Ole Sendeka abanwa na Spika, achomoa hoja, amvaa Waziri 'anamuuzia Rais mbuzi kwenye gunia'
Vložit
- čas přidán 19. 06. 2022
- Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole-Sendeka amejikuta katika wakati mgumu bungeni leo katika kutoa tafsiri za sheria mbele ya Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson wakati akichangia mjadala wa kupitisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa Fedha 2022/2023, jijini Dodoma leo. Sendeka alikuwa akitumia vifungu vya sheria kupinga zoezi linaoendelea Loliondo na Simanjiro la uhifadhi kwa baadhi ya maeneo hayo.
Mhe. Pole sana kwa kibano Cha Kisheria na kikanuni.
Lakini Wananchi tumekusikia na kukuelewa.
Kama maeneo hayana watu kwann watu wanahamishwa? na kujengewa nyumba?
kwann sasa anamfanya achanganyikiwe jamani Olesendeka maskini😂😂
Ili afuate anachokitaka yeye that's all
Kwa waliomuelewa Ole Sendeka watamuunga mkono ila kama hujamuelewa huwezi elewa kitu kinachoendelea
Mh Mbunge wa simanjiro mungu akubariki wananchi tuliokuchagua tunakuelewa
Wamasai hii nchi tumekuwa kama wavamizi Leo hii ....mwenyez mungu atusaidie
aisee poleni sana. kinatuuma nchi nzima ila sasa tunafanyaje mzee mzima? Magu walau alikua anajali watanzania zaidi ya wageni
Mmmmmh
Ataa kama hatujasoma sheria, kama sheria ipoo, ikajaa nyingine, iliyo kuwepo itaendelea kufanya kazii au ndo imefuta.
Hii ilikuwa inamuhitaji Tundu lissu mgemsikia sipaka wenu anatulia tuliiiiii dadeq
Speaker or a judge?
Huuu nao n ubabe kama ubabe mwinginee,
Kuna nn loliondo jmn?
Kama hayana wananchi kwanini mnawajengea nyumba
Yana watu sana tu 😭😭
Tunajenga kwasababu tulijaliwa na mungu
Ni muda wa kuandika sheria kwa kiswahili . Mzee wanamkazia to
Hatari
Lakini hao wanaohamishwa wanatoka wapi Kama maeneo hao hayakaliwi?
Daaah maswali ya kujiulza ya msingi sana lakin kimsingi watu tupo
Hapa patamu Sana kweli speaker Yuko vizuri
Pole sana Christopher Ole Sendeka.
Hiyo ndiyo sisiemu Yako.
Hapo ndipo penye mgogoro kwa mujibu wa hizo sheria km zilivyosomwa hapo ktk kuanzisha hizo Game reserves kutoka mapori tengefu kimsingi hapa ndo pameleta shida nadhani sasa hizo Local Authorities hazikuhusishwa ndio maana mgogoro huo wa kuweka bicons umeleta maafa km hayo.
Sana
HOOO
Haka ka spika kakuda
Uyo speak ni mchinga can pole can bunge we2
Hawa watu n kmmq duh
hawa watu mzee huwawezi 😁
Nahao mnaowahamisha ?!!
Tulia unatumika haupo kibunge unazimisha watu wafuateunavyotaka
Sheria unasemajee?
Sasa hao wanaohamishwa ni mifugo au🙆🙆🙆
Wamevamia
@@fandeyh.mashimba156 kama wamevamia kwanini wajengewe nyumba??
😣
🤣🤣🤣🤣🤣 mhe bunge ach nao
Congratulations mhe saneto simanjiro