OLE SENDEKA AIBUA TAFRANI BUNGENI, ISHU YA WAMASAI KUONDOLEWA, TULIA AMVAA!
VloĆŸit
- Äas pĆidĂĄn 19. 06. 2022
- OLE SENDEKA AIBUA TAFRANI BUNGENI, ISHU YA WAMASAI KUONDOLEWA, TULIA AMVAA!
WATCH WASAFI TVđș
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM đ»
88.9 DAR/ZNZ/PWANI đ» | 104.1 DODOMA đ» | 94.5 ARUSHA đ» | 97.3 MBEYA đ» | 94.9 MWANZA đ» | SHINYANGA 106.3 đ» | KIGOMA 101.7 đ»
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
đȘđđđđđđđđ ©2021 đŸđđđđđ đŽđđ đđ. đšđđ đđđđđđ đđđđđđđđ .
#wasafi #wasafitv #wasafifm - ZĂĄbava
Ole sendeka katika watu au wabunge wa ccm nmubunge unajitambua unajua nn wananchi wako wamekutuma big up sana
Waswahili ni nadra sana kusema ukweli na kukubali kosa , kuna uhusiano wa uswahili na uongo na kuwa na maneno mengi na midomo mirefu , na kuna uhusiano wa uswahili na uvivu na umasikini . Yaani waswahili wanaweza kukubaliana kusema uwongo tu.
Congralation my father mtetesi wamasai na munguu akusadia
Woooo eeee Mungu msaidie Mzee Sendeka asianguke kwa pressuređ°
Haya Mambo hayahitaji mihemko
Ila wamasai Sendeka amewakilisha vyemaâŠ..we love you Sendeka
Wewe Mmasai wa Pwani, Tanga, Morogoro au Kilimanjaro?
Hii ya leo nimeipenda Kwa Sendeka kuwasemea wanainchi"
Maana unakuwaga na kihelehele cha taarifa za kinafiki,
Japo roho inaniuma kwa kunyanyaswa kwa wakazi wa loliondo kisa kupandisha twiga kwenye ndege.
Asante sana usiogope pigania haki zetu wamasai kwamateso mnayopitia kwaadenyi naleng ilalasha lang eminjosho eepi utupokei nikutunyanganya mapori yetu tusikubali kamwe kamwe na wataenda wapi atutaki
Wameshambana mzee wa watu kwa sababu zao wanazozijua wenyewe..Mungu anawaona
Tulieni kwan,,za tudai katiba mpya itakayomfanya mwananchi awe na haki
Wamembana vipi, anaambiwa asome,hasomi
Hon speaker knows better to run her parliamentary activitiesđđđ
She is not! She is only threatening the MP, the MP Sendeka quoted the letter from the former PM Pinda, which nullified the exercise. Now why madam spika threatening him by asking him to provide evidence? Is this to say The PM Pinda was wrong? Is this what she want to tell us? Feel shy to clap your hands when spika stand in the side of oppressors. Did ever ask yourself why OBC? Why madam presidaa payed a long visit to said Arabia and being welcomed by the royal family? Do you know why the OBC company was inactive during the magufuli regime? Think deep and not just grorify the exploitation of our wealth to the few. What do you benefit? Do you know how the maasai natural lifestyles contributed to national income? Simply because of the few people's interest, Do you want such kind of attraction be diluted with those from Tanga?
KiswaKinge
Tanzania đčđż mwanasheria ni mmoja tu Check Bob Tundu Antipass lissu
Mwalimu wa tundu antipass ni huyohuyo Tulia ackson
Tulia Aksoni naona Unaliendesha Binge vizuri, tena kwa kipaji na Upeo, Naona kuna wabunge wanajikanyaja kanyaga kwa kuwapotosha Wananchi, Hongerađđ
njaa mbaya sana
Dr. Tulia Ackson hongera sana kwa kuwabana wapotoshaji wenye Nia ya kuleta taharuki zisizo na msingi.
