OLE SENDEKA AIBUA TAFRANI BUNGENI, ISHU YA WAMASAI KUONDOLEWA, TULIA AMVAA!

SdĂ­let
VloĆŸit
  • čas pƙidĂĄn 19. 06. 2022
  • OLE SENDEKA AIBUA TAFRANI BUNGENI, ISHU YA WAMASAI KUONDOLEWA, TULIA AMVAA!
    WATCH WASAFI TVđŸ“ș
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM đŸ“»
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI đŸ“» | 104.1 DODOMA đŸ“» | 94.5 ARUSHA đŸ“» | 97.3 MBEYA đŸ“» | 94.9 MWANZA đŸ“» | SHINYANGA 106.3 đŸ“» | KIGOMA 101.7 đŸ“»
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    đ‘Ș𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 đ‘Ÿđ’‚đ’”đ’‚đ’‡đ’Š 𝑮𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑹𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • ZĂĄbava

Komentáƙe • 384

  • @ThomasMwinuka-kg5kz
    @ThomasMwinuka-kg5kz Pƙed 9 měsĂ­ci +2

    Ole sendeka katika watu au wabunge wa ccm nmubunge unajitambua unajua nn wananchi wako wamekutuma big up sana

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 Pƙed 2 lety +14

    Waswahili ni nadra sana kusema ukweli na kukubali kosa , kuna uhusiano wa uswahili na uongo na kuwa na maneno mengi na midomo mirefu , na kuna uhusiano wa uswahili na uvivu na umasikini . Yaani waswahili wanaweza kukubaliana kusema uwongo tu.

    • @keretolakara462
      @keretolakara462 Pƙed rokem

      Congralation my father mtetesi wamasai na munguu akusadia

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 Pƙed 2 lety +9

    Woooo eeee Mungu msaidie Mzee Sendeka asianguke kwa pressure😰

  • @gracethomas683
    @gracethomas683 Pƙed 2 lety +20

    Ila wamasai Sendeka amewakilisha vyema
..we love you Sendeka

  • @williammbuzimai5744
    @williammbuzimai5744 Pƙed 2 lety +9

    Hii ya leo nimeipenda Kwa Sendeka kuwasemea wanainchi"
    Maana unakuwaga na kihelehele cha taarifa za kinafiki,
    Japo roho inaniuma kwa kunyanyaswa kwa wakazi wa loliondo kisa kupandisha twiga kwenye ndege.

  • @user-zk9ox3di4b
    @user-zk9ox3di4b Pƙed 9 měsĂ­ci +1

    Asante sana usiogope pigania haki zetu wamasai kwamateso mnayopitia kwaadenyi naleng ilalasha lang eminjosho eepi utupokei nikutunyanganya mapori yetu tusikubali kamwe kamwe na wataenda wapi atutaki

  • @emmanueleliya6225
    @emmanueleliya6225 Pƙed 2 lety +22

    Wameshambana mzee wa watu kwa sababu zao wanazozijua wenyewe..Mungu anawaona

    • @shukrancharles7817
      @shukrancharles7817 Pƙed 2 lety

      Tulieni kwan,,za tudai katiba mpya itakayomfanya mwananchi awe na haki

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr Pƙed 2 lety

      Wamembana vipi, anaambiwa asome,hasomi

  • @ericklaura7511
    @ericklaura7511 Pƙed 2 lety +17

    Hon speaker knows better to run her parliamentary activities🙏💚💛

    • @craywille6059
      @craywille6059 Pƙed 2 lety +1

      She is not! She is only threatening the MP, the MP Sendeka quoted the letter from the former PM Pinda, which nullified the exercise. Now why madam spika threatening him by asking him to provide evidence? Is this to say The PM Pinda was wrong? Is this what she want to tell us? Feel shy to clap your hands when spika stand in the side of oppressors. Did ever ask yourself why OBC? Why madam presidaa payed a long visit to said Arabia and being welcomed by the royal family? Do you know why the OBC company was inactive during the magufuli regime? Think deep and not just grorify the exploitation of our wealth to the few. What do you benefit? Do you know how the maasai natural lifestyles contributed to national income? Simply because of the few people's interest, Do you want such kind of attraction be diluted with those from Tanga?

