LEMA Asimulia GWAJIMA ALIVYOMWAMBIA LISSU "Usiende Dodoma, Utapigwa RISASI"

SdĂ­let
VloĆŸit
  • čas pƙidĂĄn 28. 02. 2023
  • LEMA Asimulia GWAJIMA ALIVYOMWAMBIA LISSU "Usiende Dodoma, Utapigwa RISASI"
    WATCH WASAFI TVđŸ“ș
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM đŸ“»
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI đŸ“» | 104.1 DODOMA đŸ“» | 94.5 ARUSHA đŸ“» | 97.3 MBEYA đŸ“» | 94.9 MWANZA đŸ“» | SHINYANGA 106.3 đŸ“» | KIGOMA 101.7 đŸ“»
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    đ‘Ș𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 đ‘Ÿđ’‚đ’”đ’‚đ’‡đ’Š 𝑮𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑹𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Komentáƙe • 704

  • @KipazaOfficial
    @KipazaOfficial Pƙed rokem +18

    Nikiziangalia hizi sura naona Kabisa kuna siku zitachoka maisha magumu na propaganda za watawala na kuaminishwa umaskini ni haki yao
naomba siku hiyo Mungu asimame upande wa wananchi🙏🏿🙏🏿😱😱

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 Pƙed rokem +26

    Eti ... Nimerudi Kwa wito wa kuipigania nchii.....Eti nikampigia Kikwete.....Eti wasiliana na Mama....
    Siku Moja mtamtaja tu aliye..muua JPM... Katika maneno ya siasa zenu za kutaka kuiiba Tz... Iwe heri Kwa watz

    • @abbiecox1
      @abbiecox1 Pƙed rokem +2

      WATASEMA TARATIBU

    • @neemamwandoto8293
      @neemamwandoto8293 Pƙed rokem +1

      Wauwaji hao hawana lolote wenyewe naona walitaka wamuue mapema alivowagundua walitaka atafute mbinu gani wanabahati hao ipo siku yao

  • @dickaugustino8238
    @dickaugustino8238 Pƙed rokem +23

    Ila lema unapaswa kuja na mipango mizuri ya namna ya kuikomboa nchi kiseera na sio kusema habari za magufuri, coz he was the best than ever to most of tanzanian 75%

    • @japhetkasenga8686
      @japhetkasenga8686 Pƙed rokem +1

      Hujawahi kuwa humiliated ndio maana unaongea huu upumbavu

    • @ibrahimsengo2506
      @ibrahimsengo2506 Pƙed rokem +2

      Kwann cdm mtu akiwa tofauti nanyi lazima neno mpumbavu, mjinga nk yaan mnataka uhuru ambao amtak wengine wawe nao

    • @marieconnect6389
      @marieconnect6389 Pƙed rokem +1

      @@japhetkasenga8686 humiliated?
      tunaelewa uzito wa hilo neno?
      watanzania wengi wamekuwa humiliated kiasi cha kutosha. hivi utasamaje mtu anapochukua hela za walipa kodi anazichezea na familia yake na watu wake? mtu unalipa kodi halafu ukienda hospital unadhalilika huduma hakuna mara dawa hazipo wakati kodi unalipa. halafu unawaona wengine wakiugua kidogo wanakimbilia nje ya nchi kutibiwa kwa pesa hizo hizo za wananchi wengine. hayo si yainatokea na yanaeleweka? huo ni nini kama siyo udhalilishaji?
      yapo mengi ya udhalilishaji yanafanywa hatuwezi kuyataja yote hapa.
      jamani tuacheni wengi wetu tumevurugwa. tunauguliwa na mzazi wetu mzee halafu ameenda hopt matibabu hakuna.....unataka mtu tujisikiaje? wakati kodi na hela za miamala tunakatwa kila siku.
      si afadhali huyo yuko ughaibuni na family wanakuja raha na matibabi ya bure?

    • @dorisfabian4776
      @dorisfabian4776 Pƙed rokem +1

      Yaani wewe ni mpumbavuuuuu natamanigi wafuasi wa magufuli nao wamfate huko aliko wakachomeke pa1 na mshenzi yule

    • @chundabadsingasinga3130
      @chundabadsingasinga3130 Pƙed rokem

      Huna akili

  • @teddyshedafa2940
    @teddyshedafa2940 Pƙed rokem +5

    Pole baba mungu akupe maisha marefu zaidi sipo kilimanjaro bali nipo pamoja na bawacha wenzangu toka kanda ilala kata segerea pepooooossss

  • @mokiaolenaputu7648
    @mokiaolenaputu7648 Pƙed rokem +1

    Pole sana kamanda Lema. Herode amekufa, Yesu amerudi Galilaya injili inaendelea

  • @robinsonrespicius2713
    @robinsonrespicius2713 Pƙed rokem +15

    JOHN WAS A DECISIVE MAN A HIGH CALLIBER MAN
    NO ONE IN CHADEMA OR IN CCM HAVE THE STRENGTH THE RITHLESSNESS OF JOHN
    JOHN MAGUFULI IS AFRICA ITSELF
    KUJARIBU KUMSEMA ETI NI MWENDAZAJE SIJUI NI NINI
    NA HUKU MAMBO YAMEBADILIKA MIFUMUKO YA BEI KUSHUKA THAMANI KWA SHILLING , MAISHA MAGUMU
    HUWEZ KUICHAFUA OIL CHAFU ULISHAAMBIWA NA KONK MASTER
    VIVA JOHN

