Ole Sendeka alipuka bungeni akitaka shingo ya mtu, Venant akichangia; Mwigulu na Mhagama wasimama

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 1. 11. 2023
  • Mbunge wa Simanjiro (CCM) Christopher Ole Sendeka amewataka Mawaziri ambao Wizara na taasisi zilizochini yao zimetajwa katika ubadhirifu, wawajibike wenyewe.
    Ole Sendeka amesema kama hawatawajibika basi bunge liondoke na alichokiita shingo ya yule ambaye wanamamlaka naye kwa alichosema “wanachezea sana.”
    Mbunge huyo ametoa kauli hiyo bunge leo Alhamisi Novemba 2,2023 alipokuwa akichangia kwenye taarifa za Kamati za bunge kuhusu ripoti ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).
    Mkongwe huyo ametoa kauli hiyo alipoomba kutoa taarifa wakati mbunge wa Igalula Venant Protas alipokuwa akichangia.
    “Mheshimiwa Mwenyekiti,naomba kumpa taarifa mzungumzaji ambaye anachangia vizuri sana, napendekeza kuwa, mawaziri wote ambao taasisi zilizochini yao zimetajwa wawajibike haraka lakini wasipowajibika twendeni na shingo ya yule ambaye tuna mamlaka naye, wasituchezee,” amesema Olesendeka.
    Katika mchango wake Protas amemuomba Naibu Waziri Mkuu kwenda na kalandinga (gari la polisi) akabebe watumishi wote wa kampuni ya Tan Oil isipokuwa mhudumu pekee ndiye anastahili kubaki.
    Protas kwenye mchango wake amesema kuna mashaka hata katika ofisi ya mwanasheria Mkuu wa Serikali ambayo nayo amepombe ifanyiwe ukaguzi maalumu.
    Kwa mujibu wa mbunge huyo, kwenye kesi ya Escrow kampuni ya IPTL ilichukua mabilioni ya fedha lakini Mwanasheria alisimama hadharani na kusema kuwa fedha hizo hazikuwa za Serikali lakini inashangaza muda mfupi imekuja taarifa kuwa Serikali inadaiwa.

Komentáře • 65

  • @tusajigwe7491
    @tusajigwe7491 Před 8 měsíci +1

    Best speech mbunge, Mungu akulinde

  • @user-uy2dk2yv2c
    @user-uy2dk2yv2c Před 8 měsíci +3

    Jizi kubwa et Tàarifa

  • @user-bd1zr4vn1b
    @user-bd1zr4vn1b Před 8 měsíci +2

    Kazi kumfungia mwambukusi

  • @musayohana3274
    @musayohana3274 Před 8 měsíci

    Ongera sana kiongozi olesendeka

  • @emmanueljoseph3812
    @emmanueljoseph3812 Před 8 měsíci +1

    Hvi kweli kwastaili hii Nchi hii kwa uongozi wa CCM hatutoboi na hata hivyo Bunge hili haliwezi tena kuishugilikia Serikali hata KIDOGO! Watanzania tujipange tu kupata Bunge lingine!

  • @mlumez
    @mlumez Před 8 měsíci +1

    Kwa bunge hili, wakichukua hatua nmekaa palee👉👉

  • @juliusmagunila6308
    @juliusmagunila6308 Před 8 měsíci +2

    Halafu mwigulu angetuacha kabisa tukimkamata kwenye kumi na nane we ngoja

  • @user-rs4vz2vt9z
    @user-rs4vz2vt9z Před 8 měsíci +1

    Wacha mungu aitwe mungu wapinzani hawamo.

  • @user-hb1iw9uj3x
    @user-hb1iw9uj3x Před 8 měsíci +2

    😂😂mzee wa tozo,trab na trat, kodi ya stoo. 😅 😅 mwigulu mwizi wa kutupa.***Mwigulu mwizi afukuzwe kazi huyooo....kazoea kuhamishwa hamishwa.

  • @partysekemi5
    @partysekemi5 Před 8 měsíci +1

    Mbona wabunge wote kwenye ripoti ya CAG ya mwaka huu wote wamenyooka uchaguzi imekaribia e tunawaona vizuri sasa kila mwaka watanzania wenzangu kamati ya CAG inaleta taarifa za wizi na hakuna hatua kana kwamba mnafanya chombo hicho cha CAG na takukuru ndio zinatoa ripoti za uongo na kama ni wao sio waaminifu tuanze na hao!!!

