LEMA Asimulia GWAJIMA ALIVYOMWAMBIA LISSU "Usiende Dodoma, Utapigwa RISASI"
VloĆŸit
- Äas pĆidĂĄn 28. 02. 2023
- LEMA Asimulia GWAJIMA ALIVYOMWAMBIA LISSU "Usiende Dodoma, Utapigwa RISASI"
WATCH WASAFI TVđș
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM đ»
88.9 DAR/ZNZ/PWANI đ» | 104.1 DODOMA đ» | 94.5 ARUSHA đ» | 97.3 MBEYA đ» | 94.9 MWANZA đ» | SHINYANGA 106.3 đ» | KIGOMA 101.7 đ»
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
đȘđđđđđđđđ ©2021 đŸđđđđđ đŽđđ đđ. đšđđ đđđđđđ đđđđđđđđ .
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Nikiziangalia hizi sura naona Kabisa kuna siku zitachoka maisha magumu na propaganda za watawala na kuaminishwa umaskini ni haki yaoâŠnaomba siku hiyo Mungu asimame upande wa wananchiđđżđđżđąđą
Eti ... Nimerudi Kwa wito wa kuipigania nchii.....Eti nikampigia Kikwete.....Eti wasiliana na Mama....
Siku Moja mtamtaja tu aliye..muua JPM... Katika maneno ya siasa zenu za kutaka kuiiba Tz... Iwe heri Kwa watz
WATASEMA TARATIBU
Wauwaji hao hawana lolote wenyewe naona walitaka wamuue mapema alivowagundua walitaka atafute mbinu gani wanabahati hao ipo siku yao
Ila lema unapaswa kuja na mipango mizuri ya namna ya kuikomboa nchi kiseera na sio kusema habari za magufuri, coz he was the best than ever to most of tanzanian 75%
Hujawahi kuwa humiliated ndio maana unaongea huu upumbavu
Kwann cdm mtu akiwa tofauti nanyi lazima neno mpumbavu, mjinga nk yaan mnataka uhuru ambao amtak wengine wawe nao
@@japhetkasenga8686 humiliated?
tunaelewa uzito wa hilo neno?
watanzania wengi wamekuwa humiliated kiasi cha kutosha. hivi utasamaje mtu anapochukua hela za walipa kodi anazichezea na familia yake na watu wake? mtu unalipa kodi halafu ukienda hospital unadhalilika huduma hakuna mara dawa hazipo wakati kodi unalipa. halafu unawaona wengine wakiugua kidogo wanakimbilia nje ya nchi kutibiwa kwa pesa hizo hizo za wananchi wengine. hayo si yainatokea na yanaeleweka? huo ni nini kama siyo udhalilishaji?
yapo mengi ya udhalilishaji yanafanywa hatuwezi kuyataja yote hapa.
jamani tuacheni wengi wetu tumevurugwa. tunauguliwa na mzazi wetu mzee halafu ameenda hopt matibabu hakuna.....unataka mtu tujisikiaje? wakati kodi na hela za miamala tunakatwa kila siku.
si afadhali huyo yuko ughaibuni na family wanakuja raha na matibabi ya bure?
Yaani wewe ni mpumbavuuuuu natamanigi wafuasi wa magufuli nao wamfate huko aliko wakachomeke pa1 na mshenzi yule
Huna akili
Pole baba mungu akupe maisha marefu zaidi sipo kilimanjaro bali nipo pamoja na bawacha wenzangu toka kanda ilala kata segerea pepooooossss
Pole sana kamanda Lema. Herode amekufa, Yesu amerudi Galilaya injili inaendelea
JOHN WAS A DECISIVE MAN A HIGH CALLIBER MAN
NO ONE IN CHADEMA OR IN CCM HAVE THE STRENGTH THE RITHLESSNESS OF JOHN
JOHN MAGUFULI IS AFRICA ITSELF
KUJARIBU KUMSEMA ETI NI MWENDAZAJE SIJUI NI NINI
NA HUKU MAMBO YAMEBADILIKA MIFUMUKO YA BEI KUSHUKA THAMANI KWA SHILLING , MAISHA MAGUMU
HUWEZ KUICHAFUA OIL CHAFU ULISHAAMBIWA NA KONK MASTER
VIVA JOHN
Gwajima he is man of God
No he is a man of sattan
Are u sure?đ
@@mbwanarajab4756 đđđ Oky time will tell us
@@ahz6907 Ok What about you đ€ŠđŒââïžđ€ŠđŒââïž
Prof Wajackoya salute kwako
watanzania wamechoka maneno matupu wanataka maisha bora yenye uhakika wa chakula, elimu bora, mavazi na matibabu bora.
