US, CHINA na URUSI nani KIONGOZI Teknolojia ya ANGA? Mtanzania aliyeunda SATELLITE amaliza ubishi!

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 09. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Komentáře • 181

  • @inogelapixels
    @inogelapixels Před měsícem +32

    Siti ya mbele kabsa Leo na Mimi nipeni like

  • @mwajomberobert
    @mwajomberobert Před měsícem +5

    Safi sana
    Kumbe tunao akina Musk wa Tanzania
    Big up kwake

  • @chancekambale3498
    @chancekambale3498 Před měsícem +3

    Uyu jama iko vizuri anaeleweka na anaonekana ana madini 🎉 big up

  • @directortwicep3028
    @directortwicep3028 Před měsícem +29

    Huyu jamaa yuko poa sana nchi yetu itoe sapoti basi

  • @francomwacha2262
    @francomwacha2262 Před měsícem +12

    Napenda sana mambo ya anga.. natamani umkalishe huyu mwamba pamoja na masubi wajadili kwa upana hii kitu kaka sky.. story iko interesting aisee!! 🫡

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 Před měsícem +1

      Ukishindwa kurusha satellite kuwa mchawi uruke we mwenyewe utafaidi zaidi

    • @faridhamad3678
      @faridhamad3678 Před měsícem

      ​@@alzawahirabdallah2299Dah aisee akili zako unazijua mwenyewe😂😂

  • @star_wizard2792
    @star_wizard2792 Před měsícem +15

    Brother sky chukua hi sns NI kisima cha maarifa hyuu Jamaa mpe kipindi awe anaelezea mambo ya masatelite na Habar za mambo ya Angani Huko kwa lugha yetu ya Kiswahili itakuwa nzuri Sana

  • @user-rz5ze5me1y
    @user-rz5ze5me1y Před měsícem +6

    Waislam wamekwazika kusikia Marekani ni balaa kwa anga ila ukweli utabaki kuwa huo na Mungu awajalie wasitoke hapo

    • @AlexNswila-g1q
      @AlexNswila-g1q Před 21 dnem

      Ukija kuelewa kuusu ao wamarekani bc utaacha kuwashadadia

  • @brianbaltazar6198
    @brianbaltazar6198 Před měsícem +5

    SNS mpo juu sana

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw Před měsícem +6

    Kweli kabisa Africa ipo ktk ya sayari ukiwa juu unaona Africa vizuri tofauti ya nchi zingine hazionekani

  • @Moseskoome-l1t
    @Moseskoome-l1t Před měsícem +12

    yaan huyu jamaa ni another level big love from🇰🇪🇰🇪

  • @youngbona3804
    @youngbona3804 Před měsícem +6

    Jamaa anajua sana,,inabid awe anaudhuria ofisini kwe2 #SNS kuja ku sign

  • @rashidyunus1835
    @rashidyunus1835 Před měsícem +14

    Brother Sky nina ombi anda interview ya huyu jamaa pamoja na Benjami mzee wa "NALA" TAFADHALI ANDAA HYO INTERVIEW

  • @mohammeddabwara6220
    @mohammeddabwara6220 Před měsícem +2

    Mungu. Akulinde. Kea. Juhudi

  • @mfupakhamis9751
    @mfupakhamis9751 Před měsícem +4

    M/Mungu atupe wepesi nimependa kiswahili kwenda sayasi nimependa Alaahu akbar

  • @kelvinmboya5846
    @kelvinmboya5846 Před měsícem +2

    Bro sky huyo bro anatufaa sana kwenye kuelezea mambo ya kisayanisi. Hata za kivita tulete mezani

  • @alexanderhaule7667
    @alexanderhaule7667 Před měsícem +4

    Marekani kwenye space hana mpinzani.
    1. Project Mercury.
    2. Project Gemini.
    3. Apollo program.
    4. International space station.
    5. Space shuttle program.
    Manuva yote ya orbital mechanics aligundua mmarekani kupitia hizo program.
    They learned how to live , eat , fly and longer stays in space .
    Dangerous mission zote za space kafanya mmarekani ( Apollo 13 nk )
    HAKUNA NCHI IMEFANYA MANNED MISSION TO THE MOON ZAIDI YA MAREKANI .
    Na sasa wako na ARTEMIS PROGRAM with ARTEMIS II incoming.

