Ahamed tafuteni kikosi Cha Kwanza kwa mfano naina camara huseni kijili Abdul razak chameleon kagoma karabaka fenandes mashaka aohua na kibu Kama Wana ubora kidogo kiasi
AHMED AMEWAAMBIA UKWELI. HUWEZI KUFUZU KTK MASHINDANO YA AFRIKA KISHA UKAIDHARAU SIMBA AMBAYO NDIO MOJA YA TIMU BORA AFRIKA. UKILETA DHARAU HUFIKI MBALI.
Hata mm nmeshangilia sana kutolewa Azam ibwe anajitpa sana kutwa kuiongelea simba tu
KWELI AHMED ALIKERWA NA HAWA JAMAA..❤ Ni bora awasamehe tu❤
So kwa tabasamu ilo❤❤
Azam wamedindikiza safari Tu na costal😮😮😮😮
Leo umeongea ukweliii❤❤❤❤❤❤
Hsaaaahaaaah😂😂😂 Ahmed bhna eti weka RIP au innalillah
mmmmmmh pole sana 😢😢😢😢😢
Hashim ibwe hajielewi anajitapa na kumaliza maneno yote ligi ya mabingwa siyo ndondo cup ajifunze.
Kwer shamed wachane
Wao waendelee kudhamini virabu waone Kama hiyo itawasaidia mechi za kimataifa.
We acha uongo we comedian
Ahmed Ally leo kasem kweli pongezi. Azam maneno mengi vitendo zero
Kweli semaji
Hiyo ndy furaha yetu hizi tim kutolowa zote
Daa leo jamaa kazugumuza poiti yani kasema ukwer kabx
Ahamed tafuteni kikosi Cha Kwanza kwa mfano naina camara huseni kijili Abdul razak chameleon kagoma karabaka fenandes mashaka aohua na kibu Kama Wana ubora kidogo kiasi
Hii ndo tofauti ya semaji na ushabiki ibwe ally kamwe ni mashabiki tu 😅😅😅
Ni kweli timu bado, ila baadhi ya wachezaji hawako vizuri kutoa pass kama akina Balua wana haribu mipira mingi
Uzalendo kwanza nyie wa tz
UZALENDO KWA MZALENDO..
ULLO mie nimefurahi sana azama costal wana maneno mengi
Hahahaha kwa mara ya kwanza taaira kapona 😂😂😂😂😂leo umeanza kuongea ukweli endelea kuongea ujinga wako uone
😢
Kwanini msaliti akumbatie ni bora alivyoachwa tu huyo chama
Simba nguvu1
Sasa mbn ateba hachiziiiiii
Hata mimi nimefurahi mnooo.. Walichonga sanaaaa...
Semaji la CAF 🎉🎉🎉
Kiukweli Mimi ni mwanayanga lialia lakini umeongea ukweli kuhusu Azam , na sikubishi kwa shirikisho Azam Bado na club bingwa pia bado
😂😂😂😂😂 leo jamaa kaogeya kimupila kabx siyo polojo
Mm mwenyewe nimefurahia
Ila Mimi bado sijaona uwezo wa aohua bado uwezo wake Ni mdogo na Kuna muda timu inashambuliwa badala ya kwenda kuisaidia timu anaenda mbele
Mm pia nimefurai hizo timu zote kutolewa
😂😂😂😂timu ya sekondari kabisa hii
Hata Mimi nimefurahi sana Azam kutolewa
Mmh hata wewe jaman dah mi naipenda azam lakn mie shabik wa simba
Azam wanatuaibisha, Bora wametoka warudi wakalambe ice cream tu
Waache kuchonga. Waheshim wakubwa hata kama wamekosa nafaSi. Mkubwa hupewa heshima sio MATUSI...
Ubaya ubwela una Anza kuitika😅
Ahmed ww ni mtu sana hao wengine vichaa tu maana hawakuwezi
Waliyoihujumu Simba ili aende azamu mungu anawaona🤓🤓
😂mashine ya kuongea #ubaya ubwela _
Ubaya ubayani
Kibu na barua waache ubinafsi wa kung'ang'ania kifunga wakitaka sifa,badala yake watoe pass kwa wenzao waliopo nafasi nzuri ya kifunga
Yani hapo umeongea jambo la maana sana,
Hata mm nimefurahi feitoto kuondolewa
Leo umeongea kweli semani ukweli ndiyo unatakiwa
We jamaa ndio maana nakukubal ninja unaongea ukwel co yule chura Ally kamwe kwny ukwel uwongo kwny uwongo uwongo kwel ww semaji la CAF
Kocha abadili mfumo haeleweki
😅😅😅 kabisaaaaa
Aone nini?
Tena sana
Hahahaaaaa shule yasecondary ila Ahamed ally ngoja to uchukue ubingwa wahame nchi washamba franiiii
Reo umesema ukweri
borawarivyotorewa
Jings
uzalendo kwen
Jayant gani wewe unaeishia robo kila mwaka?
Kuondoka kwa Chama Simba kumeacha pengo kubwa. Alikuwa nguzo ya Simba kufanya vizuri kwenye michezo ya kimataifa.
CHAMA SIO MWISHO WA SAFARI...
ALISHA ANZA KUOTA PEMBE BORA AENDE TU
Hujui ball Kanye west huko ulale ivi ww kwa akili zako hizohizo ndogo kama mdomo wako umengoa jino na umeotesha jingine pengo linatoka wapi,
Jina tu lilikuwa linambeba
Simba ndio ilimfanya awe bora sio yeye kwamba akikosekana hatutafanya vixr
Naimani tutafanya vzr
Badilika Chama unayemjua Taasisi ya Simba ndio iliyo mtengenezea jina...wapo wakina Chama wengine wanakuja...muda tu
Uzuri wako huwa unaongea ukweli
Hawana ubavu
hata me nmefutah sana Azam kutolewa
Ahmed Ali kichaa kimepona 😂😂
Utajuw kama kichaa au vp
AHMED AMEWAAMBIA UKWELI. HUWEZI KUFUZU KTK MASHINDANO YA AFRIKA KISHA UKAIDHARAU SIMBA AMBAYO NDIO MOJA YA TIMU BORA AFRIKA.
UKILETA DHARAU HUFIKI MBALI.
Naungana na were semaji nikweli
Kama yanga wanavofanya
Azam chali
Ww mwehu
Umenyoosha lakini vingine vimekuelekea mwenyewe yaani ww ni zaidi ya mwehu
Wachezaji wa Azam ni mayai mayai tu hawajitumi
True said kabisa ndugu wanaboa sana laiiiini sana.
Sijajua ni nini Leo ndo nimekufuatolia kumbe wew ni bonge la kumedian uko sawa sawa
Hiyo ndy furaha yetu hizi tim kutolowa zote
Daa leo jamaa kazugumuza poiti yani kasema ukwer kabx
Hawana ubavu
Hawana ubavu
Hawana ubavu
Hawana ubavu