Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Kiukweli nimeinjoi mnoooooooo,, naipenda sana simba,, UNYAMA NI MWING,,, waache wapige mayoe UTO sisi hatuogop,,, kwasababu UBAYA UBWELA,,,,
pole sana kijana utakufa kwa presha tarehe 8 goli 8
Yanga tarehe 8 mtafungwa na simba @@buja_fleva
@@buja_flevakwa Simba hii gongo wazi tar 8waje tuuuu. Aliyewapiga 3 kapigwa 2. Wakae kwa kutulia tar 8 sio mbali. Ubaya ubwela. This is SIMBA
Wew buja subir trh 8 acha tatalila Zako mbna muhalo bado mapema
Ewaaaaa Mpenja hUyooooo...Niko Bukoba hapa nakukubali sana kazi nzuri sana type majina
Baraka mpenja mtu hatari kuwahi kutokea ktka tasnia ya habari na utangazaji ❤❤❤❤❤
Nimeinjoy san kaka unajuwa kutangaza wachezaji vzr pia allah akupe wepes na uzima wote utangaze dabi kak daah safii aan
Nimeinjoi mnoooo,,, simba naipenda mnooooo,,, UNYAMA NI MWING,,, waache UTO wapige kelele SISI HATUOGOP maana UBAYA UBWELAAaaaaaaaa,,,,
Mpenja wew ni mtu na nusu big up to you my brother❤
Nakubari sana kaka daaaaaaaaaaah! Ubaya ubwela
Safii san mpenja kwa kazi nzuri🔥🔥
Inspecta karabouea
Baraka mpenja tunakupenda sana tukoka Rwanda.Asante Kwa kazi nzuri unayo Fanya.
Asee baraka mpenja mwamba wa malila asee nakukubali sanaa
Nakbarii sana kazi yakoo mpenjaa❤❤❤❤
nakukubali sana balaka mpenja
Yule nouma ni noma kweli shabalala ndugu yetu kazi unayo😅😅
Tumeona pamoja ndugu yangu, shabalala ufalme wake kwisha...
waoooo❤❤❤❤
Kazi nzuri sana nimefrah
Thank you baraka mpenja
❤❤❤❤
Joshua mtale alindwe Alipo, nihatali huyo mtoto
Mpenja unatisha kwa utangazaji wa mpira.Huna mpizani tanzaniania wewe nimwamba km ukuta wa yeliko❤❤❤❤❤
Mpenja smart sana
WW n mwenzetu xnaaaaaaaaa Big up
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mpenja unaweza sana broo
fantastic sanah
Hatarii mnoo balaa
Simba naipenda sana
Kk naweza kusema hakuna kama ww katika utangazaji wa mpira tz mungu awe nawe🎉
God mpenja
Was good day for us nguvu moja
Mnyamaaaaaaaa
Mpeje huna mpizani ktk utagazaji oyaaa ww ni nomaaaa
Jaman simba unanipa laaaaaaaaaaaaaaaaa mie❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
❤❤ hatariii
Safi SANA Mpenja
*333# 🔥🔥🔥💪
Baraka saluti sana umetisha wana Simba tumeshehereka sana
Mtalam umetisha saab
❤❤❤simba
We Jamaaa Unaua sana,wajfunze kwako.
Mubarak mpenja nagupenda Saaana
Anabalaa hyo mtalee❤❤❤❤❤
Mpenja I LOVE YOU ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
❤
Nime enjoy sanaa mko vzriii Azam med😂😂😂😂😂
Namkubali Sana huyu mwamba
This budy is so talented tayar MUTALE kapewa jina SGR
Jina la SGR alipewa na Ahmed Ali
YANI NI MWENDO WA UBAYA UBWELAAAAAAAAA, NGUVU MOJAAAAAAAAAAAAAA
We somo wangu mwanakusin mwenzangu unaniwakilishaaaaaaa veeeemaaaa
Wow
Jina Hilo tumelipokea kama mashabiki ,litakuwa ndo lake disconnecter
Keep pushing
Mpenja nakukubali sana mwanangu unajua
Mwamba wa nyumbani, sheme shemela, Baraka Mpenja.
Nimekuelewa unajua baraka mpenja
Ubaya ubwela,simba waooooo
MWAMBA WA MALILA NAKUKUBALII SN
Mkn
Furaha nilio nayo siwez simulia
Nguvu moja mnyama
jaman mavambo tumelamba dume
Wanasemaaa nyie hamuogopii,,,,,,,😂😂😂😂😂 unaogopa nn sasaa ubaya ubwelaa
daah saf simba day lakin pia asant San kaka yangu mpenja kwakutupa fulaaa
Mpenja ❤
Simba nguvu moja
😂😂😂😂😂😂😂 achintufulahie wanasimba
CARBON 14 NI KIPIMO CHA UMRI . USE CARBON 14 KUPUNGUZA MANENO .