Mh olesendeka uko sawa kabisa mungu akuongezee miaka piin'gor engaji emaa
Mbona Spika anajaribu kupoka uhuru wa mbunge wa kuzungumza bungeni? Mbunge Ole Sendeka anahoja ya kutetea wananchi wake. Dr Tulia acha wabunge wazungumze matatizo ya watu wao
Umeliona na wewe hilo
Analipwa huyo
Na nimwanasheria so anaweza kukuzungusha Mpka ukaona kanyabazongo
Sasa tulia mnataka afute hizo sheria na yeye hajatunga, jamani sheria sio za tulia nashangaa mnamvamia, mmmmh bora waliweka spika mwanasheria maana angekuwa hajui sheria angepelekwapelekwa balaaaa
Ole sendeka waachie vijana umezeeka , Dr Tulia safi saana inawezekana sendeka kithungu kinasumbua
Watamuuwa kwa preshaa mzee wa watuu jamanii, mpaka anapumuaa kwa shidaaa yoote haya ya nini, Wanakuwa kama wanamdhalilisha vilee spika angeyamaliza tu kwa kumwambiaa kaa tu inatoshaa,
Duh! Mhe. Ole Sendeka kubali yaishe! Lakini kupanga ni kuchagua una nafasi ya kujifakari kama bado unastahili kuzitetea kondoo zako katikati ya kundi la viumbe wengine wala nyama na huku wakiwa na njaa.
Asante Mh.Christopher Olesendeka.....Waziri hiyo ni mtoto.....mpe shule.........!!
Hapo ndio tutaona umuhimu wa uchaguzi huru maana kwa sasa inaonekana mzee ole sendeka anabanwa kwenye uhalali lakini wabunge wengine hawana uwezo wa kumsapoti mzee pamoja na wamasai hao..hivi mmasai ni mkimbizi kwenye hayo maeneo?
Burigi huko Biharamulo (Walikoanza kuita Burigi-Chato) walipopandishwa kuwa Hifadhi ya Taifa walikuwa wakimbizi?
True
Hajuikujieleza huyo mbunge,na pili kuhamishwa wananchi kupelekwa sehemu nyengine sio ukimbizi? Mbona kila sehemu yapo?
Eyeeee mwenyezi mung tunakuomba tunakuomba msaada wako maan wew tu ndiyo muweza wa yote
Mzigo mkubwa kwa wana CCM.
Hajui mfumo wa maisha ya maisha ya jamii ya kimaasai
Your excellent mheshimiwa sendeka kwa kweli hilo ninalofanywa sii ungwa yampasa Rahisi angilie kati kwani lengo la kuwahamisha wamasai kwa maeneo yao sii kanakwamba ni uboreshaji wa mbuga za wanyama Bali ni kuwapokonya wamasai Arthi yao wamasai walioshi hapo tangu za mababa na mabibi zao mbona wakuwahi kuharibu au kufanya mauwaji ya wanyama pori
Ole sema kimeumanaaađ€Łđ€Łđ€Łđ€Łđ€Łđ€Łđ€Ł
Asante Mzee ole sendeka
Anacho sema Ole Sendeka yuko sahihi tofauti na hapo inaonyesha ubaguzi wa ukabila
Ukimuona mama anachukua chakula cha watoto wake anampa mbwa wa jirani kwa kuamini iko siku atamfukuzia mwizi nyumbani kwake. Bas jua hao watoto ni. Wa ndungu zake na si wake
Wabunge wanao jitambua ni wachache sana ongera mzee baba
Haya ndiyo madhara ya kiswahili,Waswahili hawasemagi kweli hata siku moja wanaweza kukubaliana kusema uwongo tu hata Kama wameapa.
Inaotwa Elimu ya Taifa watanzania tunakosa hadhi kimataifa hata Kama Ni madoktwr au maprofessor.
Mungu tuhurumie watanzania.
Uswahili no uongo hahahahahhhđžđžđžđžđžđžđđđđđđđđđđđ
Niuongo
Unaposema waswahili hawasemagi ukweli wewe unakuwa upande upi??
Looooo ! Kaaaaa ! Utamuu huu !
