MJASIRIAMALI MUUZA KARANGA AFUNGUKA, AMILIKI NYUMBA YA MIL.30, ASOMESHA MTOTO UDOM, MTAJI WA ELFU 10

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 07. 2024

Komentáře • 91

  • @pendokissatu937
    @pendokissatu937 Před 22 dny +25

    INAWEZEKANA kabisa Ukiwa Na Mungu na ukiwa Na Focus ❤

  • @LovelyFishingRod-ij7mk
    @LovelyFishingRod-ij7mk Před 22 dny +5

    Utukufu kwa Mungu, mambo hayo yanawezekana aswa ikiwa mwaminifu kwa mungu na kila Mtu Mungu anangangia namna ya kufanikiwa, hongere sana dada

  • @HusnaMtitiko-yt4ru
    @HusnaMtitiko-yt4ru Před 21 dnem +5

    Huyo mume alijipalia makaa na huyo mwanamke ndo alikuwa mafanikio yake lait angekaa naye hadi leo basi wangekuwa matajiri wa maana lakin mwanaume aliona kulisha mkia wake ni fahari kulko maisha angalia sasa huyu mwanamke hata akiwa kwenye ndoa ni muaminifu hawezi kusaliti ❤️

  • @chikujuma18
    @chikujuma18 Před 22 dny +16

    Mashallah hongera mama mola hamtupi mja wake 💝💝💝💝💝

  • @sir_ENOCKMACHA
    @sir_ENOCKMACHA Před 22 dny +5

    Safi sana hongera mamaa hivi ndio vitu navipenda...so inspiring

  • @seneu.2128
    @seneu.2128 Před 21 dnem +8

    Hongera dada wewe sasa ndio super woman.

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 Před 22 dny +5

    Hongera sana dada, Mwenyezi Mungu akuzidishie zaidi

  • @knowledgetv5594
    @knowledgetv5594 Před 20 dny +6

    Millard Ayo,
    Hizi ndio habari za kutweet na sio zile zingine za kukamata wadada poa. Nashauri ungekuwa na kipindi rasmi kwa ajiri ya vitu hivi kwani vinajenga mno.

  • @husnasalim9614
    @husnasalim9614 Před 8 dny

    Nimekupenda sana umezidi kunipa ujasiri kua naweza🤝🤲🏼🤲🏼🤲🏼♥️

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 Před 22 dny +14

    Historia ya mafanikio yake naiamini kabisa ni uangaikaji wake binafsi hongera sana mama Mungu akuzidishie !

  • @fidesbernard4835
    @fidesbernard4835 Před 22 dny +3

    Hongera mdogo wangu, mpambanaji mwenzangu mwenyezi Mungu aendelee kukupigania🎉🎉

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Před 22 dny +13

    Karanga zina lipa sana

  • @WilliamIbrahim-dt5nb
    @WilliamIbrahim-dt5nb Před 22 dny +5

    Hongera sana

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Před 17 dny +1

    Hongera sana Kuna midada ipo MTAAN eti ohoo mie nibebe beseni kichwan mie hongera sana my dear

  • @candyismail1256
    @candyismail1256 Před 22 dny +3

    Hongera kipnz,Mungu akasikie kilio chako

  • @gracekunambi7438
    @gracekunambi7438 Před 22 dny +17

    Mungu humwinua mtu kutoka mavumbini.

  • @fatmamansour2764
    @fatmamansour2764 Před 13 dny

    Mashaallah M mungu akuzidishie kila la kheri akuondolee vikwazo kwenye biashara yako

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 Před 22 dny +7

    Hongera sana, wewe ni wa mfano. Mungu aendelee kukubariki utakuja kuwa bilionea siku za usoni

  • @user-sj5le4sf7i
    @user-sj5le4sf7i Před 20 dny +1

    Asante malikia wa nguvu ❤ wanawake tunaweza

  • @AsiaSalim-e4d
    @AsiaSalim-e4d Před 21 dnem +1

    Masha ALLAH hongera sana ❤

  • @user-nc9il2fj1i
    @user-nc9il2fj1i Před 17 dny +1

    Monica hongera hata Mimi napambana mungu atufanikishe

  • @FghgRyy
    @FghgRyy Před 13 dny

    Maa shaa Allah hongera sana hata mm naweza In shaa Allah biidhn Allah

  • @omanmct135
    @omanmct135 Před 22 dny +3

    Vizuri sana dada❤❤❤

  • @emmanueltillya2017
    @emmanueltillya2017 Před 22 dny +2

    Huyu ndio super woman.mpambanaji wa nguvu.