Porojo hazisaidii lolote zimeweza kusaidoa wewe kuishi vizuri na familia yako ughaibuni. watu wengine nao wanataka maisha mazuri pia.
Lets sera zenye ubora na ubunifu kaka Lema. Tumechoka hadithi.
Ongeana serikali sio huyo
Nawaza sana enzi za uhai wa gadafi,
Wananchi walikua hawalipi kodi, umeme,ada ya shule na vyuo,na matibabu ni bure,na ukitaka kuoa unapewa pesa ya mahari na unapewa nyumba bure,na pesa ya kujikimu hata kama hauna kazi, ila pia libya walikua hawana huu ujinga za siasa za kihayawani! Lema punguzeni ulevi,kabla hamjaongea na watu! Maana watanzania wengi wana akili sana siku hizi!
Akili? Gan đđđ
Watz wote wanazo ila zako umeziacha chooni
@@truthnafact9081 ww ndio ulinipelekea
Na walipojaribu siasa za kihayawani ikala kwao mazima.
Moto hapana ulipelekewa na watz wengine
ulishafanikiwa kujenga nazingira ya kwenda nje kupata ukimbizi wa kisiasa na familia yako mko poa saa hizi...elimu bure chakula na mavazi bure na malazi bure. Wengine hapa kwetu wanateseka namna ya kupata milo miwili kwa siku.
Njoo na sera zenye ubunifu wa kupata unafuu wa maisha. watu wamechoka maneno.
Hadi leo mke na watoto bado wako Canada
Tupe maneno achana na Jpm mana cc hatutakuelewa hata kidogo
Akili huna
@@cavonboyblogger1995 yah inawezekana nikawa cna ila tunataka Sera co kumsema marehemu
@@cavonboyblogger1995 asee
Ukiwa na ubongo wa Kuku hautamuelewa
Hakika cc hatumwelew
Did not know Prof W was involved in helping him, God bless you Prof.
Hapo Kwa kikwete na lema na mama Kuna jambo katikati yaan unapigiwa simu kuambiwa mwenda zake ameenda nataka kurudi nyumbani hayo maneno yana ulakini ndani yake mtalipwa kama mlimfanyia rais wetu sisi wanyonge
Liseme hilo jambo, unalolijua acha porojo,
Mungu atalipa
Wauwaji hao wewe kuwapa kula hao Bora ni sawa na umempa kula simba
Hata Yesu alikimbiziwa misri mpaka Herode alipo kufa
Duuu!!! Wajakoya ni mwamba saanaaaa , Asante Prof wajakoya
Yaan kwa sasa hv ukitaka kuwatibua watanzania mkashifu magufuli
Wote njia moja.angalieni Mambo ya kujadili maisha magumu huku hatutaki hayo Mambo yenu tena mnatutonesha vidonda r I p uncle magu tutakukumbuka daima, dad ata mungu alimwambia mtume ole wako upendwa na kila mtu
Unamkumbuka Magufuli kwa lipi? Ni maisha gani Magufuli aliyafanya kuwa rahisi?
Hutaki ukweli wewe
Pumbavu kabisa.