    • @magorymara5515
      @magorymara5515 Před měsícem

      Jaribu kufanya utafit kwanza kabla hujataja majina hebu nenda google tuone nchi ya kwanza kurusha chombo cha mawasiliano angani ni ipi

    • @user-zz6vf8ry2p
      @user-zz6vf8ry2p Před měsícem

      Nchi za ujamaa hazina tabia ya kufanya matangazo mengi nakijisifia sana kuwa wao ndio wanaweza,tumeshuhudia sana mengi waliyokuwa wakijitapa kuwa wako juu kumbe Russia anawapita kitambo

    • @alexanderhaule7667
      @alexanderhaule7667 Před měsícem

      @@magorymara5515 hujaelewa swali nenda kajielimishe kwanza bwana mdogo.

  • @user-iq5wr8fq7c
    @user-iq5wr8fq7c Před měsícem +6

    Uyo jamaa aalikwe sana ALLAH azidi kumfulia iyo elimu

  • @mwajomberobert
    @mwajomberobert Před měsícem +3

    Mwana Anga mzuri sana kutoka Tanzania
    Na pia ni mwalimu mzuri sana

  • @markoandrea-c2x
    @markoandrea-c2x Před měsícem +3

    Kaka mimi niko Namibia 🇳🇦 karibu saana nitakua mwenyeji wako

  • @officiallugano8991
    @officiallugano8991 Před měsícem +4

    marekani Baba wa TECNOLOGY

  • @mohammedkombo9798
    @mohammedkombo9798 Před měsícem +4

    Kijana wa Physics, well done 👍

  • @jacksonngusi4122
    @jacksonngusi4122 Před měsícem +13

    Dah story ua huyu mwamba ni nzuri yaani haichoshi inazid kukolea

  • @linusrichard4450
    @linusrichard4450 Před měsícem +3

    Jamaa analijua anga kisawasawa 👍👍

  • @Del_busi5
    @Del_busi5 Před měsícem +6

    Tanzania 🇹🇿 inawatu muhim sana, serikali iwalinde kwa gharama yeyote ile

  • @michaeljuma254
    @michaeljuma254 Před měsícem +2

    Aaiiiseee very impressive

  • @RichWise671
    @RichWise671 Před měsícem +2

    #Chief_Godlove
    Mwezeshe Huyu Jamaa
    Aikombowe Africa kupitia
    #Tanzania🇹🇿

    • @luganomunuwavanu9369
      @luganomunuwavanu9369 Před měsícem

      😅😅😅

    • @emaneez
      @emaneez Před měsícem

      Huyo jamaaa. Yupo chini ya azam . Na ndio fundi mkuu mitambo ya azam media . So hayupo kinyonge hata robo . Nenda azam utamuona .

  • @francomwacha2262
    @francomwacha2262 Před měsícem +12

    Huyu mangi ana uthubutu sanaa... inabid mawazo yake yafanyiwe kazi Ata kwa faida ya kizqzi kijacho

  • @noahkamendu9081
    @noahkamendu9081 Před měsícem +3

    Kweli kaka ilo jiwe (KIMONDO) liko mkoa wa SONGWE , wilaya ya MBOZI , Kijiji Cha NDOLEZI

  • @husseinbunu8581
    @husseinbunu8581 Před měsícem +8

    Wa kwanza kuangalia like

  • @user-gx4jx4gv9l
    @user-gx4jx4gv9l Před měsícem +4

    Dah!uyu mwamba yupo vzr namfatiliaga sana.

  • @Mtumishi755
    @Mtumishi755 Před měsícem +6

    Naiomba Serikali ya Tanzania mumuangalie huyu Kijana Leonard Shayo kwa jicho la pekee kwa kumsupport kufikia malengo yake kwa Taifa. Mama Samia nakuomba umuite na kuongea nae yale anayohitaji ili kufikisha malengo yake kwa Taifa.

    • @ce-08
      @ce-08 Před měsícem

      Umeongea vizur sana ila serikali yetu Bado upo nyuma kusuport wazawa

  • @eliudkazoba5170
    @eliudkazoba5170 Před měsícem +1

    Safi sana Ndugu yetu, pambana ndoto yako itimie.