  • @jeradbendiliba3828
    @jeradbendiliba3828 Pƙed rokem +35

    Gwajima he is man of God

    • @mbwanarajab4756
      @mbwanarajab4756 Pƙed rokem

      No he is a man of sattan

    • @ahz6907
      @ahz6907 Pƙed rokem +1

      Are u sure?😅

    • @jeradbendiliba3828
      @jeradbendiliba3828 Pƙed rokem +1

      @@mbwanarajab4756 😂😂😂 Oky time will tell us

    • @mwigarleysaid5406
      @mwigarleysaid5406 Pƙed rokem

      @@ahz6907 Ok What about you đŸ€ŠđŸŒâ€â™€ïžđŸ€ŠđŸŒâ€â™€ïž

  • @happymwaluko8779
    @happymwaluko8779 Pƙed rokem +5

    Prof Wajackoya salute kwako

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 Pƙed rokem +4

    watanzania wamechoka maneno matupu wanataka maisha bora yenye uhakika wa chakula, elimu bora, mavazi na matibabu bora.
    Porojo hazisaidii lolote zimeweza kusaidoa wewe kuishi vizuri na familia yako ughaibuni. watu wengine nao wanataka maisha mazuri pia.
    Lets sera zenye ubora na ubunifu kaka Lema. Tumechoka hadithi.

  • @mkuluwaukae2221
    @mkuluwaukae2221 Pƙed rokem +30

    Nawaza sana enzi za uhai wa gadafi,
    Wananchi walikua hawalipi kodi, umeme,ada ya shule na vyuo,na matibabu ni bure,na ukitaka kuoa unapewa pesa ya mahari na unapewa nyumba bure,na pesa ya kujikimu hata kama hauna kazi, ila pia libya walikua hawana huu ujinga za siasa za kihayawani! Lema punguzeni ulevi,kabla hamjaongea na watu! Maana watanzania wengi wana akili sana siku hizi!

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 Pƙed rokem +6

    ulishafanikiwa kujenga nazingira ya kwenda nje kupata ukimbizi wa kisiasa na familia yako mko poa saa hizi...elimu bure chakula na mavazi bure na malazi bure. Wengine hapa kwetu wanateseka namna ya kupata milo miwili kwa siku.
    Njoo na sera zenye ubunifu wa kupata unafuu wa maisha. watu wamechoka maneno.

    • @mahnalamry
      @mahnalamry Pƙed 2 měsĂ­ci

      Hadi leo mke na watoto bado wako Canada

  • @modycadabra8721
    @modycadabra8721 Pƙed rokem +33

    Tupe maneno achana na Jpm mana cc hatutakuelewa hata kidogo

  • @nice58765
    @nice58765 Pƙed rokem +28

    Did not know Prof W was involved in helping him, God bless you Prof.

  • @khatamiyusuphsakala-wi8sc
    @khatamiyusuphsakala-wi8sc Pƙed rokem +18

    Hapo Kwa kikwete na lema na mama Kuna jambo katikati yaan unapigiwa simu kuambiwa mwenda zake ameenda nataka kurudi nyumbani hayo maneno yana ulakini ndani yake mtalipwa kama mlimfanyia rais wetu sisi wanyonge

  • @profs.a5412
    @profs.a5412 Pƙed rokem +2

    Duuu!!! Wajakoya ni mwamba saanaaaa , Asante Prof wajakoya

  • @marygregory7566
    @marygregory7566 Pƙed rokem +6

    Yaan kwa sasa hv ukitaka kuwatibua watanzania mkashifu magufuli

  • @turabiturabishekilindi1210
    @turabiturabishekilindi1210 Pƙed rokem +13

    Wote njia moja.angalieni Mambo ya kujadili maisha magumu huku hatutaki hayo Mambo yenu tena mnatutonesha vidonda r I p uncle magu tutakukumbuka daima, dad ata mungu alimwambia mtume ole wako upendwa na kila mtu

  • @pendojeremiah1023
    @pendojeremiah1023 Pƙed rokem +2

    Muacheni RAISI WETU KIPENZI MAGUFULI apumzike kwa amani ukweli huwa unachelewa ila uongo ni rahisi kutapakaa mnamuhukumu mtu pasipo jua,kwa kazi aliyoifanya magufuli hawezi kukosa maadui kwasababu ni mtu alikuwa na maamuzi bila kuyumbishwa na kupelekeshwa pls mmeshamuua basi mwecheni Apumzikr time will tell R.I.P MAFUFULI😱🙏

