RAIS SAMIA ATAJA SABABU ZA KUMWONDOA BOSS TRA "UHUNI WOTE WA TRA UMEFANYWA NA WEWE, MLIKUWA MNAIBA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 07. 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

Komentáře • 175

  • @hamisimwinzagu6624
    @hamisimwinzagu6624 Před 4 dny +35

    Ungemtumbua waziri wa fedha ingekua vzr sana maana watanzania tunalalamika ila bado yupo tu daa

    • @augustinekusekwa183
      @augustinekusekwa183 Před 4 dny +1

      kabisa sio siri

    • @samsonhamery3809
      @samsonhamery3809 Před 4 dny +1

      Si vyepesi Sana Rais yeyote kumtumbua Waziri wa fedha anless Rais awe hashirikiani naye kwa njia isiyofaaa Yaani mwaminifu kwelikweli awe na hakika hana makando kando ya kipato cha kificho

    • @Mima-cl2im
      @Mima-cl2im Před 4 dny +2

      Serikali hasikilizi wananchi. Power iko kwa watu, na serikali ni ya wananchi. Wabunge wako bungeni kusimamia haki zetu. Kwa sasa serikali ni ya CCM. Na wabunge wanakiwakilisha chama na sio watu. Mishahara yawo inalipwa na wananchi. Katiba mpya inatakiwa haraka kutuokowa kwenye huu utumwa mambo leo. Watu wasitegemee vyama vya siasa kupata haki zawo. Kila mtu awe na uhuru bila vyama. Walioiteka nchi kupitia vyama vya siasa. Tuseme tu haki, Watanzania wengi wako utumwani

    • @Mima-cl2im
      @Mima-cl2im Před 4 dny +1

      Waziri wa fedha ni kwenye group la wapigaji. Wananchi wamelalamika hawasikikizwi. Rais kajifanya bublu. Kuna Siri gani hapo?

    • @bundaman8542
      @bundaman8542 Před 3 dny

      Watu mna roho mbaya hata bila sababu. Hivi bila Mwigulu asingekuwepo pale hiyo miradi mikubwa ingekuwa inatekelezeka. Ni ma trillion ya pesa yanahitajika. Usipokuwa na kichwa kama hicho utafanikiwa wapi. Nenda shule ndo ufahamu watu wanavyofanya kazi

  • @deogratiaskatinda9232
    @deogratiaskatinda9232 Před 4 dny +17

    Nchi ikikosa kiongozi ni hatari sana!

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 Před 4 dny +18

    Mama Samia ukweli ni kwamba kulipa kodi hatuna shida, tatizo kodi zetu za Tz ni za juu mno, zinatuumiza sana

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 Před 3 dny +2

      kwahiyo zikipotea kwako huna shida ?

    • @section8ight174
      @section8ight174 Před 3 dny

      Lol you have on of the lowest taxes in the world and there you are still complaining without doing your due diligence!! Make Google your friend kind sir!!

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před 3 dny

      Ebu fikiria kodi asilimia 70 ya matumizi yao asilimia 30 ndio ya maendeleo hahaaa yaani wanamatumizi kama mchwa.Bado wanakopa toka Mwendazake atutoke kukopa kweli kweli na bado hajijulikani zinaenda wapi.Cha kushangaza anajua wanaiba anatamka wanaiba kisha bado anawaweka hao hao watanzania hivi tumelogwa ?

    • @HamisMghuna-fj3vz
      @HamisMghuna-fj3vz Před 2 dny

      Tz Tatizo shule w congo w Zambia Malawi msumbiji Burundi Rwanda wamekimbilia Mombasa kisa TRA Uganda hawana bandari lkn watu wanaenda Uganda, et rist mapato mtapata je

    • @bockerNyarusahi
      @bockerNyarusahi Před 2 dny

      Na matumizi yake pia

  • @geey7893
    @geey7893 Před 2 dny +2

    sjawahi kusikia speech ya hivi kutoka kwa raisi wa nchi ndugu zangu.kazi tunayo

  • @elioimer8423
    @elioimer8423 Před 3 dny +5

    Kama mama Anasema mnaiba , kwa nini wasistakiwe. Nchi ya ajabu sana.