  • @ramamabinda5063
    @ramamabinda5063 Před měsícem +5

    Daah aisee nmefrah sana

  • @hamadiselemani8665
    @hamadiselemani8665 Před měsícem +1

    Good Idea Bro, Nakuombea Sana Iwe Ivyo

  • @ManusuraWalumona
    @ManusuraWalumona Před měsícem +5

    Kilicho nifurahisha zaidi kwa ndugu yetu kuto kutumia so!so!na viingereza vingi vingi ktk maelezo yake tunamuomba atueleze kidogo kuhusu hao viumbe wenye vichwa na miili ya ajabu eti (alliens)wapo kweli na km wapo wapo wapi?nk

  • @40kstore
    @40kstore Před měsícem +3

    Majamaa kama haya ndo usalama wa taifa wanatakiwa wawatafute na kuwapeleka mbele huko wakaibe tech

  • @Mtumishi755
    @Mtumishi755 Před měsícem +4

    Serikali ya Tanzania huyu Leonard Shayo ni Mzalendo wa kweli ninawaomba apewe support yoyote anayohitaji ili kufikia malengo yake kwa Taifa.

  • @Youngchimodzi823
    @Youngchimodzi823 Před měsícem +3

    Nilimsikia Benjamin Netanyahu,Warusi wako vizuri na mbali zaidi anga za juu kuliko wamarekani.
    Kuna wkt wamarekani walishawahi kufake wamefika mwezini kumbe sio.warusi na wachina wasiri sana wamarekani wawazi zaidi na hawachi kujisifu kuliko warusi na wachina zaidi

    • @essaongongolowo2400
      @essaongongolowo2400 Před měsícem

      Simuamini anavyosema kuwa wamarekani wapo mbali sana lakini hana facts, vita pale Ukrein imetawaliwa na tech za anga lakini U.S anakubali kushindwa how comes anasema U.S IPO juu?

  • @user-pb5fk1wy3d
    @user-pb5fk1wy3d Před měsícem +1

    Mwamba yupo vizuri sana🙌🙌🙌🙌💯💯💯💯

  • @brianbaltazar6198
    @brianbaltazar6198 Před měsícem +4

    Hiyo telescope inaitwa james web telescope

  • @muhammadmbaraka4515
    @muhammadmbaraka4515 Před měsícem +4

    Urusi kinachomuangusha ni uchumi

  • @athumanramadhan4042
    @athumanramadhan4042 Před měsícem +3

    Uyu jamaa awe gps tuh yuko vizur kk

  • @BimkubwaMohd-ef6hr
    @BimkubwaMohd-ef6hr Před měsícem +1

    Revolution

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Před měsícem +7

    Kiufupi kaka sky sayansi yote ipo kwenye Quran..ukisoma kitabu Cha Quran inakwambia Kila kitu...na mwanasayansi wakwanza dunian na wamwisho ni mtume wetu Muhammad s.w..ukisoma kitabu Cha mungu Quran ndo itakwambia Kila kitu

    • @user-it7ih1it3m
      @user-it7ih1it3m Před měsícem +4

      Muhammad aligundua nini mzee😂😂

    • @FrankKashamakula-xb1pc
      @FrankKashamakula-xb1pc Před měsícem +1

      Uongo tuu

    • @beardedalade
      @beardedalade Před měsícem +2

      😂😂😂😂😂😂 Mohammad alifanya nini katika sayansi?

    • @FreeGod368
      @FreeGod368 Před měsícem +2

      ​​@@user-it7ih1it3m hata mfuasi wake ajawai gundua kitu..wafuasi wake ndo watu wakwanza kugundua Biriani..izo bla blaah za kuran mbona hawajawai kugundua hata kufuli

    • @yusuphkidoto6766
      @yusuphkidoto6766 Před měsícem

      😂😂😂😂eti wafuasi wake waligundua bilian duuu​@@FreeGod368

  • @danvannyzawad6452
    @danvannyzawad6452 Před měsícem +7

    Nasema huyu jamaaa ndio mkombozi wetu

  • @paulhema5713
    @paulhema5713 Před měsícem +2

    Mama Samia chukua huyu mtu....turushe satellite yetu

  • @RAMAMOHA-vn9xv
    @RAMAMOHA-vn9xv Před měsícem +2

    huo uchambuzi mnaanza saa ngapi tafadhali naomba kujua

  • @eliasaNgahehwa-l2f
    @eliasaNgahehwa-l2f Před měsícem +4

    Alieanza kaanza tu

  • @SaraphinaKidoti-qe7gi
    @SaraphinaKidoti-qe7gi Před měsícem +3

    Sky bn acha uwongo hujawai skia kimondo mbeya 😊

  • @benedictinelusambo069
    @benedictinelusambo069 Před měsícem +5

    Sasa hao roboti wa marekani wanafanya kazi kwenye sayari ya mars usiku na mchana wanafanya kazi gani huko??

