MBUNGE WA NGORONGORO ANG'AKA, ISHU YA LOLIONDO, KIKWETE AINGILIA!
Vložit
- čas přidán 21. 06. 2022
- MBUNGE WA NGORONGORO ANG'AKA, ISHU YA LOLIONDO, KIKWETE AINGILIA!
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Uko vizuri sana mbunge wa ngorongoro wanakutisha lakini usiogope Mungu yupo
Upo vizuri sana mheshimiwa unajua kilichokupeleka bungeni kuwasemea wananchi wako viva aluta continua
Haswaaa Aluta Continuaaa
👌yupo vzr
Waacheni wamasai wakae kwao
Inatia uchungu sana kwani mienda selikar kutafuta sehem nyingine
Yani nyie serikar sio vizur mnavyofanya walah angekuwepo magu huu ujinga using fanyika
dah huyu jamaa anauchungu sana na raia wake
na anaakili sana asee Big up mbunge wa loliondo
Basi huyu watamuumiza huyu Mungu akulinde mbunge wetu wameaza kuchukua vitu kidogo kidogo shaulizao
Wapi kienyeji ingine ilikuwa inaongea hadi inataka kuongea kisukuma, ajibiwe Leo,,,, Ole Mpapa, tanyuaa amu kin'dimie, Enkai,, your are the real hero!!!! 💪💪💪💪
Daa bunge la taarifa taarifa mbunge wa loliondo yuko sahihi sana
Huyu mbunge nimependa Sana anajali wananchi wake kuliko cheo chake,na huyu aliotoa taarifa na mzungumzaji akapokea huyu mzee nae kichwa Sana nampenda sana
Ningekuwa gaidi ningefinance silaha za kivita Kwa wamasai ngorongoro waendelee kupigania Ardhi yao
Heko mtetezi wa haki, kila mtu apewe haki yake, wakristo na waisilamu wote tukatae dhuluma.
tupate wapi wabunge kama huyu? well done ,Mungu akulinde
Ingekuwa heri wabunge wetu wa inchi ya DRC Congo waende kuiga masomo ya ubunge Kwa huu mheshimiwa wa Bunge ya ngorongoro anateteya wakaaji wake Mungu amuzidishiye siku zake za maisha.
Hapa Tunapoelekea Naona Kabsa Tunatengeneza Makundi Na Matabaka Kwenye Nchi Yetu Na Ni Jambo La Hatarii Sana
C makundi tu na ukabila
@@frankjohn8706 MUNGU atunusuru
Ndio si inasemekana Kuna primitive
upo sahh kabis kak
Aisee hata mm nakuunga mkono kabisa 🤔🤨
Huwezi ukamtoa mmasai Loliondo ukampeleka handeni handeni halafu ukaendelea kumuita mmasai. Moja ya kivutio cha utalii na watalii kutembelea loliondo ni pamoja na wamasai. You just can’t move people from their ancestors land just like that. Hiyo ina maana by so doing unabadilisha hata jinsi wanavyofikiri na kadhalika. Waacheni wamasai Loliondo hapo ndipo kwao, full stop
Utalii haunogi Ngorongoro bila wamasai. Waacheni wamasai waishi kwenye eneo lao jamani ila muweke udhibiti mazingira
Hongera sana Msalendo wetu Uzichoke kupambania Wananchi wako kwani haki haiombwi bali Inadaiwa
Watu wanaangalia tu matumbo yao yaani hawa wabunge hawajui wako bungeni kwa ajili gani wanadhani wako pale kuitetea serikali na matumbo yao wakati wapo bungeni kutetea maslahi ya wananchi waliowachagua
It’s a shame kwa jinsi wanavyofanya
Tunaomba Mungu akutane nao wajue kuwa sio vizuri kuwanyanyasa watu wanyonge kwa kutumia serikali
Mbunge kataa duluma usikubali ww umetumwa na wananchi.
Huyu jamaa ni mbunge wakuigwa anatetea maslah yawatuwake bila kuogopa kupoteza ugali wake... I salute 💯💪💪
Ndio kazi ta mbunge mzee kutetea maslahi ya watu wake jimbon kwake kana wengine wanavyofanya na kuisaidia serikali kupata taarifa juu ya mapungufu yaliyopo jimbon kwao ili itekeleze mapungufu hayo.