  • @mwitawambura2548
    @mwitawambura2548 Pƙed 4 měsĂ­ci +5

    Chadema mnatakiwa mmteuwe God bless lema awe karibu wa itikadi na uwenezi wa Chama chenu
    Huyu jamaa ana madini mengi kweli kumzidi yule mlie nae
    Huyu ndo ataweza kupelekeana moto na makonda

  • @omaryidd4373
    @omaryidd4373 Pƙed rokem +16

    lema mungu akuongoze

  • @lovierlion-vs9rn
    @lovierlion-vs9rn Pƙed rokem +12

    Ila mbowe n jasiri na ana Mungu

  • @philipngeso8883
    @philipngeso8883 Pƙed rokem +13

    Mungu bariki wajakoya

  • @yusuphchankwa4759
    @yusuphchankwa4759 Pƙed rokem +19

    Hata mumseme vibaya vipi magufuli wetu au magufuli wangu hamuwezi mkamfuta ndani ya moyo wangu

  • @BGHaule
    @BGHaule Pƙed rokem +29

    Professor Wajacko is the real man

  • @kawiche4911
    @kawiche4911 Pƙed rokem +15

    ASALI MMELISHWA NYIE
    USITUPIGIE KELELE
    SI UMERUDI WALIOKUITA
    WAMEKUAGIZA UJE KUTUPIGIA KELELE. KWENYE MAJUKWAA YA SIASA
    MAGUFULI NI KIPENZI CHA WATANZANIA WALIO WENGI ACHA KUMCHAFUA JINA .

    • @lukemelyemposola885
      @lukemelyemposola885 Pƙed rokem

      Hawa ndiyo wanafiki kweli nahisi ndo waliyo muua kwanini mnazungumza na mtu ambaye Wala hayupo halafu Dunia nyie hamjaona mataifa yaliyo mwaga damu hayo mbona utani sana maendeleo nikazi kubwa sana siyo hivyo vimaneno acheni kutudanganya magufuli hata afufuke Leo tunampa kura siyo nyie mwacheni rais Samia aongoze nchi nyie Bado hamjakomaa yenu makelele tu hamnajipyaaaaa Hanna sera njaa tu

    • @deogratiuswambura7597
      @deogratiuswambura7597 Pƙed rokem

      Lema aya unayo yasema usizani magufuli akuacha watu hapa inchini ipo siku nyie na uyo kikwete wako mtaondoka

    • @deogratiuswambura7597
      @deogratiuswambura7597 Pƙed rokem

      Lema kwa maneno hayo hauna rorote unabwatuka turetee siasa ulio jifunza uko

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 Pƙed rokem +34

    Ama kweli siasa ngumu. Yaani JPM ameondoka miaka miwili sasa lakini watu bado wanaweweseka hawaachi kutafuta namna ya kupanda ngazi kwa kutumia mgongo wake. kweli JPM hutaweza kufa akilini mwa watu...utaishi milele.

    • @dostovan5142
      @dostovan5142 Pƙed rokem +2

      Mmh maovu hayasauliki, hawa pia ni watanzania

    • @jeunajuatv817
      @jeunajuatv817 Pƙed rokem +3

      Mtu kuwa mzuri kwako haina maana ni mzuri kwa wote. Je maguful hakutoa tamko vichomw vifaranga

    • @innocentmtashobya1257
      @innocentmtashobya1257 Pƙed rokem +2

      Wajinga ni wengi nchi hii..mtu anaelezea yaliyomkuta ww unaleta mahaba uchwala..ma Rais wamepita wangapi?.kwa nn ni Magufuri ndo anasemwa vibaya peke yake..acheni uzuzu..Tatizo ni ukayumba..haya ni masuala yanayoitaji uelewa

    • @godsson5954
      @godsson5954 Pƙed rokem +2

      mtoto wako akibakwa utasahau aliyembaka hata ikipota miaka kumi? omba Mungu tunapaswa tuipende sana nchi yetu na Raisi wetu wa sasa ana upendo wa dhati sana na sana tofaut na aliyepita

    • @troyano_22
      @troyano_22 Pƙed rokem

      Ataishi kwako tu.

  • @meddymushmaz551
    @meddymushmaz551 Pƙed rokem +11

    Wewe ukianza kungea mambo ya JPM hapo ndipo mnapokwama shenzi, kwanza sisi hatuwatambui nyinyi ni matapeli wakisiasa

    • @happinessmwenda2773
      @happinessmwenda2773 Pƙed rokem

      MUNGU HAONGWI WALA HATUKUZI MWANADAMU

    • @Omary_Mjema
      @Omary_Mjema Pƙed 2 měsĂ­ci

      Kweli ujinga mwingi sana aisee yani mmeanza kuabudu watu sasa na mabaya yao aiseee

  • @emmabrownmissana6996
    @emmabrownmissana6996 Pƙed rokem +21

    Kumbe we ni zaidi ya mjinga!