  • @mtoramazani9641
    @mtoramazani9641 Před měsícem +1

    Mwambie huyo jamaha vitu vyote vyaku peleka vyombo vyote ewani vinatoka urusi huyo asome vizuri mwenyewe Elon aja fanakiwa pamoja na kampuni yake kupeleka chombo angani nipo marekani mimi sihitaji kudanganywa na mtu kuwadanganya wengine!

  • @danielsostenes1640
    @danielsostenes1640 Před měsícem +2

    Marekan ajawai peleka mtu mwezin. But mambo ya anga mrusi alkuaga hatua mbele kwa marekan alkuaga mbali sema mpasuko tu

  • @mazindehashimu4430
    @mazindehashimu4430 Před měsícem +3

    Ni kweli kwenye teknolojia ya anga Sasahivi anayeongoza ni marekani. Urusi kwa Sasa kawekeza zaidi kwenye silaha, mambo ya anga aliachana nayo kwasababu aliona hayana umuhimu nayo kwasababu alishawekeza hapo mwanzo.

    • @allykwaya
      @allykwaya Před měsícem

      Kabisa. Waende warudi Urusi mbele ya Muda kitambo

    • @georgekimasa7393
      @georgekimasa7393 Před měsícem

      Yaani nyie bhana 😂😂😂 lakini tunajuwa mnavyosema hivyo mnamaana Gani kulingana na majina yenu pia mnacho takiwa kujuwa hata hizo Silaa za kivita zinategemea teknorojia ya anga na Marekani ndiyo anamiliki hiyo anga Kwa kuwa na teknorojia ya hali ya juu hivyo hata kwenye mambo ya utengenezaji wa vifaa vya kivita Bado Marekani Yuko juu na huwezi kumfananisha na huyo mrusi.

    • @essaongongolowo2400
      @essaongongolowo2400 Před měsícem

      Anga ndo kila kitu Urusi hawezi achana na mpango Huo.

  • @ajsmainde5138
    @ajsmainde5138 Před měsícem +2

    sky unawatoa wapi hawa watalaamu 🎉🎉🎉

  • @PaulMasega-yy3sz
    @PaulMasega-yy3sz Před měsícem +2

    Kama universe Ina expand kwanini Dunia isemekane inajaa.

  • @deodathsilayo3639
    @deodathsilayo3639 Před měsícem +2

    Utashangaa huyu jamaa hataitwa hata itv😢

  • @mndambokilavo2502
    @mndambokilavo2502 Před měsícem +2

    Kama waafrika tumeanza kufikiria ant gravity technologies tunapoelekea ni pazuri sana ila kijana angalia hiyo technologies imepeleka watu pabaya maana unazuia ugali wa watu

  • @salumyussuf2140
    @salumyussuf2140 Před měsícem +4

    Katika uislam imeelezwa Kwa kina hiyo habar kuwa chuma kilishushwa kutoka juu hakikuumbwa pamoja na ardhi Kwa hiyo Hilo ni jambo limeshazungumzwa na uislam

    • @salimali-rf9er
      @salimali-rf9er Před měsícem

      Hakka hizo galaxy na vitu vyote hivyo vishatajwa ktk Quraan

    • @salimali-rf9er
      @salimali-rf9er Před měsícem

      Binaadam wa mwanzo ni nabii Adam, vitabu vyote Quraan na Taurat na vitabu vingine vinakubali hivyo

  • @ce-08
    @ce-08 Před měsícem +2

    Bundara kwenye mahojiano wewe ni level nyingine kabisa🎉🎉🎉

  • @mkulimatanzania
    @mkulimatanzania Před měsícem +2

    Nimewahi mapema kaka Sky tupe elimu hii inatusaidia kujua dunia na wenzetu walioendelea

  • @youngbona3804
    @youngbona3804 Před měsícem +3

    Next time aje pia atoe mawazo yake kuhusu uwepo wa aliens

  • @JamesIbrahim-el4zw
    @JamesIbrahim-el4zw Před měsícem +2

    Tata,nipo tarime,tata soma bibilia ivi Mungu ni muongo,hakuna mtu anaeweza kutoka inche ya dunia,ukiitaji nikupe vifungu vya bibilia,wanasayasi ni waongo,kama wanasema mtu alitokana na nyani,je?hilo nalo unalikubali,nakwambia ikijikita kwenye bibilia utaelewa,ila kwenye sayasi utajidangana,na kudanganya,shetan ni muongo na ataendela kundanganya,

  • @StevenTaylorx
    @StevenTaylorx Před měsícem +5

    America wakipata mtu Kama huyu ni dili..