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im Před 4 dny +17

    Watu wanaiba kama hakuna serikali. Watu wanateseka, bunge limetekwa. Wananchi wanaotetea Mali za wanatanzania wanaambiwa wabebe Mizigo yawo watóke bungeni, utafikiri bunge ni la watu binafsi. Uwongo juu ya uwongo. Wabunge wote wakianza kutowa hoja zawo wanamushukuru Mwenyezi Mungu kisha wanamushukuru Rais. Rais amekuwa Mungu wa pili. huku hawatetei haki.. Wenye akiri zetu tunajuwa hizi ni sifa za uwongowa. Wanayoyasema pembeni wanajuwa wenyewe.. Wanaosema ukweli na watetezi wa haki wanafukuzwa bungeni. Haki iko wapi?

    • @rendiman2878
      @rendiman2878 Před 4 dny

      Kwasababu matanganyika ni maoga kama mbwa koko

    • @Mima-cl2im
      @Mima-cl2im Před 3 dny

      @@rendiman2878 Na wewe ni raia wa wapi?

    • @rendiman2878
      @rendiman2878 Před 3 dny

      @@Mima-cl2im huwa sijibu usenge huo. Mafisi mikishindwa hoja mnaanza kulliza uraia wa mtu kwasababu hamtaki kuambiwa ukweli

    • @section8ight174
      @section8ight174 Před 3 dny

      Nyie wasenge sijui Wa Burundi ama Kongo, vipi mmetumwa nini kutuchokonoa?

    • @section8ight174
      @section8ight174 Před 3 dny

      @@Mima-cl2immkongo Huyo! Nadhani wanalipwa na wazungu kutuchokonoa, wasenge wanafirwa hawa

  • @elisharenatus9351
    @elisharenatus9351 Před 3 dny +5

    Sema Rais ni mlalamikaji sana juu wezi badala ya kuchukua hatua ya kuwatumbua very sad

  • @freddymtashi5020
    @freddymtashi5020 Před 3 dny +4

    Kama unajua walikuwa wanaiba mbona huwachukulii hatua!!

  • @justinemsela3593
    @justinemsela3593 Před 4 dny +4

    Mh rais wetu Samia, kwann watu au taasisi zinazotajwa na CAG kufuja pesa za uma hawachukuliwi hatua za kisheria na kiwajibishwa

  • @PeterNMzee
    @PeterNMzee Před 3 dny +2

    Nasikia kichefu2

  • @gm003
    @gm003 Před 3 dny +3

    Mtu anaeiba anawezaje kupewa kazi ingine???
    Unatuambia nini Mama Abdul sisi Watanzania Mafala?

  • @gm003
    @gm003 Před 3 dny +2

    Kutokopa mama Abdul kunawezekana, PUNGUZA ZIGO LA MATUMIZI YA SERIKALI...mashangingi na mianya ya kupotea kwa pesa za walipakodi, kupitia watendaji wa serikali...na hii kazi ccm haimuwezi.

  • @mwalimumstaafu8529
    @mwalimumstaafu8529 Před 4 dny +7

    Professor anasema tunakopa sababu sisi matajiri. Mama hiyo kauli Mh Mwigulu alikuwa atumbuliwe. Ukweli ni kwamba mapato hayaridhishi. Mama matumizi yasiyo ya lazima yapungue. Nashangaa waziri wa fedha halipi kipaumbele. Ripoti ya CAG zinaonyesha pesa nyingi inapotea kwa uzembe wa wafanyakazi. Napendekeza tuwe na sheria kali dhidi ya ubadhirifu wa mali ya umma.

