HOTUBA NZITO YA LISSU, AMVAA WAZIRI BASHE, ATAKA AJUZULU KWA MAZITO YA MPINA, USHAHIDI WATOLEWA
Vložit
- čas přidán 16. 06. 2024
- #TANZANIA: Lissu atoa hotuba nzito Itigi Manyoni Magharibi, amvaa Mbunge wa Jimbo hilo bila huruma, adai alipata kura mbili akakimbilia huko, amvaa Bashe kwa tuhuma za wizi wa mabilioni sakata la sukari, amtaka Rais Samia amfukuze Uwaziri haraka, aungana na Mpina, ushahidi watolewa.
Zaidi: • HOTUBA NZITO YA LISSU,...
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE CZcams Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram
Usipo.tuongelea wewe au kutusemea wewe nani mwingine ataweza akuna mwanaume km.wewe uliojitoa maisha yako kwaajili ya watanzania
Dah Ndio Tanzania yetu hiyo 😢
Watanzani chawa wanatumaliza Tuwakatae! Tumechoka
Shida bungeni tumejaza wafanyabiashara wengi asilimia wote tulikatae hili kila sehemu ukigusa mbunge yupo anatetea sehemu yake
Bashe anajifanyaga anakaza sana pia anajifanya mjuaji lkn mjanja mjanja sana na hili tatizo halitoisha km hatujachukua maamuzi ya kuwaweka pembeni
Naomba.chedema.muwe.pamoja.kujenga.inchi.pamoja.na.maendeleo.mbowe.tukuomba.mshikamano.viongozi.wote.afrika.nia.moja.tunakusihi.ww.ndiye.mwenyekiti.mungu.akupe.hekima.mengine.hakuja.chedema.juuuu
Sio wakati wa kampeni na kutoa sela.bali ni kuelemisha watu.kama hutaki kusikiliza kalale au kazibe masikio unanyonywa na huku una cheka cheka.achana na uchawa
Vuteni team zote muhimu ktk chadema hatuangalii chama tuanaangalia uwezo mkubwa wa mwana siasa vyma having tija kwetu tena km ni sera vyama vingi vina sera nzuri lakini Wana siasa wabovu ktk vyama hata ccm lna sera nzuri lakini Wana siasa wabovu ktk serekali na chama uongo mwingi kuliko haki
Halafu uteuliwe wewe au pelaka uchawa wa ccm huko
Mfano ni ccm wanaolimdwa na mwenuekiti wa chao labda ndio waliokufunha akili Chadema hayo mambo hayapo mfano ni halmashauri nyingi zilizokuwa na upinzani hasa Chadema zilisimamiwa vizuri kama serikaliningekuwa makini Leo tusingekuwa tunaongea ugoro kama huu ulioandika
Mungu ulie kila mahali unaona kila kitu. Uwalipe mishahara yao.
Tumechoka ccm tumeshituka walaji hao
IQ kubwa inawatesa Sana CCM, unafundisha elimu kubwa sana ndani ya Taifa letu Tanganyika, elimu iliyopotea imeanza kuwaingia watanganyika waliowengi wameanza kuyaelewa anayofundisha ❤❤❤❤❤❤
Komaeni cc tumeichoka
Kweli. Mnahitaji mabadiliko. Hivyo chagueni chama kingine. Chama tawala kimeonyesha dalili ya kuchoka sana. Itigi amkeni
Usipo.tuongelea wewe au kutusemea wewe nani mwingine ataweza akuna mwanaume km.wewe uliojitoa maisha yako kwaajili ya watanzania 7:09
Mmh! Mungu ingilia kati Tz
Amina🙏
Swala la aridhi ....tukicheza nazo siku zijazo itatuletea shida ....hasa aridhi za vijiji
Asiyeelewa elimuaitowayo Tundu Lissu huenda ni taahira. Mungu akubariki na kukulinda Lissu.
Tena tahira aliekunywa maji ya bendera ya ccm au chawa wa CCM
Mpina siyo wazir lisu
Hapo kwa serikali ya ccm watamchukia Mpina na sio Bashe
BASHE AJIUZURU HARAKA HATA HIVYO ÑI WASANII TU WANATUPIGA SANA IPO SIKU WATAJIFICHA CHOOOONI
Yani ni hasara inchi ilivyo
Ccm basi imetosha jamani
Lisu washauri watu wafanye kazi ni wavivu sana hao niliwapa kazi ya kulima wakashindwa ikabidi nikachukue vijana Arusha
Wooote wanaoichagua ccm sasa ni mavi, waliokosa kujitambua.
Usipo.tuongelea wewe au kutusemea wewe nani mwingine ataweza
Lissu naomba ujipatie ulinzi binafsi, nje ya ulinzi ulionao wa chama. Utanikumbuka
Dawa ni kulinda Kila hii habali tukipiga Kila tunarudi nyumbani harafu wanaiba hapo nd'o kusa
Ndugu yangu Victor Ngosi nakupongeza sana, Kwa MAONI yako mazuri Sana, ninayapenda Sana. Tukifanya hivyo yaani tupige Kura na kuzilinda Kura hakika tutashinda.
