Ukiangalia sheria zetu it's like they discourage self-employment of any sort. Matokeo yake ikitangazwa nafasi ya kazi 1 wanakuja watu 200 kuomba,hakuna ajira mpya zinazotengenezwa na sekta binafsi. Wazalishaji wadogo walitakiwa kuwezeshwa sana ili kuisaidia serikali kuzalisha ajira.
Tunaiita Dar kuwa ndiko Tanzania huku mikoani ni Tanganyika! Wanafanya wanachokitaka. Kwa mfano Manispaa inataka kujenga soko , inakupa eneo unajenga banda kwa sh Million 5 mpaka 40! Unaambiwa uendeshe biashara kwa kulipa elfu 25 kwa miaka 6 na baada ya hapo miliki inaamishiwa kwa Manispaa, ambaye sasa ataweza kukupangisha au kumpangisha yeyote. Wafikirieni wananchi. Manispaa zisitumie ardhi kuwanyanyasa wananchi
Ukweli ambao hamuwezi kuukubali ni kwamba 'Industrial Revolution' ni mkakati wa siri wa nchi husika. Nchi zote zenye viwanda hawakuamka asubuhi tu wakaanzisha viwanda. Unaomba msaada ukajenge kiwanda wakati masharti ya mkopo hayaruhusu? maybe someone, some day will change the mindset...mtafanya sana mikutano na maombi ila tusipokaa kama taifa na kuanzisha viwanda ambavyo kwanza ni primary producers wa mahitaji ya viwanda vikubwa tutaishia kusafirisha malighafi nche ya nchi. Sera ya viwanda na uchumi haikushirikisha mawazo ya watu wenye entrepreneurship skills, ni watu walikopi au kukaa ndani wakajifungia. hatutazalisha hata nchumvi ya mawe...
@@JuliusMlengeswa waziri anaonyesha njia na kuweka mipango ya kulinda viwanda akiwa huku analalamika tu hawezi kuchukua hatua weye hujui kwa sababu si mzalishaji weye ni mchuuzi nadhani
Sisi wenye viwanda tunajua mapungufu ya vingozi juu ya uchumi waviwanda ni prosser maarum unatakiwa ifutwe ukiwa mchuuzi utapangiwa bei na wenye viwanda na nchi Haiti na fedha za kigeni mpaka wananchi ikiwa hakuna xpot input uchuni utakuwa wa kubatisha
Nahisi kuna kitu hakipo sawa kwenye system zetu na kikubwa ni kwamba ao walioko juuh wengi wahaelewi biashara nin nin na jinsi gani mfanya biashara anateswa na hizi kodi. Ni wakati sasa tukae na tutafakari jinsi ya kulipeleka taifa mbele. Mungu Ibariki Tanzania 🇹🇿
Kwa tanzania ukitaka kufanikiwa tafuta namna ya kukwepa kodi...nazungumza kama mfanya biashara kwa uchungu...unafanya biashara na huku unalipa kodi zinazo fanana ...sevice levy at the same time TRA huo nibmfano. nchi hii ukitaka kuendelea usirasimishe biashara yako kamwe...ni vitu vya hovyo mno na serikali inajua haswa uovu unafanywa na wizara tofauti...sasa unajiuliza ni shule gani hi wanaenda kuendesha nchi kwa namna hii...kila unapojarbu kunzisha biashara ni changamoto za hovyo...jaman wa atendaji wa serikali badilikeni akili za namna gani mnatumia jamani..?
Huyu dada anasemea juu ya kodi eti "....sasa hivi wameanza kutujia kwa njia nyingine..", hajui kwamba ni Waziri akiwa sehemu ya Serikali ndiyo wametunga hizo sheria ambazo zinavifanya hivyo vyombo vilivyoanzishwa na serikali yenyewe "kuja kwa njia hizo nyingine" za kuhakikisha kuwa hizi SMEs zinaminywa ktk kulipa huo ushuru na kodi? Anadhani anazungumza na chombo tofauti na serikali!! Hapo ndo wenzetu majirani wameona ni siasa hivyo tuwatingishe wawajibike ktk matumizi ya kidogo kinachopatikana na siyo kumnyonya mwananchi na mlipa kodi!! Tubadilike tujue watesi wetu kuwa ni hao tuliowapa madaraka ya kutuongoza ndo wanapofika huko wanajali vya kwao posho na magari ya anasa!