    • @section8ight174
      @section8ight174 Před 3 dny

      Kunyongwa tu kama wanavyofanya Uchina au kukata vidole kadiri unavyozidi Kuiba kama Saudi

    • @Mima-cl2im
      @Mima-cl2im Před 3 dny

      Waziri wa fedha hajtali hali ya watanzania. Huyu yumo kwenye kundli la mafisadi ndiyo maana anasema sisi ni matajiri. Ukiingia kwenye siasa unatajirika bila kuwa na kiwanda. Tayali, kisha mmutayalisha Mtoto wake kuingia kwenye siasa. Tanzania tutawaliwa na Hawo Hawo viongozi wetu. Wakitoka wawo wanashika watoto wawo. Vijijini watu wanakula majani. Watoto bado wanakaa chini. Walisema elimu bure, ni Uwongo. Viongozi wetu wanaishi kitajiri na kufumbia macho shida za wananchi. . Mama anakopa anamwaga, watu kama wakina Mwiguru wanachota, Rais hana habari wanamuziba macho na masikio kwa kumpa sifa, mama anaupiga mwingi. Watanzania tuna shida kubwa sana kwa elimu yetu ndogo.

  • @Piscesblair
    @Piscesblair Před 2 dny

    Hongera Sana Mama yetu. Tutanyooka tu. Mdogomdogo. Bado Halmashauri zetu.

  • @ignasnyembo1256
    @ignasnyembo1256 Před dnem +1

    Mungu wangu jamani nchi haina rais

  • @mabondolawrence1812
    @mabondolawrence1812 Před 4 dny +8

    Mwizi anakaa mesa Moja na muheshimiwa! Mwizi.....nani analinda raia na Mali zao? Nani anapambana na kuzuia rushwa?

  • @gm003
    @gm003 Před 3 dny +1

    Mama Abdul, unafurahisha, Kidata jizi, sasa ndo MSHAURI WAKO WA KODI, haaa Watz kweli sisi ni mafala, ilibifi tuingie mitaani jana na sio kesho, ccm wanatuchezea!!

  • @lukomanomaliki5442
    @lukomanomaliki5442 Před 4 dny +5

    Hivi vyeo vya kupeana vina tabu sana.Mtu anaharibu hapa anapelekwa pale.

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Před 3 dny +1

    Haya yote unayokataza yanakujaje kila mara yanajirudia,na ĺundo la kodi tusilolimudu linakujaje?! Uongozi wa juu umeshindwa kubuni vyanzo vya kodi tofauti na kukamua wananchi tu?! Huyu waziri wa fedha hana ubunifu tofauti akaacha kukopa mfululizo huku anatuletea tozo mfululizo!? Loh! Mtatuua lkn na ninyi mtakufa mtaziacha

  • @raymondtenga
    @raymondtenga Před 3 dny +1

    Mama nakupongeza kwa jitihada ZAKO. Ulinip nafasi ya kukushauri, nitakujulisha Kama ifuatavyo:- Watoza Kodi Wana elimu ya kutoza Kodi lakini walipa Kodi hawana elimu ya kulipa Kodi. 2 Walipa Kodi wakifanya makosa Wana adhabu(penalty) Watoza Kodi wakifanya makosa hawana adhabu. Ukubwa wa adhabu unatoa fursa ya watoza Kodi Kutengeneza fursa za rushwa na wizi. 3 mbinu za kushawishi ongezeko la wafanyabiashara NI dhaifu. Njia za wafanyabiashara kupata mtaji NI finyu. Mifumo ya mikopo NI mibovu ( mikopo kausha damu) imezidi na inadumaza biashara. Waziri wa biashara na viwanda awe na eliminate yakinifu ya ujasiriamali ( Entrepreneur ship knowledge know how.)

  • @michaelmabula7444
    @michaelmabula7444 Před 4 dny +2

    Mama naomba uwe serious na watz
    Wengi majizi ,ndo maana nchi haisogei

  • @deogratiaskatinda9232
    @deogratiaskatinda9232 Před 4 dny +3

    Mchoma picha ya raisi yupo sero ilihali wezi na mafisadi wanaachwa tu kwa kubembelezwabembelezwa! Tanzania na vichekesho vya viongozi wetu.