Sendeka mungu akupe Maisha marefu iserkali aina Niya nzuri na wananchi
Kwa njinsi sendeka anavyojitahidii kuutetea jamii yake anayowakilisha anastahili kupewa heshima ya mbunge karne katika wabunge wote waliowahi kuwakilisha jamii ya kimaasai hili lifanyiqe kazi asanteni
Safi saana Mary, ole sendeka ana kitu ndani yake
shule nzuri sana
Mungu ameweka wawindaji wafugaji wakulima wavuvi siku moja yatakuja kwenu ndio utasema. Msitucheleweshe kuikomboa nchi labda we sio mtanganyika
Mungu utusaidie
Tuifanye Dar es salam mbuga za wanyama je, mtakubali
Umekielewa ulichokiandika we mwenyewe lakini?
Ubarikiwe sana further
Ole Sendeka safi sana,utetezi wa wananchi ni Kazi ya ziada
Mzee Tulia dawa ikuingie,haya yanapokuwa kwa wengine mnashangilia sana leo kwenu yamefika ,ngoma hii imefikia kwenu.
Huna akili nchiii moja ngozi Moja taifa Moja wewe bila Masai huna nyama huna maziwa Leo unachukulia Masai kama ni MTU kutoka nchi jirani huo sio uzalendo
@@walinaziontime7300 Imebaki historia.. nyama.. maziwa ipo bila mmasai. Kwanza mifugo ilioko huko inabebwa na fuso kurudishwa kwao.. Mmasai wa kawaida anaishi Kama ndorobo Hana kitu. Ole Sendeka na wenzie wa Kenya ndio wenye ng'ombe.
Kweli kabisa ,huwa wanapenda sana kupendelewa.
Koma
TUNATAKA HAKI
Sheria tamu jaman, hongera spika
Safi sana kwakutetea wamasai
Tunakushukuru sana ole sendeka kwakuwakumbusha hao mawaziri wasiofuata sheria.
Wakati sheria hizo tumeziweka wenyewe.
Ardhi za vijiji haziwezi kubadilishwa kuwa pori tengefuđ
Baba yetu sendeka ni hazina kubwa sana
Sema.Mzee.Umma.Utakusikia.Kulinda Uovu ni Dhambi .Bunge la Chama kimoja tu mmmh na hayo Makofi kumpigia huyo mama.Mmmhh.Ujamaa na kujitegemea irudishwe.Upya..tuyaonayo mnatupeleka Wapi..Pole.Mzee.kwa jasho likutokalo kupigania si lelemama.tetea Haki.Usiyumbe.
Sasa.Anatoa mada anaondoa hoja.Alijandaa au vipi lakini mpira unaendelea tuone Matokeo.
Tulia umeshamchsnganya mmasai wetu
Dr. Tulia fireeee
đ€Łđ€Łđ€Łđ€Ł Vodaco kazi ni kwenu đđđđđœđđœđđœđ€đœđ€đœđ€đœ lee Maaasai vs wanyama pori waje huku town tuwe wa Swazi wote tuđ€Łđ€Łđ€Ł huu mchakato ni changamoto,đđ hata hivyo Mh. Sendeka una Busara sana đđœ Big up Baba
Trueee ni Kama walishapanga yaooo
Tulia anakijulia hicho kiti uongo ni zambi
Daaaa hiiii ndioo Tanzaniiiaaa
tulia unakiherehere sana, unahisi kazi yako sio kuwatetea wananchi bali nikuisifia serikali
Yaani huyu supika sijui yupo hapo kutetea serikali tu
Sasa hapo katetea nini? Sheria sio maji
Hii serekali ya wanawake ni mtihan kwa taifa
hasaaa !
Kwani tulia ndio alitunga hizo sheria? Na kasoma yeye? Kubalini kufundishwa kuwa sheria ni msumeno
Ilikuwa vizuri Sana dr tulia ungekuwa na lissu bungeni
Wakutane Tulia. Lisu. MWAMBUKUSI MDUDE na mjaidi
Kwa muda mfupi tu Ndugai ameshafunikwa na Dr. Tulia, yaan anajua kujenga na kubomoa hoja
Huyu ni kichwa sio Ndugai kichaa.. tena anajitamkia ana cheti Cha milembe hospital .
