KIMEUMANA! WATUMISHI WAKATAANA MBELE YA WAZIRI MKUU, PESA ZAPOTEA - "NANI ALIWATUMA MTOE PESA?"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 09. 2023
  • KIMEUMANA KIGOMA! WATUMISHI WAKATAANA MBELE YA WAZIRI MKUU, PESA ZAPOTEA "NANI ALIWATUMA MTOE PESA?"
    Waziri Mkuu amemuagiza Kamanda wa TAKUKURU mkoa wa Kigoma, Steven Mafiga afanye haraka kuwachunguza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza, Bi. Zainab Mbunda na Mweka Hazina wa Wilaya hiyo, Bw. Majjid Mabanga ili kubaini ni kwa nini miradi haiendi wakati fedha zilishatolewa kitambo.
  • Zábava

Komentáře • 318

  • @EmanuelFesto-nm8fu
    @EmanuelFesto-nm8fu Před 4 měsíci +3

    Waziri mkuu nakupa ongera kwa kazi nzuri pia enderea kutetea wanyoge pia nakuombea kwa mungu akupe maisha marefu pia akujalie nguvu na afy

  • @aminafundikira126
    @aminafundikira126 Před 5 měsíci +4

    Yaani hao watu hawana upendo kutoka moyoni wala hofu ya Allah hiyo ndio shida kubwa inayotokea.

  • @raulnassor5761
    @raulnassor5761 Před 10 měsíci +5

    Uwe raisi nakuchaguwa km magu daah!unatukumbusha mtu wetu,mungu alaze mahalo pema peponi Amin.

  • @user-hs3er9ed6l
    @user-hs3er9ed6l Před 3 měsíci +2

    Baba, Majaliwa Mungu akulinde,unanifanya nimkumbuke MAGUFULI it ko vizuri, wewe, makonda mko vzr

  • @godsson5954
    @godsson5954 Před 10 měsíci +4

    bravo mh Waziri mkuu your the best hongera kwa Mh dr mama Samia your the best lakini ni heri kusiwe na wateule bali nafasi za wakurugenzi na wakuu wa wilaya na mikoa ziwe nafas zinazotangazwa na watu wa apply kama kaz zingine kisha tunaomba wafanyiwe vetting wapimwe na akili vizur pamoja na shule zao na uraia wao kisha wajadiliwe bungeni then waapishwe naona ikiwa hv ndo wataheshim mali na heshima ya serikali

  • @emanuelkatambi6902
    @emanuelkatambi6902 Před 10 měsíci +9

    Huyu ndiye MAJALIWA niliyemfahamu kipindi cha Mzee MAGU ameanza kurejea tena

    • @shinipapaya846
      @shinipapaya846 Před 10 měsíci +1

      Siku hizi nimeishiwa na uwaminifu wake RIP mzee baba Magufuli hii awamu ni pacha na ile ya awamu ya 4 yaani fuulu MAJANGA lakini kwa mbali naona kama wanajilipa kiana kutokana na machungu ya msiba wa mzee baba MAGUFULI usiokuwa na maelezo ya kutosha kwa watanzania #etianaupigamwingi 🤣🤣

  • @SimonKitaly
    @SimonKitaly Před 9 měsíci +2

    Mkuu wangu waziri mkuu Mungu akubarii sana,siamni masikio yangu ninayoyaona na kuyasikia Mungu ameanza kujibu usiogope Mungu anakulinda

  • @user-tv8ym6ec6m
    @user-tv8ym6ec6m Před 9 měsíci +1

    Mhs,waziri mkuu,pole na majukumu,pia hongera kwa kazi unazo zifanya tunazojua,njoo tarime nikero tanesco hasa pale hitirafu zaumeme zinapotea jitokeza,mfano mita kutoka peleka umeme kwenye nyumba ya mtena,unaomba msaada kulekebishiwa,inakuchukua ha wiki hata mbili mteja ukiwa ngiza,sasa wateja ndio wapande kwenye nguzo kulekebisha tatazo tusaidie tarime kweli nishida