    • @kubwaichebestfriend8673
      @kubwaichebestfriend8673 Pƙed 2 lety

      KiswaKinge

  • @geraldluiso6792
    @geraldluiso6792 Pƙed 2 lety +7

    Tanzania đŸ‡č🇿 mwanasheria ni mmoja tu Check Bob Tundu Antipass lissu

    • @oscarmario466
      @oscarmario466 Pƙed 2 lety

      Mwalimu wa tundu antipass ni huyohuyo Tulia ackson

  • @jameszephaniajames7299
    @jameszephaniajames7299 Pƙed 2 lety +7

    Tulia Aksoni naona Unaliendesha Binge vizuri, tena kwa kipaji na Upeo, Naona kuna wabunge wanajikanyaja kanyaga kwa kuwapotosha Wananchi, Hongera🙏🙏

  • @henrychaula1174
    @henrychaula1174 Pƙed 9 měsĂ­ci

    Dr. Tulia Ackson hongera sana kwa kuwabana wapotoshaji wenye Nia ya kuleta taharuki zisizo na msingi.

  • @josephsarunimollelmollel8815

    Mh olesendeka uko sawa kabisa mungu akuongezee miaka piin'gor engaji emaa

  • @robbiejerrson7437
    @robbiejerrson7437 Pƙed 2 lety +15

    Mbona Spika anajaribu kupoka uhuru wa mbunge wa kuzungumza bungeni? Mbunge Ole Sendeka anahoja ya kutetea wananchi wake. Dr Tulia acha wabunge wazungumze matatizo ya watu wao

    • @smarty1064
      @smarty1064 Pƙed 2 lety +2

      Umeliona na wewe hilo

    • @nyamwekomatoke9951
      @nyamwekomatoke9951 Pƙed 2 lety +1

      Analipwa huyo
      Na nimwanasheria so anaweza kukuzungusha Mpka ukaona kanyabazongo

    • @leticiachunga9118
      @leticiachunga9118 Pƙed 2 lety +2

      Sasa tulia mnataka afute hizo sheria na yeye hajatunga, jamani sheria sio za tulia nashangaa mnamvamia, mmmmh bora waliweka spika mwanasheria maana angekuwa hajui sheria angepelekwapelekwa balaaaa

  • @florameza1028
    @florameza1028 Pƙed 2 lety +4

    Ole sendeka waachie vijana umezeeka , Dr Tulia safi saana inawezekana sendeka kithungu kinasumbua

  • @itsjonahfather7941
    @itsjonahfather7941 Pƙed 2 lety +8

    Watamuuwa kwa preshaa mzee wa watuu jamanii, mpaka anapumuaa kwa shidaaa yoote haya ya nini, Wanakuwa kama wanamdhalilisha vilee spika angeyamaliza tu kwa kumwambiaa kaa tu inatoshaa,

  • @bakarimmbaga2344
    @bakarimmbaga2344 Pƙed 2 lety +2

    Duh! Mhe. Ole Sendeka kubali yaishe! Lakini kupanga ni kuchagua una nafasi ya kujifakari kama bado unastahili kuzitetea kondoo zako katikati ya kundi la viumbe wengine wala nyama na huku wakiwa na njaa.

  • @busindevyote3519
    @busindevyote3519 Pƙed 2 lety

    Asante Mh.Christopher Olesendeka.....Waziri hiyo ni mtoto.....mpe shule.........!!

  • @bonifacekalima5273
    @bonifacekalima5273 Pƙed 2 lety +19

    Hapo ndio tutaona umuhimu wa uchaguzi huru maana kwa sasa inaonekana mzee ole sendeka anabanwa kwenye uhalali lakini wabunge wengine hawana uwezo wa kumsapoti mzee pamoja na wamasai hao..hivi mmasai ni mkimbizi kwenye hayo maeneo?

    • @malopemaliyamungu5243
      @malopemaliyamungu5243 Pƙed 2 lety

      Burigi huko Biharamulo (Walikoanza kuita Burigi-Chato) walipopandishwa kuwa Hifadhi ya Taifa walikuwa wakimbizi?

