Mtanzania aonesha A to Z jinsi alivyoisuka satellite yake na kuifanyia Majaribio

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 08. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Komentáře • 355

  • @admiralaggrey6094
    @admiralaggrey6094 Před 2 měsíci +7

    Jamaa ameifanya sayansi ionekane ni kitu rahisi especially kwa sayansi kama hizo ambazo huonekana kuwa ni ngumu sana kama sayansi ya satellite na rocket. Asante sana kaka kwa kutufungulia njia maana umetupa picha kuwa ata bongo kuna mabrain mijitu yenye akili kubwa ila hawapati Njia au where to start. Serikali kupitia research center au science department sijui but we need to invest Big kwenye izi talent. Kumbe Mungu Tanzania hakutupa tu utajiri wa rasilimali pia Vipaji vipo.
    Again.. kaka tunakushukuru sana, u just made it look so easy ata mimi nimetamani kusomea yani tofauti kabisa na walimu wetu wanavyotufundisha science
    SnS asante pia this Content is the Real DeaL

  • @castroydaimon3107
    @castroydaimon3107 Před 2 měsíci +28

    Daaaah! Haya ndo mambo napendaga kuona na kusikia... safi sana kaka

  • @Mtumishi755
    @Mtumishi755 Před 2 měsíci +26

    Hongera sana brother Lenard , wewe ni hazina ya Taifa

  • @GeorgeKiba
    @GeorgeKiba Před 2 měsíci +30

    Kazi nzuri Afrika inawezekana kama Serekali zita kusanya vipaji na ujuzi mbali mbali kwa ubunifu.

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 Před 23 dny +4

    Mungu akuinuwe kijana mwenzangu ❤

  • @hassanmsangi4149
    @hassanmsangi4149 Před 2 měsíci +17

    FUTURE MAN ON SPACE FROM TANZANIA IS COMING

  • @EmmanuelKivuyo-mx3cw
    @EmmanuelKivuyo-mx3cw Před 2 měsíci +17

    This man is very genious we need such engineers and not politicians

  • @samsonjohnhoswe2891
    @samsonjohnhoswe2891 Před 2 měsíci +5

    Nimefarijika sana, ingawa sijui watamtumiaje ili kuinufaisha Tanzania yetu na Africa kwa ujumla, Mungu ibariki Africa Mungu ibariki Tanzania.

  • @55goodmen
    @55goodmen Před 2 měsíci +20

    Huyu Dogo ni Genius sana !!! Una feel kabisa kuwa ana knowdge zaidi!! Nasikia kutoa machozi hawa ni Almasi kwa Africa..anaitaji back up kali sana. Nimeshuudia uvumbuzi kibao lakini system zina let down sana,...TUKIACHA ROHO MBAYA, WIVU, CHUKI, NA UKANDAMIZAJI, KULOGANA....Hawa ma genius wanaweza kabisa.

  • @nicholasamuyunzu7246
    @nicholasamuyunzu7246 Před 2 měsíci +3

    Mimi mkenya lakini nimependa Sana anachokifanya huyu kijana daah,hawa ndio watu tunahitaji kwenye jambi zetu hapa AFRICA hongera Sana brother may God grant good health and long life we need you to inspire the current and coming generations aasante Sana I love this....hata sijui la kusema....

  • @YesseJames
    @YesseJames Před 2 měsíci +6

    Huyu jamaa tuko vizuri, nafurahi sana!!! Kuona Mtanzania anavyofanikiwa, tupate vijana wengi kama hawa, Mungu ibariki Tanzania

    • @batholomeothomas6059
      @batholomeothomas6059 Před 2 měsíci

      Vijana wapo wengi sana wenye uwezo mkubwa sana wakifanya vitu kama hivi ukweli nikwamba serekali yetu haiko tayari kusaidia vijana wenye vipaji kuwaendeleza

  • @user-wy4su3oc6r
    @user-wy4su3oc6r Před 2 měsíci +9

    Amna kitu bora kama kuwa mzalendo ,umesoma lkn ukarudi Tanzania kuonyesha ulichokipata kazi nzuri zana tukipata vijana kama wewe kumi ambao wamesoma njee na kufika kiwango ambacho umefika na kurudi nyumbani kuendeleza ujuzi Tanzanian tutapiga hatua kubwa sana big up sana