  • @SensaManzagata-tv7ds
    @SensaManzagata-tv7ds Před 6 měsíci +1

    Tunakuamini sana waziri mkuu wetu hakika wewe ni jembe letu ahsante Mungu akujaze daima AMEN

  • @mwanumwanu1513
    @mwanumwanu1513 Před 10 měsíci +2

    Mh ,hata bukoba mjini
    Sehemu ya kyabitembe block A majambazi yamezidi watu wanavamiwa nakubakwa,na hawaogopilolote maana hakuna msaada wowote kuwasaidia wa wananchi

  • @aminafundikira126
    @aminafundikira126 Před 5 měsíci +1

    Wamejazana tu maofisini kaxi haxiendi hivi kweli wilaya moja wafanyakazi tele wanacho kifanya hakionekani ukweli hii ni shida kubwa mno.

  • @LeahAlbinus-og9by
    @LeahAlbinus-og9by Před 7 měsíci +1

    This is too hot,, Mwenyezi Mungu awasimamie viongozi wetu waaminifu, mna kazi ngumu sana

    • @nehemia397
      @nehemia397 Před 4 měsíci

      kazi ngumu si wamejipa wenyewe.
      mfumo wa CCM ni mbovu .

  • @user-dp1ch6vv6z
    @user-dp1ch6vv6z Před 5 měsíci +1

    Hawa watu wanapokutwa na makosa wawe wanawekwe ndani kwanza, kisha wafilisiwe,shida ya nchi yetu imekuwa ikiwahamisha na kuwapangia maeneo mengine ya kazi utafikili uko waendako hawata iba tena,suluhisho la kukomesha wizi ni kuwafilisi na kuwafunga ili wenye tabia izo wajifunze kuwa waadilifu

  • @Ambwene
    @Ambwene Před 10 měsíci +5

    Walishaambiwa na mamaenu samiah kwamba kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake lakini asivimbiwe

  • @madukaj.j.6999
    @madukaj.j.6999 Před 10 měsíci +2

    Hawa wote ni chukota na Kusukuma Ndani. 😢😢😢 Sauti ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora Agrey Mwanry

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb Před 10 měsíci +1

    Hafai hasimamii na Wala hafuatilii huo ni uzembe

  • @johnmahu5060
    @johnmahu5060 Před 9 měsíci +1

    Ndo mfumo wa ccm mliojijengea wa kuacha fedha za serikali maofisn Ili mgawane IPO ck Mungu aliyehai atawalipa tu rushwa tu

  • @user-sl3ww1vg4w
    @user-sl3ww1vg4w Před 10 měsíci +1

    Hongera sanaa waziri mkuu kwa kutetea kodi za wananchi

  • @user-lj6nv8dq6m
    @user-lj6nv8dq6m Před 6 měsíci +1

    Kelele zote hizo tunataka utekelezaji wa atua wanao chelewesha acheni siasa kuwapanga watu

  • @abdillahhassan6271
    @abdillahhassan6271 Před 10 měsíci +2

    Hawa munawalea sana pesa wanajikopesha wanafanyia biashara kama ukisinzia kama alivo sinzia mama wanazila

  • @MrsmadoshiSalum-go9pe
    @MrsmadoshiSalum-go9pe Před 9 měsíci +1

    WAZIR MAJALIWA NAWEW NIMSANII MTU UNAONA KOSA ALAFU UNASEMA ACHUGUZWE NAWEWE JITASIMINI

  • @EricEricsaid
    @EricEricsaid Před měsícem

    My hero Allah hakupe maisha marefu Ameen

  • @jamesyegera5918
    @jamesyegera5918 Před 7 měsíci +1

    Magufuli wangu ,Majaliwa wangu raisi wangu, ❤❤❤

  • @user-ys5zh8nt2e
    @user-ys5zh8nt2e Před 6 měsíci +1

    Hamnaaa kitu hapo mkuu viongozi hawa naona waka risti

  • @VailettyShigerla-fw2sg
    @VailettyShigerla-fw2sg Před 10 měsíci +3

    Mungu atusaidie jaman

  • @robertedward1992
    @robertedward1992 Před 4 měsíci +1

    Tatizo ni mfumo wa uteuzi.kujuana,acha waibe tuu .mama anawachekea,

  • @scolasticakaduma5143
    @scolasticakaduma5143 Před 10 měsíci +1

    Tumbua hao sasa hivi.washenzi sana hao. Mh. Majaliwa tunakuamini.

