OLESENDEKA AONGEA KWA UCHUNGU MBELE YA WANANCHI MAENEO YA WAMASAI KUGEUZWA KUWA HIFADHI YA WANYAMA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 06. 2024
  • Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
    Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
    Facebook: / kusagamedia
    Instagram: / kusaganews
    CZcams : www.youtube.com/@kusagatv6320...
    Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...

Komentáře • 65

  • @user-zk9ox3di4b
    @user-zk9ox3di4b Před 28 dny +3

    asante sana kaka yetu olesendeka pole sana unatutetea sana lakini serekali ya Samia na CCM yake atumpendi kabisa

  • @JAMESLAPUT-ye6kk
    @JAMESLAPUT-ye6kk Před 27 dny +1

    Olesendeka fanya kazi nzuri mheshimiwa,be blessed

  • @artsonkimath2917
    @artsonkimath2917 Před 27 dny +3

    Yule wa Ngorongoro ndoo mbunge hii ni takataka kabisa

  • @jeremiahngoka4980
    @jeremiahngoka4980 Před 28 dny +3

    Ameanza kulamba miguu tena.Hii nchi iko na shida aisee

  • @PartySekemi
    @PartySekemi Před 27 dny +2

    Sendeka anajua vita ya kila aina na hana historia ya kushindwa na tupo nae na sio kila vita ni lazima utumie bunduki kuna vita vinahitaji akili ya kuzaliwa wala sio phd na tunamuamini hatutamuangusha

  • @user-te7ju3wk1x
    @user-te7ju3wk1x Před 23 dny

    Mungu akupiganie baba kwa bidii ya yetu ya wamasai

  • @JoshuaKamusiara
    @JoshuaKamusiara Před 28 dny +2

    Mweshimiwa mbunge wa simanjiro baba wetu mpendwa kweli siungi mkono rais samia amechoka sana kwa kazi ya inchi yetu tuachiee lisu kazi achana wizi wa CCM

  • @mossesmepukori1826
    @mossesmepukori1826 Před 28 dny +3

    Olesendeka muigizaji tu mmasai yupi anamependa samia aliyetuacha bila ardhi?

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 Před 28 dny

    Hongera sana Mh. Sendeka kwa kuwajingashia wamasai wenzako. Endelea kujimegea ardhi na kuwavuruisha wamasai wenzio kwa visingizio vya mapendekezo ya "game reserves". Lakini mwenye macho haambiwi ona!

  • @KiriaKipara
    @KiriaKipara Před 28 dny +1

    Safi sana mkuu

  • @georgekimasaofficial1629
    @georgekimasaofficial1629 Před 28 dny +2

    We shauri lako 😂😂 utajuwa hujui.

  • @ShalomNissitv
    @ShalomNissitv Před 27 dny +2

    Si dhani kama huo ni ukweli.

  • @johakhimu.mgembe.3297
    @johakhimu.mgembe.3297 Před 22 dny

    Sema Ukweri Watu Wawe Huru.Acha kujificha ktk Ukweri.Unaoeleweka.Wana Akili ya kufahamu Unaowaongoza.

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku Před 27 dny

    Hongera mzee wangu pigania haki ya wananchi

  • @jumakilinja6341
    @jumakilinja6341 Před 27 dny +1

    Mzee wewe huna tofauti na chokoraa mlala jalalani, yaani wewe bado unatuona sisi wote ni mag'ombe tunafuata mapalio,hatuna barabara enzi za ukoloni hadi leo na bado unajisifu na chama chako cha ufisadi

  • @ElishaOisso
    @ElishaOisso Před 28 dny +1

    Barabara zetu ni mbovu hasifai na huyu mzee ameshindwa kututetea bungeni ,,,tawala muluki orkito

  • @konemelau9068
    @konemelau9068 Před 18 dny

    MUNGU azidi kukupa Afya njema hakika binafsi nimekuelewa, wewe ni kiongozi mkubwa sana na mwenye uchungu katka maa society

  • @ZakariaMnzava
    @ZakariaMnzava Před 28 dny +2

    Mzee kama vile ananjaa ya madaraka

  • @user-sb3hh3gc3k
    @user-sb3hh3gc3k Před 26 dny

    Viongozi wa sahivi wa Tz HAWAJITAMBUI hata mmoja,kila kitu mama,.mama...mama...mama je serikali iko wapi sahivi!!?