  • @Burner_Acc
    @Burner_Acc Před 2 měsíci +54

    Msomi, genius, Kiswahili kimenyooka anatumia lugha kwa ufasaha wala halazimishi kingereza. Njoo kwa Std 7 failures, anataka kila neno aweke kingereza huku hajui na matamshi hawezi

    • @CastoryKapinga-nb7ht
      @CastoryKapinga-nb7ht Před 2 měsíci +6

      HAHAAA MWQMBAAA UMETISHAAA UMEONGEA KWA UCHUNGU HAHAAA

    • @user-cm9lm4mj7v
      @user-cm9lm4mj7v Před 2 měsíci +5

      Dah kweli kabisa yan kiswahili kimenyooka na ana eleweka

    • @ZeProDJay
      @ZeProDJay Před 2 měsíci +8

      Hasa ma slayqueens wetu hawa ni shida sana You Know, You Know zinakua nyingi sana kwenye maongezi kiingereza cha kuunga unga sana wanatishia watu... Ila wasomi wenye akili hawana hizi mbanga, kuna jamaa mmoja yule anafanya kazi Boeing ni m Tanzania nae ukicheck interview yake anaongea kiswahili fasaha tu na amekaa sana USA miaka mingi..

    • @frankkessy1260
      @frankkessy1260 Před 2 měsíci +1

      @@ZeProDJay hao target yao ni wazungu

    • @DjmubaTechServices
      @DjmubaTechServices Před 2 měsíci +2

      wewe jamaa umeandika nilichotaka kuandika 😂

  • @madaiincubationcenter4947
    @madaiincubationcenter4947 Před 2 měsíci +14

    Hongera sana huyu ndio msomi wa vitendo hajaenda kukariri kama walio wengi wafanyavyo, wenye kujaaliwa wamsaporti aweze kulikomboa Taifa ktk masuala haya ya kisayansi ya juu

  • @ushindisamweli3286
    @ushindisamweli3286 Před dnem +2

    Napenda sana kuona nasisi tunafanya mambo ambayo tulikuwa tunayaonaga kwa wazungu naipenda Tz

  • @harryson4823
    @harryson4823 Před 2 měsíci +5

    Kinyange to the word. Keep moving mate. Home boy

  • @Views-mf8ir
    @Views-mf8ir Před 2 měsíci +3

    Well done home Boy ..
    Kazania apo apo ..
    Nenda Kenya tu apo utapata nafasi na pesa nyingi kwa kazi yako hiyo ..!!
    Kibongo bongo bado tuko busy tunasifu na kuabudu kwanza ...!!
    Hawawezi kukuzingatia zaidi zaidi watakukwamisha na kukuvuruga tu ..

  • @eliyangereja1880
    @eliyangereja1880 Před 17 dny +2

    Hongera sana Mhandisi. Una uwezo mkubwa... mambo haya yapewe heko, tunakutakia mafanikio makubwa sana.

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 Před 2 měsíci +30

    Huyu ndie alitakiwa kuwa pale TCRA

  • @JosephMpangala-wd5mp
    @JosephMpangala-wd5mp Před 2 měsíci +8

    Huyu amesoma ameelimika, anaitendea kazi elimu, wasomi wengi iko kwenye makalatasi, Mungu akubariki sana, songa mbele tunakuombea.

  • @nsuriitv2468
    @nsuriitv2468 Před 2 měsíci +26

    Huyu si anastahili kutunikiwa Phd jamani... Au wadau mnaonaje🤔🤔🤔

    • @robyisondo834
      @robyisondo834 Před 2 měsíci +2

      Kabsaa kuna wengine wana Phd hakuna hata la msingi anajua za notes tu mpe practical sasa

    • @MocDomy-qn6th
      @MocDomy-qn6th Před 2 měsíci +2

      PhD Tanzania ni mpaka avuke viwango vyote vya fitna

    • @liseprimaryschool2596
      @liseprimaryschool2596 Před 2 měsíci +1

      Anayo tayari

  • @simwingaonlinetv1994
    @simwingaonlinetv1994 Před 2 měsíci +16

    Watanzania hawawezi elewa coz hii field hawaijui wachache sana watakuelewa but hongera sana broo umeni inspire sana umetumia alot of money, time keep it up

