RAIS SAMIA AMSHANGAA MWEKEZAJI MCHINA AKICHAPA KISWAHILI SAFI | TUTACHAPA KAZI HAPA USIKU NA MCHANA

Sdílet
Vložit

Komentáře • 35

  • @barakambasile2651
    @barakambasile2651 Před dnem +2

    Asante jpm kukitangaza klswahili

  • @saidkipalo4427
    @saidkipalo4427 Před 2 dny +3

    Safi Sana Mama Samia ooyeee 🙌

  • @mathiasmichael9915
    @mathiasmichael9915 Před 19 hodinami

    Asante mama Samia Asante Sanaa DK. JP Magufuri

  • @Optionxll_Playz1
    @Optionxll_Playz1 Před dnem +1

    Safi sana,sasa nasi tujifunze kuwa Kiswahili kinapendwa ,China na Japani wanaongea luga zao lakini unasikia raha sana kusikia wageni kama hawa wakiongea ruga ❤❤❤❤

  • @meshacksabuni7541
    @meshacksabuni7541 Před 2 dny +2

    Kweli wenzetu wako serious na mambo yao. Mbali na matamushi yake kuathiriwa kidogo na lugha ya kichina, sarufi yake iko vizuri.

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g Před 2 dny +2

    Umejitahidi kwakweli 😅❤

  • @shaban6644
    @shaban6644 Před 2 dny +1

    Mchina Yuko Vizuri, Hongera Mama.

  • @enosFrank-r8f
    @enosFrank-r8f Před 2 dny +1

    Hongera sn dada

  • @isaacvtv547
    @isaacvtv547 Před dnem +1

    Ukute kuna mtanzania hawezi kuisoma hata lugha yake. Ila natambuwa si wote wamepata bahati ya kupita primary school.

  • @allywilson4155
    @allywilson4155 Před 2 dny +1

    Yupo vizuri sana

  • @fatmamsiliwa8485
    @fatmamsiliwa8485 Před 2 dny +2

    Tizama wenzetu wanavopenda lugha yetu lkn ss tunakidharau kiswahili

  • @Halphan-cw3de
    @Halphan-cw3de Před 2 dny +1

    Huyu mchina anafurahisha na kiswahili chake😂

  • @charlesmwambinga4355
    @charlesmwambinga4355 Před 2 dny +1

    Tupende Watoto Wetu kuongea..Kiswahili lugha zingine ni Ziada tu..tusijivunie watoto wetu kuongea lugha za kigeni.

  • @HajiKlein-so1rk
    @HajiKlein-so1rk Před 2 dny +2

    🇹🇿🇹🇿🌹👏

  • @jacksonmbonea7411
    @jacksonmbonea7411 Před 2 dny +1

    Safi sana😢

  • @Missionary_work
    @Missionary_work Před 2 dny +1

    Mmh

  • @smstore5535
    @smstore5535 Před 2 dny +1

    😂❤

  • @barakamanga5502
    @barakamanga5502 Před 2 dny +1

    Safisana mchina

  • @jjjhhb4300
    @jjjhhb4300 Před 2 dny +1

    😂

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Před 2 dny +1

    We don't need chains lnvestor in Tanzania why chains are selfish want to seal everything in Africa not even giving Africa technology to lnvested at list Africa benefits even machine of creat spoon or stick of clean teeth chains can't creat here in Africa chaina want to hold every single thing in Africa disappointed our africa leader asepty such move tunaimia sana ktk mataifa yetu ya kiafrica mpaka nchiti za kiberiti machine itoke china viberiti vitoke china miti yetu wenyewe aibu toileti papar machine china Sasa hii ni aibu kwa mataifa yetu ya kiafrica jee lini Wana sayansi wetu watskwenda kuongeza ujuzi wao ktk nchi zilizoendelea waje kuwa Creator ktk mataifa yetu ya kiafrica km vile lran

  • @BJMKANGALA1
    @BJMKANGALA1 Před 2 dny +2

    Halafu baadhi ya watanzania hawapendi kiswahili! Bila sababu ya msingi mzungumzaji anachanganya kiswahili na lugha ya kiingereza hasa wachambuzi wa habari kwa dhana kwamba kwa kufanya "ulimbukeni" huo wataonekana wameelimika sana! Kwa bahati mbaya mpaka viongozi wetu wakuu nao ni mchanganyo wa lugha. Majuzi kati nimemsikia kiongozi mmoja wa enzi hizo akisema "kiongozi wako wa juu akikosea basi wewe wa chini haraka sana unamkava" akimaanisha neno la kiingereza "cover" Nikachoka kabisa! Watanzania tuipe thamani lugha yetu ya kiswahili. Wahenga wamesema kipende chako na mdharau kwao ni mtumwa!

    • @LiisaMaisha-is1hi
      @LiisaMaisha-is1hi Před 2 dny

      Umesema ukweli inanikera mtu akichanganya kingereza na kiswahili.tuvunie lugha yetu inayotuanganisha watanzania wote.

    • @BJMKANGALA1
      @BJMKANGALA1 Před 2 dny

      @@LiisaMaisha-is1hi asante Mkuu tusaidiane kupaza sauti kupigania lugha yetu ya kiswahili itumike kiufasaha kama kiunganishi cha Taifa. Mimi na wewe na yule tukiungana tunaweza kuwabadilisha tabia hawa "matapeli" wa lugha!

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Před dnem

      ​@BJMKANGALA1 Ni kweli lakini na hao wanaojiita Wataalam wa Kiswahili wanatuharibia lugha hii mfano" Komputa" kuita kidadavuzi mpakato. Kwangu mimi bora hao wanaochanganya na Kiingereza. Kiswahili kwao ni pwani hasa Zanzibar.Kila mtu kutaka eti awe mtaalam wa Kiswahili wanakiharibu sana.

  • @johnshayo9635
    @johnshayo9635 Před 20 hodinami

    Tusipende sifa sana

  • @user-il5pk2dr5n
    @user-il5pk2dr5n Před dnem +1

    Kumbe anasoma

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Před dnem

      Na wewe tukikuandikia Kichina utasoma?

    • @baloz8974
      @baloz8974 Před dnem

      Akili zako haziko sawa ,kila hotuba ya kikao baina ya wawekezaji na serikali lazima iandikwe

  • @suleimanikirassahassan9711

    Kiswahili gani wakati ameandikiwa anasoma

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Před dnem

      Na wewe tukikuandikia kwa Kichina utaweza kutusomea? Usiwe mgumu kutoa pongezi!

    • @baloz8974
      @baloz8974 Před dnem

      😂😂😂​@@hajihassan5433 swali zuri

    • @baloz8974
      @baloz8974 Před dnem

      Hotuba zote watu huandikiwa ijulikane ni nini agenda ya kikao. Sasa wawashwa wapi .?

    • @isaacvtv547
      @isaacvtv547 Před dnem

      Hivi wakikuandika ki china usome kama yeye utaweza?

  • @Missionary_work
    @Missionary_work Před 2 dny +1

    Mmh

  • @user-pj8cj7ps5b
    @user-pj8cj7ps5b Před dnem +1

    Uko vizuri mchina safi sana tuko pamoja