  • @EmmanuelKibaja
    @EmmanuelKibaja Před měsícem +2

    unafaida kubwa kwangu na kwa familia yangu tutainuka kwa faida zaidi

  • @kilogreekachananawatuwasio4054

    HILO JIWE LA MBEYA SIUTARI MZURI KWETU TANZANIA NDUGU YANGU???? AWATAKUJA KULICHUKUA WAZUNGU HILO JIWE ????

  • @africanmandetraveler2847
    @africanmandetraveler2847 Před měsícem +3

    Akipata nafasi ya kwenda mambele bora asaini mkataba na NASA au kitivo chochote Sayansi nchi yeyote ile bongo watamchukulia poa tu na kumpa masifa ya uongo au hata kumuondoa kwenye sayari ya dunia kisa tu anakipaji.

  • @greyuhagile5051
    @greyuhagile5051 Před měsícem +1

    Jamaa hachoshi kumskiliza ...arudi tena

  • @lourykibudu
    @lourykibudu Před měsícem +2

    Sky tunaomba muengeze huyu jamaa akipata mda kwenye GPS tafadhali tunajua Yuko busy but akipata mda

  • @DjskillsTboiyprincess
    @DjskillsTboiyprincess Před měsícem +2

    Gps mnaweza kumuongeza jama apo

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 Před měsícem +2

    Science haijaanzia Misri. Science imeanza na viumbe Wa Kwanza kuumbwa. Mbingu ni viumbe, sayari ni viumbe, watu ni viumbe. Kwahio ndani mwetu ndo kuna science.

    • @salimali-rf9er
      @salimali-rf9er Před měsícem

      Hilo nalikubali, viumbe wa mwanzo jamii, BIN, MIN, NA MAJINI walkuwa na sayansi ya hali ya juu kanisa

  • @muhammadmbaraka4515
    @muhammadmbaraka4515 Před měsícem +1

    Hio rocket ya Tanzania mbona sjawahi iona

  • @eliasaNgahehwa-l2f
    @eliasaNgahehwa-l2f Před měsícem +2

    Mi ni urusi bana

  • @mussamkanga3329
    @mussamkanga3329 Před měsícem +1

    Sky kaka Wewe unajuwa

  • @danvannyzawad6452
    @danvannyzawad6452 Před měsícem +2

    Mwite huyu na benjamin wa nala

  • @ELVISCHACHA
    @ELVISCHACHA Před měsícem +1

    Je Rocket, inawezaje kukaa juu mda mrefu? Namaanisha inachajiwa au?

  • @lovenessvisent9408
    @lovenessvisent9408 Před měsícem +2

    Sisi tukisomesha wanafunzi nje wakirudi wanakuja kutuchapa kuingia mikataba mibovu ya matumbo yao kuongeza kodi kwa masikini na matajiri kusamehewa kodi

  • @user-lf1bd4vj9c
    @user-lf1bd4vj9c Před měsícem +2

    Wachina wanacopy balaa shida yao ni ranks za quality za bidhaa zao tu.

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw Před měsícem +2

    Kweli kabisa wachina wamesambaa kote wapo kama siafu Sisi waafrica wavivu Sanaa kufikili na kujaribu.sisi tunakimbia pesa Tu hii ndio akili yetu watu wenye kufikili hawasaidiwi na jamii wala serikali wanaangalia tu serikali inaangalia udalali kuuza Mali za nchi mikataba mwisho baadae hao wanakuja kudai mabilioni wananchi tupo tunaangalia akili za kinyama

  • @viootanzania9080
    @viootanzania9080 Před měsícem +2

    Yusuph from dodoma

  • @DM_15
    @DM_15 Před měsícem +1

    Kama wameanza ku mong'onyoa hiomiamba huko angani tumekwisha kunasiku tutashuhudia juatuu usiku na mchana haitakuwepo tutachomwatuuu na jua

  • @geraldluiso6792
    @geraldluiso6792 Před měsícem +2

    Sacred Geometry.
    US,get high tech Israel and Russia then China. So that Israel continues to lead in technology.

  • @Olaiserriomunyak1059
    @Olaiserriomunyak1059 Před měsícem +1

    Jiwe la chuma? Kwa hiyo kule Mars kila kitu ni chuma? Mimi sielewi?