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle Před 10 měsíci +4

    Wizi wowote unaofanyika kwenye harlimashauri zetu ni zao la wizi unaoyokana na serikali kuu.Kama mawaziri wanaiba mabilioni na hakuna aliyesjtakiwa na kirudisha hizo pesa unadhani huku chini hawapendi hizo pesa?

  • @Piscesblair
    @Piscesblair Před 17 dny

    Ipo haja ya kuongeza uwezo wa kiutendaji katika Tasisi ya TAKUKURU ili kurahisisha kasi ya ufuatiliaji wa matumizi ya fedha za umma zinazokasimiwa kwa ajili ya miradi mbalimbali nchini.

  • @hajinjuku-be7iq
    @hajinjuku-be7iq Před 9 měsíci +1

    Asanti sana waziri kwa kazi mzuri ni wachache wanaofanya hivo

  • @khadijayusuph2634
    @khadijayusuph2634 Před 6 měsíci +1

    Mtupe sisi huku tunataka kazi tutalitumikia Taifa ipasavyo!!

  • @frankngoloka2589
    @frankngoloka2589 Před 10 měsíci +2

    Tatizo hakuna hatua inayochukuliwa,fanyeni Kama China,kipindi cha Magu wanatumbuliwa hadharani haki za binadamu walikuja juu,lakini hela zinavyoibiwa wako kimya Kama vile hawapo

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 Před 10 měsíci +1

      Haki za BINADAMU ni Magenge yenye ufadhili wa wazungu kutuvuruga tu

  • @mathiasmanonga3939
    @mathiasmanonga3939 Před 10 měsíci +1

    Wamejichanganya sana wangekuwa uniform wangetoboa hapo

  • @user-el3hf1jl8g
    @user-el3hf1jl8g Před 7 měsíci +1

    Asante baba

  • @kelvinnaftali4331
    @kelvinnaftali4331 Před 10 měsíci +3

    Sheria ya kunyonga wanaochezea pesa za uma itungwe na isimamiwe ipasavyo nchi hii itaendelea haraka tofauti na hapo maendele tutayaona kwenye tv.

    • @khadijayusuph2634
      @khadijayusuph2634 Před 6 měsíci

      Mh kwa Hali hii"😮mkaguzi wa hesabu jiandae na upotevu wa matilioni! Kila siku upotevu😮hivi Kuna siku zitarudi!!?

  • @samwelnevele7796
    @samwelnevele7796 Před 4 měsíci

    Hongera waziri mkuu hao ndio wanaotugombanisha na wananchi na kuwapanguvu wapizani

  • @uwesusaid5334
    @uwesusaid5334 Před 10 měsíci +2

    Katika uongozi wa sasa kuna madudu San watu hawatumbuliwi kabisa watu hawana hata hofu

  • @sylvestermitanda3502
    @sylvestermitanda3502 Před 5 měsíci

    Serikali yetu Tukufu ya Chama chetu cha Mapinduzi,inatekeleza ilani ya Chama sawa sawa.Na inalekeza fedha kwenye miradi mbali mbali Nchini,yenye dira ya kuleta mabadiliko ya Nchi yetu.shida ni kama hao watendaji wasio waadilifu kwenye hizo Halmashauri.Mheshiwa Waziri Mkuu wabane hao.Na Hongera sana kwa kazi nzuri unayoifanya ya kuwafuatilia.