Isitoshe mbunge asipowatetea watu wake uchaguzi ujao wapi atapata kura na kula mzee? Anatafuta ugali wake hapo, usije mwagika uchaguz ujao
Mungu atalinda nakila Shari yaarab
G. Nn .
Mungu ni mwema sana muachen jaman aongee Kwa niaba ya watu wake hizo taarifa hawez kupokea anaongea Kwa uchungu mkubwa mno
Wamasai wanahaki na haki zinawalinda. Pole sana masai. Watanzania ni ccm hawana upendo na wanainchi wanaowatawala, ila ikifika wanako piga pesa wako tayari kutetea hata kwa damu. Shukuru wewe mwenyewe ni ccm mpaka walikuwa wamekuteka, angekuwa ni mbunge chama kingine wangekuwa wamebandika mambo hata uhaini. Lakini walipokuchukuwa wakakuta ni wale wale ingawa ninyi mnapozwa na ifadhibya wanyama wanataka kuwapa warabu. Wanataka ninyi mtoke ili waweze kuweka warabu.
Leo namsikia mama bado anawatafuta wawekezaji wa madini kwa faida gani sisi tunapata? Kwa kweli mpaka awamu hii nina wasi wasi kila sehemu mashamba yote yatakuwa yametaifishwa kuleta migogoro kila sehemu.
Poleni sana Watanzania. Haya yanayotokea Sasa hivi hayakuanza leo. Genesis ya issue zote hizi inaweza kuwa traced miaka kadhaa iliyopita. Lakini nani wa kumlaumu? Ni Wananchi wenyewe na unafiki wao wa kupigia makofi Kila jambo bila kulitafakari. Haya yanayotokea Sasa yangekemewa kwa nguvu zote yasingekuwa yanajirudia rudia. Ulishaona wapi maisha ya wanyama yakawa na value kuliko maisha ya binadamu. Ni ajabu sana. Watu hawasemi ukweli bali kupiga makofi tu na kusubiri bahati ya kuteuliwa. What a shame!
Mbunge anatetea wananchi wake yupo sahihii mungu ambariki kwa kutetea wanyonge
Shetani Anasura Nzuri sana Ni Mrembo Ni Kisura!! Hata Ninyi Wenzangu Mnayo Macho Mnayo Masikio!! Mjapo jua kua Huyu Ni Shetani Mmekwisha!! Poleni sana Watanzania Wenzangu wa Ngorongoro!! Msikate Tamaa Endeleeni kumlilia Rais Wenu na MUNGU PIA NDIYE MWISHO WA MSAADA KWENU.
Huyu kikwete kama baba yake.anakula bure, wananyonya maskini😢😢
Entitled
Taarifa zimezidi hadi karaha jmn, mheshimu sheria za bunge
Yaani zinaniudhi hizo taarifa,.waache mtu aongee 😡
Hii ndio faida ya Royal Tour Watanzania naliona Giza katika nchi yetu 🙄
Giza Ndo tunaiondoa sasa. Hata wakiweka bibi tu. Hawakutegemea wananchi watasimama. They did underestimate wananchi.
Asantesana Kiboko Olesendeka kwa kumpashangai taarifa safi hatasisi tunapokea.
Mh : mbunge wa Roliondo nakukubari we jasiri mpambanaji mzalendo Mungu akulinde
Kwa swala la loliondo na raisi anausika tena kwa asilimia100, kama aliowatuma wameenda kufanya tofauti na maagizo kwnini asiwachukulie hatua? kanyamaza tu inamaana kapendezwa na ujinga walioufanya watumishi wake kwenda kuwatesa wananchi watakao mpigia kura.
Nan ampigh kura
Haswaaa🙏🙏❤
@@sarahkelvin4845 kabisa wajinga ndio watampigia kura
Yaan hii ni ishu yake kabisa maan haiwezekani watu wanateseka hv raisi anashangilia
The Tanzania government is not far to The MAA Community living in Tanzania.President Samia should make orders and stop MAA eviction as early as possible
Acha kujipendekeza boy,
Andika kwa Kiswahili mpumbavu wewe! Habari iko kwa Kiswahili alafu unatuandikia Kiingereza? Pumbavu sana!