  • @karolikisaka8991
    @karolikisaka8991 Před 28 dny +1

    Wamasai msidanganywe mnadhalilika.
    Njia ya pekee ya wamasai kusalia kwenye maeneo Yao ni kuiondoa ccm

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 Před 28 dny +1

    Siasa bhana unakanyagwa unalia halafu unamshukuru aliye kukanyaga kwa vile eti kisima cha maji kiko kwake

  • @jeremiahblazio4781
    @jeremiahblazio4781 Před 28 dny +1

    Acha kujipendekeza mzee shughulika na wananchi wako

  • @user-bz5ti6op6z
    @user-bz5ti6op6z Před 25 dny

    Kumbe mberigiji hafui dafu huyu ndiye Mmasai

  • @olekitamwasmokotio9855
    @olekitamwasmokotio9855 Před 27 dny +2

    Mm kama Masai sijawai kukupenda ww mudomo tu akuna kitu

    • @PartySekemi
      @PartySekemi Před 27 dny

      Hujielewi na hakuna na nina shaka sio na ukabila yako na akili yako

  • @clarencehilary5588
    @clarencehilary5588 Před 26 dny

    Msimtaje samia unatudhi Sana

  • @elishadodi8787
    @elishadodi8787 Před 27 dny

    Kalambishwa asali tayari huyo naye

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464 Před 28 dny +1

    Hivi si huyu ndo alikoswakoswa na risasi

  • @FredrickOlentimama-tj4ps

    Tutetee baba yangu

  • @LaizerSangau
    @LaizerSangau Před 27 dny

    Mzee olesendaka anashida nikwamba mamake abdo Ako madarakani na mtoto wa nyoka niwanyoka tu awesi badilika kwaiyo sendeka ww nimtoto WA Samia Samia akisema wamasaai waondolewe ww unangufu WA kumusuiya Samia sisi tunaitaji katiba mpya ili awokomeshe Hawa walagai WA ccm

  • @user-cw3vu8mu3k
    @user-cw3vu8mu3k Před 26 dny

    Unafiki ni kiwango kikubwa sana cha uchawi

  • @InnocentCharles-hm3ff
    @InnocentCharles-hm3ff Před 27 dny

    Mmh! Yote tunayosikia toka Kanda iyo but mwamba bado anasifia na kucheza Ngoma....akiyanan wallah!

  • @adamwoiso2180
    @adamwoiso2180 Před 25 dny

    Nani atampa kura huyo mama Samia labda utampa wewe na machawa wako

  • @ImaniLaizar
    @ImaniLaizar Před 25 dny

    Sawa mwamba tetea wananchi wako

  • @uraiatv8455
    @uraiatv8455 Před 28 dny +1

    Shida ya Sendeka ni kujipendekeza

  • @user-jl5uh1xq9f
    @user-jl5uh1xq9f Před 27 dny

    Ukikalibia uchaguzi ndo unaleta maneno laini mwaka huu kazi ipo

  • @Maasai-TV
    @Maasai-TV Před 28 dny

    Mekitamayani nekilepunyeki osinga lepapa lanyorr olesendeka

  • @nkwazigatsha
    @nkwazigatsha Před 28 dny

    Kwani huyo Samia wenu anatoa hiyo pesa toka mfukoni mwake? Unawauza nduguzo. Anawafukuza wamasai kupisha upigaji nawe unawahadaa. Kuna siku utaujua ukweli.

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku Před 27 dny

    Hakuna mwana ccm anaeweza kumkosoa Samia hadharani
    Haya yote nitatizo la Samia lkn sendeka hawezi subutu

  • @user-yl2br2ts3i
    @user-yl2br2ts3i Před 27 dny

    mnafki huy mzee😂😂😂😂

  • @LasaroSilasi
    @LasaroSilasi Před 28 dny

    🙏🙏👏👏👏👏👏

  • @patellaisangai6013
    @patellaisangai6013 Před 27 dny

    Kwani kata lokisale nimbona monduli unahusika na nini uko

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon9823 Před 27 dny

    Hivi wewe ole sendeka bado UNATAKA ubunge? Watu wako wanakosa maeneo lkn unatetea ATI umejengewa shule na Hosp hivi unawaza vizuri KWELI 😂😂 Tamaa za pesa mnatesa Ndugu zenu