    • @Piuspaul123
      @Piuspaul123 Před 2 měsíci +1

      ​@@ollymagicswabongo wapi hao wengi unaowazungumzia wewe, shida yetu sisi hatupendi kuona mtu akifanya jambo likafanikiwa tunaanza kwa kukatisha tamaa kwa kuonyesha kuwa yeye sio wa kwanza,

    • @samsonhenry3871
      @samsonhenry3871 Před 18 dny

      @@ollymagicsKumbe hujapendezwa mkuu😂

  • @peterjustin1237
    @peterjustin1237 Před 2 měsíci +11

    Kaka Leonard shayo upo 1 tu Africa nzima🌟💪🏾

  • @johanesemmanuel4655
    @johanesemmanuel4655 Před 2 měsíci +5

    Dah,nimefarijika na kufurahi sana Asante sns Asante kaka yetu kwa Ubunifu huo sisi ambao tuko kwenye industry ya tech tunajua ugumu upi umeupitia mpaka leo hii wazo lako unalifanikisha.Big up brother usikate tamaa,tuko pamoja nawe

  • @wakujawakuja310
    @wakujawakuja310 Před 2 měsíci +26

    Hii inamaana jamaa anaweza kutegeneza vifaa vinavyo tumia umeme na mawasiliano, ikiwemo simu, computer, TV, Redio Nk.

    • @user-hz9mu7fm4b
      @user-hz9mu7fm4b Před 2 měsíci

      kabisa... mwamba ana Ndoto kubwa ni balaa hivyo ni vitu vidogo kuliko Satellite jamaa anajua Mungu amemariki sana🙌🙌

  • @MahaHassan-zn5vp
    @MahaHassan-zn5vp Před 2 měsíci +5

    Hongera sana kaka kwa kazi mawazo nakizi ulizozifanya pia hongera kwa matumizi mkubwa ya lugha ya kiswahili katika mauala ya sayansi ya anga

  • @CharlesKiwia
    @CharlesKiwia Před 2 měsíci +3

    Hongera Sana Shayo ,Talent hii niliiona kwako ukiwa form two .Mungu akufunike Mzee we ni Taasisi.

  • @italaclan7833
    @italaclan7833 Před 2 měsíci +5

    Tunasema tumshukuru Mungu na atuinulie bijana kama hawa,pia serikari inapaswa kuangalia vijana kama hawa na kuwapanguvu vijana wote wenye uwezo wa kutengeneza kitu chochote cha maendeleo ya kiuchumi watumiwe na serikari yao tuweze kujitegemea maana madini tunayo yanayo sapoti vitu vingi vinavyo husiana na sayansi tunaomba serikari itoe nguvu kwa wavumbuzi wote..Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿 tuvbariki na vijana wa Afrika.

  • @user-fn6fs8oy5l
    @user-fn6fs8oy5l Před 2 měsíci +5

    Hongera sana haya ndio mambo ya kutuletea elimu hii ni nzuri.Asanteni

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam2491 Před 2 měsíci +13

    Izi ndo habar sasa! Big up sns!

  • @LucasMwijage-oc5nx
    @LucasMwijage-oc5nx Před 12 dny +2

    Kazi njema,Songa mbele kwa maono makubwa juu ya TAIFA lako.Viongozi wa Nchi wa kuone.

  • @Boyhoodking
    @Boyhoodking Před 2 měsíci +7

    Katika wavumbuzi wote Tanzania huyu nampa namba 1 kwasababu uvumbuzi wake umeambata na taalum haswa ie professional inventory

  • @user-sj7su2fb5i
    @user-sj7su2fb5i Před 26 dny +3

    Hawa ndio wangekua wanapelekwa nje kupata ujuzi zaidi kwaajili ya maendeleo ya taifa , sio kumpelekea wema sepetu kwaajili ya bongo movie.