    • @officialmubytz1076
      @officialmubytz1076 Pƙed 2 lety +1

      True

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr Pƙed 2 lety

      Hajuikujieleza huyo mbunge,na pili kuhamishwa wananchi kupelekwa sehemu nyengine sio ukimbizi? Mbona kila sehemu yapo?

    • @jacksonmollel5106
      @jacksonmollel5106 Pƙed 2 lety

      Eyeeee mwenyezi mung tunakuomba tunakuomba msaada wako maan wew tu ndiyo muweza wa yote

    • @cosmaswilliam3805
      @cosmaswilliam3805 Pƙed 2 lety

      Mzigo mkubwa kwa wana CCM.

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s Pƙed 3 měsĂ­ci

    Hajui mfumo wa maisha ya maisha ya jamii ya kimaasai

  • @antonnymike529
    @antonnymike529 Pƙed 2 lety

    Your excellent mheshimiwa sendeka kwa kweli hilo ninalofanywa sii ungwa yampasa Rahisi angilie kati kwani lengo la kuwahamisha wamasai kwa maeneo yao sii kanakwamba ni uboreshaji wa mbuga za wanyama Bali ni kuwapokonya wamasai Arthi yao wamasai walioshi hapo tangu za mababa na mabibi zao mbona wakuwahi kuharibu au kufanya mauwaji ya wanyama pori

  • @amonidafa9665
    @amonidafa9665 Pƙed 2 lety +9

    Ole sema kimeumanaaađŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€Ł

  • @rashidmollel529
    @rashidmollel529 Pƙed 2 lety +1

    Asante Mzee ole sendeka

  • @anthonyakyoo8832
    @anthonyakyoo8832 Pƙed 21 dnem

    Anacho sema Ole Sendeka yuko sahihi tofauti na hapo inaonyesha ubaguzi wa ukabila

  • @ibrahthomas8208
    @ibrahthomas8208 Pƙed 2 lety +3

    Ukimuona mama anachukua chakula cha watoto wake anampa mbwa wa jirani kwa kuamini iko siku atamfukuzia mwizi nyumbani kwake. Bas jua hao watoto ni. Wa ndungu zake na si wake

  • @kimbyarungwe4959
    @kimbyarungwe4959 Pƙed 2 lety +19

    Wabunge wanao jitambua ni wachache sana ongera mzee baba

  • @edsonmruma4833
    @edsonmruma4833 Pƙed 2 lety +4

    Haya ndiyo madhara ya kiswahili,Waswahili hawasemagi kweli hata siku moja wanaweza kukubaliana kusema uwongo tu hata Kama wameapa.
    Inaotwa Elimu ya Taifa watanzania tunakosa hadhi kimataifa hata Kama Ni madoktwr au maprofessor.
    Mungu tuhurumie watanzania.

    • @fatmamunde5543
      @fatmamunde5543 Pƙed 2 lety

      Uswahili no uongo hahahahahhh😾😾😾😾😾😾😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @fatmamunde5543
      @fatmamunde5543 Pƙed 2 lety

      Niuongo

    • @sogolamwishekhe5667
      @sogolamwishekhe5667 Pƙed 2 lety

      Unaposema waswahili hawasemagi ukweli wewe unakuwa upande upi??

    • @epimackjohn6354
      @epimackjohn6354 Pƙed 2 lety

      Looooo ! Kaaaaa ! Utamuu huu !

  • @meshackkamduli8507
    @meshackkamduli8507 Pƙed 2 lety +3

    Sendeka mungu akupe Maisha marefu iserkali aina Niya nzuri na wananchi

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s Pƙed 3 měsĂ­ci

    Kwa njinsi sendeka anavyojitahidii kuutetea jamii yake anayowakilisha anastahili kupewa heshima ya mbunge karne katika wabunge wote waliowahi kuwakilisha jamii ya kimaasai hili lifanyiqe kazi asanteni