  • @williammwamalanga1065
    @williammwamalanga1065 Před 8 měsíci +1

    Mwigulu mwigulu mungu anakuona

  • @williammwamalanga1065
    @williammwamalanga1065 Před 8 měsíci +1

    Asante sana mh mbunge wa igalula

  • @chademaelfhasmolell
    @chademaelfhasmolell Před 8 měsíci +2

    Apo funika kikombe mwanaharamu apite wapigaji ni ccm haohao

  • @bahatiangle4424
    @bahatiangle4424 Před 2 měsíci

    Ongea baba

  • @aud548
    @aud548 Před 8 měsíci +1

    Mliye na mamlaka naye ....😂😂😂😂 yani mumpige chini Majaliwa

  • @benedictchagula8739
    @benedictchagula8739 Před 8 měsíci +1

    Safi sana! Wote wangekuwa na mtazamo kama huyu mbunge tungekuwa mbali

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 Před 8 měsíci

    Ole Sendeka asante

  • @francismwantolwa2329
    @francismwantolwa2329 Před 8 měsíci +1

    Wezi wakubwa hawa

  • @williammwamalanga1065
    @williammwamalanga1065 Před 8 měsíci

    Hongera ole sendeka

  • @ChristerShao
    @ChristerShao Před 8 měsíci +3

    Akina Tundu Lisu wakisema juu ya mikata mibovu mnawatukana mlikuwa wapi.

  • @HusseinseifSachirama-tn2fj
    @HusseinseifSachirama-tn2fj Před 8 měsíci +2

    Mwigulu yani simpendi

  • @user-bx2hd9ek4b
    @user-bx2hd9ek4b Před 6 měsíci

    Serikali wenyewe ndio wezi wetu sasa

  • @patrickngumbi2766
    @patrickngumbi2766 Před 8 měsíci +1

    Mwigulu kumbuka hapo hukujiweka, kwa nn mnadharau hivi au mnafikiri hatuon wala kusikia?!!! Au mnahisi hatuwezi chukua hatua za ghafla endeleeni tu

  • @user-bg2zt8xw3d
    @user-bg2zt8xw3d Před 8 měsíci

    Ni vizuri tukienda hvi

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 Před 8 měsíci +1

    Huyu mwigur ajinyamauie tu maana kwenye wiz wa serekalini ni Nr 1, alafu hanaga huruma kabisa kwenye swala hilo.

  • @frankpeter4178
    @frankpeter4178 Před 8 měsíci +2

    ....among the worst Govt ever this country got, never even foreseen

  • @alexkatama4341
    @alexkatama4341 Před 8 měsíci

    Kuchekacheka kwenye vitu serious ni ujinga

  • @kristiankitali5505
    @kristiankitali5505 Před 8 měsíci +1

    Huyu Mwigulu huyu sijui

  • @patrickngumbi2766
    @patrickngumbi2766 Před 8 měsíci +1

    Mbunge anaongelea wizi , huyu mama anataka kutufunika na maendeleo ya mchongo bado mnafikiri kuna watanazania wa hivyo kweli?!!!

  • @marymchina6557
    @marymchina6557 Před 8 měsíci +1

    Kwani huyu Mwigulu nyuma yake kunanani? Subirini 2025 mtatujua vizuri

  • @user-rh4qo6on4g
    @user-rh4qo6on4g Před 6 měsíci

    Sekali ya ahamu ya tano inanyanyasa masikini kama ngombe zinauzwa efu kweli ni halalo tungalie hila

  • @KashindyeGidion
    @KashindyeGidion Před 3 měsíci

    Tudamani

  • @amizatibakari7385
    @amizatibakari7385 Před 8 měsíci

    Hatujawahi ona hatua zote zinachukuliwa juu ya ufisadi mna kazi yakupia kelele tu Kila siku kumeibiwa matilion ya hela wakati huku mtaan mtu Hana hata buku ya kula hanjui ni dhambi kubwa lkn mjue Kuna kufa na hukumu ipo Kodi za masikin Kila kukicha zinaibiwa watu wenye vyeo wale Bata na familia zao hii ni haki

