MBUNGE WA NGORONGORO ANG'AKA, ISHU YA LOLIONDO, KIKWETE AINGILIA!

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 06. 2022
  • MBUNGE WA NGORONGORO ANG'AKA, ISHU YA LOLIONDO, KIKWETE AINGILIA!
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Komentáře • 435

  • @noahorkilidi2359
    @noahorkilidi2359 Před 2 lety +34

    Uko vizuri sana mbunge wa ngorongoro wanakutisha lakini usiogope Mungu yupo

  • @neemamaurice171
    @neemamaurice171 Před 2 lety +29

    Upo vizuri sana mheshimiwa unajua kilichokupeleka bungeni kuwasemea wananchi wako viva aluta continua

    • @nahashuaka4979
      @nahashuaka4979 Před 2 lety +1

      Haswaaa Aluta Continuaaa

    • @abelfrancis8437
      @abelfrancis8437 Před rokem

      👌yupo vzr

    • @Bikhafija
      @Bikhafija Před 9 měsíci

      Waacheni wamasai wakae kwao

    • @Bikhafija
      @Bikhafija Před 9 měsíci

      Inatia uchungu sana kwani mienda selikar kutafuta sehem nyingine

    • @Bikhafija
      @Bikhafija Před 9 měsíci

      Yani nyie serikar sio vizur mnavyofanya walah angekuwepo magu huu ujinga using fanyika

  • @williamyouze4396
    @williamyouze4396 Před 2 lety +13

    dah huyu jamaa anauchungu sana na raia wake
    na anaakili sana asee Big up mbunge wa loliondo

    • @telaamtauta2227
      @telaamtauta2227 Před 2 lety +1

      Basi huyu watamuumiza huyu Mungu akulinde mbunge wetu wameaza kuchukua vitu kidogo kidogo shaulizao

  • @elijahnkoidela4262
    @elijahnkoidela4262 Před 2 lety +7

    Wapi kienyeji ingine ilikuwa inaongea hadi inataka kuongea kisukuma, ajibiwe Leo,,,, Ole Mpapa, tanyuaa amu kin'dimie, Enkai,, your are the real hero!!!! 💪💪💪💪

  • @charlesmnuo3292
    @charlesmnuo3292 Před 2 lety +15

    Daa bunge la taarifa taarifa mbunge wa loliondo yuko sahihi sana

  • @sulymaniabdallah7843
    @sulymaniabdallah7843 Před 2 lety +7

    Huyu mbunge nimependa Sana anajali wananchi wake kuliko cheo chake,na huyu aliotoa taarifa na mzungumzaji akapokea huyu mzee nae kichwa Sana nampenda sana

  • @jrsaid4270
    @jrsaid4270 Před 2 lety +7

    Ningekuwa gaidi ningefinance silaha za kivita Kwa wamasai ngorongoro waendelee kupigania Ardhi yao

  • @justuskirongosi6859
    @justuskirongosi6859 Před 2 lety +19

    Heko mtetezi wa haki, kila mtu apewe haki yake, wakristo na waisilamu wote tukatae dhuluma.

  • @ericamwkyokile4681
    @ericamwkyokile4681 Před rokem +5

    tupate wapi wabunge kama huyu? well done ,Mungu akulinde

  • @emmanueldushimimana123
    @emmanueldushimimana123 Před rokem +4

    Ingekuwa heri wabunge wetu wa inchi ya DRC Congo waende kuiga masomo ya ubunge Kwa huu mheshimiwa wa Bunge ya ngorongoro anateteya wakaaji wake Mungu amuzidishiye siku zake za maisha.