    • @Aida-qh3jq
      @Aida-qh3jq Pƙed rokem

      Huyu Mzee ana akili zilihama au ukimwangali hivi hayuko sawa

    • @hilaliusjohn8386
      @hilaliusjohn8386 Pƙed rokem

      Kumbe wewe ni zaidi ya kahaba

  • @minskbelarus7255
    @minskbelarus7255 Pƙed rokem +8

    CHADEMA bana, unaweza kuwasikiliza na ni sawa na kuangalia OTTOMAN 😝😝😝😝😝😝

  • @luganojohn2673
    @luganojohn2673 Pƙed rokem +40

    Leta mpango kazi wa kutatua matatizo ya watanzania acha story nyingi mambo yamebadilika

    • @abbiecox1
      @abbiecox1 Pƙed rokem +3

      LAZIMA APIGE KITU KIZITO KWANZA VICHWANI MWA WAJINGA KISHA ALETE POROJO SIASA

    • @jeunajuatv817
      @jeunajuatv817 Pƙed rokem +3

      Kaa na matatizo yako mbwa ww mbn ww hutaki kusikiliza matatizo yake

    • @machintangachibwena5922
      @machintangachibwena5922 Pƙed rokem +1

      😂😂😂😂😂

    • @mohammadoman8963
      @mohammadoman8963 Pƙed rokem +1

      @@jeunajuatv817 hayatuhusu

    • @jeunajuatv817
      @jeunajuatv817 Pƙed rokem +2

      @@mohammadoman8963 yenu pia hayamuhusu

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 Pƙed rokem +1

    Jamani chadema hivj like neno lenu mliloanzisha la UFISADI limeishia wapi?
    Mbona huo msamiati umetoweka kabisa midomoni mwenu. Habari yake ikoje?
    Kwanini mnaliogoa kulitamka hilo neno? Au mnataka kusema ufisadi umeisha?
    Tupeni majibu jamani hatujasahau.
    Ilikuwa neno lililowapa umaarufu nchi nnzima.
    Sasa limeishia wapi?
    mnatuacha na maswali tutayafufua kipibdi cha uchaguzi sababu hamjatoa majibu.

    • @marieconnect6389
      @marieconnect6389 Pƙed rokem +1

      wanajipoteza sababu wao wenyewe ndiyo ma..... wenyewe. neno limewageukia wenyewe

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 Pƙed rokem +20

    MNAJISUMBUA HAMUWEZI KUFUTA LEGACY YA NYERERE +JPM LAANA ITAWATAFUNA. NA HUYO BI TOZOOOO WENU.,NONSENSE

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 Pƙed rokem +14

    Watz hapo wanasikiliza story

  • @ramadhanimtambo6755
    @ramadhanimtambo6755 Pƙed rokem +22

    Watu wamepata taabu sana halafu wakiambiwa ubaya uliopita hawakubali. Tuombe mungu sana tuwe na amani

    • @kawiche4911
      @kawiche4911 Pƙed rokem +7

      Na mkiambiwa uzuri hamuamini
      Jpm
      Shujaa wa Afrika Acheni kumchafua jina
      Kauzeni madini mdanganye ni Mchanga
      KAUZENI BANDARI YA BAGAMOYO KWA WACHINA
      WATANZANI SIO WAJINGA

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 Pƙed rokem +3

      ​@@kawiche4911 wewe ni mjinga kuliko mwendazake

    • @joegemihayo8625
      @joegemihayo8625 Pƙed rokem +2

      @@marcokaroje8980 Sio mjinga tu ni mpumbavu wahedi

    • @otmanmbwilo9117
      @otmanmbwilo9117 Pƙed rokem

      @@marcokaroje8980 ww unaakili kwahiyo

    • @lukafbbwebelof3874
      @lukafbbwebelof3874 Pƙed rokem +3

      Wanao kataa kazi za MAGUFULI, wanalinganishwa na mzimu ulio hai

  • @damsonwilson5202
    @damsonwilson5202 Pƙed rokem

    Wewe Unazengua jambo Moja tuuuu kushambulia watumishi wa Mungu

  • @kilalamuhumba4612
    @kilalamuhumba4612 Pƙed 4 měsĂ­ci +1

    Kama mnataka uongozi ombeni kistaarabu acheni uongo bwana! Mama anafanya kazi vizuri mbona! CCM OYEEE

    • @Imaniamockgmail
      @Imaniamockgmail Pƙed 3 měsĂ­ci

      đŸŽ‰đŸŽ‰đŸŽ‰đŸŽ‰đŸŽ‰đŸŽ‰đŸŽ‰đŸŽ‰â€

  • @emmanuelkateba3545
    @emmanuelkateba3545 Pƙed rokem +1

    Very touching

  • @jescarwegoshola1754
    @jescarwegoshola1754 Pƙed rokem +2

    đŸ€”, makubwa pole, Mungu ni mwema 🙏

  • @anisabassedondi5513
    @anisabassedondi5513 Pƙed rokem +6

    Poleni sana,kwa yote yaliyowapata.

