EXCLUSIVE: KIJANA WA TANZANIA ANAYELIPWA ZAIDI YA MIL 600 MAREKANI, AMEAJIRIWA NA KAMPUNI YA APPLE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 10. 2023

Komentáře • 250

  • @SingoMedia
    @SingoMedia Před 8 měsíci +23

    Maashallah, kijana wa Mburahati. Tunajivunia kuwa na kijana kama ww yaani kutoka uswahilini hadi kufika katika mahala ambapo wengi wasingetarajia, binafsi nakujua tangu utotoni ni kijana mchamungu, mwenye nidhamu, akili nyingi na uchapakazi. Endelea kutuwakilisha vyema vijana wa Kitanzania na tunamuomba MUNGU atuletee vijana wengi zaidi wenye weledi kama wako na hata zaidi. MUNGU ibariki Tanzania, MUNGU ibariki Africa.💯💯💯

  • @shafiichipwenge6034
    @shafiichipwenge6034 Před 8 měsíci +13

    Safi sana Abuu bakar kwa kuipeperusha bendera ya Mivumoni .Teacher Msumba upewe maua yako💐🌺🌷💐

  • @willygraphics360
    @willygraphics360 Před 8 měsíci +27

    Huyu alikuwa among 10 best students in 2009 noma sana

  • @saidhamza5318
    @saidhamza5318 Před 8 měsíci +34

    Too humble,very genius, so talented 🙏🙌

  • @geeva99
    @geeva99 Před 8 měsíci +18

    Yupo kwenye class nzuri sana hata kwa San Francisco, hiyo ni second grade to 3rd grade six figure, yuko sehemu njema sana

  • @josephlyakurwa
    @josephlyakurwa Před 8 měsíci +13

    Jamaa yuko very humble, anajua sana

  • @jimboulaya
    @jimboulaya Před 8 měsíci +11

    Sasa hapo upate hawa wanaojiita Influencers ambao ulaya wamefika labda kutembea tu, Kiingereza na mbwembwe nyingi utasikia I gara I gara you know whamsayin? Mwamba anateleza na kiswahili fasaha na yuko humble tu.

    • @fredducaunt
      @fredducaunt Před 3 měsíci

      😂😂 kiingereza ni lugha tu isikutishe hata maskini anaongea kiingereza japo wapo watu wanaongea kujikuta matawi
      Au pia labda utaonekana sio mzalendo
      Kikubwa angalia hadhira na kuwa free kushare ulichonacho na watu kwa lugha yoyote inayowaunganisha

  • @kyannickk2be
    @kyannickk2be Před 8 měsíci +5

    Mortal Kombat 9 credits mwishoni lipo jina la Mtanzania ..great works

    • @TheNdaki
      @TheNdaki Před 4 měsíci

      Wow! Hii imekaa poa sikujua, Jina gani kaka??

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Před 8 měsíci +1

    Heri yake,mashaAllah 🎉🎉🎉

  • @mohammedally4378
    @mohammedally4378 Před 7 měsíci +1

    Mashallah abu hongera sana tulikuwa pamoja mtambani

  • @joycefrances4516
    @joycefrances4516 Před 8 měsíci +5

    Sana kaka,Mungu akuzidishie zaidi,akukinge naabaya yoye ufike mbali zaidi

  • @mayaalrawahy5470
    @mayaalrawahy5470 Před 8 měsíci +2

    Ma sha allah tabarak Rahman

  • @beatricejoseph2347
    @beatricejoseph2347 Před 8 měsíci +11

    Hapo kwenye kupenda connection umeongea kweli ,vijana wetu na wtz wengi kwanza hatuna uthubutu halafu ni waoga,ndyo maana wakenya na west Afrika wanazipata hixi opportunity, tutumie vzr mitandao itatutoa.

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla Před 8 měsíci +3

      waoga kujarbu afu mentality yaviongozi wetu tuzid kudidimia yani wanataka wote tuwe boda boda au watu wa kuwaza ngono ili wawe mtaji wetu kwa siasa zao ndo mana unakuta mtu ana degree lakin boda boda.