  • @jotafungo4622
    @jotafungo4622 Před 2 měsíci +12

    Hongera mkuu,serikali mtumieni huyu mtu

  • @musakalangahe6876
    @musakalangahe6876 Před 2 měsíci +2

    Inafurahisha na Mungu abariki ndugu yetu huyu na watu wote ktk vipaji mbalimbali. Safi sana Mr Shayo

  • @bishweko
    @bishweko Před 2 měsíci +3

    Allah atupatie Watanzania 10 kama huyu. Na uongozi kama wa Magufuri. TANZANIAN tuko mbele sana.

  • @Fredrickrobson01
    @Fredrickrobson01 Před 2 měsíci +2

    DIT is the best school for engineering Tanzania ,thanks bro all the best in you ideas

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m Před 2 měsíci +1

    Aise hongera sana!! Ahsante. Ww ni mtanzania kweli. Kiswahili kizuri. Hongera sana. Mungu akutangulie siku zote. Amen.

  • @Ufahamu-01
    @Ufahamu-01 Před 2 měsíci +9

    Tanzania ni nchi yenye vipaji vya ajabu sana tunahitaji viongozi makini sana ilikufikia malengo ya Taifa.

  • @RizikiMaluku
    @RizikiMaluku Před měsícem +2

    Vizuri Sana Kaka Mungu Atakuwezesha Pia Nataisapoti Hii Kazi
    Nitatoa Ushirikiano Kwa Ajili Ya Taifa Letu.

  • @JosephKapanga
    @JosephKapanga Před 2 měsíci +3

    Hongera sana kijana,nakuomba nenda Kwa Raisi wa nchi yetu Tanzania,akusaidie mtaji Ili utengeneze satellite ya nchi yetu.

  • @zidatv1122
    @zidatv1122 Před 2 měsíci +14

    Nchi yetu bado inakumbatia mafisad ,vipaji ni vingi

  • @mathiasmuhochi435
    @mathiasmuhochi435 Před 2 měsíci +4

    Engineer msomi kwa vitendo..... congratulations ndg, unastahili kutunukuwa PhD na Uprofesor

  • @AugustinoSirong-eo3yj
    @AugustinoSirong-eo3yj Před 13 dny +2

    Viruri sana.
    Tungekuwa na wasomi wa aina hii angalau wangefanya jambo.
    Ona wasomi wetu wengine wanavyovuruga taaluma zao, wanadharau utanzania wao, lugha yetu kiswahili, wamejifanya nusu wazungu kiasi kwamba fikra zao na mitazamo yao ni huko walikopatia elimu si tanzania.

  • @kiatu
    @kiatu Před 2 měsíci +5

    Halafu hajamwita waziri mkuu au rais, very humble.

  • @abdallahhamisi45
    @abdallahhamisi45 Před 2 měsíci +9

    Hatua nzuri sana
    Hii ina maana tunaweza kuwa na huduma ya Internet ya kwetu wenyewe au sija elewa hapo

    • @ZeProDJay
      @ZeProDJay Před 2 měsíci

      Inahitaji uwekezaji mkubwa tena huko umeenda kwingine kabisa bro sio rahisi kwa sera za nchi yetu hizi..

  • @cchimodzi3858
    @cchimodzi3858 Před 2 měsíci +4

    Hongera sana, watu kama hawa wenye akili nyingi wasiachwe bure, serikali iwatumie kwa maendeleo ya Taifa letu.

  • @munibullahmarunda1325
    @munibullahmarunda1325 Před 2 měsíci +3

    Kaka asante sana Sasa Tunaweza kufikia malengo ya nchi yetu

  • @bakundukizetz3880
    @bakundukizetz3880 Před 28 dny +3

    Mungu akutangulie kaka

  • @andersonchongoma1723
    @andersonchongoma1723 Před 2 měsíci +3

    Mm binafsi nakutakia heri una jambo kubwa ebu fanya jambo lako na Mungu akujalie uzione ndotozakozikiwa angani na sio mezani tena !

