HOTUBA NZITO YA LISSU, AMVAA WAZIRI BASHE, ATAKA AJUZULU KWA MAZITO YA MPINA, USHAHIDI WATOLEWA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 16. 06. 2024
  • #TANZANIA: Lissu atoa hotuba nzito Itigi Manyoni Magharibi, amvaa Mbunge wa Jimbo hilo bila huruma, adai alipata kura mbili akakimbilia huko, amvaa Bashe kwa tuhuma za wizi wa mabilioni sakata la sukari, amtaka Rais Samia amfukuze Uwaziri haraka, aungana na Mpina, ushahidi watolewa.
    Zaidi: • HOTUBA NZITO YA LISSU,...
    Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE CZcams Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

Komentáře • 94

  • @EdwardJonas-og9xi
    @EdwardJonas-og9xi Před 7 dny +3

    Usipo.tuongelea wewe au kutusemea wewe nani mwingine ataweza akuna mwanaume km.wewe uliojitoa maisha yako kwaajili ya watanzania

  • @joshuarose6756
    @joshuarose6756 Před 8 dny +3

    Dah Ndio Tanzania yetu hiyo 😢

  • @user-cg7ix9yg1m
    @user-cg7ix9yg1m Před 9 dny +3

    Watanzani chawa wanatumaliza Tuwakatae! Tumechoka

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852 Před 8 dny +1

    Shida bungeni tumejaza wafanyabiashara wengi asilimia wote tulikatae hili kila sehemu ukigusa mbunge yupo anatetea sehemu yake

  • @rogersiddy
    @rogersiddy Před 8 dny +1

    Bashe anajifanyaga anakaza sana pia anajifanya mjuaji lkn mjanja mjanja sana na hili tatizo halitoisha km hatujachukua maamuzi ya kuwaweka pembeni

  • @evelina9621
    @evelina9621 Před 9 dny +2

    Naomba.chedema.muwe.pamoja.kujenga.inchi.pamoja.na.maendeleo.mbowe.tukuomba.mshikamano.viongozi.wote.afrika.nia.moja.tunakusihi.ww.ndiye.mwenyekiti.mungu.akupe.hekima.mengine.hakuja.chedema.juuuu

  • @albinusmkono5887
    @albinusmkono5887 Před 8 dny +1

    Sio wakati wa kampeni na kutoa sela.bali ni kuelemisha watu.kama hutaki kusikiliza kalale au kazibe masikio unanyonywa na huku una cheka cheka.achana na uchawa

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Před 9 dny +10

    Vuteni team zote muhimu ktk chadema hatuangalii chama tuanaangalia uwezo mkubwa wa mwana siasa vyma having tija kwetu tena km ni sera vyama vingi vina sera nzuri lakini Wana siasa wabovu ktk vyama hata ccm lna sera nzuri lakini Wana siasa wabovu ktk serekali na chama uongo mwingi kuliko haki

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 Před 9 dny +1

      Halafu uteuliwe wewe au pelaka uchawa wa ccm huko

    • @hassanrwitita2503
      @hassanrwitita2503 Před 8 dny +1

      Mfano ni ccm wanaolimdwa na mwenuekiti wa chao labda ndio waliokufunha akili Chadema hayo mambo hayapo mfano ni halmashauri nyingi zilizokuwa na upinzani hasa Chadema zilisimamiwa vizuri kama serikaliningekuwa makini Leo tusingekuwa tunaongea ugoro kama huu ulioandika

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo8308 Před 8 dny +1

    Mungu ulie kila mahali unaona kila kitu. Uwalipe mishahara yao.

  • @HenryKasaje-on4xq
    @HenryKasaje-on4xq Před 8 dny +1

    Tumechoka ccm tumeshituka walaji hao

  • @prospermalala6636
    @prospermalala6636 Před 9 dny

    IQ kubwa inawatesa Sana CCM, unafundisha elimu kubwa sana ndani ya Taifa letu Tanganyika, elimu iliyopotea imeanza kuwaingia watanganyika waliowengi wameanza kuyaelewa anayofundisha ❤❤❤❤❤❤