  • @mohammedbaraka9230
    @mohammedbaraka9230 Před 8 měsíci +5

    ماشاءالله

  • @samsonpaschal5044
    @samsonpaschal5044 Před 8 měsíci +7

    Interview Safi sana ...

  • @gshift83
    @gshift83 Před 7 měsíci

    Hongera sana Kaka. Be blessed.

  • @goodluckmasaawe8343
    @goodluckmasaawe8343 Před 8 měsíci +9

    Jamaa ata haringi ... mungu atamsaidia san

  • @shammhagama2527
    @shammhagama2527 Před 8 měsíci +3

    Hongera Sana kijana

  • @barakandaombwa239
    @barakandaombwa239 Před 8 měsíci +1

    hongera sana

  • @BongoVibesTV
    @BongoVibesTV Před 6 měsíci +5

    Kila mtu ana njia yake ya mafanikio tumtegemee Mungu tu

    • @TheNdaki
      @TheNdaki Před 4 měsíci

      Sahihi , nakubali 100%

  • @GloryMariki-ng6gf
    @GloryMariki-ng6gf Před 8 měsíci +3

    Genius kama genius

  • @user-vo6gm6pl3y
    @user-vo6gm6pl3y Před 8 měsíci +5

    Kaka unachokisema uko sahihi na Mwenyezi Mungu akusimamie kwa kila ulipangalo. Ila cha kuskitisha ni pale wenye mawazo wengi nima fukara na wenye hela wengi hawana mawazo labda kwa sababu ya majukum wanazo. Mbaya zaidi kwetu Wa Africa tuna ubinafsi na upatowa wazo kwa muwekezaji au wawekezaji inakuja kinyume yake, na kuishia kuwanufaisha wao na kuwaambiwa ile issues imebuma. Sijui kwa nini.

  • @ZilfatAlly-lv1rw
    @ZilfatAlly-lv1rw Před 7 měsíci

    Mashaallah

  • @muhidinkassim8574
    @muhidinkassim8574 Před 8 měsíci +8

    🌍🌍🌍🇹🇿🇹🇿🇹🇿🍏🍏👍👍👍Hongera Sana kijana ABUU BAKAR RASHID...(ALLY) .. a.k.a Mtoto wa Bibi.....dddaahh ...sheikh Mungu azid kukuongoza ..Maaana Umeelezea MAISH YAKO Kwa UCHACHE saaanaaa ..ila Kwa sisi tuliosoma DARASA MOJA... primary...(ALI HASSAN MWINYI PRIMARY SCHOOL..)🇹🇿🇹🇿🇹🇿🌍🌍 Mburahati....tulikuwa tunaona unayoyapitia sheikh ..kweli ulipitia magumu sana Mwamba ..ila all in all MUNGU hamtupi mja wake.....👍👍👍👍👉👉👍👍Keep up your target.....🇹🇿🇹🇿🌍🌍🌍🇹🇿🇹🇿👍👍

  • @nattyebrandy
    @nattyebrandy Před 8 měsíci

    WOW

  • @beatricejoseph2347
    @beatricejoseph2347 Před 8 měsíci +12

    Hongera kijana pia kwa kuwa mwenye bidii hadi kuvutia watu wengi kukuona na kukushika mkono hadi ulipo.

  • @LeodigaryPatrick-zo5kl
    @LeodigaryPatrick-zo5kl Před 8 měsíci +3

    Genius

  • @youngtomuller-vh2pu
    @youngtomuller-vh2pu Před 8 měsíci +3

    Juntos somos iguais ❤❤❤

  • @stevekdaniel
    @stevekdaniel Před 7 měsíci

    Very inspiring 🫡 safi sana

  • @allygoodboytzsdoneintanzan3970

    Allah akubless

  • @Ambwene
    @Ambwene Před 8 měsíci +6

    Jamaa yupo simple tuu 👊 🤜 🤛

  • @tumainielmaruwa3148
    @tumainielmaruwa3148 Před 8 měsíci +3

    Big up Eng.