Huyu Kikwete mdogo, hawa ndio wezi wa mali za Tanganyika. Hatutaki hata kukusikia.
Safi sana Mbunge wa Loliondo unajitambua sana wananchi wanakusikiliza.huyo anayetoa taarifa mpuuzeni tu!huyo aliyovaa tay hana jipya,huyo pia kweli hajui ni mnafiki tu hakuna anayehama kwa hiyali.Shangai upo vzr bravo mh.
Yes huyo mzee ako sawa👏🏾👏🏾👏🏾
Daah!! Pole mtu unaongea point katika eneo lako lijitu linakuja na kusema no sense hadi kachkia.
Msikilizeni kwa makini Mbunge wa Loliondo, please.
Na alijua tu kuwa wamemuuzia muarabu ndo maana amegomea kauli yake
Ila poleni sana wananchi wa ngorongoro kwa misukosuko simameni na mungu ndo msaidizi went kwa sasa inshaalah mwenyezimungu awape hekma zakupambania haki zeni
Mimi sina imani na huyo waziri wa arrdhi mhh hapo patakuwa na michezo unataka kuchezeka
Thank you mhe shangaii hao hawajui wanachoxema bwn
Kazi nzuri mbunge imara kbsa
Wana ngorongoro mumeona ni kwajinzi gani mbunge wetu Shanghai avyo shambuliwa na wambumbafu wasiyo tutakia mwema
Upo sahihi Ndugu yangu na Asante kwa maono yako
I feel bad for our Masai's in Tanzania
Simama kishujaa saidia kwa namna yeyote ile. Mmchango wako ni muhimu
Hongera MBUNGE WETU HAWA CCM WANADHANI TANGANYIKA BADO MAZUZU ENDELEENI TUNAWAJUA MNAVYOPOTOSHWA TUTAWANGOA FANYENI MCHEZO
Hiii nchi viongozi watashitukia mchezo jua linazama,acha mvua iendeleee kunyesha
Haki huinua taifa ! hawa mafisadi tumewachoka wamejaa tamaa wataivuluga nchi wanatukumbusha enzi za makabulu walivyowanyanyasa wazawa
Mungu wa ngorongoro chukua maua yako uko vizur🎉🎉🎉
Ukweli wa mgogoro wa loliondo ni kuwa wananchi wanaondolewa ili kupisha watu wenye hela zao kuwekeza,mtoto wa mfaulme wa omani.
Waarabu Waarabu tunarudishwa tena Utumwani.
Nchi inaemdeshwa na watu wenye akili ndogo lazma watavurunda tu
Niaibu kwa Taifa letu lililo huru tangu mwka 61. Bado sharia zetu zinatumia lugha ya kigeni (kiingereza). Tuna hukumu kesi za raia wetu wa Tanzania nakuwanyima watuhumiwa na washitakiwa hakizao kwa lugha ambayo hawana uhuru nayo na wengi wao hawaielewi kabisa.. Bado Taifa hili tunatawaliwa kifikra. Bado wazungu wanaendelea kututawala kifikra. Inauma na kusikitisha sana. Tubadilike ndugu viongozi wetu ambao mnategemewa sana na Taifa zima.
Nakubaliana na wewe Mheshimiwa kwa asilimia zote mia moja. Ni ujinga mkubwa huu.
@@gosbertrwezahura3645
Tunataka wabunge kama huyu.. Awamu ya 6 iache kunyakua ardhi yao. Jamani wabunge sasa Bandari tena? Enyi wabunge na spika wenu vipi? Sasa hivi Wamasai vijana wameishia ulinzi, kuuza mikanda ukijiuliza kulikoni huko. Yaanii hata familia zao zimesambalatika? Tunaenda wapi? Kuua mila na destuli za wamasai kwa ajili ya kuinua uchumi? Kuwarudisha waarabu ndani ya kiina cha ichumi ngorongoro? Tujali haki za binadamu wenzetu ha wamasai?
Nimeipenda Sana hili jibu unatenga hiyo aridhi kutoka eneo Lanani kwenda lanani
Hiyo nimeipenda sana
Mwenyekiti amekuwa katikati Nice,ameonyesha ukomavu na uvumilivu
Kirithiwanu chikwete kimepewa unaibu waziri wa arthi Ili kifanye mikataba ya arthi ya kijinga coz kilishikwa na midawa ya kulevya kule CHINA,mamaeee
Huyu mbunge yuko vzr sana.swali langu ninalojiuliza hapa, je kibajaji na msukuma wanarejea wapi kupata nukuuu?