  • @solomonpeter1824
    @solomonpeter1824 Pƙed rokem +69

    Hapa ndo utajua mbivu na mbichi. Na kukimbia kote kama unavyotudanganya, hakuna ulilojifunza umerudi kwenye nchi yako bado unamtukana na kumdhihaki Hayati Magufuli. Mungu hadhihakiwi cha msingi ukipata nafasi ya kutoka kujifunza nenda jifunze rudi tuambie cha maana na nn cha kusema. Huo umati wote wanakushangaa sana kaa chini tafuta namna ya kuongea na watu. Pia epuka kuwachonganisha viongozi wastaafu kama walikusaidia ni jambo la kusema asante na siyo kuweka hadharani, mm cyo mwana siasa bali mzalendo naipenda nchi yangu but sipendi kusema uongo na nawaheshimu viongozi waliopo na waliotangulia

    • @samwelimoshi5614
      @samwelimoshi5614 Pƙed rokem +3

      Pole

    • @samsonfulgence5553
      @samsonfulgence5553 Pƙed rokem +11

      Mfuate Chato kama unamtaka.

    • @WildStanley01
      @WildStanley01 Pƙed rokem +16

      @@samwelimoshi5614 Amekudanganya nini sasa..kwenye hii dunia kunamtu ambae hajui kua mwendazake alikuwa anaonea upinzani ?

    • @geofreylucas7870
      @geofreylucas7870 Pƙed rokem +3

      Hawawezi kukuelewa hawa bado watakupinga sana

    • @simonballu1124
      @simonballu1124 Pƙed rokem

      nenda chato mpumbavu wewe na usenge wako.

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 Pƙed rokem +5

    Bwana Lema we mwache JPM amepumzika kwa amani. Sikufichi wapo wengi walimpenda sana na bado wanaomboleza kuondoka kwake. bado watu wana maumivu rohoni.
    Hii inakuondolea ushabiki.
    we kazania na mambo yajayo achanna na yaliyopita hayakujengi.

    • @BGHaule
      @BGHaule Pƙed rokem

      Aisee watu wengine ni heri wakae kimya,kwani hakuna mtu alikuwa anaona nini kinaendelea

  • @simonlulenga7062
    @simonlulenga7062 Pƙed rokem +2

    Hii nchi bwana! Mlikosea sana kumkabidhi rungu chizi. Shukuruni Mungu aliwaona watanzania akamlaza pema peponi.

    • @rechalbarama6758
      @rechalbarama6758 Pƙed rokem +1

      kila mamlaka yatoka kwa MUNGU ,,, ukituliza akili utagundua una matatizo ya kuto fikili vema na kutoa majibu sahihi

    • @gilmangeorge366
      @gilmangeorge366 Pƙed rokem

      @@rechalbarama6758 acha zako ww unataka kusema iddi amini,adolf hitler,benito musoni,wale madikteta walioua watu nao mamlaka zilitoka MBINGUNI

  • @enocepaulkumba9362
    @enocepaulkumba9362 Pƙed rokem +1

    Pole sana kamanda!

  • @jumaedward7110
    @jumaedward7110 Pƙed rokem

    Mungu ni mwema

  • @abednego3876
    @abednego3876 Pƙed rokem +4

    NYIE NA MAMA SAMIA NA KINA KIKWETE NI KITU KIMOJA, HI MIKUTANO MMERUHUSIWA ILI MUMMSEME JPM ILA TAMBUENI MWAKA MMOJA WA URAISI WA JPM NI SAWA NA WA SAMIA MIAKA 10

    • @pendojeremiah1023
      @pendojeremiah1023 Pƙed rokem

      NImepata picha kwann raisi wetu alikufa ila Mungu atatulipia

  • @edgartz3367
    @edgartz3367 Pƙed rokem +8

    Duh😭😭😭😭

  • @rajihijarajihija8371
    @rajihijarajihija8371 Pƙed rokem +10

    Polesana kaka yetu

  • @prudencemushi6948
    @prudencemushi6948 Pƙed rokem +2

    Tumetoka Mbali Mungu anaipenda Tanzania

  • @bcozhenry2698
    @bcozhenry2698 Pƙed rokem +3

    Dah! Hivi kumbe baada ya Magu kufa Rais alibaki kikwete? Ukiunganisha haya ya Lema na ya Kikwete msibani chato unapata maruweruwe... Bora waanze ukurasa mpya, kuendelea kumtaja JPM watajikuta wamesema yote waliyoyafanya na nchi itakuwa ya moto

  • @ezekiambise2595
    @ezekiambise2595 Pƙed rokem +3

    God bless God bless lema

  • @fredyosokoni7672
    @fredyosokoni7672 Pƙed rokem +2

    Pole Sana mpingania haki Mungu Amubariki Sana muteeesi yawengi

  • @gangmore9091
    @gangmore9091 Pƙed rokem +2

    Ukitaka kujua Watanganyika wengi Mazezeta soma comments Ukitaka kuwatawala watu wanyime elimu bora watie umaskini đŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ˜…

    • @margrethvegula-wc7px
      @margrethvegula-wc7px Pƙed rokem

      Kuwa na elimu haimaanishi una busara Kuna watu wengi tu Wana pesa na elimu ila bado ni bogus

    • @gangmore9091
      @gangmore9091 Pƙed rokem

      @@margrethvegula-wc7px umefahamu nilichokiandika??