  • @florameza1028
    @florameza1028 Pƙed 2 lety +7

    Safi saana Mary, ole sendeka ana kitu ndani yake

  • @silasmichael602
    @silasmichael602 Pƙed 2 lety

    shule nzuri sana

  • @user-nn6zq1ok7i
    @user-nn6zq1ok7i Pƙed 9 měsĂ­ci

    Mungu ameweka wawindaji wafugaji wakulima wavuvi siku moja yatakuja kwenu ndio utasema. Msitucheleweshe kuikomboa nchi labda we sio mtanganyika

  • @mrolonana...2656
    @mrolonana...2656 Pƙed 2 lety

    Mungu utusaidie

  • @isaacvtv547
    @isaacvtv547 Pƙed 2 lety +9

    Tuifanye Dar es salam mbuga za wanyama je, mtakubali

  • @modeehwamangodee4231
    @modeehwamangodee4231 Pƙed 2 lety

    Ubarikiwe sana further

  • @zakariamolel7447
    @zakariamolel7447 Pƙed 2 lety +1

    Ole Sendeka safi sana,utetezi wa wananchi ni Kazi ya ziada

  • @venancemwanya4212
    @venancemwanya4212 Pƙed 2 lety +8

    Mzee Tulia dawa ikuingie,haya yanapokuwa kwa wengine mnashangilia sana leo kwenu yamefika ,ngoma hii imefikia kwenu.

    • @walinaziontime7300
      @walinaziontime7300 Pƙed 2 lety

      Huna akili nchiii moja ngozi Moja taifa Moja wewe bila Masai huna nyama huna maziwa Leo unachukulia Masai kama ni MTU kutoka nchi jirani huo sio uzalendo

    • @malopemaliyamungu5243
      @malopemaliyamungu5243 Pƙed 2 lety

      @@walinaziontime7300 Imebaki historia.. nyama.. maziwa ipo bila mmasai. Kwanza mifugo ilioko huko inabebwa na fuso kurudishwa kwao.. Mmasai wa kawaida anaishi Kama ndorobo Hana kitu. Ole Sendeka na wenzie wa Kenya ndio wenye ng'ombe.

    • @shabaniduduma8885
      @shabaniduduma8885 Pƙed 2 lety

      Kweli kabisa ,huwa wanapenda sana kupendelewa.

    • @user-nn6zq1ok7i
      @user-nn6zq1ok7i Pƙed 9 měsĂ­ci

      Koma

    • @user-nn6zq1ok7i
      @user-nn6zq1ok7i Pƙed 9 měsĂ­ci

      TUNATAKA HAKI

  • @benjamindenice53
    @benjamindenice53 Pƙed 2 lety +8

    Sheria tamu jaman, hongera spika

  • @jordankalinga3125
    @jordankalinga3125 Pƙed 2 lety +2

    Safi sana kwakutetea wamasai

  • @eliasjoseph8830
    @eliasjoseph8830 Pƙed 9 měsĂ­ci

    Tunakushukuru sana ole sendeka kwakuwakumbusha hao mawaziri wasiofuata sheria.
    Wakati sheria hizo tumeziweka wenyewe.
    Ardhi za vijiji haziwezi kubadilishwa kuwa pori tengefu😅

  • @silasmichael602
    @silasmichael602 Pƙed 2 lety +6

    Baba yetu sendeka ni hazina kubwa sana

  • @johakhimu.mgembe.3297
    @johakhimu.mgembe.3297 Pƙed 2 lety +2

    Sema.Mzee.Umma.Utakusikia.Kulinda Uovu ni Dhambi .Bunge la Chama kimoja tu mmmh na hayo Makofi kumpigia huyo mama.Mmmhh.Ujamaa na kujitegemea irudishwe.Upya..tuyaonayo mnatupeleka Wapi..Pole.Mzee.kwa jasho likutokalo kupigania si lelemama.tetea Haki.Usiyumbe.

    • @johakhimu.mgembe.3297
      @johakhimu.mgembe.3297 Pƙed 2 lety

      Sasa.Anatoa mada anaondoa hoja.Alijandaa au vipi lakini mpira unaendelea tuone Matokeo.