  • @duasaidi6676
    @duasaidi6676 Před měsícem

  • @hamishatibu699
    @hamishatibu699 Před měsícem +2

    Ongera xna kwa wote, Mwanasayansi wetu anaitaji saport kubwa xna, aya yote Quran imemaliza kuyaelezea japo kwa ufupi, na ili tufanikiwe lazima tuludi kwenye maandiko zipo Aya za sayansi ya anga ktk Qur zitamfaa xna ktk juhudi zake ili aweze kufanikiwa kwa wepesi, luksa ipo wazungu wanazitumia na wanaweza kufanikiwa,

    • @FrankKashamakula-xb1pc
      @FrankKashamakula-xb1pc Před měsícem

      Acha uongo

    • @FreeGod368
      @FreeGod368 Před měsícem +1

      Hakuna muislam aliwai gundua hata kufuli broo..waislam mmegundua biriani pekee..ingekua kuran ina maarifa ugunduz ungeanza uarabuni..

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 Před měsícem

      Waarabu wenyewe na kusoma KWAO iyo sayansi ya Quran LKN wana hire wazungu ku develop vyombo vyao vya anga,,,SASA iyo Quran inamsaada Gani ikiwa HATA mbudha WA china anawachapa waarabu

  • @mtoramazani9641
    @mtoramazani9641 Před měsícem +1

    Hajui chochote huyo mpumbafu!

  • @krisantmwaipungu1434
    @krisantmwaipungu1434 Před měsícem

    Ungesema ni south Africa kwa sababu uraia wa Elon musk ni wa nchi mbili. South Africa and USA

  • @AlexNswila-g1q
    @AlexNswila-g1q Před 21 dnem

    Kipo mpaka leo

  • @josephkostans9128
    @josephkostans9128 Před měsícem +1

    Kwa tecnolojia ya anga na kijeshi Russia yuko mbele milele daima. Bado hamjasema meusi amewekeza angani katika engle muhimu tu hivyo mrusi anaweza kulitawala anga tofauti na marekani soon mtajuwa Putin aliposema anaweza kushusha fatalities za marekani zote alikuwa anamaanisha nini. Russia Ndio dola kubwa zaidi kuwahi kutokea dunia. Bado hamjasema vizuli

  • @issakawaya8315
    @issakawaya8315 Před měsícem

    Yes

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m Před měsícem +2

    Ila Russia iko juu sana, usije ukajaribu kumpuuza huyu jamaa. Yuko mbaliii sana!!

  • @user-mk8ld6zs2q
    @user-mk8ld6zs2q Před měsícem +1

    Mangi mangi

  • @MussaRobart-w2y
    @MussaRobart-w2y Před měsícem +1

    Amerca mjanja wengine watakuja

  • @hamzahuseni2555
    @hamzahuseni2555 Před měsícem +3

    Huyu jamaaa mwangalieni atafilisi mchi ushauli wangu akamatwe aachiwe 2050 tz itakuwa imepiga hatua siyo kwasasa 😂 tutakosa vituo vya afya

  • @OsamSaleh-k3v
    @OsamSaleh-k3v Před měsícem +4

    🇷🇺

  • @goodluckmsoka3660
    @goodluckmsoka3660 Před měsícem +1

    Ilo swali kamuulize Dj pia tuone naye atajibu nn

  • @jacksonmsendo3478
    @jacksonmsendo3478 Před měsícem +1

    Kichwa sana uyu jamaa

  • @iam_sami
    @iam_sami Před měsícem +2

    Kama jiwe aliligundua mwanakijiji kwa mgunduzi awekwe mzungu …???

  • @user-we9ut9ih6m
    @user-we9ut9ih6m Před měsícem +1

    Angani hawatumii kilometa wanatumia light-year

  • @shijakuligi2674
    @shijakuligi2674 Před měsícem

    Kaka hapa unatakiwa kurudi kwa maelenzo zaidi na kukubali ila sija toshoke naomba siku na muda jamami utakayo Rudi na sisi utupe nafasi ya maswali .

  • @omarchaijefwa729
    @omarchaijefwa729 Před měsícem +4

    Sasa mbona hamjadili ubora wa ujasusi au intelligent ni Russia

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari Před měsícem +3

      Hapo kinachozungumzwa ni sayansi ya anga za ujasusi wa nini

    • @Eng2460
      @Eng2460 Před měsícem +1

      umesikiliza mada ni nini???

    • @donaldmgunda4970
      @donaldmgunda4970 Před měsícem

      ​@@Eng2460mwachee huyoo kibaraka Russia atasubir sanaaaa

    • @nizarrama225
      @nizarrama225 Před měsícem

      Kusubiri nini 😂​@@donaldmgunda4970