  • @emmanuelmasele9585
    @emmanuelmasele9585 Pƙed rokem +1

    Karibu Lema

  • @johnnyoni3976
    @johnnyoni3976 Pƙed 6 měsĂ­ci +1

    NAKUELEWA SANA LEMA

  • @josh_versal8180
    @josh_versal8180 Pƙed rokem +32

    Vijana huku chuo tunawakubali Chadema sana

    • @abbiecox1
      @abbiecox1 Pƙed rokem +5

      wengi mtakubali ushoga pia huo ni mwanzo wanakuja na haki mpaka za kuwaruhusu vijana kutumia makalio yao

    • @stephanokaaya1881
      @stephanokaaya1881 Pƙed rokem

      Chuo Gani hicho aisee?

    • @abbiecox1
      @abbiecox1 Pƙed rokem

      @@stephanokaaya1881 TUSUBIRI YA KENYA VIJANA WENGI WANATAFUTA KAZI KWA KIGEZO CHA ELIMU PASIPO UBUNIFU. KUKIMBILIA SIASA NI KWA MAANA YA KUPATA SULUHISHO LA AJIRA TU

    • @shubackmashinga3535
      @shubackmashinga3535 Pƙed rokem

      Zero akili chuo kinapokea hata vichaaa

    • @shubackmashinga3535
      @shubackmashinga3535 Pƙed rokem

      Pole sana chuo

  • @danieljustus6441
    @danieljustus6441 Pƙed rokem

    Pr Wajakoya Mungu ambariki saana

  • @giftyjackson2461
    @giftyjackson2461 Pƙed rokem

    Pole sana

  • @charlesmazigo8106
    @charlesmazigo8106 Pƙed rokem +6

    Lakini Cha ajabu lissu mwenyewe aliulizwa kuhusu kuambiwa na gwajima kwamba asiende Dodoma na atapigwa risasi ,na alikana kuambiwa jambo hilo,so Mimi sielewi

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Pƙed rokem +5

    Daah aisee kumbe huyu jamaa ame ponea kufa😭 magu alikua katili mno

    • @marieconnect6389
      @marieconnect6389 Pƙed rokem +1

      Usiwe kama benders fuata upeo bana. fikiria kwanza.
      Mbona wengine hatukufa?
      Sanasana tulifurahia tupata haki zetu mahakamani, polisi, mitaani ziilizokuwa zimeporwa na wajanja wenye nguvu. miajali ilipungua baranarani? hospitalini huduma bora na dawa zilikuwepo Nile ubaguzi, ujambazi ulitoweka na vifo vilipungua sana tena sana. Masikini na sisi tulifurahia kula chakula milo mitatu kwa siku. Matabaka ya wenye pesa na wasio nazo yalipungua kwa kiasi kikubwa haijawahi kutokea....uonevu kwa wasionacho uliondoka,
      maofisini nidhamu ilikuwepo huduma kama kazi. Unadhani hiyo ilikuwa kazi ndogo? Au hiyo kwa kutafsiri yako ni uonevu? jamani fikiti na utumie akili kabla ya kutoa comments. tusiwe kama "maji fuata mkumbo"

    • @marieconnect6389
      @marieconnect6389 Pƙed rokem

      Janja yenu hiyo ya kwenda kutafuta maisha mazuri na familia zenu ughaibuni. kule mkimbizi nyumba bure, matibabu bure, chakula bure na elimu za watoto wenu bure. Mbona hamarudishi watoto wenu hapa kwenye vumbi? mnawapeleka kupata maisha bora halafu nyie mnarudi kutupiga pororjo tupu watanzania.
      Tuna macho na akili zetu jamani.

  • @goodluckkamaghe3871
    @goodluckkamaghe3871 Pƙed rokem

    Pole Sana kwa mapito

  • @tichamawani6953
    @tichamawani6953 Pƙed rokem

    Kunguru mwoga ukimbiza bawale ! Pole sana dogo

  • @yawepetro2049
    @yawepetro2049 Pƙed rokem +6

    Jpm kumbe ulikufa kwa Sababu yetu alikufa mtetezi wetu wawanyonge😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

    • @mbwanarajab4756
      @mbwanarajab4756 Pƙed rokem

      Mtetezi wa wanyonge haui wenzake

    • @dorisfabian4776
      @dorisfabian4776 Pƙed rokem

      Muuaji mkubwa yule na huko aliko kama hakutubuuu moto unamuwakia mshenzi kabisa magu

  • @robertzingu9889
    @robertzingu9889 Pƙed rokem +4

    Mmh😯😯😯😯!!
    Ni kweli haya??

