MTIFUANO BUNGENI; ASKOFU GWAJIMA WAZIPIGA NA OLE SENDEKA" HUYU NI TAPELI"WAZIRI DKT. ASHATU AINGILIA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 31. 01. 2023
  • #UhondoTV #Uhondo

Komentáře • 159

  • @sarahmwakisu2702
    @sarahmwakisu2702 Před rokem +3

    Asante kwa hoja nzuri zinazoendelea kwenye bunge letu tukufu la Tanzania. Ombi langu kwa wataalamu wetu watoa hoja na wabunge wetu watusaidie kutumia kiswahili kamili ili na mimi mkulima wa darasa la 7 nielewe hoja inayoendelea pia tutasaidia kuifanya lugha yetu ya kiswahili ikue kuliko kutumia hayo maneno INSENTIVE CAPACITY na PERFOMANCE wengine tunashindwa kuelewa maana ya mjadala unaoendelea chonde chonde ndugu zetu bungeni wasomi tusaidieni kutumia kiswahili fasaha. Asante sana.

  • @ip_header
    @ip_header Před rokem +15

    Nilianza kumuelewa Ngwajima lkn kwa maelezo ya wabunge wenzake kuna harufu ya ufisadi

  • @ceciliapastory7476
    @ceciliapastory7476 Před rokem +1

    Mimi ni team GWAJIMAAAAA namkubali Sana 🙏🏼🙏🏼🙏🏼 anaeleweka

  • @geoffreylufumbi6960
    @geoffreylufumbi6960 Před rokem +1

    Wewe Uhondo TV Pambafu sana wewe! Kichwa na habari yenyewe tofauti! Utakuja fungwa

  • @daudysanga8492
    @daudysanga8492 Před rokem +4

    Utapeli huwo asante olesendeka zambia wanalia wachina sio watu wazuri.

  • @missangela6720
    @missangela6720 Před rokem +5

    20% kwa 80% bado tunapigwa tu kama ngoma 😂😂😂

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 Před rokem +1

    Gwajima namkubali sana lakini kwa hapo hapana....utadhania kalambishwa asali vile. si kwa kutetea huko. au hesabu imempiga chenga leo?
    20% sisi kwa 80% wachina anatetea vipi mradi huo?
    itakuwa bure kweli? tunapata mashaka

  • @paulinekisanga5441
    @paulinekisanga5441 Před rokem +7

    Tuache madini yetu! Tuchimbe wenyewe!!

  • @jumasaghida5492
    @jumasaghida5492 Před rokem +7

    Mungu akupe ulinzi ukweli hawapendiii

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 Před rokem +1

    Uzalendo uko wapi jamani?
    kama ni ufisadi huo nao umenizidi jamani dah!

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 Před rokem +1

    Tujifunze lujipendelea kama wengine nao wanavyojipendelea. Uzalendo uanzie kwenye kulipenda taifa lako. Tusikubali kuwa shaba la bibi. why?

  • @paulmwangoka
    @paulmwangoka Před rokem +17

    ascofu anaeleweka vizuli sana Kwa yeyote mwenye utashi atakubaliana nae mungu akuzidishie hekima na ushauli mzuli katika kuliendeleza taifa hili Kwa masrahi ya nchi yetu ubalikiwe sana mtumishi

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 Před rokem +1

    Waliosaini huo mkataba nao wametuuza kwa bei ya nyanya mbovu. Hata uzalendo na mcho yao haupo. tungaangushana kweli.

  • @ommyzubery8358
    @ommyzubery8358 Před rokem +4

    Sasa ukweli ni upi ikiwa nyinyi mnapingana mbona mnatutoa imani mna bahatisha tu hapo bungeni na kamati mnapiga allowances za safari tu huku wananchi wanakamuliwa kwa kodi tu mbali mbali hamtoshi mmeshindwa jiunzuluni mpishe wengine

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 Před rokem +1

    Bora sana walivyouzima huo mkataba wa kifisadi. jamani tumechoka kuwa shamba la bibi.
    mkataba gani huo kweli?
    Yaani pesa yetu, makaa yetu, ardhi yetu, nchi yetu halafu tuambulie 20% na mchina aondoke kwao na 80%? haiwezrkani.
    ujinga mtupu

  • @fadhilimoshi5754
    @fadhilimoshi5754 Před rokem +3

    Bunge halina chalenge ni uhuni mtupu watu wa chama kimoja watajikosoaje? Msitu mpya nyani walewale.