  • @verCeJr.
    @verCeJr. Před 7 měsíci

    I like him. Big up bro I'm wish kuwa Kama wewe one day

  • @user-de2rg9kk7u
    @user-de2rg9kk7u Před 8 měsíci +23

    DAH!! Aisee huyu jamaa amesoma HARVARD university, anafanya Kazi kampuni ya APPLE! Analipwa zaidi ya 1bn kwa mwaka!😯🫢 Duuh hatari sanaa huyu jamaa noma

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla Před 8 měsíci +3

      wenzetu softwaare engineering kwa kampuni km apple wana muadmire sana manake yeye ndo.kashirikia roho ya kampuni ikiwemo siri za kampun

    • @georgerichard4902
      @georgerichard4902 Před 8 měsíci

      Unoma gani sasa au kusoma Harvard?

    • @blackwarrior-animations593
      @blackwarrior-animations593 Před 8 měsíci

      ​@@georgerichard4902noma wewe kaka

    • @neemakeenja3385
      @neemakeenja3385 Před 8 měsíci

      ​@@georgerichard4902acha wivu kijana mdogo

    • @emauf
      @emauf Před 8 měsíci +6

      ​@@georgerichard4902 Jifunze ku appreciate my brother. Mimi ni engineer ila pia nina admire watu kujituma na kufikia stage hizo. Maana sio kwa akili tu, ni juhudi binafsi kubwa pia inatumika.

  • @sporxzone771
    @sporxzone771 Před 7 měsíci +1

    Yupo cool sana wala avimbi ✊

  • @justusngonyani165
    @justusngonyani165 Před 8 měsíci +2

    Kuacha dini KWA ajili ya dunia si dhambi.Utakuwa salama tu.Bali kumwacha Yesu Kristo KWA ajili ya dini au dunia ni kuharibikiwa SASA ba baadaye.Mwishoni hutaulizwa dini yako.Jidanganyeni tu.

  • @theshiningstargroup
    @theshiningstargroup Před 8 měsíci +2

    GUSA LINK HAPO JUU MTAZAME YOMBO

  • @honorykwahhay4364
    @honorykwahhay4364 Před 8 měsíci +12

    Vizuri sana, lakini hawa vijana waliofanikiwa huko Marekani, Asia na Ulaya, wakirudi Tanzania na huo ujuzi, nchi yetu itafika mbali mno, walau waje wafungue kampuni huku.

    • @kyannickk2be
      @kyannickk2be Před 8 měsíci +3

      shida ni pale wanaanza buruzwa na wanasiasa ...wabaki huko huko kwanza unless bongo unafiki uishe ..anyway let it flow

    • @sultanjames9395
      @sultanjames9395 Před 7 měsíci +1

      Wakirudi huku hamna watachifanya hamna miundo mbinu wezeshi.

    • @piusmdoe3200
      @piusmdoe3200 Před 7 měsíci +1

      Wanasiasa tz roho mbaya hawawataki watu wajuzi wanataka makaratasi

    • @TheNdaki
      @TheNdaki Před 4 měsíci

      Kuna Baaadhi wanarudi na kiuzalendo wakiamini nchi yetu wataijenga na ujuzi waliopata huko ila…. Tuishie apa. Maana wengi wanaishia kwama ajira, ila pia wanapewa vitu ambavyo sio walivyosomea au nafasi zao.

  • @mikestuner9206
    @mikestuner9206 Před 8 měsíci +1

    Havard 😊

  • @RoanCorporation
    @RoanCorporation Před 8 měsíci +6

    KIJANA ANAONGHEA VITU SAHIHI KABISA , KWA VIJANA MTANZANIA , KAZENI MAISHA, LENGA JUU KABISA

  • @PrinceWalterM
    @PrinceWalterM Před 8 měsíci +2

    Very Humble Mungu amuongezee zaidi na zaidi

  • @ChoroTesla
    @ChoroTesla Před 8 měsíci +13

    n watu km hao wasije bongo huku wanasiasa wakianza kuwapa vyeo wanaua ujuzi wao unakuta jamaa ana vission kubwa kwenye wizara ila wajinga wajinga waliopo wanamkwamisha mwisho inakua ngumu yani bora akae huko huko kwa wanapojielewa. wasije wanasiasa kumrubuni