  • @yusramichael585
    @yusramichael585 Před 20 dny

    Mashaallah 🥰 Allah bless you mpambanaj💪.....nataman nikuone nipo nyankumbu pia jmn

  • @SurprisedBanyanTree-wu1cg
    @SurprisedBanyanTree-wu1cg Před 21 dnem +1

    Hongera sana dada

  • @magrethelikanah5110
    @magrethelikanah5110 Před 17 dny

    Ameeeen ameeeeen safi sana. Mungu atukuzwe.

  • @beatykrisam81
    @beatykrisam81 Před 21 dnem +1

    Mungu nisaidie na mm

  • @zuwenasalim2794
    @zuwenasalim2794 Před 19 dny +1

    Mwanamke wa shoka ,wengi watasema kunakitu chaziada unategemea,lkn hawajui kwamba unasev ,nahaswa ukijua unataka nn nakuamua Mungu akuangulie karanga inahela nyie achen tu

  • @EvarineMdaki
    @EvarineMdaki Před 22 dny +1

    Be blessed Bertha

  • @stonetown578
    @stonetown578 Před 22 dny +1

    Allah atazidi kukuongoza.

  • @tumainichanya3268
    @tumainichanya3268 Před 22 dny

    Hongera Sana mpendwa wangu

  • @tidomilinga3750
    @tidomilinga3750 Před 20 dny +3

    Hiyo nyumba haipungui m 50 Kwa macho ninavyoona

  • @RajabuLesali
    @RajabuLesali Před 22 dny

    Ongera san. Mungu abariki. Rizki ya halal

  • @ayshunamir
    @ayshunamir Před 20 dny

    MashaAllah

  • @Mlokoz_twangalatwz
    @Mlokoz_twangalatwz Před 22 dny

    Hongera sana dada mzuri

  • @NellyFrancis-nn3qb
    @NellyFrancis-nn3qb Před 13 dny

    Hongera

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Před 22 dny +2

    Hongera sana mom😢

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver6541 Před 22 dny

    Mainshaallah

  • @GabrielMwakasagule
    @GabrielMwakasagule Před 22 dny

    Hongera sana mama

  • @richardrichope3528
    @richardrichope3528 Před 22 dny +2

    🎉🎉🎉🎉

  • @devothaemanuel
    @devothaemanuel Před 21 dnem

    Hongera Mama

  • @pceodhc
    @pceodhc Před 22 dny

    Hallelujah! Mungu azidi kukubariki na kukuongeza Katika jina la Yesu! 🙏🏾

  • @communicativegirls4433
    @communicativegirls4433 Před 11 dny +1

    Hii ni historia inayoleta nguvu.

  • @annastaziaemmanuel8664

    Anaposimulia unaweza ukafikiri ni jambo la week moja tuu,ila ukiwa ushakutana nayo ndo unaelewa

  • @GRACENyanda-cn3pg
    @GRACENyanda-cn3pg Před 17 dny

    Kwakweli Mungu ni mwema

  • @user-hw7kz8rv2c
    @user-hw7kz8rv2c Před 16 dny

    Amen

  • @user-kb7zn8lm8m
    @user-kb7zn8lm8m Před 19 dny

    Inapendeza mama mjasiriamali

  • @godfreyally-ps3fo
    @godfreyally-ps3fo Před 19 dny

    🎉🎉❤

  • @khamismtoma4902
    @khamismtoma4902 Před 22 dny

    💯

  • @EshaMichael-zw7zi
    @EshaMichael-zw7zi Před 21 dnem

    🙏

  • @NIKIZAGloria-l2k
    @NIKIZAGloria-l2k Před 8 dny

    Mfano wa kuiga

  • @maseleenaesleen8149
    @maseleenaesleen8149 Před 18 dny

    Waaaah hata mumeo akiona hii atatamani kukurudia

  • @tidomilinga3750
    @tidomilinga3750 Před 20 dny +1

    Ulichosema hukua ridhaa kuolewa ulilazimishwa ndicho kilichokukost yawezekana kuna makosa ulifanya bila kujali ndio mana kakuacha

    • @MyMercy84
      @MyMercy84 Před 10 dny

      Kosa baada ya watoto 2? Amesema kuna mama alikuwa anakuja hapo kufanya kazi za ndani ndio akapindua meza, ni huyo baba ndio amejichanganya, kosa ndio likufanye uende kwa mwanamke mwengine?