  • @pastorstevenmdoe5143
    @pastorstevenmdoe5143 Pƙed 2 lety +1

    Tulia umeshamchsnganya mmasai wetu

  • @madukaj.j.6999
    @madukaj.j.6999 Pƙed 2 lety

    Dr. Tulia fireeee

  • @f.a6043
    @f.a6043 Pƙed 2 lety +15

    đŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€Ł Vodaco kazi ni kwenu đŸ˜†đŸ˜†đŸ˜†đŸ‘đŸœđŸ‘đŸœđŸ‘đŸœđŸ€đŸœđŸ€đŸœđŸ€đŸœ lee Maaasai vs wanyama pori waje huku town tuwe wa Swazi wote tuđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€Ł huu mchakato ni changamoto,😂😂 hata hivyo Mh. Sendeka una Busara sana đŸ‘đŸœ Big up Baba

  • @humphreyvidonyi253
    @humphreyvidonyi253 Pƙed 2 lety +15

    tulia unakiherehere sana, unahisi kazi yako sio kuwatetea wananchi bali nikuisifia serikali

    • @shufaachagulasi3795
      @shufaachagulasi3795 Pƙed 2 lety +4

      Yaani huyu supika sijui yupo hapo kutetea serikali tu

    • @TM.Sullusi
      @TM.Sullusi Pƙed 2 lety +2

      Sasa hapo katetea nini? Sheria sio maji

    • @nailaty
      @nailaty Pƙed 2 lety +4

      Hii serekali ya wanawake ni mtihan kwa taifa

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 Pƙed 2 lety +1

      hasaaa !

    • @leticiachunga9118
      @leticiachunga9118 Pƙed 2 lety +1

      Kwani tulia ndio alitunga hizo sheria? Na kasoma yeye? Kubalini kufundishwa kuwa sheria ni msumeno

  • @revocatusreuben4605
    @revocatusreuben4605 Pƙed 2 lety +3

    Ilikuwa vizuri Sana dr tulia ungekuwa na lissu bungeni

    • @user-nn6zq1ok7i
      @user-nn6zq1ok7i Pƙed 9 měsĂ­ci

      Wakutane Tulia. Lisu. MWAMBUKUSI MDUDE na mjaidi

  • @ip_header
    @ip_header Pƙed 2 lety +11

    Kwa muda mfupi tu Ndugai ameshafunikwa na Dr. Tulia, yaan anajua kujenga na kubomoa hoja

    • @malopemaliyamungu5243
      @malopemaliyamungu5243 Pƙed 2 lety

      Huyu ni kichwa sio Ndugai kichaa.. tena anajitamkia ana cheti Cha milembe hospital .

  • @saitotikessoylesemu
    @saitotikessoylesemu Pƙed rokem

    Good mweshimiwa

  • @suleimanimwinyimbegu4015
    @suleimanimwinyimbegu4015 Pƙed 2 lety +1

    Wananchi wangu wa Ruvu same hawakushirikishwa tunalaani vikali sana Enela Ruvu kupanfishwa hazi kufanywa Pori la akiba Chama cha Ukomboz wa Umma Kilimanjaro tunalaani vikali Ruvu ya Same hayoni makazi ya watu wetu eavRuvu same

  • @pythagorasgibson3305
    @pythagorasgibson3305 Pƙed 2 lety +5

    mzee yuko sawa lkn watu wanamalengo yao tu pumbavu.

  • @isaacjaphet1314
    @isaacjaphet1314 Pƙed 2 lety +3

    Mimi siwez kuwaonea huruma Hawa wabunge wanaotoka umasaini... Ndo waelewe mkipenda kula vya shetani kubali kudhalilika... Sasa hivi wanawarusha kama njugu.... Mbona tutaelewana tu!!

