rc Před měsícem

    Akili mu kichwa si mnae mchezesheni tu

  • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
    @SmilingFlowerBouquet-hs2hv Před měsícem

    SIMBA MUMESHA PEWA TARAKA SHIDA NN? MWACHE AENDEEEE

  • @abdalla8193
    @abdalla8193 Před měsícem

    Mpeni tu

  • @user-jc4mm7vs9x
    @user-jc4mm7vs9x Před měsícem +7

    NI KUMNYOOSHA HANA ADABU CHAMA.

  • @MkuwaTheDon
    @MkuwaTheDon Před měsícem

    Mmmh

  • @shamissuleyman4894
    @shamissuleyman4894 Před měsícem +1

    Hahahahahaha huyu chama na timu yake mpya walifanya fujo kusajiliwa kabla ya mkataba kuisha

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h Před měsícem

    Chama kamaliza mkataba au bado? Kama hajamaliza kwa nini hamkwenda naye Misri?.

  • @julianajeremiah4353
    @julianajeremiah4353 Před měsícem

    Mjinga anatakiwa kuwaombea kuwapeleka ndio sababu😂 na asicheze

  • @deboy3323
    @deboy3323 Před měsícem +1

    Hhhhhhhh hatumpi✊🦁🔥

  • @AllyMasangaluka-bm5ib
    @AllyMasangaluka-bm5ib Před měsícem

    Acheni ujinga nyie mchezaji akifika miezi SITA analusiwa kuongeza na timu nyingine kengenyie chama huru

  • @user-or9cl2tc1h
    @user-or9cl2tc1h Před měsícem +5

    Muwe wakweli chama alisajiliwa yanga bado akiwa na mkataba na simba hiyo ndo shida iliyopo

    • @FadhiliSalehe-l2c
      @FadhiliSalehe-l2c Před měsícem

      Ushaidi unao kaka? Ila kisheria mchezaji anarusiwa kuongea na timu nyingine akiwa amebakisha miezi 6 kabra ya mkataba kuisha.

    • @FadhiliSalehe-l2c
      @FadhiliSalehe-l2c Před měsícem

      Ushaidi unao kaka? Ila kisheria mchezaji anarusiwa kuongea na timu nyingine akiwa amebakisha miezi 6 kabra ya mkataba kuisha.

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Před měsícem +4

    KUNA TIMU WANA WIVU SANA NA SIMBA

  • @abdalla8193
    @abdalla8193 Před měsícem

    Lawi hanadabu

  • @maimunaathumani9121
    @maimunaathumani9121 Před měsícem

    Safi jeuri uyo

  • @jumaathumani6886
    @jumaathumani6886 Před měsícem

    Ni kwamb huko TFF wallace ni Pacha na simba sc huyo chama atajua hajuw ubaya ubwela qmmk😅😅😂

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l Před měsícem

    Nyie na Mikia fc wote ni mbumbumbu tu,mbona Simba walimtangaza na bado wanadai Lawi ni mchezaji wao hali y kuwa ni mchezaji halali wa Coastal..? alafu kw nn Simba tu? hata KMC walilalamika kwa Awesu Awesu

  • @joshuamwambene2874
    @joshuamwambene2874 Před měsícem

    TFF kila siku mnaindama Yanga hamuoni aibu .,Acheni kabisa yanga icheze kandanda

    • @abdallahmzee4335
      @abdallahmzee4335 Před měsícem

      Tff hawaindami Yanga ila Yanga inabanwa kwenye mkataba wa chama ulikuwa lini hapo ndiyo mtajua kuwa timu yenu inaviongozi watoto