Kikwete akumbushia ukaribu wake na Manji, akumbushia misukosuko iliwahi kumkuta Manji

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 07. 2024
  • “Baba yake Mehbub Manji ndiye alikuwa rafiki yangu” maneno ya Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete akisimulia ukaribu wake na aliyekuwa Mfadhili na Mwenyekiti wa zamani wa Yanga SC, marehemu Yusuf Manji.
    Kikwete anasema Yusuf Manji alikuwa ni kama mwanae kutokana na ukaribu aliokuwa nao yeye na baba yake Mehbub Manji.
    Rais huyo mstaafu wa Tanzania amesimulia pia namna Yusuf Manji alivyokuwa akimshirikisha nyakti za misukosuko na yeye alikuwa akimtuliza.
    Imefanyika dua kwa ajili ya Yusuf Manji aliyefariki dunia Juni 30 ,2024 katika ukumbi wa Karimjee, Dar es Salaam.
    #Dua #MaishaYaManji #YusufManji
  • Sport

Komentáře • 44

  • @nuhuallyzsung
    @nuhuallyzsung Před 7 dny +5

    Hongera sana mheshimiwa hakika wew ni muungwana sana! Sijui chalamila anajiskiaje na kauli yake ila anatukumbusha tukipewa dhamana tusijisahau tukatoa Siri za serikali au watu wengine

  • @lindatogether
    @lindatogether Před 7 dny +3

    Very humble man. Live long Jakaya

  • @Kim19onlinetv
    @Kim19onlinetv Před 8 dny +7

    Duuu dunia inamengi sana

  • @user-fs7bs6gy4z
    @user-fs7bs6gy4z Před 8 dny +3

    Congratution former president kikwete always I do apreciate him long live mr ,you live with all people friendly .

  • @stn4873
    @stn4873 Před 8 dny +8

    Miraji Mrisho Kikwete sio mtu wa camera ni mtu wa juu kwa juu yani😂😂😂

    • @Coffted
      @Coffted Před 6 dny

      Chakaram sana

    • @stn4873
      @stn4873 Před 6 dny +1

      @@Coffted Since wayback.

  • @ismailmshana2828
    @ismailmshana2828 Před dnem

    Tunakutakia maisha marefu baba yetu Dr jakaya kikwete Rais mstaafu
    Umejaa hekima busara itoshe kusema asante baba

  • @samgaya
    @samgaya Před 7 dny +5

    Jk yuko humble sana

  • @gabrielmoses6860
    @gabrielmoses6860 Před 8 dny +3

    Hongera sana

  • @RamadhaniAyubu-nv5qz
    @RamadhaniAyubu-nv5qz Před 7 dny +4

    Mzee hongera sana umelea wengi

  • @abednego3876
    @abednego3876 Před 8 dny +5

    Raisi wa matajiri bwn.

  • @shabanrufumbo3701
    @shabanrufumbo3701 Před 8 dny +3

    daaah mzeee yupo real sana muungwana sana

    • @hamisimuhunzi7916
      @hamisimuhunzi7916 Před 5 dny

      hana uungwana wowote so called mwanae amekaa jela mwaka mzima hakwenda kumuona hata siku moja

  • @salmakirundu2076
    @salmakirundu2076 Před 7 dny +3

    Allah amsamehe makosa yake aliyofanya kwa siri na dhahiri amfanye wepesi ktk safari ammyn yaraby

  • @AndrewMtweve-pm7gl
    @AndrewMtweve-pm7gl Před 7 dny +1

    Stori nzuri japo ya kuskitishaaaa

  • @user-wi8og3sv4j
    @user-wi8og3sv4j Před 5 dny +1

    Kumbe alikuwa anauwa vijana na madawa kwakuwa alikabidhiwa ngao kumbe!tushukuru kwakuwa mwazi