Wananchi wanatumia akili na maarifa mengi kubuni na kuendesha biashara, badala ya kusaidia hawa wenzetu wanatafuta kila njia kukusanya ili wajilipe mishahara mikubwa. Siku za nyuma magari mengi yalikuwa ya serikali (ST), sasahivi magari mengi ya kifahari mitaani ni ya watu binafsi wengi wao wafanya kazi serikalini.
Tatizo la Mama anawapa uwaziri watu sio hawana Vision sio lazima mtu awe ccm huo ni ujinga tunataka mtu mwenye vision kama Masoud huo mduara wa kupata lesen ya biashara it’s too much unalipia nusu na robo ya msingi wako wa biashara kabla ya kupata lesen .Mama Samia Leta watu Dubai waje wasome vipi Serikali zao zimejipanga Katika masuala ya kodi Dubai siku moja tu au mbili unapata lesen hakuna longolongo Mama Samia una Mawaziri mizigo hebu changamka kdg unacherewa sana Dunia inakwenda kasi sana
Daaah ni wakati wa serikali kusuport hizi small industries ili waweze kuzalisha zaidi then walipe kodi sio unaanza tu mikodi mixer tozo kibao kwakweli inaumiza sana asee
Kiukweli kama kutakuwa na dirisha moja la ulipaji kodi wengi wataipa serikali kodi tena bila shaka maana mm ata kama nina kigari changu nikaambiwa kodi yangu ni 100000 mwaka mzima apo kila mtu kashajikatia chake kuna shida gani sisumbuliwi ila ao wanaopenda kuyafanya mambo yanakuwa magumu ili kujipatia rushwa wanakera
Na kwa kweli si policy peke yake. Pia inatakiwa budget maalum ya Serikali ku saidia start ups. Zisukumwe na Serikali. Ndio Nchi nyingine zinefanya hivyo
Tatizo ni mama muongeaji baadanya Masudi Amejikita kwa wanawake tu sijui hii dhana wa wanawake kijibagua kwa ila kitu inatoka wapi" Kila kitu mwanamke mwanamke Masud kaongea hajasema wanaume hata sentens moja lakini mama kaingia kutetea wanawake 'basi wangeandaa mkutano wa wanawake . Kweli hii haipendezi kabisa wote hapo ni wazalishashi hakuna jinsia 'kodi"tozo wala soko la wanawake pekee.
Ameniboa sana yule Mama,wao kila sehemu wanaleta siasa za jinsia tu hadi kero. Kipanya anazungumzia nafuu kwa wote yeye anakazana wakina Mama hivi wakina Mama vile,hovyo kabisa.
Ukweli upo kwenye ushindani sisi na majira Zetu. Tz angalia vitu kama chunvi, sabuni. Kenya kwa kiasi kikubwa kwa soko letu. Angalieni malighafi bei zake. Ni kikwazo chetu.
Hakika Tz NZIMA ni MACHINGA WA NCHI ZINGINE HASA ZA UTURUKI ,NA CHINA MPAKA MABILIONEA NAO NI MACHINGA NCHI NZIMA AAAA HAKIKA TUNATAKA KWENDA KWENYE VIWANDAAAAA SIYO KUWA MACHINGA NCHI NZIMA AIBU
Wekeni kiwango kimoja.mfanyabiasha aambiwe ukitaka kufanya biashara fulani.utalipa sh kadhaa kwa mwaka. Sio kodi kila kona. Mbaya zaidi mnatoza kodi kwenye mauzo ya jumla badala ya faida. Yaani mtu hujaanza biashara unatakiwa ulipe kwanza kodi.
Hiyo ndo serikali yetu wanapeleka miswada bungeni na wabunge kwa maagizo ya ccm wanapitisha kisha mwananchi anaanza kulia!! Kesho hao hao wanarudi kuomba kura ili wawndeleze sera za kuminyana kutukamua ili kufadhiri maisha yao huko juu!