  • @mrbeanclips3896
    @mrbeanclips3896 Před rokem +1

    Gwajima mpigaji tuu

  • @suleymaniabdallah4446
    @suleymaniabdallah4446 Před rokem +2

    Namuelews sana gwajima kwenye hoja na maswali hongeza juhufi na niaha ya kweli huje kuokoa tanzania

  • @paulinekisanga5441
    @paulinekisanga5441 Před rokem +3

    20/100% ya mali yetu inawezekanaje???

  • @richardmwita9280
    @richardmwita9280 Před rokem

    Thanks for sharing with me

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 Před rokem +2

    Waziri anampa taarifa mchangiaji hahaaaaa

  • @salumjabir813
    @salumjabir813 Před rokem

    Hahahahaha...yote sawa wakipata sawa wakikosa sawa...nchi hovyo.

  • @musaisandeko8352
    @musaisandeko8352 Před rokem

    Mchungaji safari hii umechunga mbuzi ni wajanja haooooooo

  • @moviekaa
    @moviekaa Před rokem +1

    80% kwa 20% sijaelewa hapo.

  • @feiswalsalim2117
    @feiswalsalim2117 Před měsícem

    njee hatuma mafunzoo husina kufunza tembo kuelewa hili nineneo husikabkwa binadamu jee holo mumelifanyia kaxi jee itawekana

  • @daudysanga8492
    @daudysanga8492 Před rokem +1

    Ufisadi huwo bwawa la mwalimu nyerere litafanya kazi gani kama unampa mkataba miaka100

  • @shabanimungazija7272
    @shabanimungazija7272 Před rokem +1

    Tunakushukuru bwana gwajima teteeni nchi sisi huku tukiongea tunaogopa tusaidieni

  • @williammwamalanga2000
    @williammwamalanga2000 Před rokem +2

    gwajima unatetea mafisadi looh

  • @faustinejoseph7702
    @faustinejoseph7702 Před rokem +2

    Gwajima apokee somo kwa wenzake

  • @amiriadam9730
    @amiriadam9730 Před rokem +2

    Hapo gwajima unataka kuitapeli nchi.
    Haiwezekani awamu tatu zote zilione jambo hilo halifai halafu wewe utuaminishe kua ni mradi wenye faida na nchi.
    Ubaya zaidi unatutamanisha kisha tukitoa hoja za kukataa wewe unatoa angalizo la vitisho vya kulipa fidia za kusaini.😀😀😀

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 Před rokem

      Hawa ndo wale wanaishi na wanachokiamini

  • @selestinomwasa2911
    @selestinomwasa2911 Před rokem

    Hapo mchungaji Gwajima naona ni diri moja na hao wachina na ile kamati iliyoenda hadi China ikamatwe

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 Před rokem +1

    fikiria 20% tubaki nayo sisi wenye nchi yetu na mtaji ni wetu halafu ati 80% waondoke nayo wajanja halafu bila haya tunashabikia!
    Ina maana hata hesabu rahisi tu ya kujumlisha na kutoa nayo watanzania inatushinda? au ni uzalendo hatuna? au uwezo wa kufikiri ni mgogoro?
    Kazi iko

  • @babalao910
    @babalao910 Před rokem +4

    Umetumwa gwajima

  • @yusuphjilala846
    @yusuphjilala846 Před rokem +1

    Wataalamu mafisadi

  • @selemanionela
    @selemanionela Před rokem

    ongeleni sana wabunge Kwa kweli wananchi munatupambania

  • @mndambokilavo2502
    @mndambokilavo2502 Před rokem +5

    Kwa nin hatufanyi wenyewe???? Kwani lazima mwekezaji

    • @mohdshebe5640
      @mohdshebe5640 Před rokem

      Ndio hatuwezi kuchimba hatuna utaalamu

    • @mndambokilavo2502
      @mndambokilavo2502 Před rokem

      @@mohdshebe5640 kwanin tusitengeneze wataalam wetu wenyewe lini tutakuwa nao kama ndio tatizo kweli???

    • @MM-pd9ys
      @MM-pd9ys Před rokem

      @@mndambokilavo2502 PLO Lumumba aliwahi kusema kuwa "Afrika ni dhaifu". Ni mambo mengi tu hatuwezi kufanya!