  • @abeidmayanga809
    @abeidmayanga809 Před 9 dny +3

    Komaeni cc tumeichoka

  • @generosennko8343
    @generosennko8343 Před 6 dny

    Kweli. Mnahitaji mabadiliko. Hivyo chagueni chama kingine. Chama tawala kimeonyesha dalili ya kuchoka sana. Itigi amkeni

  • @EdwardJonas-og9xi
    @EdwardJonas-og9xi Před 7 dny

    Usipo.tuongelea wewe au kutusemea wewe nani mwingine ataweza akuna mwanaume km.wewe uliojitoa maisha yako kwaajili ya watanzania 7:09

  • @DamasMwakipesile-qm1nc
    @DamasMwakipesile-qm1nc Před 8 dny +1

    Mmh! Mungu ingilia kati Tz

  • @MAFUNDISHO1
    @MAFUNDISHO1 Před dnem

    Swala la aridhi ....tukicheza nazo siku zijazo itatuletea shida ....hasa aridhi za vijiji

  • @ceciliamagalabajimmy4391

    Asiyeelewa elimuaitowayo Tundu Lissu huenda ni taahira. Mungu akubariki na kukulinda Lissu.

    • @rogersiddy
      @rogersiddy Před 8 dny +1

      Tena tahira aliekunywa maji ya bendera ya ccm au chawa wa CCM

  • @user-xx1je7sy4h
    @user-xx1je7sy4h Před 3 dny

    Mpina siyo wazir lisu

  • @emanuelmwakamisa2511
    @emanuelmwakamisa2511 Před 9 dny

    Hapo kwa serikali ya ccm watamchukia Mpina na sio Bashe

  • @HappyMhuli
    @HappyMhuli Před 5 dny

    BASHE AJIUZURU HARAKA HATA HIVYO ÑI WASANII TU WANATUPIGA SANA IPO SIKU WATAJIFICHA CHOOOONI

  • @user-bz5gl7nb4m
    @user-bz5gl7nb4m Před 9 dny +1

    Yani ni hasara inchi ilivyo

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo Před 9 dny +7

    Ccm basi imetosha jamani

  • @healingsschool4630
    @healingsschool4630 Před 8 dny

    Lisu washauri watu wafanye kazi ni wavivu sana hao niliwapa kazi ya kulima wakashindwa ikabidi nikachukue vijana Arusha

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo8308 Před 8 dny

    Wooote wanaoichagua ccm sasa ni mavi, waliokosa kujitambua.

  • @EdwardJonas-og9xi
    @EdwardJonas-og9xi Před 7 dny

    Usipo.tuongelea wewe au kutusemea wewe nani mwingine ataweza

  • @mauamkamba4906
    @mauamkamba4906 Před 7 dny

    Lissu naomba ujipatie ulinzi binafsi, nje ya ulinzi ulionao wa chama. Utanikumbuka

  • @VictorNgosi
    @VictorNgosi Před 9 dny +1

    Dawa ni kulinda Kila hii habali tukipiga Kila tunarudi nyumbani harafu wanaiba hapo nd'o kusa

    • @FrankMwakatundu-cu6bd
      @FrankMwakatundu-cu6bd Před 9 dny

      Ndugu yangu Victor Ngosi nakupongeza sana, Kwa MAONI yako mazuri Sana, ninayapenda Sana. Tukifanya hivyo yaani tupige Kura na kuzilinda Kura hakika tutashinda.

  • @edsonleonci5113
    @edsonleonci5113 Před 7 dny

    Bashe asijekuwa anapigwa vita maana kwa wale wakulima wa kahawa wanaweza kunielewa Kahawa kwa sasa imepanda kutoka 1500/= kwa kg na kufika 5600/= kwa kg
    Korosho bei imepanda maradufu … na ufuta pia

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku Před 8 dny

    Wakulima wa kahawa Kagera wanapangiwa namna na bei ya kuuza kahawa yao.