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 Před 4 měsíci

    Pesa ya Miradi inaliwa na Watendaji waliochaguliwa na Serikali yake pia Fedha ya kutoka kwa Wafadhili zinawekwa Mifukoni mwao sababu ya ukosefu wa uaminifu wa Watendaji wafanya kazi pole sana Serikali iliyoko Madarakani

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 Před 10 měsíci +3

    Hivi angela kairuki alikuwa anafanya nini hapo Tamisemi haya mama kampeleka utalii kwaniblazima awe waziri? Ndo mana wanaboronga wanahamishwa

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před 4 měsíci

      Shida hiyo ndio inayofanya nchi hii haiwezekani kupiga hatua kuna Mawaziri mizigo ila wanabebana sijui kunasiri gani humo?.Watanzania wengi wamehitimu hawana kazi ila hichi chama kina Recycling hao hao mtu hafanyi kazi haoneshi maendeleo mazuri lakini atatolewa pale aletwe hapo sijui maana yake ni nini.Ndio maana hali ya nchi mbaya mbaya mno

  • @NdageKitahama
    @NdageKitahama Před 4 měsíci

    Maelezo waliotoa ni ushahidi tosha hela zimeshatafunwa jaman hivi nchi hii tutafika kweli watu hawaogopi pesa ya umma wanazitafuna Kama zao yaani ningekuwa mm waziri mkuu nikukamata tu na kuwaweka ndani Kwanza alafu maelezo badae hapo hela zimetafunwa

  • @georgevalilanga7412
    @georgevalilanga7412 Před 10 měsíci +3

    Hongera wew ndio raisi wa ichi hii

  • @dicksonexavery726
    @dicksonexavery726 Před 10 měsíci +1

    Ccm mmeshindwa kuendesha nchi u must go.

  • @msongojumbe486
    @msongojumbe486 Před 6 měsíci +1

    Sio ukweli ni kneels tu

  • @sawackoswald9322
    @sawackoswald9322 Před 10 měsíci +1

    Mzee wanawaona wananchi ni manyani mkuu pesa za walipakodi zanaliwa tu

  • @user-ly3ob4vp3c
    @user-ly3ob4vp3c Před 4 měsíci

    Wetu wanailaumu serikali kumbe kuna watendaji wazembe wanaiba vibaya mno miradi haikamiliki aisee 😢hii ni hatari 😮

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 Před 4 měsíci +1

    Wapigaji wengi Tzd kwakweli na Serekali mnawaachia tu hamuwachukulii hatua mnawalea saana tu

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před 4 měsíci

      Sasa kama Panya road wavaa suti ni karibu darasa lote nani atamtoa mwenzie nje ya darasa ?😅

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před 10 měsíci +1

    Kukamilika ujenzi hapo hakuna.Mhe.

  • @mchomvutv2426
    @mchomvutv2426 Před 4 měsíci

    Tatizo wanaogopa kupitisha madokezo kwa sababu hawaaminiani kila mtu anahisi anapigwa😢😢😂

  • @KishokaMrumakishoka
    @KishokaMrumakishoka Před 3 měsíci

    Yani viongozi kama waziri mkuu mi nawapenda sana tena sana

  • @arthurmwabulambo1201
    @arthurmwabulambo1201 Před 4 měsíci +1

    Mlisema jpm alikuwa dikteta. Mtaendeleaje na wakurugenzi wa namna hiyo. Watu wanastahiki kufungwa maisha. Bila udikteta nchi haiendi. Angalia China hata kainchi kama Rwanda. Mambo ya haki za binaadamu na ushoga ni ugoro mtupu. Wanatunza fedha wakingoja mianya ya kuzipiga. Ongeza ukali Majaliwa tuko nyuma yako.

  • @pvkanyorota264
    @pvkanyorota264 Před 6 měsíci

    Tutamkumbuka sn Magu watu wanajilia tu vya wananchi huku mishahara wanapata kubembelezana kwingi sn hamna kitu hapo Waziri mkuu komaa nao mbele hao niwapigaji

  • @alisaidi2620
    @alisaidi2620 Před 2 měsíci

    Shida ni nyinyi viongozi wa juu hizi pesa mukitowa munatosa kisiri bila cc kujua

  • @jonesbrighton2874
    @jonesbrighton2874 Před 4 měsíci

    Ongeren sana kiongoz tfikie na kwetu Bukoba Vijjn muone

  • @rashidyardo7929
    @rashidyardo7929 Před 10 měsíci

    Natamani mama Samia 2025 angeacha huyu mwamba agombee, sio Sheria lakini huu ni mtazamo wangu tuu.