  • @FelisterNampoka
    @FelisterNampoka Před 21 dnem

    Ongera dada

  • @khadijamohamed3043
    @khadijamohamed3043 Před 22 dny

    AMIIN

  • @ZawadMussa-sd1od
    @ZawadMussa-sd1od Před 22 dny

    Uyu ni Mimi kbsa mungu mkubwa sana

  • @happykiwelu1451
    @happykiwelu1451 Před 21 dnem

    Hiyo ndo Mwanamke wa shoka

  • @vicentmapunda3146
    @vicentmapunda3146 Před 22 dny

    😅😅😅au siooo.... !!,hapagwi mtu apa

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl Před 22 dny

    Basi. Sawa

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 Před 21 dnem

    Hii nikweli kabisa hata mm nimejenga nyumba kubwa tu nilikua nauza karanga

  • @user-ur8cq1ye3b
    @user-ur8cq1ye3b Před 21 dnem +1

    Nauyo mume wako atapitia masha maugumu atoamini macho yake

  • @maseleenaesleen8149
    @maseleenaesleen8149 Před 18 dny

    Kwa hiyo inaonyesha huyu mtoto wako wa mwisho sio mtoto wa mume wake aliye muacha

  • @immadangote6001
    @immadangote6001 Před 22 dny

    Tumepigwa

    • @ziggertv3185
      @ziggertv3185 Před 22 dny +1

      Kwavile unategemea ajira utapata tabu

  • @user-yd9ds1zs1i
    @user-yd9ds1zs1i Před 22 dny +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂 hapa tumepigwa kweli ndug mwandish mtaji wa milioni 2, na mtaji una mkata amejenga nyumba ya milion 30, duuh!

    • @AshuraMbwana
      @AshuraMbwana Před 22 dny +4

      Inawezekana sana kikubwa kupambana tu bila ya kukata tamaa sisi kwetu tuna Jenga Kwa mtaji wa samaki laki tatu tu

    • @mariamdullazy8166
      @mariamdullazy8166 Před 22 dny +3

      Nyumba haijengwi kwa siku moja kwa sisi wapambanaji msingi mara coz mbili mara umemaliza

    • @user-yd9ds1zs1i
      @user-yd9ds1zs1i Před 22 dny +1

      @@AshuraMbwana sizan kama kweli inawezekana

    • @privasara3971
      @privasara3971 Před 22 dny +2

      Mtaji mdogo na faida mtu anayopata havihusiani kabisa.ndani ya mtaji huohuo anaweza akawa anapata laki 5 kila wiki.

    • @svt3
      @svt3 Před 22 dny

      ​@@user-yd9ds1zs1iinawezekana tena saana utakuta kajenga hiyo nyumba kwa miaka hata miwili au tatu akipata faida ananunuwa gunia 3au inne ya simenti mdogo mdogo anajenga yote ni ma hesabu na nidhamu ya bageti

  • @edishaa3108
    @edishaa3108 Před 22 dny

    Aseme ukweli tu nyumba kajenga ama imeshushwa kutoka mbinguni😅

    • @user-sc9fe7nk6y
      @user-sc9fe7nk6y Před 18 dny +2

      Hebu ushushiwe na wewe tuone mie n muuza karanga pia Niko Arusha biashara ndogo ndogo zinzlipa sana wekeza kwenye vikoba au michezo uone kama hujatoboa

    • @user-dy9fr2mi5n
      @user-dy9fr2mi5n Před 8 dny

      Naunga mkono

  • @mwamvuamagongo8163
    @mwamvuamagongo8163 Před 22 dny +2

    Karanga hizihizi ??

    • @SaadaAlsheibani
      @SaadaAlsheibani Před 22 dny +1

      Eeeh karanga hizo hizo unazokula jioni😂😂

    • @dicksonkilupa2258
      @dicksonkilupa2258 Před 22 dny +5

      Biashara siyo tu karanga bali ni ile akili uliyonayo inakupa vipi mwanga ma kujituma. Sina mengi dada endelea kupambana wengi tumetokea huko.

  • @meddixempire292
    @meddixempire292 Před 20 dny

    Suala la kumpelea mtu mzigo kwake mmmh nina wasiwasi hapo utakua na uchi unatoa

  • @tidomilinga3750
    @tidomilinga3750 Před 20 dny

    Taf women Huwa hawaoleki hata siku moja

  • @estherdavid4133
    @estherdavid4133 Před 21 dnem +1

    Hongera sana dada