    • @judicalosika7642
      @judicalosika7642 Před rokem +1

      @@mohdshebe5640 kwani Nini vyuo vyoote vikuu havifundishi utaalamu!! Au ni mtajia hakuna😆

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 Před rokem

      @@judicalosika7642 wanaacha kusomesha vijana wanawaza uwekezaji wa kipumbavu Kama huu

  • @kasanaeliudi2596
    @kasanaeliudi2596 Před rokem +1

    Gwajima wewe ukoje??unachokitetea ni Nini hapo??huu ni wizi uliotukuka.!wao wabebe 80% na sisi 20%???HAIWEZEKANI

  • @joelmwanza6009
    @joelmwanza6009 Před rokem

    Gwajiboy anabishana na mtaalam aliyekuwa Chair wa Kamari ya Viwanja. Kufanya kosa si kosa bali kurudia kosa ni kosa. Lkn naona Kama kakubali yaishe kiaina!😀😀😀

  • @darajalakidatukilomgi2362

    Hapo kwenye miaka 100 sikubaliani kabisa, na hapo kwenye asilimia 20 hapana kabisa, mpango wa kifisadi kama mwizi

    • @oscarmario466
      @oscarmario466 Před rokem

      Hapo Kuna mahesabu ya gharama za uendeshaji na mtaji 20% ni haina gharama yoyote

    • @marieconnect6389
      @marieconnect6389 Před rokem +1

      @@oscarmario466 hakuna kitu hapo. tunaanbiwa ati sis tutasevice mitambo na umeme tuuziwe pia..
      utapeli mtupu... huo ni ufisadi

  • @feiswalsalim2117
    @feiswalsalim2117 Před měsícem

    kee thamaa nini kwa hlllbjee thanaa nininkwa huo mrado ndio tuede

  • @shemndolwasatieli5058
    @shemndolwasatieli5058 Před rokem +2

    Uzalendo ni muhimu sana kwa nchi yetu wapo viongozi wapo selikarini sio wazalendo kwa taifa letu la Tanzania 🇹🇿 wapo kuumiza uchumi wa Tanzania Nakajima piga kazi

  • @mcback4384
    @mcback4384 Před rokem +1

    Gwajima hapa umepuyanga sana, mtu anakuja na technologies tu ndio apewe 80% hakuna kitu kama hicho

  • @naimunaimu2312
    @naimunaimu2312 Před rokem

    nakuona mbunge wangu Dr Ashatu hapo

  • @abilaimahamud1657
    @abilaimahamud1657 Před rokem +2

    Anaona milioni 600$ hela nyingi 😂😂😂😂😂

  • @evangelistayubus.msenye7613

    Wanapinga wachina...na wakati huo mikataba mikubwa wamepewa wachina....halafu Misaada wanaomba marekani.....bandari na mabarabara....na mengine mengi

  • @abrahammollel
    @abrahammollel Před rokem

    Ivi simanjiro kata ya Terrat sio Tanzania🇹🇿

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 Před rokem

    Hapa sasa ipo shida ukiona serikali na wadau wake waki defend sana ni ktk kuwalinda wabadhilifubGwajima tunakutegemea sana kwa hili

  • @michaeldanielmshana2535

    Sasa mradi wa $3b serikal ikope$2 na $b400 huyu mzee changmot

  • @stevesungura6789
    @stevesungura6789 Před rokem

    Yaani hawa ccm bhana, mikataba ya kifisadi wamesaini wao halafuwanataka tuwasikilize wakibishana. Nchi ilishawashinda

  • @yusuphjilala846
    @yusuphjilala846 Před rokem +1

    Wezi watupu hao

  • @mohdshebe5640
    @mohdshebe5640 Před rokem +3

    Aaaaa hizi ndio siasa ya Tanzania sijui nani mkweli kila mtu mjuwaji . ..huyu anajenga huyu anabomoa cjui nani mkweli hasa

  • @babalao910
    @babalao910 Před rokem +6

    Bishop gwajima umezingua

  • @mussamagunguli6937
    @mussamagunguli6937 Před rokem

    Gwajima unaowatetea kwa utaalamu hawa ndio wanaotuhujumu usitiamishe kwa suala LA mikataba vinginevyo Gwajima amepewa kitu kutetea huo mradi

  • @ShomariShukuru-kh2uz
    @ShomariShukuru-kh2uz Před 8 měsíci

    Tumbuaneni mna tuibia sana

  • @kasanaeliudi2596
    @kasanaeliudi2596 Před rokem +1

    Gwajima anazingua

  • @jonathanmnyone4003
    @jonathanmnyone4003 Před rokem +1

    Siku inakuja ambapo makaa ya mawe yatapigwa marufuku kutumika kama makaa kutokana na uchafuzi wa mazingira. Yatakapopigwa marufuku yatatudodea. Tuhakikishe huu mradi unaendelezwa lakini si kifisadi.