  • @JaphalyMbena
    @JaphalyMbena Před 2 měsíci

    Majariwa makonda mmepikwa mmeiva.. vizuri. Bado kwenye maamuzi toa uyo weka mwingine

  • @ZenaMwakalambile
    @ZenaMwakalambile Před 4 měsíci

    Shida vikao vya ndani,hebu fanyeni kama makonda,malizana nao hapohapo waludishe hera sio mahakaman hela mliikabidhi mahakama,basi hata hela muwemnawakabidhia mahakaman.acheni kutuinyoyi.

  • @roseshirima3168
    @roseshirima3168 Před 7 měsíci

    Baba hongera kwa kufichua kuna uozo mwingi upo umejificha

  • @user-vt9dm3zk6g
    @user-vt9dm3zk6g Před 9 měsíci

    Muheshimiwa waziri Mkuu piga kazi kusaidia Raia wako .Hawa watumishi ndio unao wafanya wananchi kulalamikia serikali .muheshimiwa waziri Mkuu awo usiwaonee huruma ,W aziri wapo Watanzania ni wengi sana ambao.wangeiweka serikali Katika maendeleo.Waziri Mkuu naomba wasikuzingue Watanzania ninawafahamu sana tu wanalamba tu fedha .Je muheshimiwa sentiment ziko ngapi .wangine fedha zipo wengine hazipo.Waziri nakuomba usipoteza na sauti yako muheshimiwa .piga kazi muheshimiwa nimekupongeza sana juhudi zako.ujumbe utoka nje ya Tz

  • @user-wu7vt4wm2h
    @user-wu7vt4wm2h Před 10 měsíci

    Mlikua wp wote kumbe n wazur ivo ❤❤❤❤ majaliwa

  • @nicksonpontion7105
    @nicksonpontion7105 Před 4 měsíci

    Kupitisha Dokezo ni kikwazo yaan halmashauri wanasumbua hatari ndo maana mtu hadi unachoka ase

  • @rahellubandila1928
    @rahellubandila1928 Před 9 měsíci

    Mhe waziri mkuu futa kazi hao hata Mungu alimfukuza adamu baada ya kushindwa kutii maagizo ya Mungu wafuteni kazi hawajui wajibu wao

  • @user-ys5zh8nt2e
    @user-ys5zh8nt2e Před 6 měsíci

    Hvii huyo nikiongozi kweliii mbona mwamchosha waziri wetuuuu

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts Před 5 měsíci

    Tunao viongozi wenye uchumgu na hii nchi.. .kiongozi anaongea kwa uchungu ...Hawa ndiyo wazalendo wa kweli

  • @ullujaffariyohani1186
    @ullujaffariyohani1186 Před 4 měsíci

    Unajua tatizo linakuwa hawachukuliwi sheria ndiyo sababu wanafanya wanavyotaka😮

  • @salmamlokela1987
    @salmamlokela1987 Před 10 měsíci +2

    Hii nchi tunaumizana wenyewee mama tunamuonea tuu wasimamizi ovyooo kabisaa

    • @jeffkonki8279
      @jeffkonki8279 Před 10 měsíci

      Hatumounei huyo mama yako kilaza anachagua watu kwa kujuana hachagui wenye sifa stahiki harafu akioewa riport kuwa wameiba hakuna hatua anayochukua Sasa hata ungekuwa wewe ungeshindwa kuiba?