    • @theosaimon6933
      @theosaimon6933 Pƙed 2 lety

      Unamaana gani kwamba unapenda wamasai wanavyoteseka ndio furaha yako?? Poa bwana

  • @rehemaobedi1587
    @rehemaobedi1587 Pƙed 2 lety

    Iko poa Sana hii nimeipenda

  • @chazyjacks673
    @chazyjacks673 Pƙed 2 lety +2

    Asant sana mzee

  • @filbetkalembe2806
    @filbetkalembe2806 Pƙed 2 lety +5

    Mawazo ya wazee wetu good

  • @miletuskgmiletus1563
    @miletuskgmiletus1563 Pƙed 2 lety

    Safiii kabisaaa

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 Pƙed 2 lety +1

    Hongera sana Spika kwa kuondoa taharuki, kwa maelezo ya Mhe. Sendeka wengi tumeelewa watu wa Wilaya 4 wahamishwe wala hata hakusema wapelekwe wapi. Mhe. Sendeka akajipange vizuri anayo hoja nzuri lakini haijakaa vizuri.

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr Pƙed 2 lety +1

    Hahahahaha Hahahahaha wasiokuwa na edu,,wanatoa macho tu

  • @zabroninyamba7235
    @zabroninyamba7235 Pƙed 2 lety

    Safi sana ndugu mubunge

  • @venantrugabela6798
    @venantrugabela6798 Pƙed 2 lety +1

    Asante mzee Ole Sendeka. Walau umehesabiwa

  • @mkosianga6826
    @mkosianga6826 Pƙed 2 lety +4

    Huyu waziri jamani anajitakia laana bure hayo maeneo aliyotajwa yana watu na makazi.mim nipo loliondo huyu mama namwangalia tu

    • @oscarmario466
      @oscarmario466 Pƙed 2 lety

      Kwa hiyo zile bikon ziliwekwa kwenye makazi ya watu na je wananchi wamehamishwa?

  • @emmanueleliya6225
    @emmanueleliya6225 Pƙed 2 lety +6

    Mbona bunge letu kwa ishu sirias hawapigi makofi lkn kwenye mambo ya kishabiki na isiyo na manufaa kwa wananchi wanapiga makofi?

  • @sebastianonesphory8055
    @sebastianonesphory8055 Pƙed 9 měsĂ­ci

    Na huyu Tulia huwa akiongoza bunge yaani haruhusu mbunge ajieleze hadi mwisho, unaharibu hoja! Hovyo sana huyu, nikikumbuka alivyoendesha bunge la bandari ndio alikua wa hovyoo zaidi 😱😱

  • @meshakikaffee3789
    @meshakikaffee3789 Pƙed 2 lety +1

    Da kweli tunaitaji katiba mpya mnazingua Sana Shelia hinasomwa kwa kingeleza he,wakina sisi tusichokijua hicho kiluga daaaaaaa

  • @adolphdavid2572
    @adolphdavid2572 Pƙed 2 lety

    WELL SAID OLE SENDEKA I

  • @bobwhite9252
    @bobwhite9252 Pƙed 2 lety +5

    Spika smart sana aisee

  • @abdalaalmas2535
    @abdalaalmas2535 Pƙed 2 lety +10

    SPIKA TULIA NI SPIKA WA VIWANGO.

    • @malopemaliyamungu5243
      @malopemaliyamungu5243 Pƙed 2 lety

      Saaaaana.. Wabunge wajinga wakae kimya. Huyu Mzee Ni Division 0 matokeo ya A level.

  • @emmanueleliya6225
    @emmanueleliya6225 Pƙed 2 lety +5

    Kama eneo halina wananchi hawa wanaopigana na polisi wametoka wapi?????akili kichwani

    • @sudiyahya9276
      @sudiyahya9276 Pƙed 2 lety +2

      Mamluki,wao

    • @hubimogela9167
      @hubimogela9167 Pƙed 2 lety

      Watu laki moja wilaya nne kwani haya mapoli ya Nini

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 Pƙed 2 lety

      Watu laki mmoja, mifugo milioni ngapi ? Na madhara yake ni makubwa mno

  • @samwelnevele1029
    @samwelnevele1029 Pƙed 2 lety

    Mzee kubari yaishe Mzee

  • @azikamujulius3530
    @azikamujulius3530 Pƙed 2 lety +2

    Uyo spka mbona hamuonei huluma Mzee wa watu anamadini spika nd anamchanganya

  • @elizabethcharles4902
    @elizabethcharles4902 Pƙed 2 lety +2

    mzeee wangu tulia Mana binadamu wengi awapendi kuambiwa ukweli so kuwa kuwa mpole tu jembe tunacho juwa tulisha potezaga mda San jembe lawanyinge mungu ingilia kati tu Tanzania yetu

