Mtoto wa Manji asimulia namna baba yake alivyoipenda Yanga

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 08. 2024
  • “Moyoni mwake ukimkata utaona damu ya Yanga” maneno ya Mehbub Manji akisimulia namna baba yake alikuwa akiipenda Yanga.
    Mehbub amesema kuna nyakati walikuwa wanweza kujua matokeo ya mechi za Yanga kwa kumtazama baba yao tu, wakimuona amekasirika wanajua Yanga imefungwa.
    Imefanyika dua kwa ajili ya Yusuf Manji aliyefariki dunia Juni 30 ,2024 katika ukumbi wa Karimjee, Dar es Salaam.
    #Dua #MaishaYaManji #YusufManji

Komentáře • 35

  • @edwinlyimo5611
    @edwinlyimo5611 Před měsícem +1

    pole sana ndugu yangu,nashukuru Mungu kuona Ww na mdogo wako mpo,naomba mjitahidi kupendana msigombane kwa jambo lolote hasa Mali za Urithi,nashukuru Mzee Ja JK Kikwete kwa kuwa karibu na Familia hii wakati wote,Mungu akubariki,leo mm nitakaa karibu na familia yangu nicheze na watoto wangu kwa maana sijui mda wala saa,Pia kuzidi kumuomba Mungu,

  • @abroadconnectededucationlt5435

    polen sana, ''kazima tufanye kazi sana,lazima tumalize tulichokianza,lazima tupite malengo, lazima tupite matazamio ya watu'' haya ni maneno mazito sana kuambiwa,asante YM kwa zawadi hii.

  • @vinny.morales
    @vinny.morales Před měsícem +3

    Poleni sana familia ya Manji. Tuko pamoja, tunawapenda sana😢

  • @nsubisimwasandende-kl9vy
    @nsubisimwasandende-kl9vy Před měsícem +10

    Dogo ana akili sana ni isahara hata kampuni za mzee zitaenda vizuri speech nzuri

  • @LovenesLuhanga
    @LovenesLuhanga Před měsícem +4

    R I p Yusuf manji hakika ww ulikua Bora sana mungu uipe uvumilivu na utulivu familia yake yote tuseme amen 🙏🏼🤝

  • @user-xb7jv2jt7d
    @user-xb7jv2jt7d Před měsícem +2

    Innah lillah waina ilaih raj oon. Allah awajaze subira muwe waja wa kusubiri. Nasi tuombe mwisho mwema. Ameen

  • @YohanaCharles-ry1kh
    @YohanaCharles-ry1kh Před měsícem +3

    Daaah, pole sanaaa ndg yetu

  • @baltasartemu2153
    @baltasartemu2153 Před měsícem +3

    Pole sana Mahboob..

  • @VenitaRugemalila
    @VenitaRugemalila Před měsícem

    Pole watoto wa marehemu, Mungu awape mshikamano na mlete wajukuu watakaoendeleza

  • @VenitaRugemalila
    @VenitaRugemalila Před měsícem

    Pole masikini kumbe mmebaki wenyewe Mungu awtunze ,na familia ya Muheshimiwa Jakaya iendelee kuwa nanyi

  • @MwenyeheriMwegeru
    @MwenyeheriMwegeru Před měsícem +2

    Inalilah wainalilah rajiun pole sana wanafamilia

  • @user-jh4sw3ww6w
    @user-jh4sw3ww6w Před měsícem +3

    Mwanadam ni historia,kua historia njema

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 Před měsícem +4

    Innalillahi wainna ilayhi rajiun😢

  • @user-ww4so9ks9c
    @user-ww4so9ks9c Před měsícem +2

    Duuh😢😢😢

  • @habibaramadhani-xv2ed
    @habibaramadhani-xv2ed Před měsícem

    Inalilahi wa Inalilahi Rajiun poleni Sisi wote tutarejea.

  • @JoshuaSabu-r2p
    @JoshuaSabu-r2p Před měsícem

    R.i.p YUSUFU MANJI hakika ni pengo kubwa sana kwa club ya YANGA na wapenz na mashabiki wa yanga

  • @saidsalum6101
    @saidsalum6101 Před měsícem

    Hivi kumbe nikweli manji kafa mungu amsamehe mazambi yake yote

  • @VenitaRugemalila
    @VenitaRugemalila Před měsícem

    Yaani hayo maneno ya mwisho yanaumiza akimsii Rais mstaafu wetu na wananchi tukirudi ktk familia tukapendane ,tuishi vizuri hatuijui kesho yetu kwani wao hawana tena wazazi,wapendwa wao wameondoka km ninavyosikia na mama hawana tena yaani inahuzunisha jamani,poleni tumepokea ushauri huo

  • @tukuyufm.
    @tukuyufm. Před měsícem

    Poleni sana familia ya mzee manji

  • @salmakirundu2076
    @salmakirundu2076 Před měsícem

    So sad

  • @user-ws9no8hz8k
    @user-ws9no8hz8k Před měsícem

    Imauma jaman polen

  • @daarularqammkaku153
    @daarularqammkaku153 Před měsícem

    Pole bro

  • @josephmkinga9509
    @josephmkinga9509 Před měsícem

    manji,rostam,hao hakuna wazalendo hapo wanyonyaji2 wataka mamiladi makubwa watafuna nchi

  • @josephmkinga9509
    @josephmkinga9509 Před měsícem

    kama alikua mzlendo wa nchi kwa nini alikimbilia huko namezikwa marekani hao watafuta fulsa2 ila wanaunalaia nchi zngne kabsa kwa macho ni watanzania ila mioyo yao haipo hao wanafata masilai2 mlando pekee ambae ni mtu wa mungu ni bakhressa pekee angalia alichoifanyia taz. huyo ndo mtzania pekee

    • @mugheiry
      @mugheiry Před měsícem

      Kwanza kajifunze kuandika vizuri kiswahili chako, kabla kuandika upuuzi wako.

    • @josephmkinga9509
      @josephmkinga9509 Před měsícem

      @@mugheiry upuuz ni wewe kipi ambacho hujaelewa

    • @zaminalimehdi8970
      @zaminalimehdi8970 Před 18 dny

      Usiandike kutafta kiki. Mbona tundu lissu alienda kunitibia nje na sio bongo. acha chuki

    • @josephmkinga9509
      @josephmkinga9509 Před 20 hodinami

      tundu lissu halali atibiwe huko ila sio kuzikwa hao wahindi wanachuma2 bongo kuzikwa utasikia wamepelekwa kwao

    • @zaminalimehdi8970
      @zaminalimehdi8970 Před 20 hodinami

      Kuna wengi wanalala marekani na nyumbani kwao ni tanzania bro. Acha hizo bro.. Mtu kafariki sote tunafata mkondo huo huo.. Na sisi naye tutafute pesa kama wao tukakaa sehemu nyingine ila TZ itakua home

  • @tumsifumassawe1273
    @tumsifumassawe1273 Před měsícem

    Kwan amekufa kweli??