  • @barackpeter.3852
    @barackpeter.3852 Pƙed rokem +19

    Rip Magufuri 🙏

  • @ibrahimsaid4263
    @ibrahimsaid4263 Pƙed rokem +2

    Majamaaa waongo sana aseee dah

    • @mohamedsuleiman2785
      @mohamedsuleiman2785 Pƙed rokem +1

      Yanii benii sanan vip au kwa sababu sio watu wako vip lissu au kw sababu sio wewe yalio kukuta

  • @nicholauspeter6278
    @nicholauspeter6278 Pƙed rokem

    Mnachefua sana yaan watu wazima hovyo sana hv hamuoni aibu mnayoyazungumza hapo mnajifanya watu wa Mungu kumbe utopolo tu

  • @phinah9728
    @phinah9728 Pƙed rokem

    Wasafi hakuna dogo.# no .1 on trending

  • @jeunajuatv817
    @jeunajuatv817 Pƙed rokem

    Ipo trending no one duuuh

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 Pƙed rokem +3

    Siasa za masimulizi.....
    Hii ni Tz bro..... Acha maneno... . Maisha yanaendelea... iwe heri Kwa watz

    • @jacksongabriel4693
      @jacksongabriel4693 Pƙed rokem

      Lema we nitapeli tu hamna lolote unavo mwongelea magufuli aliye acha alama kwenye nchi hii we umeacha nn kwenye nch hii zaidi ya utapel kumbe ww na kikwete lenu moja

  • @josh_versal8180
    @josh_versal8180 Pƙed rokem +4

    I wish Magufuli angekua hai na akasikia alichokua anakifnya angelia sana wanasema ukitaka kumjua mtu mpe Mamlaka,pesa na unyumba

  • @jeradkanyuru5745
    @jeradkanyuru5745 Pƙed rokem +1

    Mbona mama..ukaruusi..siasa..mambema..mbona ivo..mama

  • @gaspercharles4242
    @gaspercharles4242 Pƙed rokem

    People's power nichama kilichotupa uhuruna kilichopomadarakani hadisasa kwaridhaa yawanachi walio wengi wenyekusema power....naonimbumbukama kamahuyo heis likemoving shedow.

  • @robinsonrespicius2713
    @robinsonrespicius2713 Pƙed rokem +4

    yaaani sema vyote ila ukimsema JPM hapo unaonekana hauna kitu chochote

    • @WildStanley01
      @WildStanley01 Pƙed rokem

      Asiseme kwamba alikuwa anaonea upinzani?

  • @husseinyusuph5458
    @husseinyusuph5458 Pƙed rokem +7

    Wameruhusiwa mikutano ya hadhara wanaongea upuuz hiyo ndio dhamila ya kulilia mikutano ili muhadisiane utopolo kweli nyie bure kweli

  • @yudaseleman8320
    @yudaseleman8320 Pƙed rokem +6

    😭😭😭😭😭😭

  • @neemakillango4126
    @neemakillango4126 Pƙed rokem +2

    Ninapata ugumu moyoni nikikusikia unamchukia Magufuli😱..RIP MAGUFULI...

  • @happinessmwenda2773
    @happinessmwenda2773 Pƙed rokem +3

    NABII NA MTABIRI AMERUDI NYUMBA.WEWE NI YUSUFU MUNGU YUKO PAMOJA NAWE.SAUTI YA WANANCHI MAMBO YAMENOGA.MAMA OYEEEE MUNGU AKUPE ULINZI KWA WEMA WAKO.IRON LADY

  • @Jal210
    @Jal210 Pƙed rokem +1

    Kikwete enzi ya JPM aliufyata sasa kamtawala mama

  • @emmanuelzwallo3933
    @emmanuelzwallo3933 Pƙed rokem +3

    TATIZO HAMJAJUA JINSI YA KUWATEKA WATANZANIA.WATANZANIA HAWATAKI STORY NA NGONJERA ZA KUONA ETI UMETESWA,UMEDHURUMIWA NK..WEWE WAMBIE UKICHUKUA HATAMU UTALETA MAENDELEO GANI.NA SI KUHUBILI NGONJERA NGONJERA.MAANA KILA MTU ANA HISTORY YAKE.

    • @joezeno8
      @joezeno8 Pƙed rokem

      Siasa za kutafuta huruma kwa Watanzania, ajenda zao wakati wa Kikwete mzee Magu alizimeza zote

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 Pƙed rokem +1

    yaani kwenda kote nje tulidhani amrkuja na habari za maana atupe maarifa ya kuboresha hali zetu za kimaisha kumbe karudi kama alivyoondoka ni maneno yaleyale yasiyo na mpango kwa wananchi. Hizo story zake sisi zianatuhusu vipi jamani?
    Lete sera za maendeleo ulizojifunza huko kwa wenzetu.

  • @matumokimatumoki6424
    @matumokimatumoki6424 Pƙed rokem +4

    Nyinyi chadema mnauwana wenyewe mnasingizia serikali...

  • @stephendaud1014
    @stephendaud1014 Pƙed rokem +3

    Weah lema muongo sana af cha ajabu unamuweka na mwenyezi mungu bila ata aibu

  • @maulidrehani
    @maulidrehani Pƙed rokem +9

    Viva magufuri ..

    • @dorisfabian4776
      @dorisfabian4776 Pƙed rokem +1

      Kama hakutubu yule mshenzi basiii anateseka saizi...