Masoud Mungu akupe maisha marefu na uendelee kushirikiana na vijana kuwaamsha na hii serikali inayojiita sikivu ibadilike
Ilo ni jambo kubwa sana start up hapa Tanzania ni big challenge sana
Ukiangalia sheria zetu it's like they discourage self-employment of any sort. Matokeo yake ikitangazwa nafasi ya kazi 1 wanakuja watu 200 kuomba,hakuna ajira mpya zinazotengenezwa na sekta binafsi. Wazalishaji wadogo walitakiwa kuwezeshwa sana ili kuisaidia serikali kuzalisha ajira.
Kaka masud umezungumza vizur sana kwa uzalendo kabisa "TUZALISHE VYAKWETU"
Good presentation Masoud
Tunaiita Dar kuwa ndiko Tanzania huku mikoani ni Tanganyika! Wanafanya wanachokitaka. Kwa mfano Manispaa inataka kujenga soko , inakupa eneo unajenga banda kwa sh Million 5 mpaka 40! Unaambiwa uendeshe biashara kwa kulipa elfu 25 kwa miaka 6 na baada ya hapo miliki inaamishiwa kwa Manispaa, ambaye sasa ataweza kukupangisha au kumpangisha yeyote. Wafikirieni wananchi. Manispaa zisitumie ardhi kuwanyanyasa wananchi
Ukweli ambao hamuwezi kuukubali ni kwamba 'Industrial Revolution' ni mkakati wa siri wa nchi husika. Nchi zote zenye viwanda hawakuamka asubuhi tu wakaanzisha viwanda. Unaomba msaada ukajenge kiwanda wakati masharti ya mkopo hayaruhusu? maybe someone, some day will change the mindset...mtafanya sana mikutano na maombi ila tusipokaa kama taifa na kuanzisha viwanda ambavyo kwanza ni primary producers wa mahitaji ya viwanda vikubwa tutaishia kusafirisha malighafi nche ya nchi. Sera ya viwanda na uchumi haikushirikisha mawazo ya watu wenye entrepreneurship skills, ni watu walikopi au kukaa ndani wakajifungia. hatutazalisha hata nchumvi ya mawe...
@@selemanmussa3459 kaka embu nitumie ht no yko...tubalishane mawazo...well said
Kipanya so artist very creative 😂
Well said Mr. Masoud Kipanya
Uwasilishwaji bora ila c Dhani kama utafanyiwa kaz 😢ila mmetuwakilisha vyema wachangiaji wote 🎉🎉
Masudi kipanya is very good prosser huyu anafaa kuwa waziristan wa viwanda anajua
Awe Waziri? Huku atakayewasemea watu ni nani? Huku huku aliko Private sector anatoka kwa heshima
@@JuliusMlengeswa waziri anaonyesha njia na kuweka mipango ya kulinda viwanda akiwa huku analalamika tu hawezi kuchukua hatua weye hujui kwa sababu si mzalishaji weye ni mchuuzi nadhani
Sisi wenye viwanda tunajua mapungufu ya vingozi juu ya uchumi waviwanda ni prosser maarum unatakiwa ifutwe ukiwa mchuuzi utapangiwa bei na wenye viwanda na nchi Haiti na fedha za kigeni mpaka wananchi ikiwa hakuna xpot input uchuni utakuwa wa kubatisha
Masoud akili kubwa sana. 👏🫡
Hii nimeipenda wote tunakombania vipesa vya serkalini ndiyo maana tunaiba na magereza zinajaa
Nahisi kuna kitu hakipo sawa kwenye system zetu na kikubwa ni kwamba ao walioko juuh wengi wahaelewi biashara nin nin na jinsi gani mfanya biashara anateswa na hizi kodi. Ni wakati sasa tukae na tutafakari jinsi ya kulipeleka taifa mbele. Mungu Ibariki Tanzania 🇹🇿
Masoud Kipanya umejieleza vizuri sana.
Kwa tanzania ukitaka kufanikiwa tafuta namna ya kukwepa kodi...nazungumza kama mfanya biashara kwa uchungu...unafanya biashara na huku unalipa kodi zinazo fanana ...sevice levy at the same time TRA huo nibmfano. nchi hii ukitaka kuendelea usirasimishe biashara yako kamwe...ni vitu vya hovyo mno na serikali inajua haswa uovu unafanywa na wizara tofauti...sasa unajiuliza ni shule gani hi wanaenda kuendesha nchi kwa namna hii...kila unapojarbu kunzisha biashara ni changamoto za hovyo...jaman wa atendaji wa serikali badilikeni akili za namna gani mnatumia jamani..?