  • @user-cm1jo7jz5q
    @user-cm1jo7jz5q Před 5 měsíci

    Paulo siria

  • @mudhihirugara8845
    @mudhihirugara8845 Před 8 měsíci

    Hamnalolote kilasiku hayohayo mbona enzi zamagufuli yalikoma raiya hatuna Imani nawabunge ninyi ibenitu kulenitu sisi hatuna chakufanya

  • @epiphanmsolina5321
    @epiphanmsolina5321 Před 8 měsíci

    CCM wote ni wezi watupu

  • @user-bd1zr4vn1b
    @user-bd1zr4vn1b Před 8 měsíci

    Pesa kapeleka fountain gates

  • @user-rh4qo6on4g
    @user-rh4qo6on4g Před 6 měsíci

    Mali ya masikin tu ndiyò ya selikali lakin majiri niyakao

  • @francismigongwa4146
    @francismigongwa4146 Před 8 měsíci

    Kazi iendelee

  • @ChristerShao
    @ChristerShao Před 8 měsíci +1

    Mwigulu muogope mungu.

  • @IsraelMgilitwe
    @IsraelMgilitwe Před 8 měsíci +1

    Sisi wananchi tunapambana kutafuta msosi kwa jasho ninyi mpo kivulini tusaidieni

  • @joelramadhan6062
    @joelramadhan6062 Před 8 měsíci

    Mambo ya system nchi hii ya wandwale😂😂😂😂

  • @m.m.tvmbebamaono
    @m.m.tvmbebamaono Před 8 měsíci +1

    Mwigulu katubu umetuibia sana

  • @geraldadolf4928
    @geraldadolf4928 Před 8 měsíci

    Uyu jamaa kiboko

  • @emmanueljoseph3812
    @emmanueljoseph3812 Před 8 měsíci

    Huyo Jennifer anaongea nini?

  • @IsraelMgilitwe
    @IsraelMgilitwe Před 8 měsíci

    Tunaomba wabunge mtusaidie wananch

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 Před 8 měsíci

    Huyu sendeka nae hajui chochote mlarusha wa simanjiro

  • @HappinessminjaHappysiami-xx4df

    Tunaomba mheshimiwa sendeka uweze kuongelea swala la Barbara ya simanjiro ni mbaya mno

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 Před 8 měsíci

    Sasa mmeanza kazi

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 Před 8 měsíci

      Hamna kazi yeyote hawaniwapigaporojo hamna bunge hapa kazi Yao ndiyoooooo

  • @user-gg7ig1qc5o
    @user-gg7ig1qc5o Před 8 měsíci

    Wewe mwigulu ni mpumbavu tu mwehu,watanzania wanaumia halafu unaleta ushuzi wako we mwehu

  • @josephmkinga9509
    @josephmkinga9509 Před 8 měsíci

    Bunge la chama wanachoongea hata hakina utekelezaji hayo maneno ya hapo

  • @m.m.tvmbebamaono
    @m.m.tvmbebamaono Před 8 měsíci

    We mama umechanjwa chanjo ya korona hakuna kizuri

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 Před 8 měsíci

    ,🤣🤣🤣🤣

  • @emmanueljoseph3812
    @emmanueljoseph3812 Před 8 měsíci +1

    Tuwapeni Chadema hii Nchi

  • @m.m.tvmbebamaono
    @m.m.tvmbebamaono Před 8 měsíci

    Mwiguru nchemba wewe chanjo ya korona inakusumbua mwizi wewe

  • @raymondkafyulilo6636
    @raymondkafyulilo6636 Před 8 měsíci

    Wote mliokaa hapo ni wezi tu. Mwigulu ndiyo mwizi mkubwa huyo. Mbunge Venant yupo sahihi

  • @user-sf3ou8uu8q
    @user-sf3ou8uu8q Před 8 měsíci

    Mnaheshimika kwa wizi tokeni huko ndio maana mnatia Aibu sana

  • @mikemutabuzi3665
    @mikemutabuzi3665 Před 8 měsíci

    Ninaamini muda si mrefu bandari mtajirarua nyie wenyewe, 😂😂😂😂😂😂😂😂😂