  • @OmariZayo
    @OmariZayo Před 5 dny

    Mungu akupe maisha marefu jakaya

  • @WahidaHilaly
    @WahidaHilaly Před 7 dny +2

    😢😢

  • @hassanimlacha8479
    @hassanimlacha8479 Před 4 dny +1

    Wakaloleni Moshi tz aksante jambo Tanzania nimeamka nanyi niipe pole familia iliyopoteza Yusuphu manji kwakweli poleni mno aksante jambo tz

  • @RahimhalmasRahimhalmas

    Mi napenda sana kumsikiliza kikwete anaongea vzr

  • @raphaelondego7703
    @raphaelondego7703 Před 8 dny +3

    Mbona hakujimwambafy!!, wakati ule, siku kujenga ikulu, sg, mwendo kasi, msukosuko wa manji, pia hata cocoa beach😂

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před 8 dny +1

      Kufa usifiwe ndugu, aliteseka sana bila sababu Mungu ampumzishe kwa Amani

  • @DM_15
    @DM_15 Před 10 hodinami

    Ooh kumbe alikua bado kojana kbsa

  • @user-ui4oh8gf8n
    @user-ui4oh8gf8n Před 8 dny

    Allahumma Ameen

  • @hamidashaban1203
    @hamidashaban1203 Před 8 dny

    Poleni sana familia

  • @hilarymark7583
    @hilarymark7583 Před 8 dny +3

    Mehbub wewe utaweza kuvaa vizuri viatu vya mzee wako. Inaonekana kijana Muungwana kabisa

  • @denismasele4130
    @denismasele4130 Před 6 dny +2

    Kuna comment naitafta siioni😢

  • @georgesolos344
    @georgesolos344 Před 7 dny +4

    Pesa zako umeficha sana upande huo, business zake wewe ulikuwa nyuma yake. Pesa alizokopà kwenye mabenki na kukimbilia Marekani, mpaka Samia alilalamika sana.

    • @edithamboya5016
      @edithamboya5016 Před 5 dny

      We ungekataa? Punguza makasiriko !!

    • @ilynpayne7491
      @ilynpayne7491 Před 4 dny

      ​@@edithamboya5016 Kikwete no baba yako au kujipendekeza

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 8 dny

    👍✌️🙏

  • @ZulekhaBaksh-ii4fk
    @ZulekhaBaksh-ii4fk Před 8 dny +1

    Innalillah wainna ilayhi Rajuun

  • @RamadhaniAyubu-nv5qz
    @RamadhaniAyubu-nv5qz Před 7 dny +2

    Makubwaaa

  • @VenitaRugemalila
    @VenitaRugemalila Před 5 dny

    Pumzika kwa amani mtani wetu wa jadi.

  • @maylusasi1239
    @maylusasi1239 Před 8 dny

    Chakaramu sana 😂😂😂

  • @njemamehuna9821
    @njemamehuna9821 Před 2 dny

    Hapo ndo utaelewa kwa nini Manji alikuwa mfadhili wa Yanga na sasa hiyo kazi anafanya GSM

  • @user-wi8og3sv4j
    @user-wi8og3sv4j Před 5 dny

    Mbona ya madawa husemi?

  • @gaspermatovu2899
    @gaspermatovu2899 Před 4 dny +1

    Yusufu rafiki wa MIRAJI!!!!!
    Yusufu papa wa hadaway ya ......
    Ndege wa ranging moja hutembea pamoja.
    Za mbayuwayu changing na zako.

  • @user-pj7ng8il4t
    @user-pj7ng8il4t Před 5 dny

    Kwenye utawala wako ufisadi ulizidi nchini ccm ilikaribia kufa mikononi mwako, wagonjwa walilazwa chini hospitalini lakini wewe ni kupanda ndege kila wakati. Halafu marafiki zako mbona ni wapigaji kama rostam aziz.

  • @RahimhalmasRahimhalmas

    Mi napenda sana kumsikiliza kikwete anaongea vzr