Ni sahihi,atakayekubishia jua hajawahi kujiajiri kabisa.
Masoud kipanya MUNGU akubariki ktk mapambano yako
Well said Masoud, msema kweli mpenzi wa Mungu.
Masoud we2 ni noma umejuaje wanatuibia kupitia tozo za ajabu ajabu.We utakuwa Raisi wangu baada ya samia
Anaongea point halafu watu wanapitapita kupoteza concentration inaboa kinyamaa
Huyu dada anasemea juu ya kodi eti "....sasa hivi wameanza kutujia kwa njia nyingine..", hajui kwamba ni Waziri akiwa sehemu ya Serikali ndiyo wametunga hizo sheria ambazo zinavifanya hivyo vyombo vilivyoanzishwa na serikali yenyewe "kuja kwa njia hizo nyingine" za kuhakikisha kuwa hizi SMEs zinaminywa ktk kulipa huo ushuru na kodi? Anadhani anazungumza na chombo tofauti na serikali!!
Hapo ndo wenzetu majirani wameona ni siasa hivyo tuwatingishe wawajibike ktk matumizi ya kidogo kinachopatikana na siyo kumnyonya mwananchi na mlipa kodi!! Tubadilike tujue watesi wetu kuwa ni hao tuliowapa madaraka ya kutuongoza ndo wanapofika huko wanajali vya kwao posho na magari ya anasa!
Wananchi wanatumia akili na maarifa mengi kubuni na kuendesha biashara, badala ya kusaidia hawa wenzetu wanatafuta kila njia kukusanya ili wajilipe mishahara mikubwa. Siku za nyuma magari mengi yalikuwa ya serikali (ST), sasahivi magari mengi ya kifahari mitaani ni ya watu binafsi wengi wao wafanya kazi serikalini.
Thanks
Kaongea vizuri kabisa Masoud atuwezi kua na free economy kwa kutegemea importation tu ifike mahala tuwe patriotic as Tanzanians
Sasa hivi ni mwendo wa frames kila sehemu na kufuata bidhaa hafifu China.
Brother, lithium batteries hazina kodi. Waziri wa fedha mwaka jana walifuta kodi, soma budget ya wizara wa fedha mwaka jana.
Wakenya Wana msemo wao "...things kwa ground ni different"
Tatizo la Mama anawapa uwaziri watu sio hawana Vision sio lazima mtu awe ccm huo ni ujinga tunataka mtu mwenye vision kama Masoud huo mduara wa kupata lesen ya biashara it’s too much unalipia nusu na robo ya msingi wako wa biashara kabla ya kupata lesen .Mama Samia Leta watu Dubai waje wasome vipi Serikali zao zimejipanga Katika masuala ya kodi Dubai siku moja tu au mbili unapata lesen hakuna longolongo Mama Samia una Mawaziri mizigo hebu changamka kdg unacherewa sana Dunia inakwenda kasi sana
CCM hawawez kitu wao wanasubil mikopo tu ya world bank hao hawawez wiz tatizo sasa kila kitu tabu sasa wanaweza nn
Daaah ni wakati wa serikali kusuport hizi small industries ili waweze kuzalisha zaidi then walipe kodi sio unaanza tu mikodi mixer tozo kibao kwakweli inaumiza sana asee
Yes Masoud
Big up KP
Masoud wow ,excerent
Masoud doesn't get support coz he's free, he's no puppet
You're smart son
Kipanya Hongera sana
Sawa
Kiukweli kama kutakuwa na dirisha moja la ulipaji kodi wengi wataipa serikali kodi tena bila shaka maana mm ata kama nina kigari changu nikaambiwa kodi yangu ni 100000 mwaka mzima apo kila mtu kashajikatia chake kuna shida gani sisumbuliwi ila ao wanaopenda kuyafanya mambo yanakuwa magumu ili kujipatia rushwa wanakera
Hii point ya kama hauna kitu cha kuuza nje lazima uwe mchuuzi na kuangalia kuibiana nyinyi kwa nyinyi
Kweli kabisa masoud uchumi haukuzwi kwa kununua vitu nje bali kwa kuuza nje.
