MSEMAJI WA VITAL’O: SAIDO ZAIDI YA MESSI NA RONALDO, YANGA WAMETUFUNGA KWA KURJUAN KESHO NAONDOKA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024

Komentáře • 47

  • @sailoo5722
    @sailoo5722 Před 22 dny +6

    Jamaa anatumia akili nyingi sana,alijua wazi hawezi kuifunga yanga,lakini alifanya biashara nzuri sana ili wapate pesa za viingilio na hiyo ndio kazi moja wasemaji kushawishi mashabiki,

  • @RichardGeofrey
    @RichardGeofrey Před 22 dny +7

    millard Ayo hongera sana hii sasa ndio interview siyo ile ya mzungu alikuwa anajisifia yeye hakuwa anampa jamaa uhuru wa kujieleza.

    • @LimseyMassawe
      @LimseyMassawe Před 22 dny +1

      Ile huwezi ita interview ile ilikuwa story na manara....yani anaongea yeye tu

    • @RichardGeofrey
      @RichardGeofrey Před 22 dny +1

      @@LimseyMassawe umefurahia ipi mzee

    • @LimseyMassawe
      @LimseyMassawe Před 22 dny +1

      @@RichardGeofrey ya millard

    • @RichardGeofrey
      @RichardGeofrey Před 22 dny +2

      @@LimseyMassawe upo sahihi ndugu yangu unajua yule msemaji alikuwa na mambo mengi sana yakuongea alafu very emotional kuhusu mpira wa nchini kwake pamoja na mambo mengi kutoka nchini Burundi sema tu vile jamaa hakumpa uhuru

  • @salehthesword
    @salehthesword Před 20 dny

    ALLAH akuongoze katika Uislamu.

  • @user-is2pj2vq3r
    @user-is2pj2vq3r Před 22 dny +6

    Huyu Jamaa anataka umaarufu Tanzania kutrend ni kazi sana

  • @Gwa-Kayaga
    @Gwa-Kayaga Před 22 dny +2

    Hata chooni Wanayanga uponao sio chumbani tu😂

  • @asantematembo7930
    @asantematembo7930 Před 22 dny +4

    Saba zinakuhusuuuu 😅😂😂

  • @afreytonemajidi6909
    @afreytonemajidi6909 Před 22 dny +4

    Semaji apimwe atakuwa ni mtumiaji wa madawa ya kulevyaaa

  • @mussandikumana3561
    @mussandikumana3561 Před 22 dny +3

    Tunamuomba Mama yetu mpendwa mama Samiha Suluhu Hassan ageuze match ya kufata ya Vitalo FC na Yanga Africa yoyote atafunga magoli kwenye iyi match ya kufata apewe million 5 ikiwa Vitalo ao Yanga Africa pale kwa Mkapa Yanga hachomoki

  • @MaxCharles-wj5dg
    @MaxCharles-wj5dg Před 22 dny +3

    Huyu ana mezeshwa maneno na kolozidad

  • @DoreenMedson
    @DoreenMedson Před 22 dny +2

    We're utakufaa mazimaaa, kufufuka kamnaaa

  • @paulmagese7900
    @paulmagese7900 Před 22 dny +2

    Haaaa haàaaa mlango wa magendo

  • @mugishamajeba9628
    @mugishamajeba9628 Před 22 dny +1

    Sasa ngoja umerudia maneno yako aya utakura 5 tena maana tulikuwa tunataka tukurumie ira uruma imeisha utakura tano

  • @blackbajuni8518
    @blackbajuni8518 Před 22 dny +1

    Bigi usiogope malizia mechi yapili lupasoo nauli tutakuchangia

  • @erastoemmanuel6571
    @erastoemmanuel6571 Před 22 dny +1

    Yanga pitieni mlango halali mmesikia hiyo😂😂😂😂😂😂😂

  • @techsavvyswahili
    @techsavvyswahili Před 22 dny +4

    😀😀😀😀 huu sasa ndio mnara

  • @hamadihamadi9797
    @hamadihamadi9797 Před 22 dny +1

    Mbona huna uweli

  • @dahelahmad6331
    @dahelahmad6331 Před 22 dny +2

    Anatambua "kurujumani"