  • @zefamange7281
    @zefamange7281 Před 2 měsíci +4

    HONGERA SANA DOGO.SHIDA SISI WA TZ HATUWAPENDI WABUNIFU WETU WA NDAN

  • @fjoshore2547
    @fjoshore2547 Před 2 měsíci +4

    Uko sawa mkuu..... hongera ktoka Nairobi.,wetu hapa kingereza tele ila akili kama hii hamna

  • @sleifikhajjir262
    @sleifikhajjir262 Před 2 měsíci +6

    Hongera sana kaka mm pia nimesoma electronics kama wewe napia ninamalengo kama yako karibu zanzibar

  • @seraphinjosephmboya3646
    @seraphinjosephmboya3646 Před 2 měsíci +2

    Kaskazini is always headers,,,, big up brother

  • @rukiamadati336
    @rukiamadati336 Před 24 dny +2

    Tena serikali isimguse kabisa itampoteza tu Kaka yetu hongera Sana ndugu yetu

  • @bajomba2010
    @bajomba2010 Před 2 měsíci +8

    If you are tollerant of constructive critics I can join you to provide with some important info towards your success. Tuanze na challenges to encounter:
    1. Sattelite material to protect it from intense temperature variation of +100 to -100 degr centigrade.
    2. Satelite productivity is based on scanning surface if the earth which requires continous adjustment of instruments to face the intended surface sector of the earth. This needs automatic change of instruments to face the intended target area of the surface.
    3. Proper frequency for long visual line communication which is usually above vhf band (L,S, C ,X Band in GhZ) using effiently solar power provided otherwise there will be not enough power for all instruments onboard.
    4. Space is full of storms..radio/solids and hence protection of onboard instruments is important.Otherwise they will be rendered useless within minutes after delivery into space.
    These are few challenges to be addressed before we come up with practical sattelite. Otherwise lets call the step you are in as a mini weather station. A scientist has to call a spade a spade . Big up for the stage you are towards a long way of satelite making. My salute.

    • @j4gtechsolution809
      @j4gtechsolution809 Před 2 měsíci +1

      yah that is min weather station

    • @ubuntubantu2404
      @ubuntubantu2404 Před 2 měsíci

      Build your own, he doesnt have to answer none of your questions. Visit him at Olspace if you have anything tangible else you are here to prove what kind of salty hater you are.

  • @jeathjp.mwendapeke8207
    @jeathjp.mwendapeke8207 Před 27 dny +2

    kazi nzuri sana bro...keep up

  • @HamisPaul-j2r
    @HamisPaul-j2r Před 14 dny +2

    Daa kaka umetisha

  • @godfreyalphonce5646
    @godfreyalphonce5646 Před 2 měsíci +4

    Naposikia habari kama hizi za teknolojia nahisi Dunia ipo mkononi mwangu big up #SNS

  • @Ostica..Omie..junior
    @Ostica..Omie..junior Před 2 měsíci +6

    Well done bro...salute

  • @RKMEDIATZ
    @RKMEDIATZ Před 2 měsíci +12

    Mh Nape Nnauye Fanya jambo. Hii ni zaidi ya Roboti Eunice

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 Před 2 měsíci +7

      akili hiyo wanayo sasa

    • @cleasmartha5769
      @cleasmartha5769 Před 27 dny +1

      Akili ni kublock mitandao tu na kuteka wanao wakosoa

  • @barakamwangeni6589
    @barakamwangeni6589 Před 2 měsíci +4

    Tunaomba muendelezo wa ufafanuzi zaidi juu ya satalite. Pia nikupongeze Mtanzania mwenzetu kwa hatua hii.
    Niombe serikali yetu kutumia ubunifuu huu kwa Masirahi ya Taifa🇹🇿

  • @hnettech6275
    @hnettech6275 Před 2 měsíci +2

    Ni idea nzuri sana. Kwa uchunguzi mzuri zaidi haende mlima kilimanjaro pia itakuwa poa sana

  • @musicheals1545
    @musicheals1545 Před 2 měsíci +2

    mtu mmoja anafanya kazi za professional zaidi ya 2. afu kunao wawazao amapiano na kupiga vyombo tuu.

  • @emahitube
    @emahitube Před 2 měsíci +2

    Maana ya neno Genius ni Mtu mwenye Uwezo wa kuunganisha Taarifa haraka kuliko mtu yoyote kwa miundo ambayo haijawahi kuonekana

  • @salamasefu5494
    @salamasefu5494 Před 2 měsíci +6

    Serekali wapeni support vijana hawa wenye ujuzi. Wako wengi Tanzania tuna vijana wenye ujuzi wengi

  • @esterkimath1214
    @esterkimath1214 Před 2 měsíci +2

    Tupo vizuri natunapambana sana watu wa Kilimanjaro .We never give up👏👏👏

    • @NixonJohnson-zn8nk
      @NixonJohnson-zn8nk Před 2 měsíci

      Ukiweks tu u Kilimanjaro ni kosa kubwa.. Ni m Tanganyika good...