  • @johpixel4108
    @johpixel4108 Před 8 měsíci +5

    Wenzetu ni wajanja wameshamteka ila huku technology bado inatutesa hasa upande wa umeme 🙌

    • @ahz6907
      @ahz6907 Před 8 měsíci +3

      Angebaki kuwa fundi simu pale kkoo...angejiita abubakar matelephone.😅

    • @TheNdaki
      @TheNdaki Před 4 měsíci +1

      @@ahz6907Tanzania yetu, huu ni ukweli wapo wahitimu wazuri wanapoteza elimu na ujuzi wao

    • @elibarikimaganga9571
      @elibarikimaganga9571 Před měsícem

      Kweli kabisa ​@@ahz6907

  • @idrisamngagi284
    @idrisamngagi284 Před 8 měsíci +1

    tukowachache sana . hizi ni baadh ya Tanzanite zetu . Nasubiri Kenya

  • @jessykadaraja2691
    @jessykadaraja2691 Před 8 měsíci +3

    Usikae hapa Bongo kaka. tutakufundisha masiasa yetu utaua kipaji kaka.

  • @Fesary
    @Fesary Před 8 měsíci +9

    Vigumu sana kukuelewa unaongea kama Softwere vilevile.

    • @AbdulkarimNestori
      @AbdulkarimNestori Před 8 měsíci +2

      😂😂 kama Elon Musk

    • @ahz6907
      @ahz6907 Před 8 měsíci +1

      Mi nimemuelewa labda ntakuwa na brain software 😅

    • @ahz6907
      @ahz6907 Před 8 měsíci +1

      Mi nimemuelewa labda ntakuwa na brain software 😅

    • @Fesary
      @Fesary Před 8 měsíci

      @ahz6907 hasa pale alipoanza kutolea mfano wa Usd3000 ambao kwa maelezo wa mshahara wa 1B+ ulikuwa chini sana, ndio hapo sasa mara chumba ehe! Mpaka uwe Chip.

    • @neema_mollel
      @neema_mollel Před 8 měsíci

      🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mohdasaa
    @mohdasaa Před 8 měsíci +2

    Uthubutu wa vijana katika kuongeza thamani. Hajongea kuhusu vijana kuweka hela mbele. Nakubaliana naye. Pia umasikini wa fikra (mindset).

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii1676 Před 8 měsíci +4

    Wala hajivungi wala hana mambo mengi engekua wengine hapo sijui hata tusingeambulia chochote kwa maringo

  • @aaronswai3092
    @aaronswai3092 Před 8 měsíci +5

    Hii ni mishahara ya kawaida sana kwa Marekani kama alivyosema dogo. Mungu amtangulie

    • @timoliiisaya3824
      @timoliiisaya3824 Před 8 měsíci +2

      Jidanganye hiyo hela n kubwa hata kwa marekan

    • @emauf
      @emauf Před 8 měsíci

      Kawaida ni $50,000 mpaka $150,000
      $200,000 ni kati ya 10% ya juu ya wanaolipwa vizuri, ni mshahara mzuri sana hata US.
      Mshahara wa $200,000 unapata $136,700 after taxes, kama alivosema kodi ya apartment ni $3000, ko x12=$36,000
      Kodi ya serikali na nyumba ukitoa =100,000+
      - Transport
      - Chakula
      - Utilities
      - Bata kidogo (ma engineer muda wa bata mchache sana)
      Vitategemea na lifestyle ya mtu, ila hawezi zidi nusu ya hio hela, ko ukiwekea $30,000 inabaki $70,000 sawa na Mil175Tsh kama ana save, au analipa madeni au anajenga, au anannua nyumba au anannua gari, anajua yeye😅