    • @anifasekumbo9273
      @anifasekumbo9273 Před 6 měsíci

      kilaza na mama yako kwanza aliyekuzaa mbuzi wee mpeleke mama ako ikulu basi akaongoze kama samia kilaza pambavu zako
      @@jeffkonki8279

  • @NdageKitahama
    @NdageKitahama Před 4 měsíci

    Hao ni wezi hata maelezo hayatoshelezi kamata hao hela wameshakula hapo hakuna hela hela za umma zinaliwa tu

  • @Samweli-vw8ji
    @Samweli-vw8ji Před 9 měsíci

    Wazuri mkuu na matehemu magufuli ww jembe kama Mzee maguu bc unastahilu kuwa kiongozi Bora ndani ya nchi yetuu

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před 10 měsíci +1

    Mhe.hawa watu wezi na wazembe sana jaman duh.

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před 4 měsíci

      Tatizo wengi mpaka baadhi ya Mawaziri ni mizigo wanabebana na kulindana

  • @clarencelazaro9600
    @clarencelazaro9600 Před 10 měsíci +1

    Katiba mpya ni sasa

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 Před 9 měsíci

    Walitoa hela ya Halmashauri kwenda Shuleni alifuatilia lakini kuna shida

  • @eliashibundabalinze2754
    @eliashibundabalinze2754 Před 4 měsíci

    Kuna nafasi zingine hata akipewa mtu mwenye elimu ya darasa la saba,atafanya kazi kwa viwango vya juu kuliko hao wenye Degrees zao lakini kwa kuwa wanataka CV za viwango, ngoja nikae kimyaaaaa

  • @FrankAngolwisye-mr1nc
    @FrankAngolwisye-mr1nc Před 6 měsíci

    KWA KAZI NZURI YA WAZIRI MKUU KAMA HII UOVU KAMA KAMA HUU UNAWEZA KUKOMA KABISA. HONGERA WAZIRI MKUU KWA KAZI NZIRI SANA!!!

  • @abdirizakibrahim1975
    @abdirizakibrahim1975 Před 10 měsíci

    Daaah jamani jamani hawa washenzi watoe hao wanarudisha nyuma maendeleo ya Taifa letu wananchi wataseka kupata huduma za zahanati pamoja na shule maji ndo usisime umeme ndo mamaaaa yangu hata wananchi wamechoka sasa mkowapo viongozi

  • @JaphalyMbena
    @JaphalyMbena Před 2 měsíci

    Majariwa oyoooooooooooooooo lete chomboooo ayo ndo maamuzi ya kiume hapa kwa hapa

  • @user-zz8qr9gn1f
    @user-zz8qr9gn1f Před 6 měsíci

    Nyie wachambuzi si kweli ule mpira haujaguswa na mchezaji wa singida saido alipiga ukatoka na hata mwenyekiti wa kamati ya waamuzi amekubali ilikuwa goli kiki ila Bado anamulinda refali aliyeongeza dakika 2 wakati dakika za nyongeza zilikuwa 6 na ndani ya dakika za nyongeza hakukuwa na tukio lililopoteza dakika Tena kama Kuna tukio likitokea ndani ya dk 6 za nyongeza la kuchukua dk 2 nilipo litajeni.

  • @user-wj6zj1ly4e
    @user-wj6zj1ly4e Před 16 dny

    Hii ni mifumo ambayo tumeilea ss toka ngaz zote. Upgaji ni dili

  • @tabiaramadhani2348
    @tabiaramadhani2348 Před 7 měsíci

    MUHESHIMIWA WAZIRI MKUU MWENYEZI MUNGU AKUFANYIE WEPESI WA KILA JAMBO LAKO LIWE JEMA AMINA FANYA KAZI NA UJE VIKAWE WILAYA KIBAHA MKOA WA PWANI KARIBU SANA KUNA MAUJENZI UYAANGALIE HUKU NAKUOMBA

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Před 9 měsíci

    Ni Aibu Arafu Viongozi Wakubwa Wanapita Uko Ambako Akuna Kilichofanyika Sio Tutafika Wachukuliwe Atua Kali

  • @user-es6gv7nu4n
    @user-es6gv7nu4n Před 10 měsíci

    Wapewe azabu lile fundisho kwa wengne,hakuna utofauti na wahujumu uchumi.