Bashe asijekuwa anapigwa vita maana kwa wale wakulima wa kahawa wanaweza kunielewa Kahawa kwa sasa imepanda kutoka 1500/= kwa kg na kufika 5600/= kwa kg
Korosho bei imepanda maradufu … na ufuta pia
Wakulima wa kahawa Kagera wanapangiwa namna na bei ya kuuza kahawa yao.
Ccm ilishakufa na magufuri, lililobaki ni kundi la waporaji wa raslimali za watanganyika, na wamepiga matrion ya pesa!, wananunu hadi wachezaji na wana miliki timu , mara kila goli, milion kadhaa , sasa hivi tumaini letu ni Lisu, madeleka, mpina, mwabukusi, heche lema, maombi yangu MUNGU wa mbinguni walinde watu hawa, ni zawadi tuliyopewa na MUNGU
Mpuuzi wewe zawadi uliyopewa na Mungu ni pumzi peke yake
@@huyu1993 wewe ndiye mpuuzi na mvimba macho agent wa wezi
Usimsahau Dr silaa nae anatupambania
@@huyu1993 wewe ndiye mpuuzi chawa wa ccm
Dorothy Msuya pamoja na kebei zako kujifanya umjuaji unavyomkebei na kumtusi Lisu,hujui kuwa kipenga cha kampeni bado,ndiyo maana Lisu na wengineo hawawezi kusema wakiwa rais,Mbunge diwani watawafanyia nini watanzania.Unatakiwa kujua hilo muda wa kampeni bado.
Hata kipenga kikilia hatoboi! Kwani zaidi ya kuropoka amewahi kumsaidia nani! Msijizime data jamani! Samia anatosha!! Heshimuni mawazo ya wenzenu!!
Mimi binafsi sioni anachonisaidia! Kama mnampenda mpendeni! Mnataka apendwe na wote kwani yeye pesa???
Wewe lisu acha fitina
Mheshimiwa kama Abdul anahusika mama hapo hawezi kuchukuwa maamuzi
waambie watu wafanye kazi acha porojo mzee
Yaani sukari ilifika 11,000 bashe kapambana wameagiza sukari nje mpaka tunanunua 2300 halafu bado mtu anasema mwizi huyu tayari amefika mwisho
Mkuu wa majeshi alisha toa tahadhari kuhusu watu wahamiaji kupewa madaraka.
Nenda zako wewe Mzee
Mambo ya Bunge hayajakuhusu,,,
Sasa mbona cdm nkama Cha Cha mtu au Cha family baba unapont za nguvu nakutufumbua macho
Kwa mtazamo wako.wewe hao waliotawala na watoto wao natawala tena huwaoni kwamba nchi inatawaliwa kimtandao wa kikundi nafamlya .???wewe unaona chadema ??pole punguza uchawa 😅😅😅😂😂😂
Huna lolote ulimpinga magu saiv unaongea nn
Vp maandamano yameishia wapi? Vp katiba ineishia wapi? Mbowe mbona yupo kimya? Anaonekana lissu peke yake? Naomba nijibiwe
waambie watsup wafanye kazi acha porojo zako mama mitano teno tumeamua sisi wa tz wasalendo wote
Hiv wewe una akili kweli
Kauli za vitisho na matusi mnapenda sana chadema, jifuzeni style ya Zitto hoja bila matusi🙊
40:27 Hakuna tusi lolote hapo ktk yote aliyosema Mh. Lisu. Ameongea ulweli mtupu hivyo kama umeguswa na huna mchango wa maana kwa wananchi tulia acha kupotosha ujumbe wa Mh. Tundu A. Lisu
Mheshimiwa. Risu. Mbona. Hamzungumuziii. Wakurima. Sasa. Hivi. Mazao. Hayana. Bei. Kabisa. Wakurima. Tunariya sana. Yani sana. Tunariya. Mazao. Hayana. Beii. Kabisa tusaidie. Utusemee
Endereea tu kuriaaaa hadi Risu asikie kirio chakoo
Mnaenda upepo hii ilikuwa Point za mpina
Kamanda Yuko pamoja
Daaa inatisha
Wewe jembe la watanzania wote
Ufisadi hauletwi na mfumo . Unaletwa na mtu mmoja mmoja mwenye tamaa." Kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe" ccm kuna watu wazuri na wabaya hata chadema nako kuna wazuri na wabaya. Mama anajua kutafuta pesa nje ndo maana nampenda, Lisu unajua kulalamika hao unaowahutubia hawajui kutumia Ardhi ndo maana pesa hawana. Wafundishe kushirikiana kutafuta pesa kama wanavyofanya Linda na Mtwara. Uwatafutie masoko huko Ulaya na ubelgiju unakoenda kulalamika. Nachukia saana kuwa Rais na kiongozi wa watu masikini hata Mwenyezi Mungu hapendi, Ndo maana imeandikwa " Tutakopesha wala hatutakopa" Kumbukumbu 28. Umaskini ukiongezeka kakope kahemee nja kama Abraham, Isaka na Yakobo wavyokua wanaenda kuhemia nja Misri , Babeli nk.