  • @abdulhamis9825
    @abdulhamis9825 Před 2 lety +18

    Hapa Tunapoelekea Naona Kabsa Tunatengeneza Makundi Na Matabaka Kwenye Nchi Yetu Na Ni Jambo La Hatarii Sana

  • @maryfranknamkumba9182
    @maryfranknamkumba9182 Před 2 lety +17

    Huwezi ukamtoa mmasai Loliondo ukampeleka handeni handeni halafu ukaendelea kumuita mmasai. Moja ya kivutio cha utalii na watalii kutembelea loliondo ni pamoja na wamasai. You just can’t move people from their ancestors land just like that. Hiyo ina maana by so doing unabadilisha hata jinsi wanavyofikiri na kadhalika. Waacheni wamasai Loliondo hapo ndipo kwao, full stop

    • @stanleytabulu4577
      @stanleytabulu4577 Před 2 lety

      Utalii haunogi Ngorongoro bila wamasai. Waacheni wamasai waishi kwenye eneo lao jamani ila muweke udhibiti mazingira

  • @elishapalaletlaizer3714
    @elishapalaletlaizer3714 Před 2 lety +5

    Hongera sana Msalendo wetu Uzichoke kupambania Wananchi wako kwani haki haiombwi bali Inadaiwa

  • @Globalpeace123
    @Globalpeace123 Před 2 lety +11

    Watu wanaangalia tu matumbo yao yaani hawa wabunge hawajui wako bungeni kwa ajili gani wanadhani wako pale kuitetea serikali na matumbo yao wakati wapo bungeni kutetea maslahi ya wananchi waliowachagua
    It’s a shame kwa jinsi wanavyofanya
    Tunaomba Mungu akutane nao wajue kuwa sio vizuri kuwanyanyasa watu wanyonge kwa kutumia serikali

    • @wileshirima8688
      @wileshirima8688 Před 9 měsíci

      Mbunge kataa duluma usikubali ww umetumwa na wananchi.

  • @crisndembwele4016
    @crisndembwele4016 Před 2 lety +3

    Huyu jamaa ni mbunge wakuigwa anatetea maslah yawatuwake bila kuogopa kupoteza ugali wake... I salute 💯💪💪

    • @jumangaumba500
      @jumangaumba500 Před 2 lety

      Ndio kazi ta mbunge mzee kutetea maslahi ya watu wake jimbon kwake kana wengine wanavyofanya na kuisaidia serikali kupata taarifa juu ya mapungufu yaliyopo jimbon kwao ili itekeleze mapungufu hayo.
      Isitoshe mbunge asipowatetea watu wake uchaguzi ujao wapi atapata kura na kula mzee? Anatafuta ugali wake hapo, usije mwagika uchaguz ujao

    • @telaamtauta2227
      @telaamtauta2227 Před 2 lety

      Mungu atalinda nakila Shari yaarab

    • @zuhuraamra7354
      @zuhuraamra7354 Před 2 lety

      G. Nn .

  • @alphoncejmrema7912
    @alphoncejmrema7912 Před 10 měsíci +4

    Mungu ni mwema sana muachen jaman aongee Kwa niaba ya watu wake hizo taarifa hawez kupokea anaongea Kwa uchungu mkubwa mno

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před 9 měsíci +12

    Wamasai wanahaki na haki zinawalinda. Pole sana masai. Watanzania ni ccm hawana upendo na wanainchi wanaowatawala, ila ikifika wanako piga pesa wako tayari kutetea hata kwa damu. Shukuru wewe mwenyewe ni ccm mpaka walikuwa wamekuteka, angekuwa ni mbunge chama kingine wangekuwa wamebandika mambo hata uhaini. Lakini walipokuchukuwa wakakuta ni wale wale ingawa ninyi mnapozwa na ifadhibya wanyama wanataka kuwapa warabu. Wanataka ninyi mtoke ili waweze kuweka warabu.
    Leo namsikia mama bado anawatafuta wawekezaji wa madini kwa faida gani sisi tunapata? Kwa kweli mpaka awamu hii nina wasi wasi kila sehemu mashamba yote yatakuwa yametaifishwa kuleta migogoro kila sehemu.