  • @user-tx1yb3my3m
    @user-tx1yb3my3m Před 10 měsíci +1

    Inchi imeliwa Sana watupishe tuu

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 Před 5 měsíci

    Kuhusu Fedha za Miradi ya kujenga Shule Miradi nyingi sana Fedha hazitumiki inavyotakiwa

  • @ozuabrahamu8079
    @ozuabrahamu8079 Před 10 měsíci

    🤣🤣🤣🤣 yaan wanavyo jibu kwa kutetemek mpk wajulixha kuwa kuna kupiga hpo da eti tutafk tukiw tumechok xn 😂😂😂

  • @AmosLudei
    @AmosLudei Před 2 měsíci

    Waziri mkuu Majaliwa Kasi Majaliwa hizo nafasi wakati mwingine muwe mnatukabidhi watu binafisi za usimamizi wa miradi ya serikali hao watumishi wenu watawasumbuweni sana na hata miradi haitakamilika kwa wakati mwafaka.

  • @tanzaniaoman6423
    @tanzaniaoman6423 Před 10 měsíci +2

    Watu wanajilia vyao vya serikali mkurugenzi kapoa tu ofisi hana muda wa kwenda site atajuaje kama kazi zinaendelea jilieni tu vyenu

  • @williamngalla1068
    @williamngalla1068 Před 10 měsíci

    Daaaah

  • @thadeusmateru1356
    @thadeusmateru1356 Před 10 měsíci

    Hií si aina bora ya uongozi. Si uongozi bora. Huu ni unanyasaji Magufuli style. Mbaya!!!!!!!!!!!

  • @ommy4k
    @ommy4k Před 10 měsíci

    Mnaongea nao wa nini fukuzaaaaa hao leteni Viijana wafanye kazi jamaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @carolihando6271
    @carolihando6271 Před 4 měsíci

    Tumengoja mvua inyeshe ili tuone panapo vuja. Sasa tumepaona. Uteuzi pia uhdaifu ulikuwapo

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala3303 Před 4 měsíci

    Pelekeni uko vichwa ngumu kama sisi tupo tukawanyooshe shida uteuzi wa vimemo ndio vinairibu hii nchi matokeo yake wanapatikana wasimamizi wa miradi vilaza wekeni pembeni mavyeti vyeti teueni vijana Wazalendo tupo

  • @ullujaffariyohani1186
    @ullujaffariyohani1186 Před 4 měsíci

    Wallah wanatia
    hasira

  • @joelyjosiah
    @joelyjosiah Před 10 měsíci

    Mnaongelea izo pesa uku ata kula kwawananchi tabu nibora waweke kwawana nchi wapunguziwe bei

  • @alvinbenito5243
    @alvinbenito5243 Před 10 měsíci

    Hapo sasa kuna haja gani ya kuongea nao mkurugenzi yupo busy kufuga ni kuwaweka ndani ni wazi hao na ndio wanaangamiza maisha ya watanzania ukisikia viongozi wazembe ndio hao.

  • @charlesmwambinga4355
    @charlesmwambinga4355 Před 10 měsíci

    Huyu Mkurugenzi mmemtoa wapi ? Uzoefu wake ? Daaaaah!

  • @saidsalum423
    @saidsalum423 Před 10 měsíci

    Fukuza wote hao unasubili nini pm

  • @aminaosman3315
    @aminaosman3315 Před 2 měsíci

    Mheshimiwa waziri mkuu njoo tanga ushudie wañyonge wanavyo zulumiwa kama hakuna viongozi

  • @shamimageta6651
    @shamimageta6651 Před 10 měsíci

    Kweri mzee ukamilishaji

  • @courtesyHealthservices-bg8we

    Kongole,Tua Mama Ndoo Kichwani.

  • @aliyahyaissaissa7423
    @aliyahyaissaissa7423 Před 9 měsíci

    Hamna kitu apo badilisha wote hao ndio wanaosababisha viongz wakubwa kuonekana ovyo

  • @aminafundikira126
    @aminafundikira126 Před 5 měsíci

    Baba Mheshimiwa kazi unaifanya kweli