  • @marcokanyama4533
    @marcokanyama4533 Pƙed 2 lety

    Hilo li Mary Masanja ni Sukuma jinga sana linatoa taarifa ya kipumbavu tu

  • @user-xz4sm7qn5l
    @user-xz4sm7qn5l Pƙed 10 měsĂ­ci

    Kwa hiyo wanyama ni bora kuliko binadamue Mungu wasamehe wote wanaotete wasioelewa

  • @samwelnevele1029
    @samwelnevele1029 Pƙed 2 lety

    Mama tulia upo good sana

  • @vincentvitalius9346
    @vincentvitalius9346 Pƙed 2 lety +2

    nilichoelewa kwa Sendeka ni kwamba, hapo awali sehemu ya kutengwa ilikosa vipengele vya kushirikisha wnanchi, pia kuwekwa kwenye gazeti n.k ambapo sasa wametenga bila kuwashirikisha! nimekusoma vizuri, swali linabaki ambalo hukulijibu maeneo hayo yanawananchi ungesema!

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Pƙed 2 lety

      Mimi najuwa Mzee Sendeka ana jambo zuri la msingi lakini hajaliweka vizuri, taharuki aliyotaka kuileta kutokana na kutojipanga vizuri ni 100% watu wa Wilaya 4 wahamishwe. Hapa nampongeza sana sana Spika ameonesha uwezo.

  • @shukranitv2971
    @shukranitv2971 Pƙed 2 lety

    Mh spikĂ  Leo umemkamata mpotoshajiii Mzee ukubali yaaisheee Leo amepatikana

  • @kokolebrain7274
    @kokolebrain7274 Pƙed 2 lety +2

    10:47 yana wawekezaji tayari đŸ˜ȘđŸ˜ȘđŸ˜ȘđŸ˜Ș

  • @user-rs4vz2vt9z
    @user-rs4vz2vt9z Pƙed 10 měsĂ­ci

    Kwa bunge hili mzee utahangaika sana chama chako hicho,sisi hatupo.

  • @muhammedomer9256
    @muhammedomer9256 Pƙed 2 lety

    Wanachanganya kiingereza na kiswahili

  • @sudiyahya9276
    @sudiyahya9276 Pƙed 2 lety +2

    Ingekuwa maspika wamchongo ungesikia ,tutalipeleka kwa wanasheria ,

  • @MCNgakungaJunior
    @MCNgakungaJunior Pƙed 2 lety +5

    đŸ˜‚đŸ€ŁđŸ˜‚đŸ˜‚HUYU DR TULIA SIYO MTU MZURI.
    KAMUWEKA KWENYE KUMI NA NANE MH! DAAAAAAH! HATARI SANA

    • @leticiachunga9118
      @leticiachunga9118 Pƙed 2 lety

      Sasa tulia kafanya nini? Sheria hata hajatunga yeye na Olisendeka hajapewa na tulia asome hizo sheria au kasoma mwenyewe?

    • @MCNgakungaJunior
      @MCNgakungaJunior Pƙed 2 lety

      @@leticiachunga9118 SIJAPINGANA NA ALICHOFANYA DR TULIA.
      ILA NIMEFURAHISHWA NA UBOBEZI WAKE KWENYE SHERIA KIASI KWAMBA INATOFAUTISHA BUNGE KUONGOZWA NA MWANASIASA ANAEJUA SHERIA KWA SEHEMU NA KUONGOZWA NA MTU MBOBEZI.

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr Pƙed 2 lety

      @@leticiachunga9118 kaambiwa asome hizo sheria mbona hasomi?

