Ole Sendeka abanwa na Spika, achomoa hoja, amvaa Waziri 'anamuuzia Rais mbuzi kwenye gunia'

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 06. 2022
  • Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole-Sendeka amejikuta katika wakati mgumu bungeni leo katika kutoa tafsiri za sheria mbele ya Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson wakati akichangia mjadala wa kupitisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa Fedha 2022/2023, jijini Dodoma leo. Sendeka alikuwa akitumia vifungu vya sheria kupinga zoezi linaoendelea Loliondo na Simanjiro la uhifadhi kwa baadhi ya maeneo hayo.

Komentáře • 40

  • @mtaitamchome7475
    @mtaitamchome7475 Před 2 lety +3

    Mhe. Pole sana kwa kibano Cha Kisheria na kikanuni.
    Lakini Wananchi tumekusikia na kukuelewa.

  • @laizerloosipolio515
    @laizerloosipolio515 Před 2 lety +2

    Kama maeneo hayana watu kwann watu wanahamishwa? na kujengewa nyumba?

  • @mcole3128
    @mcole3128 Před 2 lety +4

    kwann sasa anamfanya achanganyikiwe jamani Olesendeka maskini😂😂

  • @zabtv9512
    @zabtv9512 Před 2 lety +1

    Kwa waliomuelewa Ole Sendeka watamuunga mkono ila kama hujamuelewa huwezi elewa kitu kinachoendelea

  • @jeremiahmollel163
    @jeremiahmollel163 Před 2 lety

    Mh Mbunge wa simanjiro mungu akubariki wananchi tuliokuchagua tunakuelewa

  • @laizerloosipolio515
    @laizerloosipolio515 Před 2 lety +1

    Wamasai hii nchi tumekuwa kama wavamizi Leo hii ....mwenyez mungu atusaidie

    • @andyjk5974
      @andyjk5974 Před 2 lety

      aisee poleni sana. kinatuuma nchi nzima ila sasa tunafanyaje mzee mzima? Magu walau alikua anajali watanzania zaidi ya wageni

  • @japhetlaisangai4592
    @japhetlaisangai4592 Před 2 lety +2

    Mmmmmh

  • @yothamgwanika9530
    @yothamgwanika9530 Před 2 lety +1

    Ataa kama hatujasoma sheria, kama sheria ipoo, ikajaa nyingine, iliyo kuwepo itaendelea kufanya kazii au ndo imefuta.

  • @joan13
    @joan13 Před 2 lety +1

    Hii ilikuwa inamuhitaji Tundu lissu mgemsikia sipaka wenu anatulia tuliiiiii dadeq

  • @bernardturpesio4048
    @bernardturpesio4048 Před 2 lety +1

    Speaker or a judge?

  • @yothamgwanika9530
    @yothamgwanika9530 Před 2 lety +1

    Huuu nao n ubabe kama ubabe mwinginee,

  • @josephnjau9544
    @josephnjau9544 Před 2 lety +2

    Kuna nn loliondo jmn?

  • @godfreymalley8500
    @godfreymalley8500 Před 2 lety +2

    Kama hayana wananchi kwanini mnawajengea nyumba

  • @yothamgwanika9530
    @yothamgwanika9530 Před 2 lety

    Ni muda wa kuandika sheria kwa kiswahili . Mzee wanamkazia to

  • @wajimwakatika1521
    @wajimwakatika1521 Před 2 lety

    Hatari

  • @mwanjalimfaume6380
    @mwanjalimfaume6380 Před 2 lety +1

    Lakini hao wanaohamishwa wanatoka wapi Kama maeneo hao hayakaliwi?

    • @laizerloosipolio515
      @laizerloosipolio515 Před 2 lety +1

      Daaah maswali ya kujiulza ya msingi sana lakin kimsingi watu tupo

  • @onesmonyamsaki8290
    @onesmonyamsaki8290 Před 2 lety +1

    Hapa patamu Sana kweli speaker Yuko vizuri

  • @mtaitamchome7475
    @mtaitamchome7475 Před 2 lety +1

    Pole sana Christopher Ole Sendeka.
    Hiyo ndiyo sisiemu Yako.

  • @alfredcharles8029
    @alfredcharles8029 Před 2 lety

    Hapo ndipo penye mgogoro kwa mujibu wa hizo sheria km zilivyosomwa hapo ktk kuanzisha hizo Game reserves kutoka mapori tengefu kimsingi hapa ndo pameleta shida nadhani sasa hizo Local Authorities hazikuhusishwa ndio maana mgogoro huo wa kuweka bicons umeleta maafa km hayo.

  • @emayanlimited2574
    @emayanlimited2574 Před 2 lety

    HOOO

  • @stephenmkiza7840
    @stephenmkiza7840 Před 2 lety +1

    Haka ka spika kakuda

  • @kimanmain3356
    @kimanmain3356 Před 2 lety

    Uyo speak ni mchinga can pole can bunge we2

  • @joan13
    @joan13 Před 2 lety

    Hawa watu n kmmq duh

  • @barakabusima
    @barakabusima Před 2 lety

    hawa watu mzee huwawezi 😁

  • @geraldndila3236
    @geraldndila3236 Před 2 lety

    Nahao mnaowahamisha ?!!

  • @godfreybikukana2079
    @godfreybikukana2079 Před 2 lety

    Tulia unatumika haupo kibunge unazimisha watu wafuateunavyotaka

  • @hellensaneth7431
    @hellensaneth7431 Před 2 lety +1

    Sasa hao wanaohamishwa ni mifugo au🙆🙆🙆