    • @NoelChambo
      @NoelChambo Před 2 měsíci

      Ukabila wa nini sasa

  • @avitmusic7318
    @avitmusic7318 Před 2 měsíci +8

    Nice..ata wao walianza kama wewe usikate tama

  • @Optionxll_Playz1
    @Optionxll_Playz1 Před 2 měsíci +3

    Safi sana mtalaam ❤, Serikari sasa ikupe hela ya hizo Project.

  • @user-gs7hd1rx4o
    @user-gs7hd1rx4o Před 2 měsíci +4

    Safi sana Sns kwa kuvitukuza vya nyumbani

  • @grevinmgaya9237
    @grevinmgaya9237 Před 2 měsíci +2

    Hongera Sanaa hatuwezi hata kulipa garama mpak hap Mungu akusaidie zaidii

  • @user-lf1bd4vj9c
    @user-lf1bd4vj9c Před 2 měsíci +2

    Kazi nzuri bro sema tu mungu akutangulie maana hill in kusudi zuri ktk nyanja ya kiteknolojia hasa ya agani.

  • @muhsinhafidh5490
    @muhsinhafidh5490 Před 2 měsíci +2

    haikuarahisi kaka kazi nzuri sana ndugu na hongera sana

  • @AmosBhujiji
    @AmosBhujiji Před 18 dny +2

    Yaaa Kazi nzuri

  • @Onlyforfun1992tube
    @Onlyforfun1992tube Před 2 měsíci +11

    Mwanangu usiende mbele wala nini piga zako kazi bongo utufikishe mbali

    • @mugapro
      @mugapro Před 2 měsíci +2

      Bongo nyoso mjomba, wata discourage sana, kama viongozi tu hawasuport

    • @Onlyforfun1992tube
      @Onlyforfun1992tube Před 2 měsíci +2

      Atobolee apa apa mdogoangu acheni mawazo ya
      koloni

    • @michaelmyaka5367
      @michaelmyaka5367 Před 2 měsíci +1

      Mbele haendi yeye mwenyewe, watamchukua hawataki mabeberu watu kama hawa wakae Afrika,utaona serikali zetu zinamuangalia tu,baadae anachukuliwa😊

    • @sebastianmwantuge5597
      @sebastianmwantuge5597 Před 2 měsíci

      Bongo wataua kipaji chake,hawana maana hawa.
      Wakiona mtu mwerevu wanafanya kila njia kumpoteza kwenye ramani

    • @Onlyforfun1992tube
      @Onlyforfun1992tube Před 2 měsíci

      Sasa ukienda kusaidia taifa ambalo lishakua Ina faida Gani saizi mbele ni apa bongo kuza chakwako kaka mbele napo palikua ivo kwasabu ya uzalendo

  • @JohnNgessi
    @JohnNgessi Před měsícem +2

    Hongera sana kaka, umefanya kitu cha pekee sana, tunajivunia wewe

  • @MeshackPanja
    @MeshackPanja Před 9 dny +2

    Hapo nimenyanyua mikono bro appriciate

  • @isaacjohn7188
    @isaacjohn7188 Před 27 dny +2

    Hello Mr Shayo i got inspired Keep up bro

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 Před 2 měsíci +13

    Huyu ndio anafaa kuwa mwalimu na kupewa professa

  • @benedictbuberwa3943
    @benedictbuberwa3943 Před 2 měsíci +2

    Vijana kama hawa wanatakiwa kupewa sapoti na tuzo .. namfikiria anayafanya haya yote kwa pesa zake mwenyewe , .. yaani natamani zile pesa wanazopewa wachezaji wa mpira kila wakifunga goli wangefanya vivyo hivyo kwa vijana kama hawa
    safi sana shayo

  • @isacktesha6659
    @isacktesha6659 Před 14 dny +2

    Sijajutia mb zangu 🎉🎉

  • @samsonhenry3871
    @samsonhenry3871 Před 18 dny +2

    Mungu akitangulie mkuu.