  • @user-xs3ko8pg2g
    @user-xs3ko8pg2g Před 9 dny +6

    Ccm ilishakufa na magufuri, lililobaki ni kundi la waporaji wa raslimali za watanganyika, na wamepiga matrion ya pesa!, wananunu hadi wachezaji na wana miliki timu , mara kila goli, milion kadhaa , sasa hivi tumaini letu ni Lisu, madeleka, mpina, mwabukusi, heche lema, maombi yangu MUNGU wa mbinguni walinde watu hawa, ni zawadi tuliyopewa na MUNGU

    • @huyu1993
      @huyu1993 Před 9 dny

      Mpuuzi wewe zawadi uliyopewa na Mungu ni pumzi peke yake

    • @user-xs3ko8pg2g
      @user-xs3ko8pg2g Před 9 dny

      @@huyu1993 wewe ndiye mpuuzi na mvimba macho agent wa wezi

    • @akilibinaisa1196
      @akilibinaisa1196 Před 8 dny

      Usimsahau Dr silaa nae anatupambania

    • @user-xs3ko8pg2g
      @user-xs3ko8pg2g Před 8 dny

      @@huyu1993 wewe ndiye mpuuzi chawa wa ccm

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku Před 8 dny +1

    Dorothy Msuya pamoja na kebei zako kujifanya umjuaji unavyomkebei na kumtusi Lisu,hujui kuwa kipenga cha kampeni bado,ndiyo maana Lisu na wengineo hawawezi kusema wakiwa rais,Mbunge diwani watawafanyia nini watanzania.Unatakiwa kujua hilo muda wa kampeni bado.

    • @dorothmsuya1686
      @dorothmsuya1686 Před 8 dny

      Hata kipenga kikilia hatoboi! Kwani zaidi ya kuropoka amewahi kumsaidia nani! Msijizime data jamani! Samia anatosha!! Heshimuni mawazo ya wenzenu!!

    • @dorothmsuya1686
      @dorothmsuya1686 Před 8 dny

      Mimi binafsi sioni anachonisaidia! Kama mnampenda mpendeni! Mnataka apendwe na wote kwani yeye pesa???

  • @AminoKhalif
    @AminoKhalif Před 7 dny

    Wewe lisu acha fitina

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852 Před 8 dny

    Mheshimiwa kama Abdul anahusika mama hapo hawezi kuchukuwa maamuzi

  • @LaizerSaitoty
    @LaizerSaitoty Před 7 dny +1

    waambie watu wafanye kazi acha porojo mzee

    • @shabanseif5774
      @shabanseif5774 Před 2 dny

      Yaani sukari ilifika 11,000 bashe kapambana wameagiza sukari nje mpaka tunanunua 2300 halafu bado mtu anasema mwizi huyu tayari amefika mwisho

  • @alexanderkisinini9376

    Mkuu wa majeshi alisha toa tahadhari kuhusu watu wahamiaji kupewa madaraka.

  • @umlaith5202
    @umlaith5202 Před 2 dny

    Nenda zako wewe Mzee
    Mambo ya Bunge hayajakuhusu,,,

  • @LusajoKabuka
    @LusajoKabuka Před 9 dny +1

    Sasa mbona cdm nkama Cha Cha mtu au Cha family baba unapont za nguvu nakutufumbua macho

    • @albinusmkono5887
      @albinusmkono5887 Před 8 dny

      Kwa mtazamo wako.wewe hao waliotawala na watoto wao natawala tena huwaoni kwamba nchi inatawaliwa kimtandao wa kikundi nafamlya .???wewe unaona chadema ??pole punguza uchawa 😅😅😅😂😂😂

  • @LaizerSaitoty
    @LaizerSaitoty Před 7 dny

    Huna lolote ulimpinga magu saiv unaongea nn

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw Před 8 dny

    Vp maandamano yameishia wapi? Vp katiba ineishia wapi? Mbowe mbona yupo kimya? Anaonekana lissu peke yake? Naomba nijibiwe

  • @LaizerSaitoty
    @LaizerSaitoty Před 7 dny

    waambie watsup wafanye kazi acha porojo zako mama mitano teno tumeamua sisi wa tz wasalendo wote

  • @saidmakombeni5155
    @saidmakombeni5155 Před 5 dny

    Kauli za vitisho na matusi mnapenda sana chadema, jifuzeni style ya Zitto hoja bila matusi🙊

    • @TNgwale-eu3xl
      @TNgwale-eu3xl Před 3 dny

      40:27 Hakuna tusi lolote hapo ktk yote aliyosema Mh. Lisu. Ameongea ulweli mtupu hivyo kama umeguswa na huna mchango wa maana kwa wananchi tulia acha kupotosha ujumbe wa Mh. Tundu A. Lisu