  • @Yuleyule-u6c
    @Yuleyule-u6c Před 22 dny +2

    AYO MMEMUHOJI JAMAA AKIWA AMEPIGA VITU TAYARI 😂

  • @mrh2812
    @mrh2812 Před 21 dnem

    Anakimbia uyu😅😅😅😅

  • @user-er5xv4gh5w
    @user-er5xv4gh5w Před 21 dnem

    🇧🇮

  • @minazsaid2470
    @minazsaid2470 Před 22 dny +1

    Usitutishe bonge tuache 😂😂

  • @ezekieledison-d4w
    @ezekieledison-d4w Před 22 dny +2

    Wasiwasi yako ni milango au na kutokuja na gari moja na nyie magari yapo chukuen

  • @hamadihamadi9797
    @hamadihamadi9797 Před 22 dny +1

    Ww hofu yako ndiyo hiyo tu

  • @diegomontenego5158
    @diegomontenego5158 Před 22 dny +1

    Sio ngombe Ni ng'ombeeee.

  • @mtotowamanka
    @mtotowamanka Před 21 dnem

    Huyu jamaa anajikanyaga sana aliulizwa anajipepeta

  • @justinemasweta2877
    @justinemasweta2877 Před 22 dny

    Alieskia daima mbele mwiko nyuma tujuane

  • @swala_master
    @swala_master Před 22 dny

    Katika vipindi vyote nimetizama hiki nichakanza kibaya sana mucuti nikuulize kitu wewe ni musemaji wa vital ao ni chawa wa Yang maana umetaja Yang mala nyingi kuliki vital timu yako ila kma timu za Burundi mutakua na wasemji kama hao hamutobowi Burundi ni inchi yangu ila buchuti umenikela sana brother

  • @roggerasili3089
    @roggerasili3089 Před 22 dny +3

    Mpaka useme

  • @minazsaid2470
    @minazsaid2470 Před 22 dny +1

    Nani alimuambia Yanga wanaingia kwa makundi na mlango wa nyuma 😂😂

  • @btvonlinegospelfirst
    @btvonlinegospelfirst Před 22 dny

    Huyu jamaa nimemuelewa , uchawi umezidi

  • @JolotaErastoJuma
    @JolotaErastoJuma Před 22 dny

    Ila msemaji kama nakuelewa YANGA hawana makao wachezaji wao, hawaingii kwenye mlango halari na wana kuja uwanjani mafungu mafungu 😂😂😂😂😂

  • @user-jf7vx9nb9m
    @user-jf7vx9nb9m Před 22 dny

    Hahahhah wewe akuskie mzee said km unampenda saidooo heeeee atakuchana hatar

  • @user-jf7vx9nb9m
    @user-jf7vx9nb9m Před 22 dny

    Tumbo km boyaaa huyu hazami kabisaa akiogelea beach

  • @hirizonetz9558
    @hirizonetz9558 Před 22 dny

    Yaan huyu alipolala ndipo yanga ilipoamkia miaka 700 iliyopita 😂😂

  • @nameiztv7870
    @nameiztv7870 Před 22 dny +1

    😂😂😂😂

  • @mcgabby
    @mcgabby Před 22 dny

    Wana Simba muache Yale maujinga ya kwenda Kunya Kwa viongozi wenu watu wanajua hii ni nchi ya amani kama hataki kujiuzuru basii sasa😅😅

  • @swala_master
    @swala_master Před 22 dny

    Acha kutiya huruma wewe kubali kipigo ju mulijipeleka wenyewe kama hapo unaongeya nini sasa inchi nzima kama Burundi I nakosaje uwanja kweli munaudhi kwakweli

  • @aliakrabi8321
    @aliakrabi8321 Před 21 dnem

    huyu njaa kali maisha kwao ngumu anatafuta kazi team za tanzania zimpe kazi, hana maneno. ana utani sana. hana lolote, hataki kurudi kwao. Gamondi kamfata yeye au yeye ndiye aliyemfata gamondi? video zipo

  • @novatuslawrence4666
    @novatuslawrence4666 Před 22 dny

    Amekuja kutalii tu