  • @daudimaniseli759
    @daudimaniseli759 Před 2 měsíci +6

    SERIKAL MPENI PESA HUYUU...JAMAAA ANAUWEZO MKUBWA,,KUNUNUA VIFAA NIGHARA SANA...MPENI PESA ILI AENDELEZE ALIPO FIKIA.

  • @Hezronjumacharles
    @Hezronjumacharles Před 2 měsíci +2

    Ukovizuri tunakuombea Kwa Mungu one day yes katka nchi yetu.

  • @daisythetech
    @daisythetech Před 2 měsíci +3

    Haya ndo mambo ya kusapoti na siyo Yale mambo ya sanamu ....serikali imuangalie huyu jamaa Kwa jicho la kwanza

  • @BrianWamala-lc6uk
    @BrianWamala-lc6uk Před 2 měsíci +9

    Umenimotivate sanaa

  • @patrickndizeye2190
    @patrickndizeye2190 Před 2 měsíci +5

    Kari nzuri sana

  • @hamishassan6784
    @hamishassan6784 Před 2 měsíci +2

    Mungu ametupatia vipaji hivi ni vyema serikali kupitia Jeshi letu ingevichukua na kuviwezesha kulingana na mahitaji yetu kama Nchi

  • @allywaziri7913
    @allywaziri7913 Před měsícem +2

    Safi sana na siosomi anaenda kufungua baaa

  • @ephraimkabeya9648
    @ephraimkabeya9648 Před 14 dny +2

    KISWAHILI SAAFI KABISA, HAKUNA NYODO, ELIMU KUBWA, ANATOA ELIMU KUBWA BILA KUTOA JASHO, HONGERA SANA. UTAFIKA MBALI

  • @robertchazya2351
    @robertchazya2351 Před 2 měsíci +3

    Upewe bodyguards haraka 🙌🏾

  • @eunikerodgers
    @eunikerodgers Před 2 měsíci

    if you understand something enough, you can explain it a 7yo kid, what you see is a master at work....Anajua what to talk about and what not to, he is not just a great engineer his communication skill are great, he is down to earth no ego kabisa....keep the work brother, ila hapo kwenye code tupe exp zaidi kidogo next time microsoft code ndo zipi which language exactly? tupia hizo we curious 😅😅

  • @josephdogani3419
    @josephdogani3419 Před 2 měsíci +5

    Wstu km hawa wslipaswa kupews mabilion ya pesa na kuwezeshwa ili wawe suruhisho la matstizo yetu

  • @KulwaMatiku
    @KulwaMatiku Před 2 měsíci +4

    Big up brother 🙏

  • @malcolmeliezerkanyamala3882
    @malcolmeliezerkanyamala3882 Před 2 měsíci +2

    Moja ya mapinduzi makubwa ya kiteknolojia,changamoto ni kwamba hakuna anayeshikwa mkono kuendeleza na kueneza taalaum yake kwa vizazi vijavyo na mwisho wa siku wanapotelea hewani.
    Fursa hizi zikitumika vizuri pengine siku moja tutakuwa hub ya kiteknolojia badala ya kuendelea kudumazwa na wenzetu waliopiga hatua.

  • @user-gk8gz8qi1n
    @user-gk8gz8qi1n Před 2 měsíci +6

    Hangera Sana kwa ubunifu

  • @yusuphkidevu7689
    @yusuphkidevu7689 Před 2 měsíci +4

    Nice keep Going 🤝👏

  • @samsogoye1
    @samsogoye1 Před 2 měsíci +1

    Bwashee, Umetishaaa sana, kwanza mdogo alafu ana maarifa makubwa sana. Congratulations 🎊

  • @Paplick9
    @Paplick9 Před 24 dny +2

    Brain act genius 🧠🧠🧠🧠

  • @tanzanite_info_dragon.9769
    @tanzanite_info_dragon.9769 Před 2 měsíci +2

    Hongera sana kaka hivi ndiyo wasomi tunatakiwa kuwa ndiyo tuendelee