    • @patriciamuganda4498
      @patriciamuganda4498 Před 9 měsíci

      Poleni sana Watanzania. Haya yanayotokea Sasa hivi hayakuanza leo. Genesis ya issue zote hizi inaweza kuwa traced miaka kadhaa iliyopita. Lakini nani wa kumlaumu? Ni Wananchi wenyewe na unafiki wao wa kupigia makofi Kila jambo bila kulitafakari. Haya yanayotokea Sasa yangekemewa kwa nguvu zote yasingekuwa yanajirudia rudia. Ulishaona wapi maisha ya wanyama yakawa na value kuliko maisha ya binadamu. Ni ajabu sana. Watu hawasemi ukweli bali kupiga makofi tu na kusubiri bahati ya kuteuliwa. What a shame!

  • @shukurukihwelo3084
    @shukurukihwelo3084 Před 2 lety +3

    Mbunge anatetea wananchi wake yupo sahihii mungu ambariki kwa kutetea wanyonge

  • @JosephMsanga-vl3ug
    @JosephMsanga-vl3ug Před 9 měsíci

    Shetani Anasura Nzuri sana Ni Mrembo Ni Kisura!! Hata Ninyi Wenzangu Mnayo Macho Mnayo Masikio!! Mjapo jua kua Huyu Ni Shetani Mmekwisha!! Poleni sana Watanzania Wenzangu wa Ngorongoro!! Msikate Tamaa Endeleeni kumlilia Rais Wenu na MUNGU PIA NDIYE MWISHO WA MSAADA KWENU.

  • @victaboy7273
    @victaboy7273 Před 10 měsíci +7

    Huyu kikwete kama baba yake.anakula bure, wananyonya maskini😢😢

  • @Worldunite
    @Worldunite Před 2 lety +13

    Taarifa zimezidi hadi karaha jmn, mheshimu sheria za bunge

    • @berthatz
      @berthatz Před 2 lety

      Yaani zinaniudhi hizo taarifa,.waache mtu aongee 😡

  • @josephatnyamageu1046
    @josephatnyamageu1046 Před 2 lety +11

    Hii ndio faida ya Royal Tour Watanzania naliona Giza katika nchi yetu 🙄

    • @TM-zs3rm
      @TM-zs3rm Před 9 měsíci

      Giza Ndo tunaiondoa sasa. Hata wakiweka bibi tu. Hawakutegemea wananchi watasimama. They did underestimate wananchi.

  • @Noellaizerkadoko
    @Noellaizerkadoko Před 3 měsíci

    Asantesana Kiboko Olesendeka kwa kumpashangai taarifa safi hatasisi tunapokea.

  • @estermpagama9664
    @estermpagama9664 Před rokem +2

    Mh : mbunge wa Roliondo nakukubari we jasiri mpambanaji mzalendo Mungu akulinde

  • @abubakarseif6073
    @abubakarseif6073 Před 2 lety +17

    Kwa swala la loliondo na raisi anausika tena kwa asilimia100, kama aliowatuma wameenda kufanya tofauti na maagizo kwnini asiwachukulie hatua? kanyamaza tu inamaana kapendezwa na ujinga walioufanya watumishi wake kwenda kuwatesa wananchi watakao mpigia kura.

  • @saderasimore5983
    @saderasimore5983 Před 2 lety +11

    The Tanzania government is not far to The MAA Community living in Tanzania.President Samia should make orders and stop MAA eviction as early as possible

    • @edwardbussagwe2044
      @edwardbussagwe2044 Před rokem

      Acha kujipendekeza boy,

    • @gosbertrwezahura3645
      @gosbertrwezahura3645 Před 9 měsíci

      Andika kwa Kiswahili mpumbavu wewe! Habari iko kwa Kiswahili alafu unatuandikia Kiingereza? Pumbavu sana!

  • @neemamajana3078
    @neemamajana3078 Před 9 měsíci +2

    Huyu Kikwete mdogo, hawa ndio wezi wa mali za Tanganyika. Hatutaki hata kukusikia.

  • @user-td5ye9zb1l
    @user-td5ye9zb1l Před 9 měsíci

    Safi sana Mbunge wa Loliondo unajitambua sana wananchi wanakusikiliza.huyo anayetoa taarifa mpuuzeni tu!huyo aliyovaa tay hana jipya,huyo pia kweli hajui ni mnafiki tu hakuna anayehama kwa hiyali.Shangai upo vzr bravo mh.