  • @jeremiahngoka4980
    @jeremiahngoka4980 Před 4 dny +2

    Nchi ya kulalamika kila mmoja.Aibu sana

  • @MATIKO9640
    @MATIKO9640 Před 3 dny +3

    Katiba ya nchi yetu hakika ilitudhurumu haki yetu ya msingi ya kupiga kura, kumchagua kiongozi takwa letu sisi wananchi na sio takwa la katiba ya zamani ambayo haina hata mchango wa mawazo yetu sisi kama raia wa sasa tunaongozwa, huko ni kutuburuza, kutulazimisha kukubali maamuzi ambayo hatukushiriki, Dah!. hayati rais wa Iran alipofariki kwa ajali, uchaguzi ukaitishwa ili kupata rais wa wananchi, na hivyo ndivyo inavyotakiwa hata katiba iwe,makamu wa rais hatumchagui sisi, inakuwaje then anakuwa rais na hatujamchagua? au mimi ndo sielewi, basi mnisaidie mawazo.

  • @ngamugamahonzelosanga3316

    Punguzeni VAT ni kubwa mno wekeni walau iwe 12% ili waingizwame walipa kodi wengi zaidi

  • @selemanijumaselemani7191

    Shida wanakusanya kisha wanaiba pengo linazibwa na mikopo,mzigo unabaki palepale kwa wananchi kulipa deni, hiyo ndio mifumo ya viongozi wa Africa tunaomba Mungu amuongoze.

  • @rahimmaulid2283
    @rahimmaulid2283 Před 2 dny

    Tatizo tukishauri serikali ndo utasikia ila mimi kama kijana Anaependa nchi yake ukweli mama yangu Rais wangu kumtoa kidata Dar cjui ili sijazungumza vibaya dr es salaam inatakiwa mtu kamq mzee wetu kidata Aliweza sana tena sana

  • @raymondjohn3798
    @raymondjohn3798 Před 3 dny +1

    Kodi bado IPO juu Sana, especially kuna watu wa nao ishi nje ya nchi ambao wanapotaka kurudi nyumbani huja na Mali zao Sasa Kwa Nini walipe Kodi ya Mali zao???wakati nivitu walipata Kwa Kazi zao.

  • @yusufurhobi9678
    @yusufurhobi9678 Před 4 dny +3

    Sio kwamba wanakula kulingana na urefu wa kamba yao

  • @generosennko8343
    @generosennko8343 Před 4 dny +1

    Viongozi mweenye skio na asikie. Mama kwa utulivu amewapa hekima ktk kuongoza kwenu.hakubakisha kitu. Please go and perform. Asante mamakwa maneno yenye mshiko. I hope wameelewa ulivyowaagia. Mungu barikiTanznia

    • @GibsonNtamamilo
      @GibsonNtamamilo Před 2 dny

      Huwezi kumteua unayejua kuwa alikuwa anaiba. Hii inaumiza sana tena .Binafsi nimesikitika sana.

  • @amohammed3390
    @amohammed3390 Před 4 dny +1

    If there’s system of justice there would be no stealing but caring thieves is not acceptable

  • @iddiabdallah7352
    @iddiabdallah7352 Před 4 dny +2

    Tra ,takukuru,ewura,tcra,nida ni institution zinazotakiwa ziangaliwe kwa jicho sanifu mlo kwani ni sekta nyeti ktk maendeleo ya nchi why?we lives like this?