Kaka baraka tuletee dada Jane tushammiss
Nguvu moja
Duuu kweli simbaa nj nomaa wamecheza mpira wa kufundishwaa nipasi mjo tu niliyoiina ipepote simba jamani mtaniuaa simbaa
Bwana mpenja uko byee
Ubaya ubwela
Hakuna kitu
Nipo Muleba ,msimu huu furaha imerudi
Hii ndiyo Simba kipimo cha umri
Mpenja nina zawad yako! U are the best
ULUMBI KILA PAHALA......😂
Jina hilo linamfaaa
Kwajin naitwa dully simb nakukubali san mpej
kwli ubaya ubwela tuonane tarehe nane inshallah
Mpenja hunampinzani waaaaaa
mpeja mung akupe Maixha malefu sn maan ukiwa unatakaza unatamn mpila usimalizike unavo tia ladh hatali ww ni mtu waman san
Baraka anajua kama debora simba nguvu moja ubaya ubwela
Disconnect mavamboooooo😂😂😂😂
baraka hilo jina la disconnector limepita
Kaka kwakweli saluti kwako kaka unaajuwa
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅disconnect diblaaaaaaaaaa
Namuona pasi dabwadabwa
Mpenja unaujua bhana tukutane dabi utupe raha
Bora umetangaza wewe leo kesho aje mzingaa
Mpenja tuanzie hapo kwenye udadavuzi 😂😂 unapaonaje
nakubar ubaya ubwela
Uhakika huyu mwamba ni mtoto wa nyumbani
Umalila hunabaya
Mpenja ni halali utopolo walalamike kuwa we ni simba maana inaipamba Simba adi unaboa
Nisome kama rico single kutoka jambian Leo kweli ubaya ubwela
Uyu jamaa anajuwa kutengeza majina ya wachezaji
Mwamba wa malila😅
Yp
Huyu mpiga kelele tu commentator ni mmoja tu Kilwa Finest Ghalib Mzinga
Nyooo wivu2 😂weka watu wapige kura uone Nan ataibuka kidedea,,gharib na2 anashika,,mpenja namba1
Maneno yamkosaji
Wewe huna lolote
Joshua kama ana ka umiquisson vileeee
Kiukweli nimeinjoi mnoooooooo,, naipenda sana simba,, UNYAMA NI MWING,,, waache wapige mayoe UTO sisi hatuogop,,, kwasababu UBAYA UBWELA,,,,
pole sana kijana utakufa kwa presha tarehe 8 goli 8
Yanga tarehe 8 mtafungwa na simba @@buja_fleva
@@buja_flevakwa Simba hii gongo wazi tar 8waje tuuuu. Aliyewapiga 3 kapigwa 2. Wakae kwa kutulia tar 8 sio mbali. Ubaya ubwela. This is SIMBA
Wew buja subir trh 8 acha tatalila Zako mbna muhalo bado mapema
Ewaaaaa Mpenja hUyooooo...Niko Bukoba hapa nakukubali sana kazi nzuri sana type majina
Baraka mpenja mtu hatari kuwahi kutokea ktka tasnia ya habari na utangazaji ❤❤❤❤❤
Nimeinjoy san kaka unajuwa kutangaza wachezaji vzr pia allah akupe wepes na uzima wote utangaze dabi kak daah safii aan
Nimeinjoi mnoooo,,, simba naipenda mnooooo,,, UNYAMA NI MWING,,, waache UTO wapige kelele SISI HATUOGOP maana UBAYA UBWELAAaaaaaaaa,,,,
Mpenja wew ni mtu na nusu big up to you my brother❤
Nakubari sana kaka daaaaaaaaaaah! Ubaya ubwela
Safii san mpenja kwa kazi nzuri🔥🔥
Inspecta karabouea
Baraka mpenja tunakupenda sana tukoka Rwanda.
Asante Kwa kazi nzuri unayo Fanya.