Tulia weweee
Kufa mfuate ukapate maisha mazuri
Muacheni RAISI WETU KIPENZI MAGUFULI apumzike kwa amani ukweli huwa unachelewa ila uongo ni rahisi kutapakaa mnamuhukumu mtu pasipo jua,kwa kazi aliyoifanya magufuli hawezi kukosa maadui kwasababu ni mtu alikuwa na maamuzi bila kuyumbishwa na kupelekeshwa pls mmeshamuua basi mwecheni Apumzikr time will tell R.I.P MAFUFULIđąđ
Chadema mnatakiwa mmteuwe God bless lema awe karibu wa itikadi na uwenezi wa Chama chenu
Huyu jamaa ana madini mengi kweli kumzidi yule mlie nae
Huyu ndo ataweza kupelekeana moto na makonda
lema mungu akuongoze
Ila mbowe n jasiri na ana Mungu
Mungu bariki wajakoya
Hata mumseme vibaya vipi magufuli wetu au magufuli wangu hamuwezi mkamfuta ndani ya moyo wangu
Mbn cijasikia Magu akisemwa
Magu Alikuwa muuwajiđ
Watuache
@@owagatonny6558 alikuulia mama yako au baba yako shuwaain
Professor Wajacko is the real man
ASALI MMELISHWA NYIE
USITUPIGIE KELELE
SI UMERUDI WALIOKUITA
WAMEKUAGIZA UJE KUTUPIGIA KELELE. KWENYE MAJUKWAA YA SIASA
MAGUFULI NI KIPENZI CHA WATANZANIA WALIO WENGI ACHA KUMCHAFUA JINA .
Hawa ndiyo wanafiki kweli nahisi ndo waliyo muua kwanini mnazungumza na mtu ambaye Wala hayupo halafu Dunia nyie hamjaona mataifa yaliyo mwaga damu hayo mbona utani sana maendeleo nikazi kubwa sana siyo hivyo vimaneno acheni kutudanganya magufuli hata afufuke Leo tunampa kura siyo nyie mwacheni rais Samia aongoze nchi nyie Bado hamjakomaa yenu makelele tu hamnajipyaaaaa Hanna sera njaa tu
Lema aya unayo yasema usizani magufuli akuacha watu hapa inchini ipo siku nyie na uyo kikwete wako mtaondoka
Lema kwa maneno hayo hauna rorote unabwatuka turetee siasa ulio jifunza uko
Ama kweli siasa ngumu. Yaani JPM ameondoka miaka miwili sasa lakini watu bado wanaweweseka hawaachi kutafuta namna ya kupanda ngazi kwa kutumia mgongo wake. kweli JPM hutaweza kufa akilini mwa watu...utaishi milele.
Mmh maovu hayasauliki, hawa pia ni watanzania
Mtu kuwa mzuri kwako haina maana ni mzuri kwa wote. Je maguful hakutoa tamko vichomw vifaranga
Wajinga ni wengi nchi hii..mtu anaelezea yaliyomkuta ww unaleta mahaba uchwala..ma Rais wamepita wangapi?.kwa nn ni Magufuri ndo anasemwa vibaya peke yake..acheni uzuzu..Tatizo ni ukayumba..haya ni masuala yanayoitaji uelewa
mtoto wako akibakwa utasahau aliyembaka hata ikipota miaka kumi? omba Mungu tunapaswa tuipende sana nchi yetu na Raisi wetu wa sasa ana upendo wa dhati sana na sana tofaut na aliyepita
Ataishi kwako tu.
Wewe ukianza kungea mambo ya JPM hapo ndipo mnapokwama shenzi, kwanza sisi hatuwatambui nyinyi ni matapeli wakisiasa
MUNGU HAONGWI WALA HATUKUZI MWANADAMU
Kweli ujinga mwingi sana aisee yani mmeanza kuabudu watu sasa na mabaya yao aiseee
Kumbe we ni zaidi ya mjinga!