  • @lucyfrank6297
    @lucyfrank6297 Před rokem +1

    Hogera

  • @fumbukavicent5186
    @fumbukavicent5186 Před rokem

    1.2 billion dollars ndio gwajina anaona ni point ya maana. Kingine ni miaka 100. Hajafikiria juu ya mwekezaji huyo anachukua kias gani.

  • @ulayaz
    @ulayaz Před rokem +1

    Gwajima mpgaji

  • @kennethngoleka
    @kennethngoleka Před rokem

    Hapa Kuna Jambo viongozi wengine siyo waaminifu,taifa letu ni tajiri Sana lakini wanaotumwa wengine hawaaminiki,ombi watanzania tunaomba kamati iundwe kuifuatilia timu iliyotajwa na mh ngwajima,hapo Kuna kinachoendelea binafsi.

  • @serianjamal8254
    @serianjamal8254 Před rokem

    Gwajima huwa nakuelewa ila kwa hili umeboronga, yaani muwekezaji kwanza hana deposit yakutosha, pili ma tatu yeye achukue asilimia 80% na nchi yetu ibakiwe na asilimia 20% kweli hii inakuingia akilini😡🤨🤨🇬🇧

  • @kingibandajembe2247
    @kingibandajembe2247 Před rokem +1

    Bora umetumbua japo wote ni vilaza

  • @paulinekisanga5441
    @paulinekisanga5441 Před rokem +1

    Tuchimbe wenyewe!!!!

  • @Princewaweru
    @Princewaweru Před rokem

    Rais wangu kikwete alikuaga anatazama anasikiliza mwisho anaamua kucheeeeeeka.... Kicheko fran hivi ahahaha haha!

  • @seanmurray6516
    @seanmurray6516 Před rokem

    Sio mladi huu ni mradi huu

  • @seanmurray6516
    @seanmurray6516 Před rokem

    Hoja yako nzuri sana lakini jaribu kujirekebisha katika matamshi pahala pa R na L sipeke yako muko wengi lakini hayo ni makosa ndo maana sasa inasemekana kua kiswahili kizuri na hata english ni Kenya.

  • @musaissa7463
    @musaissa7463 Před rokem

    Asa huyo anayepiga makofi nyuma yako hapo kila kitu anakuelewa kweli askofu!!!!!!?!!!!!!!

  • @PPLPPL-ld3vu
    @PPLPPL-ld3vu Před rokem

    Gwajima,utaongea,ukweli,lakini,,,hutaeleweka, had, hao,wanaekupa,taarifa,.........unafikiri,,....................

  • @fkirumba1463
    @fkirumba1463 Před rokem

    Ufalme kufitiana!!! Wanajichanganya wenyewe

  • @rashidisalehe8614
    @rashidisalehe8614 Před rokem +1

    Kumbe mueshimiwa ntuwadili

  • @isihakamahawi7793
    @isihakamahawi7793 Před rokem

    Gwajima alitaka kuingiza chaka watu na mishe zake za ufisadi akahisi watu hawaujui uo mkataba 😂.. watu wanampa facts zenye evidence anabaki kukataa

  • @gabrielkaisan5675
    @gabrielkaisan5675 Před rokem

    Mbona km Gwajima katumwa??? anatumia tarakimu za hela kuhadaa kwamba ni nyingi wakati kiuhalisia kinachostahl ni king zaidi... Kwanza 2014 hakuwa mbunge na sidhani km alikuwa ameshaset plans, zaidi sana wanaotoa taarifa ni watu waliokuwepo kwenye process nzima

  • @kennethngoleka
    @kennethngoleka Před rokem

    Mchungaji ameveshwa kamzu ndani ya kamati baada ya kuona hatakubali

  • @innocentmwashambela
    @innocentmwashambela Před rokem

    CCM mbonaivo jaman

  • @seanmurray6516
    @seanmurray6516 Před rokem

    Kwanini Gwajima huwezi kusema Biashara unasema Biashala kwanini huwezi kusema Tayari unasema Tayali, na Kwanini huwezi kusema Wizara unasema wizala na Kwanini huwezi kusema Serikali unaema Selikali ??????????

  • @shukranitv2971
    @shukranitv2971 Před rokem

    Gwajima anajua kutengeneza hoja zenye ushawishiii hapo hata Kama muda umeisha lazm spka atasema endelea tu

  • @yusuphjilala846
    @yusuphjilala846 Před rokem

    Siwa jinga! Mwekezaji umpe80au50hunaakili

  • @robertlinuma6051
    @robertlinuma6051 Před rokem +5

    Gwaji leo kachapwa !!