  • @MalamboSelijusi
    @MalamboSelijusi Před 4 dny +3

    Mwigulu yupo njiani nawengine nimeshasoma nyakati

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 Před 3 dny +1

    Anahistoria ya wizi arafu Tiss inapatika kazi nchi ngumu hii

  • @MariaCassian-e2i
    @MariaCassian-e2i Před 2 dny

    Sina lakusema zaidi ya😂😂😂😂 maana kama mwizi wa kuku yupo segerea au kauwawa wezi wa fedha ya serikali❤❤❤

  • @samsonhamery3809
    @samsonhamery3809 Před 4 dny +1

    Kwa kauli hii ya Rais ni kama kusema "Mchawi mpe mwanao akulelee"

  • @ImamuKitale
    @ImamuKitale Před 3 dny +1

    2:28 magufuli tuu

  • @lawrencegwerino1656
    @lawrencegwerino1656 Před 2 dny

    Unafiki viongozi raisi akiongea wanasimama wanainama unafiki ,sisi watu weusi alieturoga alishakufa….

  • @JonasMathias-s6m
    @JonasMathias-s6m Před 3 dny

    Bora tufe sisi watoto wetu waishi kesho,hatuna rais hapa

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s Před 4 dny +2

    Waziri ndiyo fisadi,tumbua mawaziri wako,huyo umemuonea,

  • @siamollel6051
    @siamollel6051 Před 4 dny +1

    Jamani ,jamani,Tuafika kweli?Maisha nimagumu

  • @htx1873
    @htx1873 Před 2 dny

    Fisi anapelekwa kwenye mifupa halafu tunaexpect asile mifupa , jamani hivini ni kweli ? 🥴🥴🥴 Time will Tell !!!

  • @jolitabukabengwe3070
    @jolitabukabengwe3070 Před 4 dny +3

    Mama SMAIA SULUHU HASSAN.
    Umenena vizuri umeelewaka.
    Sasa Fukuza kazi Majizi yote serkalini ili update pesa za kuendesha shughuri za serkali.. usiyaoneee huruma kabisa. Ukifanya hivyo utaona hazina pesa zinajaaa tele..

  • @bettyrugemalila9185
    @bettyrugemalila9185 Před 2 dny

    Angemtumbua waziri wa Fedha,ni mwizi halafu kiburi cna

  • @iddyekanda6456
    @iddyekanda6456 Před dnem

    Kuna majizi yanaiba hayashitakiwi alafu wananchi tunakamuliwa kulipa kodi punguza kodi iwe rafiki na mfanya biashara hakuna mwananchi atahepa kulipa kodi,, Kariakoo ukinunua bidhaa ukiitisha risiti unaulizwa upewe risiti ya kusafirisha bidhaa au ya kununulia,

  • @JonathanMwandala-hs3ld
    @JonathanMwandala-hs3ld Před 3 dny +1

    Yaaani unajua kwamba ni mwizi afu unampa tena cheo,daaah hatare sana iii

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před 3 dny +1

      Sikuwahi kuona kushuhudia kusikia Raisi wa nchi anaongea hivi inasikitisha mno

  • @Nedjadist
    @Nedjadist Před 4 dny +2

    Watu wamewaibia wananchi maskini yab idi kwanza wzfilisiwe pili makama tatu warudishe mali. Marufuku kufanya kazi ya umma milele. Halafu anamteua mtu anayekiri ni mwizi! Unauchekea ufisadi! Ila mtu akipasua picha....

  • @gosbertrwezahura3645
    @gosbertrwezahura3645 Před 3 dny +3

    Samia nchi imekushinda. Una woga mwingi. Huna udhubutu, unawaogopa wala rushwa wenzako. Ripoti ya CAG imekushinda kuifanyia kazi. Tumepiga kelele mpaka tumechoka. Mnakusanya kodi zinaishia kwenye mifuko yenu. Kama hamkujifunza kutoka Kenya basi zibeni masikio.

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 Před 3 dny

      Utafungwa na domo lako hilo, hivi ukiulizwa unaweza kutoa uthibitisho kwa hicho unachomshutumia raisi?!

    • @BraxedaDomina-xn4zc
      @BraxedaDomina-xn4zc Před dnem

      ​@@rayisadesigns2646Acha kutisha watu bro

  • @geey7893
    @geey7893 Před 2 dny

    we si ulisema Magufuli alkua anakusanya kodi za manyanyaso? sasa mikopo ya nini? bado hamjasemaaaaaa

  • @thomaskwibonelwa9240
    @thomaskwibonelwa9240 Před 2 dny

    Ni ajabu kiongozi kulalamika. Watanzania tupo milioni 60, kwanini akumbatiwe mwizi mmoja! Wapo wenye sifa, shida hawajui kuimba mapambio kusifia.

