Kikwete akumbushia ukaribu wake na Manji, akumbushia misukosuko iliwahi kumkuta Manji
Vložit
- čas přidán 6. 07. 2024
- “Baba yake Mehbub Manji ndiye alikuwa rafiki yangu” maneno ya Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete akisimulia ukaribu wake na aliyekuwa Mfadhili na Mwenyekiti wa zamani wa Yanga SC, marehemu Yusuf Manji.
Kikwete anasema Yusuf Manji alikuwa ni kama mwanae kutokana na ukaribu aliokuwa nao yeye na baba yake Mehbub Manji.
Rais huyo mstaafu wa Tanzania amesimulia pia namna Yusuf Manji alivyokuwa akimshirikisha nyakti za misukosuko na yeye alikuwa akimtuliza.
Imefanyika dua kwa ajili ya Yusuf Manji aliyefariki dunia Juni 30 ,2024 katika ukumbi wa Karimjee, Dar es Salaam.
#Dua #MaishaYaManji #YusufManji - Sport
Hongera sana mheshimiwa hakika wew ni muungwana sana! Sijui chalamila anajiskiaje na kauli yake ila anatukumbusha tukipewa dhamana tusijisahau tukatoa Siri za serikali au watu wengine
Very humble man. Live long Jakaya
Duuu dunia inamengi sana
Congratution former president kikwete always I do apreciate him long live mr ,you live with all people friendly .
Miraji Mrisho Kikwete sio mtu wa camera ni mtu wa juu kwa juu yani😂😂😂
Chakaram sana
@@Coffted Since wayback.
Tunakutakia maisha marefu baba yetu Dr jakaya kikwete Rais mstaafu
Umejaa hekima busara itoshe kusema asante baba
Jk yuko humble sana
Sana
Hongera sana
Mzee hongera sana umelea wengi
Raisi wa matajiri bwn.
daaah mzeee yupo real sana muungwana sana
hana uungwana wowote so called mwanae amekaa jela mwaka mzima hakwenda kumuona hata siku moja
Allah amsamehe makosa yake aliyofanya kwa siri na dhahiri amfanye wepesi ktk safari ammyn yaraby
Amiiin
Stori nzuri japo ya kuskitishaaaa
Kumbe alikuwa anauwa vijana na madawa kwakuwa alikabidhiwa ngao kumbe!tushukuru kwakuwa mwazi
Mungu akupe maisha marefu jakaya
😢😢
Wakaloleni Moshi tz aksante jambo Tanzania nimeamka nanyi niipe pole familia iliyopoteza Yusuphu manji kwakweli poleni mno aksante jambo tz
Mi napenda sana kumsikiliza kikwete anaongea vzr
Mbona hakujimwambafy!!, wakati ule, siku kujenga ikulu, sg, mwendo kasi, msukosuko wa manji, pia hata cocoa beach😂
Kufa usifiwe ndugu, aliteseka sana bila sababu Mungu ampumzishe kwa Amani
Ooh kumbe alikua bado kojana kbsa
Allahumma Ameen
Poleni sana familia
Mehbub wewe utaweza kuvaa vizuri viatu vya mzee wako. Inaonekana kijana Muungwana kabisa
Kuna comment naitafta siioni😢
Pesa zako umeficha sana upande huo, business zake wewe ulikuwa nyuma yake. Pesa alizokopà kwenye mabenki na kukimbilia Marekani, mpaka Samia alilalamika sana.
We ungekataa? Punguza makasiriko !!
@@edithamboya5016 Kikwete no baba yako au kujipendekeza
👍✌️🙏
Innalillah wainna ilayhi Rajuun
Makubwaaa
Pumzika kwa amani mtani wetu wa jadi.
Chakaramu sana 😂😂😂
Hapo ndo utaelewa kwa nini Manji alikuwa mfadhili wa Yanga na sasa hiyo kazi anafanya GSM
Mbona ya madawa husemi?
Yusufu rafiki wa MIRAJI!!!!!
Yusufu papa wa hadaway ya ......
Ndege wa ranging moja hutembea pamoja.
Za mbayuwayu changing na zako.
Kwenye utawala wako ufisadi ulizidi nchini ccm ilikaribia kufa mikononi mwako, wagonjwa walilazwa chini hospitalini lakini wewe ni kupanda ndege kila wakati. Halafu marafiki zako mbona ni wapigaji kama rostam aziz.
Unaushahid ndg
Mi napenda sana kumsikiliza kikwete anaongea vzr