  • @yudaseleman8320
    @yudaseleman8320 Před rokem

    Waitwe wabunge waupinzani ndo weny akili Zaid wa mambo uyu gwajima anaujuaji wa juu juu tu

  • @hassanmugire1497
    @hassanmugire1497 Před rokem

    Mwamba anajua Sana

  • @japhetnzunda99
    @japhetnzunda99 Před rokem +3

    Huyu kfeli leo Bishop gwajima

  • @marthaswai1185
    @marthaswai1185 Před rokem

    Nani mkweli hapo ,ngoja tusubiri

  • @seanmurray6516
    @seanmurray6516 Před rokem

    Not velliy good ni very good

  • @fortunatuskadinda9745

    kama nakuerewa hivi

  • @michaelgibril8594
    @michaelgibril8594 Před rokem +3

    Ugwajima apewe ulinzi,

  • @michaelgibril8594
    @michaelgibril8594 Před rokem +7

    NAONA TAARIZA NI MBINU YA KUPOTEZA HOJA KUU NA MUDA

  • @flova7022
    @flova7022 Před rokem

    Mnaendeleaa kuchima chumba

  • @josephmugala1970
    @josephmugala1970 Před rokem

    Ccm woote
    Ni takataka

  • @bazilmateru915
    @bazilmateru915 Před rokem

    Bunge la mafala

  • @jareengeorge5478
    @jareengeorge5478 Před rokem +3

    Mimi na ukoo wangu.tumekuchagua wewe uwe Raisi wetu.

  • @danielishachiluge8301
    @danielishachiluge8301 Před rokem +2

    Gwajima piga kazi mungu anakuona

  • @charlesseba2000
    @charlesseba2000 Před rokem

    Askofu kaingia kwenye biashara.. shame on you

    • @fantacyfour8040
      @fantacyfour8040 Před rokem

      You don't know a thing, yeye is honor and defending a country so cool down he is man of God let Him do his work

  • @josephrutta6834
    @josephrutta6834 Před rokem

    Mh GWAJIMA hapa awe makini, mikataba ya Wachina INA matatizo yake, UKWELI waweza kumshushia sana TRUST. Hata wale wa Bagamoyo walikuwa wamesaini tayari, na China walikwenda, ila nkataba bomu. Panahitaji moyo wa jiwe kwenda CHINA, afu ukarudi mikono mitupu kwa ajili ya Taifa lako. Mh. Gwajima be careful, Wachina siyo MAZUZU.

  • @simonmwasile4377
    @simonmwasile4377 Před rokem +1

    Pambaf

  • @jareengeorge5478
    @jareengeorge5478 Před rokem

    Wewe ndiye Raisi wangu ujae.Mungu akulinde.

  • @raybirry3816
    @raybirry3816 Před rokem +1

    Gwajima mcheza senema za ngono hakustahili kutiwa bungeni,ni dharau kwa watanzania.

  • @kakorejrboyz6447
    @kakorejrboyz6447 Před rokem +1

    Kweli 20%Tanzania na 80%China huku Makaa ni YETU
    KWAJIMA KUMBE NA WEWE NI UPCOMING KAFISADI😭😭😭😭

  • @anselmmjings52
    @anselmmjings52 Před rokem +2

    Kimeumana

  • @dauddauson5652
    @dauddauson5652 Před rokem

    Nchi yako baba Mimi nakushikuli ulikonitoa toa na Tanzania pia,nyumayako tupo naima pamoja nawe baba.

  • @edwinelias8554
    @edwinelias8554 Před rokem +4

    Namuunga mkono my Bishop Dr Joseph kwa hoja nzuri na team committee iliyoundwa imeumdwa na wataalamu wenye uelewa mkubwa inayojenga Tanzania tunaitaji kupiga hatua na kuwa na viongozi wenye uelewa mkubwa ili tupige hatua

    • @marieconnect6389
      @marieconnect6389 Před rokem +1

      unamuunga mkono bishop au uniunga mkono huo mpango wa kifisadi? maana hata mtoto hawezi kuwaelewa hao watanzania wenzetu walitaka kutupeleka wapi na huo mkataba wa aina hiyo. ndiyo maana wanachunguzwa maana dah 20/80 kwa miaka 100 haingii akilini. hadi mwili unasisimka kwa mshangao