MZEE PINDA AMFICHULIA RAIS SAMIA SIRI NZITO, KILICHOTOKEA AKIWA WAZIRI MKUU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

Komentáře • 45

  • @msamanga2277
    @msamanga2277 Před měsícem +5

    Amazing man. Huyu ni mtu anae weza kupiga sim ikulu isikataliwe bado anaunga mstari kama wananchi wengine wakawaida hongera kwake!

  • @heronimomsefya3190
    @heronimomsefya3190 Před měsícem +4

    Hahahaha dah nimependa sana pozi la mama Mheshimiwa Dr Samia Hoyeeeee 🎉🎉😂😂

  • @mussaharun7257
    @mussaharun7257 Před měsícem +4

    Nakukubali sana Mh PK Pinda. Una busara kubwa Allah amekujalia, una haiba ya uongozi, msikivu, Mzalendo na huna majigambo. Kweli umewatetea Wakulima. Unafaa kugombea urais

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 Před měsícem +1

      Ni kweli yuko vizuri maelezo hayo asingeweza kuongea maneno hayo

  • @abdulhajiahmed8735
    @abdulhajiahmed8735 Před měsícem +4

    Kazi iendelee, lets the work continue Kazi njema Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan Kila la kheri na mafanikio. Tazama ramani utaona nchi nzuri !!!🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @eliasboniphacekidanha7596
    @eliasboniphacekidanha7596 Před měsícem +4

    Mama naomba ufanye Royal tours awamu ya pili

  • @amanikudeli5297
    @amanikudeli5297 Před 19 dny

    Safi sana

  • @maligiretongora3333
    @maligiretongora3333 Před měsícem +2

    Wanaofaidi wanamuelewa sana

  • @user-xc3yo4ke4p
    @user-xc3yo4ke4p Před 21 dnem

    Mama upo kazini na wanao tunakuona,na tunakuunga mkono mama ni mama 5 tena.

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x Před měsícem +3

    Kachuo kapo

  • @MarbleBaswige
    @MarbleBaswige Před 28 dny

    Mh wiziri mkuu mstafu Mungu aendelee kukulinda na akubariki sana nakumbuka utumishi wako ulikuwa mgumu sana enzi za mauwaji wa albino

  • @maryamsharif6926
    @maryamsharif6926 Před měsícem

    Good job mhe pinda

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 Před měsícem +1

    Kwani kampeni imeanza?, wabongo shida sana.

  • @shabansumaiya4770
    @shabansumaiya4770 Před měsícem +2

    Namshauli mama wilaya ya korogwe iwe mkoa sasa maana imekua kubwa

    • @abdulhajiahmed8735
      @abdulhajiahmed8735 Před měsícem +1

      Wilaya ya Korogwe haina maendeleo kubali usikubali Old Korogwe na Manundu bado kupo nyuma sana kimaendeleo. Ingawa katika historia wakati wa kilimo na biashara ya mkongwe Korogwe ilivuma sana na mkoa wa Tanga kwa ujumla nakumbuka anatoka marehemu Shaban Robert mzee wa fasihi ya kiswahili, mara yangu ya mwisho Korogwe ni karibu miaka 35 iliyopita lakini naona katika habari na CZcams

    • @rashidkinyasi5645
      @rashidkinyasi5645 Před měsícem

      ​@@abdulhajiahmed8735 Shaban Robert alitokea Wilaya ya Pangani......na Wilaya ya Korogwe SASA hivi ina Halmashauri mbili....ambazo...ni...Korogwe Mjini na Korogwe vijijini....

  • @gracethomas683
    @gracethomas683 Před 18 dny

    Mpingwe wamenuna…….

  • @francisMhulula
    @francisMhulula Před měsícem

    Mzee pinda salaamu alekumu mm nauliza vp ile campuni ya deci pesa zetu

  • @user-rn9og1rk3l
    @user-rn9og1rk3l Před měsícem

    Hiyo hela uliyo fund ya kujenga shule wewe Pinda iliipata wapa kama siyo hela ulizoiba za ESCROW.??????
    SHAME ON YOU

  • @akibabautunzi2393
    @akibabautunzi2393 Před měsícem

    KAMA KIGOMA MPO NJOONI TUMUSAIDIE YUNUSA GAMBO MIAKA 20 YUPO NDANI ANAPATIKANA MANYOVU WILAYA YA BUHIGWE KIJIJI MWAYAYA KITONGOJI RULOLO

  • @jackisonmlaari4556
    @jackisonmlaari4556 Před měsícem

    Acha sifa za kijinga mzee.huyo mama kafanya nini kipindi hiki kama siyo kutuletea madeni ya ajabu

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im Před měsícem +3

    Kumbe pinda kisukuma hujuwi. Mzee pinda mwambie Rais ukweli. Wanaomusifu ni wengi wanamuziba macho. Tanzania haiendi vizuri kwa ufisadi. Wizi umeshika kazi. Hakuna wa kulkemea

    • @NDEWARA
      @NDEWARA Před měsícem

      Pole 😂

    • @bernardjosephmulokozi3901
      @bernardjosephmulokozi3901 Před měsícem +1

      Wewe umeibiwa nini?

    • @huyu1993
      @huyu1993 Před měsícem

      Tukuulize wewe umeibiwa nini?

    • @huyu1993
      @huyu1993 Před měsícem +1

      Wacheni majungu nyinyi .fitina mbaya

    • @user-mp4hk1vv1u
      @user-mp4hk1vv1u Před měsícem +1

      Sema wewe na wajinga wenzio
      Tulio weng tunampenda kwa kuifanya Tanzania Ina amani na maendeleo ya naenda bila kugombana Wala kukatipiana
      Uwezo wake na wanaomsaidia ni Mkubwa sana anatengeneza mifumo ya kumanage bila kutumia nguvu nyingiiiii
      Moumbavu hawez kumuelewa huyu mama ila waelevu wanamuelewa

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 Před měsícem +1

    Mmh

  • @MarcoNtobi
    @MarcoNtobi Před měsícem

    Mno
    L😅lu l

  • @dennisezakiel3380
    @dennisezakiel3380 Před měsícem

    Wajinga watampa tena kula na familia yake

  • @titoamani-e8b
    @titoamani-e8b Před měsícem +1

    Tunaomba Samia akataze Harmonize kuharibu accounts za Wasanii wa Diamond kwenye CZcams na uchawi🙏🙏🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @onesmomwakasege5215
    @onesmomwakasege5215 Před měsícem

    Kumbe magufuri alikutingisha na wewe dah! Yule kweli kiboko