Na kwa kweli si policy peke yake. Pia inatakiwa budget maalum ya Serikali ku saidia start ups. Zisukumwe na Serikali. Ndio Nchi nyingine zinefanya hivyo
Kwan haliyekuwepo kafanya nini mpaka ndo mje kumpa huyu hayo yote jaman
Tatizo ni mama muongeaji baadanya Masudi
Amejikita kwa wanawake tu sijui hii dhana wa wanawake kijibagua kwa ila kitu inatoka wapi"
Kila kitu mwanamke mwanamke
Masud kaongea hajasema wanaume hata sentens moja lakini mama kaingia kutetea wanawake 'basi wangeandaa mkutano wa wanawake .
Kweli hii haipendezi kabisa wote hapo ni wazalishashi hakuna jinsia 'kodi"tozo wala soko la wanawake pekee.
Ameniboa sana yule Mama,wao kila sehemu wanaleta siasa za jinsia tu hadi kero. Kipanya anazungumzia nafuu kwa wote yeye anakazana wakina Mama hivi wakina Mama vile,hovyo kabisa.
After 60 years bado tunajadili mambo madogo
Najiuliza tu Hawa mawaziri waliopita walifanya Nini
Bright mind Bw KP
Mama entango see u back there😅
Ndomana mwaijaku alimuomba radhi
Mtafute I Mchina awekeze kutengeneza batteries
Ukweli upo kwenye ushindani sisi na majira Zetu. Tz angalia vitu kama chunvi, sabuni. Kenya kwa kiasi kikubwa kwa soko letu. Angalieni malighafi bei zake. Ni kikwazo chetu.
Aaahha Wacha tulime TU ,
Tulipa Kodi mpaka kwenye umeme Sasa hivi ukinunua Kwa mwezi unakatwa 4500
Kwa nn zote hizo 13..na kwa nn wapate shid ya kulipa kiasi icho
Alafu chawa anakuja kuchafua brand maana chawa angepewa nafasi hapo angeanza umepoa sijui ghorofa bilioni moja ushuzi mtupu
Shati kama hiyo ya masoud napate?
Eti kuna wasomi Tz heee kweli yangu macho kuiba safiii
Ndo na sukari wanaagiza nje corona ikitokea sijui itakuaje
CCM hawawez kuendesha kitu hawa sio kila viwanda vilivyokua nchin wameviua wao wanasubili wapewe mikopo na kuendesha magar ya mikopo tu
Sasa towa mawazo yako nani anaye weza?
@@sonnyr1899 mifumo ibadilishwe na tujitegemeee tuwe na chetu wananchi ndo wanauongoz
Viongozi waweke hela zao hadharani tujuwe
Tuone kama kuna jipya,,,
The problem with Tanzania is the system led by an old Constitution
Mazingira ya tozo kuwa nyingi inakatisha tamaa kwa wafanya biashara. Kampuni zimegeuka kuwa milking cows. Wananchi hawawezi kutoboa
Hakika Tz NZIMA ni MACHINGA WA NCHI ZINGINE HASA ZA UTURUKI ,NA CHINA MPAKA MABILIONEA NAO NI MACHINGA NCHI NZIMA AAAA HAKIKA TUNATAKA KWENDA KWENYE VIWANDAAAAA SIYO KUWA MACHINGA NCHI NZIMA AIBU
Wekeni kiwango kimoja.mfanyabiasha aambiwe ukitaka kufanya biashara fulani.utalipa sh kadhaa kwa mwaka. Sio kodi kila kona.
Mbaya zaidi mnatoza kodi kwenye mauzo ya jumla badala ya faida.
Yaani mtu hujaanza biashara unatakiwa ulipe kwanza kodi.
Wanachofahamu ni kodi tuu,
Hiyo ndo serikali yetu wanapeleka miswada bungeni na wabunge kwa maagizo ya ccm wanapitisha kisha mwananchi anaanza kulia!! Kesho hao hao wanarudi kuomba kura ili wawndeleze sera za kuminyana kutukamua ili kufadhiri maisha yao huko juu!