Good mweshimiwa
Wananchi wangu wa Ruvu same hawakushirikishwa tunalaani vikali sana Enela Ruvu kupanfishwa hazi kufanywa Pori la akiba Chama cha Ukomboz wa Umma Kilimanjaro tunalaani vikali Ruvu ya Same hayoni makazi ya watu wetu eavRuvu same
mzee yuko sawa lkn watu wanamalengo yao tu pumbavu.
Mimi siwez kuwaonea huruma Hawa wabunge wanaotoka umasaini... Ndo waelewe mkipenda kula vya shetani kubali kudhalilika... Sasa hivi wanawarusha kama njugu.... Mbona tutaelewana tu!!
Unamaana gani kwamba unapenda wamasai wanavyoteseka ndio furaha yako?? Poa bwana
Iko poa Sana hii nimeipenda
Asant sana mzee
Mawazo ya wazee wetu good
Safiii kabisaaa
Hongera sana Spika kwa kuondoa taharuki, kwa maelezo ya Mhe. Sendeka wengi tumeelewa watu wa Wilaya 4 wahamishwe wala hata hakusema wapelekwe wapi. Mhe. Sendeka akajipange vizuri anayo hoja nzuri lakini haijakaa vizuri.
Hahahahaha Hahahahaha wasiokuwa na edu,,wanatoa macho tu
Safi sana ndugu mubunge
Asante mzee Ole Sendeka. Walau umehesabiwa
Huyu waziri jamani anajitakia laana bure hayo maeneo aliyotajwa yana watu na makazi.mim nipo loliondo huyu mama namwangalia tu
Kwa hiyo zile bikon ziliwekwa kwenye makazi ya watu na je wananchi wamehamishwa?
Mbona bunge letu kwa ishu sirias hawapigi makofi lkn kwenye mambo ya kishabiki na isiyo na manufaa kwa wananchi wanapiga makofi?
Upo vzur
simple tu, hawako serious...full stop
Na huyu Tulia huwa akiongoza bunge yaani haruhusu mbunge ajieleze hadi mwisho, unaharibu hoja! Hovyo sana huyu, nikikumbuka alivyoendesha bunge la bandari ndio alikua wa hovyoo zaidi đąđą
Da kweli tunaitaji katiba mpya mnazingua Sana Shelia hinasomwa kwa kingeleza he,wakina sisi tusichokijua hicho kiluga daaaaaaa
WELL SAID OLE SENDEKA I
Spika smart sana aisee
mzee upo vizuri sana
SPIKA TULIA NI SPIKA WA VIWANGO.
Saaaaana.. Wabunge wajinga wakae kimya. Huyu Mzee Ni Division 0 matokeo ya A level.
Kama eneo halina wananchi hawa wanaopigana na polisi wametoka wapi?????akili kichwani
Mamluki,wao
Watu laki moja wilaya nne kwani haya mapoli ya Nini
Watu laki mmoja, mifugo milioni ngapi ? Na madhara yake ni makubwa mno
Mzee kubari yaishe Mzee
Uyo spka mbona hamuonei huluma Mzee wa watu anamadini spika nd anamchanganya
mzeee wangu tulia Mana binadamu wengi awapendi kuambiwa ukweli so kuwa kuwa mpole tu jembe tunacho juwa tulisha potezaga mda San jembe lawanyinge mungu ingilia kati tu Tanzania yetu
Hilo li Mary Masanja ni Sukuma jinga sana linatoa taarifa ya kipumbavu tu
Kwa hiyo wanyama ni bora kuliko binadamue Mungu wasamehe wote wanaotete wasioelewa
Mama tulia upo good sana
nilichoelewa kwa Sendeka ni kwamba, hapo awali sehemu ya kutengwa ilikosa vipengele vya kushirikisha wnanchi, pia kuwekwa kwenye gazeti n.k ambapo sasa wametenga bila kuwashirikisha! nimekusoma vizuri, swali linabaki ambalo hukulijibu maeneo hayo yanawananchi ungesema!