    • @shabaniduduma8885
      @shabaniduduma8885 Pƙed 2 lety

      Watu wanataka umimi,Njeree hoiii😃

  • @adieladielemojah3062
    @adieladielemojah3062 Pƙed 2 lety +1

    Ole sendeka wambie ukweli

  • @lukamkogwe6252
    @lukamkogwe6252 Pƙed 2 lety

    Yanga bingwaaaaa

  • @petermboje5839
    @petermboje5839 Pƙed 2 lety +1

    Wanacheka ila wananchi wanalia

  • @nyamwekomatoke9951
    @nyamwekomatoke9951 Pƙed 2 lety +2

    Mzee hao wameshalipwa pesa nawaraabu
    Wanataka wawatowe waamasai ili wauze Hapo siyo Kwamba haijulikani
    Watanzania wanajuwa

  • @mwanjalimfaume6380
    @mwanjalimfaume6380 Pƙed 2 lety +1

    Jamani Nyerere all maliza shabaha yake na isiwe sababu za kuharararisha Mambo kwa wakati huu tofauti

  • @lazarosule7761
    @lazarosule7761 Pƙed 2 lety

    Haa

  • @chb5367
    @chb5367 Pƙed 2 lety +1

    Sijuw Nan anasema ukweli kuhusu ngorongoro đŸ€”!?m real confused!

  • @devidmwakipunda1697
    @devidmwakipunda1697 Pƙed 2 lety

    Mpe.muda mzee ajiereze unambana.sana.

  • @benodeemay8443
    @benodeemay8443 Pƙed 2 lety

    Ongera bab

  • @zakariamolel7447
    @zakariamolel7447 Pƙed 2 lety

    Udhoefu wa kuwa bungeni mda umekusadia ole Sendeka

  • @wilsongaabusha5664
    @wilsongaabusha5664 Pƙed 2 lety

    Mgandamizaji wa wamasai

  • @saulmwalubunju1076
    @saulmwalubunju1076 Pƙed 2 lety +1

    Lazima inchi iuzwe ili tusife njaa viongozi wetu msile peke yenu pale kyela panafaa sana mzungu aje kuwekeza nasi tuhamie lindi

  • @prophetgbobadiah5449
    @prophetgbobadiah5449 Pƙed 2 lety +1

    lakini ni kweli kwamba hamuoni kwamba watu wanazidi kuzaliana na kuongezeka na idadi inazidi inchini, Ninyi mmkeazana kuzui watu wasiendelee kujenga kwenye aridhi ya kwao, jambo hili naomba mliangalie vizuri

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 Pƙed rokem

    Spika usiwe mwepesi sana wa kukosoa kuamwepesi wakusikiliza na kuandika na kuweka rekodi .unatupigia kelele .huwezi kuzuia fikra za wabunge .unaonyesha kuwa .....
    ........

  • @januarymwashambwa6698
    @januarymwashambwa6698 Pƙed 2 lety

    Njoo tubid

  • @user-tv5rb2ef6d
    @user-tv5rb2ef6d Pƙed 9 měsĂ­ci

    Jamani mimi niko mbali kidogo, nomba mniagie ccm

  • @petermboje5839
    @petermboje5839 Pƙed 2 lety

    Mzee kumbe umesoma vzuri

  • @donaldfrancissassa8360
    @donaldfrancissassa8360 Pƙed 10 měsĂ­ci

    Hawa ni wawakilishi wa jamii watokako,nadhani waheshimiwe kwani waliapa kusimamia na kuwasemea wananchi huko watokako. Wasibezwe.

  • @justuskirongosi6859
    @justuskirongosi6859 Pƙed 2 lety

    Tetea haki ya watu wakođŸ”„đŸ”„đŸ”„

  • @abubakarimburu9096
    @abubakarimburu9096 Pƙed 2 lety

    Hawa wamasai Kama hamuwajui vizuri wanatabia ya kung'ang'ania maeneo na kuyamiliki na niwape angalizo hasa mikoa mnaowakaribisha wamasai na kuawauzia maeneo au kugawiwa miaka si mingi mtawajutia wamasai na mjiulize kwanini maeneo ya wamasai yawe ya wamasai tu hawana muingiliano na makabila mengine halafu wao wanatoka kwao nakwenda kuwa na mwingiliano na mikoa mingine na halafu wanavyojua kazaliana kwa makusudi Kuna kitu wanakitengeneza kwa baadaye