Huyu Mzee ana akili zilihama au ukimwangali hivi hayuko sawa
Kumbe wewe ni zaidi ya kahaba
CHADEMA bana, unaweza kuwasikiliza na ni sawa na kuangalia OTTOMAN đđđđđđ
Leta mpango kazi wa kutatua matatizo ya watanzania acha story nyingi mambo yamebadilika
LAZIMA APIGE KITU KIZITO KWANZA VICHWANI MWA WAJINGA KISHA ALETE POROJO SIASA
Kaa na matatizo yako mbwa ww mbn ww hutaki kusikiliza matatizo yake
đđđđđ
@@jeunajuatv817 hayatuhusu
@@mohammadoman8963 yenu pia hayamuhusu
Jamani chadema hivj like neno lenu mliloanzisha la UFISADI limeishia wapi?
Mbona huo msamiati umetoweka kabisa midomoni mwenu. Habari yake ikoje?
Kwanini mnaliogoa kulitamka hilo neno? Au mnataka kusema ufisadi umeisha?
Tupeni majibu jamani hatujasahau.
Ilikuwa neno lililowapa umaarufu nchi nnzima.
Sasa limeishia wapi?
mnatuacha na maswali tutayafufua kipibdi cha uchaguzi sababu hamjatoa majibu.
wanajipoteza sababu wao wenyewe ndiyo ma..... wenyewe. neno limewageukia wenyewe
MNAJISUMBUA HAMUWEZI KUFUTA LEGACY YA NYERERE +JPM LAANA ITAWATAFUNA. NA HUYO BI TOZOOOO WENU.,NONSENSE
Watz hapo wanasikiliza story
Story Gani za kipuuzi TU?
Watu wamepata taabu sana halafu wakiambiwa ubaya uliopita hawakubali. Tuombe mungu sana tuwe na amani
Na mkiambiwa uzuri hamuamini
Jpm
Shujaa wa Afrika Acheni kumchafua jina
Kauzeni madini mdanganye ni Mchanga
KAUZENI BANDARI YA BAGAMOYO KWA WACHINA
WATANZANI SIO WAJINGA
â@@kawiche4911 wewe ni mjinga kuliko mwendazake
@@marcokaroje8980 Sio mjinga tu ni mpumbavu wahedi
@@marcokaroje8980 ww unaakili kwahiyo
Wanao kataa kazi za MAGUFULI, wanalinganishwa na mzimu ulio hai
Wewe Unazengua jambo Moja tuuuu kushambulia watumishi wa Mungu
Kama mnataka uongozi ombeni kistaarabu acheni uongo bwana! Mama anafanya kazi vizuri mbona! CCM OYEEE
đđđđđđđđâ€
Very touching
đ€, makubwa pole, Mungu ni mwema đ
Poleni sana,kwa yote yaliyowapata.
Hapa ndo utajua mbivu na mbichi. Na kukimbia kote kama unavyotudanganya, hakuna ulilojifunza umerudi kwenye nchi yako bado unamtukana na kumdhihaki Hayati Magufuli. Mungu hadhihakiwi cha msingi ukipata nafasi ya kutoka kujifunza nenda jifunze rudi tuambie cha maana na nn cha kusema. Huo umati wote wanakushangaa sana kaa chini tafuta namna ya kuongea na watu. Pia epuka kuwachonganisha viongozi wastaafu kama walikusaidia ni jambo la kusema asante na siyo kuweka hadharani, mm cyo mwana siasa bali mzalendo naipenda nchi yangu but sipendi kusema uongo na nawaheshimu viongozi waliopo na waliotangulia
Pole
Mfuate Chato kama unamtaka.
@@samwelimoshi5614 Amekudanganya nini sasa..kwenye hii dunia kunamtu ambae hajui kua mwendazake alikuwa anaonea upinzani ?
Hawawezi kukuelewa hawa bado watakupinga sana
nenda chato mpumbavu wewe na usenge wako.
Bwana Lema we mwache JPM amepumzika kwa amani. Sikufichi wapo wengi walimpenda sana na bado wanaomboleza kuondoka kwake. bado watu wana maumivu rohoni.