  • @juliusjames4768
    @juliusjames4768 Pƙed rokem +1

    Acheni kutumia hisia na matako kufikiri kwenye mikutano yenu...someni alama za nyakati,..Njooni na strategies mpya za kuwakomboa watanzania..Mkikaa kumuongelea magufuli mtaangukia pua.

  • @user-ly9ul6lo4t
    @user-ly9ul6lo4t Pƙed 4 měsĂ­ci

    đŸŽ‰â€đŸŽ‰â€ wajakoyaa good bless

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 Pƙed rokem +3

    Sasa wewe kaka Lema muda woooote umetumia hujaongea sera yoyote mpya ya maana ya maendeleo unakazania kumpaka JPM matope. unatufanya kama wambea wa saloon za nywele vile.
    watu tunataka sera mpya ulizokuja nazo kumbe wala hujabadilika kuwa bora zaidi. Tumeshavhoshwa na mambo ya umbea tunataka sera zilizoenda shule.
    Unatumalizia bando zetu bure

  • @hoseastephen4508
    @hoseastephen4508 Pƙed rokem +1

    Jiwe alikuwa nyoko wallah! Kiukweli kabisa kama angekuwepo hadi sasa wapinzani wengi either wangekuwa jeala maisha au wameaga dunia!

    • @BGHaule
      @BGHaule Pƙed rokem +1

      Inawezekana nchi ingechafuka,watu wangechoka

    • @BGHaule
      @BGHaule Pƙed rokem +1

      Mambo yalishafika shingoni

    • @adrianalex5546
      @adrianalex5546 Pƙed rokem

      @@BGHaule uvn0l
      Ll

  • @weredismas4498
    @weredismas4498 Pƙed rokem +2

    So sad,freedom not easy

  • @muhidiniabdur2382
    @muhidiniabdur2382 Pƙed rokem +2

    Tatizo munatumia muda wote kueleza matatizo ya utawala wa magufuri , kasha kufa uyo mbona nanyinyi mawazo yenu yemekufa jpm,ngumu kuchafua magu

  • @aediayumgo8546
    @aediayumgo8546 Pƙed 4 měsĂ­ci

    Professor j kimya acha huyu mwenye nguvu sa hivi aseme ataujua mchango wawatu yakimkuta😊

  • @manp9091
    @manp9091 Pƙed rokem +1

    Tunaosoma comment tujuane

  • @samsonmsomi8330
    @samsonmsomi8330 Pƙed rokem +2

    Kwahiyo unadhani ukimsema JPM ndo tufanyeje, ngoja tukuambaie kitu ahsante kwa kuropoka, kikwete na Gwaji sio!? ngoja inyeshe tuone panapovuja

  • @samwelimwalindu3735
    @samwelimwalindu3735 Pƙed rokem +2

    Kwahapo nimekuelewa lemaa ngwajima bigap sana

  • @gilbertshirima2684
    @gilbertshirima2684 Pƙed rokem +2

    Ninasema kuna watu wanakufa lakini kwa matendo yao na mateso waliyosababisha historia lazima iandikweđŸ€”

  • @hussainmaulatz6758
    @hussainmaulatz6758 Pƙed rokem

    MAMA SAMIA MUNGU AKUWEKE SANA MAMA ETU UMEKOMAA KIDEMOCRASIA UPINZANI UNA HAKI YA KUWEPO NA KUA MPINZANI SIO ZAMBI WALA SIO LAANA KWA KUA WOTE TUNAJENGA NNCHI 1 .

  • @jonaspatrick2871
    @jonaspatrick2871 Pƙed rokem +2

    Mlikuwa mkiuza siri za serikali kwa mabeberu ndio maana mlikimbia baada ya kushtukiwa, ongea ukweli!!!!

    • @phaustinendumbashi
      @phaustinendumbashi Pƙed rokem

      We ndo choko kweli,,,hizo siri za serikali wamezipata wapi au walishawahi kuiongoza nchi au unaropokwa tuh

  • @hamoudabdullah5497
    @hamoudabdullah5497 Pƙed rokem

    Tumshukuru Allah kwa kumuondoa adui mkubwa wa nchi hii

  • @raphaelcharles4949
    @raphaelcharles4949 Pƙed rokem +5

    Zito ametuambia mlipokea offer, acha kudanganya

    • @christophergeorge5490
      @christophergeorge5490 Pƙed rokem

      We nae hujielewi kwahiyo ilitolewa na offer Lisu apigwe risasi au mihadarati inakupeleka kubaya

    • @abbiecox1
      @abbiecox1 Pƙed rokem

      KUMBUKENI YOTE ARACHUGA WENZAKE WATAJIFANYA WAMEMUELEWA!

  • @matumokimatumoki6424
    @matumokimatumoki6424 Pƙed rokem +5

    Utafutwe una nn ww acha uongo..

  • @salim02tv24
    @salim02tv24 Pƙed rokem +1

    13:23 ..... Kikwete ! Mama why ????????? Ukiwa na akiliii utaelewa achana na siasa chadema+ ccm ni wamojaa