  • @gabrielsanya3278
    @gabrielsanya3278 Před 3 dny +1

    Mtumbue waziri wako wa fedha yeye ndiye KASWENDE KUBWA matatizo yote ya RUSHWA Bandarini, Kariakoo yeye anjua Siri zote na ndiye mtoa maagizo ya kusamehesha KODI. Utawabadilisha Makamishina na Kuwatumbua kwa maelfu lakini hujajibu KIDONDA.

  • @MalamboSelijusi
    @MalamboSelijusi Před 4 dny +1

    Kweli mama

  • @majaliwabwitonde6900
    @majaliwabwitonde6900 Před 4 dny +3

    Kumbe walikuwa wanaiba

  • @michaelmoro4801
    @michaelmoro4801 Před 3 dny

    Safi sana mama kwa maneno mazuri nakupenda sana

  • @edgerphanuel6967
    @edgerphanuel6967 Před 2 dny

    Kila la kher

  • @PeterNMzee
    @PeterNMzee Před 3 dny

    Hamna kitu hapa.....hata hiyo hela mliyo kopa mmeiba.....madeni sisi ndo tutalipa.....anyway nadhani mnaona yakiotokea kenya

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz Před 4 dny

    Hongera mama,kuwa mkali sana na usicheke na kima.

  • @sammymdemeka7937
    @sammymdemeka7937 Před 2 dny

    RAIS wangu kipenzi naomba wezi kwenye utumishi wawajibishwe kama wahujumu uchumi shida iko wapi kufanya maamuzi? Badilisha Sheria ya utumishi watu wafungwe maisha na wafilisiwe Hadi paka wao WATAACHA WIZII!

  • @PaschalGerad-xq4lw
    @PaschalGerad-xq4lw Před 2 dny

    Mama achavupumbavu selikali siyo mumewako. Acha kunyenyekea kiivo unaangamizanchi. Toa kauli za kishujaaa ao wapumbavu wanakucholatu. Kwamala yakwanza nchi itachafuka kwenye uongoziwako

  • @davidmgedzi9879
    @davidmgedzi9879 Před 3 dny

    Mama nakuelewa ila ebu tumbua kidogo shida mama una hofu ta mungu sana watu wanaona km we we huna sumu ebu wang,ate kwanza😅

  • @alexkatama4341
    @alexkatama4341 Před 3 dny

    Tukodishe management ya TRA kutoka nje kwa mwaka mmoja tu....Wabunge pia wanapaswa kulipa kodi

  • @IlalioMbunju-hv7kw
    @IlalioMbunju-hv7kw Před 3 dny

    Kwa kuongezea maneno ya Rais, mkumbuke kwamba mtakufa na kama mmeiba sana hamtaenda navyo kwa Mungu mtaenda na roho tu. Rais kasema cheo ni dhamana tu

  • @majaliwaharuna4064
    @majaliwaharuna4064 Před 3 dny

    Suala la kuiba fedha za serikali ni kweli wanaiba lakini mama unaposhindwa kuwachukulia hatua hao wizi ni wazi kuwa hata huyo mpya ataishi kama waliotangulia.unapomtengua mtu Kisha anakuwa mshauri wako sijui unategemea nn hapo

  • @MagrethKatondo-qs9oz
    @MagrethKatondo-qs9oz Před 2 dny

    Mmmmhhh mungu tuhurumie.