Sasa akatafute masoko wakati wako tuliowapa MADARAKA wakatafute masoko kwa niaba yetu na tunawalipa? Kwa ujinga wa kitoto huu kwenye mambo ya msingi sana ya umma hatuwezi kupiga hatua, lazima tuache mihemko na ushabiki wa kijinga kwenye vital issues...Hilo la wananchi kuwajibika kazini sawa ila si la masoko kwani wapo wanaolipwa for that...halafu achana na kichaka cha eti tunaangalia mtu na udhaifu au uimara wake na si chama, na UNASHADADIA kuwa eti kote CCM na CHADEMA wazuri na wabaya wako. Umesahau kwingine hao waovu hawawajibishwi na CDM wanawawajibisha wale wanaohujumu maslahi ya umma, that's why nasisiza, TUSIJIFICHE kwenye kivuli cha cha eti kote wabaya, tunataka ambako wabaya wanashughulikiwa kwa maslahi ya umma
Mpina sio wazir we kenge!! Chiba weeeeee!!
Ukubwa wa kalio lako linazidi ukubwa wa ubongo wako
Ccm wapumbavu sana sukali za nje bei ndogo mm nipo boda Zambia ila ata ukiwa nakilo5 unaenda mby mapolis wanakuzingua
Chadema nani 😂
Huna agenda,umekaa kiumbeaumbea na kudandia hoja.Tayari ushadandia hoja ya Mpina ambayo hata haijaanza kufanyiwa kazi bungeni.Looh hapa tunaye kiongozi kweli
Wewe hujitambui.huna hoja unalipuka ama kuibuka.bila kujitambua .na wewe ndie una damdia. Sio lisu tunazungumzia maslahi mapana ya nchi.bila kuangalia Chama tunaangalia hoja.wa Chama chochote akitokea anatetea taifa lazima tumuunge mkono.kwa nguvu zote.sasa mpina ni mwanchi mzalendo kwa nn lisu asiongelee hoja yake.???wewe bumunda kama huna hoja kaa kimya chawa mkubwa
Tunayaona...lakini ukiwa upande fulani huwezikuona!
Wewe ccm acha kumpinda lisu.lisu anajuwa nn maana ya maisha.sio nyinyi ccm achumia tumbo.mwaka huu ndo mwisho kwenu
Wenzetu wanaiba sisi tunachekelea
Yaani umekaa kudandia hoja! Mbona husemi ukiwa raisi utafanyaje ili hayo unayoimba yaishe? Huna uwezo wa kuongaza Tanzania 🇹🇿 wewe piga kelele na wanyaturu wenzio! Kutwa kudandia hoja sera huna tena huna kabisaaa! Ndio maana ccm wanakuchora tu ujimalize mwenyewe!😂😂😂
Kampe yako ndipo uwezo wake utaujua pumbavu wewe ni mjinga
Unamsema Tundu Lissu. Umeyasikia aliyoongea sheikh Ponda? Jitafakari.
CCM NI TAABU TUPU..NA UKIWA MSEMA UKWELI..UNAAMBIWA HUNA MAADILI.
Haya majitu ya akina msuya niwasomi lkn yamelishwa lumbwata la ccm Yako kama majinga
@@robertphilip385 Acha kuongea kama umekula wewe! Wewe ni nani mpaka unipangie cha kuongea! Hebu pita kule achana na mimi mjinga mmoja we! CCM NO 1! TAPIKA SASA!
Usipo.tuongelea wewe au kutusemea wewe nani mwingine ataweza akuna mwanaume km.wewe uliojitoa maisha yako kwaajili ya watanzania
Kama hizi finding ni za kweli !!!!!!! je mwenye nchi upooooooo na kama ndivyo kuna siri gani nyuma ya pazia !!!!!! Hivi mnaohusika na haya mnafikiri mtaishi salama huku chini maisha magumu namna hii alaf kikundi cha watu wachache wanainjoy !!!!!!!
Usipo.tuongelea wewe au kutusemea wewe nani mwingine ataweza
Mheshimiwa. Risu. Mbona. Hamzungumuziii. Wakurima. Sasa. Hivi. Mazao. Hayana. Bei. Kabisa. Wakurima. Tunariya sana. Yani sana. Tunariya. Mazao. Hayana. Beii. Kabisa tusaidie. Utusemee
Kweri wakurima tunaria huku tunaenderea kurima na kuriaa,risu tusaidie wakurimaa
Mazao yapi.kwa mfano.
Usipo.tuongelea wewe au kutusemea wewe nani mwingine ataweza akuna mwanaume km.wewe uliojitoa maisha yako kwaajili ya watanzania