Hii inakuondolea ushabiki.
we kazania na mambo yajayo achanna na yaliyopita hayakujengi.
Aisee watu wengine ni heri wakae kimya,kwani hakuna mtu alikuwa anaona nini kinaendelea
Hii nchi bwana! Mlikosea sana kumkabidhi rungu chizi. Shukuruni Mungu aliwaona watanzania akamlaza pema peponi.
kila mamlaka yatoka kwa MUNGU ,,, ukituliza akili utagundua una matatizo ya kuto fikili vema na kutoa majibu sahihi
@@rechalbarama6758 acha zako ww unataka kusema iddi amini,adolf hitler,benito musoni,wale madikteta walioua watu nao mamlaka zilitoka MBINGUNI
Pole sana kamanda!
Mungu ni mwema
NYIE NA MAMA SAMIA NA KINA KIKWETE NI KITU KIMOJA, HI MIKUTANO MMERUHUSIWA ILI MUMMSEME JPM ILA TAMBUENI MWAKA MMOJA WA URAISI WA JPM NI SAWA NA WA SAMIA MIAKA 10
NImepata picha kwann raisi wetu alikufa ila Mungu atatulipia
Duhđđđđ
Polesana kaka yetu
Tumetoka Mbali Mungu anaipenda Tanzania
Dah! Hivi kumbe baada ya Magu kufa Rais alibaki kikwete? Ukiunganisha haya ya Lema na ya Kikwete msibani chato unapata maruweruwe... Bora waanze ukurasa mpya, kuendelea kumtaja JPM watajikuta wamesema yote waliyoyafanya na nchi itakuwa ya moto
God bless God bless lema
Pole Sana mpingania haki Mungu Amubariki Sana muteeesi yawengi
Ukitaka kujua Watanganyika wengi Mazezeta soma comments Ukitaka kuwatawala watu wanyime elimu bora watie umaskini đ€Łđ€Łđ€Łđ
Kuwa na elimu haimaanishi una busara Kuna watu wengi tu Wana pesa na elimu ila bado ni bogus
@@margrethvegula-wc7px umefahamu nilichokiandika??
Karibu Lema
NAKUELEWA SANA LEMA
Vijana huku chuo tunawakubali Chadema sana
wengi mtakubali ushoga pia huo ni mwanzo wanakuja na haki mpaka za kuwaruhusu vijana kutumia makalio yao
Chuo Gani hicho aisee?
@@stephanokaaya1881 TUSUBIRI YA KENYA VIJANA WENGI WANATAFUTA KAZI KWA KIGEZO CHA ELIMU PASIPO UBUNIFU. KUKIMBILIA SIASA NI KWA MAANA YA KUPATA SULUHISHO LA AJIRA TU
Zero akili chuo kinapokea hata vichaaa
Pole sana chuo
Pr Wajakoya Mungu ambariki saana
Pole sana
Lakini Cha ajabu lissu mwenyewe aliulizwa kuhusu kuambiwa na gwajima kwamba asiende Dodoma na atapigwa risasi ,na alikana kuambiwa jambo hilo,so Mimi sielewi
Uongo wa kuwadanganya wananchi, hakuna jipya.
Na hutaelewa.
Daah aisee kumbe huyu jamaa ame ponea kufađ magu alikua katili mno
Usiwe kama benders fuata upeo bana. fikiria kwanza.
Mbona wengine hatukufa?