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 Před 4 dny +4

    Samia wetu mpendwa, tafadhali ondoa matumizi yasio ya lazima serekalini, mfano, magar ya garama, kwa baadhi ya viongoz,

  • @nasibuathumani7705
    @nasibuathumani7705 Před 4 dny +1

    Nataman siku moja. Nikutane na mama. Nimwambie njia nyingine ya kupata pesa. Nampenda sana

  • @PaschalGerad-xq4lw
    @PaschalGerad-xq4lw Před 2 dny

    Ao wanalipwa msahara mkubwa alafu unawachekea kuwa mkali kama umeshindwa kaapembeni ata akuna point uloifanya apo

  • @lailafakhihaji
    @lailafakhihaji Před 3 dny

    Wanakusanya wanatia mfukoni TRA ni cance ambayo haina dawa katika kiwanja Cha ndege dar wanakwambia kabisa mzigo wako bei ya kawaida ni milioni lakini ukitoa laki Tano nakuandia lakitatu laki mbili mfukoni mwake kwa siku anakusanya ngapi cargo huko na ushahidi ninao wanasumbua sana watu

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 Před 2 dny

    Manabii na mitume wa uongo walipe kodi wanawaibia wananchi maskini

  • @MagrethKatondo-qs9oz
    @MagrethKatondo-qs9oz Před 2 dny

    Mungu tusaidie wewe peke yako hakuna mwingine. Na waziri wa fedha je? Mmmh .

  • @SanziNzige
    @SanziNzige Před 3 dny

    Yani na limwigulu limo TU HUMO ndani? na wewe mama una mwangalia TU mwigulu kafanya zuri lipi huyo unamuacha HUMO?. NI vichekesho TU.

  • @lusajomwaipopo5042
    @lusajomwaipopo5042 Před 2 dny

    Inchi NGumu hii bila mageuzi ya kimfumo taifa litasota saana

  • @ndorobocarworks-dx4pf

    Mama mpole mpole ila kama mkali kiaina

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 Před 2 dny

    Huyo ndo ataiba zaidi ya hao

  • @user-wj6zj1ly4e
    @user-wj6zj1ly4e Před 3 dny

    Maneno mazuri kbx, tatzo linakuja wap? Rais au wateule wake? Rais mm nakuelewa sana lkn skupi kura maana unaoteua wote ni mizgo,

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 Před 2 dny

    Wafanyakazi wa TRA wana mihela na mali zinazozidi mishahara yao, nao wadokozi. Pia wafanyabiashara nje ya mji hawatoi risiti kabisa na hawana hofu.

  • @alexdukes5547
    @alexdukes5547 Před 3 dny

    Mwarubain nikutengeneza mfumo mmoja unayokusanha mapato yote ya serikali na taasisi zake,hii kunyesheana vidole hata hujuwi pesa zako zinaibiwa wapi ni uongo,kila unapolala hakikisha umefunga hesabu zako za makusanyo kila siku,kumbuka pesa ni namba unashindwaje kutengeneza mfumo unayoweza kuzibiti rushwa?😊

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole7714 Před 2 dny

    Mama leo mkali umekuwa

  • @saidnassormohammed9589

    Sasa km mwizi ushamtangaza hivyo wa nini huyo hii nchi aibu tupu wanaongea km bongo move yaani wizi unachukuliwa km kigezo cha kazi nzuri kutokana na maneno ya Rais

  • @bundalaizina652
    @bundalaizina652 Před 4 dny

    Bashe jee

  • @theonalyalfred8087
    @theonalyalfred8087 Před dnem

    Tunashida miaka5

  • @hijaabdalah9235
    @hijaabdalah9235 Před 3 dny

    waislam awaibaki mama umecheza kama pele

  • @BonyGood
    @BonyGood Před 2 dny

    Mama Suluhu

  • @richardrugemalira6934

    BIG UP mama! Nimeipenda level ya seriousness ktk hotuba. Lakini wahusika ktk system wawajibishwe wanaohujumu mapato

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 Před 2 dny

      Actions speak louder than words! Otherwise these are mere orders of the day!