  • @Sahra3718
    @Sahra3718 Před 2 lety +3

    Yes huyo mzee ako sawa👏🏾👏🏾👏🏾

  • @mudolyomanzil6502
    @mudolyomanzil6502 Před 2 lety +7

    Daah!! Pole mtu unaongea point katika eneo lako lijitu linakuja na kusema no sense hadi kachkia.

  • @deusdeditknkunga6047
    @deusdeditknkunga6047 Před 2 lety +6

    Msikilizeni kwa makini Mbunge wa Loliondo, please.

    • @arolamuganyizi5972
      @arolamuganyizi5972 Před rokem

      Na alijua tu kuwa wamemuuzia muarabu ndo maana amegomea kauli yake

  • @user-ll8mn7gj6x
    @user-ll8mn7gj6x Před 3 měsíci

    Ila poleni sana wananchi wa ngorongoro kwa misukosuko simameni na mungu ndo msaidizi went kwa sasa inshaalah mwenyezimungu awape hekma zakupambania haki zeni

  • @upendooffice2342
    @upendooffice2342 Před 2 lety +6

    Mimi sina imani na huyo waziri wa arrdhi mhh hapo patakuwa na michezo unataka kuchezeka

  • @kimanmain3356
    @kimanmain3356 Před 2 lety +1

    Thank you mhe shangaii hao hawajui wanachoxema bwn

  • @kikongajoel5172
    @kikongajoel5172 Před 2 lety +2

    Kazi nzuri mbunge imara kbsa

  • @lamayanisingira1934
    @lamayanisingira1934 Před 2 lety +5

    Wana ngorongoro mumeona ni kwajinzi gani mbunge wetu Shanghai avyo shambuliwa na wambumbafu wasiyo tutakia mwema

  • @dominicgilisho3605
    @dominicgilisho3605 Před 2 lety +9

    I feel bad for our Masai's in Tanzania

    • @TM-zs3rm
      @TM-zs3rm Před 9 měsíci

      Simama kishujaa saidia kwa namna yeyote ile. Mmchango wako ni muhimu

  • @user-nn6zq1ok7i
    @user-nn6zq1ok7i Před 9 měsíci

    Hongera MBUNGE WETU HAWA CCM WANADHANI TANGANYIKA BADO MAZUZU ENDELEENI TUNAWAJUA MNAVYOPOTOSHWA TUTAWANGOA FANYENI MCHEZO

  • @safnasachu3515
    @safnasachu3515 Před 2 lety +7

    Hiii nchi viongozi watashitukia mchezo jua linazama,acha mvua iendeleee kunyesha

  • @bethkatunx7677
    @bethkatunx7677 Před 2 lety +9

    Haki huinua taifa ! hawa mafisadi tumewachoka wamejaa tamaa wataivuluga nchi wanatukumbusha enzi za makabulu walivyowanyanyasa wazawa

  • @user-ll8mn7gj6x
    @user-ll8mn7gj6x Před 3 měsíci

    Mungu wa ngorongoro chukua maua yako uko vizur🎉🎉🎉

  • @mabejamabeja3358
    @mabejamabeja3358 Před 2 lety +4

    Ukweli wa mgogoro wa loliondo ni kuwa wananchi wanaondolewa ili kupisha watu wenye hela zao kuwekeza,mtoto wa mfaulme wa omani.

    • @muharamiesther5908
      @muharamiesther5908 Před 9 měsíci

      Waarabu Waarabu tunarudishwa tena Utumwani.