  • @mozesjoseph7630
    @mozesjoseph7630 Před 9 dny +1

    Mheshimiwa. Risu. Mbona. Hamzungumuziii. Wakurima. Sasa. Hivi. Mazao. Hayana. Bei. Kabisa. Wakurima. Tunariya sana. Yani sana. Tunariya. Mazao. Hayana. Beii. Kabisa tusaidie. Utusemee

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 Před 9 dny

      Endereea tu kuriaaaa hadi Risu asikie kirio chakoo

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 Před 9 dny +1

    Mnaenda upepo hii ilikuwa Point za mpina

  • @LazaroMwakasege-bh5en
    @LazaroMwakasege-bh5en Před 9 dny +1

    Kamanda Yuko pamoja

  • @MataighaTiro
    @MataighaTiro Před 9 dny

    Daaa inatisha

  • @EdwardJonas-og9xi
    @EdwardJonas-og9xi Před 7 dny

    Wewe jembe la watanzania wote

  • @healingsschool4630
    @healingsschool4630 Před 8 dny

    Ufisadi hauletwi na mfumo . Unaletwa na mtu mmoja mmoja mwenye tamaa." Kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe" ccm kuna watu wazuri na wabaya hata chadema nako kuna wazuri na wabaya. Mama anajua kutafuta pesa nje ndo maana nampenda, Lisu unajua kulalamika hao unaowahutubia hawajui kutumia Ardhi ndo maana pesa hawana. Wafundishe kushirikiana kutafuta pesa kama wanavyofanya Linda na Mtwara. Uwatafutie masoko huko Ulaya na ubelgiju unakoenda kulalamika. Nachukia saana kuwa Rais na kiongozi wa watu masikini hata Mwenyezi Mungu hapendi, Ndo maana imeandikwa " Tutakopesha wala hatutakopa" Kumbukumbu 28. Umaskini ukiongezeka kakope kahemee nja kama Abraham, Isaka na Yakobo wavyokua wanaenda kuhemia nja Misri , Babeli nk.

    • @illomowerner7690
      @illomowerner7690 Před 7 dny

      Sasa akatafute masoko wakati wako tuliowapa MADARAKA wakatafute masoko kwa niaba yetu na tunawalipa? Kwa ujinga wa kitoto huu kwenye mambo ya msingi sana ya umma hatuwezi kupiga hatua, lazima tuache mihemko na ushabiki wa kijinga kwenye vital issues...Hilo la wananchi kuwajibika kazini sawa ila si la masoko kwani wapo wanaolipwa for that...halafu achana na kichaka cha eti tunaangalia mtu na udhaifu au uimara wake na si chama, na UNASHADADIA kuwa eti kote CCM na CHADEMA wazuri na wabaya wako. Umesahau kwingine hao waovu hawawajibishwi na CDM wanawawajibisha wale wanaohujumu maslahi ya umma, that's why nasisiza, TUSIJIFICHE kwenye kivuli cha cha eti kote wabaya, tunataka ambako wabaya wanashughulikiwa kwa maslahi ya umma

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw Před 8 dny

    Mpina sio wazir we kenge!! Chiba weeeeee!!

    • @mauamkamba4906
      @mauamkamba4906 Před 7 dny

      Ukubwa wa kalio lako linazidi ukubwa wa ubongo wako

  • @HenryKasaje-on4xq
    @HenryKasaje-on4xq Před 8 dny +1

    Ccm wapumbavu sana sukali za nje bei ndogo mm nipo boda Zambia ila ata ukiwa nakilo5 unaenda mby mapolis wanakuzingua

  • @iam_maglan101
    @iam_maglan101 Před 9 dny

    Chadema nani 😂

  • @walidmgonja3644
    @walidmgonja3644 Před 9 dny +1

    Huna agenda,umekaa kiumbeaumbea na kudandia hoja.Tayari ushadandia hoja ya Mpina ambayo hata haijaanza kufanyiwa kazi bungeni.Looh hapa tunaye kiongozi kweli

    • @albinusmkono5887
      @albinusmkono5887 Před 9 dny +2

      Wewe hujitambui.huna hoja unalipuka ama kuibuka.bila kujitambua .na wewe ndie una damdia. Sio lisu tunazungumzia maslahi mapana ya nchi.bila kuangalia Chama tunaangalia hoja.wa Chama chochote akitokea anatetea taifa lazima tumuunge mkono.kwa nguvu zote.sasa mpina ni mwanchi mzalendo kwa nn lisu asiongelee hoja yake.???wewe bumunda kama huna hoja kaa kimya chawa mkubwa

    • @SaugoNdemo-tx4le
      @SaugoNdemo-tx4le Před 9 dny

      Tunayaona...lakini ukiwa upande fulani huwezikuona!