Mimi najuwa Mzee Sendeka ana jambo zuri la msingi lakini hajaliweka vizuri, taharuki aliyotaka kuileta kutokana na kutojipanga vizuri ni 100% watu wa Wilaya 4 wahamishwe. Hapa nampongeza sana sana Spika ameonesha uwezo.
Mh spikĂ Leo umemkamata mpotoshajiii Mzee ukubali yaaisheee Leo amepatikana
10:47 yana wawekezaji tayari đȘđȘđȘđȘ
Kwa bunge hili mzee utahangaika sana chama chako hicho,sisi hatupo.
Wanachanganya kiingereza na kiswahili
Ingekuwa maspika wamchongo ungesikia ,tutalipeleka kwa wanasheria ,
đđ€ŁđđHUYU DR TULIA SIYO MTU MZURI.
KAMUWEKA KWENYE KUMI NA NANE MH! DAAAAAAH! HATARI SANA
Sasa tulia kafanya nini? Sheria hata hajatunga yeye na Olisendeka hajapewa na tulia asome hizo sheria au kasoma mwenyewe?
@@leticiachunga9118 SIJAPINGANA NA ALICHOFANYA DR TULIA.
ILA NIMEFURAHISHWA NA UBOBEZI WAKE KWENYE SHERIA KIASI KWAMBA INATOFAUTISHA BUNGE KUONGOZWA NA MWANASIASA ANAEJUA SHERIA KWA SEHEMU NA KUONGOZWA NA MTU MBOBEZI.
@@leticiachunga9118 kaambiwa asome hizo sheria mbona hasomi?
Watu wanataka umimi,Njeree hoiiiđ
Ole sendeka wambie ukweli
Yanga bingwaaaaa
Wanacheka ila wananchi wanalia
Mzee hao wameshalipwa pesa nawaraabu
Wanataka wawatowe waamasai ili wauze Hapo siyo Kwamba haijulikani
Watanzania wanajuwa
Serikali hai endeshwi kwa kauli, bali ushahidi.
Jamani Nyerere all maliza shabaha yake na isiwe sababu za kuharararisha Mambo kwa wakati huu tofauti
Haa
Sijuw Nan anasema ukweli kuhusu ngorongoro đ€!?m real confused!
Mpe.muda mzee ajiereze unambana.sana.
Ongera bab
Udhoefu wa kuwa bungeni mda umekusadia ole Sendeka
Mgandamizaji wa wamasai
Lazima inchi iuzwe ili tusife njaa viongozi wetu msile peke yenu pale kyela panafaa sana mzungu aje kuwekeza nasi tuhamie lindi
lakini ni kweli kwamba hamuoni kwamba watu wanazidi kuzaliana na kuongezeka na idadi inazidi inchini, Ninyi mmkeazana kuzui watu wasiendelee kujenga kwenye aridhi ya kwao, jambo hili naomba mliangalie vizuri
Ardhi ya kwao Wana hati yoyote?
Spika usiwe mwepesi sana wa kukosoa kuamwepesi wakusikiliza na kuandika na kuweka rekodi .unatupigia kelele .huwezi kuzuia fikra za wabunge .unaonyesha kuwa .....
........
Njoo tubid
Jamani mimi niko mbali kidogo, nomba mniagie ccm
Mzee kumbe umesoma vzuri
Hawa ni wawakilishi wa jamii watokako,nadhani waheshimiwe kwani waliapa kusimamia na kuwasemea wananchi huko watokako. Wasibezwe.
Tetea haki ya watu wakođ„đ„đ„
Hawa wamasai Kama hamuwajui vizuri wanatabia ya kung'ang'ania maeneo na kuyamiliki na niwape angalizo hasa mikoa mnaowakaribisha wamasai na kuawauzia maeneo au kugawiwa miaka si mingi mtawajutia wamasai na mjiulize kwanini maeneo ya wamasai yawe ya wamasai tu hawana muingiliano na makabila mengine halafu wao wanatoka kwao nakwenda kuwa na mwingiliano na mikoa mingine na halafu wanavyojua kazaliana kwa makusudi Kuna kitu wanakitengeneza kwa baadaye