Asee baraka mpenja mwamba wa malila asee nakukubali sanaa
Nakbarii sana kazi yakoo mpenjaa❤❤❤❤
nakukubali sana balaka mpenja
Yule nouma ni noma kweli shabalala ndugu yetu kazi unayo😅😅
Tumeona pamoja ndugu yangu, shabalala ufalme wake kwisha...
waoooo❤❤❤❤
Kazi nzuri sana nimefrah
Thank you baraka mpenja
❤❤❤❤
Joshua mtale alindwe Alipo, nihatali huyo mtoto
Mpenja unatisha kwa utangazaji wa mpira.Huna mpizani tanzaniania wewe nimwamba km ukuta wa yeliko❤❤❤❤❤
Mpenja smart sana
WW n mwenzetu xnaaaaaaaaa Big up
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mpenja unaweza sana broo
fantastic sanah
Hatarii mnoo balaa
Simba naipenda sana
Kk naweza kusema hakuna kama ww katika utangazaji wa mpira tz mungu awe nawe🎉
God mpenja
Was good day for us nguvu moja
Mnyamaaaaaaaa
Mpeje huna mpizani ktk utagazaji oyaaa ww ni nomaaaa
Jaman simba unanipa laaaaaaaaaaaaaaaaa mie❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
❤❤ hatariii
Safi SANA Mpenja
*333# 🔥🔥🔥💪
Baraka saluti sana umetisha wana Simba tumeshehereka sana
Mtalam umetisha saab
❤❤❤simba
We Jamaaa Unaua sana,wajfunze kwako.
Mubarak mpenja nagupenda Saaana
Anabalaa hyo mtalee❤❤❤❤❤
Mpenja I LOVE YOU ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
❤
Nime enjoy sanaa mko vzriii Azam med😂😂😂😂😂
Namkubali Sana huyu mwamba
This budy is so talented tayar MUTALE kapewa jina SGR
Jina la SGR alipewa na Ahmed Ali
YANI NI MWENDO WA UBAYA UBWELAAAAAAAAA, NGUVU MOJAAAAAAAAAAAAAA
We somo wangu mwanakusin mwenzangu unaniwakilishaaaaaaa veeeemaaaa
Wow
Jina Hilo tumelipokea kama mashabiki ,litakuwa ndo lake disconnecter
Keep pushing
Mpenja nakukubali sana mwanangu unajua
Mwamba wa nyumbani, sheme shemela, Baraka Mpenja.
Nimekuelewa unajua baraka mpenja
Ubaya ubwela,simba waooooo
MWAMBA WA MALILA NAKUKUBALII SN
Mkn
Furaha nilio nayo siwez simulia
Nguvu moja mnyama
jaman mavambo tumelamba dume
Wanasemaaa nyie hamuogopii,,,,,,,😂😂😂😂😂 unaogopa nn sasaa ubaya ubwelaa
daah saf simba day lakin pia asant San kaka yangu mpenja kwakutupa fulaaa
Mpenja ❤
Simba nguvu moja
😂😂😂😂😂😂😂 achintufulahie wanasimba
CARBON 14 NI KIPIMO CHA UMRI . USE CARBON 14 KUPUNGUZA MANENO .
Kaka baraka tuletee dada Jane tushammiss
Nguvu moja
Duuu kweli simbaa nj nomaa wamecheza mpira wa kufundishwaa nipasi mjo tu niliyoiina ipepote simba jamani mtaniuaa simbaa
Bwana mpenja uko byee
Ubaya ubwela
Hakuna kitu
Nipo Muleba ,msimu huu furaha imerudi
Hii ndiyo Simba kipimo cha umri
Mpenja nina zawad yako! U are the best
ULUMBI KILA PAHALA......😂
Jina hilo linamfaaa
Kwajin naitwa dully simb nakukubali san mpej
kwli ubaya ubwela tuonane tarehe nane inshallah
Mpenja hunampinzani waaaaaa
mpeja mung akupe Maixha malefu sn maan ukiwa unatakaza unatamn mpila usimalizike unavo tia ladh hatali ww ni mtu waman san
Baraka anajua kama debora simba nguvu moja ubaya ubwela
Disconnect mavamboooooo😂😂😂😂
baraka hilo jina la disconnector limepita
Kaka kwakweli saluti kwako kaka unaajuwa
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅disconnect diblaaaaaaaaaa
Namuona pasi dabwadabwa
Mpenja unaujua bhana tukutane dabi utupe raha
Bora umetangaza wewe leo kesho aje mzingaa
Mpenja tuanzie hapo kwenye udadavuzi 😂😂 unapaonaje
nakubar ubaya ubwela
Uhakika huyu mwamba ni mtoto wa nyumbani
Umalila hunabaya
Mpenja ni halali utopolo walalamike kuwa we ni simba maana inaipamba Simba adi unaboa
Nisome kama rico single kutoka jambian Leo kweli ubaya ubwela
Uyu jamaa anajuwa kutengeza majina ya wachezaji
Mwamba wa malila😅
Yp
Huyu mpiga kelele tu commentator ni mmoja tu Kilwa Finest Ghalib Mzinga
Nyooo wivu2 😂weka watu wapige kura uone Nan ataibuka kidedea,,gharib na2 anashika,,mpenja namba1
Maneno yamkosaji
Wewe huna lolote
Joshua kama ana ka umiquisson vileeee