Nilimnyang'anya Kikwete Mic Nikamzuia Kuongea - Dr Slaa

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 07. 2024
  • Dr Willibrod Slaa kwenye mahojiano maalum na Power Breakfast ya Clouds FM

Komentáře • 23

  • @MariamMasunga-v7n
    @MariamMasunga-v7n Před 14 dny +1

    Mnafiki namba moja

  • @abuukarata9653
    @abuukarata9653 Před 14 dny +1

    Mpuuzi Sana huyu Mzee.

  • @josephmkinga9509
    @josephmkinga9509 Před 9 dny

    anaenda na upepo huyu mzee hatabiliki wala hatumwamini kabsa

  • @zumbembwana5693
    @zumbembwana5693 Před 13 dny +1

    Dr. anaongea uongo! Founder wa ccbrt ni mdachi mmoja anaitwa Vanestee. Labda aseme yeye ni co-founder kwa kuwa Vanestee alikuwa ni foreigner.

  • @godfreymbwambo4460
    @godfreymbwambo4460 Před 15 dny +1

    TUNAKUELEWA MZEE. FUNGUA CHAMA NA TUKO NYUMA YAKO.

  • @ibrahimmbarouk1564
    @ibrahimmbarouk1564 Před 11 dny

    Hata hapo anaendelea kupiga siasa, mzee Slaa yeye ilimradi Tonge iende kinywani -ukamnyang'anye rais kipaza sauti hao walinzi hawajamparuza na hiyo ndiyo ingekuwa habari ya kutrend isiyosahalika...!

  • @romanamassawe814
    @romanamassawe814 Před 11 dny

    Muongo huyo

  • @josephatkiliko2546
    @josephatkiliko2546 Před 15 dny +1

    Pazuri ndio umepakata.

  • @LeiyoKippi
    @LeiyoKippi Před 15 dny

    Mbn ulikimbia kwa ability kuhongwa na ccm

  • @yusufkisome639
    @yusufkisome639 Před 15 dny

    Sawa Lakini Umekwisha KABISA kisiasa.

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Před 15 dny

    Huyu mzee mhuni tu

  • @AMBROSIJOSEPH-qc7xo
    @AMBROSIJOSEPH-qc7xo Před 15 dny

    Hakuna kitu wote wapigaji tu

  • @AssociationofPhilosophy
    @AssociationofPhilosophy Před 15 dny +1

    CCBRT
    HONGERA SANA

  • @Myunani_DivineStudios
    @Myunani_DivineStudios Před 15 dny

    Tutatambuana mbele matembezini😂

  • @LeodegardRutakyamirwa-hg9hu

    HUNA jipya

  • @rashidsuleiman9253
    @rashidsuleiman9253 Před 15 dny +2

    katika wazee wapuuzi huyu ni mmoja wapo.

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward Před 15 dny +2

      Uwezi kuwa kusema fulani mchawi bila ya kuwa na wewe mchawi. Kudi la wapuuzi utakuwemo?

    • @adamlubawa1281
      @adamlubawa1281 Před 15 dny +1

      Saaana yaani hajielewi

    • @mohamedhamismagoraonlinetv459
      @mohamedhamismagoraonlinetv459 Před 15 dny

      Kwakweli ni punguani

    • @corporatethugsent7380
      @corporatethugsent7380 Před 15 dny

      Mwanangu sure aseenagonga like kwako.ni kweli anejituma mengi kuliko kawaida but ni mzee mmoja mavi sana kwa ile kitu alotulostisha watanzania duni mwaka 2015.yan ata atage anye akojoe hatakuja kushinda kuushinda ule uchaguzi ...emb acha nkasikilize ngoma yangu ya Chief Duke na Niki mbishi na Beka asee sio ushenzi huu wa kujifanya fundi wa maelimu na ujuaji wakati kiila simu wasomi wabaturudisha tuu nyuma acha ni baki na risasi za tundu lissu nijue kuna mungu na kuokoka kwa Mpina kumfata mungu japo alikua mule mule but hata bangi hua inaachwa big up mpina but slaa haachi usenge wake miaka nenda rudi.adi inaboa kutupa vitukio vyake vya ushujaa vilivopitaga kitamboo wakati mwisho alisaliti tuu kisa demu wake

    • @ustawiwetu
      @ustawiwetu Před 15 dny

      Kama ulijaliwa kwenda shule usingesema hayo

  • @rashidsaid6015
    @rashidsaid6015 Před 15 dny

    Ni kweli mzee slaa lkn hiyo kumpoka maiki io kwel hakun anaethubuty kwa mfumo.wa nchi.hii