    • @user-lw3tg3yg5b
      @user-lw3tg3yg5b Před dnem

      Nanni awajibiswe na liniwawajibishe? Ripoti za cag nani aliwajibiswa? Hayo maneno tu

  • @user-rn9og1rk3l
    @user-rn9og1rk3l Před 4 dny +8

    Unamtumaje mwizi akafichue mbinu za wizi alizoziweka mwenyewe???
    SSH Watanzania siyo wajinga kiasi hicho...
    Wewe sema umemtoa kidata kwa chuki binafsi...
    Wewe mama ni wa hovyo sana

    • @htx1873
      @htx1873 Před 2 dny

      Trust me I wonder the same way , !! Like hooooooowww ?😮 yani hai make sense kwa kweli, eti mwizi akawabadilishe wezi wenzie 😂😂😂😂 jamani nimechekaaaaaaa😂😂😂

  • @yasiniSwedi-qg5oc
    @yasiniSwedi-qg5oc Před 2 dny

    Uwelewa mdogo eti wewe kubadiliuso umeshindwa hlafu unamtaka uliemteuwa abadiliuso umefeli vbya haijawai tokea toka uhulu

  • @ImamuKitale
    @ImamuKitale Před 3 dny

    Magufuli tuu

  • @user-so8uh8bt5t
    @user-so8uh8bt5t Před 4 dny

    Mama usiogope vimbe mungu zamana uliopewa utakuja kuulizwa komaa maangu nyoosha kama mtangulizi wako kwahili umenikuna

  • @user-cy5jg4cx7i
    @user-cy5jg4cx7i Před 3 dny

    Ni kweli wafanyabiashara mikoani hawazitumii EFD ukiwauliza list wanasema hawamuelewi waziri wako wa fedha mbadilishe ili nchi iende

  • @SanziNzige
    @SanziNzige Před 3 dny

    Na mwigulu ndo tatizo kubwa katika taifa hili wengine ndo wanafuata.mwigulu jamani

  • @MalamboSelijusi
    @MalamboSelijusi Před 4 dny +1

    Nikweli mama ila angalieni kiwango mnacho toza

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před 3 dny

      Shida ni hiyo hawaangalii ngo'mbe anahitaji nini mpaka afikie kukamuliwa maziwa, wao kazi yao kukamua tu mpaka ngo'mbe atoke damu badala ya kutoa maziwa

  • @msamanga2277
    @msamanga2277 Před 4 dny

    Mama hii ni kweli kabisa, waambie wapunguzue kukopa

  • @user-no2ut7yd3e
    @user-no2ut7yd3e Před 4 dny

    Mama kumbe sasa umewagundua kwa ushauri ondoa waziri wa fedha,mambo ya nje,mipango na mawasiliano hawa wanacheni kali ila ni ya wazi sana tunaiona kwani wananini ,mama wafuatilie na ukihitaji msaada tupo.Ushauri sina kinyongo ila nakuhurumia kwa kutuhangaikia na wezi wanakucheka .

  • @simonsadala2386
    @simonsadala2386 Před 4 dny

    Mh Rais umemalizia vyema kwa kusema cheo ni dhamana

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 Před 4 dny

    Rudisheni mfumo wa kusajili wafanya biashara hata mama lishe. Ili mjue jinsi ya kuwasaidia.

  • @feiswalsalim2117
    @feiswalsalim2117 Před 4 dny

    kwani mum haukuona mjpmba alikuwa akifanya kazi kwa hosipitali ya vetinary hapo wito kwani mum haukuiona nikuwa tu nikupatarifa

  • @ReginaJoseph-cm3cx
    @ReginaJoseph-cm3cx Před 3 dny

    Ali participate halafu akazibe

  • @MartineShija
    @MartineShija Před 3 dny

    Msicheke tunaumizwa Sana Maumeme nayo niwizi2 wabunge nao wanakunja posho2 walahata hawalisemei hilo wamebaki

  • @user-vb8ki3jo9t
    @user-vb8ki3jo9t Před 3 dny

    Mama safiiii

  • @MohamedBlanker-jw9qy
    @MohamedBlanker-jw9qy Před 3 dny

    Wapi magufuli tumbua tumbua