    • @user-jl5uh1xq9f
      @user-jl5uh1xq9f Před 9 dny

      Wewe ccm acha kumpinda lisu.lisu anajuwa nn maana ya maisha.sio nyinyi ccm achumia tumbo.mwaka huu ndo mwisho kwenu

  • @LazaroMwakasege-bh5en

    Wenzetu wanaiba sisi tunachekelea

  • @dorothmsuya1686
    @dorothmsuya1686 Před 9 dny

    Yaani umekaa kudandia hoja! Mbona husemi ukiwa raisi utafanyaje ili hayo unayoimba yaishe? Huna uwezo wa kuongaza Tanzania 🇹🇿 wewe piga kelele na wanyaturu wenzio! Kutwa kudandia hoja sera huna tena huna kabisaaa! Ndio maana ccm wanakuchora tu ujimalize mwenyewe!😂😂😂

    • @IsayaSosolo-nx8zk
      @IsayaSosolo-nx8zk Před 9 dny

      Kampe yako ndipo uwezo wake utaujua pumbavu wewe ni mjinga

    • @josephwilliammnyune5464
      @josephwilliammnyune5464 Před 9 dny

      Unamsema Tundu Lissu. Umeyasikia aliyoongea sheikh Ponda? Jitafakari.

    • @SaugoNdemo-tx4le
      @SaugoNdemo-tx4le Před 9 dny +1

      CCM NI TAABU TUPU..NA UKIWA MSEMA UKWELI..UNAAMBIWA HUNA MAADILI.

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 Před 9 dny

      Haya majitu ya akina msuya niwasomi lkn yamelishwa lumbwata la ccm Yako kama majinga

    • @dorothmsuya1686
      @dorothmsuya1686 Před 9 dny

      @@robertphilip385 Acha kuongea kama umekula wewe! Wewe ni nani mpaka unipangie cha kuongea! Hebu pita kule achana na mimi mjinga mmoja we! CCM NO 1! TAPIKA SASA!

  • @EdwardJonas-og9xi
    @EdwardJonas-og9xi Před 7 dny

    Usipo.tuongelea wewe au kutusemea wewe nani mwingine ataweza akuna mwanaume km.wewe uliojitoa maisha yako kwaajili ya watanzania

  • @richardhoseni2643
    @richardhoseni2643 Před 6 dny

    Kama hizi finding ni za kweli !!!!!!! je mwenye nchi upooooooo na kama ndivyo kuna siri gani nyuma ya pazia !!!!!! Hivi mnaohusika na haya mnafikiri mtaishi salama huku chini maisha magumu namna hii alaf kikundi cha watu wachache wanainjoy !!!!!!!

  • @EdwardJonas-og9xi
    @EdwardJonas-og9xi Před 7 dny

    Usipo.tuongelea wewe au kutusemea wewe nani mwingine ataweza

  • @mozesjoseph7630
    @mozesjoseph7630 Před 9 dny

    Mheshimiwa. Risu. Mbona. Hamzungumuziii. Wakurima. Sasa. Hivi. Mazao. Hayana. Bei. Kabisa. Wakurima. Tunariya sana. Yani sana. Tunariya. Mazao. Hayana. Beii. Kabisa tusaidie. Utusemee

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 Před 9 dny

      Kweri wakurima tunaria huku tunaenderea kurima na kuriaa,risu tusaidie wakurimaa

    • @NyorokaNyenge
      @NyorokaNyenge Před 8 dny

      Mazao yapi.kwa mfano.

  • @EdwardJonas-og9xi
    @EdwardJonas-og9xi Před 7 dny

    Usipo.tuongelea wewe au kutusemea wewe nani mwingine ataweza akuna mwanaume km.wewe uliojitoa maisha yako kwaajili ya watanzania