    • @miltonjohn9779
      @miltonjohn9779 Před 9 měsíci

      Nchi inaemdeshwa na watu wenye akili ndogo lazma watavurunda tu

  • @greysondavid6445
    @greysondavid6445 Před 9 měsíci +3

    Niaibu kwa Taifa letu lililo huru tangu mwka 61. Bado sharia zetu zinatumia lugha ya kigeni (kiingereza). Tuna hukumu kesi za raia wetu wa Tanzania nakuwanyima watuhumiwa na washitakiwa hakizao kwa lugha ambayo hawana uhuru nayo na wengi wao hawaielewi kabisa.. Bado Taifa hili tunatawaliwa kifikra. Bado wazungu wanaendelea kututawala kifikra. Inauma na kusikitisha sana. Tubadilike ndugu viongozi wetu ambao mnategemewa sana na Taifa zima.

    • @gosbertrwezahura3645
      @gosbertrwezahura3645 Před 9 měsíci +1

      Nakubaliana na wewe Mheshimiwa kwa asilimia zote mia moja. Ni ujinga mkubwa huu.

    • @KelvinMtavangu-ow8yo
      @KelvinMtavangu-ow8yo Před 9 měsíci

      @@gosbertrwezahura3645
      Tunataka wabunge kama huyu.. Awamu ya 6 iache kunyakua ardhi yao. Jamani wabunge sasa Bandari tena? Enyi wabunge na spika wenu vipi? Sasa hivi Wamasai vijana wameishia ulinzi, kuuza mikanda ukijiuliza kulikoni huko. Yaanii hata familia zao zimesambalatika? Tunaenda wapi? Kuua mila na destuli za wamasai kwa ajili ya kuinua uchumi? Kuwarudisha waarabu ndani ya kiina cha ichumi ngorongoro? Tujali haki za binadamu wenzetu ha wamasai?

  • @deogratiusyudatadei5658
    @deogratiusyudatadei5658 Před 2 lety +2

    Nimeipenda Sana hili jibu unatenga hiyo aridhi kutoka eneo Lanani kwenda lanani

  • @andrew29468
    @andrew29468 Před 9 měsíci

    Mwenyekiti amekuwa katikati Nice,ameonyesha ukomavu na uvumilivu

  • @mdimimdimi4282
    @mdimimdimi4282 Před 2 lety +9

    Kirithiwanu chikwete kimepewa unaibu waziri wa arthi Ili kifanye mikataba ya arthi ya kijinga coz kilishikwa na midawa ya kulevya kule CHINA,mamaeee

  • @pastorstevenmdoe5143
    @pastorstevenmdoe5143 Před 2 lety +1

    Huyu mbunge yuko vzr sana.swali langu ninalojiuliza hapa, je kibajaji na msukuma wanarejea wapi kupata nukuuu?

  • @ngininasungare4186
    @ngininasungare4186 Před 2 lety +7

    Mwamba🙏

  • @sesicasi1364
    @sesicasi1364 Před 10 měsíci

    Eti mipaka! Jamani? Mbona hawa watu hawatoshekiii? Yaani kila kitu wanauza. Sasa unawaua wamasai ili waarabu wachukue? What a country? What a leadership group! Yaani unamtoa mfugaji akachunge kwenye mashamba ya wakulima! Utadhani serikali ina uwezo wa kusolve hata kesi moja kati ya mkulima na mfugaji. Tunatawaliwa na watu wenye tamaa. Watu wasiokuwa na utu na hata huruma na raia wake!

  • @alphoncejmrema7912
    @alphoncejmrema7912 Před 10 měsíci

    Asantee Mheshimiwa Mbunge

  • @elymollel
    @elymollel Před 2 lety +4

    Lelaa kake emey naleng 😭 emaaku endoki nabo ilmaa pookin. Aamu ore ena mbaak mejing'ita tiatua eng'eno tukul.
    Guys it is so painful 😭 let us all maasai unite, Because this issue doesn't click on our mind at all.

    • @twahathomas3514
      @twahathomas3514 Před 2 lety +1

      Ekeponu kulo meek amir ingipwan armaasai pookin. Aiteru tengorongoro, manyara, monduli, simanjiro,lake natron na longido. Engai taretu iyook irmaasai

    • @elymollel
      @elymollel Před 2 lety

      @@twahathomas3514 esipata pae! .