    • @mayaally2512
      @mayaally2512 Před 8 měsíci

      Sio ya kawaida bwana acha mazoea na hela

    • @KhalifaKush-cs8mv
      @KhalifaKush-cs8mv Před 8 měsíci

      Ni hela ya kawaida marekan kama hiyo 600 marekan kama 30000

  • @user-lb8lq7um5x
    @user-lb8lq7um5x Před 7 měsíci +1

    Jamani tupate no zake nataka nikamshike mkono tu 😢

  • @dreamleague-uq2gx
    @dreamleague-uq2gx Před 8 měsíci +8

    Tatizo sio kujiajiri. Tatz ni mtaji mimi serekali ikinipa milioni 10 tuh nakua tajir na biashara zng

    • @nickhealthcare5612
      @nickhealthcare5612 Před 8 měsíci

      Njoo tuzungumze kaka

    • @nickalreadyknows
      @nickalreadyknows Před 8 měsíci

      Ahaha jinga sana 🚮 ww utaweza kweli kuzalisha hiyo hata kuandika hujui? Unadhan ni makakio sio? Sasa kama unajiamini kwann usitumie huo uwezo kupata 10 mil ndio uendelee? Jinga 🚮

    • @mwisukulu1
      @mwisukulu1 Před 8 měsíci

      😂😂😂😂😂

    • @SeifAhmed-ob3ym
      @SeifAhmed-ob3ym Před 8 měsíci

      ​@@nickalreadyknowsNani hajui kuandika sasa mimi au wewe?

  • @misanaantipas8338
    @misanaantipas8338 Před 8 měsíci +2

    Mnaona sasa ukiona aple kuuzwa bei kubwa kuliko teknol

  • @noahgondwe4779
    @noahgondwe4779 Před 8 měsíci

    Mmhhhh hayo mapozi yake sasa. Rangirangi hivi

  • @emmyandrew8670
    @emmyandrew8670 Před 8 měsíci +3

    Nimesoma na.ww

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Před 8 měsíci +53

    Usiache Dini sababu ya Dunia kwani Dunia mapito kaka Allah akuwezeshezaidi hukouliko upate mafanikiyo unayoyaitaji yenyeheri na ww

    • @williamnassari
      @williamnassari Před 8 měsíci +18

      Kwani kuna mahali kasema anacha dini kisa mamb ya dunia au na ww udini umekukaaa tuu kichwani hamna kitu mnajifanya kuijua dini sanaaaaaa kumbe ni 0 kichwani

    • @samwelnaal7952
      @samwelnaal7952 Před 8 měsíci +5

      Dini imeingiaje hapa mr Hanifa😂

    • @hanifatanzania7258
      @hanifatanzania7258 Před 8 měsíci +4

      @@samwelnaal7952 imeingia Dini kwani najua. Wangi. Wakiwahuko umaghalibi. Wanajifanya wazungu wanaacha milayetu ya baba yetu Hibrahim. Na kufata makafili yani huwo. Ukumbosho kwani tabia yetu waislam kukumbushana. . Ww naona siwakwetu ndiyo maana ujui

    • @hanifatanzania7258
      @hanifatanzania7258 Před 8 měsíci +3

      @@williamnassari Ssi Diniyetu ni ya kukumbu shana kilawakati. . Ilkiwamtu kateleza anarudi kuwasaea jua binaadam tunajisahau hasa wenye pesa na wakishaenda huko umaghalibi yani Ulaya wanafata uzungutu kwahiyoninanafasi kama muislamkumkumbusha........... Ok

    • @kazumarihamisilikumbato9213
      @kazumarihamisilikumbato9213 Před 8 měsíci

      Hanifa kama hujaolewa njoo nakuhitaji nikuoe nimetokea kukupenda

  • @mjumbemwanda9666
    @mjumbemwanda9666 Před 8 měsíci +3

    Interview kama hizi ziwe ndefu sasa

    • @benedictonesmo6857
      @benedictonesmo6857 Před 8 měsíci

      very nice interview and its so interested so we have a lot things to learn

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Před 8 měsíci +6

    UMETHUBUTU KAKA NA UMEWEZA HONGERA SNA NIMEKUPA MAUA YAKO HONGERA SNA SIWEZ KATA TAMAA KM BADO NIPO.HAI

  • @user-ey8bo5iw9y
    @user-ey8bo5iw9y Před 8 měsíci +6

    Marekani ni nchi isiyobagua din yeyote huweza timiza ndoto zake bila kujali dini,rang lkn uende mkristo uarabuni saudia uone kama utatoboa kwanza unakiwa uishi kwa sheria zao hata dini sio yako