Sanasana tulifurahia tupata haki zetu mahakamani, polisi, mitaani ziilizokuwa zimeporwa na wajanja wenye nguvu. miajali ilipungua baranarani? hospitalini huduma bora na dawa zilikuwepo Nile ubaguzi, ujambazi ulitoweka na vifo vilipungua sana tena sana. Masikini na sisi tulifurahia kula chakula milo mitatu kwa siku. Matabaka ya wenye pesa na wasio nazo yalipungua kwa kiasi kikubwa haijawahi kutokea....uonevu kwa wasionacho uliondoka,
maofisini nidhamu ilikuwepo huduma kama kazi. Unadhani hiyo ilikuwa kazi ndogo? Au hiyo kwa kutafsiri yako ni uonevu? jamani fikiti na utumie akili kabla ya kutoa comments. tusiwe kama "maji fuata mkumbo"
Janja yenu hiyo ya kwenda kutafuta maisha mazuri na familia zenu ughaibuni. kule mkimbizi nyumba bure, matibabu bure, chakula bure na elimu za watoto wenu bure. Mbona hamarudishi watoto wenu hapa kwenye vumbi? mnawapeleka kupata maisha bora halafu nyie mnarudi kutupiga pororjo tupu watanzania.
Tuna macho na akili zetu jamani.
Pole Sana kwa mapito
Kunguru mwoga ukimbiza bawale ! Pole sana dogo
Jpm kumbe ulikufa kwa Sababu yetu alikufa mtetezi wetu wawanyongeđđđđđđđđđđđđđđđđđđđđđđđđđđđđđđđđđđđđđđđđđđđđđđđđđđđđđđđđ
Mtetezi wa wanyonge haui wenzake
Muuaji mkubwa yule na huko aliko kama hakutubuuu moto unamuwakia mshenzi kabisa magu
MmhđŻđŻđŻđŻ!!
Ni kweli haya??
Rip Magufuri đ
Majamaaa waongo sana aseee dah
Yanii benii sanan vip au kwa sababu sio watu wako vip lissu au kw sababu sio wewe yalio kukuta
Mnachefua sana yaan watu wazima hovyo sana hv hamuoni aibu mnayoyazungumza hapo mnajifanya watu wa Mungu kumbe utopolo tu
Wasafi hakuna dogo.# no .1 on trending
Ipo trending no one duuuh
Siasa za masimulizi.....
Hii ni Tz bro..... Acha maneno... . Maisha yanaendelea... iwe heri Kwa watz
Lema we nitapeli tu hamna lolote unavo mwongelea magufuli aliye acha alama kwenye nchi hii we umeacha nn kwenye nch hii zaidi ya utapel kumbe ww na kikwete lenu moja
I wish Magufuli angekua hai na akasikia alichokua anakifnya angelia sana wanasema ukitaka kumjua mtu mpe Mamlaka,pesa na unyumba
Mbona mama..ukaruusi..siasa..mambema..mbona ivo..mama
People's power nichama kilichotupa uhuruna kilichopomadarakani hadisasa kwaridhaa yawanachi walio wengi wenyekusema power....naonimbumbukama kamahuyo heis likemoving shedow.
yaaani sema vyote ila ukimsema JPM hapo unaonekana hauna kitu chochote
Asiseme kwamba alikuwa anaonea upinzani?
Wameruhusiwa mikutano ya hadhara wanaongea upuuz hiyo ndio dhamila ya kulilia mikutano ili muhadisiane utopolo kweli nyie bure kweli
Hujalazimishwa kusikiliza
đđđđđđ
Ninapata ugumu moyoni nikikusikia unamchukia Magufuliđą..RIP MAGUFULI...
NABII NA MTABIRI AMERUDI NYUMBA.WEWE NI YUSUFU MUNGU YUKO PAMOJA NAWE.SAUTI YA WANANCHI MAMBO YAMENOGA.MAMA OYEEEE MUNGU AKUPE ULINZI KWA WEMA WAKO.IRON LADY
Kikwete enzi ya JPM aliufyata sasa kamtawala mama
TATIZO HAMJAJUA JINSI YA KUWATEKA WATANZANIA.WATANZANIA HAWATAKI STORY NA NGONJERA ZA KUONA ETI UMETESWA,UMEDHURUMIWA NK..WEWE WAMBIE UKICHUKUA HATAMU UTALETA MAENDELEO GANI.NA SI KUHUBILI NGONJERA NGONJERA.MAANA KILA MTU ANA HISTORY YAKE.