  • @andrewkissava9184
    @andrewkissava9184 Před 26 dny

    Ole sendeka acha kuwahadaa na kuwalaghai wananchi unaona uchaguzi una karbia unaanza kugeuka tena kuonekana kama mtetezi wawananchi ,kwanza tukuulize ole sendeka kwani anayeuza hiyo aridhi ninani? Ma anayehamisha masai loliondo ninani? Ana ye uza misitu ninani aliyeuza bandari ninani? Siunamjua sasa kwanini unawalaghai na kuwahadaa wananchi ?

  • @williamwanga2126
    @williamwanga2126 Před 27 dny

    Umenena

  • @kibbysaidi7813
    @kibbysaidi7813 Před 28 dny

    Nikikumbuka lile shambulio la risasi zaidi ya 10 lakini 4 tu ndio zikaipiga gari yako....mmh! Vipi mheshimiwa si ungeacha hata moja ipasue kioo!!

  • @user-ff1ti2bo4w
    @user-ff1ti2bo4w Před 27 dny

    Niambie kura amuna

  • @juliusjuliuskalunjulaipu-ik7kq

    0:12 Tabolu duo ie ngonyek olesendeke ijoito enijoito isipita oo misipita mikiolo tenekishomoki aiyop ingonyek ahu kitanaki engutuk mikiolo tenesipa ing'orito engop eishoi ino mekitaretoki engai taduaa sii meeku ai kishomoki aiyop ingonyeki amu asa taaduo King'ori too ndioli pae irkulie osekin mekingorokini tenemutu imitito engop eishoino tesipata? alaa mekitareroki engai natii shumata amu nenyena pooki

  • @lenkitengtajeutajeu
    @lenkitengtajeutajeu Před 14 dny

    Njeeretu ntae enkai

  • @user-yl2br2ts3i
    @user-yl2br2ts3i Před 27 dny

    tumba tupu😂😂😂....

  • @lucasparmet3201
    @lucasparmet3201 Před 28 dny

    Hakuna kitu hapo ni njaa tu hiyo

  • @lucasparmet3201
    @lucasparmet3201 Před 28 dny

    Kutaja maeneo kwa kuyajua kwa majina sio tija Mzee acha kuwadanganya wananchi
    Samia hapati kira simanjiro

  • @obadiajuma436
    @obadiajuma436 Před 28 dny

    Sirahisi

  • @saidiathuman-og6bc
    @saidiathuman-og6bc Před 28 dny

    Sendeka Acha Ayo Mambo kabisa

  • @ElishaOisso
    @ElishaOisso Před 28 dny

    Yani tumpe kura mtu anaeuza maeneo yetu,,alafu anatuambia raisi ajasaini ,,,tumechoka na hii ccm,,,,ormaasailang mee onyo na kito

  • @GeofreyMwandanji-ot2lf
    @GeofreyMwandanji-ot2lf Před 27 dny +1

    Akipita masai wote nima nyumbu

    • @MaikoSiria
      @MaikoSiria Před 20 dny

      bas wewe ambae sio nyumbu ingia madarakani utengeneze

  • @YassinRajabu
    @YassinRajabu Před 28 dny +1

    wewe sendeka mchochezi bola mfukuzwe tu mutoke kwenye hifadhi

  • @yamatlemomo542
    @yamatlemomo542 Před 28 dny

    Bado unatosha kwenye kiti hicho simanjiro musifanye kosa

  • @melubokusoro5668
    @melubokusoro5668 Před 28 dny

    Olesendaka naye ni Mpuuzi Tu! Dalali

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq Před 28 dny +1

    Huna lolote unaona wamasai ni wajinga

  • @jumamagoma1743
    @jumamagoma1743 Před 20 dny

    Sendeka.wamasai.sio.wajinga.wana.jambo.lao.2024.25.ccm.subilini.kichapo

  • @batwelimahenge7850
    @batwelimahenge7850 Před 28 dny

    Wewe ni chawa kama machawa wengine
    Njaa tupu