    • @mozasalum9715
      @mozasalum9715 Před 8 měsíci

      Wee labda uende kama mfanyakazi wa ndani kuna wa tz wanapokea ma milioni zaid ya wananchi wenyewe kikubwa ni elimu yako ndio itakufikisha ulipo

    • @hanifbahajaj9039
      @hanifbahajaj9039 Před 8 měsíci +1

      Kwaio cristiano ronaldo ni muislam?

    • @stantamba5628
      @stantamba5628 Před 7 měsíci

      😂😂😂😂

  • @MM-pb7fw
    @MM-pb7fw Před 8 měsíci +3

    Huyu mwandishi yuko slow sana,kichwa kina-load slow..anauliza maswali ya kijinga ambayo jamaa amesha-explain ila anauliza tena!..Millard status ya brand yako ni kubwa watu kama hawa inabidi wakaongeze elimu au ujuzi,wakishindwa TOA!!!professionalism ianze kuzingatiwa duh!

    • @user-ek1bf8rz2u
      @user-ek1bf8rz2u Před 7 měsíci +2

      acha majungu usiwe sehemu ya kumuharibiam mwenzi kibarua

    • @Ibrah287
      @Ibrah287 Před 7 měsíci

      ​@@user-ek1bf8rz2uSure

  • @abdulla4344
    @abdulla4344 Před 8 měsíci +1

    Hao wanafunzi 10bora 2009 kuna aliyebaki Tanzania au wote wapo majuu

  • @hillarymushi2227
    @hillarymushi2227 Před 7 měsíci

    Huyu anayehoji ana matatizo gani? Mbona anashindwa kuidirect mic vizuri kwa muhusika mara apindishe mara aweke mbali millard watu wako hawa

  • @salimkombo4004
    @salimkombo4004 Před 8 měsíci +2

    Mbona kama kaleft?

  • @khalifajuma26
    @khalifajuma26 Před 8 měsíci +6

    Huyu Jamaa Pia anakipaji cha utangazaji wa habari

  • @rewardyesse7314
    @rewardyesse7314 Před 7 měsíci

    Kwishaaa kabisaa

  • @RoseKimishabhalemi-oz9bn
    @RoseKimishabhalemi-oz9bn Před 8 měsíci +4

    Unaonaje kurudisha ujuzi nyumbani kwako tanzania? Ukafaidisha wazawa.

    • @mengikiguruwe6750
      @mengikiguruwe6750 Před 8 měsíci +1

      Akirudi nyumbani akateuliwa kuwa KATIBU MWENEZI😂

    • @hassanmassaga2476
      @hassanmassaga2476 Před 8 měsíci

      ​@@mengikiguruwe6750😂

    • @luperbukuku2659
      @luperbukuku2659 Před 8 měsíci

      Anauweka kwenye nini

    • @wilsong520
      @wilsong520 Před 8 měsíci +1

      Hata asi jisumbue, kuna vijana ni ma developer apa apa bongo lakin wame shindwa kusajiri kampuni zao kisa mfumo wa hovyo

  • @rashidhamis5320
    @rashidhamis5320 Před 8 měsíci

    Kupambana

  • @jayproducts5871
    @jayproducts5871 Před 8 měsíci

    Uzima upo??

  • @rashidmsuya5721
    @rashidmsuya5721 Před 7 měsíci

    Chipsi tofauti tofauti chipsi zege au chipsi kavu

  • @user-yx2kl3ji8e
    @user-yx2kl3ji8e Před 7 měsíci

    Sasa kwanini tunahangaika kama simu zina chips situnajilia hapo tu

  • @ellymakongo656
    @ellymakongo656 Před 8 měsíci +2

    Sijui kwanini naangalia mikono yake sana? Anyway shetani toka.