  • @christinamonyi5920
    @christinamonyi5920 Před 2 lety +3

    Kongole mh shangai👍👍👍

  • @afrakanaswahilitv5520
    @afrakanaswahilitv5520 Před 2 lety +1

    Mhe. Samia Suluhu Hassan azuiwe kunyakua shamba la jamii ya wamasai na kulitengea waarab wa Oman. Hilo shamba, kisheria linamilikiwa na wakazi wa Loliondo na si Rais wa Tanzania ambaye ni mdhamini kwa niaba ya wananchi wote wa Jumuiya ya muungano wa Tanzania.

  • @nyanzasusu1968
    @nyanzasusu1968 Před 2 lety

    Asanteeeeeee Shanghai ubarikiwe

  • @loatamollel7551
    @loatamollel7551 Před 2 lety +1

    Nyie mpige tuuu makofi wakati watu wetu wamekuwa masikota wengine wamehepa kwenda kutibiwa Kenya wakati nyie wabunge mkoo na familia zetu mungu awaone

  • @furahanaborrulaizer9993
    @furahanaborrulaizer9993 Před 2 lety +1

    Mungu aendelee kukuzaidia baba akupe nguvu ya kushinda hayo yote

  • @deborahmgedzi632
    @deborahmgedzi632 Před 9 měsíci

    Amina

  • @user-ll8mn7gj6x
    @user-ll8mn7gj6x Před 3 měsíci

    Huyo mungu mnatakiwa mpen supu ya kutosha kwa sababu hamtopata meter kama hawk wawili nawapenda sana wanaloliondo

  • @hassanlikwenangu8471
    @hassanlikwenangu8471 Před 2 lety +1

    WENZENU WANATETEA TAIFA BUT WENZETU WAMASAI WAKO BUSY KUTETEA KABILA

  • @frankjohn8706
    @frankjohn8706 Před 2 lety +3

    Hivi kuweka mipaka kunahitaji bunduki?KWELI Tanzania ni moja nasi TU TAIFA moja lkn mtu atoke kwa mapenzi ya moyo wake kuhama KUTOKA Arusha kwenda kuishi Kigoma lkn kumtoa bila ridhaa yake atoke njiro akaishi mianzini inakua tabu mno , lkn fikiri uwatoe wasukuma simiu uwahamishie nangulukulu utajiskiaje

    • @elijahnkoidela4262
      @elijahnkoidela4262 Před 2 lety

      Point taken,,

    • @charlestadeo1805
      @charlestadeo1805 Před 2 lety

      inastajabisha wanaochaguliwa kututetea wanatetea selekali sisi tutakua wageni wanani hau ndio aliosema polepole Wauni

    • @frankjohn8706
      @frankjohn8706 Před 2 lety

      @@charlestadeo1805 baba WA Taifa pia aliwai KUSEMA inchi inaongozwa kihunihuni Sasa alisahau pale alipoipigania CCM 1995 Kwa kurudia uchaguzi majimbo ma5 ambayo ilikua mikoa sku zile.na uitikio wapiga kura ulipo kosekana msajili akasema kulikua na mvua ,NDIO lLyatonga akakosa kiti

  • @deusdeditknkunga6047
    @deusdeditknkunga6047 Před 2 lety +2

    You're right Mbunge! Heko!

  • @VidothNaftalLema-ff5rf
    @VidothNaftalLema-ff5rf Před 9 měsíci

    Tunaelewa ss watu wa kuelewa mbunge hongera

  • @troybolton6686
    @troybolton6686 Před 2 lety +2

    Nasikia hilo eneo wanapewa waarabu ndio maana yaani huyo kikwete mdogo atatuharibia nchi yeye amekuwa ni nani

  • @shabanimungazija7272
    @shabanimungazija7272 Před 9 měsíci

    Yani mnatucha nganya sana wabunge mbona mmenepa sisi wananchi tumekonda kwakunyonywa.mungu anawaona