Mwamba🙏
Eti mipaka! Jamani? Mbona hawa watu hawatoshekiii? Yaani kila kitu wanauza. Sasa unawaua wamasai ili waarabu wachukue? What a country? What a leadership group! Yaani unamtoa mfugaji akachunge kwenye mashamba ya wakulima! Utadhani serikali ina uwezo wa kusolve hata kesi moja kati ya mkulima na mfugaji. Tunatawaliwa na watu wenye tamaa. Watu wasiokuwa na utu na hata huruma na raia wake!
Asantee Mheshimiwa Mbunge
Lelaa kake emey naleng 😭 emaaku endoki nabo ilmaa pookin. Aamu ore ena mbaak mejing'ita tiatua eng'eno tukul.
Guys it is so painful 😭 let us all maasai unite, Because this issue doesn't click on our mind at all.
Ekeponu kulo meek amir ingipwan armaasai pookin. Aiteru tengorongoro, manyara, monduli, simanjiro,lake natron na longido. Engai taretu iyook irmaasai
@@twahathomas3514 esipata pae! .
Kongole mh shangai👍👍👍
Mhe. Samia Suluhu Hassan azuiwe kunyakua shamba la jamii ya wamasai na kulitengea waarab wa Oman. Hilo shamba, kisheria linamilikiwa na wakazi wa Loliondo na si Rais wa Tanzania ambaye ni mdhamini kwa niaba ya wananchi wote wa Jumuiya ya muungano wa Tanzania.
Asanteeeeeee Shanghai ubarikiwe
Nyie mpige tuuu makofi wakati watu wetu wamekuwa masikota wengine wamehepa kwenda kutibiwa Kenya wakati nyie wabunge mkoo na familia zetu mungu awaone
Mungu aendelee kukuzaidia baba akupe nguvu ya kushinda hayo yote
Amina
Huyo mungu mnatakiwa mpen supu ya kutosha kwa sababu hamtopata meter kama hawk wawili nawapenda sana wanaloliondo
WENZENU WANATETEA TAIFA BUT WENZETU WAMASAI WAKO BUSY KUTETEA KABILA
Hivi kuweka mipaka kunahitaji bunduki?KWELI Tanzania ni moja nasi TU TAIFA moja lkn mtu atoke kwa mapenzi ya moyo wake kuhama KUTOKA Arusha kwenda kuishi Kigoma lkn kumtoa bila ridhaa yake atoke njiro akaishi mianzini inakua tabu mno , lkn fikiri uwatoe wasukuma simiu uwahamishie nangulukulu utajiskiaje
Point taken,,
inastajabisha wanaochaguliwa kututetea wanatetea selekali sisi tutakua wageni wanani hau ndio aliosema polepole Wauni
@@charlestadeo1805 baba WA Taifa pia aliwai KUSEMA inchi inaongozwa kihunihuni Sasa alisahau pale alipoipigania CCM 1995 Kwa kurudia uchaguzi majimbo ma5 ambayo ilikua mikoa sku zile.na uitikio wapiga kura ulipo kosekana msajili akasema kulikua na mvua ,NDIO lLyatonga akakosa kiti
You're right Mbunge! Heko!
Tunaelewa ss watu wa kuelewa mbunge hongera
Nasikia hilo eneo wanapewa waarabu ndio maana yaani huyo kikwete mdogo atatuharibia nchi yeye amekuwa ni nani
Yani mnatucha nganya sana wabunge mbona mmenepa sisi wananchi tumekonda kwakunyonywa.mungu anawaona
Inauma sana
Taarifa miiiingi! Mnamaliza muda wake tu!..🤷🤷🤷🤷
Hongera sana shangai
Safi sana
Unatenga chumba cha kulala pa kuvalia nguo na pa kufanyia makeup 🙄
Eti waheshimiwa na taarifa km toddlers wanagombania toy ya mwenzao kisa mama yao ndio anawaangalia kwa leo bila kujua kesho watalelewa na mamake mwenye toy na sijui nae ataambia mwanae awanyang'anye toys zao maana kutesa kwa zamu🙄, mradi leo unamabavu basi hukumbuki kesho, HAKI itendeke na tuache kulazimisha watu kuhama kila kukicha huku umasikini unazidi kushamiri
Asante Sana mhe. Shanghai, kusema ukweli na mhe. Naibu spika kulinda muda wake. Ila waheshimiwa acheni unafiki vaeni viatu vya wananchi mnaowawakilisha huko bungeni
Sawasaw
Taarifa kama mvua ,Kwa maslai ya tumbo. Mungu angeniuliza nataka nn muda huu hiiiii...tuache tu.