    • @magazijuto7991
      @magazijuto7991 Před 8 měsíci +2

      Watu wengi wenye akili...mikono yao inakuwaga haitulii...

  • @florencejohn6427
    @florencejohn6427 Před 7 měsíci

    Serikali yetu ingekuwa inawekeza kwa vijana kama 200 kila mwaka kwa kuwatafutia shule bora nje ya nchi. Au kujenga hizo shule bora mbili hapa nchini. Baada ya miaka 20 hii nchi ingekuwa mbali mno.
    Sema ndio hivyo watoto wa wanasiasa na watu wengine wenye hela ndio wanaosoma shule nzuri huko nje, ila wengi wa hao watoto akili nidhamu commitments ni dhaifu. Ndio maana hatuwaoni wala kuwasikia kwenye taasisi kubwa kama hizi za Apple nk

  • @husseinhussein9971
    @husseinhussein9971 Před 7 měsíci

    Muongo tu.

  • @gracenbarnes5254
    @gracenbarnes5254 Před 8 měsíci +1

    Marekanj mambo ya teknolojia na it ndio yana pesa ndefu ikifatiwa na sekta ya afya na sheria

    • @kibasatv1524
      @kibasatv1524 Před 8 měsíci

      Sio kweli baada ya teknolojia ni idara za ulinzi na usalama hapo ni hatariiii sana

    • @pascojm6816
      @pascojm6816 Před 8 měsíci

      ​@@kibasatv1524ah wapi, sheria ipo juu sana

    • @timcee2670
      @timcee2670 Před 8 měsíci

      @@kibasatv1524
      DOCTOR, LAWYER na ENGINEER (ikiwemo it na computer engineering).......Hizi ndio ishu zinazolipa makampuni binafsi, jeshini, serikalini, n.k

  • @lawrencegwerino1656
    @lawrencegwerino1656 Před 4 měsíci

    Usiwambie watanzania unainginza hela ngapi kwa mwaka,watakulilia shida hadi ukome…

  • @nyimbilebravo3347
    @nyimbilebravo3347 Před 8 měsíci +2

    Asije akaleft, Awe makin

    • @rajabumussa3451
      @rajabumussa3451 Před 8 měsíci

      Umeongea poit sana, nawasiwas 😢

    • @nureyna629
      @nureyna629 Před 8 měsíci

      Isikuhadae iyo mikono. Ukifanya kazi nje mara nyingi unaadapt na the way wanavyoongea na yeye keshakaa sana nje, that's very normal ..

  • @tzcomputerservices4944
    @tzcomputerservices4944 Před 8 měsíci

    mbona kama kashaleft

    • @Monyo04
      @Monyo04 Před 8 měsíci +1

      Hamna ni ongea yake tu kule Kwa wenzetu ni normal though Kuna red flag kwake

  • @Guccidrugz
    @Guccidrugz Před 8 měsíci

    Mwendo wa chipsi tu

  • @richardvedasto2285
    @richardvedasto2285 Před 8 měsíci

    Kwaiyo hizo chips zinakaangwa na simu?

  • @alexchungu6263
    @alexchungu6263 Před 8 měsíci +2

    Sio upinde ukweli?

  • @ramseychobaliko1002
    @ramseychobaliko1002 Před 8 měsíci

    Jamaa amesoma na yupo apple lakin anaongea Kiswahili sio hawa ma cheap boys wa bongo na madanga wa bongo wenye English course kujiongelesha oooh actually ooohh you know 🤮🤮🤮🤮👎👎👎🐍🐍

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 Před 8 měsíci

    Mshahara ni siri ya mutu why you are tangazaring😊

  • @ahmedalshaibany
    @ahmedalshaibany Před 8 měsíci +4

    Kama kaleft group hivi

  • @alimaftah7640
    @alimaftah7640 Před 8 měsíci +6

    Mbona kalegea sn ! Dah

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla Před 8 měsíci +10

      watu wote smart wanaongea kwa intelligence sasa akaze umesikia yeye boda boda mbona mnamawazo ya kijinga