  • @mnyamanyegere9663
    @mnyamanyegere9663 Před 2 lety +1

    Inauma sana

  • @enezermwafrica7443
    @enezermwafrica7443 Před 2 lety +2

    Taarifa miiiingi! Mnamaliza muda wake tu!..🤷🤷🤷🤷

  • @edwardbulle
    @edwardbulle Před 9 měsíci

    Hongera sana shangai

  • @denisnyantori3661
    @denisnyantori3661 Před 2 lety +1

    Safi sana

  • @nkolemuya9283
    @nkolemuya9283 Před 2 lety +12

    Unatenga chumba cha kulala pa kuvalia nguo na pa kufanyia makeup 🙄
    Eti waheshimiwa na taarifa km toddlers wanagombania toy ya mwenzao kisa mama yao ndio anawaangalia kwa leo bila kujua kesho watalelewa na mamake mwenye toy na sijui nae ataambia mwanae awanyang'anye toys zao maana kutesa kwa zamu🙄, mradi leo unamabavu basi hukumbuki kesho, HAKI itendeke na tuache kulazimisha watu kuhama kila kukicha huku umasikini unazidi kushamiri

    • @nahashuaka4979
      @nahashuaka4979 Před 2 lety

      Asante Sana mhe. Shanghai, kusema ukweli na mhe. Naibu spika kulinda muda wake. Ila waheshimiwa acheni unafiki vaeni viatu vya wananchi mnaowawakilisha huko bungeni

    • @kasigaragwasa9398
      @kasigaragwasa9398 Před 2 lety

      Sawasaw

  • @soboganzabron
    @soboganzabron Před 9 měsíci

    Taarifa kama mvua ,Kwa maslai ya tumbo. Mungu angeniuliza nataka nn muda huu hiiiii...tuache tu.

  • @BeathaChambo
    @BeathaChambo Před 9 měsíci

    Safi mbunge nakukubali sana

  • @edwardbussagwe2044
    @edwardbussagwe2044 Před rokem +1

    Huyu mtoto wa kikwete hajui maisha maana yeye kazaliwa kwenye neema tu
    Ee Mungu wakumbuke wamaasai katika ardhi yao

  • @benjaminmtebe5009
    @benjaminmtebe5009 Před 9 měsíci

    Mungu anajuwa na malaika wanajuwa Wahuni wengine wanajaribu kumpotosha Ukweli

  • @tariqmasudi4400
    @tariqmasudi4400 Před 2 lety

    Anaongea point lakini wanaona tabu ata kupiga makofi wabunge wote awajuhi wapo kwann

  • @piniellaizer5753
    @piniellaizer5753 Před 2 lety +4

    Tanzania nakupenda nchi yangu forever STPO MAA EVICTION IN NGORONGORO

    • @leajangmwaana8027
      @leajangmwaana8027 Před 2 lety

      Hongera sana mh. Mbunge wa ngorongoro kusimama na wananchi wako hongera sana

  • @zacharyyesaya
    @zacharyyesaya Před 2 lety

    Nyerere. Tutawabagua wao tukimaliaza tutabaguana sisi kisha tumekwaisha

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 Před 9 měsíci +1

    Hivi hawa wabunge wanavyovulagiza mbunge ili iweje????

  • @jonathanalais.m1303
    @jonathanalais.m1303 Před 2 lety

    Mweshimiwa Shankai kweli mwakilishi sawa

  • @josephatnyamageu1046
    @josephatnyamageu1046 Před 2 lety +2

    Ukweli utaongea daima naliona Giza katika nchi yetu 🙄

  • @Ligness-mw1cl
    @Ligness-mw1cl Před 9 měsíci

    Jamani jamani hivi CCM ni lidude Gani mbona linatutesa sanaa😭😭 nashindwa kuelewa tatizo ni chama au waendesha chama ila kwasasa hali sio nzur wananchi kiukweli hatuelew