Siasa za kutafuta huruma kwa Watanzania, ajenda zao wakati wa Kikwete mzee Magu alizimeza zote
yaani kwenda kote nje tulidhani amrkuja na habari za maana atupe maarifa ya kuboresha hali zetu za kimaisha kumbe karudi kama alivyoondoka ni maneno yaleyale yasiyo na mpango kwa wananchi. Hizo story zake sisi zianatuhusu vipi jamani?
Lete sera za maendeleo ulizojifunza huko kwa wenzetu.
Nyinyi chadema mnauwana wenyewe mnasingizia serikali...
Weah lema muongo sana af cha ajabu unamuweka na mwenyezi mungu bila ata aibu
Viva magufuri ..
Kama hakutubu yule mshenzi basiii anateseka saizi...
Acheni kutumia hisia na matako kufikiri kwenye mikutano yenu...someni alama za nyakati,..Njooni na strategies mpya za kuwakomboa watanzania..Mkikaa kumuongelea magufuli mtaangukia pua.
đâ€đ†wajakoyaa good bless
Sasa wewe kaka Lema muda woooote umetumia hujaongea sera yoyote mpya ya maana ya maendeleo unakazania kumpaka JPM matope. unatufanya kama wambea wa saloon za nywele vile.
watu tunataka sera mpya ulizokuja nazo kumbe wala hujabadilika kuwa bora zaidi. Tumeshavhoshwa na mambo ya umbea tunataka sera zilizoenda shule.
Unatumalizia bando zetu bure
Jiwe alikuwa nyoko wallah! Kiukweli kabisa kama angekuwepo hadi sasa wapinzani wengi either wangekuwa jeala maisha au wameaga dunia!
Inawezekana nchi ingechafuka,watu wangechoka
Mambo yalishafika shingoni
@@BGHaule uvn0l
Ll
So sad,freedom not easy
Tatizo munatumia muda wote kueleza matatizo ya utawala wa magufuri , kasha kufa uyo mbona nanyinyi mawazo yenu yemekufa jpm,ngumu kuchafua magu
Professor j kimya acha huyu mwenye nguvu sa hivi aseme ataujua mchango wawatu yakimkutađ
Tunaosoma comment tujuane
Kwahiyo unadhani ukimsema JPM ndo tufanyeje, ngoja tukuambaie kitu ahsante kwa kuropoka, kikwete na Gwaji sio!? ngoja inyeshe tuone panapovuja
Kwahapo nimekuelewa lemaa ngwajima bigap sana
Ninasema kuna watu wanakufa lakini kwa matendo yao na mateso waliyosababisha historia lazima iandikweđ€
MAMA SAMIA MUNGU AKUWEKE SANA MAMA ETU UMEKOMAA KIDEMOCRASIA UPINZANI UNA HAKI YA KUWEPO NA KUA MPINZANI SIO ZAMBI WALA SIO LAANA KWA KUA WOTE TUNAJENGA NNCHI 1 .
Mlikuwa mkiuza siri za serikali kwa mabeberu ndio maana mlikimbia baada ya kushtukiwa, ongea ukweli!!!!
We ndo choko kweli,,,hizo siri za serikali wamezipata wapi au walishawahi kuiongoza nchi au unaropokwa tuh
Tumshukuru Allah kwa kumuondoa adui mkubwa wa nchi hii
daah unahitaji maombi ndugu
Zito ametuambia mlipokea offer, acha kudanganya
We nae hujielewi kwahiyo ilitolewa na offer Lisu apigwe risasi au mihadarati inakupeleka kubaya
KUMBUKENI YOTE ARACHUGA WENZAKE WATAJIFANYA WAMEMUELEWA!
Utafutwe una nn ww acha uongo..
13:23 ..... Kikwete ! Mama why ????????? Ukiwa na akiliii utaelewa achana na siasa chadema+ ccm ni wamojaa