Safi mbunge nakukubali sana
Huyu mtoto wa kikwete hajui maisha maana yeye kazaliwa kwenye neema tu
Ee Mungu wakumbuke wamaasai katika ardhi yao
Mungu anajuwa na malaika wanajuwa Wahuni wengine wanajaribu kumpotosha Ukweli
Anaongea point lakini wanaona tabu ata kupiga makofi wabunge wote awajuhi wapo kwann
Tanzania nakupenda nchi yangu forever STPO MAA EVICTION IN NGORONGORO
Hongera sana mh. Mbunge wa ngorongoro kusimama na wananchi wako hongera sana
Nyerere. Tutawabagua wao tukimaliaza tutabaguana sisi kisha tumekwaisha
Hivi hawa wabunge wanavyovulagiza mbunge ili iweje????
Mweshimiwa Shankai kweli mwakilishi sawa
Ukweli utaongea daima naliona Giza katika nchi yetu 🙄
Jamani jamani hivi CCM ni lidude Gani mbona linatutesa sanaa😭😭 nashindwa kuelewa tatizo ni chama au waendesha chama ila kwasasa hali sio nzur wananchi kiukweli hatuelew
Safi kabisa mheshimiwa mbunge
Wabunge wengi elimu ndogo juuya sharia
Ukweli waliosema bunge ni dhaifu hawajakosea wabunge ni wakurupukaji tu wanapinga mambo yaliyo wazi kbs
Mungutusaidie
Kichwa kizuri hiki,,,Mtetezi Mwema wa wananchi
Jamani jamani wabunge, mnampinga as if mko Rwanda? Huyu shetani anatokea wapi? Ni na I aliyewaloga? Mbona uwongo, rushwa ndo dili? 😢😢
Wabunge mbona mnatuchanganya wananchi??
Kila mtu anauhuru wa kutoa mawazo.
Lakini lakini Kuna wabunge hawaheshimu mawazo ya wenzao wanahisi wao ndio mawazo Yao Yako sahihi kuliko wabunge wa namba hii hawatakiwi bungee la mwaka 2025
Kwa maana hawanamsaada Kwa wananchi wao waliowachaguwa
So painful 😢😢
Vzr xan
Tarifa zanini niye ma zero brain ? Mbona mnamtowa kwenye reli ?
Kwani speaker wa bunge ni wangapi
Kweli kabsa
We ridhiwani umeanza unyanganyi ardhi hamjatoshe na gesi ya mtwala kweli mafisadi hatosheki tukutane 2024/2025 mungu atakuwa upande wasisi wanyonge
WABUNGE WETU NI WEZI
NDIO MAANA WAMEWAPA WAGENI MBUGA ZETU
SERIKALI YA WEZI
WAMASAI TUKO PAMOJA
TANGANYIKA HAITAUZWA KWA WAZUNGU WALA KWA WAARABU
WANA LOLIONDO SIMAMENI IMARA
TUTASIMAMA
Nashukuru usipokee taarifa za kipumbavu nahuyo ndio mpuuzi kikwete hovyooo nani fisadi mkubwa.
hio ndo Royal tour siilienda huko mkachekelea Leo kiko wapi
Taarifaaa taarifaaa, ndoo manini
Mungu isaidie Tz wasaidie viongoz watambue nini kimewapeleka bungeni...Mungu iangalie Tz kwa jicho la huruma
Kwa uwezo wa muumba wa vyote vya Asili hapa duniani ana muda mchache na waujumu na wanao jaribu kukumbatia kila Raslimaliza za Asili kwa manuufaa yao binafsi yao ngumu muda ni hesabu majibu mtayaona.
😮