  • @kelvinstephano8
    @kelvinstephano8 Před 2 lety

    Safi kabisa mheshimiwa mbunge

  • @sangaelly8548
    @sangaelly8548 Před 9 měsíci

    Wabunge wengi elimu ndogo juuya sharia

  • @fadhilimoshi5754
    @fadhilimoshi5754 Před 9 měsíci

    Ukweli waliosema bunge ni dhaifu hawajakosea wabunge ni wakurupukaji tu wanapinga mambo yaliyo wazi kbs

  • @turutozamarisery5179
    @turutozamarisery5179 Před rokem

    Mungutusaidie

  • @petermasala1409
    @petermasala1409 Před 2 lety +1

    Kichwa kizuri hiki,,,Mtetezi Mwema wa wananchi

  • @mbuyaelyaoni6266
    @mbuyaelyaoni6266 Před 10 měsíci

    Jamani jamani wabunge, mnampinga as if mko Rwanda? Huyu shetani anatokea wapi? Ni na I aliyewaloga? Mbona uwongo, rushwa ndo dili? 😢😢

  • @eliasjoseph8830
    @eliasjoseph8830 Před 9 měsíci

    Wabunge mbona mnatuchanganya wananchi??
    Kila mtu anauhuru wa kutoa mawazo.
    Lakini lakini Kuna wabunge hawaheshimu mawazo ya wenzao wanahisi wao ndio mawazo Yao Yako sahihi kuliko wabunge wa namba hii hawatakiwi bungee la mwaka 2025
    Kwa maana hawanamsaada Kwa wananchi wao waliowachaguwa

  • @esromkanubo815
    @esromkanubo815 Před 9 měsíci

    So painful 😢😢

  • @dicksonkattoxxx1116
    @dicksonkattoxxx1116 Před 2 lety

    Vzr xan

  • @issackmwakyami2740
    @issackmwakyami2740 Před 2 lety +9

    Tarifa zanini niye ma zero brain ? Mbona mnamtowa kwenye reli ?

  • @wardw3022
    @wardw3022 Před 2 lety +1

    Kwani speaker wa bunge ni wangapi

  • @paulomsipitey7535
    @paulomsipitey7535 Před 2 lety

    Kweli kabsa

  • @davidmwandiga3465
    @davidmwandiga3465 Před 9 měsíci

    We ridhiwani umeanza unyanganyi ardhi hamjatoshe na gesi ya mtwala kweli mafisadi hatosheki tukutane 2024/2025 mungu atakuwa upande wasisi wanyonge

  • @kawiche4911
    @kawiche4911 Před 9 měsíci

    WABUNGE WETU NI WEZI
    NDIO MAANA WAMEWAPA WAGENI MBUGA ZETU
    SERIKALI YA WEZI
    WAMASAI TUKO PAMOJA
    TANGANYIKA HAITAUZWA KWA WAZUNGU WALA KWA WAARABU
    WANA LOLIONDO SIMAMENI IMARA
    TUTASIMAMA

  • @borcherwilliamborchert3090
    @borcherwilliamborchert3090 Před 10 měsíci

    Nashukuru usipokee taarifa za kipumbavu nahuyo ndio mpuuzi kikwete hovyooo nani fisadi mkubwa.

  • @everever2807
    @everever2807 Před 2 lety +1

    hio ndo Royal tour siilienda huko mkachekelea Leo kiko wapi

  • @oscarmisiru9725
    @oscarmisiru9725 Před 9 měsíci

    Taarifaaa taarifaaa, ndoo manini

  • @tusubilegemtafya5532
    @tusubilegemtafya5532 Před 2 lety

    Mungu isaidie Tz wasaidie viongoz watambue nini kimewapeleka bungeni...Mungu iangalie Tz kwa jicho la huruma

  • @Elihuruma
    @Elihuruma Před 9 měsíci

    Kwa uwezo wa muumba wa vyote vya Asili hapa duniani ana muda mchache na waujumu na wanao jaribu kukumbatia kila Raslimaliza za Asili kwa manuufaa yao binafsi yao ngumu muda ni hesabu majibu mtayaona.

  • @frankishengoma9601
    @frankishengoma9601 Před 2 lety +1

    😮