    • @suratibrahim6417
      @suratibrahim6417 Před 8 měsíci

      Aisee... sidhani kama ni salama...kalainika kote..ulimi na viungo nk..🤨

    • @isacmusa4760
      @isacmusa4760 Před 8 měsíci

      🥲🥲 mtoto lainiii

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla Před 8 měsíci

      @@suratibrahim6417 hapana ni swagg tu sio kwamba kalinika sana watu wote wanao deal na mambo ya tech wako hvyo mfano MKHD yule anayechumbua simu ukimusoma km kalainika ila ni swagg tu

    • @user-ex6sh1rl4d
      @user-ex6sh1rl4d Před 8 měsíci

      ​@@ChoroTeslahahahhahahahhahahah😂😅😂😅😅😂😅😂

  • @samwelnaal7952
    @samwelnaal7952 Před 8 měsíci

    Vidole
    Kipochi kwapani
    Bado sielewi

    • @eddopaul18
      @eddopaul18 Před 8 měsíci

      😂😂😂😂😂 nyie

  • @afrimage_decor
    @afrimage_decor Před 8 měsíci

    Chip zikiwa nying ni chips kuku 😂😂😂

  • @daudimwidimakihanda5386
    @daudimwidimakihanda5386 Před 8 měsíci

    Gay sign 🦧🦧 (hand shake for men is not like that)

  • @shabaniramadhani8891
    @shabaniramadhani8891 Před 8 měsíci

    Watanzania washamba sana inshu za mishahara ni maisha binafsi

  • @kamole3
    @kamole3 Před 8 měsíci +1

    Jamaa sio rizki

  • @user-wv4rf2zk1o
    @user-wv4rf2zk1o Před 8 měsíci +1

    Hiyo mikono vipi

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole7714 Před 8 měsíci +3

    Ni Kama milioni tatu kwa siku ila iyo pesa watu wengi tu bongo wanapata

  • @neema_mollel
    @neema_mollel Před 8 měsíci

    Mbona abuu unayumba yumba umetupia kamnyweso au

    • @flowinfabian9386
      @flowinfabian9386 Před 8 měsíci

      Kwan huja ona movie ya krish magenious ndo wako hivyo 🤣

    • @neema_mollel
      @neema_mollel Před 8 měsíci

      @@flowinfabian9386 🤣🤣🤣

  • @aberinegosanga7067
    @aberinegosanga7067 Před 8 měsíci +4

    Muongo huyo

    • @abubakarothman7249
      @abubakarothman7249 Před 8 měsíci +1

      Uong wake nini

    • @khamismohamed8634
      @khamismohamed8634 Před 8 měsíci +2

      Tupe ushahidi wa uongo wake.
      Mwenzako ametoboa badala ya kumpa moyo pamoja na wengine wewe unapuuzia

    • @hemedsheha2515
      @hemedsheha2515 Před 8 měsíci +3

      Wewe mkweli au choyo tu na rohombaya ilokujaa ? @aberinegosanga

    • @Youngchimodzi823
      @Youngchimodzi823 Před 8 měsíci +1

      Sanga, muongo Kwa vipi fafanua,tuhuma mzito hizo?
      Mtu ana inspire vijana wafile mbali unasema muongo?una maanisha nini?

    • @isayamlala3075
      @isayamlala3075 Před 8 měsíci +1

      Uongo wake uko wapi..wewe ndo umekata tamaa...mpumbavu

  • @ShakuDazi
    @ShakuDazi Před 8 měsíci +2

    Mbona kama shoga huyu jamaa

  • @allywilson4155
    @allywilson4155 Před 8 měsíci +1

    Anaongea kidemdem sana..

  • @sleeprelaxation8431
    @sleeprelaxation8431 Před 8 měsíci

    Hivi watanzania epo ime wafanya nin?

    • @gidemeritus9644
      @gidemeritus9644 Před 8 měsíci

      wanamtafuta kilichomponza adam na eva 😅😅